Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

ALLY KAMWE" WAMEFUNGWA NA TIMU YA DARAJA LA 6/YANGA NDIO TIMU TISHIO/WAJIANDAE KUPOKEA GOLI 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Leo July 17,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC.
    Aidha Ally Kamwe amesema kikosi chao kimekamilika kwa Asilimia zote na kipo tayari kutoa ushindani mkubwa kwenye mashindano yote watakayoshiriki na watafanya vizuri

Комментарии • 35

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Месяц назад +2

    KIUKWELI Kabisa yaani APO KWENYE Thank you NIMEKUKUBALI SANA Positive

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Месяц назад +2

    Safi sana Kamwe -- " Nitafurahi sana tukimnyoosha Jemedari na timu yake " kono la nyani tena " ili kufunga kinywa chake.

    • @peterkandaya565
      @peterkandaya565 Месяц назад

      Angalie na nyie maije mkapigwa 6 - 0 manake mlishawahi kuchezea halafu sio ya mchongo Kama ya kwenu ya kununua wachezaji😅😅😅😅😅

  • @user-uf8ot1mq8c
    @user-uf8ot1mq8c Месяц назад +4

    Mwaga makopa Ally Kamwe

  • @PrinceYanga-pl6rm
    @PrinceYanga-pl6rm Месяц назад +2

    Nakukubali kakak

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Месяц назад +2

    Simba inacheza na Sevilla yeye haja zaliwa akaandike MABANGO ya MZEE MAGOMA 😅

  • @SamsonDaniel-ch2jn
    @SamsonDaniel-ch2jn Месяц назад +1

    Ila jemedari saidi anazingua Sana

  • @EliakimuBura
    @EliakimuBura Месяц назад +3

    Ahahahahahah ali kamwe we ni mwamb😊😊😊😊

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 Месяц назад

    Mwenyekiti 🙌🙌🫶🫶

  • @JoshuaKashongole
    @JoshuaKashongole Месяц назад +1

    Yani ni ham na huyo bin kazumar vbya mnooooo

  • @kigura_jr
    @kigura_jr Месяц назад +1

    Mwandishi anahisi kasikia vibaya 💛💚💛💚

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Месяц назад

    Kweri kafungiwa Koro cta moja na Tim ya chini Toka misr

  • @chuggamwachaa-kb7iv
    @chuggamwachaa-kb7iv Месяц назад +2

    Wewe nawasiwasi nawewe unaweza ukawa ubwabwa

  • @gharibbilal9180
    @gharibbilal9180 Месяц назад

    Ali Simba huyoo

    • @Itselars77
      @Itselars77 Месяц назад

      Wewe ndo simba😂😂

  • @prince783
    @prince783 Месяц назад +1

    Kwaio nyie wakubwa kuliko ahly

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c Месяц назад

    Simba ilicheza na Sevilla inayocheza na Madrid pia.watani Bado Hamna jipya SEMA mnajitafuta ongezeni bidii maana hata hiyo Augsburg inajitafuta pia.

    • @SalvatoryMbigili-m2f
      @SalvatoryMbigili-m2f Месяц назад

      Inategemeana sevilla walikuja wafanya usafi wa uwanja still wakawafunga😂😂😂😂😂😂😂

    • @Yuleyule-u6c
      @Yuleyule-u6c Месяц назад

      @@SalvatoryMbigili-m2f 😁hutaki kuamini kuwa Sevilla ilicheza na Simba na alikuwa nafasi ya nne La Liga Spain!! Mbona yanga itacheza na Augsburg ambayo ilikuwa nafasi ya11 bundesliga.

    • @Itselars77
      @Itselars77 Месяц назад

      ​@@Yuleyule-u6c😂😂 Sevilla walikuja kutalii ndo maan hata mechi wakatalii bado wakawakanda na mlivyo washamba mkaomba viatu 😂😂

  • @alitante4279
    @alitante4279 Месяц назад +1

    Magoma mmoja sawa na Utopolo wotee 🐸

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Месяц назад +1

    Watakuwa wamecheza na mamaako

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Месяц назад +1

    😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Месяц назад

    Subrini makoro ringi. I.anze.mtakoma Kono Ra nyani .Rina wausu

  • @VeronicaEmmanuel-t2v
    @VeronicaEmmanuel-t2v Месяц назад +1

    Ila uyu mwamba eti kunawatu wanatumiwa Whatsapp maendeleo ya tmu zao hii imeenda na wamekula SITA

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Месяц назад

      Huyu dogo anamuudhi mpaka aliyetoa mkojo wake kumtengeneza

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Месяц назад

    Kamwe hao wanawavizia wachezaji wetu. Tuwe makini.