Pamewaka!! CHADEMA WAIVURUGA CCM KAMSAMBA //WANACCM 100 WAHAMIA CHADEMA //WAFUNGUKA BAADA YA KUHAMIA
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea na mikutano yake huku kikiendelea kuhamasisha wananchi kuendelea kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuchagua viongozi bora.
Gideon Siame ambaye ni katibu wa chadema wilaya ya mbeya akizungumza na wananchi wa kamsamba amesema wao kama chadema watahakikisha wanaendelea kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujiandikisha huku akiwaonya ccm kutowapatia pesa wananchi ili wawapigie kura.
Naye FRANK MWAKAJOKA ambaye ni makamu mwenyekiti wa kanda ya nyasa amesema wamejipanga kushinda uchaguzi ujao kwa kishindo kwani amesema wao kama chadema hawataka kuona wananchi wa kamsamba wanapata shida ususani katika miundombinu yao.........
Hata hivyo mwakajoka amesema miundombinu ya barabara maji imekuwa ni changamoto kwa wakazi hao ambayo inahatarisha usalama wao na kuahidi kulifanyia kazi.
Baada ya kumtano huo kumalizika chadema wamewapokea wanachama wapya 100 ambao wamejiunga na chadema wakitokea ccm
Nakubaliii
❤❤❤❤❤❤❤CHADEMA OYEEE
Safiiii sanaaaaa
Duh huyu jamaa wa kwanza hatari sana kichwa sana akili mingi✌️💪
Sela safi kijana uko vizuli
Hongereni chadema
Hongeraa sanaa ndugu kwa maneno yenye mashiko na yana machungu makubwa kulingana ma uovu wa ccm
CHADEMA OYEE❤❤❤❤❤
Jamani huyu jama mwambaaa huyuu jamani vivaaa mwakajokaaa
Pow vipi
Kazi ipo
Makamanda wako wengi usilime
Siame nakuona ukipambania wana Kamsamba Kijana,Nakukubali acha kabisaaa Kijana wa Sheria Nakukumbuka Unavokuwaga Mbeya
Chaguen chadema kwa maendereo ya taifa letu kwasababu kodi zetu ndio zinazoJenga miundombinu huduma zote zakijamii ccm imechoka watanzania tuamke
Akili kubwa sana
Wapumbavu wengi hawakuelewi wenye akili tunakuelewa
chadema piya matapeli tena wakutisha acheni porojoo
Kaaaa!,!
Naomba swala la maji hatuna maji hapo chilulumo likemeeni Jambo hilo
Kuna mzee alikuwa anahamia CCM kila anakokwenda, kila akiona kiongozi wa CCM amefika kijijini. Kahamia CCM mara 23 ndani ya miaka 7 na analipwa kila akihamia CCM.
Siunajua CCM wanajua kukupa lugha Tamu hivyo anachuwa kadi Ya CCM then anagundua kadanganywa, mambo waliahidiwa ni hewa basi anarudisha kadi, baadae viongozi wa CCM wanakuja na ahadi nyingine kwa sababu Ya njaa na pombe aliyonywesha, anaingia laini tena, inakuwa ni kamchezo Sasa.
Hizo za Nape Nnauye na wenzake kuwanywesha watu pombe ili wamchague.
Anaongeaa pointii tuuu
Anajua wajibu wa kiongozi ni nini
Nyinyi mnahoji ofisi kuu...
Wenye akili timamu tu ndio. Watakuelewa misukule tu ndio itarubuniwa kwa chumvi
Shida ya nchi hii misukule isiyo na akili ni mingi iki gongewa hodi na kupewa efu kumi-laki moja- milioni inapokea na kwenda kuchagua ccm na hii yote kwasbabu ya kuleweshwa moshi wa mwenge maisha yao yote
Ccm utopolo hamna kitu
🙏🙏🙏
Huna lolote ccm hata kama anajua kuogea ccm iko mbele
Hao vijana unaotaka wawe na hasira kwa viongozi wao iyo ni nidhamu ya wapi hiyo na kama chama mmefeli
Nawewe utakuwa Ivo mwakajoka alogoza alileta nn nyie chadama matapeli sanaaa awoooo
Wewe unaakili ccm ndio matapeli
Hizi ndo siasa tamu na chungu zisizoumiza
Hizo kelele tu mbona mmeshindwa kujenga ofisi. Zenu yasio wahusu mtayaweza
Umezaliwa mwaka gani ofisi za CCM na viwanja tulikuwa tunakatwa kwenye mishahara yetu penda usipende unakuta makato kwenye salary slip
Naomba mnijibu wadau hapo nikamsamva mjini au chilulumo au mkulwe au ivuna au wapi ?
Ccm miaka 60 jaman bado Kuna shida ya maji?
Mmeshindwa kujenga ofisi yenu mnataka jambo? Poleni sana wapuuzi nyie wewe utampa nani chakula mzee? Polojo tupu mmepewa mkakimbia saivi mnahamasisha ngeo tunawajua hamna sera nyie waambie wananchi mlichofanya nyie?
We acha uongo dogo mshamba wewe, unatukana watu kwamba wao ni walevi sana? We mjinga tuuuu
Kiongozi mi nipo Dar hapo nikamsamva sehemu gani ?
Ccm hawataki mdomo mtupu.
Kamsamba sehemu gamu gani hapo ?
Mbozi huko ndio wanaongoza kulima Michele mzuri sana Tz