MKE WA KPT. KOMBA ASIMULIA KILICHOMUUA MUMEWE: SIASA ILIHUSIKA?/ALIDHANI NI KIKWETE/LOWASA ALIMLILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 29

  • @hassanramadhan4761
    @hassanramadhan4761 Месяц назад +3

    Ndugu mtangazaji naona una kitu ndani yako, usiishie huko kwenye online tv, nakuona mbali Sana, BBC, VOA, DW...... pigania malengo yako yatimie zaidi, upo vizuri, sauti nzuri, maswali mazuri. Tafadhali fanyia kazi ushauri huu ndugu yangu.

  • @JoyceSavyo-dn1bx
    @JoyceSavyo-dn1bx Месяц назад +2

    Pole sana

  • @mohamedmkumbwa
    @mohamedmkumbwa 28 дней назад

    Huyu mwandishi yuko vizuri sana

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y Месяц назад +1

    Mwl. Komba ni mwalim wangu LY 1988 Lugalo Primary School Mungu azidi kukutia nguvu na akupe amani yake Ameen R.I.P Capt.Komba

    • @lauriankyariga4512
      @lauriankyariga4512 Месяц назад

      Mwl wangu 1983 Lugalo primary nakutakia maisha marefu na akujaze nguvu

  • @sharifamakuka4832
    @sharifamakuka4832 Месяц назад

    Ni kweli ukimtumaini Mungu huwezi kuzeeka.

  • @gasperheleli2980
    @gasperheleli2980 Месяц назад

    Pole sana mwalimu wangu lugalo

  • @mcpetitkisinini681
    @mcpetitkisinini681 Месяц назад

    Apumzike kwa amani Comrade

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Месяц назад +3

    Mnajilimbikizia sana Mali mkinyanganywa presha

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 Месяц назад

      Acha WIVU, UTAKUFA MASKINI,Komba ameanzia Chini saana mpaka amepanda, Amekopa Benki, amefanya Biashara ya Muziki

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад

      ​@@israelmkaka2807sawa yote hayo lakini rushwa lazima 😊😊

    • @annamariamakula3853
      @annamariamakula3853 Месяц назад

      @abiboseleman1649 Tafuta pesa ndugu yangu ndio utaweza kuongea haya.

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Месяц назад

      @@annamariamakula3853 hivi kwa akili Yako unadhani Hawa wanasiasa wote hata kama ametafuta pesa sawa lakini asilimia 85 _90 ni fedha umma kataa ukbali ndo hivo.. na utakaakutafuta hiyo pesa Yako ya halali mpaka visigino vikatike 😂😂

  • @user-kt9qg1mo6l
    @user-kt9qg1mo6l Месяц назад

    Real broo umejua kumuuliza mama mjane maswali yasiyo mkwaza

  • @user-xu3fy8sd7w
    @user-xu3fy8sd7w Месяц назад

    Naomba simu ya Mrs komba, nilikuwa naye mafinga

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Месяц назад

    Uyo daktari alichemka aliyemwambia anywe soda soda ni hatari sana kwa pressure

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Месяц назад

    Hilo ndilo li CCM ni chinjachinja na viongozi wake 😢😢😢😢😢

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu9205 Месяц назад

    😢

  • @MariamTufi-iv5vx
    @MariamTufi-iv5vx Месяц назад

    Marehem John komba alikuwa mwalim wangu wa chipukizi ilala BOMA 1982 R I P

  • @labaniakyoolabaniakyoo4247
    @labaniakyoolabaniakyoo4247 Месяц назад

    Komba tutakukumbuka daima

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Месяц назад

    Bora umerud kule kwa zamarad ulipotea njia

  • @user-ql3yr6fi7o
    @user-ql3yr6fi7o Месяц назад

    Na tunaisoma mama

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 Месяц назад

    Sauti ya KOMBA ni KINANDA,utunzi wake wa Kutukuka,Namna yake ya Uimbaji na Utunzi ni ya Kipekee,,Ni soprano ya kiume ya Hataree,,Mbali na mambo ya Kisiasa, Caot.KOMBA NI NOUMAAAA

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t Месяц назад +1

    Komba atakumbukwa daima

    • @Zaikadena
      @Zaikadena Месяц назад

      Atakumbukwa kwa lipi kijijin kwao hakupeleka hata barabara wala umeme na wadhifa wote alivokua nao

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Месяц назад

    Yaan hawa ssm

  • @driss4957
    @driss4957 Месяц назад

    Komba kwa aliyokifanyia Chama na Taifa hakuwa mtu wa kunyang'anywa shule zake kwa Mkopo,Ila walimfanyia kumkomoa baada ya kuwa Timu Lowasa kindaki ndaki na akakhisiwa angehama nae.WANACCM WENGI WANA MIKOPO KWENYE MABENKI HHADI MIFUKO YA JAMIII,UKIZINGUA WANAKUSHUGHULIKIA UFE KWA PRESHA.