Waandishi wa bongo tunajawa sana na unafiki na ushabiki zaidi ya uhalisia. Kwa nafasi hiyo mgemkumbuka hata mwandishi mwenzenu Mwangosi,Absolom kibanda, Dr. Mvungi....Pfr. Mwaikusa.....aliyekuwa Dr. Rais wa madaktari nk.
Mzee Jk kwakweli binafisi namkubali mno nikiongozi wakipekee saaaaaana na huyu namuombea sana kwa Kristo azidi kumtunza. Mapumbavu ndio wanampinga ila huyu ni azina kubwa kwa kwa Taifa letu na bara la Afrika.
Kila kiongozi ana uzuri wake na upungufu ukiacha swala la kushamili kwa ufisadi ktk kipindi chake, huyu alikuwa kiongozi mzuri Sana. Aliruhusu watu kutoa maoni yao, halafu hata maisha mtaani yalikuwa rahisi
Charming Kikwete never disappoint.
Man of the people always
Jpm
Mzee wetu kama binadam alijitahidi sana ,sana ktk utawala wake
Iam very hapy
JK Kikwete ,Man of The Hour
Mnafkii Mkuu.
Huyo mzee mnafiki na mwizi. Mnampa airtime ya nini?.
👍
Thank you .
Hakuna chochote Cha msaana mlichozumgumza zaidi ya kuchekacheka
Kweli mkubwa ni mkubwa tu😅😅 Yani wote hapo wamevaa suti lakin RAiS yeye Yupo very normal
Rais Kikwete Allah akulinde na akupe umri mrefu wewe ni Hazina ya Taifa hili
😂
Waandishi wa bongo tunajawa sana na unafiki na ushabiki zaidi ya uhalisia.
Kwa nafasi hiyo mgemkumbuka hata mwandishi mwenzenu Mwangosi,Absolom kibanda, Dr. Mvungi....Pfr. Mwaikusa.....aliyekuwa Dr. Rais wa madaktari nk.
Kaka tafuta hela.hao wanaangalia matumbo yao.hatuna waandishi habari tanzania wenye huo msimamo labda doctor ulimwengu.
Wangemuuliza ishu ya Dr ulimboka ilikuwaje kuwaje
R.I.P MAGULIFICATION FOR TANZANIA 🙏
Vicheko...unafiki mwingi
🎉🎉
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Je Mzee JK unatakwimu za watu ulio wagonga
Swali zuri
MZEE KIKWETE USICHEKE KWA JAMBO LA BANDARI
WAANDISHI NI VIAZI SANAA SASA MNACHEKAAA
Huyo mgeni mmempa na chai
Bola kumuangali kingwendu kulikohao
Rudi shule
Kweli kabisa bora kumwangalia Kingwendu 😂
😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
JK TUNATAKA USHAURI KABISA MWAMBIE SAMIA ASIUZE BANDARI
Remote ipo msoga😂
Usichekeshe kwani Samia ni Raisi?
Mzee Jk kwakweli binafisi namkubali mno nikiongozi wakipekee saaaaaana na huyu namuombea sana kwa Kristo azidi kumtunza. Mapumbavu ndio wanampinga ila huyu ni azina kubwa kwa kwa Taifa letu na bara la Afrika.
Mkristu na mapumbavu??? Kaaaaazi kweli kweli!
Kila kiongozi ana uzuri wake na upungufu ukiacha swala la kushamili kwa ufisadi ktk kipindi chake, huyu alikuwa kiongozi mzuri Sana. Aliruhusu watu kutoa maoni yao, halafu hata maisha mtaani yalikuwa rahisi
@@davidsimbeye1548 Ukimuuliza Dkt.Ulimboka na ndugu zake Mwangosi nao watakuambia upande wa pili wa uzuri wake.🙏😢
Kama walikuwa wavurugaji unafikili watakwambia Nini,nanyie mnaotoa matusi mnafikili yakiwakuta mtamlaumu nani?.
We ndio mpumbavu huwezi kuwalazimisha watu waishi kwenye hisia zako .acha zuzuz huyu ni fisadi
Ujinga tu unafki na uchawa