MLINZI FULL MOVIE 2022 1080p with Eng Subtitle
HTML-код
- Опубликовано: 15 ноя 2022
- Afrika ni Askari aliyekuwa anapenda sana HAKI itendeke,lakini baada ya Gharama za maisha kuongezeka,Afrika anajikuta akipokea rushwa,Hii inapelekea yeye kufukuzwa kazi,Maisha yanazidi kuwa magumu zaidi kwa upande wake,Anaamua kwenda kuomba kazi ya ULINZI ili kukidhi mahitaji ya yeye na mke wake lakini siku ya kwanza ya LINDO anapata MSALA je? Atafanikiwa kuutoka Msala huo
Directed by Ramar King
ramar_king?igsh...
Afrika - Isarito Mwakalindile
isarito_tmt?igs...
Kiukweli niko speechless hebu tungane kama East Africa tu support art. Issa Mungu abariki kazi ya akili yako maana haya mambo yanaitaji uwepo tu wa kufikiria. Pongezi nyote watanzania.kama umependa ubunifu please nipe like yako👌❤️🇹🇿. Real love from 254🇰🇪❤️
Shukran sana kaka,.,.Mungu Tu.,.,but OneLove 254 my second Home
@@jitulamsitunifilms6387 samahani mimi ni dada 😂🙏
@@jitulamsitunifilms6387 leo naomba niwashauri BINGO MOVIES haikuwa na haja ya kuweka full movie youtube kwani njia hii haitaweza kukuingizia kipato chakutosha,
So nn chakufanya ni kutafuta platform internationally za kuuzia movie mfanonzake kama Netflix zipo nyingi kama hizo
@@asmashariph5188 🙄🙄🙄🙄
Wasema kweli inapaswa tuwe na app ya east africa online streaming yetu yenye nguvu tuuze kazi zetu kwa faida
Dah jamani movie emiisha nailikuwa I meanza Wanaotaka part 2 gonga like 👍
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
kwani part 2 ipo jamani
❤❤❤ kazi nzuri
Poa
Hio ni full move haina party to
Hii movie inatufundisha Kuna kipindi mlango mmoja unafungwa ili uingie kwenye mlango mwingine kuwasaidia jamii nyingine....Yes Africa was meant to be there for help!! What a movie 👏👏
Nyie aliefika sehemu akstop aje asome comments tujuane, Nyie luka ameweza sanaaa! Kwa mara ya kwanza nainua movie ya kitanzania kidedea 🔥🔥🔥
❤❤Asante
Luka. Wa jua Kali uko juu juu zaidi mmeifanya kwa moyo wote asanteni msichokeee
kaka nilikuambia sku moja kuwa nitatafuta kila king'amuzi ambacho utaonekana finally na you tube upo tutabanana kila kona much respect bro i see you in Hollywood 👏👏👏🙏🙏
😀😀😀Mpaka tufike Nchi Ya AHADI pamoja 💪💪Respect
Movie ya kwanza ya East African action kuwatch hadi mwisho,congrats Tanzanians and a call awake for the other countries 🎉
Misukosuko the best action movie ever
Search season inaitwa USIAMINI utaona movie aswa .... Au operation m22
Binafsi sjaitazama hii ndo nimeanzia kwenye comment kisa niicheki lkn majamaa niliokuelekeza wanafanya poa zaidi
S
Oyaa aisee kiukweli mmeua kinomaa 😅😅ila izo BMW mlikua mnavunja vioo mmeniacha mdomo wazi kmke daah hii kalii sana nimeipenda 🏆🏆🏆
Mwamba anajua sana nazani kama ningepewa nafasi ya kuchagua best actor for the all time ningem point huyu AFRICA
Nazani hata wakina agent bavo wanahitajika kujifunza kutoka kwako 🎉🎉🎉🎉
Shukran sana kaka wote tupo Kujifunza 💪💪But Respect sana
Aiseee mume nikisa asilimia mia BIG UP SANA Kwa Team nzima 👊👊 kama na wewe umekubali iyi movie, storia, uwigizaji basi gonga like apa kwa wingi sana 👊👊👊
My brother huna kazi mbovu...jitu la msituni halisi🙌
@ isarito and @ mc mboneke nawabariki Mungu akawatambulishe kimataifa your much talented guys 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
Africa ❤Africa ❤Africa❤ nimekuita mara 3, Unajua hadi unajua tena yan🤝👊👌, Be Blessed kaka umetisha sana 🙏🙏na feel Bongo kama mbele💃🥰, niliitafuta hii movie kwa MDA mrefu sana ila niliishia kuona trela tu😔, but am glad nimeiona 2pe ya pili baba ❤❤
Hongera #isarito hongera Luka ni 🔥🔥 na Judith yupo 😍😍😍❤️
Issa Lito mwamba uyuapa since day1 anaweka record na anavunja mwenyew akuna hakuna akuna tena bongo nzima mleteni mnaemwaminia eshima kwako bro!!
Love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️✌️✌️
Shukran sana kaka
Burundi🇧🇮🇧🇮Tunawapenda sana Movie Nzuli
Katika story zangu bora kwa mwaka huu hii moja wapo salute kwako mzee baba
Amani kigoye Mzee wa story Za mapigano umekubari kazi ya huu mwamba ☠️🤟⚔️✍️🦅
Shukran sana kaka
Aliyependa alivyosema dogo amedondosha elf kumi na tano gonga like ( ilikua saa 1:00 sekunde 24
Atutaki😂😂
Hamjuwi
Kich mbov kadondsh elf 15
Alivo dondosha sikuwepo naomba iludiwe gonga like
the first time nakuwa interested with our own movies,kiukwel sifa zenu mpewe u have improved a lot,mmefanya kwa kiwango kikubwa tofaut na kipind cha nyuma hope as days.goes on mtafanya makubwa zaid
let's go men
Big up move nzur ,,. Sema sijapenda mlivyo kafanya Ako ka flat mkaamua kukapasua kweli 😃😃😃
Daah ndo kwa mara ya kwanza naitazama jamn like hata mbili jamn
Yani kila ninavyozdi kuianglia stamn iishe jamn 😊❤@isarito unajua mpka unajua tena
Bonge moja la movie, ambalo historia yake inakaribia kufanana na yangu. Ila mimi nilikua kule juu yenu😂😂😂💣. Hongera sana baba femi. Huku ulikiwasha
Shukran sana kaka
Daah bonge moja la action movie..! Hongeren kwa waandaaji wote na washiriki kwa ujumla👏👏👏
Shukran sana kaka
Cjawahigi kukomenti kwenye movies yeyeto ile ila kwa hii nimekubali utunzi wake🙌🙌🙌🙌.
Aisee hivi vitu tulivikosa kwa mda mlefu Sana bro, nakukubali Sana nizaidi ya Sana unajua
Nimerudia Mara mbili kuangalia hii Move ni nzuri sana❣ BIG UP BROTHER 🙏
Mbaka nikatamai pia nami ni fanye na yeye move moja jameni 🙏🙏🙏
Daaaaaaaa!!!!!!! aiseeeeeee huwez amin kama ni bongo sweet sweet hongeren san
Kazi nzur wakuu nafatilia mve zako Uko vizur mwanangu Africa
Big up sana kaka isarito bonge moja la story..Action Nzuri sanaaa Nina Kila Sababu ya Kukupongeza Kaka MLINZI Bonge Moja la movie
Shukran sana
Kijana na uku upo 😅🙌🏻
Daaaahhhhhh vizur sana,, ckuwaza ka nngeangalia ila nmejikuta nataka kujua na sehem ya pili ipo wap
Wow wow mara yangu ya kwanza kuwatch african action good work keep it up🙌🙌🙌
Nimeburudika sana tena zaidi ya sana ingeleni sana movie nzuri nimeipenda kwa 100%
The movie is so educative and it gives more people morale,,,a soldier is a soldier no matter which department but the deference is just the attire..Much love from 254🇰🇪🇰🇪 ❤️. requesting for part 3
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Safi sana mlinzi,
Apo fresh kbsa ❤😂ila Tunaitaji ifwatayo ❤😂😂🎉 happy new year !
@ isarito bro your much talented big up sana bonge moja la action hii ndio action bora Tanzania nzm umecheza na uhalisia mm ni film maker kaka umetisha umezingatia mambo kama yalivyo katika film grow wisely bro una kipaji tuinue baba nahis wewe ndio unaenda kuvaa kitu cha marehemu kanumba na tuzo ya muigizaji bora ilikufaa sana kaka be blessed and big up
Brother unafanya kazi nzuri kiukweli baada ya kutoka uncle JJ wewe ndiye mwenyewe 👏👏👏
Hii n international wide salute mkali wetu wa action movie
Uweeee,adi nimesahau kama nilikua na heartbreak jamani,, hongeratulations 👏👏🥳🥳🎉 kaka
Nimefatlia hii movie duuh imetumia gharama kias chake hafu hamna charactor alie feli safi sana kazi nzur
Jamaninini patio 2 plz muvi tamu xna shukrani shukrani xna ❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰
Yanii wewe Kaka kila nikionaga movie yoyote upo wewe lazima niangalie napenda Sana nafasi yako katika kuigiza kwako all the best.
Asante sister
Asante sn Africa yaani umeucheza uhusika km kawaida yk na ndio maana nakukubali sn mwamba(Mwamba huyuu hapa).
Bonge moja la movies lina unyama mwingi sana shot out to isarito
Nakubari Wana TZ kazi nzuri🎥🎬🎞️
Uyumwamba Kwa mala yakwanza nilimuona kwenye movie Fran mixer wanalipua soko la mbeya nilimkubali kinoma nilijitaidi kuwaambia wanangu walikuwa wananikataa lakin wanaona balaalake!!.. bongo tunazarauliana sana hatuheshimu kipaji chamtu One love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️
Tukianza kujikubali sisi wenyewe wabongo tutafika mbali tujiamini nasi waafrika tunaweza.
huyu kuna movie ya lulu ameact kama mlinzi hlf anadegree jamaa ni actor mzuri sana...
Umekosea sana kutaja idadi ya walinzi tuliokuwepo dah mmetisha sana 💥💯💯💯💯
natumaini ijayo ni nzuri na hongereni kwa kazi nzuri, kuna kitu nimeona kingekuwa kizuri zaidi.....imetuonyesha bosi kashika glass ya kinywaji kwa hasira, angeivunja kwa mkono kabla ya kuvunja tv maana yeye anahasira sana na nguvu pia.
Kazi nzuri watanzania wenzangu sijawai ona movie ya Tanzania yenye uhalisia na quality kama hii ulinzi by nassor said from NSRmedia
Next part.... I loved the inspection behind it
Kweli hii movie ina mafunzo sana,ile kuvunja Tv na magari ni gharama halafu pia mapigano(action)wako vizuri kwenye stunt,big up Isarito Mwakalindile aka Africa hujawahi kufeli,
Tunaomba part 2 japo hata hvyo kazi imeisha wa yule mkuu kukamatwa kwani ushahidi unao na mc mbonde👍
Kilicho nivutia kwenye hii move ni sehem ya kuvunja TV na namagar inaonesha jinsi gani mlivo jipanga isarito mwigizaji wa kwanza 🇹🇿 hongera kipanga na gido lah!!nashindwa hata cha kusema hongereni sana
Shukran sana sister ❤
Isarito u never disappoint in your acting
💪💪
BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo
Isarito unatuangusha sana. Wewe sio wakucheza jua kali. Wewe ni wakutengeneza mawe kama haya . Hebu rudi huku tuishangaze dunia.
Weweeeeeeeh 🤭🤭🤭🤭🤭 Woooooooh ...... Samahani samahani samahani leteni part 2 ....... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ from Mecky Dimpoz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 always Maharaj the King 👑👑👑 I like this movie so much...... Great job more than enough guys..... Je vous dis Félicitations les gars ..... Hii filamu ni ya Century marafiki zangu
Shukran sana ndugu yangu
May God grants your wishes to arrive so far Brother...... You're the best star of the Century. I really liked the move
@@jitulamsitunifilms6387 part 2 jamani tunaomba 😭😭😭
🔥🔥🔥🔥🔥🔥oyaaa ISSA unayohela ya soda
Salute xn East Africa and Tanzania Kwa ujumla
NYIE HII MOVE NI ZAIDI YA MOVE🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wow wow wow kumbe na sisi tunaweza sana tu sema hatukuamua daah yan wakat naangalia nikajikuta nasoma tena jina la movie ili nihakikishe kwel ni ya Tz hii....!! Just wow bro wa kukajah umeirudisha iman ya me kuanza kuangalia bongo movie asante sana kwa kaz nzur BIG UP😍
Shukran sana sister ❤🥰Enjoy
I'm in love with Africa nilikua namuombea Sana ashinde😅😅😅😅😅😅alhamudillah ameshinda🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu Aku raisishiye kwa kazi unayo ifanya ndugu yangu.
Mimi ni Mlinzi kiukweli hii movie imenifundisha vitu vingi Sana kiukweli Nimeipenda Kaka unajua Sana 🙌🏼🙌🏼 Part 2 tunaisubiri kwa hamu kubwa Mc mboneke kanifurahisha Sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Asante Sister
Vp lukamba hujamuona alinichekeeha kwel,😂😂😂
Mi mwenzenu nampenda Sana huyu mnyakyusa japokua nshaolewa dah 😂🙆🙈
@mc mboneke umezaliwa kuwa comedian kaka unajua sana kaka Mungu akukuze zaidi
Oyaaa, action kama mbele 🙌🏾🙌🏾. Mwanzo mzuri sana bro✊🏾🙌🏾
Shukran sana kaka
Mmejitahidi ila nikumbushe hii ni movie flan ya kizungu ambayo mwanajeshi alifukuzwa akaenda kufanya kaz ya ulinz super market sku ya kwnz ya kazi yake alikuja bint mdgo akikimbizwa kama hvo wakamruhusu kuingia ndani ya super market kikaja kikundi cha maadui kumtafta pale ikawa batlle ya walinzi na wle watu ni the same story na hii . Kilicho badilika ni location tu na wahusika ila kama kuna mtu ni mfatiliaj wa movie sana hii mo
vie atakua kaiona jina lake nmeisahau
Very nice movie watching from Kenya, leteni zingine mingi
It's a nice movie am enjoying it am from riyadh saudi arabia. Big up guys muko vizuri.mungu awape nguvu muendele kutoa movie nzuri
ISSARITO bro umeua sana🤙🤙🤙
Aiseee kusemesha ukweri hii movie kaliii Mzee dhuuuuuu 😄 mpaka nilikua nailudia ludia aiseeee nime ipenda mubalikiwee
Nimeisubiri sana hii kwa hamu hatimae 🔥🔥🔥🔥 umeua sasa kaka
Enjoy💪💪
Nimependa kumuona Judy wa Luka humu ..
Movie nzuri sanaa
Mbeya stand up
Judith Mrembo🥰
Mhhhhh aiseee kazi ya moto mpaka sio poa Ingekua sio watanzania ingesifiwa sana kwakua sisi kwa sisi atupendani ndio maana inachukuliwa poa... Media zipo busy na mambo ya kipuuzi wanaacha kupromote kazi nzuri kama hii 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Movie nzuri sana nimeangalia mwanzo mpaka mwisho ikopoa,,🔥
Asee saiv unachek movie huku unafurahia story nzuri wachezaji wameitendea haki mlinzi bonge la movie🙌🙌🙌
Respect kaka
@@jitulamsitunifilms6387 pa1 church boy sema unatuangusha kwenye jua kali mtoto kanyooka unafeli wap kaka 😂😂😂
Movie ya level za kimataifa inavigezo vyote,kwangu mimi ni movie bora zaidi ya action kwa africa. Can't wait for part two tumuokoe shemeji yetu😜😜 .
Muvi nzri sana natamn ht isingeisha Africa umeweza
Duuu BONGE LA MOVIE aisee,naipataje ktk mfumo wa DVD?? BONGO kwa Sasa tupo mbali sana HONGERA SANA 🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏
kazi nzuri sanaa ongeza bidii tutafika kamandaaaaaaaaaa
Ilike that song for this kifo kama ajali kama kumtu anajua msanii tafadhali anaeza nishow jina yake nitashkuru
Since nimeona hii movie,siko perfect sana ila kuna some mistake,mfano bibi harusi kuvaa shera kutekeleza uhalifu wakati ndoa yake imeahirishwa mchana,hadi giza linaingia still yuko ndani ya wedding gown,still nashukuru bro Isalito umenifundisha mistake moja ambayo nimekuwa nikiirudia kila wakati,hasa plan A ya maisha yako ilipofel hukuzid kuing'ang'ania hiyo plan A yako bali ulichange kwa plan B ya mke wako,It is real Taughtful
Gonga like kama umeipenda hii movie kaa mm naifurahia nikiwa kenya
Best action movie hongera issa sanaaa like American movies
Aise dah, najiuliza hivi nilikuwa naangalia bongo movie kweli!!! Bonge moja la movie kaka umetisha, nilipoona tu jeshi la ukombozi nikajua unakoolekea itakuwa hatari, nimependa usmart wa walinzi
Shukran kaka
Kioo cha BMW kimevunjwa hvi hvi. Kweli bro mpogo serious tofauti na mwanzo👍
Movie nzuri sana, Watanzania tukiisapoti kazi zetu nzuri hizi bajeti ya movie itaongezeka tutapata kazi ya kimataifa zitakazo tuweka kifua mbele
Mwenye hii move ninani kwa kweli... aliandika vizuri sana.. ongera sana
Endeleeni kuandaa movie bora kama hii na mungu awape wepesi
Haujawahi kuniangusha roll model wangu keep going we are behind you, tutakusapoti katika kila kazi
movie ni nzur sana na imetulia nimeipenda sana sana .... Tunaweza
LOVE FROM BURUNDI
💪💪
Braza una weza Sana 💯🔥💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥
Kumbe Tamu ❤️❤️❤️nmelia Hak MUNGU awape afya muendelee kupgania Familia zenu hakka Kla Kaz inamagumu yake.
🔥🔥🔥
@@yusuphanyimike9945 😘
Africa Kazi nzuri San mungu akubariki akupe maamuz ya busara nimeipenda sana
Big up mzée !🫡
Nakukubali kinyama sema umeuwa sana kwenye Mlinzi Tunasubiri Mzigo mwingine
Pongezi sana Broo Napenda Movie zako sana# 254
Nyie me ninachojua broo irasito huna mpinzan💯💯hongraa snaaa mzee wa jua kalii au baba femii mungu azid kukuongoza zaid ya hapo
Too emotional 😢😢😢 I droped tears when The wolf an Mc gave farewell to Lion. Above all the Drama is Good #KONGOLE 1:48:47
BABA AFRIKA💥Great Movie Issa & ur team watching from jamaica am proud to be an African jirani yenu +254💯
Shukran sana kaka 🙏
@@jitulamsitunifilms6387 unyama bro kila laheri
@@jitulamsitunifilms6387 Mbona Imeishia Hapa Kwa Wambura Alipo Kufa
Afrca nimeipenda iyo uko vizur Broo nilichokosa hapo nikuona wife katekwa ila muv Kali stor nzuri pia
Mlinzi ni bonge moja la filam...hongeren kwa washirika wote asee!👊👊
Jokes aside..Dulla wa sanura is talented🙌🏿
Shukran sana kaka 💪
Wallahi dula kiboko ukimaliza filamu yake moja unatamani tu upate nyengine uendelee kuangalia
Kwakweli I'm in love with his movies ❤❤❤