SPIKA NDUGAI AMFUKUZA MBUNGE WA CHADEMA, AGOMA, ASKARI WABUNGE WAMTOA KWA NGUVU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 818

  • @kingmroboto4984
    @kingmroboto4984 4 года назад +221

    Kama nawe hujapendezwa na alicho kifanya Spika usiogipe pita na like yako hapa coz sio haki kilicho fanyika

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 4 года назад +7

      Tumependezwaaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!

    • @yirgayemyirgah7820
      @yirgayemyirgah7820 4 года назад +4

      Daaaah nlkua sijaangalia mpka mwisho kiukweli ndugai kazngua asee yn upendeleo wa wazi kabisa

    • @csato9415
      @csato9415 4 года назад +2

      @@yirgayemyirgah7820 Hicho ndicho kinachafanyika mara kwa mara kwa kuwapa nafasi ya kusikika zaidi wabunge wa CCM, kuliko wa upinziani hasa CDM ambao ndio hofu ya kuu. Huu ni upendeleo wa wazi.

    • @khatibabdi
      @khatibabdi 4 года назад +1

      kwa hili spika amekosea

    • @gwakisaphilipo7000
      @gwakisaphilipo7000 4 года назад +1

      King Mroboto tunako end a kila mtu atamiliki wakizingua pa kichwani

  • @zrazanzibarrespectiveacade9056
    @zrazanzibarrespectiveacade9056 4 года назад +14

    Dah hyi cio hki na kma unakubali cio hki bc gonga like

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole8764 4 года назад +26

    Yan ndugai kamwacha mbunge wa ccm aliekuwa anamzalilisha mwenzie kamtoa anaezalilishwa bila kosa Kwakuwa ni mbunge wa chadema!? kwel hii sio sawa chadema wanaonewa sana ndan ya bunge

  • @edibilisalum3292
    @edibilisalum3292 4 года назад +18

    Ndugai ndugai
    Tambua yapomaisha nje ya bunge
    Muogope mungu

    • @gilbertvicent4229
      @gilbertvicent4229 4 года назад

      Aache kuogopa kupoteza kiti chake na hela amuogope Mungu?
      Hawa watu Mungu ndiye atakaewaweza kwa kuchezea kodi zetu na kutumia madaraka yao vibaya...
      Spika ubabe wako Mungu muogope sana

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 4 года назад +1

      @@gilbertvicent4229 kiongozi wenu anaalalisha mashoga lisu je aogopi mungu

    • @MikereMio
      @MikereMio 4 года назад

      Buckle up and enjoy your ride.

    • @ntindatv815
      @ntindatv815 4 года назад

      hakika

    • @allyabdallah446
      @allyabdallah446 4 года назад

      Iman ya chama nikubwa kulikon Iman ya dini yake? Je huyu Ana Iman ya dini kweli, jee a Akiongozi wa dini, jee Imani yake na dini yake anaamin kwamba ataulizwe cheo chake aliwatendea haki wote?

  • @anthonymosha1992
    @anthonymosha1992 4 года назад

    Hkuna spika haliye endesha bunge la Tanzania hvo kwanzia nchi hhi ipate uhuru kama spika ndugai hakika broo ipo sku utalipwa na kila goti litapigwa Mungu akusaidie sana uko juu y sheria umevunja katiba dhaaa yajayo ynafurahisha pipzzzzzzz power

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul9409 4 года назад

    Pole sana,Dada uliyetolewa nje,mwite Yesu,aingie ndani yako,akupe nguvu,malipizi ni hapa hapa duniani.Usiweke kinyongo kwa mtu ye yote maana Mungu atashindwa kufanya kazi yake.Mpende huyo Dada,wala usimchukie.wala kumuwazia mawazo mabaya.Amini tu,Yupo mkuu kuliko yeye.

  • @ditrammwanaharakatimike1492
    @ditrammwanaharakatimike1492 4 года назад +20

    Huyu ndo ndugai masta HAPA KAZI TU

  • @lucyjoseph5178
    @lucyjoseph5178 3 года назад

    Kushughulikiwa bila ridhaaa hahahahaha oyooooo

  • @khamisnassor5833
    @khamisnassor5833 4 года назад +13

    Duhh kweli professor mussa asaad aliliona hili bunge kuna jina alilisema kumbe kweli ndio maana wakapitisha sheria ya kuwakinga spika ndio tanzania tunayoitaka tutaelewana tu

    • @kumulwa
      @kumulwa 4 года назад

      Kweli nithaifu kabisaa

    • @hapatv2991
      @hapatv2991 4 года назад

      Nidha inahitajika unamungilia je m2 hajamaliza punda nyie msio nauelewa

  • @onesmopaulmwacha566
    @onesmopaulmwacha566 4 года назад +21

    Hakuna anayewaweza mmeshika makali ..lakini Mungu anawaweza .Ee Mwenyezi Mungu tuepushe na udhalimu .tutee mwenyewe

    • @twaibumikidadi7377
      @twaibumikidadi7377 4 года назад

      mtafaulu tu gawa wa ccm ni kama rimoti tu
      wanapelekwa pelekwa hawa hakuna sıasa ccm amin uciamin
      ila hutumıa mguvu zao za kıdoşaaaaaaa

    • @nehemiahparadox8488
      @nehemiahparadox8488 4 года назад

      Kwakweli

    • @fredrickmartin995
      @fredrickmartin995 3 года назад

      Aliyewapa kiburi kasepa bado zamu yenu

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 4 года назад +46

    Hapo sipika hajatenda haki kabisa 😭

    • @erickrichard4292
      @erickrichard4292 4 года назад +4

      Spika hajatenda haki tena amempendelea huyo mama anaeongea visivyonamaana

    • @mohamedkashindi7689
      @mohamedkashindi7689 4 года назад +2

      Yaani wapinzani wanaonewa kiwaziwazi bila huruma hinauma sana

    • @evansm8802
      @evansm8802 4 года назад

      This speaker is partisan.

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 года назад

      Uonevu mkubwa sana

    • @zuberikamote2078
      @zuberikamote2078 4 года назад

      @@erickrichard4292 katenda haki we hela yko unaipata kwajasho lko halafu uwwkeze kwenye chama wkt chama kinatakiwa kikulipe ww

  • @dedanmwasongwe1675
    @dedanmwasongwe1675 4 года назад +12

    Spika unaalibu bunge kwa kushabikia mambo yakipumbavu kabisa, wakisema bunge ni dhaifu unachukia

    • @allychacha2698
      @allychacha2698 4 года назад

      Kiukweli.sio.sio.kiongozi.hupaswi.kua.hivyo.hata.kama.nisiasa

    • @ashamwamba9088
      @ashamwamba9088 4 года назад

      Ijamaaniiiii.utopoloooi

  • @gredatv554
    @gredatv554 4 года назад +21

    Nimekuwa wa kwanza kukoment naombeni like jamani

    • @frankkataraiha607
      @frankkataraiha607 4 года назад

      hv like zna msaada gan au kwann huwa mnaomba likes leo nimeona bora niulize sina maana mbaya kama hutojal nifahamishe

  • @khaalidcheo5383
    @khaalidcheo5383 4 года назад +13

    Dh! ...R.I.P....CHADEMA...masikini ndio basi tena..tunaenda kukizika jumla hooooh.......😭😭😭😭😭😭😭

    • @danielekisinza537
      @danielekisinza537 4 года назад +4

      Hahahahaaha

    • @perfecttz2690
      @perfecttz2690 4 года назад

      We mkundu kwl

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 4 года назад

      sasa kwa hoja gani apo ndugu yangu spika anaonekana kabisa nimpendeleo ndugai mungu anamuona

    • @msemwaasha6244
      @msemwaasha6244 4 года назад

      Na ndo walichokua wanataka wabaki wenyeny wapige mabenj kwakukubaliana na ujinga

  • @ELIAMbise-sy5ue
    @ELIAMbise-sy5ue 6 месяцев назад

    Ivi uyo jamaa apo jirani na uyo Jacklin kavaa kibarakashee Huwa ninani make ananyodo balaa,, nakumbuka sikumoja anamchamba Mbunge wa nkaskaskazini. Iyo bench wanakaza wenyesifa za like inaonekana 😊

  • @tumabhay8576
    @tumabhay8576 4 года назад

    Very good mh spika. Tunaanagalia mwengine anoitaka kuelekea huko huko.. Hahahahaaa hahaaaaaa nimeipenda iyo.

  • @emanuelsarakikya9398
    @emanuelsarakikya9398 4 года назад +9

    Bunge la Mzee wetu Sita lilikuwa Bunge. Mama Makinda naye Alifanya Kazi iliyotukuka. Ila ili sasa Mungu ndiye anajua.

  • @SaikoMsongo
    @SaikoMsongo 4 года назад +28

    Mm sina chama Ila nashangaa kwann wanamzalilisha huyu dada

    • @bongotvonline4883
      @bongotvonline4883 4 года назад +2

      Nawakumbusha tu waheshimiwa wabunge na kiti chao kuwa sisi raia sio wajinga, tuna akili za kutosha sana.... tunajua ipi haki ipi si haki. Kumbukumbu hizi zimehifadhiwa hapa ili watoto na vijana wa kesho wajionee wenyewe, siku moja haki itashika hatam. InshaAllah....!

    • @fortunatuskapinga5250
      @fortunatuskapinga5250 3 года назад

      Hakuna haliyekzalilosha bali yeye mwenyewe
      Mbunge mwenzie kaelezea kilochotokea sasa sioni huzalilishaji

  • @profgeofreysevelinenyalale9454
    @profgeofreysevelinenyalale9454 4 года назад +1

    Ndugai hufai kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi maana uongozi ni busara wewe umekosa hata hekima ya kuiga kwa walio kutangulia.kuna siku utasimama kujibu kwa Mungu

  • @msafirimwenyemvua6997
    @msafirimwenyemvua6997 4 года назад +18

    Tanzania kweli hakuna bunge tena! Kwa sasa bunge limegeuka kikundi cha taarab na mipasho tu

    • @yohanaobeth1558
      @yohanaobeth1558 4 года назад

      MUNGU lirehemu Bunge la Tanzania, kwa kutoka nje ya jukumu lake la msingi, wasamehe viongozi wetu na uwape hekima katika kuchagua cha kuongea, namna ya kuongea na kufanya maamuzi. MUNGU unayerehemu na kuwapa Viongozi hekima tunakusihi usiwache viongozi wetu bila kunena nao.

    • @MikereMio
      @MikereMio 4 года назад

      Aaah ! wewe ccm songa mbele . You get love it

    • @justinagabriel3176
      @justinagabriel3176 3 года назад

      🤣🤣

  • @momocadabra8611
    @momocadabra8611 4 года назад +5

    Job Ndugai uwo ni uzalilishaji na sio haki

    • @rosekweka2044
      @rosekweka2044 4 года назад

      Spika hajatenda haki yy angewasikiliza mpk mwisho angejua ukweli wa Mambo?

  • @charzwilson9494
    @charzwilson9494 4 года назад

    Mr to ndugai no sio sawa unacho kufanya uchunguzi wa udhalilishaji unafanyika na vyombo vihusika bunge nimahara pa kwelekeza nakushauri unapo ruhusu majina ya watu yanatajwakua ulifanyiwa ukatiri wakijinsia bira kuwashauri waende policy na mahakamani unjishusha kwa kushabikia siasa unayobitaka my broooo unafel Sana bunge unalo liongoza nila kupashana pole umefel kaka

  • @ibrahimmasanja9097
    @ibrahimmasanja9097 4 года назад

    Ndo maana kesi za mitandaoni haziishi hapa huwezi shindwa kumwaga tusi Kali kwa spika ingawa mwenyewe ni namfagiliaga magufuri daaaah spk

  • @mohammedshaaban9509
    @mohammedshaaban9509 4 года назад +16

    Daaah,huu ni udhalilishaji kabisa huyo ni mama wa mtu au dada wa mtu au pia ni binti wa mtu kwa kitendo hiki hajatendewa haki

    • @MikereMio
      @MikereMio 4 года назад

      Wacha ukweli usemwe tuu

    • @benjaminmtambo4868
      @benjaminmtambo4868 4 года назад

      Haya mi cina La kusema ila tutakutana mbingun duniani tunapita

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 3 года назад

    Et mucinigie kelele yn watu wazma anawambia wackpgie kelele R.I.P Ndugai 🤔🤔🤔 Tanzani yetu haina hamn jmn mpaka hawa watu mungu tuondolee washenzi

  • @subirapaul8127
    @subirapaul8127 4 года назад +17

    Hizi kumbukumbuku za unfair ipo siku zitakumbukwa jamani msichee utu namna hyo mambo yanabadilika one day yesi imenikera kwa hili ase

  • @wirfredrukoo7830
    @wirfredrukoo7830 3 года назад

    Ukweri ni gharama acheni mama afunguke ili watu wajue yaliyo sirini ndani ya vyama vya siasa na amezungumza pia kama mzazi kikubwa sio kuzalilisha je? Ni kweli anayo sema sio kuchangia kwa mihemuko ya kisiasa au upendeleo spika uko vizuri sana songa mbele

  • @jerikorojas4317
    @jerikorojas4317 4 года назад +13

    Bunge la Bajeti Wabunge wanajadili Majungu!
    Aibu kubwa kwa Taifa la Tz

    • @erickrichard4292
      @erickrichard4292 4 года назад

      Mwenyew najiuliza mbona kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili wala sio hayo

    • @jojolee382
      @jojolee382 4 года назад

      Nawewe c ugombee ukajadili hiyo bajeti..! Mfeeeeeew..!!!

  • @dullymsafi9030
    @dullymsafi9030 4 года назад

    Aiseeee bunge la sasaiv. Ukija kulisikiliza unachoambulia n mauzi mbona chadema mnakifanyia hvyo jaman da! Mungu anawaona

  • @abubakarzamir6276
    @abubakarzamir6276 4 года назад +16

    Duh kweli nchi ya democracy mtu anadhalilishwa anataka kujitetea anatolewa

    • @johnmitti3201
      @johnmitti3201 4 года назад +3

      Huo ni upuuzi haki iko wap hapo si mseme 2 kuwa hamtaki vyama vingi kaeni mkjua mtavuna mnachokipanda

    • @erickrichard4292
      @erickrichard4292 4 года назад +3

      There is no democracy there

    • @erickrichard4292
      @erickrichard4292 4 года назад +2

      @@johnmitti3201 yeah, kweli kabisa bora waseme hamna vyama vingi kuliko haya yanayoendelea

    • @rajabhamis4384
      @rajabhamis4384 4 года назад

      @@erickrichard4292 there there mbona zimeongozana hivyo. 🙄

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 4 года назад

      @@johnmitti3201 mbona mama yako ataki baba yako aongeze mke

  • @sophiamosoi4369
    @sophiamosoi4369 4 года назад

    Ndungai ajafanya vizuri kabisa uzalilishaji wa hali ya juu anatumia madaraka vibaya

  • @dubledublecepte8680
    @dubledublecepte8680 4 года назад

    Duniani hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama utawala wa mfalme Nebukadreza lakini ulianguka 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @gibsoncharles9555
    @gibsoncharles9555 4 года назад +17

    Ongelea chama chako na katiba yako kila chama na katiba yake maana vyama vya upinzani ni vichanga unafikiri vingejiendeshaje???
    Mnatumika vibaya sana

    • @nemecymsanya3191
      @nemecymsanya3191 4 года назад +1

      Umeongea point ndugu yangu ingawa hatufamiani aisee

    • @youngloyclassic3173
      @youngloyclassic3173 4 года назад

      Wanaongea pumba hawajui kuongoza chama

    • @gilbertvicent4229
      @gilbertvicent4229 4 года назад +1

      Umetoa mawazo ya kisomi japo sikufaham lkn nyie ndio wananchi mnaoweza kuishaur serkali na kuivusha katika suala zima la maendeleo

    • @anuaryally6177
      @anuaryally6177 4 года назад

      Mbona chauma akidai kodi na kichanga pia au tlp wacha ukada katika maendeleo fala wewe

    • @kazembally6032
      @kazembally6032 4 года назад +1

      watanzania wenzangu kwa mawazo yangu kwa spika uyu akuna maana ya kuwa na Bunge kama mtu anadhalilishwa Bungen na spika anasapot.wakat vyombo vya usalama vpo kama kweli walifanyi wangeenda kwenye vyombo husika

  • @danielmakala90
    @danielmakala90 4 года назад +1

    Kwaio spika hapo wewe unajiona mungu mtuu unafanya unalo jisikiaa nokorooo

  • @mangishop2463
    @mangishop2463 4 года назад +21

    Yn uyu ndugai yn sijui yuko je yn upinzani awana haki bungeni?

    • @MikereMio
      @MikereMio 4 года назад +1

      Nampenda Ndugai yupo poa tuu , wapinzani ni wasaliti tuu kutwa wapo ofisi za mabolozi wa mabeberu

    • @mathiasmichael3843
      @mathiasmichael3843 4 года назад

      Kwani anachosema ni uongo??

    • @mangikimaro4711
      @mangikimaro4711 4 года назад

      Inakuusunn ww fatiliyaccmtu chokonn

    • @renatuselikan7750
      @renatuselikan7750 4 года назад +1

      Spika hana lolote umo

    • @renatuselikan7750
      @renatuselikan7750 4 года назад

      Uyo mmama mwenye nguo ya kijani hana Akili sawa

  • @khamisabeid3365
    @khamisabeid3365 4 года назад +22

    Hakuna mwazo usio kua na mwisho unamzalilisha mwanamke mwezio hivo inauma sana naona kama kazalilishwa mama yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @abakuryatv2119
    @abakuryatv2119 4 года назад

    Chama cha kisenge Sana hichi
    Wanaminya Sana demokrasia nasikitika Sana kuona kuwa
    Mungu mtu ndiye anaye wapa hicho kiburi 😢 😢 😢
    Haya mambo yana mwisho...na msisahau kuwa hayo Yote mnafanya Hapo bungeni ni kwa ajili ya nchi moja.. Tanzania 😔 😔 😢 imeniuma Sana hayakuwa maamuzi sahh kwakeli

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 4 года назад +2

    Asilimia kubwa za comments zimeumizwa na huyo dada alichofanyiwa, nami ni miongon mwao why hakupewa nafas ya kujitetea kwa kilicho semwa kweli au uongo? Maana ukweli anaujua yy watu tulikuwa na hop ya majibu yake ya tuhuma aliopewa, kama nawe umeliona hilo like tuwe pamoja kifikra

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 4 года назад +7

    Spika yani kusema ukweli unaloho mbaya

  • @subirapaul8127
    @subirapaul8127 4 года назад +8

    Mimi ni Ccm blood tena sana lakini kwa hili limenikera kwann mnatumia madaraka vbaya wakati raisi anafanya vyema nyie mnabomoa???????

    • @hassanmalamla3485
      @hassanmalamla3485 4 года назад +1

      Utaratibu ndo kila kitu...

    • @mtaninjegere6060
      @mtaninjegere6060 4 года назад

      Anafanya vyema wapi ndugu ndo amempa huyu hiki kibri? Hakika Mungu aliyetuumba wote yupo na hajalala. Yeye hatupimi kwa vyama vyetu

    • @subirapaul8127
      @subirapaul8127 4 года назад +2

      @@mtaninjegere6060 utakuwa cyo mtanzania ndg yangu na cyo lazima mumpende wote jamn

  • @ahmedysaidy7937
    @ahmedysaidy7937 4 года назад +4

    Spika tambua kunamaisha mengine nje ya bunge pia tambua bunge lilikuwepo kabla ww ujazaliwa haya maisha tu bro

  • @lutufyojason2598
    @lutufyojason2598 4 года назад +3

    The history is being written for the first time our country .And this is the speaker of the National Assembly( the national think tank)

  • @jojolee382
    @jojolee382 4 года назад +1

    Chadema ni chama cha hovyo sana..!!!!

    • @kahugentobi9734
      @kahugentobi9734 4 года назад +1

      Kuma ww amna unacho kiongea kaa kimy

    • @jojolee382
      @jojolee382 4 года назад

      @@kahugentobi9734 we mkundu funga kuma hiyo ntaitomba gademit.

  • @adamumuki1242
    @adamumuki1242 3 года назад

    Anajidai sana uyu jamaa km nchi yake Inshaaallah Allah ndio mwenye maalipo na maamuzi ya haki anajiona km mtume

  • @miagielangoi3272
    @miagielangoi3272 4 года назад +1

    Asante sana Ndugai kwa kazi nzuri

  • @emmanuelsimon545
    @emmanuelsimon545 4 года назад +1

    Mnalaumu sipika bure ila huyu dada angetulia ingempa heshima zaidi

  • @josephsasa7497
    @josephsasa7497 3 года назад

    Mara zote huwa nawaambia kuwa Itumie vizuri sana nafasi uliyopewa na Mungu, bila kuonea au upendeleo kwani kuna Maisha mengine baada ya haya duniani. huwezi ukawa Spika wa bunge kwa kupendelea watu.

  • @saidibakarimakota9400
    @saidibakarimakota9400 4 года назад +1

    Hivyo ndio itakuwa bunge lijayo wakichakaa wenyewe hawana hoja za msingi za kulijenga taifa ni vichekesho tu

  • @mossesraphael1073
    @mossesraphael1073 4 года назад +1

    Nimeumia sana lkn MUNGU yupo na ndugai hataishi milele hapa duniani dah kama vile hajazaliwa na mwanamke afu kuna wanawake wengine wasiojielewa nao wanacheka dah MUNGU tazama watu wako ukatende haki

  • @zachaaaamosy8320
    @zachaaaamosy8320 4 года назад

    Naipenda sana ccm la kwa hili mheshimiwa as jafulaishwa kabsa nyie ndio wale mnaomchafua RAIS wetu nyie Ndugai wewe umeweka uchama mbele kuliko majukumu yako mzee wangu

  • @frankjingu5763
    @frankjingu5763 4 года назад +2

    Huyu sio spika ni sabufa la kichina

  • @nuru.simkoko
    @nuru.simkoko 4 года назад +8

    Malipo ni hapa hapa

    • @msemwaasha6244
      @msemwaasha6244 4 года назад

      Kwanza mwanaume mzm tena spik wa bunge kushabikia mambo ya wamama hata haya huna

  • @chazzymediatv5075
    @chazzymediatv5075 4 года назад

    Ndio chamsingi sasa tupanze sauti zetu maana hapa hatuna bunge tena bali kuna kikundi cha ccm ndo kinachojadili kila kitu bungeni now ila ndugai tambua kuna maisha baada ya usupika wako na one day mungu atajibu kilio cha watanzania in god we trust

  • @charlesbaba8820
    @charlesbaba8820 4 года назад

    Speak er ukosahihi sana unaendasawa na tunavyotaka

  • @lifeisgood4242
    @lifeisgood4242 4 года назад

    Ikiwa umetenda haki Mh. Spika basi Mungu akupe haki.

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy 11 месяцев назад

    Matumizi mabaya ya u spika,,sijapenda kwakweli,

  • @ndugaimwakyembe9692
    @ndugaimwakyembe9692 4 года назад

    Job Ndugai wewe ni ndugu yangu, Bunge lijaro hautakuepo humo ndani. Umekua jeuri usietambua wajibu wako. Uongozi wako umepimwa na kuonekana kukandamiza.

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 4 года назад

    Namkumbuka mama mpole sn ana hekima ya kutosha jaman mama Anna makinda

  • @tam8951
    @tam8951 4 года назад

    Sio sawa,Ndugai jirekebishe

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 4 года назад +6

    Kweli ni spika ya sabufa

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 года назад +22

    Hali ya bunge linavyo endeshwa mpaka aibu.

  • @jacobmigera2626
    @jacobmigera2626 4 года назад

    Kesho yetu si nzuri;Watu wana tamani vyama vya siasa vifutike kuwepo na chama kimoja: ili ,CCm waongoze kimabavu; Ndugai haongozi bunge Kwa hekima; Wanayo yapanda leo wataya vuna kesho;

  • @nathanjunior7694
    @nathanjunior7694 4 года назад +9

    Huyu spika hafai kabisa

  • @fredrickmanswet3613
    @fredrickmanswet3613 4 года назад +3

    Ndugai kuna maisha baada ya uspika,kipimo kile uwapimiacho wenzako ndicho utakachopimiwa siku ya hukumu.

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 4 года назад +1

    Hii aibu sana bunge limekuwa kama wako location wanashoot mov ya isidingo

  • @mohamedimbinga225
    @mohamedimbinga225 4 года назад +10

    Case study ;Nkurunziza

  • @issamartinho3490
    @issamartinho3490 4 года назад +17

    Mara paaa ndugai ni mbunge wako, nahama jimbo ni fedhela . . .

  • @williamsmadulu393
    @williamsmadulu393 4 года назад +4

    daaa R.I.P Samweli sitta....mimi ni mwanachama wa CCM lakini sijapendezwa na huu udhalilishaji..Matukio kama haya yanakichafua chama chetu naomba yapigwe vita

    • @ayubumagumu4386
      @ayubumagumu4386 4 года назад

      Ondoka huko hicho co chama

    • @aidanhamza4656
      @aidanhamza4656 4 года назад

      Kwenda zako udhalilishaji unaujua wewe?

    • @williamsmadulu393
      @williamsmadulu393 4 года назад

      @@aidanhamza4656 unaujua wewe

    • @gilbertvicent4229
      @gilbertvicent4229 4 года назад +2

      Tuliimba sana wakati tunamwondoa mkoloni tukasema haki za watu zanunuliwa na tukasema tujenge heshima ya mtanzania ili asidhalilishwe kama mnyama sasa leo mama wa watu hadi analia anatolewa kibabe na aliyepewa dhamana na anaekula kupitia kodi zetu. ..eee Mungu wewe ndiye mwenye nguvu dhidi ya wajikwezao na kuwadhalilisha wenzao kisa afya ulizowajalia na nafasi walizonazo

    • @andrewmsungu2535
      @andrewmsungu2535 4 года назад

      Acha unafiki aisee sikiliza tena. Udhalilishaji uko wazi namba hii? Aisee angekuwa.. ... Sijui ingekuwaje

  • @neyousingo7616
    @neyousingo7616 3 года назад +1

    Ndugai Baba fanya kazi huyo dada ni mtovu wa nidhamu

  • @mako331
    @mako331 4 года назад +4

    Ndugai hapa sio vizuri heshima Kidogo jamani

    • @waelimesha8207
      @waelimesha8207 4 года назад

      Kweli mmmmmmmmmmm! Woooooooooowi!!!!!. Wapishe mamangu!!!!!!!!!!. Ila wote tujaribu kuwa watoto wa mama mmoja.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 4 года назад +18

    Kiukweli naipenda CCM ila dada mmemzalilisha

    • @erickrichard4292
      @erickrichard4292 4 года назад +1

      Kiukweli sjapenda spika alichofanya ni kama anapendelea upande fulani

    • @muhidinihassani520
      @muhidinihassani520 4 года назад

      Endelea kuipenda tu na upumbavu wako/wenu

    • @ramathedon4001
      @ramathedon4001 4 года назад +1

      @@erickrichard4292 wala msipende pendeni tu na ujinga wenu mkiambiwa spika anaonyesha kabisa anavyo uchukia upinzani amtaki mimi ni mtoto wa kiume lakini imeniuma xana nilivyoona ili tukio,mtu anasema kabisa anadhalilishwa lakini bado spika anaendelelea kusema akae chini anyamaze,anaomba utaratibu anaambiwa atoke nje niujinga wa wakiwango cha degree aliokuwanao uyo spika

    • @frankgabriely9294
      @frankgabriely9294 4 года назад

      @@ramathedon4001 badala ya kuongea mnaongea upumbavu

    • @baltzrluus3287
      @baltzrluus3287 4 года назад

      Rama The Don na mtaumizwa sana hadi uanze kuandika kiume SANA badala ya hiyo XANA uliyofundishwa na mademu wa buza.

  • @likimaro6
    @likimaro6 4 года назад

    Yaani kuna watu wamejimilikisha bunge. Huyu dada kadhalilishwa kwa kweli. Yaani napata hasira kali

  • @sr.january7141
    @sr.january7141 4 года назад

    Daaah ila sio fair kabisa huyu jamaa anajiona sana

  • @issakapemba6115
    @issakapemba6115 4 года назад +3

    Duh wapinzani hawana haki kwenye nchi yao kabisa yaan lakini yatafikia mwisho tuu yaan

  • @salimnangawe6984
    @salimnangawe6984 3 года назад

    🙄 anazalilisha sasa siyo pow alicho kifanya mi imeniuma sana tena sana udhalilishaji huu dah this is Tanzania 😭

  • @habibashabanigonji1915
    @habibashabanigonji1915 3 года назад

    Mbunge anasukumwa kama kibaka heshima iko wapi ama kweli nchi ya wanyonge mtanyongwa sana

  • @felistasswai4735
    @felistasswai4735 4 года назад

    Spika.umekosea.sana.pamoja.na.wabunge.uonevu.mtupu.mumefanya.kunge.kua.chombo.cha.majungu

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 года назад

    Cjawai kuona mzigo Kama spika na Mungu mwenye mamla na utawala wote wa duniani na mbinguni pokea maombi ya wanyonge wote tusaidie kuondoka watu Kama awa wenye kutumia mamlaka Yao vibaya ewe mwenyezi Mungu tusaidie

  • @aetiusaugustine395
    @aetiusaugustine395 4 года назад

    siyo vizuri inamaana ili bunge ni la chama si la wananchi

  • @willekapuna7102
    @willekapuna7102 4 года назад

    Kwa kweli hi co nchi huyo dada hana kosa kabisaaaaa anadhalilishwa daah ucjali tupo pamoja asikup shida spika wanaichi tunajua umuimu wako

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim9423 4 года назад +4

    "Hebu msinipigie kelele ninapotaka kufanya maamuzi yangu".Mwisho wa kunukuu.

    • @emanweljohn1240
      @emanweljohn1240 4 года назад

      ukweli kun upendeleo min ccm lakin Ktk hili Luna upendeleo san kwanin kuhoj mipango yamtumwingine huko ccm mbon hawahojiwi huu siosawa

  • @adamuligate775
    @adamuligate775 4 года назад

    Spika wa bunge acha ubaguz huo n ubaguz dhahir sijui mnatufundsha nn inauma Sana chadema mnaonewa Kama sio wa Tz😭😭😭😭

  • @ronnie1425
    @ronnie1425 3 года назад

    Mbona sipika boya sana. Mtu anamdharirisha mwenzie

  • @omarybebe8414
    @omarybebe8414 4 года назад

    Leo ndio comment yangu ya kwanza kuiweka RUclips, HUYO DADA MMEMDHALILISHA SANA,SIO HAKI KABISA,HUYO NI MAMA AU DADA WA MTU PIA,MUNGU ATALIPA KWA MLILOLIFANYA.

  • @emmanuelbuyamba853
    @emmanuelbuyamba853 4 года назад

    So painfully aise! Pole sana kamanda Yosepher Komba.

  • @linustiba6085
    @linustiba6085 4 года назад +1

    Kama umefurahishwa na kessy kutorudi bungeni gonga like

  • @asteriapaul9891
    @asteriapaul9891 4 года назад +1

    😭😭😭Siyo vizuri spika umelifanya bunge kama masikani ya wahuni sasa mnatupotezea kodi zetu 🐒

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 4 года назад +4

    Naomba tu watu wakumbuke upinzani ktk nchi ni sawa na nguvu ya maji,unaweza kuyafungia njia moja,ila katu hutaweza kukata mkondo unapoamua kukatiza unapopenda bado tutaendelea kupinga kutawaliwa hakuna umwamba kwenye keki ya taifa

  • @paulbinezekiel8225
    @paulbinezekiel8225 4 года назад +4

    Yaani siku hizi bunge lishakuwa la ccm kenge nyinyi mbwa kabisa

  • @JohnWilson-uk7om
    @JohnWilson-uk7om 4 года назад

    Spika nimchonganishi alafu ana roho ya kikatili sana duh,,, haijapedeza aisee

  • @danielerastomanjale254
    @danielerastomanjale254 4 года назад +1

    Sema spika angeacha tu maana ,, ata hivy ukiangalia kazalilishwa , Sana kumwambia kuwa na yeye yumo ktk wazalilishwaji wa gono ,,asingetaja hivo ,,,, spika apunguze kidogo siasa ,,,, japo CHADEMA huwa Wana fell some time ,,, lakini kwa hili Ni siasa ,, uonevu ,,, spika asikubaliane na mawazo yote ya wabunge wa CCM nao wanakosea

    • @alexthobias3755
      @alexthobias3755 4 года назад

      Kaka upo sawa kimawazo ila cha kwanza tuijenge nchi yetu tuache mambo ya nje

  • @kimchi-91
    @kimchi-91 4 года назад

    spika yuko sahihi,maana huyo bunge wa chadema kaenda kinyume na taratibu za bunge,hajaruhusiwa kuongea yy kashaanza kuongea kisa kadhalilishwa ,hata kama unahisi umedhalilishwa ndani ya bunge jitahidi kuji-control na hasira ikiwemo kuheshimu taratibu za bunge

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 4 года назад

    Mwana kulitafuta mwana kulipata, kazi kwako

  • @mahyorokalokola4012
    @mahyorokalokola4012 4 года назад

    Inaonekana Spika hajui tofauti ya kodi na michango

  • @alhajimawe890
    @alhajimawe890 4 года назад

    Kazi Kazi big up ndugai

  • @edwardmbita2242
    @edwardmbita2242 3 года назад

    Naangalia mwengine anaetaka kuelekea huko huko😂😂😂😂😂 ah ndugai!

  • @mushidoya3419
    @mushidoya3419 4 года назад +6

    Spika wa bunge mungu anakuona

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 года назад +2

    Kusema na kusikiliza ni muhimu, kukubali na kukataa ni demokrasia halisi. No interruption please. Mtu lazima amalize muda wake ni ustaarabu mzuri

  • @BlackPanther-xx8dn
    @BlackPanther-xx8dn 4 года назад +1

    ukiyafatilia haya san utakosa la kujadili chamsingi pambana na Hali yako chapa kaz hilo bunge toka mda limeshapoteza Nuru

  • @gilbertvicent4229
    @gilbertvicent4229 4 года назад

    Mungu ndiye mwenye pumzi zetu tunazovuta kama aliweza kutuonyesha miujiza kwa Farao/ Firauni tunaomba atuonyeshe pia kwa wenye tabia kama yake. ..eee Mungu tusaidie ili kuepuka udhalilishwaji huu ambao umeigawa nchi yetu kwa makundi yenye chuki kubwa sana