Pamewaka!! CHADEMA WAIVURUGA CCM KAMSAMBA //WANACCM 100 WAHAMIA CHADEMA //WAFUNGUKA BAADA YA KUHAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea na mikutano yake huku kikiendelea kuhamasisha wananchi kuendelea kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuchagua viongozi bora.
    Gideon Siame ambaye ni katibu wa chadema wilaya ya mbeya akizungumza na wananchi wa kamsamba amesema wao kama chadema watahakikisha wanaendelea kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujiandikisha huku akiwaonya ccm kutowapatia pesa wananchi ili wawapigie kura.
    Naye FRANK MWAKAJOKA ambaye ni makamu mwenyekiti wa kanda ya nyasa amesema wamejipanga kushinda uchaguzi ujao kwa kishindo kwani amesema wao kama chadema hawataka kuona wananchi wa kamsamba wanapata shida ususani katika miundombinu yao.........
    Hata hivyo mwakajoka amesema miundombinu ya barabara maji imekuwa ni changamoto kwa wakazi hao ambayo inahatarisha usalama wao na kuahidi kulifanyia kazi.
    Baada ya kumtano huo kumalizika chadema wamewapokea wanachama wapya 100 ambao wamejiunga na chadema wakitokea ccm

Комментарии • 46

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael 14 дней назад +1

    Nakubaliii

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Месяц назад +5

    ❤❤❤❤❤❤❤CHADEMA OYEEE

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Месяц назад +5

    Safiiii sanaaaaa

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Месяц назад +3

    Duh huyu jamaa wa kwanza hatari sana kichwa sana akili mingi✌️💪

  • @user-oq6dx8mf9x
    @user-oq6dx8mf9x Месяц назад

    Sela safi kijana uko vizuli

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Месяц назад +1

    Hongereni chadema

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Месяц назад +3

    Hongeraa sanaa ndugu kwa maneno yenye mashiko na yana machungu makubwa kulingana ma uovu wa ccm

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi Месяц назад +5

    CHADEMA OYEE❤❤❤❤❤

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 Месяц назад +3

    Jamani huyu jama mwambaaa huyuu jamani vivaaa mwakajokaaa

  • @jitulakaleboymastr6477
    @jitulakaleboymastr6477 Месяц назад +1

    Pow vipi

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 28 дней назад

    Kazi ipo

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Месяц назад +3

    Makamanda wako wengi usilime

  • @TegemeaFutemakatifu
    @TegemeaFutemakatifu Месяц назад +3

    Siame nakuona ukipambania wana Kamsamba Kijana,Nakukubali acha kabisaaa Kijana wa Sheria Nakukumbuka Unavokuwaga Mbeya

  • @ErickAlipipi
    @ErickAlipipi 29 дней назад

    Chaguen chadema kwa maendereo ya taifa letu kwasababu kodi zetu ndio zinazoJenga miundombinu huduma zote zakijamii ccm imechoka watanzania tuamke

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Месяц назад

    Akili kubwa sana

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 3 дня назад

    Wapumbavu wengi hawakuelewi wenye akili tunakuelewa

  • @user-uy4oi1pk4j
    @user-uy4oi1pk4j Месяц назад

    chadema piya matapeli tena wakutisha acheni porojoo

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Месяц назад

    Kaaaa!,!

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад +3

    Naomba swala la maji hatuna maji hapo chilulumo likemeeni Jambo hilo

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Месяц назад +1

    Kuna mzee alikuwa anahamia CCM kila anakokwenda, kila akiona kiongozi wa CCM amefika kijijini. Kahamia CCM mara 23 ndani ya miaka 7 na analipwa kila akihamia CCM.

    • @evaemil856
      @evaemil856 Месяц назад

      Siunajua CCM wanajua kukupa lugha Tamu hivyo anachuwa kadi Ya CCM then anagundua kadanganywa, mambo waliahidiwa ni hewa basi anarudisha kadi, baadae viongozi wa CCM wanakuja na ahadi nyingine kwa sababu Ya njaa na pombe aliyonywesha, anaingia laini tena, inakuwa ni kamchezo Sasa.

  • @evaemil856
    @evaemil856 Месяц назад

    Hizo za Nape Nnauye na wenzake kuwanywesha watu pombe ili wamchague.

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando5666 Месяц назад +1

    Anaongeaa pointii tuuu

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 Месяц назад

    Nyinyi mnahoji ofisi kuu...

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад +2

    Wenye akili timamu tu ndio. Watakuelewa misukule tu ndio itarubuniwa kwa chumvi

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Месяц назад +3

      Shida ya nchi hii misukule isiyo na akili ni mingi iki gongewa hodi na kupewa efu kumi-laki moja- milioni inapokea na kwenda kuchagua ccm na hii yote kwasbabu ya kuleweshwa moshi wa mwenge maisha yao yote

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Месяц назад +4

    Ccm utopolo hamna kitu

  • @MichaelJonas-v5o
    @MichaelJonas-v5o Месяц назад

    🙏🙏🙏

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Месяц назад

    Huna lolote ccm hata kama anajua kuogea ccm iko mbele

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 Месяц назад

    Hao vijana unaotaka wawe na hasira kwa viongozi wao iyo ni nidhamu ya wapi hiyo na kama chama mmefeli

  • @LusiaThom
    @LusiaThom Месяц назад

    Nawewe utakuwa Ivo mwakajoka alogoza alileta nn nyie chadama matapeli sanaaa awoooo

  • @deohank5995
    @deohank5995 Месяц назад

    Hizi ndo siasa tamu na chungu zisizoumiza

  • @kyungualbetina8739
    @kyungualbetina8739 Месяц назад

    Hizo kelele tu mbona mmeshindwa kujenga ofisi. Zenu yasio wahusu mtayaweza

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 28 дней назад

      Umezaliwa mwaka gani ofisi za CCM na viwanja tulikuwa tunakatwa kwenye mishahara yetu penda usipende unakuta makato kwenye salary slip

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад

    Naomba mnijibu wadau hapo nikamsamva mjini au chilulumo au mkulwe au ivuna au wapi ?

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Месяц назад +1

    Ccm miaka 60 jaman bado Kuna shida ya maji?

  • @Anordgration
    @Anordgration День назад

    Mmeshindwa kujenga ofisi yenu mnataka jambo? Poleni sana wapuuzi nyie wewe utampa nani chakula mzee? Polojo tupu mmepewa mkakimbia saivi mnahamasisha ngeo tunawajua hamna sera nyie waambie wananchi mlichofanya nyie?

  • @Anordgration
    @Anordgration День назад

    We acha uongo dogo mshamba wewe, unatukana watu kwamba wao ni walevi sana? We mjinga tuuuu

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад

    Kiongozi mi nipo Dar hapo nikamsamva sehemu gani ?

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Месяц назад

    Ccm hawataki mdomo mtupu.

  • @FestoLalata
    @FestoLalata Месяц назад

    Kamsamba sehemu gamu gani hapo ?

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Месяц назад

      Mbozi huko ndio wanaongoza kulima Michele mzuri sana Tz