Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha. Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi.... walah kuna watu watakufa...
Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa
Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥
Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍
Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo
@@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana
Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉
Kabisa even 💚💚
I second you brother
Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚
In Shaa Allah utaenda kaka!
Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥
leo mimi wakwanza nipeni like zangu
Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen
Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi
MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga
Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤
Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿
Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉
Jamani njooni tuangalie bongo data
nimesubscribe
nimesubscribe..kazi nzuri
bongo data kazi nzuriiii
vizuri data za uhakika
noma sana
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
And
ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤
💚💚💚💛💛💛
Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa
Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.
Naikubali sana yanga
Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia
Yanga BINGWA
Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani
Hawa vitaloo watakula 5-0
Watakufa jumla home and away
7-1
Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii
Amina 🙏🙏
KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥
Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.
Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka
I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤
ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮
mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl
Hahah
Yanga ya moto 🔥🔥
I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha
Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza
Wewe ni KOLO WAHID
BACCA ANA DHARURA
KAUZWA WAPI??😢
Injinia uish miaka mia😊
Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢
Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl
Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha.
Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.
kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah
Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali
nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤🔥
😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei
Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉
Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉
Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione
Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha
Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂
Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa
LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee
Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂
Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life
Innshahrah
Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥
mungu ibariki yanga daim❤
Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis
Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.
Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu
😅😅😅kweli yanga ina sifa sana
huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥
Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.
Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote
Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛
Burundi tunaenda wote
Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game
Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢
Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊
Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa
Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana
Kama waipenda yanga weka like 👍
Naipenda sana yanga
Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli
mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho
Allah atufanyie wpc
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
naipenda sana yanga
🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko
Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze
Daima mbele nyuma mwiko
Dream team
Yanga yangu naipenda sana
Tumwombee chama akafanye vzr zaidi
Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢
WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........
Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅
we are going to be biggest club in Africa
Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.
🎉🎉🎉 finally yetu
Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛
Nipigieni makolo kumi tareh 8
my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi....
walah kuna watu watakufa...
aiseee yanga rahaaa sana
Ooogy Aziz key namba 10 chama namba 7 pakome namba 11 wanasimba msimu ujao mtakomaa aseeee duuuh
Mola atatusimamia na tutapata ushindi inshaallah
Yanga oyeeeeee
Mambo ni fire 🔥
Ni zaidi ya matokeo
Wananchiii🎉🎉🎉🎉
💚💚💛💛