TAZAMA ENEO HATARI ZAIDI KONA TANO TISHIO DODOMA-ARUSHA "ENEO LENYE AJALI NYINGI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 118

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 2 года назад +5

    kuna maeneo hatar zaid ya hayo,nyang'olo baada ya kutoka mtera,acheni uwongo tatizo hamtembei

    • @sereriadia6321
      @sereriadia6321 7 месяцев назад +1

      Nyangoro ni kona tu lakini hakuna kuteremka wala kupanda tofauti na kolo,kolo ni kilima tena kikali kimesima inawezekana wewe ndo hujatembea kolo ni ya tofauti sana

  • @willyanastazi9115
    @willyanastazi9115 Год назад +1

    Hujawah kuona njoo huku kagera Kama unaelekea Uganda njia ya kuelekea Uganda panaitwa rwabunuka ndo atariiiiiiiiiiiiiii sas Zaid ya hizo

  • @elihurumamatowo2872
    @elihurumamatowo2872 2 года назад +4

    Hapo pakawaida sana tena ni mlima na kona za kawaida sana. Dereva anaeshangaa happ huyo bado hajatembea. Kama una gari lako lina breki za kunjunga ndio itakupa shida. Tembelea njia ya kutoka kigali kwenda bugarama ndio utajua milima.

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 года назад +2

    Tatizo Ni madreva lakini barabara Ni nzuri sana,Bora uwenatahadhari kuliko kulibuluta gari,kwani ukitembea na gear ndogo kunatatizo gani,

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 2 года назад +3

    Kona izo tunazijua sana. Kubwa umakini na kutambua kila eneo uendapo safari. Wenye magari watengeneze magari yao. Ukiwa makini izi kona azina tatizo,napita kila mwezi mara 4 . Mungu mkuu aturehemu sote.AMEN.

  • @karyori69
    @karyori69 2 года назад +3

    Mbona njia nzuri na ina extra lanes kuepusha ajali brake ziki-fail! Hapo ajali ikitokea ni sababu ya mwendokasi au ubovu wa gari yaani brakes! Pita kwa mwendokasi wa 30 km/h utavuka salama!

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад +2

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#..*#
    ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 года назад +7

    Acheni ufala, Serikali ifanyeje tena wakati barabara ni pana sana na ina climbing lane tena 4 lanes, hukueni tahadhari, Huwezi linganisha kitonga na hii barabara, kitonga ina magari mengi sana na barabara ni finyu ninyi mna climbing lanes bado mnalalamika huo ni upumbavu, Mwingine anasema serikali ijenge njia nyingine, sasa kuna uwezekano wa kushuka au kupanda mlima bila kona? Elimu ndogo sana mnayo na akili za madereva kama ndio ndogo hivyo ajali haikwepeki hapo.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 2 года назад +1

      Kweli Madereva hawajitambui sasa kama breki ndy zinafeli serikali inahusikaje hapo.

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb 2 года назад +1

      Hiyo barabara huwa najiachia tu... haiko busy kabisa na ni pana

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад +1

      @@barakakusa7606 labda wanataka serikali ishike hizo breki 🤣

  • @zakiaferuz4561
    @zakiaferuz4561 2 года назад +4

    Maeneo hayo sio mazuri Tena afadhali wameweka rami Kwa sasa tunaishukuru serikali 🙏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад +1

    Kwani madereva wa Tanzania hawajui kuendesha magari kwenye kona? Ujinga gani huo? Tena shida kubwa ni kuendesha magari mabovu

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 10 месяцев назад +1

    Nendeni Magara huku pande za Mbulu. Ninyi hamuijui hii njia. Ukifanikiwa kupita mara mmoja tu, utasema sitawahi kujaribu kurudia kupita hii njia ya Magara. Ina kona zaidi ya mia mbili 200. Ndo barabara yenye kona mingi zaidi kupita barabara zote hapa Tanzania. Njoeni Mbulu, ukianzia Haydom kwenda Arusha, kupitia hapa Magara.

    • @AllyTingi
      @AllyTingi 6 месяцев назад

      sio kona mia200 ban

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 2 года назад +3

    Kona zipo barabara ya Mbinga- Mbamba bay hizo za Kolo Cha mtoto nazifahamu

  • @allymsega5639
    @allymsega5639 2 года назад +1

    Hapo pakawaida sana tofauti na zaman kbl hapajawekwa lami kuna barabara mbaya sn hlf rafu rodi ukitoka babati kwenda mbulu kuna mlima magara unakona kibao unapita juu ya mlima huk bonde na huku bonde barabara katkat

  • @johnfrankmputa9915
    @johnfrankmputa9915 Год назад

    Nenda lushoto mlalo kutokea mkomazi kuna kona 120 na hakuna ajali madereva tuache uzembe

  • @swaumukadidi7124
    @swaumukadidi7124 2 года назад +3

    Kuna Kona Kali Sana hapo Ila Kama hujawahi kufika unaweza ukazarau watu wakifikaga hapo kila mtu na maobi yake wa yesu nayesu wake wa mtume na mtume wake

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 года назад +2

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#.*#
    ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 Месяц назад

    Kwa nini Serikali isigharimie ujenzi wa tunnels ?😮

  • @christopherdismas4092
    @christopherdismas4092 2 года назад +2

    Kuna maeneo hatari zaidi ya Kolo. Nenda Dabili, Magara, Nenda njia ya kwenda Usangi ukitokea Mwanga, nenda Kitonga,

    • @FatumaMohamedi-t6t
      @FatumaMohamedi-t6t 6 месяцев назад

      Kitonga usiseme mi nilipata homa sku ya kurud safari yangu nilipofikiria ile njia .

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 2 года назад +1

    Hiyo kona iyacheni tuu imenipoteslzea watu wagu wakaribu san

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 2 года назад +1

    Ila hiyo barabara ingepitia Galapo kule hakuna milima

  • @komudibwe866
    @komudibwe866 2 года назад

    Sasa serikali sasa ifanye nini mbona hueleweki

  • @fumbokhan1913
    @fumbokhan1913 2 года назад +2

    Millard ayo Mmoja ni sawa na Wasafi Tv 200

    • @tinnymarty
      @tinnymarty 2 года назад

      .from twitter to youtube 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @petershedrack4668
    @petershedrack4668 2 года назад +1

    Jamani hebu nendeni Upareni huko Mtaona Mambo ajabu

  • @johnswai1622
    @johnswai1622 2 года назад +1

    Lakini kuna escape ramp hapo kolo

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 2 года назад +1

    Hivi Mmekosa habari auuuu duh nendeni upareni

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 2 года назад

    Mwenzenu nilipita hapo mwez wa 1 mwaka huu kutokea Arsh to Dom nilifurah kuona hizo kona kumbe ni hatar lkn Barbara zake ni pana za kutosha

  • @zarriaabushiri661
    @zarriaabushiri661 2 года назад +2

    bro gari ikipita salama iyo sehem unamshukuru m.mungu

    • @nyangehassan902
      @nyangehassan902 2 года назад

      Kona mbaya zaidi zipo Barabara ya Mbinga-Mbamba bay

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 2 года назад +1

    Hakuna hito dreva anakijuwa huko tu kuna kona mburu huko kona hatai na metelemuko hatali 120 utasema nini wewe!

  • @mrh2812
    @mrh2812 2 года назад +1

    Jaribu kutembelea eneo moja lipo RUKWA eneo muze ile bara bara sio poa mnapita pemben ya mlima kushuka chini sehem ilipopita bonde la ufa

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 года назад

      Kuna sehemu nyingine inaitwa Mbinga Mbamba Bei.Ile barabara kiboko.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 года назад +2

    Huyu dreva vipi,anaomba bumps na rasta barabarani.. watanue zaidi hii njia

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi3980 2 года назад +1

    Swali
    Nin kifanyike?

  • @johnfrankmputa9915
    @johnfrankmputa9915 Год назад

    Tuishukuru selikari ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuboresha miundo mbinu hasa barabara zetu zinapitika vizuri kipindi cha miaka ya 1990 waulize madereva wa new Arusha Mwanga star Mtei na Tashiriff ndio ambao wanaijua hiyo barabara vizuri na hapo Bonga walikuwa wanamwaga maji wanateka magari tuishukuru serikali ya Rais wetu Mh samia suluhu hasani kwa kuboresha miundo mbinu

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +1

    Dah niliwahi pita hizo kona ni hatariiiiiiiiiiii sana

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 года назад

    Huyu hajfika wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera,kama anaogopa hapo tuu duuuuh,tembeeni muone kunasehemu gari likianguka ata ukiwambia watu wakakate sikelepa hawaendi,ruyenze nendeni mkapaone😛😛😛😛

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 2 года назад

    NENDA MAGARA BASHNET HIYO CHA MTOTO,

    • @frankmare1708
      @frankmare1708 2 года назад

      Pale mliman unaiona lake balangida zile ndo kona sasa

  • @jabirjabir4652
    @jabirjabir4652 2 года назад

    Madereva wenu wazembe nende mombo kupandi Soni lushoto ndio utajua madeleva wapo tofauti Tena mwaka unaisha hakujatokea ajali

  • @dr.eliasm.chrisant4110
    @dr.eliasm.chrisant4110 2 года назад +1

    Hiyo mbona ni barabara nzuri kabisa…. Nenda sehemu moja inaitwa kaburi wazi.. Ipo sumbawanga barabara ya kuelekea majimoto mpanda kupitia kijiji cha muze kuna kona kali sana zaidi ya kona 12 na njia ni nyembaba

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 2 года назад

    Ayo tv 📺🤣😂ina watangazaji viraza eti jamvi wakati anaona ni ZEGE 🏃🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @sadikibaruti4733
    @sadikibaruti4733 Год назад

    Hapo kolo ikiwekwa mabamsi ndio itakua hatari zaidi. Nashauri hatazile zilizopo kule chini zitolewetu.

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 года назад +1

    Unawauliza maswali magumu watu wasio na uelewa nayo na mbongo hawezi kusema sijui, hilo wala sio jamvi ni zege au concrete kali iliosukwa kwa nondo ndani kama barabara za BRT na ni zege sio lami sababu lami ina kawaida ya kumeguka kwenye kona
    Tembelea kona zote za lami lazima utakufa mmeguko na maeneo mengine mashimo kabisa sababu lami ni laini ukilinganisha na zege (sababu ya breaks na kukata kona)
    Pia Tembelea maeneo barabara zenye ubora zilipojengwa utaona kwenye kona au makutano wameweka zege mfano mzuri ni barabara za kuingia na kutoka stendi mpya ya Dodoma

  • @maryberege3093
    @maryberege3093 2 года назад

    M8lad ayo ukitaka kujua bara bara yenye kona hatari na bara bara nyembamba nenda mgeta morogoro huko naona uzajifunza mengi na utapaaza sauti yako. Najua hujatrmbelea huko karibu uone milima ya uluguru ila usije piga kelele kwa uoga

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 2 года назад

    Mjenzi alitakiwa aweke kingo za chuma kwenye curbs.

  • @marylutengano1555
    @marylutengano1555 2 года назад +1

    Jamani Mbona hizo Cha mtoto,miradi ayo nenda kazi angalie kona za kawetere kungia rwanjiro zile ndo kona sasa

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 2 года назад +1

      Hapa umenena dadaangu
      Tena ile njia ya chunya wakati ule wa miaka ya 80 na 90 ilikuwa ni vumbi tuu
      Mlima mkali na kona kali na madereva walikuwa wanapanda na kushuka ...na ajali zilikuwa chache...dada Mary mara yangu ya kwanza kupanda roli la mbao toka isanga mpaka kawetere mkojo ulinibana na tumbo la kuhara...sister yaani nawasifu madereva walivyo na roho ngumu...na uso ulikuwa mwendo wa poda... sasa hivi barabara mwake mwake, ila kona ndio usiseme

    • @marylutengano1555
      @marylutengano1555 2 года назад

      @@vincentmushi1247 hao niwavivu hawatembelei sehemu tofauti tofauti za nchi kuna barabara ziko milimani mpaka unatamani ushuke utembee maana mkidondoka mmejizika hukohuko.

  • @emmanuelburchard3153
    @emmanuelburchard3153 11 месяцев назад

    "Escape Rane Lamp" ni wangapi wanaelewa maelekezo haya kwa nini isiwekwe na kwenye lugha inayoeleweka hasa kiswahili?

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 2 года назад

    Hv ninyi mnao Sema pakawaida hapo mliwah pita? Ss ambao Wa Arusha Sngd tunapaelewa Sn achen ushabig wanao ongea wanahakil timam

  • @frenkjacob9841
    @frenkjacob9841 2 года назад

    Nenda ziwarukwa kunakona15 afu sokamaizo panaitwa kaburi wazi

  • @frans_dede
    @frans_dede 2 года назад

    interview nzur kam hzi ndo znatakiw cyo kilack umbea

  • @jonasjackson987
    @jonasjackson987 2 года назад

    Kuna kitonga,kuna k9,kuna machinjioni rusumo sasa sijui kama hilo eneo ni hatari kuliko hayo maeneo niliyotaja

  • @francosemmy
    @francosemmy 2 года назад

    Mbona Pako vzr kikubwa madreva wafate Sheria za barabaran pia wahakikishe vyombo vyao vya usafiri vinakuwa na service ya kutosha tii Sheria bila shuruti usalama ni jukum letu sote.

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 2 года назад +1

    Oyooo

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Год назад

    Corner kawaida sana kuna k9 ngara chiweta milima hio cha mtoto tu

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 2 года назад

    Kwa Babati nafikiri njia ya Dabil to Dongobesh hapo kwenye kimlima ndo mtihani

  • @madpusher2036
    @madpusher2036 2 года назад

    Katika safar zangu zooote Arusha Dom..Dom Arusha nilinusulka maana nmepta hapa mala nyingi mnooo

  • @AminaJuma-r4v
    @AminaJuma-r4v 10 месяцев назад

    I'miis kolo ndo kwetu
    🌹🌹🌹🌸🪷🪷🪷🇹🇿🌺🌺🌺🌺

  • @SavegEfx
    @SavegEfx 6 месяцев назад

    KOLO ni hom

  • @philemonmartine7317
    @philemonmartine7317 2 года назад

    Kona Kali zipo Kiruka Kijiji cha Duma wilaya Same Kilimanjaro hizi mbona tambarare kabisa

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад

    MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI UPONE KANSA.DAWA YA KANSA
    .*#..*#
    ruclips.net/video/ZgfBwGAJlrQ/видео.html

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 2 года назад

    Njooni barabara ya chunya ndiyo mtajua kuna kona kali kuliko hizo

  • @alfamgayatv872
    @alfamgayatv872 Год назад

    We utakufa kwajili ya kuu tembea na gari lako huyu mzee hamuami. Dele wake

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад

    Pitia Marangu mtoni uje Rombo ndo utafurahi hizi kona za Dodoma bora hata unaiona gari inakotoka kona zingine unashtukia mmekutana tu paap

  • @douglasmichael7494
    @douglasmichael7494 2 года назад

    @Hancinho Dos Sàntos njoo utupe uzoefu

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 2 года назад

    Kuna lane Tano hapo na Bado dereva analalamika

  • @arafathussein7910
    @arafathussein7910 2 года назад

    Hajatembea uyuu,,anapajua nyang'olo na kitonga

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 года назад

    Hapo mbona pazuri sana njooni mombo soni mjifunze kona zaidi ya kumi njia nyembamba kona nyingi

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 11 месяцев назад

    Kabla ya kuwekwa lami ndo zilikua hatari sana

  • @johnedward7843
    @johnedward7843 2 года назад +1

    I suggest speed of moving car should be slowed

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist666 2 года назад

    Yaani hapo mara ya kwanza kupita kwenda Arusha kutoka Mbeya du ni noma, pia kizunguzungu lazima ukipate.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 2 года назад

    Siku nyingine ingefaa utumie drone kupata picha nzuri.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад

    kwa dino kolo hiyo ukitokea babati kuja kondoa

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 2 года назад

    Hapo hapafai kuweka bamsi itakua hatari zaidi

  • @daudpius130
    @daudpius130 2 года назад

    Njoo kuruya ukiwa unatoka tarime uone kona hatali

  • @shangwehalisi7659
    @shangwehalisi7659 2 года назад

    aaah mbona barabara nzuri hiyo nenda Rukwa ukaone

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 2 года назад

    Pesa zinatafunwa na safari za Samia na mafisadi wenzake.

  • @ireneassey9943
    @ireneassey9943 2 года назад

    Punguza mwendo si mmeambiwa

  • @humphreyiddy2986
    @humphreyiddy2986 2 года назад

    Am kweli sitaisahau kolo kwenye maisha yangu ni kumshukuru mungu sana nilinusurika sna

  • @zanzibar.
    @zanzibar. 2 года назад

    Hii mbon iko pouw tu

  • @mariamelia3906
    @mariamelia3906 2 года назад

    Kona ya hara Kona ya kolo ni balaa

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 2 года назад

    Tatizo si kona, bali watumiaji wa barabara, madreva wanashindwa kuchukua tahadhari na maoni wanayopewa, hizi kona si kona kama vile Rocky Mountains Marekani ambako hata wakati wa winter barabara zinajaa barafu lakini ajali ni chache sana.

  • @jabirjabir4652
    @jabirjabir4652 2 года назад

    Waende India wakasome

  • @SongeaDistrict
    @SongeaDistrict 10 месяцев назад

    Barabara nzuri Sana ukilinganisha na zamani

  • @douglasmichael7494
    @douglasmichael7494 2 года назад

    #Hancinho dos sàntos njoo utoe neno hapa

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip8945 2 года назад

    Unaifahamu Magara???〰️〰️

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 6 месяцев назад

    Kolowasi Kondoa

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Год назад

    Mlima.hatari sana ni mlima magara ukitokea arusha kuelekea haydom

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha5804 2 года назад

    Jamani kasimu nimekuona . ..

  • @brenthylland2507
    @brenthylland2507 2 года назад

    Unaongea kwakurudia sana improve kuongea

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад

    Hiyo njia nilipita nili soma dua njia nzima. Ukipita eneo la Bonga tu unakutana na ma corner ya ajabu. Pamoja nakua barabara ni pana na ni lami bado inatisha. Sijui wakati wa barabara za vumbi hali ilikua vipi

  • @Sengakarera
    @Sengakarera 6 месяцев назад

    Hatari sana

  • @ireneassey9943
    @ireneassey9943 2 года назад

    Kama chunya mbeyaa

  • @josephmpunta1669
    @josephmpunta1669 2 года назад

    Kasimu idowa

  • @smfkingdom9944
    @smfkingdom9944 2 года назад

    Usipitwe na hii
    ruclips.net/video/-2c5yHsFuvU/видео.html

  • @ayoubmbwambo4441
    @ayoubmbwambo4441 2 года назад

    Mmmmmhhh

  • @ip_header
    @ip_header 2 года назад +1

    Kumbe Kolo ni jina maarufu

  • @franciscaaugustino4305
    @franciscaaugustino4305 2 года назад +1

    Msinikumbushe maana hata maumivu hayajaisha ilokuwa nusu kila mtu alishikilia roho.

    • @shedracksteven3183
      @shedracksteven3183 2 года назад

      Wew ndo unaye jikumbusha kwan kuna alye kuomba uingie huku kuchek😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

    • @franciscaaugustino4305
      @franciscaaugustino4305 2 года назад

      @@shedracksteven3183 acha shobo dera litakuhusu

  • @realheartomary2972
    @realheartomary2972 2 года назад

    Hapo kweli bro