KUTOKA KUWA BINTI WA BILIONEA MPAKA MASIKINI WA KUTUPA 'ADHULUMIWA URITHI NA KAKA YAKE' AMUOMBA RAIS
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
"huu ni uchuro"
fuata dini mamaa we ni muislamu muheshimu mtume Muhammadd sallallahu 'alayhi wa sallam na Allah akupe elimu.
Polesana..makosa ni yababa..hakuna urathi wakupewa mtu akiwa hai...kakosea sn...dini pia hairuhusu hvo ...Mali igawie kwa wote
Nyie mabinti wa kiislamu hakuna mirathi kabala hajafariki mwenye kurithiwa!!!! Nyie mmerithije Kabla hajafariki baba yenu!??? Mcheni mola wenu hiyo mirathi igawanywe hiyo iliyoachwa baada ya kufariki baba yenu!!!!! Na hakuna waswiya kwa mrithi....shiria imekataza mrithi kupewa usiya¡!!!
Mbumbavu wewe nani kauambia mabinti wakislamu hawarithi komaa ww uliza wambiwe ndio useme
Pole sana Dada siku hizi mahakama wote ni wezi majaji wezi sana Wanasheria wanakula sahani moja na majaji wote walaji rushwa Tanzania hakuna sheria wote wezi hapo sijui haki kama ipo Tanzania ni Dhulma tu kila mtu wa mahakama ni mwizi mlaji rushwa karibu majaji wote wanavitambi wamefura matumbo kwa pesa za rushwa wanapinda sheria.
ndugu wapo saudi arabia , wewe upo na wapi / na nani / una support / ?
Ukwapi ewe al mahdi njoo ushuhudie dunia ilivyochafuka huku
Dada kisheria ni lazima murithi nyote pamoja na hao wanaume
Hicho walichopewa wao sio mirathi, hakuna mirathi kabla kifo
Km hao wakiume ni wa nje ya ndoa,ni sahihi baba kuwapa mapema,
@khadijanurdin3163 Baba kama baba ana haki ya kutoa sehemu ya mali yake na kumpa mtu yoyote anaependa mwenyewe hata kama ana watoto wa kurithi - ila uislamu umeweka misingi ya Kifiqhi ya mali katika kufanya hivyo,,,
Suala lako -- Kama watoto walikuwa ni wa nje ya ndoa hawafai kurithishwa mali kwasbb si watoto wake halali wa kindoa
Ila kama aliamua kuwapa mali kabla hajafa na sabb ilikuwa ni hiyo alitakiwa aweke bayana juu hilo
Kuficha kwake makosa yake yaliyopita anasababisha matatizo mengine makubwa zaidi
Ridhika na sheria ya allah iyo mali aliyowapa watoto wake akiwa hai huo sio urithi, iyo mali alioiacha lazima muigawane wote wanaume na wanawake
Tangu lini mtu akarithi mali kutoka kwa mwenye mali ?
Baba hajafa utasemaje aliwapa urithi wao mapema ?
Hapo kuna jambo limejificha
Alisema kuwa wazazi wake walikufa mnamo 2020 na waliacha wosia
Bb ngu alifariki mungu amrehem
@@SgralYEMEN amesema watoto wa kiume wao walipewa urithi na mwenyewe kabla hajafariki
Huo hauitwi urithi
Waligaiwa mali tu
@@Hongkongman2
ni wazi kwamba baba huyo aliwapa wana urithi wao alipokuwa hai. na ili kuwa wadilifu, akawatoa katika mirathi baada ya kufa kwake ili wasipate urithi maradufu
Baba yao kafa msenge wewe acha kuandika uwongo shoga wewe
Warabu wengi wabongo hasa wenye asili ya yemen ni wanatafuna mirungi mabongo yao zile nyaya za akili zimeshafumka ,uislamu hawautaki wengi wao na mirathi ya ki uislamu hawataki mtume Muhammad sallahu alyhiwasallam wanamzarau hawanakheri
Tafuta mali zako acha ujinga huo kama baba yenu aliwaambia mtunze mali ninyi mkatunza. Makalio shauri yenu
Sisi hatuna mahakama Tanzania,tukisema hii nchi lazima ibadilike.