Ahmed ali tutajie majina ya wachezaji wa simba tuliowaacha mpaka sasa umetuacha njiapanda hatuelewi kitu hatujui nani kaachwa na nani kaingia tafadhari sana tupe majina kaka
@@flova7022 Ina maana sawadogo, Jefferson, outarra Dejan, okwa na akina jobe ni wazuriii ila hawakulindwa ?? Then ayoub Lakred, Chama , tshabalala, Inonga na che Malone ni wazuri pia ila wao wamepewa ulinzi ?? Basi ongezen kampuni za ulinzi kk security na suma jkt kwaajili ya kuongeza ulinzii 🤣🤣🤣
Jobe na Michael Kublan wanaweza kufanya maajabu msimu ujao.
Sina shaka na MICHAEL
Waliokwishaondoka ni Mickson, Saido, Chama na Inonga
Simba were the best all time
Kuna Augustine kutoka River United katangazwa mchana huu Muna lala sana
Hatutakimatangazoyenu kwenyemabandoyetu
Kanut anastaili kubaki putin kama putin abaki
Jobe. Babacar sar. fredy tumfikilie kwanz 🤣
Ahmed ali tutajie majina ya wachezaji wa simba tuliowaacha mpaka sasa umetuacha njiapanda hatuelewi kitu hatujui nani kaachwa na nani kaingia tafadhari sana tupe majina kaka
Jobe apewe abubakar apewe
Jobe,babakar sar
Acheni viongozi wafanye kazi unakazana sijui nani aondoke, viongozi wanajua wanacho fanya
Aziz ki in, babacar sarr out
Jobe xx
kramo abaki
Pacome hajawa mvp
Aondoke jobe na babakasar. Kanuti Onana,Fred wabaki
Wote hao waondoke
Babacar, Jobe, Onana hawa waondoke chap
@@erasmusleonidas6729 onana ana kitu,, hawezi kukuangusha ndani ya mechi 3 bila goli
Natamani jobe aondoke
Mungu wa ajab unaweza kukuta jobe akaja kukiwasha msim ujao
Bora abakiii
Ashasepa mda mbina
Kama Kuna mashine Kali zimekuja wapewe thank you
Pa omari Jobe,Kramo,Babakari ,fredy Maiko na Onana ni lazima watoke na lasivyo Simba SC haitafanya lolote mssimu huu unaoanza hivi karibuni
Upo sawa ila Kwa Kramo abaki ana kitu apewe muda
Aondoke Jobe kanoute babaccar Sarr
Keep kanoute hajapata watu Sahihi tu
@@flova7022😂😂😂😂 sajilini vzr ndo la muhimu
@@mwanangusana Simba hujawahi sajili vibaya..sema tunashindwa kulinda wachezaji. Jifunze Kwa kramo .
@@flova7022 Ina maana sawadogo, Jefferson, outarra Dejan, okwa na akina jobe ni wazuriii ila hawakulindwa ?? Then ayoub Lakred, Chama , tshabalala, Inonga na che Malone ni wazuri pia ila wao wamepewa ulinzi ?? Basi ongezen kampuni za ulinzi kk security na suma jkt kwaajili ya kuongeza ulinzii 🤣🤣🤣
@@flova7022 kramo kafanyaje ?? Ina maaana Doumbia , konkoni kule yanga walikosa ulinzi??