Oruma uko vizuri leo umeacha unafiki Kama jemedari na maziku!! Hii yanga ni shiiida unafungwa na yeyote tofauti na yanga ya nabi ambayo ilimtegemea mayele tu
Hawa hawa ndio walisema Simba SC ni bora kuliko Yanga SC kwa sababu Madunduka walifika robo CAFCL lakini Yanga walicheza final ya CAFCC sasa hivi ndio wanaiona kwa ikibwa wake.
Hapo Oruma kimoyo anaumia sana kitendp cha Yanga kusifiwa, , kwa kuwa wote wanaisifia yeye yupo peke yake anaoana aibu kuisema vibaya, so analazimika tu kuisifia ,😅
Hapo moyoni anafuraha kupita maelezo, coz yeye ni Mwananchi damu damu.. Namjua in & out, alikua team captain wangu UDOM.. Hapo tupo kazini tu, chukua hiyoo
Wanafiki hawa yanga ikifanya vizuri wanajipendekeza, pumbavu zenu ninyi mlisema kombe la shirikisho ni kombe la luza, pumbavu zenu wasenge ninyi. Leo yanga inacheza club bingwa, baada ya kufungwa kule algeria mliibeza sana yanga pumbavu sitawaanini ktk maisha yangu. Ninyi ni ndimi la kuwili
Nabi amefanikiwa kwa kiasi chake, lkn alifeli mapema kwenye klabu bingwa. Huyu Gamondi ni hatari mno timu imebadlika sana wapinzani kupigwa 5g 4g ni kawaida lkn pia imeingia quarter fima kwa kishindo akibakiza mchezo mmoja mkononi. Kwa hiyo kwa kipindi kifupi cha Gamondi amefanikiwa zaidi ya Nabi, Maestro anajaribu kuleta siasa za mpira na kumtetea Nabi aache uninga
Hii yanga hadi hapa tu imeshangaza wengi hadi waliopanga matokeo mdomoni ile baada ya kupangwa makundi mkasema haitoboi robo ni kundi lake la kifo leo ,imeingia robo kibabe na mechi moja mkononi kitu ambacho hakijatokea tangia enzi na enzi
Wote wanafaa nabii aliweka sehemu nzuri gamond kaendelea kuifua vizur zaidi pongez kwao ❤❤
Hatari ni piła Gamondi ndio yanga nzuri , hata yule mwingine alifanya kazi nzuri sana tunamshukuru
Naona Leo Mmejitaid Efm💚💛⭐ Badiliken Ivo ivo Sisi Ni YANGA Big Club since day one 💪🖐️⚽🦵💯🔥💥
ORUMA, upo sahihi kabisa Gamondi yupo juu zaidi,,Yanga hii Ni Kali sana
Yanabi ilikuwa hatali lakini hii ya gamondi nihatali zaidi
Yaani mpaka mseme
Mafanikio hubadilisha KAULI za MAADUI
Ombea adui Yako Aishi cku nyingi aje😂😂😂😂😂 aone mafanikio yako
@@gracemtonga3263kabisa bro
😂😂😂😂
@@gracemtonga3263 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Saaa mbovu Leo inajilazimisha iseme ukweli Yani mpaka mseme
Nambi alifanya vizuri zaidi maana timu ilifika mwisho wa shilikisho na ilishinda bila ya goli la ugenini kila mtu nibora kwa mda wake msibague makocha
Do hongera mzee wa jambia
Wanfiki nyie studio yenu cha kati😮😮😮😮
Yanga ya gamond ni moto hata mnyama alipigwa vitano wakalilia
Si nyinyi mlosema kombe la luza je leo
Yanga hii yamoto
Yanga hii ni hatari sana🙏 Mwenyenzi mungu awatangulieni Inshaallah
Oruma uko vizuri leo umeacha unafiki Kama jemedari na maziku!! Hii yanga ni shiiida unafungwa na yeyote tofauti na yanga ya nabi ambayo ilimtegemea mayele tu
Sasa wewe unataka uwe unasifiwa tu msubili ally kamwe, jimy kindoki,priva na juma ayo hawa ndio wana kazi ya kuisifia yanga
Kolo halijifichi, na dunduka lazima lianguke lenyewe!😂😂😂😂😂
@@gracemtonga3263 katoe huo mwiko huko nyuma kwanza
Unafiki hawezi acha kwani hujui mtu mnafiki alivyo kesho utamsikia ikifungwa
Huyo Wilson ni Tanga damu.. Sema hautaki jionesha, Namjua in & out alikua team captain wangu UDOM
Awa sio wachambuzi ni wapenzi si walikuwa wanasema robo fainali ni bora kuliko fainali ya shilikisho
Umeongea point husikii vitu vya mbwaduke
Sijui hawa waliajiriwaje
Tuwazoeee tu maana huwa anajizimaga data kipuuzi.
Gamondi ameikuta yanga ipo kwenye u in bora yeye anaiendeleza
Hahahaaaaaa,huyu mtu anaitwa Oruma ni wa ajabu sana,niliwahi kumsikia akisema Yanga anazifunga timu dhaifu
Mchawi
Alianza kuandika akapoost kumzungumzia vibaya Joseph gd kuwtokuwa kwenye kikosi Cha kwanza mara akaona goli akadelate😅😅😅😅😅
yanga ya sasa ninoma
Msimu uliopita mlituambia shirikisho ni mashindano ya vibonde lkn leo mnatoa ya moyoni😂😂😂😂
Hawana namna nyingine 😂😂😂😂😂
Hawa hawa ndio walisema Simba SC ni bora kuliko Yanga SC kwa sababu Madunduka walifika robo CAFCL lakini Yanga walicheza final ya CAFCC sasa hivi ndio wanaiona kwa ikibwa wake.
background music/sound ina sumbua kusikia
/ina disturb
Yanga ya Gamondi ndio bora
Yanga hii nihatari haija wahi kutolea tuka mwaka 1935 Kwa mpira unao chezya nihatari
Hapo Oruma kimoyo anaumia sana kitendp cha Yanga kusifiwa, , kwa kuwa wote wanaisifia yeye yupo peke yake anaoana aibu kuisema vibaya, so analazimika tu kuisifia ,😅
Hapo moyoni anafuraha kupita maelezo, coz yeye ni Mwananchi damu damu.. Namjua in & out, alikua team captain wangu UDOM.. Hapo tupo kazini tu, chukua hiyoo
Huyu mpumbavu sana alifananisha wachezaji wa simba na yanga akawadiss sana wa yanga
Yanga iiiiiii ninoma sana
Yanga hii yagamondi niamoto mno kwangu mm hii yanga naiona ikifika mbali na kushangaza wengi😅!!!
gambond ni atali
Wanafiki hawa yanga ikifanya vizuri wanajipendekeza, pumbavu zenu ninyi mlisema kombe la shirikisho ni kombe la luza, pumbavu zenu wasenge ninyi. Leo yanga inacheza club bingwa, baada ya kufungwa kule algeria mliibeza sana yanga pumbavu sitawaanini ktk maisha yangu. Ninyi ni ndimi la kuwili
gamondi piga haooo
Yanga ya Gamondi ni ya Hatareee sana. Imejaa Wana Sayansi wa Mpira
Nabi amefanikiwa kwa kiasi chake, lkn alifeli mapema kwenye klabu bingwa. Huyu Gamondi ni hatari mno timu imebadlika sana wapinzani kupigwa 5g 4g ni kawaida lkn pia imeingia quarter fima kwa kishindo akibakiza mchezo mmoja mkononi. Kwa hiyo kwa kipindi kifupi cha Gamondi amefanikiwa zaidi ya Nabi, Maestro anajaribu kuleta siasa za mpira na kumtetea Nabi aache uninga
gamondi hana kikombe chochote
UYO ORUMA NI MNAFIKI HATA UYO MWENYE KOFIA
Humjui Vizuri Wilson... Hapo yupo kazini tu.. Huyo ni Yanga damu..
Leo wote hapo mmeongea ukweli
Keel kbs all light!!
Ya gamondi Ni Kali interm of creative chances and score poa ya Nabi Ni Kali lakn nafas zilikuwa Si nyingi za kufunga ilikuwa nzur upande WA defensive
USM Alger iko wapi hiyo na Nabi?
Nabi yupo FAR Rabat
Yang ya nabi ,na yang hiiinatisha gamond oyaaaa
Yagamond nihatali kwakuwa inamfumo 5G na ya Nani ni mfumo wa gori 2 au tatu mwisho
Tofauti ya Nabi na Gamondi ni Nabi ni Mwalimu But Gamondi ni Manager
Huyo maestro haelewi yanga ya gamondi ni hatari
Hii hatari zaidi inatisha
Kunawakati wachambuzi hawajui wanataka nn
Oruma kierehere chote kwisha
Jemedari kaishia kuarisha tu
Aibu yenu pumbavu kabisa😂😂😂😂😂😂
Jemedari studio imekuwa yamoto 😂😂😂😂😂😂
Good
Yanga ya Gamondi weka mbali na watoto na ukiingia mfumo unagongwa 5G ama 4G ama 3G ni suala la kawaida kwa sasa
Ukiangalia madalali wanahiita mawakala, wanafiki na wazandiki wote hawapo studio. Waliopo ni wapigania mpira wa miguu wa hii nchi hii.
Kama Hadi Mzee Wilson kakubali kweli yanga hii ni hatari
Ouruma Alisha ikataa Yanga na alisema CRB angetufunga😅😅😅
Jamani mwazo mlisema mashindomadogo lemnasuta chambunimpira leomna jishutukia washambanyie
😂😂😂😂😂 dunduks haoooo😂😂😂😂😅
Nimewafatilia mnachambua mpira sina shaka nanyi 😁😁😁
Wachambuz hawa hawana tofaut na kimambi, Tz football pundits hawazid 5, wengne ni chuya
Hello
Orumba ww jifunze tunguli.mpirawakutia aibu.mnafki mkubwa
Kuna swali limeulizwa kimtego kuhusu ukubwa wa mashindano ya Africa
Hamjasema mpaka mseme hiyo ndo yanga ya mataji mtaipenda tuuu
npaka wanmongoli wasemeeee
Intarahamwe
Katika kipindi cha michezo ambacho kimekaa kishabiki ni hiki yanga kabla haijacheza mnakuwa mnaoiongelea vibaya ikishinda mnageuka WANAFKI NAFKI tu
Washindanisheni kea statistics number zinaongea sio blablaaaa pakome ni sawa na denge yakivita ya 35jet ya urusi
Nabi anamjua Gamondi huko anafuatilia matokeo tu.
endeleeni kuponda vinyeo nyie 😮😮😮
Wameshikwa pabaya😂😂😂😂😂 mpaka watheme😅😅😅
Huyu mwanamke hana lolote kazi yake ni kudandia hoja..kudakia dakia Tu
wachambuzi wana-google eti nabi kabeba ubingwa mara ngapi
Hatumpondi nabi nabi katuvusha shirikisho gamondi katuvingiza makundi mpaka robo
yanga hii hatari
Orimba ww jitunze tunguli mpirawaktia album.mnatki mkubwa
Hii yanga hadi hapa tu imeshangaza wengi hadi waliopanga matokeo mdomoni ile baada ya kupangwa makundi mkasema haitoboi robo ni kundi lake la kifo leo ,imeingia robo kibabe na mechi moja mkononi kitu ambacho hakijatokea tangia enzi na enzi
Kuhusu Neno HATARI Yanga Hii Ni Hatari 🔰💛💚
Sio pakome robati bagio
Oruma anapata kigugumizi hahahahaaa, Mara nyingi anaipondea kunguni
Oruma Ni mnafiki Kama Jemedari dah !!?
HUMU AMNA MAESTRO....ANAJING'ANG'A KUINGELEA YANGA....SI AKIMBIE TUU KAMA MWANASIMBA MWENZIE
ORUMA BADO HAUJASEMA WEWE NI MNAFKI SANA,🤣🤣🤣🤣
Yan tukonaye bega kwa bega mpk athemeeeee 😂😂😂😂😂😂
Kajifunza huyu tangu alipotoa Ile kauli yake ya kipumbavu! Atathema tuuuuuu😂😂😂😂😂
Mwambie huyo dada, timu zilizokuwa shirikisho ndio zimefuzu tayari hata kabla ya kumalizia mechi zao, mfano; TP mazembe, Yanga, asec memosa na Petro
Halafu walikua wanasema ni mashindano madogo