Ahmed Ally wa Simba atoa tafsiri ya 'ubaya ubwela'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024
  • “Ubwela mwingine ni bwana Crescentius Magori” maneno ya Meneja wa Habari na Mwasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akielezea tafsiri ya maneno ‘ubaya ubwela’ ambayo amekuwa akiyasema.
    Ahmed ametoa tafsiri hiyo leo alipokuwa kwenye mahojiano maalumu kwenye kipindi cha #SportsAM akiwa ameambatana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Crescentius Magori.
    #UbayaUbwela #Ubwela #SimbaSC

Комментарии • 8