Chadema asante kwa kupokea hao wageni kutoka ccm ila tahadhali kuwa makini msijekupokea mamluki wakaja kurudisha juhudi za mapambano nyuma na kutoa siri za chama kwa hao majambazi wa ccm! Kuweni makini muwachunguze kwa umakini sana! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Ccm inatakiwa ianguke uchaguzi huu wananchi msirudie dhambi kuichagua ccm!
Peoples 🎉🎉🎉🎉🎉 mmedanganywa wanafuata upepo
CCM mubadilike tutawapoteza ohoooo😢
Pipooooziiii 🔥🔥🔥🔥
HAKI HUINUA NCHI ❤❤❤
Power🎉🎉🎉
Kazi mnayo kila tawi kuno chuma ya mama kwa ajiri ya uxhindi ssh5 tena
Hao walioondoka ccm acha waondoke sisi hatuna shida nawananachama
Chadema makamanda.❤
Chadema asante kwa kupokea hao wageni kutoka ccm ila tahadhali kuwa makini msijekupokea mamluki wakaja kurudisha juhudi za mapambano nyuma na kutoa siri za chama kwa hao majambazi wa ccm! Kuweni makini muwachunguze kwa umakini sana! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Ccm inatakiwa ianguke uchaguzi huu wananchi msirudie dhambi kuichagua ccm!
💯👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Wanambeya mnajitambua mmekataa kufanywa watoto wadogo na hiki kikundi kidogo kinataka kututawala kama yatima
WOKOVU NDO MMEUJUA SASA, INABIDI MBATIZWE LEO
Jino Kwa Jino 2025✌️
Hama hama baba ukapate maisha manzuri CDM mbeya hiyo
Viva
Watambuweni wageni wanaweza wakapewa pesa wakatuvuruga bc wakati wa uchaguzi.kuweni macho
Tuwe tahadhari.,na mamluki.Japo wajeNguvu yaUmma. yawahitaji.
Unapoteza muda hiyo ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Labda waleteni wasimamixi wa kura kutoka nnje. La sivyo ccm itaendelea kuiba kura .
Uko sàhihi. CCM wajanja sana
Wezi wa kura na wabadhilifu wa rasili mali za umma kutawala nchi hii inawezeka bongo tu
Je awa nao wamenunuliwa na chadema?
Ccm ni majizi tu hakuna haki kule
Jaribuni kuwachunguza wasiwe ni mamluki
😂😂😂😂😂😂
Ujinga mtupu nauona hapo