SHEIKH ISSA Short Film.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 апр 2022
  • Shekhe Issa Ni Kijana wa Ki Islamu anayempenda sana Mwenyezi Mungu, ni kijana mchamungu anayependa Kujifunza mengi kuhusu dini yake, lakini Udadisi wakupitiliza unamponza Sheikh Issa, alitumia kila njia Kuhakikisha anaufahamu na kitu anacho kiona au kukisikia, kiu hii Ilimpelekea Sheikh Issa kufanya vitu vilivyo ishangaza jamii.

Комментарии • 282

  • @fatmakhalef3450
    @fatmakhalef3450 10 месяцев назад +2

    Katika uislam unatakiwa ukifanya dhambi yeyote kwa siri na ukaomba msamaha basi ni vizuri hiyo dhambi iwe ni siri yako na mola wako basi. Allah anachukia kufanya dhambi na ukaitangaza. Allah anajua zaid

  • @maryamliame5968
    @maryamliame5968 Год назад +4

    Napendaga sana movie 🎥 zake uy mkaka mung azid kukuongza inshallah 🤲

  • @anaelmiraji
    @anaelmiraji Год назад

    Unafanya kazi nzuri sana kaka ISSA, na mm Nina kipaji kama Chako naomba msaada naitwa Anael miraji tokea Mbeya

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 Год назад +2

    Sheikh khaaa umefanya dhambi zote ndani ya usiku mmoja... daa...aisee

  • @ivanbiswalo5398
    @ivanbiswalo5398 2 года назад +3

    Swadakta shekh issa Ila una den kubwa kwa watanzania sisi muendelezo WA #shekh_issa

  • @mackrinaerenesto6402
    @mackrinaerenesto6402 Год назад

    Mung akupandishe zaid nam nataman sana kuigiza now lakn sna namna bc napenda sana kukufatilia san kaka na nakpenda mnoo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @valeriadaniel4229
    @valeriadaniel4229 Год назад

    Nakupenda wewe kaka kuliko neno nakufatia kuliko ninavojijua Mimi Mungu akuongezee Zaid ya Zaid hapo

  • @user-bi7hz1mu7p
    @user-bi7hz1mu7p 4 месяца назад

    Yan wew kak umefanana sana na mdg angu kama mapacha had kuongea had mwil sura dah

  • @saifSaif-yj9uu
    @saifSaif-yj9uu Год назад +2

    Yan kaka wewe ujawai kukosea wallahi mafuzo mazur mashallah mungu azidi kukupabariki kaka nakukubari sana mpendwa ❤️❤️🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @herson9343
    @herson9343 2 года назад +9

    Hongera sana ndugu yangu.
    Umetoa meseji kubwa sana .
    Pombe ndio mama wa maasi.
    Natamani siku moja nikupe mkono wa pongezi kwa kuwa wewe ni muigizaji Bora tanzania

  • @niiteafsa8568
    @niiteafsa8568 2 года назад +8

    Nakupenda halafu nakupenda tena kwa ajili ya allha

  • @angelkavishe5240
    @angelkavishe5240 2 года назад +12

    Big up My Brother Isarito Good job 💪💪💪💪👏👏👏

  • @bluechater
    @bluechater Год назад +1

    Am here again jmn good job

  • @zulphaiddy1191
    @zulphaiddy1191 Год назад +1

    Nakufuatilia sana Issa, hongera movie zko nzr nzr mno

  • @hansambenne4473
    @hansambenne4473 2 года назад +5

    Somo kubwa mno, wewe kila siku ni bora unastahiki. MUNGU azid kukufanya bora 🙏

  • @user-hr2it9gc1n
    @user-hr2it9gc1n 2 года назад +2

    Unajua na unajua tena issa💜❤💚💛👏👏👏👏

  • @hudhaifamohamad7919
    @hudhaifamohamad7919 2 месяца назад +1

    NDO NAONA SAA HII KAKANGU😂😂😂😂🎉❤

  • @boratz271
    @boratz271 2 года назад +8

    dah kaka hongera sana kila hatuwa ya safari yako duwa ameen inshaallah

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +2

    Mashallhhh muvi nzuri xna iki na mafunzo pombe haifai nimwana haramu Allha atuepushie inshallah Kwa ss na vizazi vyetu aminy aminy Aminy inshallah 🙏🙏🥰🥰🥰😭😭😭

  • @charafimmuidine4131
    @charafimmuidine4131 2 года назад +3

    dah kaka hongera sana umiweza kaka duwa inshaallah

  • @sadaoman591
    @sadaoman591 2 года назад +2

    Nakukubali sana kaka isarito

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 2 года назад +6

    Super star #Isarito
    💥💥💥💥💥💥💥

    • @amirijuma4539
      @amirijuma4539 Год назад +1

      Broo tuko pamoja mwanzo mwisho nakufwatilia muvi zako zote nzuli sana

  • @shanizuberi4221
    @shanizuberi4221 Год назад

    Movie ni ya moto 🔥🔥 sn gonga like km umeielewa

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 2 года назад +8

    Ni mmoja ya wanamapinduzi wa kweli ktk filamu za Tanzania. Hongera Sana nakuona mbali mno siku zijazo. Keep moving

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +4

      Shukran sana kaka

    • @samsonkunyambanya7620
      @samsonkunyambanya7620 Год назад +1

      @@jitulamsitunifilms6387 bro salute kwako Mungu akupandishe ukawe juu zaidi

    • @Mayah600
      @Mayah600 10 месяцев назад

      ​@jitulamsitunifilms6387
      Sir isarito WAGWAN WAGWAN gud job I dnt not realize if if ni ww

    • @Mayah600
      @Mayah600 10 месяцев назад

      ​@jitulamsitunifilms6387
      Sir isarito WAGWAN WAGWAN gud job I dnt not realize if if ni ww

    • @Mayah600
      @Mayah600 10 месяцев назад

      ​@jitulamsitunifilms6387
      Sir isarito WAGWAN WAGWAN gud job I dnt not realize if if ni ww

  • @bravehousemedia1915
    @bravehousemedia1915 2 года назад +2

    Kazi nzuri sana broo mapambano naona yanaendelea

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +2

    Dulla wa sanura nakupenda xna kwa ajili ya allha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Год назад

    Nivyema mkasilimu mkawa waislam kweli

  • @user-lz2sg5ju2b
    @user-lz2sg5ju2b Год назад

    Mashallah kaka issa

  • @bitumusaid7845
    @bitumusaid7845 Год назад +2

    Hii ndio curiosity kills the cat...inaelimisha sio Kila kitu lazima ukifanye ktika dunia ndio ionekane umeishi maisha😅big up! God bless....

  • @athumanimohameditengeni603
    @athumanimohameditengeni603 Год назад

    Daah ndo mana kamili ya sanaa kaka ujumbe mzito kwa jamii yetu mola atuongoze katka mema

  • @rashidiharoun4199
    @rashidiharoun4199 Год назад +1

    Mashaa ALLAH kaka ujumbe mzuri sana keep it up

  • @elishageorge492
    @elishageorge492 2 года назад +2

    UWEZO,UBUNIFU,UIGIZAJI MKUBWA SANAA SHOUT OUT TO MY DIRECTOR RAMAL AND MY ACTOR BROTHER ISARITO
    KAZI KUBWAAA MNOO🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @StevenPascal-cf8ck
    @StevenPascal-cf8ck 11 месяцев назад

    Nakubali kazi yako kaka

  • @omaryothman7060
    @omaryothman7060 Год назад +1

    Unajuaaaaa Sanaaaaaa Broh Ww Na kund Lako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊

  • @saidyzubery3061
    @saidyzubery3061 Год назад

    Kwakwel oko vzr kka unakipaj

  • @OmarKipanyakhamis-pe2qx
    @OmarKipanyakhamis-pe2qx 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤mashallh

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 Год назад +1

    Big up bro #isarito kaka unajua mpaka basi yani 🔥🔥🔥

  • @yowtz5450
    @yowtz5450 2 года назад +2

    aise mwamba umetisha aise,,ujumbe mzuri sana na umeuwasilisha vizuri mno,,,

  • @TommyMacmuga
    @TommyMacmuga 2 года назад +3

    Ramadhan Kareem ostadh✊

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +1

    Masha allah movie imetulia 🇮🇶kondoa 🇹🇿

  • @user-lz2sg5ju2b
    @user-lz2sg5ju2b Год назад

    Dulls Wa sanura huwaga nafurahi Sana nikikuona Katika sanura

  • @saadamansoury1520
    @saadamansoury1520 2 года назад +2

    Nakubali sana kazi zako kaka

  • @rashidkhamis4306
    @rashidkhamis4306 Год назад

    Nakukubali kwakeli saluti kwako

  • @rahelkiteka
    @rahelkiteka Год назад

    Nachokukubal huwa unafanya kaz zako pasi na kujilinganisha na wengine haimaanishi kuwa huon wafanyavyo,..la hasha!

  • @richardalfred1214
    @richardalfred1214 2 года назад +2

    My favorite actor keep it up bro

  • @castleofhits
    @castleofhits Год назад

    Ni filamu nzuri,Hongereni Jitu la msitu film

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Год назад +1

    Wow bro big up🙏🙏👊

  • @zamzamhaji1229
    @zamzamhaji1229 2 года назад +2

    Nice movie 🙏👌🇴🇲🇴🇲💯

  • @ZahraZahra-jm2pk
    @ZahraZahra-jm2pk Год назад +1

    Mashallah nzuri sana

  • @rahmatonystan2691
    @rahmatonystan2691 Год назад +1

    Kazi nzur Sana🔥🔥

  • @phanestandabila3490
    @phanestandabila3490 2 года назад +2

    nakumoyo🥰. great work mwaisa unyama sana

  • @hamisiabdallah778
    @hamisiabdallah778 2 года назад +1

    Much love from 254

  • @twalibumoon3544
    @twalibumoon3544 2 года назад +1

    Mwambaaaa a.. Sheikh Issa

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Год назад

    Kwaiyo umeona bora ukaujue utamu wa pombe na kuuwa namke wamtu pia😂😂😂😂😂😂😂😂Kaz mzr bro

  • @fesbwom7261
    @fesbwom7261 2 года назад +1

    Kumbusha hakika ya ukumbusho utamfaa kw mwenye kuamini.. mm ni muislam imenigusa sana.. na imenifunza sababu nishapita uku. Lkn kuua sijawai .. lkn nimechoka sana pale shekh ABDUL alipokwambia kuwa ktk dhambi zote 3. Hujawai kufanya ata mojo? matokeo yake ukafanya zote 3 Kwa ucku mmoja.. I like this short movie.♥️♥️♥️🔥🔥🔥

  • @hamisikijombo6044
    @hamisikijombo6044 2 года назад +2

    Unajua af unajua tena🤝🤝🤝🤝🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 2 года назад +2

    Kazi mzur 💥💥

  • @Iceefilmstv
    @Iceefilmstv 2 года назад +1

    #MbeyaBegani safii kaka

  • @kinglee6777
    @kinglee6777 Год назад

    👑👑🔥🔥🔥

  • @mariambakari7796
    @mariambakari7796 2 года назад

    Shekhe lssa jaman eti bia tamu

  • @saidikalama1828
    @saidikalama1828 Год назад

    I filam Ina funzo kubwa sana HONGERA BRO

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 2 года назад +2

    Maa shaa Allah

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 2 года назад +3

    Maa shaa Allah twaonba Allah atuongoze nas katika njia ya kher tukumbuke duwa kila muda. Amin thumma amin

  • @ukhtyrahma2714
    @ukhtyrahma2714 Год назад +1

    Big up sana my brother

  • @thepoppadaily
    @thepoppadaily 2 года назад +1

    Wow😯👏🏽🔥🔥

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 2 года назад +2

    Big up 💥🙌🙌🙌 bongo

  • @nyotafcusewepwani5811
    @nyotafcusewepwani5811 2 года назад

    ipo vizur sana brò Ubunifu mwingi noma

  • @tungozamswahilijk4656
    @tungozamswahilijk4656 2 года назад +1

    ujumbe mmoja Mzuri Sana

  • @azizaomary4604
    @azizaomary4604 2 года назад +2

    Mashaalah 🙏

  • @taharamohd2515
    @taharamohd2515 2 года назад +1

    Kweli kila jambo Lina sili yake

  • @user-yp4cs6ok1r
    @user-yp4cs6ok1r 5 месяцев назад

    Yote hay ni makosa mtu hufanya kwa ushawishi mbaya wa nafsi yake sabbu kila mtu huw n wandan wawili mmoja anaamrisha mema na mwingine anaameish maovu Allah tunakuomba watie nguvu wandani wetu wanaoamrisha mema wanyong'onyeze wanaotuamriaha mabaya na uturuzuku tawba qabla ya kujiw n umauti na ufanye qalimatu tawheed ndiy neno let la mwisho

  • @saidabeid6411
    @saidabeid6411 Год назад +3

    Nakubali kazi zako comrade,all the best.mimi ni yule one of your fans ukanipa link ya kazi zako lamu.

  • @frankmhina_
    @frankmhina_ 2 года назад +2

    A very nice short film

  • @Mayah600
    @Mayah600 10 месяцев назад

    Ghai dula

  • @zaitunlipule4410
    @zaitunlipule4410 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @abdallahyahyasaid9708
    @abdallahyahyasaid9708 Год назад

    Hivi ile mikopo ya Milioni 40, wasanii kama hawa wamepatiwa? maana wale jamaa waliopewa kiukweli hawakustahiki. Jamaa kipaji anacho na juhudi ipo. Keep going brother

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 2 года назад

    Weee jamaa nomaaa kwa kuigiza,nakuona mbali sana sana kidunia huko mbeleni,maana kwa Bongo huna mpinzani kwa sasaa

  • @pembapemba215
    @pembapemba215 2 года назад +1

    Masha allha

  • @jenifagerald1822
    @jenifagerald1822 2 года назад +3

    🔥🔥🔥🥰

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 года назад

    Kazi nzur sana luka Mungu akuzidishi kila la kheli.

  • @doreenrajab6548
    @doreenrajab6548 2 года назад

    Ni motoooo

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis2924 2 года назад

    Nacheka na uo mwendotu mie move ipo.safii

  • @fatumaissa5364
    @fatumaissa5364 Год назад +1

    🥰🥰🥰💞💞💞

  • @vancykhan234
    @vancykhan234 2 года назад

    Sana broo

  • @montmusa3320
    @montmusa3320 2 года назад +1

    🙌🏻🔥🔥🔥🔥

  • @haleemaadnan169
    @haleemaadnan169 2 года назад

    Mashaallah movie nzur san kaka Issa

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

    Aiseee
    Kaz nzur mafunzo kama. Yote

  • @official_sweetbert9893
    @official_sweetbert9893 2 года назад

    bro umetisha sana

  • @esperancesudi2842
    @esperancesudi2842 Год назад +1

    To be continued

  • @ramaahseif1354
    @ramaahseif1354 2 года назад +2

    Sheikh cku Moja madhambi yote matatu 🙌

  • @vancykhan234
    @vancykhan234 2 года назад +2

    Actor of the year

  • @shaibumanozah6040
    @shaibumanozah6040 2 года назад +2

    Andaa mikono yakupokea tuzo Tena kwa kazi hii inshaallah

  • @emmanuelmmasi7283
    @emmanuelmmasi7283 2 года назад

    Sjaanza kuangalia ila n kaliii

  • @salhaaa4996
    @salhaaa4996 2 года назад

    Daaaar

  • @obadiahkissoki8367
    @obadiahkissoki8367 2 года назад

    Keep it up broh ujawahi kutuangusha ukanda wa mbeya

  • @abdisingle3854
    @abdisingle3854 2 года назад

    Karibu katika ukweli Sheikh issa

  • @ramaahseif1354
    @ramaahseif1354 2 года назад +1

    Kaz nzur kk you deserve it
    Ila Kuna kpande Cha pale mcktn ulipoongea na sheikh Abdul
    Hamkusalimiana
    Waislamu wakionana salamu huwa asalaam aleykum warahmatullah wabarakatu

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +1

      Ooooh sawa kaka Asante sana kwa maoni yako

    • @Cambarada
      @Cambarada 2 года назад

      ni kweli wamekosea, hata hivyo wamejitahid hongera kwao ingawa kuna makosa mengi mfano ukiwa makini kuangalia kuna muda Sheikh Issa na ulemavu wake alikuwa anakosea mara tunaona anauvuta mguu wa kulia na muda mwingine anavuta mguu wa kushoto pia maneno wanavyoyatamka hawako sahihi sana bila shaka Isarito ni mkristo lakin ujumbe umefika na una mafunzo ndani yake

    • @mwakahassan7685
      @mwakahassan7685 2 года назад

      @@Cambarada kweli kbs ila alhamdulilah wamejitahid sanaa Allah awalet kweny din ya haki

  • @jmpictures1317
    @jmpictures1317 2 года назад

    Kazi nzuri kijana Mash Allah

  • @mbarakasadiki870
    @mbarakasadiki870 2 года назад +1

    💯💯💯💯

  • @monifato8121
    @monifato8121 2 года назад

    Kuigiza Kaz kwel mtu kaw mlemavu Kam kwel vile