SHEIKH ISSA Short Film.
HTML-код
- Опубликовано: 16 апр 2022
- Shekhe Issa Ni Kijana wa Ki Islamu anayempenda sana Mwenyezi Mungu, ni kijana mchamungu anayependa Kujifunza mengi kuhusu dini yake, lakini Udadisi wakupitiliza unamponza Sheikh Issa, alitumia kila njia Kuhakikisha anaufahamu na kitu anacho kiona au kukisikia, kiu hii Ilimpelekea Sheikh Issa kufanya vitu vilivyo ishangaza jamii.
Katika uislam unatakiwa ukifanya dhambi yeyote kwa siri na ukaomba msamaha basi ni vizuri hiyo dhambi iwe ni siri yako na mola wako basi. Allah anachukia kufanya dhambi na ukaitangaza. Allah anajua zaid
Napendaga sana movie 🎥 zake uy mkaka mung azid kukuongza inshallah 🤲
Unafanya kazi nzuri sana kaka ISSA, na mm Nina kipaji kama Chako naomba msaada naitwa Anael miraji tokea Mbeya
Sheikh khaaa umefanya dhambi zote ndani ya usiku mmoja... daa...aisee
Swadakta shekh issa Ila una den kubwa kwa watanzania sisi muendelezo WA #shekh_issa
😄😄😄Kaka hapo bado unataka Muendelezo
Mung akupandishe zaid nam nataman sana kuigiza now lakn sna namna bc napenda sana kukufatilia san kaka na nakpenda mnoo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nakupenda wewe kaka kuliko neno nakufatia kuliko ninavojijua Mimi Mungu akuongezee Zaid ya Zaid hapo
Yan wew kak umefanana sana na mdg angu kama mapacha had kuongea had mwil sura dah
Yan kaka wewe ujawai kukosea wallahi mafuzo mazur mashallah mungu azidi kukupabariki kaka nakukubari sana mpendwa ❤️❤️🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Hongera sana ndugu yangu.
Umetoa meseji kubwa sana .
Pombe ndio mama wa maasi.
Natamani siku moja nikupe mkono wa pongezi kwa kuwa wewe ni muigizaji Bora tanzania
Shukran sana kaka 💪
MashaaAllah
Nakupenda halafu nakupenda tena kwa ajili ya allha
Amin,.,.Shukran sana sister
Big up My Brother Isarito Good job 💪💪💪💪👏👏👏
Am here again jmn good job
Nakufuatilia sana Issa, hongera movie zko nzr nzr mno
Somo kubwa mno, wewe kila siku ni bora unastahiki. MUNGU azid kukufanya bora 🙏
Shukran sana kaka
Unajua na unajua tena issa💜❤💚💛👏👏👏👏
NDO NAONA SAA HII KAKANGU😂😂😂😂🎉❤
dah kaka hongera sana kila hatuwa ya safari yako duwa ameen inshaallah
Amin kaka shukran sana
Mashallhhh muvi nzuri xna iki na mafunzo pombe haifai nimwana haramu Allha atuepushie inshallah Kwa ss na vizazi vyetu aminy aminy Aminy inshallah 🙏🙏🥰🥰🥰😭😭😭
Aamiin
dah kaka hongera sana umiweza kaka duwa inshaallah
Nakukubali sana kaka isarito
Super star #Isarito
💥💥💥💥💥💥💥
Broo tuko pamoja mwanzo mwisho nakufwatilia muvi zako zote nzuli sana
Movie ni ya moto 🔥🔥 sn gonga like km umeielewa
Ni mmoja ya wanamapinduzi wa kweli ktk filamu za Tanzania. Hongera Sana nakuona mbali mno siku zijazo. Keep moving
Shukran sana kaka
@@jitulamsitunifilms6387 bro salute kwako Mungu akupandishe ukawe juu zaidi
@jitulamsitunifilms6387
Sir isarito WAGWAN WAGWAN gud job I dnt not realize if if ni ww
@jitulamsitunifilms6387
Sir isarito WAGWAN WAGWAN gud job I dnt not realize if if ni ww
@jitulamsitunifilms6387
Sir isarito WAGWAN WAGWAN gud job I dnt not realize if if ni ww
Kazi nzuri sana broo mapambano naona yanaendelea
Dulla wa sanura nakupenda xna kwa ajili ya allha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💯
Shukran sana mashaAllah Allah akujaalie kheir inshaAllah 🙏😍
Nivyema mkasilimu mkawa waislam kweli
Mashallah kaka issa
Hii ndio curiosity kills the cat...inaelimisha sio Kila kitu lazima ukifanye ktika dunia ndio ionekane umeishi maisha😅big up! God bless....
😊😊😊💪💪Nakubal
Daah ndo mana kamili ya sanaa kaka ujumbe mzito kwa jamii yetu mola atuongoze katka mema
Shukran sana kaka
Mashaa ALLAH kaka ujumbe mzuri sana keep it up
UWEZO,UBUNIFU,UIGIZAJI MKUBWA SANAA SHOUT OUT TO MY DIRECTOR RAMAL AND MY ACTOR BROTHER ISARITO
KAZI KUBWAAA MNOO🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Shukran sana ndugu yangu
Mimi nakukubali kwenye sanura ww kiboko ya mzee kisasi
Nakubali kazi yako kaka
Unajuaaaaa Sanaaaaaa Broh Ww Na kund Lako 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😊
Kwakwel oko vzr kka unakipaj
❤❤❤❤mashallh
Big up bro #isarito kaka unajua mpaka basi yani 🔥🔥🔥
aise mwamba umetisha aise,,ujumbe mzuri sana na umeuwasilisha vizuri mno,,,
Shukran sana kaka
Ramadhan Kareem ostadh✊
Masha allah movie imetulia 🇮🇶kondoa 🇹🇿
Dulls Wa sanura huwaga nafurahi Sana nikikuona Katika sanura
Nakubali sana kazi zako kaka
Nakukubali kwakeli saluti kwako
Nachokukubal huwa unafanya kaz zako pasi na kujilinganisha na wengine haimaanishi kuwa huon wafanyavyo,..la hasha!
My favorite actor keep it up bro
Ni filamu nzuri,Hongereni Jitu la msitu film
Wow bro big up🙏🙏👊
Nice movie 🙏👌🇴🇲🇴🇲💯
Mashallah nzuri sana
Kazi nzur Sana🔥🔥
nakumoyo🥰. great work mwaisa unyama sana
Nakubal Wanyumban
Much love from 254
Mwambaaaa a.. Sheikh Issa
Kwaiyo umeona bora ukaujue utamu wa pombe na kuuwa namke wamtu pia😂😂😂😂😂😂😂😂Kaz mzr bro
Kumbusha hakika ya ukumbusho utamfaa kw mwenye kuamini.. mm ni muislam imenigusa sana.. na imenifunza sababu nishapita uku. Lkn kuua sijawai .. lkn nimechoka sana pale shekh ABDUL alipokwambia kuwa ktk dhambi zote 3. Hujawai kufanya ata mojo? matokeo yake ukafanya zote 3 Kwa ucku mmoja.. I like this short movie.♥️♥️♥️🔥🔥🔥
Shukran sana kaka ubalikiwe sana
Unajua af unajua tena🤝🤝🤝🤝🔥🔥🔥🔥🔥
Asante 😊💪
Kazi mzur 💥💥
#MbeyaBegani safii kaka
👑👑🔥🔥🔥
Shekhe lssa jaman eti bia tamu
I filam Ina funzo kubwa sana HONGERA BRO
Maa shaa Allah
Maa shaa Allah twaonba Allah atuongoze nas katika njia ya kher tukumbuke duwa kila muda. Amin thumma amin
Amin 🙏
Big up sana my brother
Wow😯👏🏽🔥🔥
Big up 💥🙌🙌🙌 bongo
ipo vizur sana brò Ubunifu mwingi noma
ujumbe mmoja Mzuri Sana
Mashaalah 🙏
Kweli kila jambo Lina sili yake
Yote hay ni makosa mtu hufanya kwa ushawishi mbaya wa nafsi yake sabbu kila mtu huw n wandan wawili mmoja anaamrisha mema na mwingine anaameish maovu Allah tunakuomba watie nguvu wandani wetu wanaoamrisha mema wanyong'onyeze wanaotuamriaha mabaya na uturuzuku tawba qabla ya kujiw n umauti na ufanye qalimatu tawheed ndiy neno let la mwisho
Nakubali kazi zako comrade,all the best.mimi ni yule one of your fans ukanipa link ya kazi zako lamu.
Respect kaka 💪💪
A very nice short film
Shukran sana
Ghai dula
Mashaallah
Hivi ile mikopo ya Milioni 40, wasanii kama hawa wamepatiwa? maana wale jamaa waliopewa kiukweli hawakustahiki. Jamaa kipaji anacho na juhudi ipo. Keep going brother
Weee jamaa nomaaa kwa kuigiza,nakuona mbali sana sana kidunia huko mbeleni,maana kwa Bongo huna mpinzani kwa sasaa
Shukran sana sister
Masha allha
🔥🔥🔥🥰
Kazi nzur sana luka Mungu akuzidishi kila la kheli.
Shukran sana
Ni motoooo
Nacheka na uo mwendotu mie move ipo.safii
😄😄😄
🥰🥰🥰💞💞💞
Sana broo
🙌🏻🔥🔥🔥🔥
Mashaallah movie nzur san kaka Issa
Shukran sana sister
Aiseee
Kaz nzur mafunzo kama. Yote
bro umetisha sana
To be continued
Sheikh cku Moja madhambi yote matatu 🙌
😄😄😄😄
Kkkkkk shekhe jamaanii kaona isiwe tabu bora amalizeee dhambi zote kkkkkkk
Actor of the year
💪💪💪
Andaa mikono yakupokea tuzo Tena kwa kazi hii inshaallah
Amin 😊😊
Sjaanza kuangalia ila n kaliii
Daaaar
Keep it up broh ujawahi kutuangusha ukanda wa mbeya
Shukran sana kaka
Karibu katika ukweli Sheikh issa
uongo uko wp
Kaz nzur kk you deserve it
Ila Kuna kpande Cha pale mcktn ulipoongea na sheikh Abdul
Hamkusalimiana
Waislamu wakionana salamu huwa asalaam aleykum warahmatullah wabarakatu
Ooooh sawa kaka Asante sana kwa maoni yako
ni kweli wamekosea, hata hivyo wamejitahid hongera kwao ingawa kuna makosa mengi mfano ukiwa makini kuangalia kuna muda Sheikh Issa na ulemavu wake alikuwa anakosea mara tunaona anauvuta mguu wa kulia na muda mwingine anavuta mguu wa kushoto pia maneno wanavyoyatamka hawako sahihi sana bila shaka Isarito ni mkristo lakin ujumbe umefika na una mafunzo ndani yake
@@Cambarada kweli kbs ila alhamdulilah wamejitahid sanaa Allah awalet kweny din ya haki
Kazi nzuri kijana Mash Allah
Shukran sana
💯💯💯💯
Kuigiza Kaz kwel mtu kaw mlemavu Kam kwel vile