MLINZI FULL MOVIE 2022 1080p with Eng Subtitle

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 1 тыс.

  • @tommyomar2672
    @tommyomar2672 2 года назад +232

    Kiukweli niko speechless hebu tungane kama East Africa tu support art. Issa Mungu abariki kazi ya akili yako maana haya mambo yanaitaji uwepo tu wa kufikiria. Pongezi nyote watanzania.kama umependa ubunifu please nipe like yako👌❤️🇹🇿. Real love from 254🇰🇪❤️

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +21

      Shukran sana kaka,.,.Mungu Tu.,.,but OneLove 254 my second Home

    • @tommyomar2672
      @tommyomar2672 2 года назад +5

      @@jitulamsitunifilms6387 samahani mimi ni dada 😂🙏

    • @asmashariph5188
      @asmashariph5188 2 года назад +11

      @@jitulamsitunifilms6387 leo naomba niwashauri BINGO MOVIES haikuwa na haja ya kuweka full movie youtube kwani njia hii haitaweza kukuingizia kipato chakutosha,
      So nn chakufanya ni kutafuta platform internationally za kuuzia movie mfanonzake kama Netflix zipo nyingi kama hizo

    • @strong8534
      @strong8534 2 года назад +7

      ​@@asmashariph5188 🙄🙄🙄🙄

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 2 года назад +6

      Wasema kweli inapaswa tuwe na app ya east africa online streaming yetu yenye nguvu tuuze kazi zetu kwa faida

  • @ArafatiKibode
    @ArafatiKibode 10 месяцев назад +4

    Umekosea sana kutaja idadi ya walinzi tuliokuwepo dah mmetisha sana 💥💯💯💯💯

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 2 года назад +22

    Hii movie inatufundisha Kuna kipindi mlango mmoja unafungwa ili uingie kwenye mlango mwingine kuwasaidia jamii nyingine....Yes Africa was meant to be there for help!! What a movie 👏👏

  • @auntyjj2754
    @auntyjj2754 2 года назад +22

    Nyie aliefika sehemu akstop aje asome comments tujuane, Nyie luka ameweza sanaaa! Kwa mara ya kwanza nainua movie ya kitanzania kidedea 🔥🔥🔥

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +1

      ❤❤Asante

    • @neema8709
      @neema8709 2 года назад +2

      Luka. Wa jua Kali uko juu juu zaidi mmeifanya kwa moyo wote asanteni msichokeee

    • @ommymwamba
      @ommymwamba Месяц назад

      kwa hizi stunt nimeamua kuja kosoma comment maana washikaj wameua

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 2 года назад +6

    @ isarito and @ mc mboneke nawabariki Mungu akawatambulishe kimataifa your much talented guys 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌

  • @calsonjr-307jouner4
    @calsonjr-307jouner4 2 года назад +10

    Oyaa aisee kiukweli mmeua kinomaa 😅😅ila izo BMW mlikua mnavunja vioo mmeniacha mdomo wazi kmke daah hii kalii sana nimeipenda 🏆🏆🏆

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 2 года назад +7

    Hongera #isarito hongera Luka ni 🔥🔥 na Judith yupo 😍😍😍❤️

  • @mahmoudyunus5913
    @mahmoudyunus5913 2 года назад +2

    Aise dah, najiuliza hivi nilikuwa naangalia bongo movie kweli!!! Bonge moja la movie kaka umetisha, nilipoona tu jeshi la ukombozi nikajua unakoolekea itakuwa hatari, nimependa usmart wa walinzi

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 2 года назад +7

    Issa Lito mwamba uyuapa since day1 anaweka record na anavunja mwenyew akuna hakuna akuna tena bongo nzima mleteni mnaemwaminia eshima kwako bro!!
    Love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️✌️✌️

  • @josephdidas325
    @josephdidas325 2 года назад +12

    kaka nilikuambia sku moja kuwa nitatafuta kila king'amuzi ambacho utaonekana finally na you tube upo tutabanana kila kona much respect bro i see you in Hollywood 👏👏👏🙏🙏

  • @johnsingano7988
    @johnsingano7988 2 года назад +4

    Big up move nzur ,,. Sema sijapenda mlivyo kafanya Ako ka flat mkaamua kukapasua kweli 😃😃😃

  • @rubenblaise
    @rubenblaise 10 месяцев назад +1

    Je vous aimes 🇨🇩, vraiment TZn

  • @kusilatv4640
    @kusilatv4640 2 года назад +8

    Mwamba anajua sana nazani kama ningepewa nafasi ya kuchagua best actor for the all time ningem point huyu AFRICA
    Nazani hata wakina agent bavo wanahitajika kujifunza kutoka kwako 🎉🎉🎉🎉

  • @maureennaliaka8936
    @maureennaliaka8936 Год назад +3

    Wow wow mara yangu ya kwanza kuwatch african action good work keep it up🙌🙌🙌

  • @islamrashid5451
    @islamrashid5451 2 года назад +14

    My brother huna kazi mbovu...jitu la msituni halisi🙌

  • @zalhahmustaph7219
    @zalhahmustaph7219 Год назад

    Nyie me ninachojua broo irasito huna mpinzan💯💯hongraa snaaa mzee wa jua kalii au baba femii mungu azid kukuongoza zaid ya hapo

  • @ponyoduguru
    @ponyoduguru 2 года назад +14

    Aiseee mume nikisa asilimia mia BIG UP SANA Kwa Team nzima 👊👊 kama na wewe umekubali iyi movie, storia, uwigizaji basi gonga like apa kwa wingi sana 👊👊👊

  • @limotonamtema4966
    @limotonamtema4966 2 года назад +1

    Daaaaaaaa!!!!!!! aiseeeeeee huwez amin kama ni bongo sweet sweet hongeren san

  • @Hanskapella
    @Hanskapella 2 года назад +6

    Aisee hivi vitu tulivikosa kwa mda mlefu Sana bro, nakukubali Sana nizaidi ya Sana unajua

  • @chikemdoe577
    @chikemdoe577 10 месяцев назад +1

    Africa ❤Africa ❤Africa❤ nimekuita mara 3, Unajua hadi unajua tena yan🤝👊👌, Be Blessed kaka umetisha sana 🙏🙏na feel Bongo kama mbele💃🥰, niliitafuta hii movie kwa MDA mrefu sana ila niliishia kuona trela tu😔, but am glad nimeiona 2pe ya pili baba ❤❤

  • @kigotymeentertainmentkigoy4858
    @kigotymeentertainmentkigoy4858 2 года назад +7

    Katika story zangu bora kwa mwaka huu hii moja wapo salute kwako mzee baba

  • @mathiasisaka1546
    @mathiasisaka1546 2 года назад +4

    Kazi nzur wakuu nafatilia mve zako Uko vizur mwanangu Africa

  • @meckydimpoz
    @meckydimpoz 2 года назад +10

    Weweeeeeeeh 🤭🤭🤭🤭🤭 Woooooooh ...... Samahani samahani samahani leteni part 2 ....... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ from Mecky Dimpoz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 always Maharaj the King 👑👑👑 I like this movie so much...... Great job more than enough guys..... Je vous dis Félicitations les gars ..... Hii filamu ni ya Century marafiki zangu

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +2

      Shukran sana ndugu yangu

    • @meckydimpoz
      @meckydimpoz 2 года назад +1

      May God grants your wishes to arrive so far Brother...... You're the best star of the Century. I really liked the move

    • @najmaabduli9593
      @najmaabduli9593 2 года назад

      @@jitulamsitunifilms6387 part 2 jamani tunaomba 😭😭😭

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 2 года назад +2

    Uyumwamba Kwa mala yakwanza nilimuona kwenye movie Fran mixer wanalipua soko la mbeya nilimkubali kinoma nilijitaidi kuwaambia wanangu walikuwa wananikataa lakin wanaona balaalake!!.. bongo tunazarauliana sana hatuheshimu kipaji chamtu One love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️

  • @yusuphhamad1767
    @yusuphhamad1767 2 года назад +9

    Daah bonge moja la action movie..! Hongeren kwa waandaaji wote na washiriki kwa ujumla👏👏👏

  • @okonko_2557
    @okonko_2557 2 года назад +6

    Big up sana kaka isarito bonge moja la story..Action Nzuri sanaaa Nina Kila Sababu ya Kukupongeza Kaka MLINZI Bonge Moja la movie

  • @jojonostress486
    @jojonostress486 2 года назад +10

    Burundi🇧🇮🇧🇮Tunawapenda sana Movie Nzuli

  • @director.youngmopo61
    @director.youngmopo61 2 года назад +1

    Nimefatlia hii movie duuh imetumia gharama kias chake hafu hamna charactor alie feli safi sana kazi nzur

  • @salmaothman8972
    @salmaothman8972 2 года назад +3

    Yani kila ninavyozdi kuianglia stamn iishe jamn 😊❤@isarito unajua mpka unajua tena

  • @druumarley2159
    @druumarley2159 2 года назад +1

    Dah!! Ktk watu ambao walikua wana kuchukulia poa mimi mmoja wapo... ata tuzo uliopewa nili ongea sana kwann ulipewa.... ila bro unahaki ya iyo tuzooo..... sito pita movie yako ata mojaaa... saluteee sanaaaa

  • @zenaathuman2619
    @zenaathuman2619 2 года назад +9

    Kilicho nivutia kwenye hii move ni sehem ya kuvunja TV na namagar inaonesha jinsi gani mlivo jipanga isarito mwigizaji wa kwanza 🇹🇿 hongera kipanga na gido lah!!nashindwa hata cha kusema hongereni sana

  • @MIZUMOJR
    @MIZUMOJR Год назад

    Dulla wa sanura Anatisha sana uyu Jamaa namfatiilia sana anajua na anakipaji kikubwa sana

  • @francismuhuga8158
    @francismuhuga8158 2 года назад +7

    Movie nzuri sana, Watanzania tukiisapoti kazi zetu nzuri hizi bajeti ya movie itaongezeka tutapata kazi ya kimataifa zitakazo tuweka kifua mbele

  • @jacksonjoseph1267
    @jacksonjoseph1267 2 года назад +17

    Gonga like kama umeipenda hii movie kaa mm naifurahia nikiwa kenya

  • @youngvictor9489
    @youngvictor9489 2 года назад +3

    the first time nakuwa interested with our own movies,kiukwel sifa zenu mpewe u have improved a lot,mmefanya kwa kiwango kikubwa tofaut na kipind cha nyuma hope as days.goes on mtafanya makubwa zaid
    let's go men

  • @kelvinmushubiro8187
    @kelvinmushubiro8187 2 года назад +1

    nakwombeeni mafanikio zaid ktk kazi yenu,,,kaz nzur sana msikate tamaa endlea kupambana tafika mbali sana

  • @dimedymerere236
    @dimedymerere236 2 года назад +2

    Nimefurah kuona watu wa home mmeanza kua na upendo na umoja kama watu wa chuga...Mbeya moja tukiacha na ilo hii ni moja kazi nzur tz

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 2 года назад +1

    Daaaahhhhhh vizur sana,, ckuwaza ka nngeangalia ila nmejikuta nataka kujua na sehem ya pili ipo wap

  • @edinaeverysit6933
    @edinaeverysit6933 2 года назад +3

    Nimeburudika sana tena zaidi ya sana ingeleni sana movie nzuri nimeipenda kwa 100%

  • @HashillyIddy-xi4dt
    @HashillyIddy-xi4dt Год назад +5

    Africa Kazi nzuri San mungu akubariki akupe maamuz ya busara nimeipenda sana

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 2 года назад +5

    @ isarito bro your much talented big up sana bonge moja la action hii ndio action bora Tanzania nzm umecheza na uhalisia mm ni film maker kaka umetisha umezingatia mambo kama yalivyo katika film grow wisely bro una kipaji tuinue baba nahis wewe ndio unaenda kuvaa kitu cha marehemu kanumba na tuzo ya muigizaji bora ilikufaa sana kaka be blessed and big up

  • @hanceraphael5455
    @hanceraphael5455 2 года назад +2

    Bonge moja la movies lina unyama mwingi sana shot out to isarito

  • @evamasangula4718
    @evamasangula4718 2 года назад +3

    Yanii wewe Kaka kila nikionaga movie yoyote upo wewe lazima niangalie napenda Sana nafasi yako katika kuigiza kwako all the best.

  • @Terminatorbatogwantama0416
    @Terminatorbatogwantama0416 2 года назад +4

    aiseeeee nimeitazanaaa hii movie kiukweli ni bonge la movie .hongeraa sanaaaa mwambaaaa nmekubali hii kazi,unaweza sanaaa

  • @nikitakumar6993
    @nikitakumar6993 2 года назад +8

    Mwenye hii move ninani kwa kweli... aliandika vizuri sana.. ongera sana

  • @huntermediatz2022
    @huntermediatz2022 2 года назад +6

    Nakubari Wana TZ kazi nzuri🎥🎬🎞️

  • @PatienceMaweu-ww6yj
    @PatienceMaweu-ww6yj Год назад

    Hii siwezi kosa aki ni best one, #bigup brother

  • @elizabethmpwepwa6106
    @elizabethmpwepwa6106 2 года назад +17

    Nimerudia Mara mbili kuangalia hii Move ni nzuri sana❣ BIG UP BROTHER 🙏

  • @yongchujiclass9846
    @yongchujiclass9846 Год назад +1

    iMovie angekuwepo bavo haaaaaa moto ungezd

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 2 года назад +4

    Hii n international wide salute mkali wetu wa action movie

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 2 года назад

    @mc mboneke umezaliwa kuwa comedian kaka unajua sana kaka Mungu akukuze zaidi

  • @chellynpanja3970
    @chellynpanja3970 2 года назад +2

    Nimependa kumuona Judy wa Luka humu ..
    Movie nzuri sanaa
    Mbeya stand up

  • @husseinsalum1983
    @husseinsalum1983 2 года назад +2

    Afrca nimeipenda iyo uko vizur Broo nilichokosa hapo nikuona wife katekwa ila muv Kali stor nzuri pia

  • @davidwangechi588
    @davidwangechi588 2 года назад +55

    Movie ya kwanza ya East African action kuwatch hadi mwisho,congrats Tanzanians and a call awake for the other countries 🎉

    • @nassibabdul6510
      @nassibabdul6510 2 года назад +5

      Misukosuko the best action movie ever

    • @egbartrwegasira1250
      @egbartrwegasira1250 Год назад

      Search season inaitwa USIAMINI utaona movie aswa .... Au operation m22
      Binafsi sjaitazama hii ndo nimeanzia kwenye comment kisa niicheki lkn majamaa niliokuelekeza wanafanya poa zaidi

    • @PeterMwakha
      @PeterMwakha Год назад +1

      S

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 2 года назад

    Hongera sana tmt kama ulaya yani wala haichoshi

  • @ronnaldmuchera
    @ronnaldmuchera Год назад +20

    The movie is so educative and it gives more people morale,,,a soldier is a soldier no matter which department but the deference is just the attire..Much love from 254🇰🇪🇰🇪 ❤️. requesting for part 3

  • @cross_p
    @cross_p 2 года назад +1

    Kazi safi sana bro una talanta mi hukufuatilia kwa sanura pia

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 2 года назад +3

    Jamaninini patio 2 plz muvi tamu xna shukrani shukrani xna ❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰

  • @gyestudios267
    @gyestudios267 2 года назад +1

    natumaini ijayo ni nzuri na hongereni kwa kazi nzuri, kuna kitu nimeona kingekuwa kizuri zaidi.....imetuonyesha bosi kashika glass ya kinywaji kwa hasira, angeivunja kwa mkono kabla ya kuvunja tv maana yeye anahasira sana na nguvu pia.

  • @samsonmuthama907
    @samsonmuthama907 2 года назад +3

    Brother unafanya kazi nzuri kiukweli baada ya kutoka uncle JJ wewe ndiye mwenyewe 👏👏👏

  • @nelvinikumilu1245
    @nelvinikumilu1245 Год назад +1

    Uweeee,adi nimesahau kama nilikua na heartbreak jamani,, hongeratulations 👏👏🥳🥳🎉 kaka

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 2 года назад +3

    Asee saiv unachek movie huku unafurahia story nzuri wachezaji wameitendea haki mlinzi bonge la movie🙌🙌🙌

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +2

      Respect kaka

    • @nguyamtwartz5413
      @nguyamtwartz5413 2 года назад +2

      @@jitulamsitunifilms6387 pa1 church boy sema unatuangusha kwenye jua kali mtoto kanyooka unafeli wap kaka 😂😂😂

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 2 года назад +3

    Asee isipochukua tuzo naandamana hongereni Sana washiriki wote...my blood isarito unajua nn namanisha🏆

  • @latifaseif3899
    @latifaseif3899 2 года назад +4

    Nilikua nikiipuza ii movie jamani dah kaka isarito umeweza umeweza umeweza tena ❤️

  • @lebonboniface3153
    @lebonboniface3153 2 года назад +2

    Mwenyezi Mungu Aku raisishiye kwa kazi unayo ifanya ndugu yangu.

  • @raphaelboniventus7215
    @raphaelboniventus7215 2 года назад +27

    Bonge moja la movie, ambalo historia yake inakaribia kufanana na yangu. Ila mimi nilikua kule juu yenu😂😂😂💣. Hongera sana baba femi. Huku ulikiwasha

  • @edifiquenathan1837
    @edifiquenathan1837 2 года назад +183

    Dah jamani movie emiisha nailikuwa I meanza Wanaotaka part 2 gonga like 👍

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 2 года назад +57

    Aliyependa alivyosema dogo amedondosha elf kumi na tano gonga like ( ilikua saa 1:00 sekunde 24

  • @trevordrake1343
    @trevordrake1343 Год назад +6

    AFRIKA!AFRIKA my guy....kazi safii kabisa na your team.....kongole sana💪💪

  • @petersanga1310
    @petersanga1310 2 года назад +3

    kazi nzuri sanaa ongeza bidii tutafika kamandaaaaaaaaaa

  • @norineokochi7914
    @norineokochi7914 2 года назад +5

    Very nice movie watching from Kenya, leteni zingine mingi

  • @adomasanja2595
    @adomasanja2595 2 года назад +7

    Oyaaa, action kama mbele 🙌🏾🙌🏾. Mwanzo mzuri sana bro✊🏾🙌🏾

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад

      Shukran sana kaka

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 2 года назад

      Mmejitahidi ila nikumbushe hii ni movie flan ya kizungu ambayo mwanajeshi alifukuzwa akaenda kufanya kaz ya ulinz super market sku ya kwnz ya kazi yake alikuja bint mdgo akikimbizwa kama hvo wakamruhusu kuingia ndani ya super market kikaja kikundi cha maadui kumtafta pale ikawa batlle ya walinzi na wle watu ni the same story na hii . Kilicho badilika ni location tu na wahusika ila kama kuna mtu ni mfatiliaj wa movie sana hii mo
      vie atakua kaiona jina lake nmeisahau

  • @alfarnb9923
    @alfarnb9923 2 года назад +1

    Wanangu isalito ,dimos ,modo,meneja wa lukamba mmetisha

  • @nikitakumar6993
    @nikitakumar6993 2 года назад +5

    Mbaka nikatamai pia nami ni fanye na yeye move moja jameni 🙏🙏🙏

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 2 года назад

    Aiseee kusemesha ukweri hii movie kaliii Mzee dhuuuuuu 😄 mpaka nilikua nailudia ludia aiseeee nime ipenda mubalikiwee

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 2 года назад +11

    Apo fresh kbsa ❤😂ila Tunaitaji ifwatayo ❤😂😂🎉 happy new year !

  • @erirocharz5375
    @erirocharz5375 2 года назад +1

    ISSARITO bro umeua sana🤙🤙🤙

  • @MnyaluMhehe-cz3uj
    @MnyaluMhehe-cz3uj Год назад +7

    Daah ndo kwa mara ya kwanza naitazama jamn like hata mbili jamn

  • @mosanimwita9619
    @mosanimwita9619 2 года назад +1

    Bro talent mnazo je mngekuwa n big investment ata Michael J white n wezanke wacinge gusa moto wenu ata kidogo movie kali mnajua sn

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 2 года назад +3

    Wanataka kuniuwa kwa sababu nimeona wanauah irikua katika harakati za kutengeneza kontent
    Mc mboneke like kwake

  • @DamasEliel
    @DamasEliel 5 месяцев назад

    Daah nimependa watu walivyojitoa muhanga kuumia, kupoteza vitu daah, aiseee bongo fireee

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta7561 2 года назад +3

    Wow wow wow kumbe na sisi tunaweza sana tu sema hatukuamua daah yan wakat naangalia nikajikuta nasoma tena jina la movie ili nihakikishe kwel ni ya Tz hii....!! Just wow bro wa kukajah umeirudisha iman ya me kuanza kuangalia bongo movie asante sana kwa kaz nzur BIG UP😍

  • @kapendosolomon80
    @kapendosolomon80 2 года назад +1

    Wow nce movie I need part 2 Mr am from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪waaa

  • @Gakanga-moses
    @Gakanga-moses 2 года назад +6

    Next part.... I loved the inspection behind it

  • @hudhaifamohamad7919
    @hudhaifamohamad7919 9 месяцев назад +1

    WE BRO NLIKUWA NIMEKUSAHAU KWELII😂😂😂😂😂❤

  • @mwinyikhamisswaleh6728
    @mwinyikhamisswaleh6728 2 года назад +6

    It's a nice movie am enjoying it am from riyadh saudi arabia. Big up guys muko vizuri.mungu awape nguvu muendele kutoa movie nzuri

  • @mrgenius6217
    @mrgenius6217 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥oyaaa ISSA unayohela ya soda

  • @hythammohamed1124
    @hythammohamed1124 2 года назад +3

    Daah nouma saanaaa..sem mchaw part 2 muendelez muhim!!!

  • @elwad6878
    @elwad6878 2 года назад +1

    Muvi nzri sana natamn ht isingeisha Africa umeweza

  • @zenamwasekaga7460
    @zenamwasekaga7460 2 года назад +4

    Nimeisubiri sana hii kwa hamu hatimae 🔥🔥🔥🔥 umeua sasa kaka

  • @mwanaashnasha6987
    @mwanaashnasha6987 2 года назад

    Steve ak Isarito nampenda sana huyu makaka hongera sana na Mungu aibariki kazi ya mikono yako

  • @sophiajamali10
    @sophiajamali10 2 года назад +3

    Mi mwenzenu nampenda Sana huyu mnyakyusa japokua nshaolewa dah 😂🙆🙈

  • @yongchujiclass9846
    @yongchujiclass9846 Год назад +1

    oya pat2,ngoma nagwa bavo wasikose baba

  • @VaniceKemunto-it1tw
    @VaniceKemunto-it1tw Год назад +3

    Mashalaaa! Movie Kali Kali inasisimua misuri,,, awaiting part2

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 2 года назад +2

    Kumbe Tamu ❤️❤️❤️nmelia Hak MUNGU awape afya muendelee kupgania Familia zenu hakka Kla Kaz inamagumu yake.

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 2 года назад +4

    Duuu BONGE LA MOVIE aisee,naipataje ktk mfumo wa DVD?? BONGO kwa Sasa tupo mbali sana HONGERA SANA 🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 2 года назад +1

    Kioo cha BMW kimevunjwa hvi hvi. Kweli bro mpogo serious tofauti na mwanzo👍

  • @eliajob6975
    @eliajob6975 2 года назад +9

    movie ni nzur sana na imetulia nimeipenda sana sana .... Tunaweza

  • @edinaeverysit6933
    @edinaeverysit6933 2 года назад +2

    Endeleeni kuandaa movie bora kama hii na mungu awape wepesi

  • @dorcahnyabo4713
    @dorcahnyabo4713 2 года назад +43

    Isarito u never disappoint in your acting

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  2 года назад +5

      💪💪

    • @MJINITv
      @MJINITv Год назад

      BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo

    • @Herson-yw6cn
      @Herson-yw6cn 11 месяцев назад

      Isarito unatuangusha sana. Wewe sio wakucheza jua kali. Wewe ni wakutengeneza mawe kama haya . Hebu rudi huku tuishangaze dunia.