dah pole sana maisha haya ni noma sana ila km bado tupo hai ni kumshkuru mungu tu ila pole sana kwa matatizo yaliokukuta tuzid kumuomba mungu kwakila kitu yote ni mapito tuu
ASE MAISHA YANA MAMBO MENGI SANA TUNAOMBA MWENDELEZO ALIPOONESHWA CHUMA NA MAGAZINE INATISHAAAA NDUGU ZANGU FANYA SHUGHULI ZAKO SIKU ZAKO ZIKIENDELEA KUPUNGUA UKIJICHANGANYA SHAURI YAKO
@@Peterchila-un2lx NA PIA INAWEZEKANA HUJUI, KUANZIA LEO UTAMBUE KUWA MWANAJESHI NI ASKARI POLISI,JWTZ NA MAGEREZA HAO NDIO WANAJESHI. SOMA KATIBA YA NCHI
Ingelikuwa ni mimi nisingekubali huu upuzi wa kuhojiwa mambo ya fedheha,wakati mambo yameshatokea,,na hakuna msaada wowote mutanipa zaidi ya comment,kushea na likes tu
Huyo jaamaa unaye muhifadhi anaitwa maree 😂😂😂 wangap mumeisikia hiyo
Kwel manenooo yako sahihi 😂😂😂 mareee
Ulinzi Moja Alfred Gewe,RCO alikuwa Said Mwema,OC CID alikuwa Lekey,kitambo sana
dah pole sana maisha haya ni noma sana ila km bado tupo hai ni kumshkuru mungu tu ila pole sana kwa matatizo yaliokukuta tuzid kumuomba mungu kwakila kitu yote ni mapito tuu
great....jamaa anakumbukumbu sijawahi ona hapindishi hata kidogo, watu wa hivi wamebakia wachache sana..
Tutengeneze movie asee tutapiga hela
Sema mkuu unajua kuhadisia saf sana itabid tukukutanishe na @DAVISTA MATA
Daah Ayo umetisha kwa story hii! Usitunyime muendelezo wa story cheki hii!
mwendelezo mkuu interested story
Marekani hi ishakua movie
DUNIANI huwezi kufanya uhalifu bila kushikikiana polisi ndiyo Hali halisi😲😲
Kumbe wimbo wa afande msela aliimbwa huyu na p mawenge
Kaka utahitajika kwa ajili ya maelezo ya huyo usiyetaka kumtaja jina inaonekana bado ni hatari na anaendelea na uovu kwa mtazamo wangu
Res Judicata
😂😂
Dah noma sana yani
Daah goma tamu sana hili tupo muendelezo 😢
Duh
Kama vile muvi ya banshee hii stori
Bonge la stori 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 Tunaomba muendelezo wake
Dk Izaak Marlow hii story tunaitaka kwenye njia panda Juma pili wewe unajuwa kuhoji vzr Yan hii ni zaidi ya single move ya DJ MACK😅
Hawa sasa ndio Polisi nawajua mimi😂😂
Elewa story alifukuzwa
@@mabrouckmtandika9908 unahisi wewe una uelewa mkubwa sana kuliko wengine? Tuliza akili kaka .
Duhh aisee nice story, next please
Season 2 please
HV watanga wananini lakin kwenye Mambo haya😅😅😅
😆
Imeishaje
ASE MAISHA YANA MAMBO MENGI SANA TUNAOMBA MWENDELEZO ALIPOONESHWA CHUMA NA MAGAZINE INATISHAAAA NDUGU ZANGU FANYA SHUGHULI ZAKO SIKU ZAKO ZIKIENDELEA KUPUNGUA UKIJICHANGANYA SHAURI YAKO
Story inaendelea mbengo tv
Police ni noma utasema tu😂
Hivi ndivyo watu wanatendewa mpaka sasa
Tunaomba muendelezo plz
Mwendelezo pls
😊😅😅😅😅😅 hapo kwa police 😂😂😂 lazima useme mtu mlevi anakuoa kichapo😅
Ushamba wako ndio ulikoponza Kaka
Duu Mungu mtetee huyu afande...kajifunza.
Kk nambambili ipo wapi
Nani kasikia Marley
Sikukuu na narun'gombe hiyo.
Malley
elewa maumivu ni hatariiiii
Miendelezo muenselezo tafadhali
Atr kwel
Duh hatari sanaa
Unamuhifadhi wakati ushamtaja.
Hv wenyewe wakiskia hawatafungua mashtaka?!
Res Jurdicata
Millard muendelezo
Ambar sio Ambali
Story inafunza hii
Jamani tunasuburi party two hii story Inatoa funzo sana
Dooh! Simchezo
😂😂😂 Male🤭🤫
Hakuna mwisho mwema katika shughuli za uhalifu
Next session inaelimisha hii
K. Koo baazar ni swahili na narun'gombe
Part2 plz
Mmb
Muendelezo tafadhali, yaani Hadi mwili unasisimka.
He's brilliant anajua kujieleza 🎉
😂😂mnaingia kugawa pesa uchi bila chupi
Csasa itakuwaje jamani hi sitori mbona bado hwijaishw
Nice story
Huyu afande kwel na anajuwa kusimulia hadi raha yaani unatamani aendelee kuwa jambazi tu😅😅😅
Mwaka 90+ ulikuwa unatumia simu gani? 😜😜😜😜
Mwendelezo lin
Duuh hatar sana
Polisi hayuko chini ya mwanajeshi hapo umedanganya
Acha ushamba wewe polisi yupo chini ya mwanajeshi
umeambiwa rank
@@Peterchila-un2lx POLISI HAYUKO CHINI YA ASKARI WA JWTZ KAMA HUJUI MAMBO TULIA
@@Peterchila-un2lx NA PIA INAWEZEKANA HUJUI, KUANZIA LEO UTAMBUE KUWA MWANAJESHI NI ASKARI POLISI,JWTZ NA MAGEREZA HAO NDIO WANAJESHI. SOMA KATIBA YA NCHI
MWANAJESHI NI ASKARI POLISI,JWTZ NA MAGEREZA HAO NDIO WANAJESHI. SOMA KATIBA YA NCHI
Polisi wako makini kishenzi yaani
Tunaomba muendelezo
Muendelezo tafadhali
😢
Imeishia kati
Ndio ukubwa huo
Halafu alikuwa hb dah ,,, inshaallah khery
Story ya kujifunza mengi sana Ila hamjaimalizia why?
Male .. ametajwa 😂
😂😂wamesahau kukata iko kipande
Unatoa Siri ya kambi watakuita jamaa zako
We call police Mission movie...
Tunataka muendelezo
Ingelikuwa ni mimi nisingekubali huu upuzi wa kuhojiwa mambo ya fedheha,wakati mambo yameshatokea,,na hakuna msaada wowote mutanipa zaidi ya comment,kushea na likes tu
Kama hujui watu wanauza interview hizi. Hapo ameshalipwa
Duh
Bongo movie waish nayo story