Spika Ndugai Amjibu Lema Kuhusu Bunge na Serikali Kutomsaidia Lissu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 346

  • @kfastak
    @kfastak 7 лет назад +2

    Ahsante Lema ujumbe ulifika

  • @bsgfreightpermits3673
    @bsgfreightpermits3673 7 лет назад +2

    shetan anapendeza sana kwa sura na lugha.

  • @kelvinvenance1483
    @kelvinvenance1483 7 лет назад +12

    Spika uko sahihi be blessed umejibu kwa kanuni na taratibu na umetoa ufafanuzi mzuri. Mwenye masikio amesikia na mwenye kuelewa ameelewa

  • @adinanjuma2457
    @adinanjuma2457 7 лет назад

    Ndugai bana, you are bright sana!

  • @abras3479
    @abras3479 7 лет назад

    Right on POINT Mr Spika, well done. that is what we call maturity in politics. Arusha deserved better.

  • @geofreymwaipopo7627
    @geofreymwaipopo7627 7 лет назад

    Very nice our gud leader so rispect

  • @laumlimbila4337
    @laumlimbila4337 7 лет назад

    nawakubali wapinzani kwa hili spika uko sawa mungu akulinde ndugai

  • @nyangorwihula9281
    @nyangorwihula9281 7 лет назад

    Baba tumekuelewa. Asante kwa ufafanuzi.

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 7 лет назад +3

    BIG BROTHER ALWAYS RIGHT

  • @upendoakio5825
    @upendoakio5825 7 лет назад

    pole kakaangu ndugai dunia tambara bovu vumilia tuu mungu akutie nguvu

  • @emmanuelterevael5766
    @emmanuelterevael5766 7 лет назад

    safi sana spika nimegundua kwamba kuwa kwako na hasira sio bure kuna wabunge wanakera kinoma....

  • @tedystanley8889
    @tedystanley8889 7 лет назад

    Hah ''arusha deserves better' we were better since before na saiv ni best coz of comrade lema!! God bless you Godbless lema

  • @kalongaalex8262
    @kalongaalex8262 7 лет назад

    Mungu atakulipia mheshimiwa Ndugai

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 7 лет назад +1

    yupo sawa nn,angefikisha hill swala sehemu husika akafikishiwa ujumbe spika

  • @kifarusongeaolg9726
    @kifarusongeaolg9726 7 лет назад

    pole sana mueshimiwa

  • @petertengia3062
    @petertengia3062 7 лет назад +3

    siasa ya bongo kama vita tushawastukia hao hawana lolote pigeni kaz waache wao waendelee kupiga maneno kaz nzur spika mungu akubark

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 7 лет назад

    Si vyema Sana kutoa lawama za kuleta mkanganyiko katika jamii. Hakuna mtu anapenda mambo haya ya mashambulizi yakifanyika. Hakuna sababu ya kutaka kupata umaarufu kupitia mtu aliyeumizwa. Mungu awape hekima wabunge wengine. Wazuri kwa sura lkn mambo yao mmmmmmm!! Asome Mith. 14:33

  • @dasadaimasanga7287
    @dasadaimasanga7287 7 лет назад

    Dah mungu amsamehe uyu jamaa LEMA

  • @mamuubuss4236
    @mamuubuss4236 7 лет назад +5

    mungu akupe moyo wa sbra spka wetu

  • @jobmwakilama1541
    @jobmwakilama1541 7 лет назад

    nakukubali sana wajina wangu, wapinzani wanatafuta tafuta tu, kasoro

  • @fellaanikulapo4712
    @fellaanikulapo4712 7 лет назад +6

    Ila Leo kwa Mara ya kwanza nimekuelewa

  • @manyangagrace4342
    @manyangagrace4342 7 лет назад

    pole spika wetu wapokee tu hajui atendalo, wasamehe saba mara sabini.

  • @faithpaulnyabagaka2410
    @faithpaulnyabagaka2410 7 лет назад

    For this nime kuelewa baba be blessed

  • @salmaidrisa3811
    @salmaidrisa3811 7 лет назад +4

    Wabunge ni Tatizo La Nchi Yetu, Wanawashwawashwa ka Baadhi ya
    Wastaafu

  • @gehartstone9452
    @gehartstone9452 7 лет назад

    Mheshimiwa spika uko vzr sana ispokuwa wtz wengi sio waelewa.

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 7 лет назад

    Na ndiyo maana ya kuwa wana jumuiya lazima muwe na protocol plus platform.... very proffessional Mh. Ndugai

  • @anaplucas1698
    @anaplucas1698 7 лет назад

    Uko sawa mh speaker

  • @davboimkali2857
    @davboimkali2857 7 лет назад

    Spika upo sawa kabisa

  • @kennedyjohn6788
    @kennedyjohn6788 7 лет назад +1

    lema yuko sawa wee endelea na bunge lema anaasira mmemshambulia mbunge wao lisu hanauhakika kama atapona

  • @paulinabaynit3627
    @paulinabaynit3627 7 лет назад +2

    Nyie watu acheni kuropokaropoka mnajua sheria na taratibu za bunge? Nyie wapinzani jichunguzeni sana, mwenzetu amevunjwa vunjwa na risasi bado mnafiliri ndiyo dili kulaumu watu wasiyo husika, huo siyo upendo, acheni mara moja na tumwombee Lisu msiingize siasa kwa mambo kama hayo. Mungu akutie nguvu SPIKA wetu. Sema usiogope baba.

  • @zubedahussein9779
    @zubedahussein9779 7 лет назад +16

    achana nao spika wpinzan hawana jema kaz kutafuta lawama kila siku

  • @edmundedward4365
    @edmundedward4365 7 лет назад +1

    Hakuna siku Mh Ndugai umenigusa kama leo,
    Lema tukutabe 2020 sisi ndio Arusha tutakunyoosha na wengine wooote mnaojipanga kugombea kupitia Chadema, nasema tukutane 2020

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 лет назад

    Huyo rema kazi yake majungu sana

  • @ebenmkidzi2506
    @ebenmkidzi2506 7 лет назад

    nc

  • @musibaessaba8693
    @musibaessaba8693 7 лет назад +1

    Bunge lina mambo mengi sana
    Sidhani kama muda utatosha
    Mitandaoni kuna topic nyingi sanana si rahisi zote zijadiliwe bungeni

  • @labanigalusi874
    @labanigalusi874 7 лет назад +8

    spika uposawa sawa kabisa

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 7 лет назад

    Mungu akulipe wema spika lima hana jambo tushamzoea

  • @mosesmagadula9122
    @mosesmagadula9122 7 лет назад +2

    KUJIBU HOJA KWA HOJA NDIO SIASA SI KUKASIRIKA..

    • @doglasssalla9170
      @doglasssalla9170 7 лет назад

      yesss man upo sahihi sana ndugu upo sahihi ndugu

  • @haroldsenyagwa4756
    @haroldsenyagwa4756 7 лет назад +1

    dah kweli wakubwa mmejitengenezea kinga ya uhai...kwann wananchi wasipate hata matibabu bure bas hospitali za ndani?

  • @kulwamapunda4414
    @kulwamapunda4414 7 лет назад

    Kaka maelezo mazur sana, truth is by nature a self evidence...that stand loner

  • @fokasiinnocent3448
    @fokasiinnocent3448 7 лет назад

    mheshimiwa ndugai we nimpore sana!!!!!! kiboko yao ni d.r tulia naibu spika na zungu mbunge Wa ilala watu hawa hawatakagi kubembeleza!!ndugai usiumie achana nao.

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 7 лет назад

    Duh! kweli kile Kiti kinamhitaji MTU mwenye Busara

  • @fausterjordan2880
    @fausterjordan2880 7 лет назад +5

    mmechangishana pesa nyie wabunge yakumtibia mbunge mwenzenu mungu amewaona ..haya mengine nichangamoto

  • @festomeshack8581
    @festomeshack8581 7 лет назад +2

    Naona spika amekuwa anaendesha bunge kwa kutizama yasemwayo mitandaoni.

    • @mbwanaomary7537
      @mbwanaomary7537 7 лет назад +3

      Spika yuko sawa mzee coz hata wewe unapata habari kupitia mitandao hakuna tatizo kumjibu ili tujue ukweli

    • @mtatiromgeka7270
      @mtatiromgeka7270 5 лет назад

      Festo Meshac

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu5919 7 лет назад +1

    Spika anaharibu kujibu...maana leo ukijibu la huyu..kesho ataibuka mwingine na lake....

  • @rahamalast4005
    @rahamalast4005 7 лет назад +13

    Bora spika umeongea tumekuelewa vyema achana na hao

  • @graceswai9147
    @graceswai9147 7 лет назад

    Hii Kweli Tanzagiza, Serekalee Inaendeshwa Kinafki Sana Mungu Atawaumbua Only time will tell...

  • @maulidawadh1647
    @maulidawadh1647 7 лет назад +1

    hajielewi huyo spika

  • @fanimasambu2443
    @fanimasambu2443 7 лет назад

    Hahahahahah!!! Mshaambiwa kuwa mwafaaaaa

  • @suleimanally3515
    @suleimanally3515 7 лет назад +4

    wewe kwani Mungu?

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 7 лет назад

    Ukiwa na kichwa cha mwendawazimu au kukurupuka huwezi muelewa spika!!.. "ARUSHA DESERVES BETTER"

  • @ephraimmwano7134
    @ephraimmwano7134 7 лет назад +1

    Leo umeongea vzuri na umeeleweka

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 7 лет назад

    Ktk hili na mengineyo,sasa wanasiasa wetu mnatuaminisha kuwa sio wakweli.daima mnatunga mambo tu kuwaaminisha watu ili wawakubali.prove failure!!kumbe ni haki kabisa mkifukuzwa bungen.for sure "Arusha Deserve better""

  • @dominickstans359
    @dominickstans359 7 лет назад +5

    Fanya kazi spika, hawa wanatafuta yao

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 лет назад

    Wanafanya Kiburi sana hawa wapinzani wa chadema rema ndio ariyefanya diri ra kupigwa tundurisu mpo hapo watanzania

  • @bwanasalehe6732
    @bwanasalehe6732 7 лет назад +2

    Spika huyu ana hekima pia busara kama unakumbuka vizur haliwhy kumchapa bakora mgombia mwenzake

  • @franklinbennie4470
    @franklinbennie4470 7 лет назад

    muggingaikavyo na hii
    mitandao nkama iliwapigia kura hvi sawaaaa

  • @stewartmillanzi7198
    @stewartmillanzi7198 7 лет назад +1

    Kumbe bado na nyie mnapoteza muda kujibizana kwa mambo ya kwenye mtandao...!? Huu ni uswahili wa hali ya juu.

  • @emmanuelngadaya1412
    @emmanuelngadaya1412 7 лет назад +3

    spika siku hizi anajibu hoja za mitandaoni, bunge limekuwa lina summarize kilichojili mitandanoni kama vile Millard Ayo! Plz Mr. spika we have a lot to do!

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 7 лет назад +1

    Lema juuuu hata ufanye vip

  • @daudimwidimakihanda5386
    @daudimwidimakihanda5386 7 лет назад +1

    Mheshimiwa Ndungai kama ulikua unalijua hilo na ukasema unaomba useme kwa upole ndivyo ivyo ungemwambia Zitto kabwe sio kumtishia hatoingia bungeni

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 7 лет назад

    Nilifiliya at least kwakuwa wana mugonjwa hospital watasaidiya the family to restore peace kumbe hapa lisu yuko hoyi nawao kuendeleya kuvunja familia yake, eti spika, spika,spika,mala wanajua aliyemupiga lisasi. .......duuh nikazi kuwa na malafiki kama awa wakati mgumu, hivi si niliona mke wa lisu ni mwanasheliya kwa nini asiombe privacy kwa familiya yake???? Anaanikwa inje nawabunge wa chadema 😩😩😩 duuh spika muna kazi ku deal na hizo viumbe

  • @johnadam6825
    @johnadam6825 7 лет назад

    Mmmmh kazi ipo

    • @mauwezohouseofjeansmauwezo6062
      @mauwezohouseofjeansmauwezo6062 7 лет назад +4

      Chadema hawana imani na serekali ndo maana wakampeleka kenya....kulingana na mazingira...nawaunga mkono chadema kwa maamzi yao..

    • @gisilabarunguza6679
      @gisilabarunguza6679 7 лет назад +1

      Sometimes silence is the best answer.

  • @davidmbilinyi4198
    @davidmbilinyi4198 7 лет назад

    nimekuelewa m. spika sauti yako na roho yako sio mbaya

  • @ramadhanihatibu374
    @ramadhanihatibu374 7 лет назад +1

    Kwahiyo gari ya naibu spika ni la serikali au bunge

  • @donathaayaga527
    @donathaayaga527 7 лет назад +1

    Nauliza tu, Bima yenye Referral Aporo India ni kwa waheshimiwa tu????

  • @robartmdumarobart6568
    @robartmdumarobart6568 7 лет назад +1

    HATAWASINGETUPELEKA KWENYENDEGE TUNGEENDAWENYEWE

  • @aikaelias2491
    @aikaelias2491 7 лет назад +1

    huna jipya ww mungu akuona usizani kama ww ndo mpendwa sn mungu atakulipa tuuu malipo ni hapa hapa jidai tuu kweli ww nimbaya sana hata ww hakushangaii

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 7 лет назад +1

    Spika kama haukufanya kosa usungejibu hoja ya lema ila unajua kwamba umekosea ndio maana umejibu

  • @kimongearusha247
    @kimongearusha247 7 лет назад +1

    Spika wa kwenye mitandao

  • @richardmakao7488
    @richardmakao7488 7 лет назад

    lema yuko sahihi bro.....fight fo ur atitude

  • @kafugejoel4422
    @kafugejoel4422 7 лет назад +2

    pole sana Mhe Speaker

  • @masseanadir2904
    @masseanadir2904 7 лет назад +2

    Duh kumbe nyie bima yenu inaenda hd India

  • @reubentza
    @reubentza 7 лет назад +1

    Spika toa ushahidi tuamini kama ni kweli ndege ilikuwepo

  • @amirijr
    @amirijr 7 лет назад

    Hila jamani kwani siasa ni lazima uongee uwongo na hali kila kitu kipo wazi kama alivyoelezea Mh Ndugai - Spika. Hapo ndipo ninashindwa kujua huwa kunatumika vigezo gani mtu kuwa mbunge au kupitishwa. Tubadilike na siasa za majungu na kutafuta umaarufu kupitia matatizo. #mimi na Tanzania

  • @adinanjuma2457
    @adinanjuma2457 7 лет назад

    Mbunge wa jimbo langu Lema uliteleza...Kama haya ndo yaliyofanywa na spika

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 7 лет назад

    Sometimes watu wengine wakiongea ongea maneno mengi ni kunyamaza na kuyaacha hivyo hivyo. Maana kuongea ni kuongeza matatizo au kuendeleza maongezi. Tumieni muda kwa masuala ya msingi. Watu wengine wamejaliwa kuwa wasemaji mahiri huwezi shindana naye maana ndivyo alivyojaliwa kuwa vile alivyo.

  • @preciousadellycious2774
    @preciousadellycious2774 7 лет назад

    upuuziiiiiiiii

  • @beatricemushi9718
    @beatricemushi9718 7 лет назад +3

    spiki kwanza kwa kujibu hiki kitu umesaidia wale ambao walikuwa hawajaelewa kuelewa ila wale ambao hata uwaeleweshe vipi wao wanabaki na wanachokiamin hao achana nao ila umeniudhi jambo moja unaposamehe bila sabb ya msingi ya kusamehe why Mimi nilijua baada ya kuongea ungempiga chini huyo Lema dahh eti nasamehe no watu wengine sio wakusamehewa watoe tu coz unamamlaka we jitu linaongea uongoooo bila sabb pichi chini wote hao spika

    • @doglasssalla9170
      @doglasssalla9170 7 лет назад

      Beatrice Mushi,mwanamke mweye akili iliogandaa mavi ya chooni,hivi wewe lema kazungumzia kenya,tena katumia haki yake ya uhuru wa kujieleza na hakuna sheria yeyote aliovunja iwe ya kenya au tanzania,apewe adhabu gani,ndio nyie ambao ha kwenye biblia yesu aliwaambia watu,waacheni wafu wakazike wafu wao,wewe lema he was right and im still insist lema he was right,kwasababu tanzania inawajinga wengi na watu wa kuamini bila kufikiri ndio maana kila ujinga wa ccm watu nanuamini,sasa ampe adhabu lema yeye nani,uwe na akili wewe unaetumia jina bandia la moshi,huku ukiwa nyangao asiejitambua,kama kungekuwa na makaburi ya kuzika wafu wanotembe hata wewe ungekuwa umezikwa tiari,poooooooolllleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nyangao la moshi

  • @mwalimuchristian3273
    @mwalimuchristian3273 7 лет назад

    Mi nadhani Spika si lazima sana kila kitu akijibu, vingine apotezee tu, akiendelea hivi kwa kujibu kila neno nadhani atachoka sana maana hawa watu wanajijua wenyewe

  • @hassankasigwa477
    @hassankasigwa477 7 лет назад

    Leo umeongea ktk hisia kari na upole wa hari ya juu mambo mengine raia tunapotoshwa kwa hari ya juu sana FANYA KAZI SIPIKA MUNGU NDIO ANAKUONA UPO KWENYE HAKI AMA HAUPO KWENYE HAKI!

  • @christinasangu8040
    @christinasangu8040 7 лет назад

    Wanatapatapa kweli hawa

  • @mosesmagadula9122
    @mosesmagadula9122 7 лет назад +5

    HAYO NI MAMBO MUHIM KAZIMA AYATOLEE MAELEZO SPIKA YUKO SAWA KUJIBU AENDELEE KUJIBU HOJA ZAID ZA LEMA .

  • @sulleabasi6761
    @sulleabasi6761 7 лет назад +1

    speaker accept your own mistakes stop working unwillingly

  • @richardmaro2402
    @richardmaro2402 7 лет назад

    lema yuko sawa

  • @monakalinga7623
    @monakalinga7623 7 лет назад +7

    Leila aliyeleta mkanganyiko ni lema so acha spika ajibu tujue coz mambo hayawez kwenda mtu atakavyo kuna taraatibu

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 7 лет назад +1

    unamfaham lema ila humjui!

  • @sangararawarioba3016
    @sangararawarioba3016 7 лет назад +1

    Hivi hili ndilo bunge nililolisoma kwenye Vitabu la wakati wa Piusi Msekwa au Mzee Sitta au hata mama yetu Makinda?! Mbona bunge kinazidi kuondoa hadhi ya hata kulitazama?! Hivi hayo ndo tuliowatuma mfanye humo mjengoni kweli?!

  • @haleematanzania866
    @haleematanzania866 6 лет назад

    😅😀😀😀polen kwakuumwa

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 7 лет назад

    🤔😳

  • @josemagoma4050
    @josemagoma4050 7 лет назад

    Hata yy watu wa jimbo lake wanadeserve better na bunge pia

  • @agneserasto9806
    @agneserasto9806 5 лет назад

    Spk wa bunge huko harari kutibiwa Shababu hawa wabunge wa CHAdema wanamchanganya Sana hapo bungeni

  • @medsonulendo4221
    @medsonulendo4221 7 лет назад

    Mheshimiwa spika busara huzaa busara leo nakupa pongez

  • @isuqalex8726
    @isuqalex8726 7 лет назад

    amna cha kamat wala cha mama ake na kanati mpo mpo 2 nch gan hiii....kwel bongo bahati mbayaa

  • @jerrywilhelm
    @jerrywilhelm 7 лет назад

    Umefanya vema kubadili response
    Nafasi yako si ya kutumia kutema cheche za ubabe bali kutawala kwa hekima na busara.
    Utafungia wengi sana ukiikosa hiyo.
    Jazba haifai!!!

  • @jackllinendehel2361
    @jackllinendehel2361 7 лет назад +18

    Mimi ni mwana Chadema kwa hili ndugai uko sawa sana tenda haki siku zote hutonyooshewa vidole

    • @danielbasilwango4402
      @danielbasilwango4402 7 лет назад +1

      Jacklline Ndehel wewe ccm tuu acha kuzuga kwa jali ilivyo leo

    • @thomasnaman3909
      @thomasnaman3909 7 лет назад +1

      Jacklline Ndehel we non sense kweli ndo wenye mawazo mgano ambayo kila kitu mnaona sawa

    • @julianamsengi7002
      @julianamsengi7002 7 лет назад +1

      Jacklline Ndehel kwani kuwepo pale ndio msaada lema yuko sawa kabsaa umelipoti polisi kuna m2 anakutishia kwann hawakuchukua uamuzi wa kumsaidia tindu lisu?????????????????

    • @graceswai9147
      @graceswai9147 7 лет назад +2

      Juliana Msengi CDM fake utakua

    • @fatimahassanmohammad1941
      @fatimahassanmohammad1941 7 лет назад +1

      upo sahihi usiumize kichwa nahao wabunge wasioelewa sheria nakanuni zabunge fanya kazi ndugai

  • @kassmbilali5013
    @kassmbilali5013 7 лет назад +1

    Unachekesha alio kodi ndege niww au hiyo selikali yako turk nimwanadam aliguswa natukio hilo ndio mana alikod hiyo ndege naleo chadema wamelipa hiyo ela we huna mana yeyote

  • @kallamudaily73
    @kallamudaily73 7 лет назад

    Sijui ni comment nini lkn kiufupi sana speaker upo sahii na kama Lema atakuwa mtu mwenye busara inabidi akuombe radhi hata kama umesha msamehee tayari. Nihayo tu

  • @reubentza
    @reubentza 7 лет назад +20

    Kumbe mnatibiwaga India sisi tunakufa mwananyamala

    • @eugenaxwesso9321
      @eugenaxwesso9321 7 лет назад

      Ruben TzA bima yako ndiyo inakutibu kwa mujibu wa bima ya taifa ya afya hospitali ya rufaa ni India ambako waliingia ubia kuwatibu wateja wake.
      We na ichf yako utaishia manyamala

    • @janethjackson5370
      @janethjackson5370 7 лет назад +1

      Ruben TzA hahahaaaa! Sie famasi jamani,loh

    • @eugenaxwesso9321
      @eugenaxwesso9321 7 лет назад

      Farmasi za binafsi utaweza!?? Labda uchochoroni

    • @abras3479
      @abras3479 7 лет назад +3

      Katafute BIMA wewe acha longolongo

    • @shemsaabdalla9158
      @shemsaabdalla9158 7 лет назад +4

      mheshimiwa spika nakupongeza sana hao watu unahaja hata yakuwajibu ishi kwa hofu ya allha hao siwaelewa hata ungewaelewesha mpaka kesho

  • @saitotilucumay594
    @saitotilucumay594 7 лет назад +1

    unasamehe nn speaker kwnn hamkusamehi lisu kwanza