Si vyema Sana kutoa lawama za kuleta mkanganyiko katika jamii. Hakuna mtu anapenda mambo haya ya mashambulizi yakifanyika. Hakuna sababu ya kutaka kupata umaarufu kupitia mtu aliyeumizwa. Mungu awape hekima wabunge wengine. Wazuri kwa sura lkn mambo yao mmmmmmm!! Asome Mith. 14:33
Nyie watu acheni kuropokaropoka mnajua sheria na taratibu za bunge? Nyie wapinzani jichunguzeni sana, mwenzetu amevunjwa vunjwa na risasi bado mnafiliri ndiyo dili kulaumu watu wasiyo husika, huo siyo upendo, acheni mara moja na tumwombee Lisu msiingize siasa kwa mambo kama hayo. Mungu akutie nguvu SPIKA wetu. Sema usiogope baba.
Hakuna siku Mh Ndugai umenigusa kama leo, Lema tukutabe 2020 sisi ndio Arusha tutakunyoosha na wengine wooote mnaojipanga kugombea kupitia Chadema, nasema tukutane 2020
mheshimiwa ndugai we nimpore sana!!!!!! kiboko yao ni d.r tulia naibu spika na zungu mbunge Wa ilala watu hawa hawatakagi kubembeleza!!ndugai usiumie achana nao.
Ktk hili na mengineyo,sasa wanasiasa wetu mnatuaminisha kuwa sio wakweli.daima mnatunga mambo tu kuwaaminisha watu ili wawakubali.prove failure!!kumbe ni haki kabisa mkifukuzwa bungen.for sure "Arusha Deserve better""
spika siku hizi anajibu hoja za mitandaoni, bunge limekuwa lina summarize kilichojili mitandanoni kama vile Millard Ayo! Plz Mr. spika we have a lot to do!
Nilifiliya at least kwakuwa wana mugonjwa hospital watasaidiya the family to restore peace kumbe hapa lisu yuko hoyi nawao kuendeleya kuvunja familia yake, eti spika, spika,spika,mala wanajua aliyemupiga lisasi. .......duuh nikazi kuwa na malafiki kama awa wakati mgumu, hivi si niliona mke wa lisu ni mwanasheliya kwa nini asiombe privacy kwa familiya yake???? Anaanikwa inje nawabunge wa chadema 😩😩😩 duuh spika muna kazi ku deal na hizo viumbe
huna jipya ww mungu akuona usizani kama ww ndo mpendwa sn mungu atakulipa tuuu malipo ni hapa hapa jidai tuu kweli ww nimbaya sana hata ww hakushangaii
Hila jamani kwani siasa ni lazima uongee uwongo na hali kila kitu kipo wazi kama alivyoelezea Mh Ndugai - Spika. Hapo ndipo ninashindwa kujua huwa kunatumika vigezo gani mtu kuwa mbunge au kupitishwa. Tubadilike na siasa za majungu na kutafuta umaarufu kupitia matatizo. #mimi na Tanzania
Sometimes watu wengine wakiongea ongea maneno mengi ni kunyamaza na kuyaacha hivyo hivyo. Maana kuongea ni kuongeza matatizo au kuendeleza maongezi. Tumieni muda kwa masuala ya msingi. Watu wengine wamejaliwa kuwa wasemaji mahiri huwezi shindana naye maana ndivyo alivyojaliwa kuwa vile alivyo.
spiki kwanza kwa kujibu hiki kitu umesaidia wale ambao walikuwa hawajaelewa kuelewa ila wale ambao hata uwaeleweshe vipi wao wanabaki na wanachokiamin hao achana nao ila umeniudhi jambo moja unaposamehe bila sabb ya msingi ya kusamehe why Mimi nilijua baada ya kuongea ungempiga chini huyo Lema dahh eti nasamehe no watu wengine sio wakusamehewa watoe tu coz unamamlaka we jitu linaongea uongoooo bila sabb pichi chini wote hao spika
Beatrice Mushi,mwanamke mweye akili iliogandaa mavi ya chooni,hivi wewe lema kazungumzia kenya,tena katumia haki yake ya uhuru wa kujieleza na hakuna sheria yeyote aliovunja iwe ya kenya au tanzania,apewe adhabu gani,ndio nyie ambao ha kwenye biblia yesu aliwaambia watu,waacheni wafu wakazike wafu wao,wewe lema he was right and im still insist lema he was right,kwasababu tanzania inawajinga wengi na watu wa kuamini bila kufikiri ndio maana kila ujinga wa ccm watu nanuamini,sasa ampe adhabu lema yeye nani,uwe na akili wewe unaetumia jina bandia la moshi,huku ukiwa nyangao asiejitambua,kama kungekuwa na makaburi ya kuzika wafu wanotembe hata wewe ungekuwa umezikwa tiari,poooooooolllleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyangao la moshi
Mi nadhani Spika si lazima sana kila kitu akijibu, vingine apotezee tu, akiendelea hivi kwa kujibu kila neno nadhani atachoka sana maana hawa watu wanajijua wenyewe
Leo umeongea ktk hisia kari na upole wa hari ya juu mambo mengine raia tunapotoshwa kwa hari ya juu sana FANYA KAZI SIPIKA MUNGU NDIO ANAKUONA UPO KWENYE HAKI AMA HAUPO KWENYE HAKI!
Hivi hili ndilo bunge nililolisoma kwenye Vitabu la wakati wa Piusi Msekwa au Mzee Sitta au hata mama yetu Makinda?! Mbona bunge kinazidi kuondoa hadhi ya hata kulitazama?! Hivi hayo ndo tuliowatuma mfanye humo mjengoni kweli?!
Umefanya vema kubadili response Nafasi yako si ya kutumia kutema cheche za ubabe bali kutawala kwa hekima na busara. Utafungia wengi sana ukiikosa hiyo. Jazba haifai!!!
Jacklline Ndehel kwani kuwepo pale ndio msaada lema yuko sawa kabsaa umelipoti polisi kuna m2 anakutishia kwann hawakuchukua uamuzi wa kumsaidia tindu lisu?????????????????
Unachekesha alio kodi ndege niww au hiyo selikali yako turk nimwanadam aliguswa natukio hilo ndio mana alikod hiyo ndege naleo chadema wamelipa hiyo ela we huna mana yeyote
Sijui ni comment nini lkn kiufupi sana speaker upo sahii na kama Lema atakuwa mtu mwenye busara inabidi akuombe radhi hata kama umesha msamehee tayari. Nihayo tu
Ruben TzA bima yako ndiyo inakutibu kwa mujibu wa bima ya taifa ya afya hospitali ya rufaa ni India ambako waliingia ubia kuwatibu wateja wake. We na ichf yako utaishia manyamala
Ahsante Lema ujumbe ulifika
shetan anapendeza sana kwa sura na lugha.
Spika uko sahihi be blessed umejibu kwa kanuni na taratibu na umetoa ufafanuzi mzuri. Mwenye masikio amesikia na mwenye kuelewa ameelewa
Ndugai bana, you are bright sana!
Right on POINT Mr Spika, well done. that is what we call maturity in politics. Arusha deserved better.
Very nice our gud leader so rispect
nawakubali wapinzani kwa hili spika uko sawa mungu akulinde ndugai
Baba tumekuelewa. Asante kwa ufafanuzi.
BIG BROTHER ALWAYS RIGHT
yesss man nakukubali big up
Akim Mbwego
pole kakaangu ndugai dunia tambara bovu vumilia tuu mungu akutie nguvu
safi sana spika nimegundua kwamba kuwa kwako na hasira sio bure kuna wabunge wanakera kinoma....
Hah ''arusha deserves better' we were better since before na saiv ni best coz of comrade lema!! God bless you Godbless lema
Mungu atakulipia mheshimiwa Ndugai
yupo sawa nn,angefikisha hill swala sehemu husika akafikishiwa ujumbe spika
pole sana mueshimiwa
siasa ya bongo kama vita tushawastukia hao hawana lolote pigeni kaz waache wao waendelee kupiga maneno kaz nzur spika mungu akubark
Si vyema Sana kutoa lawama za kuleta mkanganyiko katika jamii. Hakuna mtu anapenda mambo haya ya mashambulizi yakifanyika. Hakuna sababu ya kutaka kupata umaarufu kupitia mtu aliyeumizwa. Mungu awape hekima wabunge wengine. Wazuri kwa sura lkn mambo yao mmmmmmm!! Asome Mith. 14:33
Dah mungu amsamehe uyu jamaa LEMA
mungu akupe moyo wa sbra spka wetu
Ur the walking dead
nakukubali sana wajina wangu, wapinzani wanatafuta tafuta tu, kasoro
Ila Leo kwa Mara ya kwanza nimekuelewa
Ur the walking dead
pole spika wetu wapokee tu hajui atendalo, wasamehe saba mara sabini.
For this nime kuelewa baba be blessed
Wabunge ni Tatizo La Nchi Yetu, Wanawashwawashwa ka Baadhi ya
Wastaafu
Mheshimiwa spika uko vzr sana ispokuwa wtz wengi sio waelewa.
Na ndiyo maana ya kuwa wana jumuiya lazima muwe na protocol plus platform.... very proffessional Mh. Ndugai
Uko sawa mh speaker
Spika upo sawa kabisa
lema yuko sawa wee endelea na bunge lema anaasira mmemshambulia mbunge wao lisu hanauhakika kama atapona
Nyie watu acheni kuropokaropoka mnajua sheria na taratibu za bunge? Nyie wapinzani jichunguzeni sana, mwenzetu amevunjwa vunjwa na risasi bado mnafiliri ndiyo dili kulaumu watu wasiyo husika, huo siyo upendo, acheni mara moja na tumwombee Lisu msiingize siasa kwa mambo kama hayo. Mungu akutie nguvu SPIKA wetu. Sema usiogope baba.
achana nao spika wpinzan hawana jema kaz kutafuta lawama kila siku
Hakuna siku Mh Ndugai umenigusa kama leo,
Lema tukutabe 2020 sisi ndio Arusha tutakunyoosha na wengine wooote mnaojipanga kugombea kupitia Chadema, nasema tukutane 2020
Huyo rema kazi yake majungu sana
nc
Bunge lina mambo mengi sana
Sidhani kama muda utatosha
Mitandaoni kuna topic nyingi sanana si rahisi zote zijadiliwe bungeni
spika uposawa sawa kabisa
Mungu akulipe wema spika lima hana jambo tushamzoea
KUJIBU HOJA KWA HOJA NDIO SIASA SI KUKASIRIKA..
yesss man upo sahihi sana ndugu upo sahihi ndugu
dah kweli wakubwa mmejitengenezea kinga ya uhai...kwann wananchi wasipate hata matibabu bure bas hospitali za ndani?
Kaka maelezo mazur sana, truth is by nature a self evidence...that stand loner
mheshimiwa ndugai we nimpore sana!!!!!! kiboko yao ni d.r tulia naibu spika na zungu mbunge Wa ilala watu hawa hawatakagi kubembeleza!!ndugai usiumie achana nao.
Duh! kweli kile Kiti kinamhitaji MTU mwenye Busara
mmechangishana pesa nyie wabunge yakumtibia mbunge mwenzenu mungu amewaona ..haya mengine nichangamoto
Naona spika amekuwa anaendesha bunge kwa kutizama yasemwayo mitandaoni.
Spika yuko sawa mzee coz hata wewe unapata habari kupitia mitandao hakuna tatizo kumjibu ili tujue ukweli
Festo Meshac
Spika anaharibu kujibu...maana leo ukijibu la huyu..kesho ataibuka mwingine na lake....
Bora spika umeongea tumekuelewa vyema achana na hao
Hii Kweli Tanzagiza, Serekalee Inaendeshwa Kinafki Sana Mungu Atawaumbua Only time will tell...
hajielewi huyo spika
Hahahahahah!!! Mshaambiwa kuwa mwafaaaaa
wewe kwani Mungu?
Ukiwa na kichwa cha mwendawazimu au kukurupuka huwezi muelewa spika!!.. "ARUSHA DESERVES BETTER"
Leo umeongea vzuri na umeeleweka
Ktk hili na mengineyo,sasa wanasiasa wetu mnatuaminisha kuwa sio wakweli.daima mnatunga mambo tu kuwaaminisha watu ili wawakubali.prove failure!!kumbe ni haki kabisa mkifukuzwa bungen.for sure "Arusha Deserve better""
Fanya kazi spika, hawa wanatafuta yao
Wanafanya Kiburi sana hawa wapinzani wa chadema rema ndio ariyefanya diri ra kupigwa tundurisu mpo hapo watanzania
Spika huyu ana hekima pia busara kama unakumbuka vizur haliwhy kumchapa bakora mgombia mwenzake
Bwana Salehe haaahaaa
muggingaikavyo na hii
mitandao nkama iliwapigia kura hvi sawaaaa
Kumbe bado na nyie mnapoteza muda kujibizana kwa mambo ya kwenye mtandao...!? Huu ni uswahili wa hali ya juu.
spika siku hizi anajibu hoja za mitandaoni, bunge limekuwa lina summarize kilichojili mitandanoni kama vile Millard Ayo! Plz Mr. spika we have a lot to do!
Dr. Emmanuel Imani Ngadaya
Lema juuuu hata ufanye vip
Mheshimiwa Ndungai kama ulikua unalijua hilo na ukasema unaomba useme kwa upole ndivyo ivyo ungemwambia Zitto kabwe sio kumtishia hatoingia bungeni
Nilifiliya at least kwakuwa wana mugonjwa hospital watasaidiya the family to restore peace kumbe hapa lisu yuko hoyi nawao kuendeleya kuvunja familia yake, eti spika, spika,spika,mala wanajua aliyemupiga lisasi. .......duuh nikazi kuwa na malafiki kama awa wakati mgumu, hivi si niliona mke wa lisu ni mwanasheliya kwa nini asiombe privacy kwa familiya yake???? Anaanikwa inje nawabunge wa chadema 😩😩😩 duuh spika muna kazi ku deal na hizo viumbe
Mmmmh kazi ipo
Chadema hawana imani na serekali ndo maana wakampeleka kenya....kulingana na mazingira...nawaunga mkono chadema kwa maamzi yao..
Sometimes silence is the best answer.
nimekuelewa m. spika sauti yako na roho yako sio mbaya
Kwahiyo gari ya naibu spika ni la serikali au bunge
Nauliza tu, Bima yenye Referral Aporo India ni kwa waheshimiwa tu????
HATAWASINGETUPELEKA KWENYENDEGE TUNGEENDAWENYEWE
huna jipya ww mungu akuona usizani kama ww ndo mpendwa sn mungu atakulipa tuuu malipo ni hapa hapa jidai tuu kweli ww nimbaya sana hata ww hakushangaii
Spika kama haukufanya kosa usungejibu hoja ya lema ila unajua kwamba umekosea ndio maana umejibu
Spika wa kwenye mitandao
lema yuko sahihi bro.....fight fo ur atitude
pole sana Mhe Speaker
Duh kumbe nyie bima yenu inaenda hd India
Spika toa ushahidi tuamini kama ni kweli ndege ilikuwepo
Ruben TzA
Hila jamani kwani siasa ni lazima uongee uwongo na hali kila kitu kipo wazi kama alivyoelezea Mh Ndugai - Spika. Hapo ndipo ninashindwa kujua huwa kunatumika vigezo gani mtu kuwa mbunge au kupitishwa. Tubadilike na siasa za majungu na kutafuta umaarufu kupitia matatizo. #mimi na Tanzania
Mbunge wa jimbo langu Lema uliteleza...Kama haya ndo yaliyofanywa na spika
Sometimes watu wengine wakiongea ongea maneno mengi ni kunyamaza na kuyaacha hivyo hivyo. Maana kuongea ni kuongeza matatizo au kuendeleza maongezi. Tumieni muda kwa masuala ya msingi. Watu wengine wamejaliwa kuwa wasemaji mahiri huwezi shindana naye maana ndivyo alivyojaliwa kuwa vile alivyo.
upuuziiiiiiiii
spiki kwanza kwa kujibu hiki kitu umesaidia wale ambao walikuwa hawajaelewa kuelewa ila wale ambao hata uwaeleweshe vipi wao wanabaki na wanachokiamin hao achana nao ila umeniudhi jambo moja unaposamehe bila sabb ya msingi ya kusamehe why Mimi nilijua baada ya kuongea ungempiga chini huyo Lema dahh eti nasamehe no watu wengine sio wakusamehewa watoe tu coz unamamlaka we jitu linaongea uongoooo bila sabb pichi chini wote hao spika
Beatrice Mushi,mwanamke mweye akili iliogandaa mavi ya chooni,hivi wewe lema kazungumzia kenya,tena katumia haki yake ya uhuru wa kujieleza na hakuna sheria yeyote aliovunja iwe ya kenya au tanzania,apewe adhabu gani,ndio nyie ambao ha kwenye biblia yesu aliwaambia watu,waacheni wafu wakazike wafu wao,wewe lema he was right and im still insist lema he was right,kwasababu tanzania inawajinga wengi na watu wa kuamini bila kufikiri ndio maana kila ujinga wa ccm watu nanuamini,sasa ampe adhabu lema yeye nani,uwe na akili wewe unaetumia jina bandia la moshi,huku ukiwa nyangao asiejitambua,kama kungekuwa na makaburi ya kuzika wafu wanotembe hata wewe ungekuwa umezikwa tiari,poooooooolllleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyangao la moshi
Mi nadhani Spika si lazima sana kila kitu akijibu, vingine apotezee tu, akiendelea hivi kwa kujibu kila neno nadhani atachoka sana maana hawa watu wanajijua wenyewe
Leo umeongea ktk hisia kari na upole wa hari ya juu mambo mengine raia tunapotoshwa kwa hari ya juu sana FANYA KAZI SIPIKA MUNGU NDIO ANAKUONA UPO KWENYE HAKI AMA HAUPO KWENYE HAKI!
Wanatapatapa kweli hawa
HAYO NI MAMBO MUHIM KAZIMA AYATOLEE MAELEZO SPIKA YUKO SAWA KUJIBU AENDELEE KUJIBU HOJA ZAID ZA LEMA .
speaker accept your own mistakes stop working unwillingly
lema yuko sawa
Leila aliyeleta mkanganyiko ni lema so acha spika ajibu tujue coz mambo hayawez kwenda mtu atakavyo kuna taraatibu
unamfaham lema ila humjui!
Hivi hili ndilo bunge nililolisoma kwenye Vitabu la wakati wa Piusi Msekwa au Mzee Sitta au hata mama yetu Makinda?! Mbona bunge kinazidi kuondoa hadhi ya hata kulitazama?! Hivi hayo ndo tuliowatuma mfanye humo mjengoni kweli?!
😅😀😀😀polen kwakuumwa
🤔😳
Hata yy watu wa jimbo lake wanadeserve better na bunge pia
Spk wa bunge huko harari kutibiwa Shababu hawa wabunge wa CHAdema wanamchanganya Sana hapo bungeni
Mheshimiwa spika busara huzaa busara leo nakupa pongez
amna cha kamat wala cha mama ake na kanati mpo mpo 2 nch gan hiii....kwel bongo bahati mbayaa
Umefanya vema kubadili response
Nafasi yako si ya kutumia kutema cheche za ubabe bali kutawala kwa hekima na busara.
Utafungia wengi sana ukiikosa hiyo.
Jazba haifai!!!
Mimi ni mwana Chadema kwa hili ndugai uko sawa sana tenda haki siku zote hutonyooshewa vidole
Jacklline Ndehel wewe ccm tuu acha kuzuga kwa jali ilivyo leo
Jacklline Ndehel we non sense kweli ndo wenye mawazo mgano ambayo kila kitu mnaona sawa
Jacklline Ndehel kwani kuwepo pale ndio msaada lema yuko sawa kabsaa umelipoti polisi kuna m2 anakutishia kwann hawakuchukua uamuzi wa kumsaidia tindu lisu?????????????????
Juliana Msengi CDM fake utakua
upo sahihi usiumize kichwa nahao wabunge wasioelewa sheria nakanuni zabunge fanya kazi ndugai
Unachekesha alio kodi ndege niww au hiyo selikali yako turk nimwanadam aliguswa natukio hilo ndio mana alikod hiyo ndege naleo chadema wamelipa hiyo ela we huna mana yeyote
Sijui ni comment nini lkn kiufupi sana speaker upo sahii na kama Lema atakuwa mtu mwenye busara inabidi akuombe radhi hata kama umesha msamehee tayari. Nihayo tu
Kumbe mnatibiwaga India sisi tunakufa mwananyamala
Ruben TzA bima yako ndiyo inakutibu kwa mujibu wa bima ya taifa ya afya hospitali ya rufaa ni India ambako waliingia ubia kuwatibu wateja wake.
We na ichf yako utaishia manyamala
Ruben TzA hahahaaaa! Sie famasi jamani,loh
Farmasi za binafsi utaweza!?? Labda uchochoroni
Katafute BIMA wewe acha longolongo
mheshimiwa spika nakupongeza sana hao watu unahaja hata yakuwajibu ishi kwa hofu ya allha hao siwaelewa hata ungewaelewesha mpaka kesho
unasamehe nn speaker kwnn hamkusamehi lisu kwanza