CHEKI DIAMOND ALICHO KIFANYA KWA CHRISTINA SHUSHO MBELE YA MAASKOFU, ZUCHU ANUNA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 762

  • @bronick5810
    @bronick5810 6 месяцев назад +245

    Mimi kama mchungaji kutoka Kenya nasema hivi, wengi wa wasanii wa nyimbo za injili sio Tanzania tu bali ata hapa kenya, walianza na Roho lakini sasa wanamaliza kwa mwili kwa sababu ya pesa . Tumhofu Mungu jameni

    • @bethmainaheagahinya8888
      @bethmainaheagahinya8888 6 месяцев назад

      Vivyo hivyoo ilivyoo kwa Wachunganji pia na ndio maana makanisa yamejaa kila pahali juu kila mmoja ataka hicho chondo cha toleo...... Mala fungu lakumi mara toa thabihu mala toleo lakujikinga mala toleo la shukrani makanisa yamembaki na matoleo kuliko vile neno takatifu la Mungu Sasa YESU akasema Msinililie Mimi njililieni nyinyi wamo duniani..... Kila Mtu ajililie ajikosoe anapo kuja kumkosoa mwenzio... Ahsante Ahsante sana

    • @fbontucshkim2011
      @fbontucshkim2011 6 месяцев назад +8

      Nashangaa sana jinsi wasanii wa nyimbo za injili wanaona ni sawa kushirikiana na wale wa nyimbo za kidunia,some I maandiko vizuri

    • @fbontucshkim2011
      @fbontucshkim2011 6 месяцев назад +5

      Someni maandiko vizuri

    • @godieres
      @godieres 6 месяцев назад +20

      Light and darkness cannot be together not unless they are both dark,I rest my case

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 6 месяцев назад +14

      Tusihukumu wengine tusije kuhukumiwa sisi, Mathayo 7:1-5

  • @nuhu-z6r
    @nuhu-z6r 6 месяцев назад +65

    Tukisema sana pia tutakosea mungu anawajua walio wake

  • @yetu10
    @yetu10 6 месяцев назад +9

    Katika Uinjilisti Christina ako Sawa Wacha Watu Wote wajue Habari ya Mungu.. Mungu anawataka Wote tumjue na Tumtukuze ❤️👍🙏

  • @paulineakoth6534
    @paulineakoth6534 6 месяцев назад +27

    I Iong for the days that I wasn't yet born again but I could just put wakuabudiwa. The spirit of God was in her old songs. Nowadays, wah! Mungu atusaidie. Let's notie to the Most high

    • @officialyohanamalisa1873
      @officialyohanamalisa1873 6 месяцев назад +2

      She was real a worshiper, but now days, too much of Worldly desire.

    • @officialyohanamalisa1873
      @officialyohanamalisa1873 6 месяцев назад

      But all in all Jesus the King. 👑

    • @OnesmusAkwabi
      @OnesmusAkwabi 6 месяцев назад +1

      Plain truth Pauline

    • @jesicahmuhindi277
      @jesicahmuhindi277 5 месяцев назад

      I still put wakuabudiwa upto date and it s still spirit filled but huko kwingine weeeh

  • @jeraldjensen6504
    @jeraldjensen6504 6 месяцев назад +51

    Ila tukiangalia Kwa jicho la pili Christina shusho kamtangaza MUNGU katika ya watu wasio mjua MUNGU, huu ni uinjilisti mkubwa sana God keep you

    • @LawiSinde
      @LawiSinde 6 месяцев назад +1

      Huyo ambaye Amjui Mungu labda wewe Acha Uongo potea mbali wana Wa Uasi

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 6 месяцев назад +1

      dah jmni dada wa watu Mungu wtu aendelee kumnyanyua. maana yeye anawafikia hao wengine ni ngumu. ni muwakilishi wa Ufalme Wake Mungu wtu

    • @godlovemalekela17
      @godlovemalekela17 6 месяцев назад +1

      Yupo vzur

    • @amosdickson6318
      @amosdickson6318 6 месяцев назад

      Nadhani huelewi, ukielewa utauliza, niko wapi huku?

    • @stanelykariuki-ue3cw
      @stanelykariuki-ue3cw 6 месяцев назад +1

      Uijilisti wa kishetani

  • @bethmainaheagahinya8888
    @bethmainaheagahinya8888 6 месяцев назад +5

    Christina i really love your Ministry you're such a great Woman of God hua naomba tu Siku Moja kuongea nawe i love you shusho

  • @kungujoel7989
    @kungujoel7989 5 месяцев назад +8

    Christina was so humble in the past nowadays she is so proud 😢

    • @Adija-ur8uf
      @Adija-ur8uf 5 месяцев назад

      Na nguo tight kwa mwili kweli

  • @conybebkadaz1339
    @conybebkadaz1339 6 месяцев назад +97

    Mimi ndasema ukweli,,, Christina Shusho umeanza kumkosea Roho,,, jifikirie vizuri na umrudie Mungu

    • @donathakihombo4298
      @donathakihombo4298 6 месяцев назад +4

      Kweli kabisa

    • @tupokigwemarco7584
      @tupokigwemarco7584 6 месяцев назад +6

      Tumuombee maana mm zamani nyimbo zake zilinibariki sana

    • @shabaniismaily1470
      @shabaniismaily1470 6 месяцев назад +12

      Kwaiyo ww nani unayejua makosa ya mtu

    • @shabaniismaily1470
      @shabaniismaily1470 6 месяцев назад +2

      Kumbuka mema yake ayakuingizi ww peponi muache afanye anachoona yeye sahihi ameshakaa sana kwenye game

    • @conybebkadaz1339
      @conybebkadaz1339 6 месяцев назад +8

      @@shabaniismaily1470 Mimi ni mkristu kaaa wengine ninayemwomba Mungu anayeyafungua macho kuyaona yote yamchukizayo,,, kuna wengine pia wanaona haya,,,, ila Mimi sinyamazi,,, namwombea pia huku nikisema ukweli

  • @ShadrackEdward-f2u
    @ShadrackEdward-f2u 5 месяцев назад +1

    Mungu ni mwema kwa kweli.. binafsi nimependezwa na hili jambo!
    Hongera sana Christina Shusho, nimeuona ujasiri.. watu wanaoongea ya kuongea, Wao kama wao wasingeweza hata kuongea na kumuwasilisha Mungu mbele ya Watu wakuu kama hawa, Kudos sanaaa!!🙌🙌🌟🔥

  • @TIGERSHIROVERTHIAGOMUKAHERSNIP
    @TIGERSHIROVERTHIAGOMUKAHERSNIP 6 месяцев назад +3

    ❤️❤️ safi sana maman Christine anapo kua karibu na mtu wetu DIAMOND PLATNUMZ SIMBA tuna sikiya furaha mingi sana kwakweli mungu awabariki na aendelee kuwapa afia bora milele na nguvu yakuendekea kuimba nyimbo nzuri ♥️♥️

  • @matendomwera
    @matendomwera 5 месяцев назад +13

    Rudi malangoni mwa Mungu nyimbo zako hazivutiye tena kama Zamani ulikuwa naimba na watu wanaingiya kiroho

  • @FunnyAquariumFish-ih3in
    @FunnyAquariumFish-ih3in 6 месяцев назад +14

    Christina shusho nakupenda sana nyimbo zako nzuri endeleza upendo kwa wote maana yesu hakubaguwa aliwalisha wote neno la mungu wa milele

  • @lmkigondu
    @lmkigondu 5 месяцев назад +2

    I can’t believe that this is the once humble and pious Christina Shusho, who once criticized Kenyan gospel singers for being worldly and who is now even dressed like a mermaid! God have mercy. 😢😢

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 6 месяцев назад +9

    Diamond platnam simba mwenyewe hata ujanguruma lkn imejulikana upo. Wakuache miaka 800 . Mungu akubariki sana diamond

  • @nasmiriti3141
    @nasmiriti3141 5 месяцев назад +7

    Hapa nyavu ya yesu kashika diamond Amen Hallelujah

  • @PeterEwoton-tj1wn
    @PeterEwoton-tj1wn 6 месяцев назад +9

    May God save diamond that when his days draw near...can acknowledge Christ for his future eternity...

  • @estherkamau9484
    @estherkamau9484 6 месяцев назад +25

    Christina tafadhali vaa nguo ya adabu unapo simama mbele ya wanaume..hao waislamu unasifu hawaezi kukubali mama wakiislamu asimame mbele yao akiwa amevaa hivi...tunaaibisha dini yetu sana...pls can we respect our God🙏

    • @lilianowti5477
      @lilianowti5477 6 месяцев назад +3

      Waimbaji wengi wainjili wameasi Mungu Hadi vichapo vyawaandama,Shusho kuwa kama vile awali ulijiheshimu mwanzoni,.

    • @Keringalex
      @Keringalex 6 месяцев назад +1

      Samsoni pia katika nyakati zake za mwisho alitaka kuamka kimwili akajipata kumbe Mungu mwenye Nguvu kamwacha kitaaaaaambo. Pole kwa msiba huu wa kiroho dada.

    • @mercykariithi7919
      @mercykariithi7919 6 месяцев назад +4

      Haujaelewa shushu amevaa nguo ya marine kingdom amesha jiunga na kina diamond ma freemasons

    • @mercykariithi7919
      @mercykariithi7919 5 месяцев назад

      @@Keringalex p lol

  • @magrethmnzava6021
    @magrethmnzava6021 5 месяцев назад +2

    Mm nakuombea mema christina shusho
    songa mbele wala usipepese macho kutazama watu wanasema nn...
    Mtumikie Mungu dear ,Mungu ndiye anagawa baraka,na ndiye mhukumu na c mwingine love❤

  • @duncanmaina6407
    @duncanmaina6407 6 месяцев назад +16

    Shusho has lost it. I miss the old shusho.

  • @BraitonMwandata
    @BraitonMwandata 6 месяцев назад +14

    Maandiko yanasema ,ujiangalie sana ,na Mungu haangalii mwanzo wako bali anaangalia ,mwisho wa mtu..Mungu awasaidie watumishi wake kumaliza vizuri

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zl 6 месяцев назад +3

    Christina shusho jitafakari upya ni mwimbaji mzuri Sana laki Hadi hapo unakatisha tamaa mungu akurejeshe upya maana du

  • @justinekalunga8488
    @justinekalunga8488 6 месяцев назад +14

    Sasa huyu mama anaanza kupotea kabisa.
    Mimi nilikua nazani kwa mba ana muimbia Mungu kumbe ni unafki tu. Anatumikia shetani mu jina la Mungu pole sana. Nuru na giza hakuna ushirika. Pesa zita kuponza usijali unaweza kimbia lakini huezi jificha Mungu. Sitawahi sikiza nyimbo za hawa wanafki.

    • @rosemarinawiliam3289
      @rosemarinawiliam3289 6 месяцев назад

      Alishapotea, Ile tu kusema ya kuwa ameachana na mume wake ili amtumikie Mungu ni jambo la kushangaza sana

  • @thomasmackenzie8766
    @thomasmackenzie8766 6 месяцев назад +20

    When a married woman starts praising another man forgetting that the husband is more important than the other men !! That's a red flag ! It's a shame.

    • @kenya-id9gt
      @kenya-id9gt 2 месяца назад

      did she tell you she is in marriage

  • @mercyzena6356
    @mercyzena6356 6 месяцев назад +2

    Your such a wonderful woman of God hivo ndio tutawakomboa waliofungwa kufunguliwa watoke kwa minyororo ya Giza but if your a man of woman of God na umejichanganya usijaribu hii cause kitakuramba vibaya rem Paulo na sila katika matendo ya mitume chapter 16 walipomufunguwa aliye fungwa majaribu walipata sio kidogo but because walijujua wanatumika kwa roho na kweli waliweza kushinda majaribu so kwa wale watumishi munapitia changamoto na munapitelea ndani jiite kamukutano huwezi kua mfungwa na umfungue mfungwa mwenzako

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 6 месяцев назад +12

    mond brand kubwa mno, haipingiki. big up

  • @yohanamp-ec7im
    @yohanamp-ec7im 6 месяцев назад +2

    Shristina shusho ulikuwa mwimbaji mzuri sana ila umeanza kumkosea Mungu, umebeezi kweny hela

  • @vickgrace4487
    @vickgrace4487 6 месяцев назад +8

    Christina Upo na MUNGU USIMIANGALIE WALA KUMSIKILIZA MTU...SONGA MBELE MTU WA MUNGU...DUNIA INAJUABUPO MTOTO WA MUNGU MWENYE UPENDO WA MOYONI...

    • @sirpleasureb
      @sirpleasureb 6 месяцев назад

      wewe ni kipofu. soma 1 wakorintho 15:33 Mtu asiwadanga nye, “Ushirika na watu wabaya huharibu tabia njema.2 wakorintho 6:14 Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini?

    • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
      @Mahershalalhashbazi-kf6xi 6 месяцев назад

      Pwagu kampata pwaguzi

    • @ceciliahnyaboke271
      @ceciliahnyaboke271 6 месяцев назад +1

      Kipofu kaongoza kipofu😢.. lazima ujue Mungu ni mtakatifu

  • @sheldonshikhule327
    @sheldonshikhule327 6 месяцев назад +2

    I love your ministry Christina.....may The Lord keep you.......above all let our speech be with grace...amen

  • @reubenblessing8940
    @reubenblessing8940 6 месяцев назад +5

    God is the ultimate judge..i leave it to Him to decide

  • @ignatiusmoga9495
    @ignatiusmoga9495 4 месяца назад

    From kenya I fill good coz I ❤ them all watu muwacha kujifanya malaika na kukashifu wengine kama mungu angekuawa binadamu wengi wetu tungeishi mungu habagua yeye ndiye hujua nafsi zetu

  • @carolmutai7248
    @carolmutai7248 6 месяцев назад +4

    Christina Shusho ulianza na Roho, mbona ukamaliza na mwili?
    You uplifted our souls with your former songs like Mtetezi wangu Yesu anaishi, Wakuabudiwa, Ee Bwana umenichinguza na kunijua n.k.
    Why did you change my sister?
    What living testimony can you testify to the current generation?
    May God bring a U turn to the former you😢

    • @Jesus_is_KING563
      @Jesus_is_KING563 6 месяцев назад

      I even don't feel moved by her songs these days 😢

  • @godof2ndchance38
    @godof2ndchance38 6 месяцев назад +22

    What does light got to do with darkness. There's a big problem. Two cannot walk together except they agree!

    • @damariceagutu4804
      @damariceagutu4804 6 месяцев назад +1

      Nowadays paraffin and water are missible

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 6 месяцев назад +1

    Christina ameiaibisha kazi ya msalaba. Nilimpenda sana Christine lakini kwa hili hatasitakikusikiliza nyimbo zake.
    Imetupasa kuhubiri inji kama ikibidi kwa maneno.

  • @carolinekhayeshe989
    @carolinekhayeshe989 6 месяцев назад +10

    Precious people of GOD ALMIGHTY, let us repent and go back to the old rugged cross of JESUS. We should not modernize the cross of JESUS by mixing light and darkness that's apostasy.JESUS is coming let us repent and prepare the way.

  • @MadinahBabirye
    @MadinahBabirye 6 месяцев назад +5

    Papa Jesus,I'm really happy for this son of God.

  • @EstherTeilaNgongolo1312
    @EstherTeilaNgongolo1312 6 месяцев назад +6

    Acheni kuzusha ubaya kwa huyu m2 jamani Yesu anawapenda hvohvo, walivo mana alikufa kwaajili yao, na ananjia nyingi za kumwongoa m2, huenda hyo ikawa mojawapo nan ajiaye, Christina piga injili ila ucmnyenyekee m2, kwaajili ya kipato chake, yangu ni hayo2🙏🙏🙏

    • @jukaelyelisha6311
      @jukaelyelisha6311 6 месяцев назад +1

      Kupedwa sio shida shida lazima arudi njia kuu

    • @EstherTeilaNgongolo1312
      @EstherTeilaNgongolo1312 6 месяцев назад

      @@jukaelyelisha6311 hakuna aliye mkamilifu, shida ni kujua kama unakosea af ukapuuzia Toba... We ukiona mwenzio kajikwaa kwa kosa fulan mwombee, nawewe huenda una kakwako ambako hujui ila watu wanakushangaa kwacho ko ni kuombeana tu, safar ngumu ina milima na mabonde...

    • @rosejulius7756
      @rosejulius7756 6 месяцев назад

      Hajamnyenyekea amemuheshimu

  • @robertmukoya9542
    @robertmukoya9542 6 месяцев назад +2

    i pray that God may remember you christina shusho, u used to lift our hearts, in east africa you made Jesus be known, consider the old things and repend, for you are aware what you are doing. darkness and light can not dwell together. i pray for you always. 😢😢😢😢😢

  • @Milianstore23
    @Milianstore23 6 месяцев назад +25

    Kuna watu mnajiona km malaika mmesahau kwamba Mungu anamtumia yeyote kumwokoa yoyote kwa wakat na namna yake, wacheni kujudge watu🤔🤔mnajua Paulo alifanya nn kabla ya kuwa Paulo? wachen mambo yenu bhn kwanza Mungu hana shida na watakatifu anatafuta ambae hajawa mtakatifu amfanye mtakatifu👌👌👌😂kuna watu mtafika mbinguni kwa taabu sana kwa kujitakia

    • @IssaThomas-q2u
      @IssaThomas-q2u 6 месяцев назад

      Wewe ujuwi kitu

    • @rosejulius7756
      @rosejulius7756 6 месяцев назад

      True

    • @danielbudara1584
      @danielbudara1584 6 месяцев назад +1

      Watu watajipenda sana Siku za mwisho

    • @atienomaurrine4336
      @atienomaurrine4336 6 месяцев назад

      Wacha uongo bibilia inasema love of many will grow cold

    • @lilianowti5477
      @lilianowti5477 6 месяцев назад

      Ukweli usemwe,njia za Mungu zashinda wengi na kurudi maisha ya kidunia.

  • @JanethMkala
    @JanethMkala 6 месяцев назад +18

    Kweli Mungu atusaidie....dada Shusho heshima yako imeisha kabisa .huna uwepo kabisa...

    • @feristadaudi6599
      @feristadaudi6599 6 месяцев назад +1

      Usipede kuhukumu usije hukumiwa

    • @Jacklinjohn-cr4vs
      @Jacklinjohn-cr4vs 6 месяцев назад +3

      Ameishaa kabisaa na hatuhukumuu arudi kwa Mungu

    • @salimaechessa8933
      @salimaechessa8933 6 месяцев назад

      Hata mavazi ya kutoa figure aaaah Mungu hayuko hapo

    • @lilianowti5477
      @lilianowti5477 6 месяцев назад

      Mtoto anayechapwa ndiye anayependwa,Shusho anapendwa lazima arekebishwe alikoteleza.

  • @HappyMtega-j9f
    @HappyMtega-j9f 6 месяцев назад +20

    Wote ni watoto WA Mungu hata Diamond Anampenda Mungu so christians and Muslims can cooperate to get her so big up dada shushu Christina🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sirpleasureb
      @sirpleasureb 6 месяцев назад +5

      wewe ni kipofu. soma 1 wakorintho 15:33 Mtu asiwadanga nye, “Ushirika na watu wabaya huharibu tabia njema.2 wakorintho 6:14 Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini?

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 6 месяцев назад

      Maandiko haya alisema Paulo sio Mungu. Yesu alikula pamoja na wanyang'anyi, makahaba nk. Yeye alikuja kuwatafuta wenye dhambi na si wenye haki. Acheni kupotosha watu.

    • @FrancisOduori-n8q
      @FrancisOduori-n8q 6 месяцев назад

      If you don't know the bible shut up, there is no God in what shuso is doing , no body can know God throu her anymore except entertainment peroid

    • @anthonymaina7100
      @anthonymaina7100 6 месяцев назад

      Mwongo diamond hapendi Mungu....uabudu shetani uko soo open

    • @elidashirima194
      @elidashirima194 6 месяцев назад

      Haina sauti

  • @venerandamsemwa4985
    @venerandamsemwa4985 6 месяцев назад +6

    walokole tunafeli, hata asiyeokoka anakuhitaji ww na Yesu wako, sasa ukikaa mbali watamwonaje Yesu wako. we unayedhani umesimama angalia usianguke. Mungu anatupenda sote, hapendi apotee hata.mmoja ww nani kumhukumu mwenzako. tuombeane ndiyo upendo❤

    • @doreenitalian
      @doreenitalian 6 месяцев назад +2

      Mimi ntasema tu, naona Diamond akiokoka thrue christina shusho, pia mimi nlisema kwa interview pale radio safari in case mtu hajaokoka atake colabo ya gospel song, ntafanya naye bora tu mimi nisifanye secular. Hiyo ni makosa kwani? Christina sijoana akikosea ako sawa tu

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 6 месяцев назад

      Kweli

    • @bahatimwakalukwa5445
      @bahatimwakalukwa5445 6 месяцев назад

      Soma vizur neno la Mungu yaani kama wew mwenyewe ulishapotoka ukaacha njia ya Bwana usitegemee utaweza kumshawishi mtu Kwa maneno shida ni nguvu inayokuwezesha kufanya Hivyo.
      Mungu hajatukaza kushirikiana ila ni Kwa namna gani unashiriki ndo kipengele

  • @QuinterPrincess1
    @QuinterPrincess1 6 месяцев назад +11

    I myself l love Christina shusho so much ,continue with that heart mamy

  • @thomasomer7955
    @thomasomer7955 6 месяцев назад

    Wewe ni mmoja wa baharini Christine,Mungu alikuondoa kwenye maisha ya shusho sababu alionelea utamwingiza pabaya.

  • @risskibech1497
    @risskibech1497 6 месяцев назад +9

    Huyu Diamond anaweza okoka na Mungu akamtumia kumbuka tumeokolewa kwa neema

    • @Abigakatikiro
      @Abigakatikiro 6 месяцев назад

      Kweli kabisa

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 6 месяцев назад

      Diamond 2:01 ni msanii ambae hana kimoja anachokifanya kiuhalisia ila ni usanii tu. Anafanya usanii kuendeleza kushikilia umaarufu usimdondoke.

    • @KabughoRegina
      @KabughoRegina 6 месяцев назад

      Yes, Diamond can be saved. Why not? The Bible says our father forgives and forgets our sins. Reply from Uganda I love you all

  • @nishstanleyz32
    @nishstanleyz32 5 месяцев назад +1

    I love this guy,diamond platnumz❤

  • @AngelAfric
    @AngelAfric 5 месяцев назад +1

    Nampenda waziri wangu majaliwa every time smiling ataishi sana

  • @EstherAyoyi
    @EstherAyoyi 6 месяцев назад +6

    Wawili hawawezi kutembea pamoja pasipo maelewano.kwa kweli umepotea dada mrudie mungu kabla ujachelewa

  • @Obujjulizi
    @Obujjulizi 5 месяцев назад

    😢😢😢😢😢😢 Christina alishapelekwaa jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 kwa sababu ya Pesa tuu akiweee 😢😢😢😢😢

  • @abednego229
    @abednego229 6 месяцев назад +3

    Mimi sitapotezwa na wenye wanajiita watumishi wa Mungu, onakava kwina band

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 6 месяцев назад +1

    Mmh! Mbona hapo mwanzo alipoanza uimbaji wa nyimbo za injili alikuwa akijisitiri kwa mavazi yenye heshima?

  • @JoyKita
    @JoyKita 6 месяцев назад

    Mungu ni wa wote, hana ubaguzi. Piga kazi Christine.❤

  • @junemwandambo4365
    @junemwandambo4365 12 дней назад

    Mungu wetu ni mmojamubarikiwe woteee ❤

  • @millekasinga9825
    @millekasinga9825 6 месяцев назад +2

    Ukweli wa Christina anaujua Mungu tupunguze kumjudge huyu dada maana macho yetu yana ukomo

  • @blessedalaf8750
    @blessedalaf8750 6 месяцев назад +1

    Christina Shusho like many who've been before her, started in the spirit and is finishing in the flesh. Light and darkness can NEVER mix The Bible warns of being equally yoked with the non believers!

  • @BeatriceMwakalindile
    @BeatriceMwakalindile 6 месяцев назад +5

    Hata yesu walimshangawa na wanafunzi maana alikuwa akikaa na wasio watakatifu . Ko mpendwa kukaa na wasiowatatakifi kulianza na yesu mwenyewe lengo no kuwaokoaa.

  • @margarethshirima5654
    @margarethshirima5654 6 месяцев назад +1

    Mpenzi wetu Christina chunga sana, Mungu kampa kila mtu Néema tofauti, Watu kama nasibu Mungu anaweza kuwapa Néema hata dk za mwisho, wewe Christina najua kweli ila kwa ridhaa yako umechagua giza. Nakupenda, na nakuambia kweli,. Wakati tunaendelea kukuombea, jitafakari Mungu atusaidie tuwe na mwisho mwema. Usije shangaa ukamkuta nasibu amelala kwenye ubavu wa Ibrahim na wewe unamwktisha maji kama lazaro na tajiri. Siku nasibu akiujua kweli, utashamshangaa Mungu. Karibu kwa Yesu Nasibu. I know kuna siku tu. Mungu anayaweza yote🙏napita tu jamani🏃tena napita mbio🏃🏃

  • @vincentokemwa7308
    @vincentokemwa7308 6 месяцев назад +1

    Nahofia Diamond amefanya kitu Kwa huyu Shusho~ Freemason loaded 😢

  • @JumanneJuma-qd1fo
    @JumanneJuma-qd1fo 6 месяцев назад +2

    Christina rudi ,unakoenda si salama ,wewe unajua na watu wanajua na Mungu anajua.Umaarufu ,utajiri na heshima ni za hapa Duniani tu.Rudi rudi ruuudi .

  • @AnthonyKombe-ee6gf
    @AnthonyKombe-ee6gf 6 месяцев назад

    Hongera dada Shusho kama uduma uliyonayo inaeza sababisha waabudu miungu kuabudu Mungu wa kweli hakika umegusq ngome ya juu sana Mungu akutumie kuwaleta katika nuru wote Walton gizani neema tele

  • @helena8274
    @helena8274 6 месяцев назад +1

    Nilipenda sana huyu dada. Lakini sasa ninahuzuni sana. Please turudi vile tulikuwa zamani, tumuogope Mungu sana sana 😢

  • @elevenmeela8713
    @elevenmeela8713 6 месяцев назад +2

    Ni Nini tu kimekupa kukengeuka upesi kiasi hicho umeanza kiroho Sasa unamalizia kimwili uzoefu wa kuongea usikuponze umeshapoteza tangu ulipoomba kusapotiwa kuzindua albam

  • @PaulineBunde
    @PaulineBunde 6 месяцев назад

    Very true shusho alipotea njia coz hata Kwa mavasi anayo vaa sio inapendeza mungu inapendeza walimwengu

  • @Annemuema-og9oj
    @Annemuema-og9oj 6 месяцев назад +1

    Don't judge people are you God.the same God created nasibu na shusho anawajua vyema kutuliko.barikiweni sana diamond na christina

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 месяцев назад +1

    Nuru na giza havichangani. Jitengeni nao. Hapo tayari Christina ameshanaswa na Shetani. Hapo hakuna cha Pasaka wala nini kuna kujiuza.

  • @abigaelmosi452
    @abigaelmosi452 3 месяца назад

    Sioni ubaya wowote maana sote ni Wana wa mungu na vazi lake limefinika mwili wote ni na alie na mungu ndani yake habangui na hafai kutenga yeyote tunapaswa kukaa kwa karibu Zana na kuwaubiria watu wajuwe mungu sio kuwa tenga na kuwaukumu jamani tujichunguze sana tunaojiita tumeokoka

  • @BraytonMwakitalima
    @BraytonMwakitalima 6 месяцев назад +4

    Mapepo yamekutana mungu tunamjua wote unacho fanya hapo Kristina unamsaidia kazi shetani acha upuuuuiiz

  • @jacy543
    @jacy543 6 месяцев назад +3

    No sound part ya mwisho why

  • @dominicmulu7953
    @dominicmulu7953 6 месяцев назад

    I support Christina period. Those judging her can you stand up and do better.

  • @AganzemugishoAvecDieunou-gf1fq
    @AganzemugishoAvecDieunou-gf1fq 6 месяцев назад +1

    Dr Bukavu j bcp ma sœur Christina shusho

  • @NgaizaKimbeNgaizakimbe
    @NgaizaKimbeNgaizakimbe 5 месяцев назад

    Sema Hu Mshangaz Shusho Nauelewaga..😍😍😍

  • @maggiechande20
    @maggiechande20 6 месяцев назад +7

    Shusho kweli umelewa na Pesa, na kumsahau Mungu. Rudi katika Imani na Culture ya Dini. Ukatubu kwa Viongozi wa Dini. Umeanza Dini gani? Ngoja yakukute ili umkumbuke Mungu kama Mtoto Mpotevu

  • @IreneKimaro-xs4no
    @IreneKimaro-xs4no 5 месяцев назад

    Daaaa Tina Shushoo😭😭😭😭Mungu tunaomba msamaha pale alipojikwaa lakini mapenzi yako yatimizwe

  • @Josephatmokomba-us7eb
    @Josephatmokomba-us7eb 5 месяцев назад

    AMEN you are right about that pr.

  • @celinemwantoassumani2955
    @celinemwantoassumani2955 6 месяцев назад +2

    Shusho umepotea ki Roho, anza tu kuimba nyimbo za wasani ya Mungu aikufai tena, ni eri mwisho muzuri kuliko mwanzo.

  • @onlyyoujesus8232
    @onlyyoujesus8232 6 месяцев назад +1

    Nipe macho nione, macho ee ehe..... Iko wapi tena hii tafakari? Money money money zinasabisha Mungu atorokwe....😢😢😢

  • @tabithamaundu3163
    @tabithamaundu3163 5 месяцев назад

    Great ministry you are doing,injili kwa wasio mjua wamjue

  • @RoseMkupala-xw7jo
    @RoseMkupala-xw7jo 6 месяцев назад +4

    Tubuni na kuiamini injili, MUNGU hazihakiwi,, hayo mambo mnayofanya kwenye nchi hii,mtakuja kujibu mbele MUNGU

  • @amoskariuki2881
    @amoskariuki2881 6 месяцев назад +5

    Christina dada yangu mrudie mungu , umepotoka, ulianza Kwa roho Bali ulimalizia Kwa mwili

  • @ConstanceJewa
    @ConstanceJewa 6 месяцев назад +1

    Mbona hakuna. Sauti naona mama yetu shusho na Diamond but hakuna sauti 😢😢😢😢 but Sea the presents off GoD

  • @lovintaadhiambo4534
    @lovintaadhiambo4534 6 месяцев назад +8

    Shusho hizo Pete ni za Nini?kwani umeingia chama ama? you are heading to the wrong direction,you started well but...watu SI wajinga

    • @EstherTeilaNgongolo1312
      @EstherTeilaNgongolo1312 6 месяцев назад

      Kwan mbona hamuulizi na hzo hellen ni za nn, ila watu we amini tu kuwa ni urembo, hayo mengine Mungu ndo anaju, tuombeane tu, mana hakuna aliye mkamilifu

    • @lucyanekeya4912
      @lucyanekeya4912 2 месяца назад

      @@EstherTeilaNgongolo1312hellen ni nini?

  • @WakiliMsomi-xt1fq
    @WakiliMsomi-xt1fq 6 месяцев назад +2

    Kiristinakistina usimwache huyu mumeo rahana itakumariza dada angu mungu siyo mzarimu

  • @WinnieObei
    @WinnieObei 6 месяцев назад +6

    Huduma bila ubaguzi ndio huduma kwani Yesu alipokutana na Zakayo walimkejeli ila akasema alikufa kwa ajili ya kila mwenye dhambi

    • @Milianstore23
      @Milianstore23 6 месяцев назад +1

      Well said cjui wasichoelewa nn me nakwazika😂😂😂

    • @AgnesShamadara
      @AgnesShamadara 6 месяцев назад

      Ukweli dada

  • @perpetuasenya5884
    @perpetuasenya5884 6 месяцев назад +8

    ukiona hali imekua ivi ni kuomba vitu vya Mungu vina vita shetani hana shida na ibada yako ila anakikisha utabudu ila si ktk roho na kweli na hata wale waliokua kwenye kweli anawageuza kuelekea kwake tuzidishe maombi juu ya watumishi na waimbaji

  • @FloraMwaikenda
    @FloraMwaikenda 6 месяцев назад +4

    Yeye ni Mungu wa wote wenye mwili,na kwake kila goti litapigwa hata la huyo Dimond linapaswa kupigwa kwake,na kila ulimi utaapa,hata ulimi wa Dimond utapigwa kwake

    • @neemakawogo5479
      @neemakawogo5479 6 месяцев назад

      Hilo andiko halimaanishi wakati huu mpendwa ni habar wakat wa mwisho

  • @Amani-l7d
    @Amani-l7d 5 месяцев назад

    We praise people more than God its a pitty that we Look upon men than God
    May God have mercy on us❤

  • @wilsonotieno8821
    @wilsonotieno8821 4 месяца назад

    Hakuna haja ya kuwanyoshea vidole na kuwatenga ndugu zetu katika kristo(God's ministers). Ibilisi amelivamia kanisa kwa hivyo ni jukumu letu KUOMBEANA mungu pekee anaweza kutupigania

  • @PaulNdonga-ns1vd
    @PaulNdonga-ns1vd 6 месяцев назад +1

    God stardard has never change ..😢
    But people chage ...
    You cannot serve GOD AND MONEY AT THE SAME TIME ...ONE MUST GO
    .....WENYE MNASEMA NI UIGISTI ....
    MUNGU HACHANGANYIKIWI ..
    YOU CANNOT COMPROMISE......
    WATU WA MUNGU WAJITENGE KABISA SEPARATION..
    KITU INGINE WATU WA MUNGU HUWEZI BILA ROHO MTAKATIFU WA MUNGU ...
    ROHO AKIKUTOKA NETWORK YA MUNGU INAPOTA ...
    UNAANZA KUTAWALIA NA ROHO MUOVU BILA KUJUA ...
    SOME WORSHIPERS OF GOD STARTED WITH SPIRIT OF GOD
    BUT LATER WAKIJICHANGANYA ROHO ANAWATOKA..
    SO THEY LACK WISDOM
    AND THEY PERISH ...

  • @Missionary_work
    @Missionary_work 5 месяцев назад

    Christina nilikuhemu sana kama mtumishi wa Mungu wa pekee Tanzania. Ila sasa sijui ni wapi mguu wako ulichepkia ukafika hapo ulipo Sasa.

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb 6 месяцев назад +3

    wewe ni kipofu. soma 1 wakorintho 15:33 Mtu asiwadanga nye, “Ushirika na watu wabaya huharibu tabia njema.2 wakorintho 6:14 Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini?

    • @fredkongonelo6850
      @fredkongonelo6850 6 месяцев назад

      Sasa mbaya Nan Ina kila mtu na kaz yake

    • @fredkongonelo6850
      @fredkongonelo6850 6 месяцев назад

      Diamond platnumz kisa anafany bongo fleva ndo umuhukumu ,, zote ni kaz bro iman kila mtu na Iman yake , sisi site ni binadamu dini zusisababishe matabaka Bak na Iman yako broo...

  • @Mwakilasa51
    @Mwakilasa51 6 месяцев назад +7

    Christina hajui kuwa ashakua bibi et Binti yako😂😂😂😂😂

  • @peacelive3420
    @peacelive3420 6 месяцев назад +2

    All of us are here criticizing , but tukumbuke we have to be on our knees praying, and we have to go out to speak of Christ! To spread the gospel!

  • @marykamadi
    @marykamadi 5 месяцев назад

    This should have hit 1m views in 2days ..

  • @coj7920
    @coj7920 6 месяцев назад +4

    Biblia imetuonya tusiwe uvuguvugu, si baridi wala moto. The same bible says chagua hivi leo ni bwana yupi utamtumikia. Jitafakari dada Christina!!

  • @musaliaeugene7975
    @musaliaeugene7975 6 месяцев назад +1

    😢huyu mwanadada siku hizi yaani simuelewi sikuhukumu lakini hayo mavazi yanabana sana

  • @Timothéekamabji
    @Timothéekamabji 6 месяцев назад +1

    Mimi Naomba Mungu Asikuwe Anapatiya Wanawake Pesa n'a Kazi za mishala Kubwa Maombi Yangu Mungu Apatie Wanawake, Kazi ya Kuuza Nyanya Kusudi Wabaki Waaminifu kwa Ndoa Zao

  • @sheelawaringa1435
    @sheelawaringa1435 6 месяцев назад +1

    Kuna mtu aliniabia hatupendi Mungu tunapenda vitu vyake ,I agree.

  • @marcyasam4368
    @marcyasam4368 6 месяцев назад +1

    Nowadays her dress code is so revealing, i love her old songs

  • @IssaThomas-q2u
    @IssaThomas-q2u 6 месяцев назад +3

    Kupenda pessa san sn sio vizuri hona kwasababu ya pessa amemwasha Mungu 😢😢

  • @samwellivoga7027
    @samwellivoga7027 6 месяцев назад +1

    Mungu huwajua walio wake na si kila atajae Yesu ni mtakatifu wengine ni siri baina ya mtu na Mungu muhimu wewe na mimi kila mmoja kujisimamia kwa kujua njia yake ni ipi

  • @AnnaMwanandenje
    @AnnaMwanandenje 6 месяцев назад +1

    Mininacho kiona anataka kumleta dbiamond kwenye ukristo hiyo ni missin kubwa mtasema mengi mwisho mtashangaa