KAULI YA ALLY KAMWE BAADA YA DROO YA CAFCL KUTOKA | AZIZ KI, CHAMA, PACOME WAANGUA KICHEKO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #AllyKamwe
  • СпортСпорт

Комментарии • 319

  • @user-zf1kh1ct5i
    @user-zf1kh1ct5i 20 дней назад +110

    Likes za chama,,, Wanayanga tushow love kwa likes za CLATOUS CHOTA CHAMA Like hapa

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 20 дней назад +2

      Aziz,chama pacome😅Pacome,chama, aziz❤🔥🔥🔥

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 20 дней назад +119

    Like za injinia tunaesabu hapa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aishafranco1055
    @aishafranco1055 20 дней назад +101

    Tunao tamani ligi ingeanza hata kesho tujuane kwa like 👍

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 20 дней назад

      Bora hata wewe unaiwzia kesho mm nataman yaani ligi ianze leo

    • @aishafranco1055
      @aishafranco1055 18 дней назад

      @@eliathomas8446 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @BakariShabani-nf4rz
    @BakariShabani-nf4rz 20 дней назад +8

    Like za pacome aziz k na chamaa yanga raha sana

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr 20 дней назад +42

    Team yetu ikiwa Avic Town huwa najawa na faraja sana kuliko kwenda nje ya nchi kufanya maandalizi🎉🎉🎉

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 20 дней назад +46

    Yanii😢natamani ningekuwa namm Tanzania niende namm burundi nikaishangilie tim yangu jamani 💚💛💛💚

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 20 дней назад +1

      In Shaa Allah utaenda kaka!

    • @RACHELATHANASIDAUDI
      @RACHELATHANASIDAUDI 19 дней назад

      Hakuna umbali siku hizi Kila kitu kiganjani mwako,💚💚💚💛💛🔥🔥🔥

  • @TausiKitundu
    @TausiKitundu 20 дней назад +63

    leo mimi wakwanza nipeni like zangu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 20 дней назад +12

    Mungu ibariki Yanga yetu Mungu wabariki wachezaji wote Amen

  • @AberyMathias
    @AberyMathias 20 дней назад +16

    Like zs azz kii mwamba gonga hap mwananchi

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 20 дней назад +12

    MUNGU ni mwema hongera Sana nime furahi kuwaona pamoja kazi njema kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote barikiwa Sana Yanga

  • @user-vq5vn4gi9t
    @user-vq5vn4gi9t 20 дней назад +32

    Mm mwenyewe kama mwana yanga naomba siku zote team yoyote duniani isidharauliwe, tutakuwa Burundi ❤❤

  • @AfidhaAlfan
    @AfidhaAlfan 20 дней назад +17

    Ilove Azizi ki Ilove pacome Ilove chama Ilove young African

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 20 дней назад +6

    Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @lwzmangulu7532
    @lwzmangulu7532 20 дней назад +11

    Naipenda Sana yanga yangu 💚💚💚🙏🔥🇹🇿

  • @frankfulgence
    @frankfulgence 20 дней назад +25

    Yanga ni timu kibwa so tutegemeee mazuli 🎉🎉

  • @bongodata
    @bongodata 20 дней назад +22

    Jamani njooni tuangalie bongo data

  • @johnjames-pw1dp
    @johnjames-pw1dp 20 дней назад +16

    Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆

  • @MasudiUledi
    @MasudiUledi 20 дней назад +15

    ynga tamu sn❤❤❤❤❤❤❤

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 20 дней назад +15

    Ni kuwapelekea moto tuuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ZarafiAlly
    @ZarafiAlly 20 дней назад +5

    Wanaotaman jezi zitoke ata leo tujuane kwa like 👍 hapa

  • @nickolassimion
    @nickolassimion 20 дней назад +6

    Kuna wamasai wajuta kushabikia Simba. Ilikuwa usiku wa Giza. Wasema. Like kwa masai mwelewa.

  • @user-qn8mh2el2d
    @user-qn8mh2el2d 20 дней назад +19

    Naikubali sana yanga

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 дней назад +10

    Hongera 🎉🎉🎉🎉🎉injinia

  • @paulhenry6253
    @paulhenry6253 20 дней назад +15

    Yanga BINGWA

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey7105 20 дней назад +19

    Hawa VITAL O Tutawapiga Bao 10-0 kwa kikosi hiki cha Gamondi 😅 Hakuna cha msamaha kila mechi ni Vita tu uwanjani Uwanjani

  • @husseinabdallahmkupulo1784
    @husseinabdallahmkupulo1784 20 дней назад +12

    Mungu atasimama na ss mpaka final safar hii

  • @Pox_media
    @Pox_media 20 дней назад +11

    KWA LIKOSI HILI LAZIMA YOUNG AFRICANS SC ITIMIZE MALENGO YAKEE MZEEE 🔥🔥🔥

  • @comfortkitiwi2879
    @comfortkitiwi2879 20 дней назад +7

    Naomba matawi ya Mikoani tujuzane center ya kupanga safari ili tuhudhurie.

  • @godfreysimoni4270
    @godfreysimoni4270 20 дней назад +8

    Tunaimani na timu yetu hakika makundi tunayataka

  • @EliamgendaMasunga
    @EliamgendaMasunga 19 дней назад

    I love you mdasili pakome Ki na yanga yote hakika ninyi mnaikoga mioyo yetu mungu atujaalie mafanikio tere❤❤❤❤

  • @dannymkogoti961
    @dannymkogoti961 20 дней назад

    ACP aziz chama pacome mbona wahalifu wite watapiga salute 👮

  • @sabiyozeissa689
    @sabiyozeissa689 20 дней назад +6

    mm nimurund nayipend san yang uzalend wakuitwa murund naon utanishind kwakwl

  • @rajabukamis9411
    @rajabukamis9411 20 дней назад +1

    Yanga ya moto 🔥🔥

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 19 дней назад

    I love all member's of young Africans asanteni sana, wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @samychomakantastymela7175
    @samychomakantastymela7175 20 дней назад +4

    Burundi tuanze mapema maandalizi ya safari watu tutumie hizi siku kujichanga kifedha

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 20 дней назад +3

    Yanga mna maajabu sana kwa kweli mnabiresha safu ya ushambuliaji huku mabeki wa kukaa na diara mnategemea mwamnyeto bacca ni kama mmeshamuuza

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 20 дней назад

      Wewe ni KOLO WAHID
      BACCA ANA DHARURA
      KAUZWA WAPI??😢

  • @MosesWilliam-oh8tt
    @MosesWilliam-oh8tt 20 дней назад +7

    Injinia uish miaka mia😊

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 20 дней назад +4

    Aucho Bacca Musonda Mkude likizo yao inaisha lini 😢

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z 20 дней назад

    Mungu ibarikie yanga ushindi hadi fainal cfccl

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 20 дней назад +1

    Jamani viongozi wa yanga,naomba msimu huu kusiwe na mechi za bure,haiwezekani ukawaone pacome,Aziz,chama,max,aucho dube, bure. Tunajua viongozi mnatupenda Sana mashabiki na sisi tunawapenda,lakini timu inatakuwa iwe na mzigo wa kutosha.
    Pia wanachama inatakiwa tulipe Ada zetu,kwa wale ambao si wanachama nao wajisajili ili wawe wanachama,na timu itapata hela itakayo saidia kwenye uendeshaji wa timu.

  • @user-if2yf3gp6k
    @user-if2yf3gp6k 20 дней назад +5

    kamer man mbn mud wot kamer kwacham2 kwawachezaj wengin aaaaaah

  • @Shebe_traLove
    @Shebe_traLove 20 дней назад

    Naam nina imani natimu yangu pendwa inshallah allah tuta fika mbali

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668 20 дней назад +2

    nani nishare naye izi raha dadeki 😁😁😁💛💚💚❤‍🔥

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 20 дней назад +3

    😂😂😂jmn Simba aina staa ata mmoja wanazidiwa na Azam Ako fei

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 20 дней назад +3

    Aziiz pacome chama🎉🎉🎉🎉

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq 20 дней назад +2

    Sawa semaji letu pendwa 🎉🎉🎉🎉

  • @AzoryIgnas
    @AzoryIgnas 20 дней назад +1

    Kwa kikosi hiki Azz ki pacome na chama ata Mimi nikiwa kocha naipatia matokeo... engineering gamondi akiondoka jicho lako linione

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 20 дней назад +8

    Yajayo yanafurahisha 😂😂😂😂 mafund wanapiga story wakiwa na furaha

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 20 дней назад

      Ogopa sana kambi ikiwa na furaha kama hivi 😂

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 20 дней назад +2

    Nyie mabwege hatuingizi team kama kufungiwa poa

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo 20 дней назад

    LIKE ZA ABUYA hapaaaaaa... speed Chita, huku Chadrack kazi wanayooooo mamaeeeee

  • @GodfreyHenryDaimon-yo6ix
    @GodfreyHenryDaimon-yo6ix 20 дней назад +3

    Natabasamu2 na vichozi vya furaha😂😂

  • @AllanAluma-ss8lb
    @AllanAluma-ss8lb 20 дней назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko! Yanga for life

  • @priscairene4605
    @priscairene4605 20 дней назад +2

    Innshahrah

  • @JadonKuyokwa-oe7mp
    @JadonKuyokwa-oe7mp 20 дней назад +1

    Wow! Niwakati wa ushindi 🔥🔥🔥🔥

  • @BangutuErick
    @BangutuErick 16 дней назад

    mungu ibariki yanga daim❤

  • @massatujeli3158
    @massatujeli3158 20 дней назад +2

    Naomba kujua yuko wapi daktari wa timu yule mtunis

    • @contempo_builders
      @contempo_builders 20 дней назад

      Gamondi hakumhitaji tena. So hakuongezewa mkataba mwingine.

  • @OkimasterO
    @OkimasterO 20 дней назад +2

    Burundi 🇧🇮 hakuna team nyingine tunajuwa young africans tu

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 20 дней назад +3

    😅😅😅kweli yanga ina sifa sana

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu 20 дней назад +2

    huko huko Burundi wata jua Hawa jui🔥🔥🔥

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 20 дней назад

    Allah atujaalie tufike mbali ikiwezekana tufike paka final nakubeba kombe Insha Allah na iwe kher Aamin.

  • @abdulzanzibar7154
    @abdulzanzibar7154 20 дней назад

    Likes kwenda kwa uwongozi Bora na himara🎉

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 20 дней назад +1

    Yanga oyeeeeeeee raha kama zote

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 20 дней назад +1

    Haya mapicha yanatisha wapinzani💚💛💛💚💛

  • @MRJ1308
    @MRJ1308 20 дней назад +2

    Burundi tunaenda wote

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 20 дней назад

    Kikubwa sana kuliko wachezaji wawe na chemistry nzuri uwanjani na coordination safi wakati wote ndani na nje ya uwanja hakika we as wananchi we wanna win every game

  • @dkasfilmstudio4641
    @dkasfilmstudio4641 20 дней назад +1

    Yanga timu yangu Vitalo timu yangu daaah 😢

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman 20 дней назад +2

    Kumbe naweza kunenepa sasa walau kimbaumbau mm😊😊😊

  • @LilyKoba-wx2pj
    @LilyKoba-wx2pj 20 дней назад

    Daaaa nimeskiliza kwa makini sana yani maneno mazuri mfano wa injili naipenda daa yanga mwaaaaaa

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 20 дней назад

    Hapo namkubali mudatiri, mzize na jamaa mmoja wa hatari prince dube fanyeni kazi vijana wetu wa Tanzania sisi tunawapenda sana

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn 19 дней назад

    Kama waipenda yanga weka like 👍

  • @rehemaothaman486
    @rehemaothaman486 19 дней назад

    Naipenda sana yanga

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m 20 дней назад +2

    Why mnahanzia hatua za awali mabingwa jamani pole kumbe nyuma mwiko kweli

  • @NaftalyNgeze
    @NaftalyNgeze 19 дней назад

    mungu nimwanifu yanga 💪🙏💯

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq 20 дней назад +1

    mtashobya josia nikiwa Kenya isibania tunakupata kwauzuri kamada wetu tuko pamoja mpaka mwisho

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x 19 дней назад

    Allah atufanyie wpc

  • @claratango9262
    @claratango9262 20 дней назад

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @FaridaMhagama-fc1kr
    @FaridaMhagama-fc1kr 20 дней назад +1

    naipenda sana yanga

  • @BraytnessYese-j7h
    @BraytnessYese-j7h 20 дней назад

    🎉🎉🎉 daima mbele nyumaa mwiko

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu 20 дней назад +2

    Ntaaibika sana ngojeni ligi ianze

  • @kanyeshahigirimana5686
    @kanyeshahigirimana5686 20 дней назад +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @AziziKimbeJeradyJR
    @AziziKimbeJeradyJR 20 дней назад +3

    Dream team

  • @johanesahmed5876
    @johanesahmed5876 20 дней назад

    Yanga yangu naipenda sana

  • @DamaIbra-gk4lr
    @DamaIbra-gk4lr 19 дней назад

    Tumwombee chama akafanye vzr zaidi

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 20 дней назад

    Waooo chama langu pendwa ✅✅🔰🟢

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 20 дней назад +2

    WACHEZAJI wajitume wajitoleee...... Mara hii TUSISIME MPAKA NUSU FAINALI AU FAINALI...........

  • @jamaldeenmakenga
    @jamaldeenmakenga 20 дней назад

    Yaaniiii, leo nampa like kila mtu 😅

  • @NasriAshel
    @NasriAshel 20 дней назад +1

    we are going to be biggest club in Africa

  • @MauBonde
    @MauBonde 20 дней назад +2

    Muhimu wachezaji wote kujituma kupigania nembo yetu ya yanga kila kheri kwa wachezaji wote.

  • @Fabianfideltz
    @Fabianfideltz 20 дней назад +2

    🎉🎉🎉 finally yetu

  • @ObeidPaul
    @ObeidPaul 20 дней назад

    Wanashow love Aziz zizou na treple v💚💚💚💛💛💛

  • @KennedyJohn-p1i
    @KennedyJohn-p1i 20 дней назад

    Nipigieni makolo kumi tareh 8

  • @patrickmallya4516
    @patrickmallya4516 20 дней назад

    my wish: siku moja aziz awe kwenye position ya kufunga kabisa alafu afanye kama anapiga bonge la shuti kumbe anampa dube pasi na dube aingize goli, alooh kwa kasi ya aziz akitishia kama namuona kipa upande wa pili wa goli na dube anafunga kirahiiiiiiiisi....
    walah kuna watu watakufa...

  • @law93king
    @law93king 20 дней назад

    aiseee yanga rahaaa sana

  • @MourinhoKey
    @MourinhoKey 19 дней назад

    Ooogy Aziz key namba 10 chama namba 7 pakome namba 11 wanasimba msimu ujao mtakomaa aseeee duuuh

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq 20 дней назад

    Mola atatusimamia na tutapata ushindi inshaallah

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 20 дней назад +4

    Yanga oyeeeeee

  • @saidifaraji9743
    @saidifaraji9743 20 дней назад

    Mambo ni fire 🔥

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA 20 дней назад +4

    Ni zaidi ya matokeo

  • @AbdallahMussa-zl3wx
    @AbdallahMussa-zl3wx 20 дней назад +4

    Wananchiii🎉🎉🎉🎉

  • @lelasule2608
    @lelasule2608 20 дней назад +2

    💚💚💛💛