@@yirgayemyirgah7820 Hicho ndicho kinachafanyika mara kwa mara kwa kuwapa nafasi ya kusikika zaidi wabunge wa CCM, kuliko wa upinziani hasa CDM ambao ndio hofu ya kuu. Huu ni upendeleo wa wazi.
Yan ndugai kamwacha mbunge wa ccm aliekuwa anamzalilisha mwenzie kamtoa anaezalilishwa bila kosa Kwakuwa ni mbunge wa chadema!? kwel hii sio sawa chadema wanaonewa sana ndan ya bunge
Aache kuogopa kupoteza kiti chake na hela amuogope Mungu? Hawa watu Mungu ndiye atakaewaweza kwa kuchezea kodi zetu na kutumia madaraka yao vibaya... Spika ubabe wako Mungu muogope sana
Iman ya chama nikubwa kulikon Iman ya dini yake? Je huyu Ana Iman ya dini kweli, jee a Akiongozi wa dini, jee Imani yake na dini yake anaamin kwamba ataulizwe cheo chake aliwatendea haki wote?
Hkuna spika haliye endesha bunge la Tanzania hvo kwanzia nchi hhi ipate uhuru kama spika ndugai hakika broo ipo sku utalipwa na kila goti litapigwa Mungu akusaidie sana uko juu y sheria umevunja katiba dhaaa yajayo ynafurahisha pipzzzzzzz power
Pole sana,Dada uliyetolewa nje,mwite Yesu,aingie ndani yako,akupe nguvu,malipizi ni hapa hapa duniani.Usiweke kinyongo kwa mtu ye yote maana Mungu atashindwa kufanya kazi yake.Mpende huyo Dada,wala usimchukie.wala kumuwazia mawazo mabaya.Amini tu,Yupo mkuu kuliko yeye.
Duhh kweli professor mussa asaad aliliona hili bunge kuna jina alilisema kumbe kweli ndio maana wakapitisha sheria ya kuwakinga spika ndio tanzania tunayoitaka tutaelewana tu
Ivi uyo jamaa apo jirani na uyo Jacklin kavaa kibarakashee Huwa ninani make ananyodo balaa,, nakumbuka sikumoja anamchamba Mbunge wa nkaskaskazini. Iyo bench wanakaza wenyesifa za like inaonekana 😊
Nawakumbusha tu waheshimiwa wabunge na kiti chao kuwa sisi raia sio wajinga, tuna akili za kutosha sana.... tunajua ipi haki ipi si haki. Kumbukumbu hizi zimehifadhiwa hapa ili watoto na vijana wa kesho wajionee wenyewe, siku moja haki itashika hatam. InshaAllah....!
Ndugai hufai kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi maana uongozi ni busara wewe umekosa hata hekima ya kuiga kwa walio kutangulia.kuna siku utasimama kujibu kwa Mungu
MUNGU lirehemu Bunge la Tanzania, kwa kutoka nje ya jukumu lake la msingi, wasamehe viongozi wetu na uwape hekima katika kuchagua cha kuongea, namna ya kuongea na kufanya maamuzi. MUNGU unayerehemu na kuwapa Viongozi hekima tunakusihi usiwache viongozi wetu bila kunena nao.
Mr to ndugai no sio sawa unacho kufanya uchunguzi wa udhalilishaji unafanyika na vyombo vihusika bunge nimahara pa kwelekeza nakushauri unapo ruhusu majina ya watu yanatajwakua ulifanyiwa ukatiri wakijinsia bira kuwashauri waende policy na mahakamani unjishusha kwa kushabikia siasa unayobitaka my broooo unafel Sana bunge unalo liongoza nila kupashana pole umefel kaka
Ukweri ni gharama acheni mama afunguke ili watu wajue yaliyo sirini ndani ya vyama vya siasa na amezungumza pia kama mzazi kikubwa sio kuzalilisha je? Ni kweli anayo sema sio kuchangia kwa mihemuko ya kisiasa au upendeleo spika uko vizuri sana songa mbele
watanzania wenzangu kwa mawazo yangu kwa spika uyu akuna maana ya kuwa na Bunge kama mtu anadhalilishwa Bungen na spika anasapot.wakat vyombo vya usalama vpo kama kweli walifanyi wangeenda kwenye vyombo husika
Chama cha kisenge Sana hichi Wanaminya Sana demokrasia nasikitika Sana kuona kuwa Mungu mtu ndiye anaye wapa hicho kiburi 😢 😢 😢 Haya mambo yana mwisho...na msisahau kuwa hayo Yote mnafanya Hapo bungeni ni kwa ajili ya nchi moja.. Tanzania 😔 😔 😢 imeniuma Sana hayakuwa maamuzi sahh kwakeli
Asilimia kubwa za comments zimeumizwa na huyo dada alichofanyiwa, nami ni miongon mwao why hakupewa nafas ya kujitetea kwa kilicho semwa kweli au uongo? Maana ukweli anaujua yy watu tulikuwa na hop ya majibu yake ya tuhuma aliopewa, kama nawe umeliona hilo like tuwe pamoja kifikra
Mara zote huwa nawaambia kuwa Itumie vizuri sana nafasi uliyopewa na Mungu, bila kuonea au upendeleo kwani kuna Maisha mengine baada ya haya duniani. huwezi ukawa Spika wa bunge kwa kupendelea watu.
Nimeumia sana lkn MUNGU yupo na ndugai hataishi milele hapa duniani dah kama vile hajazaliwa na mwanamke afu kuna wanawake wengine wasiojielewa nao wanacheka dah MUNGU tazama watu wako ukatende haki
Naipenda sana ccm la kwa hili mheshimiwa as jafulaishwa kabsa nyie ndio wale mnaomchafua RAIS wetu nyie Ndugai wewe umeweka uchama mbele kuliko majukumu yako mzee wangu
Ndio chamsingi sasa tupanze sauti zetu maana hapa hatuna bunge tena bali kuna kikundi cha ccm ndo kinachojadili kila kitu bungeni now ila ndugai tambua kuna maisha baada ya usupika wako na one day mungu atajibu kilio cha watanzania in god we trust
Kesho yetu si nzuri;Watu wana tamani vyama vya siasa vifutike kuwepo na chama kimoja: ili ,CCm waongoze kimabavu; Ndugai haongozi bunge Kwa hekima; Wanayo yapanda leo wataya vuna kesho;
daaa R.I.P Samweli sitta....mimi ni mwanachama wa CCM lakini sijapendezwa na huu udhalilishaji..Matukio kama haya yanakichafua chama chetu naomba yapigwe vita
Tuliimba sana wakati tunamwondoa mkoloni tukasema haki za watu zanunuliwa na tukasema tujenge heshima ya mtanzania ili asidhalilishwe kama mnyama sasa leo mama wa watu hadi analia anatolewa kibabe na aliyepewa dhamana na anaekula kupitia kodi zetu. ..eee Mungu wewe ndiye mwenye nguvu dhidi ya wajikwezao na kuwadhalilisha wenzao kisa afya ulizowajalia na nafasi walizonazo
@@erickrichard4292 wala msipende pendeni tu na ujinga wenu mkiambiwa spika anaonyesha kabisa anavyo uchukia upinzani amtaki mimi ni mtoto wa kiume lakini imeniuma xana nilivyoona ili tukio,mtu anasema kabisa anadhalilishwa lakini bado spika anaendelelea kusema akae chini anyamaze,anaomba utaratibu anaambiwa atoke nje niujinga wa wakiwango cha degree aliokuwanao uyo spika
Cjawai kuona mzigo Kama spika na Mungu mwenye mamla na utawala wote wa duniani na mbinguni pokea maombi ya wanyonge wote tusaidie kuondoka watu Kama awa wenye kutumia mamlaka Yao vibaya ewe mwenyezi Mungu tusaidie
Leo ndio comment yangu ya kwanza kuiweka RUclips, HUYO DADA MMEMDHALILISHA SANA,SIO HAKI KABISA,HUYO NI MAMA AU DADA WA MTU PIA,MUNGU ATALIPA KWA MLILOLIFANYA.
Naomba tu watu wakumbuke upinzani ktk nchi ni sawa na nguvu ya maji,unaweza kuyafungia njia moja,ila katu hutaweza kukata mkondo unapoamua kukatiza unapopenda bado tutaendelea kupinga kutawaliwa hakuna umwamba kwenye keki ya taifa
Sema spika angeacha tu maana ,, ata hivy ukiangalia kazalilishwa , Sana kumwambia kuwa na yeye yumo ktk wazalilishwaji wa gono ,,asingetaja hivo ,,,, spika apunguze kidogo siasa ,,,, japo CHADEMA huwa Wana fell some time ,,, lakini kwa hili Ni siasa ,, uonevu ,,, spika asikubaliane na mawazo yote ya wabunge wa CCM nao wanakosea
spika yuko sahihi,maana huyo bunge wa chadema kaenda kinyume na taratibu za bunge,hajaruhusiwa kuongea yy kashaanza kuongea kisa kadhalilishwa ,hata kama unahisi umedhalilishwa ndani ya bunge jitahidi kuji-control na hasira ikiwemo kuheshimu taratibu za bunge
Mungu ndiye mwenye pumzi zetu tunazovuta kama aliweza kutuonyesha miujiza kwa Farao/ Firauni tunaomba atuonyeshe pia kwa wenye tabia kama yake. ..eee Mungu tusaidie ili kuepuka udhalilishwaji huu ambao umeigawa nchi yetu kwa makundi yenye chuki kubwa sana
Kama nawe hujapendezwa na alicho kifanya Spika usiogipe pita na like yako hapa coz sio haki kilicho fanyika
Tumependezwaaaaaaaaaaaa !!!!!!!!!!!
Daaaah nlkua sijaangalia mpka mwisho kiukweli ndugai kazngua asee yn upendeleo wa wazi kabisa
@@yirgayemyirgah7820 Hicho ndicho kinachafanyika mara kwa mara kwa kuwapa nafasi ya kusikika zaidi wabunge wa CCM, kuliko wa upinziani hasa CDM ambao ndio hofu ya kuu. Huu ni upendeleo wa wazi.
kwa hili spika amekosea
King Mroboto tunako end a kila mtu atamiliki wakizingua pa kichwani
Dah hyi cio hki na kma unakubali cio hki bc gonga like
Yan ndugai kamwacha mbunge wa ccm aliekuwa anamzalilisha mwenzie kamtoa anaezalilishwa bila kosa Kwakuwa ni mbunge wa chadema!? kwel hii sio sawa chadema wanaonewa sana ndan ya bunge
Ndugai ndugai
Tambua yapomaisha nje ya bunge
Muogope mungu
Aache kuogopa kupoteza kiti chake na hela amuogope Mungu?
Hawa watu Mungu ndiye atakaewaweza kwa kuchezea kodi zetu na kutumia madaraka yao vibaya...
Spika ubabe wako Mungu muogope sana
@@gilbertvicent4229 kiongozi wenu anaalalisha mashoga lisu je aogopi mungu
Buckle up and enjoy your ride.
hakika
Iman ya chama nikubwa kulikon Iman ya dini yake? Je huyu Ana Iman ya dini kweli, jee a Akiongozi wa dini, jee Imani yake na dini yake anaamin kwamba ataulizwe cheo chake aliwatendea haki wote?
Hkuna spika haliye endesha bunge la Tanzania hvo kwanzia nchi hhi ipate uhuru kama spika ndugai hakika broo ipo sku utalipwa na kila goti litapigwa Mungu akusaidie sana uko juu y sheria umevunja katiba dhaaa yajayo ynafurahisha pipzzzzzzz power
Pole sana,Dada uliyetolewa nje,mwite Yesu,aingie ndani yako,akupe nguvu,malipizi ni hapa hapa duniani.Usiweke kinyongo kwa mtu ye yote maana Mungu atashindwa kufanya kazi yake.Mpende huyo Dada,wala usimchukie.wala kumuwazia mawazo mabaya.Amini tu,Yupo mkuu kuliko yeye.
Huyu ndo ndugai masta HAPA KAZI TU
Kazi ya kipumbavu kupitiliza
Anazingua kinyamaa
Kwaiy unaona yuko sawa fara mwenzio
Kushughulikiwa bila ridhaaa hahahahaha oyooooo
Duhh kweli professor mussa asaad aliliona hili bunge kuna jina alilisema kumbe kweli ndio maana wakapitisha sheria ya kuwakinga spika ndio tanzania tunayoitaka tutaelewana tu
Kweli nithaifu kabisaa
Nidha inahitajika unamungilia je m2 hajamaliza punda nyie msio nauelewa
Hakuna anayewaweza mmeshika makali ..lakini Mungu anawaweza .Ee Mwenyezi Mungu tuepushe na udhalimu .tutee mwenyewe
mtafaulu tu gawa wa ccm ni kama rimoti tu
wanapelekwa pelekwa hawa hakuna sıasa ccm amin uciamin
ila hutumıa mguvu zao za kıdoşaaaaaaa
Kwakweli
Aliyewapa kiburi kasepa bado zamu yenu
Hapo sipika hajatenda haki kabisa 😭
Spika hajatenda haki tena amempendelea huyo mama anaeongea visivyonamaana
Yaani wapinzani wanaonewa kiwaziwazi bila huruma hinauma sana
This speaker is partisan.
Uonevu mkubwa sana
@@erickrichard4292 katenda haki we hela yko unaipata kwajasho lko halafu uwwkeze kwenye chama wkt chama kinatakiwa kikulipe ww
Spika unaalibu bunge kwa kushabikia mambo yakipumbavu kabisa, wakisema bunge ni dhaifu unachukia
Kiukweli.sio.sio.kiongozi.hupaswi.kua.hivyo.hata.kama.nisiasa
Ijamaaniiiii.utopoloooi
Nimekuwa wa kwanza kukoment naombeni like jamani
hv like zna msaada gan au kwann huwa mnaomba likes leo nimeona bora niulize sina maana mbaya kama hutojal nifahamishe
Dh! ...R.I.P....CHADEMA...masikini ndio basi tena..tunaenda kukizika jumla hooooh.......😭😭😭😭😭😭😭
Hahahahaaha
We mkundu kwl
sasa kwa hoja gani apo ndugu yangu spika anaonekana kabisa nimpendeleo ndugai mungu anamuona
Na ndo walichokua wanataka wabaki wenyeny wapige mabenj kwakukubaliana na ujinga
Ivi uyo jamaa apo jirani na uyo Jacklin kavaa kibarakashee Huwa ninani make ananyodo balaa,, nakumbuka sikumoja anamchamba Mbunge wa nkaskaskazini. Iyo bench wanakaza wenyesifa za like inaonekana 😊
Very good mh spika. Tunaanagalia mwengine anoitaka kuelekea huko huko.. Hahahahaaa hahaaaaaa nimeipenda iyo.
Bunge la Mzee wetu Sita lilikuwa Bunge. Mama Makinda naye Alifanya Kazi iliyotukuka. Ila ili sasa Mungu ndiye anajua.
Hakika
Mbona mlikuwa mnamlaumu spika sita? Na ndugai ipo siku mtaanza kumkumbuka.
Mm sina chama Ila nashangaa kwann wanamzalilisha huyu dada
Nawakumbusha tu waheshimiwa wabunge na kiti chao kuwa sisi raia sio wajinga, tuna akili za kutosha sana.... tunajua ipi haki ipi si haki. Kumbukumbu hizi zimehifadhiwa hapa ili watoto na vijana wa kesho wajionee wenyewe, siku moja haki itashika hatam. InshaAllah....!
Hakuna haliyekzalilosha bali yeye mwenyewe
Mbunge mwenzie kaelezea kilochotokea sasa sioni huzalilishaji
Ndugai hufai kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi maana uongozi ni busara wewe umekosa hata hekima ya kuiga kwa walio kutangulia.kuna siku utasimama kujibu kwa Mungu
Tanzania kweli hakuna bunge tena! Kwa sasa bunge limegeuka kikundi cha taarab na mipasho tu
MUNGU lirehemu Bunge la Tanzania, kwa kutoka nje ya jukumu lake la msingi, wasamehe viongozi wetu na uwape hekima katika kuchagua cha kuongea, namna ya kuongea na kufanya maamuzi. MUNGU unayerehemu na kuwapa Viongozi hekima tunakusihi usiwache viongozi wetu bila kunena nao.
Aaah ! wewe ccm songa mbele . You get love it
🤣🤣
Job Ndugai uwo ni uzalilishaji na sio haki
Spika hajatenda haki yy angewasikiliza mpk mwisho angejua ukweli wa Mambo?
Mr to ndugai no sio sawa unacho kufanya uchunguzi wa udhalilishaji unafanyika na vyombo vihusika bunge nimahara pa kwelekeza nakushauri unapo ruhusu majina ya watu yanatajwakua ulifanyiwa ukatiri wakijinsia bira kuwashauri waende policy na mahakamani unjishusha kwa kushabikia siasa unayobitaka my broooo unafel Sana bunge unalo liongoza nila kupashana pole umefel kaka
Ndo maana kesi za mitandaoni haziishi hapa huwezi shindwa kumwaga tusi Kali kwa spika ingawa mwenyewe ni namfagiliaga magufuri daaaah spk
Daaah,huu ni udhalilishaji kabisa huyo ni mama wa mtu au dada wa mtu au pia ni binti wa mtu kwa kitendo hiki hajatendewa haki
Wacha ukweli usemwe tuu
Haya mi cina La kusema ila tutakutana mbingun duniani tunapita
Et mucinigie kelele yn watu wazma anawambia wackpgie kelele R.I.P Ndugai 🤔🤔🤔 Tanzani yetu haina hamn jmn mpaka hawa watu mungu tuondolee washenzi
Hizi kumbukumbuku za unfair ipo siku zitakumbukwa jamani msichee utu namna hyo mambo yanabadilika one day yesi imenikera kwa hili ase
Bunge ovyo kabisa
Ukweri ni gharama acheni mama afunguke ili watu wajue yaliyo sirini ndani ya vyama vya siasa na amezungumza pia kama mzazi kikubwa sio kuzalilisha je? Ni kweli anayo sema sio kuchangia kwa mihemuko ya kisiasa au upendeleo spika uko vizuri sana songa mbele
Bunge la Bajeti Wabunge wanajadili Majungu!
Aibu kubwa kwa Taifa la Tz
Mwenyew najiuliza mbona kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili wala sio hayo
Nawewe c ugombee ukajadili hiyo bajeti..! Mfeeeeeew..!!!
Aiseeee bunge la sasaiv. Ukija kulisikiliza unachoambulia n mauzi mbona chadema mnakifanyia hvyo jaman da! Mungu anawaona
Duh kweli nchi ya democracy mtu anadhalilishwa anataka kujitetea anatolewa
Huo ni upuuzi haki iko wap hapo si mseme 2 kuwa hamtaki vyama vingi kaeni mkjua mtavuna mnachokipanda
There is no democracy there
@@johnmitti3201 yeah, kweli kabisa bora waseme hamna vyama vingi kuliko haya yanayoendelea
@@erickrichard4292 there there mbona zimeongozana hivyo. 🙄
@@johnmitti3201 mbona mama yako ataki baba yako aongeze mke
Ndungai ajafanya vizuri kabisa uzalilishaji wa hali ya juu anatumia madaraka vibaya
Duniani hakuna utawala uliokuwa na nguvu kama utawala wa mfalme Nebukadreza lakini ulianguka 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Ongelea chama chako na katiba yako kila chama na katiba yake maana vyama vya upinzani ni vichanga unafikiri vingejiendeshaje???
Mnatumika vibaya sana
Umeongea point ndugu yangu ingawa hatufamiani aisee
Wanaongea pumba hawajui kuongoza chama
Umetoa mawazo ya kisomi japo sikufaham lkn nyie ndio wananchi mnaoweza kuishaur serkali na kuivusha katika suala zima la maendeleo
Mbona chauma akidai kodi na kichanga pia au tlp wacha ukada katika maendeleo fala wewe
watanzania wenzangu kwa mawazo yangu kwa spika uyu akuna maana ya kuwa na Bunge kama mtu anadhalilishwa Bungen na spika anasapot.wakat vyombo vya usalama vpo kama kweli walifanyi wangeenda kwenye vyombo husika
Kwaio spika hapo wewe unajiona mungu mtuu unafanya unalo jisikiaa nokorooo
Yn uyu ndugai yn sijui yuko je yn upinzani awana haki bungeni?
Nampenda Ndugai yupo poa tuu , wapinzani ni wasaliti tuu kutwa wapo ofisi za mabolozi wa mabeberu
Kwani anachosema ni uongo??
Inakuusunn ww fatiliyaccmtu chokonn
Spika hana lolote umo
Uyo mmama mwenye nguo ya kijani hana Akili sawa
Hakuna mwazo usio kua na mwisho unamzalilisha mwanamke mwezio hivo inauma sana naona kama kazalilishwa mama yangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Hili sio bunge kabisa ni usani
Pole sana , akini ukweli wa utasemwa
Chama cha kisenge Sana hichi
Wanaminya Sana demokrasia nasikitika Sana kuona kuwa
Mungu mtu ndiye anaye wapa hicho kiburi 😢 😢 😢
Haya mambo yana mwisho...na msisahau kuwa hayo Yote mnafanya Hapo bungeni ni kwa ajili ya nchi moja.. Tanzania 😔 😔 😢 imeniuma Sana hayakuwa maamuzi sahh kwakeli
Asilimia kubwa za comments zimeumizwa na huyo dada alichofanyiwa, nami ni miongon mwao why hakupewa nafas ya kujitetea kwa kilicho semwa kweli au uongo? Maana ukweli anaujua yy watu tulikuwa na hop ya majibu yake ya tuhuma aliopewa, kama nawe umeliona hilo like tuwe pamoja kifikra
Spika yani kusema ukweli unaloho mbaya
Mimi ni Ccm blood tena sana lakini kwa hili limenikera kwann mnatumia madaraka vbaya wakati raisi anafanya vyema nyie mnabomoa???????
Utaratibu ndo kila kitu...
Anafanya vyema wapi ndugu ndo amempa huyu hiki kibri? Hakika Mungu aliyetuumba wote yupo na hajalala. Yeye hatupimi kwa vyama vyetu
@@mtaninjegere6060 utakuwa cyo mtanzania ndg yangu na cyo lazima mumpende wote jamn
Spika tambua kunamaisha mengine nje ya bunge pia tambua bunge lilikuwepo kabla ww ujazaliwa haya maisha tu bro
The history is being written for the first time our country .And this is the speaker of the National Assembly( the national think tank)
Chadema ni chama cha hovyo sana..!!!!
Kuma ww amna unacho kiongea kaa kimy
@@kahugentobi9734 we mkundu funga kuma hiyo ntaitomba gademit.
Anajidai sana uyu jamaa km nchi yake Inshaaallah Allah ndio mwenye maalipo na maamuzi ya haki anajiona km mtume
Asante sana Ndugai kwa kazi nzuri
🤜🤛
Mnalaumu sipika bure ila huyu dada angetulia ingempa heshima zaidi
Mara zote huwa nawaambia kuwa Itumie vizuri sana nafasi uliyopewa na Mungu, bila kuonea au upendeleo kwani kuna Maisha mengine baada ya haya duniani. huwezi ukawa Spika wa bunge kwa kupendelea watu.
Hivyo ndio itakuwa bunge lijayo wakichakaa wenyewe hawana hoja za msingi za kulijenga taifa ni vichekesho tu
Nimeumia sana lkn MUNGU yupo na ndugai hataishi milele hapa duniani dah kama vile hajazaliwa na mwanamke afu kuna wanawake wengine wasiojielewa nao wanacheka dah MUNGU tazama watu wako ukatende haki
Naipenda sana ccm la kwa hili mheshimiwa as jafulaishwa kabsa nyie ndio wale mnaomchafua RAIS wetu nyie Ndugai wewe umeweka uchama mbele kuliko majukumu yako mzee wangu
Huyu sio spika ni sabufa la kichina
😂😂😂
Malipo ni hapa hapa
Kwanza mwanaume mzm tena spik wa bunge kushabikia mambo ya wamama hata haya huna
Ndio chamsingi sasa tupanze sauti zetu maana hapa hatuna bunge tena bali kuna kikundi cha ccm ndo kinachojadili kila kitu bungeni now ila ndugai tambua kuna maisha baada ya usupika wako na one day mungu atajibu kilio cha watanzania in god we trust
Speak er ukosahihi sana unaendasawa na tunavyotaka
Ikiwa umetenda haki Mh. Spika basi Mungu akupe haki.
Matumizi mabaya ya u spika,,sijapenda kwakweli,
Job Ndugai wewe ni ndugu yangu, Bunge lijaro hautakuepo humo ndani. Umekua jeuri usietambua wajibu wako. Uongozi wako umepimwa na kuonekana kukandamiza.
Namkumbuka mama mpole sn ana hekima ya kutosha jaman mama Anna makinda
Sio sawa,Ndugai jirekebishe
Kweli ni spika ya sabufa
🤣🤣🤣🤣😂
Hali ya bunge linavyo endeshwa mpaka aibu.
Kwa sababu chadema wanavuliwa nguo sio
Tumwachie mungu maan
Kesho yetu si nzuri;Watu wana tamani vyama vya siasa vifutike kuwepo na chama kimoja: ili ,CCm waongoze kimabavu; Ndugai haongozi bunge Kwa hekima; Wanayo yapanda leo wataya vuna kesho;
Huyu spika hafai kabisa
Kwamungu siyo kwa muzungu
Ndugai kuna maisha baada ya uspika,kipimo kile uwapimiacho wenzako ndicho utakachopimiwa siku ya hukumu.
Hii aibu sana bunge limekuwa kama wako location wanashoot mov ya isidingo
Case study ;Nkurunziza
Hakuna lolote
Mara paaa ndugai ni mbunge wako, nahama jimbo ni fedhela . . .
Fedheha sio fedhela
@@mohamedpesambili9460 Ameeleweka
daaa R.I.P Samweli sitta....mimi ni mwanachama wa CCM lakini sijapendezwa na huu udhalilishaji..Matukio kama haya yanakichafua chama chetu naomba yapigwe vita
Ondoka huko hicho co chama
Kwenda zako udhalilishaji unaujua wewe?
@@aidanhamza4656 unaujua wewe
Tuliimba sana wakati tunamwondoa mkoloni tukasema haki za watu zanunuliwa na tukasema tujenge heshima ya mtanzania ili asidhalilishwe kama mnyama sasa leo mama wa watu hadi analia anatolewa kibabe na aliyepewa dhamana na anaekula kupitia kodi zetu. ..eee Mungu wewe ndiye mwenye nguvu dhidi ya wajikwezao na kuwadhalilisha wenzao kisa afya ulizowajalia na nafasi walizonazo
Acha unafiki aisee sikiliza tena. Udhalilishaji uko wazi namba hii? Aisee angekuwa.. ... Sijui ingekuwaje
Ndugai Baba fanya kazi huyo dada ni mtovu wa nidhamu
Ndugai hapa sio vizuri heshima Kidogo jamani
Kweli mmmmmmmmmmm! Woooooooooowi!!!!!. Wapishe mamangu!!!!!!!!!!. Ila wote tujaribu kuwa watoto wa mama mmoja.
Kiukweli naipenda CCM ila dada mmemzalilisha
Kiukweli sjapenda spika alichofanya ni kama anapendelea upande fulani
Endelea kuipenda tu na upumbavu wako/wenu
@@erickrichard4292 wala msipende pendeni tu na ujinga wenu mkiambiwa spika anaonyesha kabisa anavyo uchukia upinzani amtaki mimi ni mtoto wa kiume lakini imeniuma xana nilivyoona ili tukio,mtu anasema kabisa anadhalilishwa lakini bado spika anaendelelea kusema akae chini anyamaze,anaomba utaratibu anaambiwa atoke nje niujinga wa wakiwango cha degree aliokuwanao uyo spika
@@ramathedon4001 badala ya kuongea mnaongea upumbavu
Rama The Don na mtaumizwa sana hadi uanze kuandika kiume SANA badala ya hiyo XANA uliyofundishwa na mademu wa buza.
Yaani kuna watu wamejimilikisha bunge. Huyu dada kadhalilishwa kwa kweli. Yaani napata hasira kali
Daaah ila sio fair kabisa huyu jamaa anajiona sana
Duh wapinzani hawana haki kwenye nchi yao kabisa yaan lakini yatafikia mwisho tuu yaan
🙄 anazalilisha sasa siyo pow alicho kifanya mi imeniuma sana tena sana udhalilishaji huu dah this is Tanzania 😭
Mbunge anasukumwa kama kibaka heshima iko wapi ama kweli nchi ya wanyonge mtanyongwa sana
Spika.umekosea.sana.pamoja.na.wabunge.uonevu.mtupu.mumefanya.kunge.kua.chombo.cha.majungu
Cjawai kuona mzigo Kama spika na Mungu mwenye mamla na utawala wote wa duniani na mbinguni pokea maombi ya wanyonge wote tusaidie kuondoka watu Kama awa wenye kutumia mamlaka Yao vibaya ewe mwenyezi Mungu tusaidie
siyo vizuri inamaana ili bunge ni la chama si la wananchi
Kwa kweli hi co nchi huyo dada hana kosa kabisaaaaa anadhalilishwa daah ucjali tupo pamoja asikup shida spika wanaichi tunajua umuimu wako
"Hebu msinipigie kelele ninapotaka kufanya maamuzi yangu".Mwisho wa kunukuu.
ukweli kun upendeleo min ccm lakin Ktk hili Luna upendeleo san kwanin kuhoj mipango yamtumwingine huko ccm mbon hawahojiwi huu siosawa
Spika wa bunge acha ubaguz huo n ubaguz dhahir sijui mnatufundsha nn inauma Sana chadema mnaonewa Kama sio wa Tz😭😭😭😭
Mbona sipika boya sana. Mtu anamdharirisha mwenzie
Leo ndio comment yangu ya kwanza kuiweka RUclips, HUYO DADA MMEMDHALILISHA SANA,SIO HAKI KABISA,HUYO NI MAMA AU DADA WA MTU PIA,MUNGU ATALIPA KWA MLILOLIFANYA.
So painfully aise! Pole sana kamanda Yosepher Komba.
Kama umefurahishwa na kessy kutorudi bungeni gonga like
😭😭😭Siyo vizuri spika umelifanya bunge kama masikani ya wahuni sasa mnatupotezea kodi zetu 🐒
Umemdharirisha mwanamke mwenzio we mama
Naomba tu watu wakumbuke upinzani ktk nchi ni sawa na nguvu ya maji,unaweza kuyafungia njia moja,ila katu hutaweza kukata mkondo unapoamua kukatiza unapopenda bado tutaendelea kupinga kutawaliwa hakuna umwamba kwenye keki ya taifa
Yaani siku hizi bunge lishakuwa la ccm kenge nyinyi mbwa kabisa
Spika nimchonganishi alafu ana roho ya kikatili sana duh,,, haijapedeza aisee
Sema spika angeacha tu maana ,, ata hivy ukiangalia kazalilishwa , Sana kumwambia kuwa na yeye yumo ktk wazalilishwaji wa gono ,,asingetaja hivo ,,,, spika apunguze kidogo siasa ,,,, japo CHADEMA huwa Wana fell some time ,,, lakini kwa hili Ni siasa ,, uonevu ,,, spika asikubaliane na mawazo yote ya wabunge wa CCM nao wanakosea
Kaka upo sawa kimawazo ila cha kwanza tuijenge nchi yetu tuache mambo ya nje
spika yuko sahihi,maana huyo bunge wa chadema kaenda kinyume na taratibu za bunge,hajaruhusiwa kuongea yy kashaanza kuongea kisa kadhalilishwa ,hata kama unahisi umedhalilishwa ndani ya bunge jitahidi kuji-control na hasira ikiwemo kuheshimu taratibu za bunge
Mwana kulitafuta mwana kulipata, kazi kwako
Inaonekana Spika hajui tofauti ya kodi na michango
Kazi Kazi big up ndugai
Kumbe hiyo ndo kaz kaz.....
Kumbe hiyo ndo kaz kaz.....
Naangalia mwengine anaetaka kuelekea huko huko😂😂😂😂😂 ah ndugai!
Spika wa bunge mungu anakuona
Kabisaa na anamuona haswa haswa
Aiseeee tunaelekea kubaya sana Mungu atusaidie.
Shetani ni shetani tu
Na mbinguni haendi
Kusema na kusikiliza ni muhimu, kukubali na kukataa ni demokrasia halisi. No interruption please. Mtu lazima amalize muda wake ni ustaarabu mzuri
ukiyafatilia haya san utakosa la kujadili chamsingi pambana na Hali yako chapa kaz hilo bunge toka mda limeshapoteza Nuru
Mungu ndiye mwenye pumzi zetu tunazovuta kama aliweza kutuonyesha miujiza kwa Farao/ Firauni tunaomba atuonyeshe pia kwa wenye tabia kama yake. ..eee Mungu tusaidie ili kuepuka udhalilishwaji huu ambao umeigawa nchi yetu kwa makundi yenye chuki kubwa sana