WAHAMIA CHADEMA WAKITOKEA CCM AFUNGUKA,VILIO VYATAWALA MWENYEKITI CHADEMA MKOA MBEYA AWAPOKEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • IPINDA ONLINE TV.......Asante kwa kuchagua Ipinda online Tv.........Usisahau Kusubscribe Channel yetu

Комментарии • 25

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj День назад

    Peoples 🎉🎉🎉🎉🎉 mmedanganywa wanafuata upepo

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 2 месяца назад +4

    CCM mubadilike tutawapoteza ohoooo😢

  • @user-vq3zu8ne9b
    @user-vq3zu8ne9b 2 месяца назад +1

    Pipooooziiii 🔥🔥🔥🔥

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад +1

    HAKI HUINUA NCHI ❤❤❤

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 2 месяца назад

    Power🎉🎉🎉

  • @stevenkatani3047
    @stevenkatani3047 2 месяца назад

    Kazi mnayo kila tawi kuno chuma ya mama kwa ajiri ya uxhindi ssh5 tena

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy 2 месяца назад

    Hao walioondoka ccm acha waondoke sisi hatuna shida nawananachama

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад

    Chadema makamanda.❤

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 2 месяца назад +2

    Chadema asante kwa kupokea hao wageni kutoka ccm ila tahadhali kuwa makini msijekupokea mamluki wakaja kurudisha juhudi za mapambano nyuma na kutoa siri za chama kwa hao majambazi wa ccm! Kuweni makini muwachunguze kwa umakini sana! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Ccm inatakiwa ianguke uchaguzi huu wananchi msirudie dhambi kuichagua ccm!

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 месяца назад +1

    💯👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 2 месяца назад +4

    Wanambeya mnajitambua mmekataa kufanywa watoto wadogo na hiki kikundi kidogo kinataka kututawala kama yatima

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 месяца назад +1

    WOKOVU NDO MMEUJUA SASA, INABIDI MBATIZWE LEO

  • @IdrisaTuppa
    @IdrisaTuppa 2 месяца назад

    Jino Kwa Jino 2025✌️

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 2 месяца назад +2

    Hama hama baba ukapate maisha manzuri CDM mbeya hiyo

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 месяца назад +2

    Watambuweni wageni wanaweza wakapewa pesa wakatuvuruga bc wakati wa uchaguzi.kuweni macho

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 2 месяца назад

    Tuwe tahadhari.,na mamluki.Japo wajeNguvu yaUmma. yawahitaji.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 месяца назад +2

    Unapoteza muda hiyo ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Labda waleteni wasimamixi wa kura kutoka nnje. La sivyo ccm itaendelea kuiba kura .

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад +1

    Wezi wa kura na wabadhilifu wa rasili mali za umma kutawala nchi hii inawezeka bongo tu

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i 2 месяца назад

    Je awa nao wamenunuliwa na chadema?

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is 2 месяца назад

    Ccm ni majizi tu hakuna haki kule

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 2 месяца назад

    Jaribuni kuwachunguza wasiwe ni mamluki

  • @Maximillianchacha-fm9yi
    @Maximillianchacha-fm9yi 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 2 месяца назад

    Ujinga mtupu nauona hapo