MLINZI FULL MOVIE 2022 1080p with Eng Subtitle

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 ноя 2022
  • Afrika ni Askari aliyekuwa anapenda sana HAKI itendeke,lakini baada ya Gharama za maisha kuongezeka,Afrika anajikuta akipokea rushwa,Hii inapelekea yeye kufukuzwa kazi,Maisha yanazidi kuwa magumu zaidi kwa upande wake,Anaamua kwenda kuomba kazi ya ULINZI ili kukidhi mahitaji ya yeye na mke wake lakini siku ya kwanza ya LINDO anapata MSALA je? Atafanikiwa kuutoka Msala huo
    Directed by Ramar King
    ramar_king?igsh...
    Afrika - Isarito Mwakalindile
    isarito_tmt?igs...

Комментарии • 999

  • @tommyomar2672
    @tommyomar2672 Год назад +204

    Kiukweli niko speechless hebu tungane kama East Africa tu support art. Issa Mungu abariki kazi ya akili yako maana haya mambo yanaitaji uwepo tu wa kufikiria. Pongezi nyote watanzania.kama umependa ubunifu please nipe like yako👌❤️🇹🇿. Real love from 254🇰🇪❤️

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  Год назад +18

      Shukran sana kaka,.,.Mungu Tu.,.,but OneLove 254 my second Home

    • @tommyomar2672
      @tommyomar2672 Год назад +4

      @@jitulamsitunifilms6387 samahani mimi ni dada 😂🙏

    • @asmashariph5188
      @asmashariph5188 Год назад +10

      @@jitulamsitunifilms6387 leo naomba niwashauri BINGO MOVIES haikuwa na haja ya kuweka full movie youtube kwani njia hii haitaweza kukuingizia kipato chakutosha,
      So nn chakufanya ni kutafuta platform internationally za kuuzia movie mfanonzake kama Netflix zipo nyingi kama hizo

    • @strong8534
      @strong8534 Год назад +7

      ​@@asmashariph5188 🙄🙄🙄🙄

    • @Alkaburu
      @Alkaburu Год назад +6

      Wasema kweli inapaswa tuwe na app ya east africa online streaming yetu yenye nguvu tuuze kazi zetu kwa faida

  • @edifiquenathan1837
    @edifiquenathan1837 Год назад +171

    Dah jamani movie emiisha nailikuwa I meanza Wanaotaka part 2 gonga like 👍

  • @nacetsiringa1334
    @nacetsiringa1334 Год назад +21

    Hii movie inatufundisha Kuna kipindi mlango mmoja unafungwa ili uingie kwenye mlango mwingine kuwasaidia jamii nyingine....Yes Africa was meant to be there for help!! What a movie 👏👏

  • @auntyjj2754
    @auntyjj2754 Год назад +18

    Nyie aliefika sehemu akstop aje asome comments tujuane, Nyie luka ameweza sanaaa! Kwa mara ya kwanza nainua movie ya kitanzania kidedea 🔥🔥🔥

  • @josephdidas325
    @josephdidas325 Год назад +10

    kaka nilikuambia sku moja kuwa nitatafuta kila king'amuzi ambacho utaonekana finally na you tube upo tutabanana kila kona much respect bro i see you in Hollywood 👏👏👏🙏🙏

  • @davidwangechi588
    @davidwangechi588 Год назад +54

    Movie ya kwanza ya East African action kuwatch hadi mwisho,congrats Tanzanians and a call awake for the other countries 🎉

    • @nassibabdul6510
      @nassibabdul6510 Год назад +5

      Misukosuko the best action movie ever

    • @egbartrwegasira1250
      @egbartrwegasira1250 Год назад

      Search season inaitwa USIAMINI utaona movie aswa .... Au operation m22
      Binafsi sjaitazama hii ndo nimeanzia kwenye comment kisa niicheki lkn majamaa niliokuelekeza wanafanya poa zaidi

    • @PeterMwakha
      @PeterMwakha Год назад +1

      S

  • @calsonjr-307jouner4
    @calsonjr-307jouner4 Год назад +8

    Oyaa aisee kiukweli mmeua kinomaa 😅😅ila izo BMW mlikua mnavunja vioo mmeniacha mdomo wazi kmke daah hii kalii sana nimeipenda 🏆🏆🏆

  • @kusilatv4640
    @kusilatv4640 Год назад +7

    Mwamba anajua sana nazani kama ningepewa nafasi ya kuchagua best actor for the all time ningem point huyu AFRICA
    Nazani hata wakina agent bavo wanahitajika kujifunza kutoka kwako 🎉🎉🎉🎉

  • @ponyoduguru
    @ponyoduguru Год назад +11

    Aiseee mume nikisa asilimia mia BIG UP SANA Kwa Team nzima 👊👊 kama na wewe umekubali iyi movie, storia, uwigizaji basi gonga like apa kwa wingi sana 👊👊👊

  • @islamrashid5451
    @islamrashid5451 Год назад +14

    My brother huna kazi mbovu...jitu la msituni halisi🙌

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 Год назад +6

    @ isarito and @ mc mboneke nawabariki Mungu akawatambulishe kimataifa your much talented guys 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌

  • @chikemdoe577
    @chikemdoe577 3 месяца назад +1

    Africa ❤Africa ❤Africa❤ nimekuita mara 3, Unajua hadi unajua tena yan🤝👊👌, Be Blessed kaka umetisha sana 🙏🙏na feel Bongo kama mbele💃🥰, niliitafuta hii movie kwa MDA mrefu sana ila niliishia kuona trela tu😔, but am glad nimeiona 2pe ya pili baba ❤❤

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Год назад +7

    Hongera #isarito hongera Luka ni 🔥🔥 na Judith yupo 😍😍😍❤️

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 Год назад +5

    Issa Lito mwamba uyuapa since day1 anaweka record na anavunja mwenyew akuna hakuna akuna tena bongo nzima mleteni mnaemwaminia eshima kwako bro!!
    Love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️✌️✌️

  • @jojonostress486
    @jojonostress486 Год назад +9

    Burundi🇧🇮🇧🇮Tunawapenda sana Movie Nzuli

  • @kigotymeentertainmentkigoy4858
    @kigotymeentertainmentkigoy4858 Год назад +7

    Katika story zangu bora kwa mwaka huu hii moja wapo salute kwako mzee baba

  • @selemanimsofe7321
    @selemanimsofe7321 Год назад +53

    Aliyependa alivyosema dogo amedondosha elf kumi na tano gonga like ( ilikua saa 1:00 sekunde 24

  • @youngvictor9489
    @youngvictor9489 Год назад +3

    the first time nakuwa interested with our own movies,kiukwel sifa zenu mpewe u have improved a lot,mmefanya kwa kiwango kikubwa tofaut na kipind cha nyuma hope as days.goes on mtafanya makubwa zaid
    let's go men

  • @johnsingano7988
    @johnsingano7988 Год назад +4

    Big up move nzur ,,. Sema sijapenda mlivyo kafanya Ako ka flat mkaamua kukapasua kweli 😃😃😃

  • @MnyaluMhehe-cz3uj
    @MnyaluMhehe-cz3uj 5 месяцев назад +6

    Daah ndo kwa mara ya kwanza naitazama jamn like hata mbili jamn

  • @salmaothman8972
    @salmaothman8972 Год назад +3

    Yani kila ninavyozdi kuianglia stamn iishe jamn 😊❤@isarito unajua mpka unajua tena

  • @raphaelboniventus7215
    @raphaelboniventus7215 Год назад +27

    Bonge moja la movie, ambalo historia yake inakaribia kufanana na yangu. Ila mimi nilikua kule juu yenu😂😂😂💣. Hongera sana baba femi. Huku ulikiwasha

  • @yusuphhamad1767
    @yusuphhamad1767 Год назад +9

    Daah bonge moja la action movie..! Hongeren kwa waandaaji wote na washiriki kwa ujumla👏👏👏

  • @fabiankazimil745
    @fabiankazimil745 Год назад +5

    Cjawahigi kukomenti kwenye movies yeyeto ile ila kwa hii nimekubali utunzi wake🙌🙌🙌🙌.

  • @Hanskapella
    @Hanskapella Год назад +6

    Aisee hivi vitu tulivikosa kwa mda mlefu Sana bro, nakukubali Sana nizaidi ya Sana unajua

  • @elizabethmpwepwa6106
    @elizabethmpwepwa6106 Год назад +18

    Nimerudia Mara mbili kuangalia hii Move ni nzuri sana❣ BIG UP BROTHER 🙏

  • @nikitakumar6993
    @nikitakumar6993 Год назад +5

    Mbaka nikatamai pia nami ni fanye na yeye move moja jameni 🙏🙏🙏

  • @limotonamtema4966
    @limotonamtema4966 Год назад +1

    Daaaaaaaa!!!!!!! aiseeeeeee huwez amin kama ni bongo sweet sweet hongeren san

  • @mathiasisaka1546
    @mathiasisaka1546 Год назад +4

    Kazi nzur wakuu nafatilia mve zako Uko vizur mwanangu Africa

  • @okonko_2557
    @okonko_2557 Год назад +6

    Big up sana kaka isarito bonge moja la story..Action Nzuri sanaaa Nina Kila Sababu ya Kukupongeza Kaka MLINZI Bonge Moja la movie

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 Год назад +1

    Daaaahhhhhh vizur sana,, ckuwaza ka nngeangalia ila nmejikuta nataka kujua na sehem ya pili ipo wap

  • @maureennaliaka8936
    @maureennaliaka8936 6 месяцев назад +2

    Wow wow mara yangu ya kwanza kuwatch african action good work keep it up🙌🙌🙌

  • @edinaeverysit6933
    @edinaeverysit6933 Год назад +3

    Nimeburudika sana tena zaidi ya sana ingeleni sana movie nzuri nimeipenda kwa 100%

  • @ronnaldmuchera
    @ronnaldmuchera Год назад +20

    The movie is so educative and it gives more people morale,,,a soldier is a soldier no matter which department but the deference is just the attire..Much love from 254🇰🇪🇰🇪 ❤️. requesting for part 3

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 Год назад +11

    Apo fresh kbsa ❤😂ila Tunaitaji ifwatayo ❤😂😂🎉 happy new year !

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 Год назад +5

    @ isarito bro your much talented big up sana bonge moja la action hii ndio action bora Tanzania nzm umecheza na uhalisia mm ni film maker kaka umetisha umezingatia mambo kama yalivyo katika film grow wisely bro una kipaji tuinue baba nahis wewe ndio unaenda kuvaa kitu cha marehemu kanumba na tuzo ya muigizaji bora ilikufaa sana kaka be blessed and big up

  • @samsonmuthama907
    @samsonmuthama907 Год назад +3

    Brother unafanya kazi nzuri kiukweli baada ya kutoka uncle JJ wewe ndiye mwenyewe 👏👏👏

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Год назад +4

    Hii n international wide salute mkali wetu wa action movie

  • @nelvinikumilu1245
    @nelvinikumilu1245 6 месяцев назад +1

    Uweeee,adi nimesahau kama nilikua na heartbreak jamani,, hongeratulations 👏👏🥳🥳🎉 kaka

  • @director.youngmopo61
    @director.youngmopo61 Год назад +1

    Nimefatlia hii movie duuh imetumia gharama kias chake hafu hamna charactor alie feli safi sana kazi nzur

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +3

    Jamaninini patio 2 plz muvi tamu xna shukrani shukrani xna ❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰

  • @evamasangula4718
    @evamasangula4718 Год назад +3

    Yanii wewe Kaka kila nikionaga movie yoyote upo wewe lazima niangalie napenda Sana nafasi yako katika kuigiza kwako all the best.

  • @mazruyonlinetv2423
    @mazruyonlinetv2423 Год назад +2

    Asante sn Africa yaani umeucheza uhusika km kawaida yk na ndio maana nakukubali sn mwamba(Mwamba huyuu hapa).

  • @hanceraphael5455
    @hanceraphael5455 Год назад +2

    Bonge moja la movies lina unyama mwingi sana shot out to isarito

  • @huntermediatz2022
    @huntermediatz2022 Год назад +6

    Nakubari Wana TZ kazi nzuri🎥🎬🎞️

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 Год назад +5

    Uyumwamba Kwa mala yakwanza nilimuona kwenye movie Fran mixer wanalipua soko la mbeya nilimkubali kinoma nilijitaidi kuwaambia wanangu walikuwa wananikataa lakin wanaona balaalake!!.. bongo tunazarauliana sana hatuheshimu kipaji chamtu One love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 Год назад

      Tukianza kujikubali sisi wenyewe wabongo tutafika mbali tujiamini nasi waafrika tunaweza.

    • @joeaub2185
      @joeaub2185 Год назад

      huyu kuna movie ya lulu ameact kama mlinzi hlf anadegree jamaa ni actor mzuri sana...

  • @user-so9ih9ze7s
    @user-so9ih9ze7s 3 месяца назад +1

    Umekosea sana kutaja idadi ya walinzi tuliokuwepo dah mmetisha sana 💥💯💯💯💯

  • @gyestudios267
    @gyestudios267 Год назад +1

    natumaini ijayo ni nzuri na hongereni kwa kazi nzuri, kuna kitu nimeona kingekuwa kizuri zaidi.....imetuonyesha bosi kashika glass ya kinywaji kwa hasira, angeivunja kwa mkono kabla ya kuvunja tv maana yeye anahasira sana na nguvu pia.

  • @subscribe1235
    @subscribe1235 Год назад +4

    Kazi nzuri watanzania wenzangu sijawai ona movie ya Tanzania yenye uhalisia na quality kama hii ulinzi by nassor said from NSRmedia

  • @Gakanga-moses
    @Gakanga-moses Год назад +6

    Next part.... I loved the inspection behind it

  • @ladislausswai9554
    @ladislausswai9554 27 дней назад

    Kweli hii movie ina mafunzo sana,ile kuvunja Tv na magari ni gharama halafu pia mapigano(action)wako vizuri kwenye stunt,big up Isarito Mwakalindile aka Africa hujawahi kufeli,
    Tunaomba part 2 japo hata hvyo kazi imeisha wa yule mkuu kukamatwa kwani ushahidi unao na mc mbonde👍

  • @zenaathuman2619
    @zenaathuman2619 Год назад +9

    Kilicho nivutia kwenye hii move ni sehem ya kuvunja TV na namagar inaonesha jinsi gani mlivo jipanga isarito mwigizaji wa kwanza 🇹🇿 hongera kipanga na gido lah!!nashindwa hata cha kusema hongereni sana

  • @dorcahnyabo4713
    @dorcahnyabo4713 Год назад +42

    Isarito u never disappoint in your acting

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  Год назад +5

      💪💪

    • @MJINITv
      @MJINITv Год назад

      BABAMKWE WA MCHONGO. kurya boy & mzee msharo

    • @Herson-yw6cn
      @Herson-yw6cn 4 месяца назад

      Isarito unatuangusha sana. Wewe sio wakucheza jua kali. Wewe ni wakutengeneza mawe kama haya . Hebu rudi huku tuishangaze dunia.

  • @meckydimpoz
    @meckydimpoz Год назад +9

    Weweeeeeeeh 🤭🤭🤭🤭🤭 Woooooooh ...... Samahani samahani samahani leteni part 2 ....... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ from Mecky Dimpoz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 always Maharaj the King 👑👑👑 I like this movie so much...... Great job more than enough guys..... Je vous dis Félicitations les gars ..... Hii filamu ni ya Century marafiki zangu

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  Год назад +2

      Shukran sana ndugu yangu

    • @meckydimpoz
      @meckydimpoz Год назад +1

      May God grants your wishes to arrive so far Brother...... You're the best star of the Century. I really liked the move

    • @najmaabduli9593
      @najmaabduli9593 Год назад

      @@jitulamsitunifilms6387 part 2 jamani tunaomba 😭😭😭

  • @mrgenius6217
    @mrgenius6217 Год назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥oyaaa ISSA unayohela ya soda

  • @sixytntongambele3038
    @sixytntongambele3038 Год назад +3

    Salute xn East Africa and Tanzania Kwa ujumla

  • @pamelaemmy8180
    @pamelaemmy8180 Год назад +6

    NYIE HII MOVE NI ZAIDI YA MOVE🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ellenkabeta7561
    @ellenkabeta7561 Год назад +3

    Wow wow wow kumbe na sisi tunaweza sana tu sema hatukuamua daah yan wakat naangalia nikajikuta nasoma tena jina la movie ili nihakikishe kwel ni ya Tz hii....!! Just wow bro wa kukajah umeirudisha iman ya me kuanza kuangalia bongo movie asante sana kwa kaz nzur BIG UP😍

  • @user-ok9ew5fs2c
    @user-ok9ew5fs2c Месяц назад

    I'm in love with Africa nilikua namuombea Sana ashinde😅😅😅😅😅😅alhamudillah ameshinda🙏🙏🙏🙏

  • @lebonboniface3153
    @lebonboniface3153 Год назад +2

    Mwenyezi Mungu Aku raisishiye kwa kazi unayo ifanya ndugu yangu.

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Год назад +24

    Mimi ni Mlinzi kiukweli hii movie imenifundisha vitu vingi Sana kiukweli Nimeipenda Kaka unajua Sana 🙌🏼🙌🏼 Part 2 tunaisubiri kwa hamu kubwa Mc mboneke kanifurahisha Sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sophiajamali10
    @sophiajamali10 Год назад +3

    Mi mwenzenu nampenda Sana huyu mnyakyusa japokua nshaolewa dah 😂🙆🙈

  • @zenangongoro574
    @zenangongoro574 Год назад

    @mc mboneke umezaliwa kuwa comedian kaka unajua sana kaka Mungu akukuze zaidi

  • @adomasanja2595
    @adomasanja2595 Год назад +7

    Oyaaa, action kama mbele 🙌🏾🙌🏾. Mwanzo mzuri sana bro✊🏾🙌🏾

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  Год назад

      Shukran sana kaka

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 Год назад

      Mmejitahidi ila nikumbushe hii ni movie flan ya kizungu ambayo mwanajeshi alifukuzwa akaenda kufanya kaz ya ulinz super market sku ya kwnz ya kazi yake alikuja bint mdgo akikimbizwa kama hvo wakamruhusu kuingia ndani ya super market kikaja kikundi cha maadui kumtafta pale ikawa batlle ya walinzi na wle watu ni the same story na hii . Kilicho badilika ni location tu na wahusika ila kama kuna mtu ni mfatiliaj wa movie sana hii mo
      vie atakua kaiona jina lake nmeisahau

  • @norineokochi7914
    @norineokochi7914 Год назад +5

    Very nice movie watching from Kenya, leteni zingine mingi

  • @mwinyikhamisswaleh6728
    @mwinyikhamisswaleh6728 Год назад +6

    It's a nice movie am enjoying it am from riyadh saudi arabia. Big up guys muko vizuri.mungu awape nguvu muendele kutoa movie nzuri

  • @erirocharz5375
    @erirocharz5375 Год назад +1

    ISSARITO bro umeua sana🤙🤙🤙

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Год назад

    Aiseee kusemesha ukweri hii movie kaliii Mzee dhuuuuuu 😄 mpaka nilikua nailudia ludia aiseeee nime ipenda mubalikiwee

  • @zenamwasekaga7460
    @zenamwasekaga7460 Год назад +4

    Nimeisubiri sana hii kwa hamu hatimae 🔥🔥🔥🔥 umeua sasa kaka

  • @chellynpanja3970
    @chellynpanja3970 Год назад +2

    Nimependa kumuona Judy wa Luka humu ..
    Movie nzuri sanaa
    Mbeya stand up

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 3 месяца назад

    Mhhhhh aiseee kazi ya moto mpaka sio poa Ingekua sio watanzania ingesifiwa sana kwakua sisi kwa sisi atupendani ndio maana inachukuliwa poa... Media zipo busy na mambo ya kipuuzi wanaacha kupromote kazi nzuri kama hii 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mashuhuritv8686
    @mashuhuritv8686 Год назад +2

    Movie nzuri sana nimeangalia mwanzo mpaka mwisho ikopoa,,🔥

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 Год назад +3

    Asee saiv unachek movie huku unafurahia story nzuri wachezaji wameitendea haki mlinzi bonge la movie🙌🙌🙌

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  Год назад +2

      Respect kaka

    • @nguyamtwartz5413
      @nguyamtwartz5413 Год назад +2

      @@jitulamsitunifilms6387 pa1 church boy sema unatuangusha kwenye jua kali mtoto kanyooka unafeli wap kaka 😂😂😂

  • @sammelody3792
    @sammelody3792 Год назад +6

    Movie ya level za kimataifa inavigezo vyote,kwangu mimi ni movie bora zaidi ya action kwa africa. Can't wait for part two tumuokoe shemeji yetu😜😜 .

  • @elwad6878
    @elwad6878 Год назад +1

    Muvi nzri sana natamn ht isingeisha Africa umeweza

  • @raiszongo4136
    @raiszongo4136 Год назад +4

    Duuu BONGE LA MOVIE aisee,naipataje ktk mfumo wa DVD?? BONGO kwa Sasa tupo mbali sana HONGERA SANA 🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏👏

  • @petersanga1310
    @petersanga1310 Год назад +3

    kazi nzuri sanaa ongeza bidii tutafika kamandaaaaaaaaaa

  • @jacksonjoseph1267
    @jacksonjoseph1267 Год назад +1

    Ilike that song for this kifo kama ajali kama kumtu anajua msanii tafadhali anaeza nishow jina yake nitashkuru

  • @gdavid3074
    @gdavid3074 7 месяцев назад

    Since nimeona hii movie,siko perfect sana ila kuna some mistake,mfano bibi harusi kuvaa shera kutekeleza uhalifu wakati ndoa yake imeahirishwa mchana,hadi giza linaingia still yuko ndani ya wedding gown,still nashukuru bro Isalito umenifundisha mistake moja ambayo nimekuwa nikiirudia kila wakati,hasa plan A ya maisha yako ilipofel hukuzid kuing'ang'ania hiyo plan A yako bali ulichange kwa plan B ya mke wako,It is real Taughtful

  • @jacksonjoseph1267
    @jacksonjoseph1267 Год назад +13

    Gonga like kama umeipenda hii movie kaa mm naifurahia nikiwa kenya

  • @PaulinaSamwel
    @PaulinaSamwel Год назад +3

    Best action movie hongera issa sanaaa like American movies

  • @mahmoudyunus5913
    @mahmoudyunus5913 Год назад +1

    Aise dah, najiuliza hivi nilikuwa naangalia bongo movie kweli!!! Bonge moja la movie kaka umetisha, nilipoona tu jeshi la ukombozi nikajua unakoolekea itakuwa hatari, nimependa usmart wa walinzi

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Год назад +1

    Kioo cha BMW kimevunjwa hvi hvi. Kweli bro mpogo serious tofauti na mwanzo👍

  • @francismuhuga8158
    @francismuhuga8158 Год назад +7

    Movie nzuri sana, Watanzania tukiisapoti kazi zetu nzuri hizi bajeti ya movie itaongezeka tutapata kazi ya kimataifa zitakazo tuweka kifua mbele

  • @nikitakumar6993
    @nikitakumar6993 Год назад +8

    Mwenye hii move ninani kwa kweli... aliandika vizuri sana.. ongera sana

  • @edinaeverysit6933
    @edinaeverysit6933 Год назад +2

    Endeleeni kuandaa movie bora kama hii na mungu awape wepesi

  • @onesmorevenskibanda2252
    @onesmorevenskibanda2252 5 месяцев назад

    Haujawahi kuniangusha roll model wangu keep going we are behind you, tutakusapoti katika kila kazi

  • @eliajob6975
    @eliajob6975 Год назад +9

    movie ni nzur sana na imetulia nimeipenda sana sana .... Tunaweza

  • @jojoihuriro8184
    @jojoihuriro8184 Год назад +19

    LOVE FROM BURUNDI

  • @mbarakasadiki870
    @mbarakasadiki870 Год назад +2

    Braza una weza Sana 💯🔥💯💯💯🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 Год назад +2

    Kumbe Tamu ❤️❤️❤️nmelia Hak MUNGU awape afya muendelee kupgania Familia zenu hakka Kla Kaz inamagumu yake.

  • @HashillyIddy-xi4dt
    @HashillyIddy-xi4dt Год назад +5

    Africa Kazi nzuri San mungu akubariki akupe maamuz ya busara nimeipenda sana

  • @volonteprotv
    @volonteprotv Год назад +6

    Big up mzée !🫡
    Nakukubali kinyama sema umeuwa sana kwenye Mlinzi Tunasubiri Mzigo mwingine

  • @tonnybarbers6971
    @tonnybarbers6971 Год назад +1

    Pongezi sana Broo Napenda Movie zako sana# 254

  • @zalhahmustaph7219
    @zalhahmustaph7219 Год назад

    Nyie me ninachojua broo irasito huna mpinzan💯💯hongraa snaaa mzee wa jua kalii au baba femii mungu azid kukuongoza zaid ya hapo

  • @elishaemmanueli2768
    @elishaemmanueli2768 Год назад +12

    Too emotional 😢😢😢 I droped tears when The wolf an Mc gave farewell to Lion. Above all the Drama is Good #KONGOLE 1:48:47

  • @NaneSita86
    @NaneSita86 Год назад +13

    BABA AFRIKA💥Great Movie Issa & ur team watching from jamaica am proud to be an African jirani yenu +254💯

  • @husseinsalum1983
    @husseinsalum1983 Год назад +2

    Afrca nimeipenda iyo uko vizur Broo nilichokosa hapo nikuona wife katekwa ila muv Kali stor nzuri pia

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Год назад +1

    Mlinzi ni bonge moja la filam...hongeren kwa washirika wote asee!👊👊

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 Год назад +29

    Jokes aside..Dulla wa sanura is talented🙌🏿

    • @jitulamsitunifilms6387
      @jitulamsitunifilms6387  Год назад +3

      Shukran sana kaka 💪

    • @fatumamaro8726
      @fatumamaro8726 8 месяцев назад

      Wallahi dula kiboko ukimaliza filamu yake moja unatamani tu upate nyengine uendelee kuangalia

    • @nelvinikumilu1245
      @nelvinikumilu1245 6 месяцев назад

      Kwakweli I'm in love with his movies ❤❤❤