OFA YA SIMBA KWA MCHEZAJI ELIE MPANZU YATHIBITISHWA NA MUANDISHI HUYU KUTOKA CONGO/MSHAHARA MNONO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • Simba Pro tumefanya mahojiano na muandishi kutoka nchini Congo na kutueleza kwa kina kuhusu dili la Elie Mpanzu kutua katika kikosi cha simba imekaaje
    Muandishi huyo pia ametupitisha katika Ofa ambazo amezipokea mchezaji na klabu yake ya AS Vita Club huku akisema pia kuhusu ofa ya dola 120,000 Kutoka Simba na mshahara wa dola 7000
    Kama unataka kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 ili tuweze kukuunga
  • СпортСпорт

Комментарии • 22

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 21 день назад +6

    Kama Elie Mpanzu ni mchezaji mzuri na muhimu Kwa Simba. Tuongeze dau tumchukue. Mchezaji mzuri ni expensive. Simba lazima tusajili wachezaji ghali kwasababu ndio wachezaji bora

    • @PROPHETPCANTENA
      @PROPHETPCANTENA 21 день назад

      @@jonamnyone8014 nikwel kabisa, maana tukitaka kushinda Vita kwa wepesi Basi NIVEMA KUPIMA SIRAHA ZA ADUI ZETU , Zen tunaenda juu yao

  • @PROPHETPCANTENA
    @PROPHETPCANTENA 21 день назад +3

    Simba Jaman TUNAOMBA SAANA TUMPATE MPANZU Hapo Wapinzan nawaje tuu

  • @MilyaLemanda-lr2vu
    @MilyaLemanda-lr2vu 21 день назад +2

    Jaman huyuu ni muhimu sanaaa

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 21 день назад +1

    Elia mpanzu ni mchezaji mzuri viongozi tia mpunga mchezaji aje kutusaidia simba nguvu moja

  • @user-nj9vx7bi8e
    @user-nj9vx7bi8e 20 дней назад

    Mpanzu ni mhimu kwetu Mwenyezi MUNGU awafanyie wepesi viongozi mmsajili.

  • @mwinyiabubakarmwinyikheir8691
    @mwinyiabubakarmwinyikheir8691 18 дней назад

    Elie MPANZU ametuliza fujo na vurugu zote zilizokuwepo Simba, amefunika amekuwa kipenzi cha wanasimba kabla hata hanaja Simba,
    Viongozi kazi kwenu,

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 21 день назад +1

    Huyo dio mshambuliaji wakuisaidi simba toenihella mumuletehuyo yatakuwa yaleyale ya mazoki😂😂😂

  • @fedinandnjeleka4102
    @fedinandnjeleka4102 19 дней назад +1

    Tray asingeweza wababaishaji tu hawa walishindwa kwa k wataweza kwa mkongo?

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 19 дней назад

    Shida ya tray agin nimbabaishaji hana ushawishi anapenda kubagain sana mwisho wasiku tunawakosa wachezaji wazuri wakuongeza nguvu ili timu iwe tishio

  • @MAJIDMNONGANE
    @MAJIDMNONGANE 21 день назад +1

    Inshallah. Mungu atafungua njia Amin.

  • @saidmfaume1282
    @saidmfaume1282 21 день назад +2

    Akikosekana Mpanzu apatikane mchezaji mwingine mkubwa na hatari, timu imesajili lakini inaonekana nyepesi sana.

    • @PROPHETPCANTENA
      @PROPHETPCANTENA 21 день назад

      @@saidmfaume1282 💯 collect, na sjui Kama wanaliona hilo

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l 16 дней назад

    Muachen asitumiize vichwa

  • @AllyChilunda
    @AllyChilunda 20 дней назад

    Tutamshushatu iyo

  • @mlungumasaba1786
    @mlungumasaba1786 21 день назад

    Wakishindwa kwa mpanzu yanga nampaubingwa

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 21 день назад

    simba nguvu moja 😊😅

  • @GermanaangeloMkemangwa
    @GermanaangeloMkemangwa 21 день назад

    Kila wachezaji wazur hawaji

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 19 дней назад

    Magori malizeni hilo dili

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 19 дней назад

    SASA KM WAMEMRUHUSU ELIA MPANZU KWANN VIONGOZI WASIENDE WAKAMCHUKUE?SIMBA MSILETE UTANI KWENYE USAJILI

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 21 день назад

    Pombe kubwa