MURO: BOSS KAMALIZA SAJILI ZOTE 12 ZA SIMBA MSIMU 2024/25 | SIMBA MPYAA BALAA KWA WAPINZANI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 37

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 5 дней назад +4

    Jobe na Michael Kublan wanaweza kufanya maajabu msimu ujao.

  • @vitalisantony239
    @vitalisantony239 5 дней назад +3

    Waliokwishaondoka ni Mickson, Saido, Chama na Inonga

  • @WizkidMwkalundwa
    @WizkidMwkalundwa 4 дня назад

    Simba were the best all time

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 5 дней назад

    Kuna Augustine kutoka River United katangazwa mchana huu Muna lala sana

  • @LabaniNdama
    @LabaniNdama 4 дня назад

    Hatutakimatangazoyenu kwenyemabandoyetu

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 3 дня назад

    Kanut anastaili kubaki putin kama putin abaki

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos 5 дней назад

    Jobe. Babacar sar. fredy tumfikilie kwanz 🤣

  • @SaidMana-dp4et
    @SaidMana-dp4et 5 дней назад

    Ahmed ali tutajie majina ya wachezaji wa simba tuliowaacha mpaka sasa umetuacha njiapanda hatuelewi kitu hatujui nani kaachwa na nani kaingia tafadhari sana tupe majina kaka

  • @Zuberiluambano
    @Zuberiluambano День назад

    Jobe apewe abubakar apewe

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 5 дней назад

    Jobe,babakar sar

  • @onesphorymgedzi995
    @onesphorymgedzi995 5 дней назад

    Acheni viongozi wafanye kazi unakazana sijui nani aondoke, viongozi wanajua wanacho fanya

  • @isacksamuel5503
    @isacksamuel5503 2 дня назад

    Aziz ki in, babacar sarr out

  • @user-xj5vu6vl5j
    @user-xj5vu6vl5j 5 дней назад

    Jobe xx

  • @LufunzamachibyaNhumbi
    @LufunzamachibyaNhumbi 4 дня назад

    kramo abaki

  • @user-oe2ty7ds4g
    @user-oe2ty7ds4g 5 дней назад +1

    Pacome hajawa mvp

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 5 дней назад

    Aondoke jobe na babakasar. Kanuti Onana,Fred wabaki

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas6729 5 дней назад

    Babacar, Jobe, Onana hawa waondoke chap

    • @ezzepuritykamwene2121
      @ezzepuritykamwene2121 4 дня назад

      @@erasmusleonidas6729 onana ana kitu,, hawezi kukuangusha ndani ya mechi 3 bila goli

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 5 дней назад

    Natamani jobe aondoke

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 5 дней назад

    Kama Kuna mashine Kali zimekuja wapewe thank you

  • @kokolosaid7265
    @kokolosaid7265 5 дней назад

    Pa omari Jobe,Kramo,Babakari ,fredy Maiko na Onana ni lazima watoke na lasivyo Simba SC haitafanya lolote mssimu huu unaoanza hivi karibuni

    • @EmmaPallanjo
      @EmmaPallanjo 4 дня назад

      Upo sawa ila Kwa Kramo abaki ana kitu apewe muda

  • @kubuleabdul6032
    @kubuleabdul6032 5 дней назад +1

    Aondoke Jobe kanoute babaccar Sarr

    • @flova7022
      @flova7022 5 дней назад

      Keep kanoute hajapata watu Sahihi tu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 5 дней назад +1

      ​@@flova7022😂😂😂😂 sajilini vzr ndo la muhimu

    • @flova7022
      @flova7022 5 дней назад

      @@mwanangusana Simba hujawahi sajili vibaya..sema tunashindwa kulinda wachezaji. Jifunze Kwa kramo .

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 5 дней назад +1

      @@flova7022 Ina maana sawadogo, Jefferson, outarra Dejan, okwa na akina jobe ni wazuriii ila hawakulindwa ?? Then ayoub Lakred, Chama , tshabalala, Inonga na che Malone ni wazuri pia ila wao wamepewa ulinzi ?? Basi ongezen kampuni za ulinzi kk security na suma jkt kwaajili ya kuongeza ulinzii 🤣🤣🤣

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 5 дней назад +1

      @@flova7022 kramo kafanyaje ?? Ina maaana Doumbia , konkoni kule yanga walikosa ulinzi??