GARI LATUMBUKIA MTONI DARAJANI WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI "KUNA MAMBA NA VIBOKO"
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Kutoka Daraja la Wami, zimetokea ajali mbili tofauti ambazo hazijapishana sana, moja ni ya Lori ambalo lilifeli breki na kutumbukia Mtoni na bado halijatolewa huku ikiaminika kuwa Dereva bado yupo ndani ya Lori hilo chini ya maji tangu Ijumaa June 05, 2020 ajali ilipotokea, wenzake wawili tayari wameokolewa .
Wakati Watu wakiwa wamejaa kushuhudia ajali hiyo ghafla Lori jingine pia likafeli breki na kuua Watu wawili (Mama na Mtoto) kisha kuyazoa magari zaidi ya sita ambayo yote yameharibika vibaya.
#millardayoUPDATES#mtowami
Innalillah waina illahi rajiun.Hao wazamiaji wanaoitwa wakienyeji ndo wa2 wakupewa mafunzo ili wawe bora zaidi...
2naiyomba serikali ijitahidi kuboresha daraja hili
Mungu amsaidie ndugu yetu apate kutoka
Jeshi la uokoaji linategemea waokoaji wa kienyeji? Hii ni aibu kwa jeshi!
Mussa baraka daraja linajengwa lipo kama mita 100 kutoka hapo ni pana2 likiisha barabara itaamishiwa hapo
Wanangoja mpaka kukuche, huyo ndo tumeshampoteza aise! Mifumo ya ujenzi wa bara bara ni mbovu, wazipanue. Poleni Watanzania wote, huo ni msiba wa kitaifa!
Yaarabbi wajaalie wafadhili wajitokeze watujengee madaraja hata matatu hapo mto wami yaallah twskuomba tusaidie amiin
Dah huyu mama na mtt wallah inaumaa Sanaa hasa kwa mumewe manaa ndio alikuwa mkew kipenzi na mtt wake wa kwanza ndio katoka kujifungua dah inaumaaa hasa pale alipotafta mkewe akambiwa sogea kweny watu kule Kuna ajali hakuamin inaumaa mungu zilaze roho za marehem peponi
Ameen🙏🙏🙏
Mh ee mungu msaidie dereva atoke salama kama ulivyowaokoa meshark,shedrak na abernego katika tanuru la moto Amen.
Hongereni sana jeshi la uokoaji na zimamoto laliki pia jeshi la polisi na watu wa habari sababu ss tulioko mbali tumeguswa na kusikitishwa na hilo tilio ila vyombo vya hanari kwa kazi zao tunaona kinachoendelea. Hongereni sana. Mw/Mungu awape uwezo wa kuuopowa huo mwili wa huyo dereva. Mw/Mungu awabariki nyote.
HAPA PANAHITAJI KUJENGWA DARAJA LA KISASA LENYE UPANA WA KUTOSHA.
Kabisaa nihatarii sanaa
Kuna daraja linajengwa kwa pembeni kule. Ila bado sana kukamilika
Daraja lingine lishaanza kujengwa toka mwaka jana mwishoni na ujenzi unaendelea.
Hata sijui wanasubiri nini kuna mwaka mmoja pia ilitokea ajari daraja lilivunjika
Yani wajenge kama lile la kirombero lenye uzii mrefu sana
Jamani wafrica tunaongozwa na wachina kazi ipo mwenyeezi mungu tunusuru kwa kila hatua dua huu ni udhaifu mkubwa katika Africa nzima
Poleni sana. Ila inatakiwa kuimarisha timu ya uokoaji ili kuokoa maisha sio kuokoa miili kwa nchi zilizopiga hatua kimaendeleo huenda huyo dereva angeokoka
Dah mungu msaidie dereva apone sijui hawa zima Moto wamepewa mafunzo ya kuongea kuliko kuokoa maisha ya binadam mungu saidia hapo
Wazima moto mko slow balaa, jeshi la zimamoto hiyo mashine mnaisubiria masaa mangapi, tanzania amkeni, jifunzeni kuwa na speed kali kwa matukio ya uokoaji,
Tanzania uokoaji mko nyuma umbea mbele
Hiyo sehem sio salama kbs alafu barabar nyembamba mno
Tatizo sio barabara tatizo uendeshaji bila uangalifu ,ukishajua barabara nyembamba nenda speed 30 kwa lisaa ndio speed salama kwenye maeneo mabaya na maeneo yenye misongamano,na ni muhimu kuwa na ka nyundo la kuvunjia kona ya dirisha kama ukitumbukia majini
Allah Akbaru
M/mungu Awatie Nguvu
Inna lilahi wainna ilaihi Raajiuuna
Pole Kwa Wale Wote Ambao Ndugu Zao Ni Wahusika Wa Hizo Ajali 🙏🙏🙏
Kwanini serikali isiwaajiri hawa wazamiaji wa kienyeji ili wawe wanatusaidia kwenye mambo kama hay?
Selikali hii au ya marekan ujue kutengeneza bunduki tu unaenda jela sembuse ujue kuzamia watakujali waapi
Hilo nalo neno
@@rajabubojoo9467 sio kweli serikali imeajiri watu wengi sana wenye vipaji na waliotoa michango mbalimbali ya kujitolea katika majanga mbalimbali yaliyotekea katika nchi ! Ili utengeneze bunduki lazima uwe na kibali toka serikalin kumbuka hiyo ni silaha nani hatari kwa usalama waraia na nchi kwa ujumla na hata uuzaji wa silaha lazima uwe na kibali toka serikalini hata mnunuzi wa silaha anatakiwa awe na kibali kutokea ngazi ya serikali za mitaa inakwenda kwa mkuu wa wiliya kamati ya ulinzi na usalama inakuita inakuhoji wewe unaetaka kununua silaha wakijiridhisha wanapeleka maombi yako kwa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa nao watakuhoji wakiridhika ndipo wanapeleka maombi yako serikalini ili uuziwe silaha na unapewa mashariti ya kuitumia ! Sasa wewe unaetengeneza bila kibali uachwe hizo silaha zinauzwa wapi na zinafanya nn huko ?
Kweli kbs wajiliwe na serikali ili wawe wanatusaidia wapitaji apo
Poleni sana nduguzanguni..mumetukumbusha mkasa ulio fanyika likoni mwaka jana😭😭😭😭inchini kenya
MUNGU MKUU aturehemu sote. Poleni sana ndugu zetu. Amen.
Poleni jamani,hyani iyo sehemu ni mbaya,nyembamba mtelemko mkali,mlima mkali balaaa
duuuu mungu wangu poleni sana
Widen that bridge, and, at the end of the bridge there is something like a bump or a depletion that makes vehicles appear to be pushed up. That usually makes the driver loose control of the vehicle especially when on a higher speed. Make sure when joining the bridge from both sides, the place is flat enough for one not to feel it when he leaves the normal ground and joining the bridge. Wakati Ngari Lanakaa karuka juu wakati inangia kwa bridge, ni Hatari sana. Dereva ana loose control kwasababu ya hiyo. Na sii ajabu kukuta, hilo lori lilitubukia kutoka na hiyo sehemu.
Mungu amlinde huyo dereva.mungu hamwachi mja wake
Bakari wa ayo ni bonge la mtangazaji mzuri ..the best of the best repoter
Mungu ibariki Tanzania iepushe na matukio ya ajali 🙏
Mungu azilaze roho za marehem mahala pema peponi
Poleni ndugu zetu, ila kitendo cha zima moto kwenda kuzima moto mtoni sijakipenda.
Jaman daraja liko mbona lishaanzwa tangia mwaka jana sema tuu nais halijakamilika ndo mana tucwe na hasira kila kitu kina wakat na hata hao viongoz cdhan kama nawao wanapenda ajal zitokee mana wanapita sana apo kwnda mikoa ya kaskazin tena kwa kutumia magar bt all in all tumuombee tu kwa mungu na hicho kifaa kifike kwa mapema zaid coz moro na wami ata apana umbali mkubwa japo naiman atakua kesha kufa ila ndo hakuna jinsi innalillah waina ilah rajioun
Jmn Mungu atusaidie. Dereva jamani .Mungu afanye muujiza wake. Wazo langu daraja liongezwe upana km itawezekana,pia crane ziongezwe na ziwe jirani kwa maeneo hatari
Mungu wangu,ya Allah tunusuru sisi waja wako na haya majanga
Subhana llah poleni sana watanzania wenzangu😭
That bridge is scary ..Tanzania needs to build a wider bridge...damn!
Zima moto na ukoaji na ninyi ingieni kama walivyoingia raia ndani ya maji ili mjiridhishe na maelezo yao,sasa ninyi eti mbasubiri clain,duh!
Mamba ndugu yangu
Kiboko kaka
Nafsi ya mtu ngumu
Uwo muda wanaupoteza kwa mahojiano wangemtoa, maskini daa, hao wa kienyeji wa faida kuliko wao
Wazamiaji wa kiemyeji wamejitoa ila sifa itakuja kwa askr
Kumbukeni event zote sio common kila event ina attribute zake na katika swala la uokoaji ni muhimu kuzingatia usalama wa anaeokoa kwanza sio kwenda kinyumbu tu izi disaster zinautaratibu wake unaposoma tu izi comment unagundua jamii yetu imejaa watu wanamna gani
@@omariamiri3348 na ndio maana nikasema nafsi ya mtu ngumu sababu aliye hai bado anahitajika ktk ujenzi wa taifa ila aliyekufa anahitajika kwa kuzikwa kwahiyo usalam kwanza
Allahu akbar yaarabbi wape subra na uvumilivu ndugu zetu amiin
Hapo ni hatari Sana ...tulishawahi gongna bus na hyce uso kwa uso bahati nzuri gari yetu ilikwama haikushuka chini ya daraja ndo pona pona yetu..
Hilo daraja linatakiwa lijengwe kwa kasi magari yawe yanapishana.
Ajali zimekuwa nyingi Sana miaka Hadi miaka
Poleni sana wote mliopatwa na matukio ya vifo
Inatisha sana na kusikitisha ewe Mungu wewe ni mwema
Naomba kuliza kwann serikali isitengeneze iyooo barabara jamanii
ishu ni daraja upana mdogo serkali ifanye jitihada kuongeza upana #milard uko vzur
Wazamiaji wa kienyeji.Hili neeno linawadhalilisha.Wangetumia neno wazamiaji tu.Kienyeji waliache tu.Pia nafikili hapo ndo wangewaajili hao wazamiaji wawe ndo kikosi cha mbele cha uokoaji
True mana jeshi la uokoaji limefika halafu et wanaogopa mamba inamana hao mnaowaita wakienyeji hawakujua kama kuna mamba??
Hongereni zimamoto na uokoaji
Inna Lillah Wa Inna Ilayh Raj'uun! Dah...Allah Awarehemu wale wote waliopoteza maisha yao katokana na hili.Amiin!
Nimeshangaa tu kusikia eti wazamiaji wa kienyeji wakati nyinyi ndo wa kienyeji kabisa mko slow sana, mnachoweza tu ni kuzuia mikutano
NDIO wanajua
😂😂😂Nakuona unavyoumia kisiasa zaidi kuliko uhalisia wa tukio,pole ndg. Kiufupi tu kama ulikuwa hujui kuna daraja kubwa zaidi linaendelea kujengwa pembeni ya hilo na litakamilika mwezi wa 12 mwaka huu.
Ina maana hao wazamiaji wa kienyeji ni hodari zaidi ya hao wa kisasa ila shida yao ni zana hawana
@@kalufunyangenyakinyungu5087 anaumia vp kisiasa? Amewazungumzia hao waokoaji wanaoitwa wa kisasa kuwa Hawa deserve kuitwa wa kisasa, hao wa kienyeji ndio walipaswa kuitwa wa kisasa
Oooo kila kitu siasa pumbavuuu
Poreni sana wafiwa.wote naongereni sana wazamiaji kwakazi.mnzuri
Hyo sehemu hatar sanaaa serikal yetu ijenge daraja kubwa hapo jmn 😥😥
hili sio daraja nzuri kwakweli
Tusilamu daraja kuwa jembamba isipokuws tatizo ni kufeli brake za gari kwahiyo ata lingekuwa pana lingeleta matatizo pia.
Ni juzi tu nmemwambia mama naogop daraja la wami, plz naomb wajenge vzr iyo njia ni nyembamba san yan, natamn niwe nashushwa ili nitembee kwa mguu!
Poleni sana kwa kweli
Hii sehem hatari sana yaa. Nikiendeshaga gari hapa nipo makini sana afu daraja lipo juu sana
Askari wa Africa ni shida sana,wanasubiri kuokoa mwili badala ya kuokoa uhai wa binadamu.
Poleni Sana. I know that corner na mteremko Jameni.
Einice ulipita hapo ukielekea Mombasa au Nai?
Kwa ushauri wangu mimi kila penye madaraja makubwa pajengwe vituo vya zimamoto na uokoaji na vijana wake wapewe mafunzo ya kisasa zaidi
we umeongea point
Nimependa ulichosema.🙏
Yaraaby molla atufanyie wepesi kwa sote 🙏
Mtihani
Haina maana yoyote kujenga bara bara pana ya ubungo bila kujenga daraja pana la mto wami ni mamilioni ya magari Na watu hypotes ktk mto wami sababu kubwa mterenko mkali Na konna Na daraja ambalo halina ubora ni jembamba sana ni Sawa Na daraja la kupitishia ngombe Na mbuzi Tu ,
Jifunzeni kuwa na kiasi unasema ni daraja la kupitisha ng'ombe wakati miaka nenda rudi limetusaidia, nikujulishe tu kwamba upande wa pili wa mto kuna daraja jipya linaloendelea kujengwa muda si mrefu litakuwa tayari
mungu msaidie huyo dreva jamaan
Daah Mungu awaponye...
Niwapongeze milard ayo kwa picha nzuri za drones na muonekano mzuri wa uhalisia husika wa tukio😍
Daa sitasaau siku hiyo tu nilikuwepo pongezi sana kwa jeshi letu me nilijua nalala kwenye daladala siku hiyo
Hili daraja nihatari sana.Mimi mwenyewe na abiria wenzangu tulinusurika kutumbukia na bus.Kwakweli ni hatari.
Ili daraja jalina nguzo bora kwa kando yaan ivyo vyu.a hafifu mno kisha daraja lipo juu sana
Kwa hapa mm nailaumu serikali kwann wanapafumbia macho hapa wami na ajali znatokea nyingii
Serikali ya awamu ya Tano tayari walishaanza ujenzi wa daraja kubwa upande wa pili hapo, kwahiyo soon tatizo litaissha
Usilaumu serikali kaka swala ni ukaguzi wa magari wengi huwa wanadharau hako kakilima
Ndio kafara yao
Hiii sehemu mie naiogopa kwelikweli
Daaaaah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 kifo Cha maumivu sana, Allah tupe mwisho mwema inshallah
Mmm mungu azid kutulinda
Dar poleni sana
hyo sio sehemu ya kukusanyika na kuanza kushangaa ajali.
Yan hiyo sehemu mtiani wale wasafiri na waliosoma mikoani wanajua yan kunatisha sijui kwanin selikari hawaweki trafic au vijana wawe wanasimama kuwambia watu wapunguze mwendo maana wengine wanaendesha uku wamelewa yan waweke sheria kam umbali matrafic hawawezi kukaa kuna vijana wengi wapo kitaaani wangewafundisha nakuwa kazi yao
Poleni Sana Kwa janga hilo
Mungu atusaidie jamani ....
Jamani maeneo kama hayo yenye madaraja marefu kunatakiwa kuwe na hayo magari ya uokoaji karibu.yani kweli gari ya kuokoa itoke mikumi? Daah huyo dereva ataliwa na mamba
Yan nikipitaga hapa sina imani kabisa, mungu tunusuru🙏
Mungu asimame na hii jamiiii
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun
Polenii sana jaman
Kumbe kama umevaa mkanda kwenye ajali ya maji hupon,,,,hatari tuombe mungu atunusuru
Duhhhh ,frenk ulikua mpole,tofauti na kifo chako ,serkal msadaa tupate walau mwili jaman
Dah polen san
Kuweni pole akiii
Poleni Sana ila Barabara nyembamba Sana serikali iliangalie hili ni hatari ana
Poleni wapendwa
Hilo daraja n jembamb sana na ndo barabar kuu kutok dar kuja arusha amna njia nyingine, kwann serikali haiwazi kuliboresh hilo daraja?
Hili daraja huleta majanga sana na ni daraja muhimu kwenda mikoa ya kilimanjaro.tumekuwa wazembe miaka yote hii jamani. Rip waliofariki.
Daraja Jembamba Sana Yani Serikali Awalioni Ilo Daraja Jembamba
Hatari! Na huo mto unamamba sana
Poor Tanzania. You should come to kenya and see how roads and bridges are done.
Baba Magu twakuomba jenga hilio garaja kabla hujaondoka madarakani wewe ndo mkombozi wetu Baba. Eeh Mung muokoe dareva.
Kashaanza ujenzi hapo pembezone december litaisha
Miundo mbinu haijatimia.
1. Jeshi la polisi na zima moto wapewe mafunzo ya hali ya juu pamoja na vitendea kazi vya kisasa.
1.Daraja la kisasa lijengwe kwa haraka sana ili kuondoa maafa.
3. Hao wanaoitwa wazamiaji wa kienyeji waajiriwe na wawe hawachezi mbali na daraja hilo.
4. Kama patakuwa na uwezekano wa kuwatimua mamba na vibogo eneo hilo bora watimuliwe.
Daraja Ni Dogo sana Wakandarasi wa Bongo Wanatuangusha sana
Tunanunua ndege ambazo watanzania wachache sana ndo wanazifaidi wakati kuna maswala ya muhimu kama kujenga hili daraja likawa kubwa na salama, hili daraja lina miaka mingi na viongoz wanalitazama tuu ona sasa ajali znatokea afu MTU anajisemea tunasubir ushuz gan wakat kuna MTU yupo huko chini na huenda kashakufa?
Nashangaa wengine hapo wanaongelea ununuzi wa ndege huo ni upofu wa akili ndege ina sehemu yake nadaraja lina sehemu yake kama huna uwezo wa kupanda ndege panda fisi wako kaa kimywa hapo nimesikia kuna wachina wanataka kuanza upanuzi wa daraja haya wenye makengeza ya akili yamerukia ndege na barabara mmmhh ubinadamu kazi
Ww uko nchi gani kwani
@@faustinemavere1450 daraja lilishaanza kujengwa upande wa pili siku nyingi.
Daraja lishaanza kujengwa kitambo ....
Acha ujinga bro ndege ni sehemu ya maendeleo pia, madaraja makubwa na madogo yaliyojengwa ni mengi zaidi ya ndege. Shida zipo nyingi na hazitakaa ziishe, hilo daraha pia limetusaidia sana pamoja na hizo changamoto ndo maana limejengwa lingine ambalo ni kubwa zaidi ya hilo japo halijakamilika. Tumejaliwa kuongea matatizo yanapotokea ila tunasahau kuwa ajali hazizuiliki bali kupunguzwa.
Daah inasikitisha sana
Poleni sana wote
Jamani jamani jamani Frank yan huyo dereva ni mshkaji wa mtaani kwetu aseh yan imeniuma balaa
Sasa hao zima moto Na waokoaji sibora wangelala tu nyumbani kwao kilichowapeleka halfu hawana msaada wowote nini sass wanashindwa hata na wazamiaji wa kienyeji magufuli TUMBUA HAO WAJINGA HARAKA SANA
Daah atari sana
Daraja naoan linahitaji marekebisho lote
daaaaah jamani serekali iangaliee hiii barabara ninyembamba sana rais lione hili jamani huyo dereva J amanii inaumiza jamani 😭😭
Hlo daraja toka siku nyingi sana ni lembamba naishangaa serikali yetu hawajawahi kupita hiyo barabara? Na Mara Kwa Mara panatokeaga ajali Sana lazima ukute magari yamearibikia hapo na kuangukia kando kwa jinsi palivyo ni sehemu hatari mno yaani kabla hatuanza vuka mto wali darajani lazima watu unaona wamenyamaza kimya kwajili ya maombi hivyo serikali jaribuni kuangalia kwa upya hilo daraja
Cool
Kamanda unasema mnachosubiri ni clean sasa inatoka india au China daaah nyie mnazembea sana kikosi cha uokoaji jipangeni bhanaa kwa matukio kma hayo mfanye haraka
😂😂😂😂😂
@@ilovejesus9303 usicheke ndgu yngu inatilisha hasira ujue mtu mpka anakufa na atafika kuoza humo humo kwa uzembe tu
JAMANI JAMANI TUNAOMBA SANA HILO DARAJA LIJEGWE UPYA PLS , RAISI WETU MAGUFULI ,
Kwakweli hapa ni hatari sana kuliko watu wanavyodhani. Wami bridge panatisha kama corona. Kila mwezi lazima patengeneze story ya ajari, daraja mbadala lina jengwa lkn kasi ya wakandalasi sio kama ya mkandalasi wa SGR. Serikali ione namna ya kupushi yule mkandalasi ili aongeze speed tuokoe roho za watu.
Mungu wangu