MKE WA KPT. KOMBA ASIMULIA KILICHOMUUA MUMEWE: SIASA ILIHUSIKA?/ALIDHANI NI KIKWETE/LOWASA ALIMLILIA
HTML-код
- Опубликовано: 8 апр 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Ndugu mtangazaji naona una kitu ndani yako, usiishie huko kwenye online tv, nakuona mbali Sana, BBC, VOA, DW...... pigania malengo yako yatimie zaidi, upo vizuri, sauti nzuri, maswali mazuri. Tafadhali fanyia kazi ushauri huu ndugu yangu.
Pole sana
Huyu mwandishi yuko vizuri sana
Mwl. Komba ni mwalim wangu LY 1988 Lugalo Primary School Mungu azidi kukutia nguvu na akupe amani yake Ameen R.I.P Capt.Komba
Mwl wangu 1983 Lugalo primary nakutakia maisha marefu na akujaze nguvu
Ni kweli ukimtumaini Mungu huwezi kuzeeka.
Pole sana mwalimu wangu lugalo
Apumzike kwa amani Comrade
Mnajilimbikizia sana Mali mkinyanganywa presha
Acha WIVU, UTAKUFA MASKINI,Komba ameanzia Chini saana mpaka amepanda, Amekopa Benki, amefanya Biashara ya Muziki
@@israelmkaka2807sawa yote hayo lakini rushwa lazima 😊😊
@abiboseleman1649 Tafuta pesa ndugu yangu ndio utaweza kuongea haya.
@@annamariamakula3853 hivi kwa akili Yako unadhani Hawa wanasiasa wote hata kama ametafuta pesa sawa lakini asilimia 85 _90 ni fedha umma kataa ukbali ndo hivo.. na utakaakutafuta hiyo pesa Yako ya halali mpaka visigino vikatike 😂😂
Real broo umejua kumuuliza mama mjane maswali yasiyo mkwaza
Naomba simu ya Mrs komba, nilikuwa naye mafinga
Uyo daktari alichemka aliyemwambia anywe soda soda ni hatari sana kwa pressure
Hilo ndilo li CCM ni chinjachinja na viongozi wake 😢😢😢😢😢
😢
Marehem John komba alikuwa mwalim wangu wa chipukizi ilala BOMA 1982 R I P
Komba tutakukumbuka daima
Bora umerud kule kwa zamarad ulipotea njia
Na tunaisoma mama
Sauti ya KOMBA ni KINANDA,utunzi wake wa Kutukuka,Namna yake ya Uimbaji na Utunzi ni ya Kipekee,,Ni soprano ya kiume ya Hataree,,Mbali na mambo ya Kisiasa, Caot.KOMBA NI NOUMAAAA
Komba atakumbukwa daima
Atakumbukwa kwa lipi kijijin kwao hakupeleka hata barabara wala umeme na wadhifa wote alivokua nao
Yaan hawa ssm
Komba kwa aliyokifanyia Chama na Taifa hakuwa mtu wa kunyang'anywa shule zake kwa Mkopo,Ila walimfanyia kumkomoa baada ya kuwa Timu Lowasa kindaki ndaki na akakhisiwa angehama nae.WANACCM WENGI WANA MIKOPO KWENYE MABENKI HHADI MIFUKO YA JAMIII,UKIZINGUA WANAKUSHUGHULIKIA UFE KWA PRESHA.
Dahhh