Salehe huyo mwandishi ni mjinga hata kama anapewa vibahasha hapaswi kuidharau simba. Hivi anajua simba ni ya ngapi afrika na yanga ni yanga ni ya ngapi?" Eti simba haina uwezo wa kuvutia wachezaji wa kubwa. Huyo ni mbumbumbu. Hajui wachezaji wakubwa hawaangalii simba ni ya ngapi tz wanaangalia ni ya ngapi afrika. Salehe ni mchambuzi mwalimu mungu akulinde ya ache machumia tumbo.
Mwenda wazimu huyu bro amekuwa mtu mzima hovyo sana... Anataka kutuambia whydad imeshika nafasi ya sita Morocco ni team isiyo na mvuto kwa wachezaji wakubwa? Besides Simba inajitengeneza hivyo nafasi ya mchezaji mkubwa haipo tunahitaji wachezaji wadogo wenye vipaji na njaa ya mafanikio ili ktk kutimiza malengo yao ndio faida kwetu sasa chezaji kubwa lishachukua hadi ubingwa wa Africa mara tatu au nne unalileta Simba linakuja kufanya nini?
Hata ulaya mchezaji anaangalia timu ipo club bingwa? Co historia ya miaka iliyopita wanaangalia muda uliopo ndo maana huoni mchezaji mkubwa akienda Newcastel kwamba iliwahi kubeba ubingwa
Huo Ni uongo man city iliyokua mbovu misimu ya nyuma ilikuaje wakasuka kikosi Bora cha kushindania vikombe.usiongee kiushabiki mpira wa Leo watu wanaangalia fedha@@shaameshaame2837
Wakati mayele anaondoka Yanga hakuna mtu aliyesema wachezaji wanaangalia timu ambayo ipo club bingwa tena Yanga haikuwa club bingwa kwa miaka 25 ila leo Chama katoka Simba eti wanaangalia club bingwa tena baada ya simba kutokuwepo club bingwa kwa mwaka 1 na tena baada ya kukusanya point nyng kupeleka timu mbili club bingwa hii nchi watu mnaichukia Simba kisa mafanikio yake huu ni ushamba sana 😂 @@shaameshaame2837
Mchambuzi muongo huyu duuh, mbona alihisi kama yanga hawaja msajili duuuh saleh ni mchambuzi mwongo mwongo sana.
Kwa vile kamsifia chama apo unaona huyu ni mtu mzuri, angekua kamwongelea tofauti ungeshusha matusi
Saleh jembe ww ni jembe unajua mzee ww sio mchambuzi mandazi napenda unaongeaga ukweli piga kazi mzee
Wee utaona tu ,Chama atakupa challenge mpaka utajuta
Salehe huyo mwandishi ni mjinga hata kama anapewa vibahasha hapaswi kuidharau simba. Hivi anajua simba ni ya ngapi afrika na yanga ni yanga ni ya ngapi?" Eti simba haina uwezo wa kuvutia wachezaji wa kubwa. Huyo ni mbumbumbu. Hajui wachezaji wakubwa hawaangalii simba ni ya ngapi tz wanaangalia ni ya ngapi afrika. Salehe ni mchambuzi mwalimu mungu akulinde ya ache machumia tumbo.
Mwenda wazimu huyu bro amekuwa mtu mzima hovyo sana... Anataka kutuambia whydad imeshika nafasi ya sita Morocco ni team isiyo na mvuto kwa wachezaji wakubwa? Besides Simba inajitengeneza hivyo nafasi ya mchezaji mkubwa haipo tunahitaji wachezaji wadogo wenye vipaji na njaa ya mafanikio ili ktk kutimiza malengo yao ndio faida kwetu sasa chezaji kubwa lishachukua hadi ubingwa wa Africa mara tatu au nne unalileta Simba linakuja kufanya nini?
Hata ulaya mchezaji anaangalia timu ipo club bingwa? Co historia ya miaka iliyopita wanaangalia muda uliopo ndo maana huoni mchezaji mkubwa akienda Newcastel kwamba iliwahi kubeba ubingwa
Huo Ni uongo man city iliyokua mbovu misimu ya nyuma ilikuaje wakasuka kikosi Bora cha kushindania vikombe.usiongee kiushabiki mpira wa Leo watu wanaangalia fedha@@shaameshaame2837
Wakati mayele anaondoka Yanga hakuna mtu aliyesema wachezaji wanaangalia timu ambayo ipo club bingwa tena Yanga haikuwa club bingwa kwa miaka 25 ila leo Chama katoka Simba eti wanaangalia club bingwa tena baada ya simba kutokuwepo club bingwa kwa mwaka 1 na tena baada ya kukusanya point nyng kupeleka timu mbili club bingwa hii nchi watu mnaichukia Simba kisa mafanikio yake huu ni ushamba sana 😂 @@shaameshaame2837
@@shaameshaame2837kwamba man u saiv haivutii wachezaji wakubwa?😅😅 Newcastle ni kama mtibwa ti
Mm huwa nakukubali kaka
Mzee saleh jembe ulipaswa kuwepo CROWN SPORT MEDIA.lakin kwa wale looohhh kazi ipo
Alikua anafanya mgomo wakati yuko simba hata magoli matano yy na inonga na golikipa basi ni bora aende
Hahaha wanaandamana kweli kweli maandamano kwa Chama Simba Morson ahamia Simba Wala hakuna aliyeandamana uwiiii
Chama,aziz ki yanga itachukua ubingwa tena
Leo umeongea point
Kaka Saleh sijajua ushabiki wake ila ningetaman sana kumwona kwenye board ya wakurugenzi ya simba
Nakuunga Mkono asilomia 💯
Ameenda kustaafu😂😂😂
Yaan mlichopost na kinachoongelewa ni tofaut
Hiz swaga za chama watu wasishi kuhusu huyu mwamba twangalie usajili wetu pamoja na huyu kocha mbona hawamtangazi
Natamani uwe CEO wa simba
🎉
Unataka awe mshabiki wa yanga.
Nakukubali Salehe ..wewe ndiye mwandishi bora wa michezo wa muda wote hapa Tanzania
Interview yote chama.mwandishi bwege
Hamna kitu hapo yeye ni shabiki wa simba😢😢
Shida ipo wapi akiwa simba
Wewe ndio hamnazo, Saleh Jembe huwa anaongea facts.......😂 Unaleta ushabiki ndezi
jembe huwa ni jembe kabisa