#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • • #live SEMAJI AHMED ALL...

Комментарии • 12

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 21 день назад +5

    Ahsante Viongozi wetu Kwa kumbakiza Aubin Cramo

  • @mohamediraphaeli4343
    @mohamediraphaeli4343 21 день назад +4

    Mungu ibariki simba ijayo maana wewe ndio uwezae

  • @AnastaziaCharles-cz2yv
    @AnastaziaCharles-cz2yv 21 день назад +3

    Asante Mo kumbakiza kramo

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 21 день назад +2

    Tanzania haijawahi kufanya usajili bora kama wa simba safari hii..
    Wafalme wapya wa soka la Tanzania wanakuja soon..
    Haya majina tuliyoyazoea yanaenda kupotea muda si simrefu..
    Time will tell

  • @ShaibuMlowe
    @ShaibuMlowe 21 день назад +1

    Mungu ibaliki simba yet mashabiki tupopamoja nanyie

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 21 день назад +2

    Baado senk you ya Onana hatutaki wachezaji wavivu hapo hamna kuvaa hereni tunata mishababi ya uwezo wa kupambania tim

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s 21 день назад +6

    Kanout aondoke anapenda yellow card sana na faulo za kijinga

  • @MlekwaMlekwa-d1k
    @MlekwaMlekwa-d1k 21 день назад +2

    Jiweken vzur wachezaji watu tarehe 8 tukutane nao hao utopolo tuwakande

  • @sudisilako5468
    @sudisilako5468 21 день назад +2

    semaji la caf

  • @user-dw7tl1wf5i
    @user-dw7tl1wf5i 21 день назад +2

    😅😢😅😮😅😅 0:25 0:25 😮 0:27

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 19 дней назад

    Nashkuru Kwa Aubin kraamo kuwepo

  • @user-zo4mo7tl4i
    @user-zo4mo7tl4i 21 день назад +1

    Moja ya makosa makubwa tuliyoyafanya ni kumuacha kanoute