Niliwahi sema jemedari sio mchambuzi.ndie aliekuwa anamtetea sana chama akiwa simba. Sasa anatamani hata kumyanganya Ahamed Alliy usemaji wa simba. Jamani mchambuzi huyo ? Kinamua sana. Pole jemedari saidi.
Shida ni moja tu,ninyi wachambuzi ni macamillion wa kutupwa --- huko siku za usoni,mtabadilika,tutawasikia mkisema " kuna timu INA wavulana na kuna timu INA wanaume " Tunawajua nyie hamkawii kubadilika " Vinyonga sana ! "
Leo hawasemi wachezaji wanasajiliwa na kocha gani.
Kimya kwsbb ni mandunduka.
Niliwahi sema jemedari sio mchambuzi.ndie aliekuwa anamtetea sana chama akiwa simba. Sasa anatamani hata kumyanganya Ahamed Alliy usemaji wa simba. Jamani mchambuzi huyo ? Kinamua sana. Pole jemedari saidi.
Shida ni moja tu,ninyi wachambuzi ni macamillion wa kutupwa --- huko siku za usoni,mtabadilika,tutawasikia mkisema " kuna timu INA wavulana na kuna timu INA wanaume " Tunawajua nyie hamkawii kubadilika " Vinyonga sana ! "