KONA ZA MLIMA KITONGA NA BARABARA YA ZEGE ‘MAGARI YASITELEZE’ MTAALAMU KAFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 сен 2019

Комментарии • 304

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 4 года назад +143

    Najua wale wapenda kitonga ndio mmekuja kuangalia hii video ....msiondoke hv hv naomba niwajue😂😂😂😂

  • @upendomndeme9478
    @upendomndeme9478 4 года назад +12

    Asante kwa Elimu engineer, proud of you

  • @pascalinamichael554
    @pascalinamichael554 4 года назад +17

    Alie ona mtaalami badala ya mtaalamu gonga like twende sawa

    • @sadas229
      @sadas229 3 года назад

      Hqpo nilipita nilihisi kufa wallh

  • @kahenzagadau1gadau878
    @kahenzagadau1gadau878 4 года назад +1

    Nimekusoma mr mtaalamu asante sana

  • @magaritechnology5427
    @magaritechnology5427 4 года назад +4

    Rami= Bitumen(Asphalt) ni world wide used katika ujenzi wa barabara zote kwa ajili ya magari yanayo tumia hasa rubber tires and trucks ...
    Tire patch on bitumen provides a very nice tire tractions...to provide nice control ,handling and safety...
    Kuhusu maswala ya uzito wa gari ni wao wajenzi inabidi hizo factor wazingatie , pia slope angle izingatiwe, mabadiriko ya hali ya hewa pia izingatiwe katika designing na pia ili wafikie lengo la kuhakikisha safety, fuel consumption ikiwa wanatumia ni raia ili iwasaidie kupunguza matumizi ya mafuta zaidi...
    Kuliko kujengea zege sehemu hatari kama ile ...
    Nashangaa sana.
    Kwasababu nikifikilia zege na tire traction, mabadiriko ya hewa mfano jua kali, mvua kubwa , na upepo mkali...
    Sidhani kama concrete road inakua reliable hasa katika sehemu hatari kama kitonga.
    Look
    Bitumen ni mabaki ya mwisho katika uchujaji wa crude oil...
    Inatumika kama binder katika utengenezaji wa barabara..
    Rubber Tyre huleta reaction nzuri na rami, kuliko concrete.
    Kudidimia, ku -purge, au kuonesha mabadiriko yoyote ya barabara ya rami..
    Huonesha namna gani barabara imejengwa chini ya kiwango...
    So mm sihafikiani na engineer wa ujenzi.
    Ninavyo elewa na ndo ilivyo.
    Labda sijamuelewa vizuri engineer.

    • @conradzimsky8215
      @conradzimsky8215 4 года назад

      Rami Ni Nini?
      Ama unamaanisha Lami?

    • @magaritechnology5427
      @magaritechnology5427 4 года назад

      @@conradzimsky8215 lami namaanisha...kiswahili tyu nimebugi😂😂

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 4 года назад

      Hapo bro Umefeli, Yaani unataka Kitonga pawe surfeced by Asphalt?
      Unajua hiyo Rigid ina miaka mingapi mpaka sasa? Je ingekuwa flexible pavements kama unavyotaka si ingekuwa majanga

    • @0yh964
      @0yh964 4 года назад

      Hapo wamejenga zege kwa sababu kuu moja tu. Durability, zege linaweza kukaa hata 40 years wakati asaphalt ikienda sana ni miaka 10. Kushinda unafanya maintenance hapo kitonga ni kusababisha foleni zisizo za lazima

  • @josephndomba1895
    @josephndomba1895 4 года назад +11

    Millard Ayo vipi kuusu ruvuma mbona utokei uku Kuna kampuni inaitwa Sietco ni ya kichina inatengeneza barabara.... Hapa atujawaiona viongozi wa mkoa kuja kutembelea lea wafanya kazi na pia mladi ni wa mabilioni wanalipa wafanyakazi ela ndogo labda ukija wewe uku cku moja watasikia viongozi wengne uko wakitaifa watasaidia

  • @dasiohaule9974
    @dasiohaule9974 4 года назад +18

    First mwandisi kachemka kidogo hapo plz elezea vizuri jaman rigid surface haili mafuta kuliko flexible na rigid surface ni comfortable kuliko en pia ujenzi wa rigid surface unaweza kuwa wa gharama kubwa kulingana na mazingira kwa maana ya time. Mwandisi aeleze vizuri bhana mtafuteni tena akiwa amemeza vitini fresh

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 4 года назад

      dasio haule kachemka haswa kwenye gharama

    • @salumabdallah6680
      @salumabdallah6680 4 года назад

      dasio haule pia gharama ya zege iko juu kuliko lami

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 4 года назад +1

      Rigid ina gharama kubwa ya ujenzi,
      Pia rigid si comfortable, hivyo ndio nijuavyo

    • @0yh964
      @0yh964 4 года назад +1

      Pia rigid inakula tyres kuliko lami ya kawaida

    • @leonardoscarkitime145
      @leonardoscarkitime145 4 года назад

      Sio mwandisi ni Muhandisi.. Tuanzie hapo kwanza.
      Halafu kingine, Kama kitu hukijui piga chini, waachie wataalamu waongee na usikilize wanachosema, na si kutoka utokako umejishibia zako makande unataka na wewe usikulizwe

  • @yellooh
    @yellooh 4 года назад +2

    Thank you.

  • @gabrielrymond9338
    @gabrielrymond9338 3 года назад

    Hongera cna kaka kwakuipendq kazi yako nasi tunaipenda pia

  • @kajolo1288
    @kajolo1288 4 года назад +1

    Very useful

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Год назад

    Sawasawa haya wale wakwetu iringa ndio home naomba like zenu

  • @meshackmihayo7480
    @meshackmihayo7480 2 года назад

    Umeeleze vizuri muhandisi. Ila gharama ya barabara ya zege (Portland Cement concrete pavement) ni kubwa kuliko ya lami (Asphalt concrete Pavement).

  • @BB-qj8dd
    @BB-qj8dd 2 года назад +2

    Mwishoni mwa interview kuna dereva anaendesha lorry ya kijani kwa mwendo kasi tena kwenye kona utadhani brake zimefeli. Wenzangu mmemuona?

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад

    nimekuelewa vizuri sana mtaalamu

  • @nuruissa2648
    @nuruissa2648 4 года назад +29

    Aiseeeee,nilipita APA kwenda mbaey,nilipofika nilimuuliza mume wangu hakuna njia nyingine ?? Ya kurudi maana mmmmmh

  • @mwashimba
    @mwashimba 4 года назад +1

    Ongea kuhusu tear and wear,barabara ya zege friction ni nyingi inatia hasara ya tairi, lami nayo ni nzuri aina kukwaruza lakini inaisha haraka sababu ya maji na uzito wa magari makubwa kupitisha viwango vya ubebaji

  • @ismailshamte4429
    @ismailshamte4429 4 года назад +1

    Nmeridhika engineer

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +19

    Nikipitishwa hapa lazma nijikojoleee 😂😂😂 uwiiiiiiiiiii

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871 4 года назад +4

    Wapenda Kitonga tujuane hapa🤷🏻‍♂️Tujadili hapa kwann wanatuwekea Zege tushindwe kuserereka

  • @francismngumi5125
    @francismngumi5125 4 года назад +18

    Kuna basi la blue Sijui nimeliona peke yang ...jamaa yuko speed kinoma kuliko

  • @kamanda007
    @kamanda007 4 года назад +16

    Huyu dereva was basi dakika 2.08 blue bus mpuuzi Sana and very careless.. shenzi sana huyu

    • @jogoolashamba3074
      @jogoolashamba3074 4 года назад +1

      kamanda007 haaaa huyo mbona hapo hayuko spid sana kuna mabasi yanashuka hapo kwa spid mpaka unataman kulia

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 года назад +1

      Tatizo ni abiria. Wange ongea kwa umoja lazima angefanya adabu. Ila kuna watu uki ongea unaonekana mjinga hadi wanakushangaa. Ajali nyingi kwa kweli ni husababishwa na uzembe

    • @omarymwenemti2945
      @omarymwenemti2945 4 года назад +2

      Hi hi hiii,msenge sana na huyo mwenye roli hapo mwisho anashuka kama yupo tambalale..😁😁

  • @geofreyemanuel8939
    @geofreyemanuel8939 4 года назад +1

    Geof na Alysaedy yake haelewi anashukatu namkubali sana dereva wa hilo bas

  • @ezrahgeorge3933
    @ezrahgeorge3933 4 года назад +5

    yaan kila nikitaka kwenda mbeya nikiwaza hapa aisee natokwa mpk vipele vya baridi yaan napaogopa sana hapa nakuwaga kimya nasali tu

  • @emmakalou5920
    @emmakalou5920 4 года назад +2

    No3

  • @aishaatamiminipoomaninimef2011
    @aishaatamiminipoomaninimef2011 4 года назад +5

    Nikienda songea nitapitia njia ya Kusini

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi3755 4 года назад +6

    Millard izo mbona za kawaida nenda kaangalie Bara Bara ya nyasa kwenda mbambabey ni hatsry

    • @ChumaTheGreat
      @ChumaTheGreat 4 года назад

      Nyasa kwenya mbambabey au mbinga kwenda nyasa

    • @doraharnold2431
      @doraharnold2431 3 года назад

      @@ChumaTheGreat Hahhahhahhha hajakosea kote njia mbaya

  • @jargontz3546
    @jargontz3546 3 года назад

    yah ik vzr

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 4 года назад +1

    Nendeni tu Duh ,kisa cha kufa kwa uwoga ,

  • @hakikahoman615
    @hakikahoman615 4 года назад +10

    Nilikuwa napasikia tu kitonga ni mlima atari sana lakini nimejionea mwaka huu duuuuuuh. Alafu ni kipande kirefu sana

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 4 года назад +1

      Hapo unasali sala zote zinamalizika na unarudia tena na tena hahhhaa. Hapaishi haraka

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 года назад +1

      @@eneolatukio8493 wala haitishi ukifika live utaona

    • @queenbhanji7223
      @queenbhanji7223 4 года назад

      mbn wala hapatishi sana ukija pita utajionea2

    • @hakikahoman615
      @hakikahoman615 4 года назад

      @@queenbhanji7223 nimesha pita hapo we si mchezo

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 4 года назад

      Hata mimi pia nimeshapita mlima kitonga nilikuwa natoka dar kwenda tunduma tena tulikuta lori la viazi batata limeanguka hapo hapo kilima kitonga

  • @alphardthegreat8889
    @alphardthegreat8889 4 года назад

    No1

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 4 года назад

    Basi mbn lipo taratibu angalia iyo semi trela nyuma ilivo tokeza kwenye Kona ndo noma

  • @kanoa645
    @kanoa645 4 года назад +3

    Hapo kwenye rofauti ya zege na lami katika uendeshaji mhandisi kasaha kitu ADHESIVENES na friction kati ya gurudumu na surface

  • @juniorkhan2831
    @juniorkhan2831 4 года назад

    No2

  • @hemednassour4763
    @hemednassour4763 2 года назад

    Jamani kitonga mbn pametrand sana kwan kuna nn uko

  • @pilymasoud1978
    @pilymasoud1978 4 года назад +2

    Mmmhu sitaki hata kuongea hiyo balabala,mng awatangurie madereva

  • @israeleliah1568
    @israeleliah1568 4 года назад +5

    Hua nikifika apa miguu hua inaisha nguvu sijui madereva hua wana kua na ujasiri gani

    • @evacharles9448
      @evacharles9448 4 года назад

      Haha huwa unahisi wajina Israel yupo karibu nini 😂 😂

    • @juliusphabian6336
      @juliusphabian6336 4 года назад

      Asa kama israel anahisi miguu kuisha nguv mm ni nani

  • @adinanikarata3115
    @adinanikarata3115 4 года назад +2

    Hapo mm napita kila kila Mara na fuso ya nyanya kutoka ilula daaah ila huwa sipazoei kabisa huo mlima ni noma kona Kali miteremko mikali afu pembamba huko bondeni sasa hadi Giza huoni chini

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 4 года назад

      Minyoka kibao uko chini mamaa weee!!

    • @elizachota6361
      @elizachota6361 4 года назад

      Adinani karata naomba namba zako tuongee ishu 🤗

  • @serengetiamb636
    @serengetiamb636 4 года назад +1

    pamoja sana

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu9959 4 года назад +2

    Maeneo maku😂😂

  • @nyash2542
    @nyash2542 4 года назад +1

    Mara ya kwanza kuingia Tanzania nikisifia sana sehemu hii kama sijakosea kama 25km kupanda na Axor 2543 waliita gari ndogo sivyo nilivyo zikata streamliner 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 3 года назад

    Sikushangaa nilipopita nilistaaja kuona baskeli inashuka kwa speed na mapipa 3 ya ulanzi dah inatisha

  • @bonidaexpress
    @bonidaexpress 4 года назад

    hiyo drone kali sana👍👍

  • @charlessadock7417
    @charlessadock7417 4 года назад

    Daaah

  • @blackseason599
    @blackseason599 4 года назад

    Al Saedy huyooo DNN namba moja Dar -Mby anatelezaa tu Kitongaaa

  • @minjacsd1874
    @minjacsd1874 4 года назад

    No 5

  • @tuonhfhgf1605
    @tuonhfhgf1605 4 года назад

    Mr.kyando msalimieni

  • @delsonandrew9330
    @delsonandrew9330 4 года назад +1

    Kuna roli linapanda Mwisho Hapo liko speed kwel

  • @milelestudios1050
    @milelestudios1050 4 года назад

    Gonga like kama umeelewa zaidi

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 2 года назад

    Daah nlipitaga mwaka 1993 hadi leo ckupita tena

  • @caseyjason-ws3fr
    @caseyjason-ws3fr 3 года назад

    Yaani huu mlima ndo unanifanya nisiende Songea,serious kwanini hawachimbi katikati ,huo mlima si umekufa, si watengeneze Tunnel hapo katikati, au kuna nini, wajuaji naomba mnijuze,.......Nikirudi bongo ntapanda ndege kwenda Songea
    Dah balaa huo mlima,maana nikisikia ndugu wakiongea nasikiaga baridi la ajabu linanipata

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад

    Tatizo huwa mnafanya vitu visivyo faa hivi cement tunayo kibao lakini barabarani mbona kijibarabara kifinyu mnoo na ajali ndio maana zipo kila mara kutokuwa na ubunifu mzuri.

  • @ngenzisaid4958
    @ngenzisaid4958 4 года назад

    watu wanalia sanaaaa kitonga kitonga mbn twapita kila day na hakuna chochote kile papo poa sanaa apo

  • @mudytelela2162
    @mudytelela2162 4 года назад

    Nawakubali

  • @PeterSaaja
    @PeterSaaja 3 месяца назад

    Na kama gari inasimama kwa milima na unafaa kwasia kuhendesha

  • @gladymndala1061
    @gladymndala1061 4 года назад +1

    Aisee ni hatr silalgi nikifika sehemu hii hasa nikikumbuka tulinusurika kugongana na bus afu ss tuko kati nyuma na mbele woga mpaka leo ila dereva wa bus nahis wanaona kawaida maana hawapungiz mwendo😔😔😔😔

  • @emmanuelmichael9087
    @emmanuelmichael9087 4 года назад +2

    Barabara ya Zege gharama yake ipo juu na sio chini kdogo km mwandis anavyosema hapo juu compared na rami yakawaida

    • @godardreborn1758
      @godardreborn1758 4 года назад +1

      Bro Mhandisi kachemka ata mimi nilishtuka nikataka kukupigia simu, uzuri nimekuta comment

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 4 года назад

      Barabara za zege ni bei kubwa sana hata hiyo kitonga nahisi imejengwa kwa hela za wakorea au wajapan 😁😁😁

  • @joelhassaninnocent1781
    @joelhassaninnocent1781 4 года назад +2

    nakumbuka safari yangu nirifika mlima huo mvua ikanyesha ndio niriona mengi zaidi

    • @kubiluedward2190
      @kubiluedward2190 4 года назад

      Engineer katupa matango..sio kwel barabara ya zege ni cheap kuzid ya lami..na barabara ya zege ni bora kuliko lami...life span ya barabara ya zege ni 45yrs wakat lami ni 15yrs

  • @magaritechnology5427
    @magaritechnology5427 4 года назад +1

    Dah millard ayo...
    Muhusika katika kuelezea hivyo vitu
    Inabidi umtafute Mr.kyando..
    Binafsi sijapenda kwa kweli..

  • @batromeonassoro3273
    @batromeonassoro3273 4 года назад

    Huyo mwenye roli wa mwisho mwisho kabisa mwenye kontena hiyo sped anayoshukanayo sio ya nchi hii khaaaa

  • @dgt6303
    @dgt6303 4 года назад +1

    Daah nikipapitaga huwa nazuga kulala ili nisione nje ila na ucngiz nao hauji

  • @luteking
    @luteking 4 года назад +1

    No4

  • @adamshana8315
    @adamshana8315 4 года назад

    Nilikuwa cjawah kupita jmn ila cku niliyoopita gar zima walinihurumia mpk nafka kitonga comfort tumb la kuharisha limenishka cji kurudia tena kupita hyo njia

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 года назад +11

    Cheki hilo basi linavyo kimbizwa kwenye hizo kona.

    • @hakikahoman615
      @hakikahoman615 4 года назад

      Na km ukiwa na roho ndogo ukifika iyo safaris wanakupeleka hospital moja kwa moja

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 4 года назад +1

      kuna dereva wa semi anashusha kama gari ndogo 4:34

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 года назад

      @@bullermgana213 ni akili zao kweli au kuna ndumu imetumika hapo

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 4 года назад

      @@bjzee1981 hahaha

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 4 года назад +1

    Sasa hakuna hta uzio pembeni duuh bas Sauzi itabaki kileleni

  • @0yh964
    @0yh964 4 года назад +3

    Concrete ina gharama chini kidogo ukilindanisha na lami? How comes? Hapa amedanganya kabisaaa... Concrete ni barabara ya gharama na inadumu kwa miaka mingi kuliko lami ya kawaida.

  • @mtalifimbomusa1395
    @mtalifimbomusa1395 3 года назад

    Iringa ni kwetu,iala nikitaka kwenda nyumbani nazunguka dodoma kuogopa huo mlima

  • @asalasaad7568
    @asalasaad7568 4 года назад +1

    Una masaa mangapi mpaka kuisha huo mlima. Kupandisha au kushusha???

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 4 года назад

    Kona kali sana.

  • @EmmanuelHaulenjombe
    @EmmanuelHaulenjombe 4 года назад

    Apo pakawaida Sana hujakutana na Isuzu forward inapeleka nyanya dar ukisikiaaa stop engine imelia ujue kashamalza Kona. Kwa bus zinatembea adi sio pw ila usiombe bas liwe na wanawake watalia Lia umo atar

  • @geraldnyamaiswe570
    @geraldnyamaiswe570 4 года назад +2

    Wahandisi kwa nini wasifikirie kubomowa gema zaidi ili barabara iwe pana yaani upande wa kulia unapopandisha huo Mlima?

  • @shabanimbaga8921
    @shabanimbaga8921 4 года назад +6

    Kudadeki madereva wa kibongo tuna roho ngumu yani tunazunguka hapo kama kwenye tambarare 🤣🤣🤣🤣

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 4 года назад

      Newforce ndio hutumia chance kuwapita waoga hapo 😁😁😁

  • @emmanuelwille8933
    @emmanuelwille8933 2 года назад

    Mabas yakifukuzan

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 4 года назад

    Mbona cha mtoto nenda Nyang'horo Iringa-Dodoma, utasimulia vizuri, kuna kona za hatari.

    • @elmasroj9712
      @elmasroj9712 4 года назад

      Nyang'oro uzuri wake hakuna mpando sehemu kubwa ni flati mipando ni michache sana

  • @mariyammuhammed4428
    @mariyammuhammed4428 4 года назад

    Natamani kwenda Mbeya lkn naogopa kitonga

  • @hafsamchome6775
    @hafsamchome6775 4 года назад +1

    Mh mungu jaman anatunusuru wajawake

  • @eltonmatary1345
    @eltonmatary1345 4 года назад +1

    Oya sio pw

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 4 года назад

    Duuuuh. !kuna jemedari mmoja hapo naona ana sororesha kitu moja ya Blue bahari sijui anatembea kama yuko high way..

  • @lilym704
    @lilym704 4 года назад

    Hiyo njiya yarab akili gani tengenezeni njiya 2 za kwenda na 2 za kurudi na iwe large ata ikitokewa kitu iwe fasi ya kusimama ni lorry ndo zinapita sio basckell hamna usalama

    • @ramadanadam8036
      @ramadanadam8036 4 года назад

      Ya dodoma ipo lkin hzo kona za nyang'oro bora upite kitonga tyu umbali mfupi tu pale

  • @heriethhenry4019
    @heriethhenry4019 4 года назад

    hilo ni cha mtoto.nendeni karatu mkaangalie lilikoanzia huo mkondo wa creater.hapo kitonga ndio linamalizikia.tena limegawanyika.maeneo ya senkeke matawi ndio yamechanua pale semkeke.ma limeenda mpk jordan.na limeanzia ngorongoro Arusha.

  • @saimonmkama7879
    @saimonmkama7879 4 года назад +1

    Kwa wale wenzangu wa mgeta morogolo tunasema kitonga ni mlima wa kawaida na kona chache sana

  • @husseinmdoe8832
    @husseinmdoe8832 3 года назад

    Duuh hizo basi ziko fast san

  • @evacharles9448
    @evacharles9448 4 года назад

    Naiona Al Saedy Bus hiyo inashuka Kitonga

  • @magnusmlowe8634
    @magnusmlowe8634 4 года назад

    Nami

  • @soundstream2930
    @soundstream2930 4 года назад

    Kwa usajili wa Kampuni, Jina la biashara, Nembo ya biashara (Trade Mark), NGO,s, Churches, Barcodes kwa ajili ya bidhaa zako, Kubadili jina la Kampuni/ Biashara, Kubadili wamiliki wa Kampuni (Directors), Annual returns, International NGO,s zinazotaka kufanya kazi hapa Tanzania na mengineyo yahuduyo Kampuni tupigie sasa 0786 660 202 KARIBU SANA TUKUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU SANA NA WELEDI WA HALI YA JUU

  • @amribudi7870
    @amribudi7870 4 года назад

    Suala lingine taili ni rahisi kupasuka kwenye barabara ya zege kuliko kwenye lami

    • @0yh964
      @0yh964 4 года назад

      Exact... zege inakula sana tairi kwanza

  • @maisaramaulid4668
    @maisaramaulid4668 4 года назад

    Kunatisha sn

  • @bonifacemarwa6496
    @bonifacemarwa6496 4 года назад

    Nilipita hapa usiku wa saa nne nikitokea Iringa, nilikua nachungulia hilo bonde kwa uoga sana

  • @shakiramkotya4598
    @shakiramkotya4598 4 года назад

    Nilishawahi kupita jamani jaman niliogopa sana

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 4 года назад

    Ipo haja ya kujengea uzio mzito,utakao zuia gari kubiringia bondeni pindi ikitokea ajali,kilamwaka tunapoteza watu wengi serikali iangalie hilo,iache mengine ifanye hilo

  • @wbdsgamer_
    @wbdsgamer_ 4 года назад +3

    1:52 Naona AL SAEDY "DNN" inateleza na hizo kona tu😀😀😀

  • @stephenmaithya1395
    @stephenmaithya1395 5 месяцев назад

    Nithi bridge

  • @jonkomba7406
    @jonkomba7406 4 года назад

    Nazani watu hampajui mlima Chinambedo ... Nazan ndio panatisha zaidi ya kitonga.

  • @maryclaralema2577
    @maryclaralema2577 4 года назад

    duh inaogopesha

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 4 года назад

    Tumezoa kupita huko toka 2005 mpka leo tunafuraia kupita kitonga

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад

    Njia hiyo ya kitonga huwa naogopa mno japo nimepita mala kibao yaan nikishafika hapo maini na firigisi vinachanganyana

  • @naomineemia373
    @naomineemia373 3 года назад

    Acha kabsa mlima kitonga unatishaa ndug zangu wairinga mnavyotok dar kuja iringa mmh

  • @heradius
    @heradius 3 года назад

    Ajali zinazotokea MLIMA KITONGA
    Check hii!!
    ruclips.net/video/xYiCbM5-LRg/видео.html

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 2 года назад

    Hilo semi vip uo mwendo

  • @elizamwaigombe2457
    @elizamwaigombe2457 4 года назад

    Mbeya pia kuna kona za mkoa, barabara ya kwenda chunya, mje mzione pia,

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 года назад

      Acha wivu

    • @elizamwaigombe2457
      @elizamwaigombe2457 4 года назад

      Lilian Luhasi sina wivu nawakaribishaa tuuuu

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 4 года назад

      @@elizamwaigombe2457 haya mpendwa nilikuwa natania tu

    • @elizamwaigombe2457
      @elizamwaigombe2457 4 года назад

      Lilian Luhasi asantee my dear

    • @kadokemarco9966
      @kadokemarco9966 4 года назад +2

      Mimi naona hizo kona za Mbeya-Chunya ni namba 1, 2 nyang'horo na 3 kitonga.
      Kitonga ni za kawaida sana.

  • @jaydanafricanboy2782
    @jaydanafricanboy2782 4 года назад

    uyo dereva wa bus la bluu atafutwe awezi kushuka kitonga kwaspidi kama ivo au nimeona pekeangu

    • @andrewmziray2233
      @andrewmziray2233 4 года назад

      Kwa kosa gan mzee ? Hilo n bus sio truck .

    • @jaydanafricanboy2782
      @jaydanafricanboy2782 4 года назад

      @@andrewmziray2233 anahatarisha maisha ya watu hapo kitong hatar babu