MZEE WA JAMBIA"YANGA HII YA GAMOND KUDADADEKI!! HIVI NDIVYO YANGA ITABEBA KOMBE LA AFRIKA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 103

  • @tawsi-yc3nk
    @tawsi-yc3nk 3 месяца назад +2

    Wote wanafaa nabii aliweka sehemu nzuri gamond kaendelea kuifua vizur zaidi pongez kwao ❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 4 месяца назад +13

    Hatari ni piła Gamondi ndio yanga nzuri , hata yule mwingine alifanya kazi nzuri sana tunamshukuru

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 4 месяца назад +5

    Naona Leo Mmejitaid Efm💚💛⭐ Badiliken Ivo ivo Sisi Ni YANGA Big Club since day one 💪🖐️⚽🦵💯🔥💥

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 4 месяца назад +9

    ORUMA, upo sahihi kabisa Gamondi yupo juu zaidi,,Yanga hii Ni Kali sana

  • @silvesterkazimoto
    @silvesterkazimoto 4 месяца назад +11

    Yanabi ilikuwa hatali lakini hii ya gamondi nihatali zaidi

  • @anafiselemani3957
    @anafiselemani3957 4 месяца назад +2

    Yaani mpaka mseme

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 4 месяца назад +17

    Mafanikio hubadilisha KAULI za MAADUI

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho 4 месяца назад +5

    Saaa mbovu Leo inajilazimisha iseme ukweli Yani mpaka mseme

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h 4 месяца назад +3

    Nambi alifanya vizuri zaidi maana timu ilifika mwisho wa shilikisho na ilishinda bila ya goli la ugenini kila mtu nibora kwa mda wake msibague makocha

  • @ramathanimgaamgaa2940
    @ramathanimgaamgaa2940 4 месяца назад +4

    Do hongera mzee wa jambia

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 4 месяца назад +7

    Wanfiki nyie studio yenu cha kati😮😮😮😮

  • @saidmailo8491
    @saidmailo8491 3 месяца назад +2

    Yanga ya gamond ni moto hata mnyama alipigwa vitano wakalilia

  • @user-de4tk2du7t
    @user-de4tk2du7t 3 месяца назад +2

    Si nyinyi mlosema kombe la luza je leo

  • @user-nz2rf1px4m
    @user-nz2rf1px4m 3 месяца назад +2

    Yanga hii yamoto

  • @IsmailMatle-xz2ho
    @IsmailMatle-xz2ho 4 месяца назад

    Yanga hii ni hatari sana🙏 Mwenyenzi mungu awatangulieni Inshaallah

  • @severinantunuligwa4598
    @severinantunuligwa4598 4 месяца назад +7

    Oruma uko vizuri leo umeacha unafiki Kama jemedari na maziku!! Hii yanga ni shiiida unafungwa na yeyote tofauti na yanga ya nabi ambayo ilimtegemea mayele tu

    • @Marwawilliam
      @Marwawilliam 4 месяца назад +1

      Sasa wewe unataka uwe unasifiwa tu msubili ally kamwe, jimy kindoki,priva na juma ayo hawa ndio wana kazi ya kuisifia yanga

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 4 месяца назад +2

      Kolo halijifichi, na dunduka lazima lianguke lenyewe!😂😂😂😂😂

    • @Marwawilliam
      @Marwawilliam 4 месяца назад

      @@gracemtonga3263 katoe huo mwiko huko nyuma kwanza

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 4 месяца назад +1

      Unafiki hawezi acha kwani hujui mtu mnafiki alivyo kesho utamsikia ikifungwa

    • @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu
      @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu 4 месяца назад

      Huyo Wilson ni Tanga damu.. Sema hautaki jionesha, Namjua in & out alikua team captain wangu UDOM

  • @damianokuderi4726
    @damianokuderi4726 4 месяца назад +5

    Awa sio wachambuzi ni wapenzi si walikuwa wanasema robo fainali ni bora kuliko fainali ya shilikisho

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 4 месяца назад +1

      Umeongea point husikii vitu vya mbwaduke
      Sijui hawa waliajiriwaje

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 4 месяца назад

      Tuwazoeee tu maana huwa anajizimaga data kipuuzi.

  • @user-dv2ou1ks1j
    @user-dv2ou1ks1j 4 месяца назад +2

    Gamondi ameikuta yanga ipo kwenye u in bora yeye anaiendeleza

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169 4 месяца назад +3

    Hahahaaaaaa,huyu mtu anaitwa Oruma ni wa ajabu sana,niliwahi kumsikia akisema Yanga anazifunga timu dhaifu

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 4 месяца назад +1

      Mchawi
      Alianza kuandika akapoost kumzungumzia vibaya Joseph gd kuwtokuwa kwenye kikosi Cha kwanza mara akaona goli akadelate😅😅😅😅😅

  • @ShaibuRashid-ni7gt
    @ShaibuRashid-ni7gt 4 месяца назад +1

    yanga ya sasa ninoma

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 4 месяца назад +4

    Msimu uliopita mlituambia shirikisho ni mashindano ya vibonde lkn leo mnatoa ya moyoni😂😂😂😂

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 4 месяца назад +1

      Hawana namna nyingine 😂😂😂😂😂

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 4 месяца назад

      Hawa hawa ndio walisema Simba SC ni bora kuliko Yanga SC kwa sababu Madunduka walifika robo CAFCL lakini Yanga walicheza final ya CAFCC sasa hivi ndio wanaiona kwa ikibwa wake.

  • @asap4294
    @asap4294 4 месяца назад +2

    background music/sound ina sumbua kusikia
    /ina disturb

  • @user-do7ui5wi3n
    @user-do7ui5wi3n 4 месяца назад +2

    Yanga ya Gamondi ndio bora

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda 4 месяца назад +2

    Yanga hii nihatari haija wahi kutolea tuka mwaka 1935 Kwa mpira unao chezya nihatari

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 4 месяца назад +3

    Hapo Oruma kimoyo anaumia sana kitendp cha Yanga kusifiwa, , kwa kuwa wote wanaisifia yeye yupo peke yake anaoana aibu kuisema vibaya, so analazimika tu kuisifia ,😅

    • @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu
      @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu 4 месяца назад

      Hapo moyoni anafuraha kupita maelezo, coz yeye ni Mwananchi damu damu.. Namjua in & out, alikua team captain wangu UDOM.. Hapo tupo kazini tu, chukua hiyoo

  • @barikilaurent699
    @barikilaurent699 4 месяца назад +1

    Huyu mpumbavu sana alifananisha wachezaji wa simba na yanga akawadiss sana wa yanga

  • @rumem6665
    @rumem6665 4 месяца назад +1

    Yanga iiiiiii ninoma sana

  • @user-uv6rv5lz2k
    @user-uv6rv5lz2k 4 месяца назад +1

    Yanga hii yagamondi niamoto mno kwangu mm hii yanga naiona ikifika mbali na kushangaza wengi😅!!!

  • @mapinduzikambona7405
    @mapinduzikambona7405 4 месяца назад +1

    gambond ni atali

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 4 месяца назад

    Wanafiki hawa yanga ikifanya vizuri wanajipendekeza, pumbavu zenu ninyi mlisema kombe la shirikisho ni kombe la luza, pumbavu zenu wasenge ninyi. Leo yanga inacheza club bingwa, baada ya kufungwa kule algeria mliibeza sana yanga pumbavu sitawaanini ktk maisha yangu. Ninyi ni ndimi la kuwili

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 4 месяца назад +2

    gamondi piga haooo

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 4 месяца назад

    Yanga ya Gamondi ni ya Hatareee sana. Imejaa Wana Sayansi wa Mpira

  • @peterchande957
    @peterchande957 4 месяца назад +3

    Nabi amefanikiwa kwa kiasi chake, lkn alifeli mapema kwenye klabu bingwa. Huyu Gamondi ni hatari mno timu imebadlika sana wapinzani kupigwa 5g 4g ni kawaida lkn pia imeingia quarter fima kwa kishindo akibakiza mchezo mmoja mkononi. Kwa hiyo kwa kipindi kifupi cha Gamondi amefanikiwa zaidi ya Nabi, Maestro anajaribu kuleta siasa za mpira na kumtetea Nabi aache uninga

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 4 месяца назад +3

    UYO ORUMA NI MNAFIKI HATA UYO MWENYE KOFIA

    • @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu
      @CHRISANTUSDAUDI-tn3cu 4 месяца назад

      Humjui Vizuri Wilson... Hapo yupo kazini tu.. Huyo ni Yanga damu..

  • @severinantunuligwa4598
    @severinantunuligwa4598 4 месяца назад +2

    Leo wote hapo mmeongea ukweli

  • @user-yh4qu1gr3v
    @user-yh4qu1gr3v 4 месяца назад

    Keel kbs all light!!

  • @JamesJumanne-ze2pe
    @JamesJumanne-ze2pe 4 месяца назад

    Ya gamondi Ni Kali interm of creative chances and score poa ya Nabi Ni Kali lakn nafas zilikuwa Si nyingi za kufunga ilikuwa nzur upande WA defensive

  • @hayfsrajnah222
    @hayfsrajnah222 4 месяца назад +3

    USM Alger iko wapi hiyo na Nabi?

  • @user-tp7ui4df8j
    @user-tp7ui4df8j 4 месяца назад +1

    Yang ya nabi ,na yang hiiinatisha gamond oyaaaa

  • @user-vd4og8md3v
    @user-vd4og8md3v 4 месяца назад +1

    Yagamond nihatali kwakuwa inamfumo 5G na ya Nani ni mfumo wa gori 2 au tatu mwisho

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o 4 месяца назад

    Tofauti ya Nabi na Gamondi ni Nabi ni Mwalimu But Gamondi ni Manager

  • @user-xg9ix9ex9h
    @user-xg9ix9ex9h 4 месяца назад +1

    Huyo maestro haelewi yanga ya gamondi ni hatari

  • @janethmoshi3362
    @janethmoshi3362 4 месяца назад +2

    Hii hatari zaidi inatisha

  • @emmanuelkurwa3096
    @emmanuelkurwa3096 4 месяца назад +1

    Kunawakati wachambuzi hawajui wanataka nn

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 месяца назад +1

    Oruma kierehere chote kwisha
    Jemedari kaishia kuarisha tu
    Aibu yenu pumbavu kabisa😂😂😂😂😂😂

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 месяца назад +1

    Jemedari studio imekuwa yamoto 😂😂😂😂😂😂

  • @user-hn6dm3ev5p
    @user-hn6dm3ev5p 4 месяца назад +1

    Good

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 4 месяца назад

    Yanga ya Gamondi weka mbali na watoto na ukiingia mfumo unagongwa 5G ama 4G ama 3G ni suala la kawaida kwa sasa

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 4 месяца назад +1

    Ukiangalia madalali wanahiita mawakala, wanafiki na wazandiki wote hawapo studio. Waliopo ni wapigania mpira wa miguu wa hii nchi hii.

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 4 месяца назад +1

    Kama Hadi Mzee Wilson kakubali kweli yanga hii ni hatari

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 4 месяца назад

    Ouruma Alisha ikataa Yanga na alisema CRB angetufunga😅😅😅

  • @abdundimbo5170
    @abdundimbo5170 4 месяца назад +2

    Jamani mwazo mlisema mashindomadogo lemnasuta chambunimpira leomna jishutukia washambanyie

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 4 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂 dunduks haoooo😂😂😂😂😅

  • @herryignasy8711
    @herryignasy8711 4 месяца назад

    Nimewafatilia mnachambua mpira sina shaka nanyi 😁😁😁

  • @Kibudu
    @Kibudu 4 месяца назад +1

    Wachambuz hawa hawana tofaut na kimambi, Tz football pundits hawazid 5, wengne ni chuya

  • @user-jt5ee9gq2k
    @user-jt5ee9gq2k 4 месяца назад +1

    Hello

  • @HassanMohamed-mb3eg
    @HassanMohamed-mb3eg 4 месяца назад +2

    Orumba ww jifunze tunguli.mpirawakutia aibu.mnafki mkubwa

  • @johaneshaule4378
    @johaneshaule4378 4 месяца назад +1

    Kuna swali limeulizwa kimtego kuhusu ukubwa wa mashindano ya Africa

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 4 месяца назад

    Hamjasema mpaka mseme hiyo ndo yanga ya mataji mtaipenda tuuu

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 4 месяца назад +1

    npaka wanmongoli wasemeeee

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 4 месяца назад

    Intarahamwe

  • @christopherhaule908
    @christopherhaule908 4 месяца назад

    Katika kipindi cha michezo ambacho kimekaa kishabiki ni hiki yanga kabla haijacheza mnakuwa mnaoiongelea vibaya ikishinda mnageuka WANAFKI NAFKI tu

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 месяца назад +1

    Washindanisheni kea statistics number zinaongea sio blablaaaa pakome ni sawa na denge yakivita ya 35jet ya urusi

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 4 месяца назад

    Nabi anamjua Gamondi huko anafuatilia matokeo tu.

  • @shomarbakari3527
    @shomarbakari3527 4 месяца назад +2

    endeleeni kuponda vinyeo nyie 😮😮😮

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 4 месяца назад

      Wameshikwa pabaya😂😂😂😂😂 mpaka watheme😅😅😅

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 4 месяца назад

    Huyu mwanamke hana lolote kazi yake ni kudandia hoja..kudakia dakia Tu

  • @yonajulius7896
    @yonajulius7896 4 месяца назад +1

    wachambuzi wana-google eti nabi kabeba ubingwa mara ngapi

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 4 месяца назад

    Hatumpondi nabi nabi katuvusha shirikisho gamondi katuvingiza makundi mpaka robo

  • @MuhsinSultan
    @MuhsinSultan 4 месяца назад

    yanga hii hatari

  • @user-jt5ee9gq2k
    @user-jt5ee9gq2k 4 месяца назад +1

    Orimba ww jitunze tunguli mpirawaktia album.mnatki mkubwa

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 4 месяца назад

    Hii yanga hadi hapa tu imeshangaza wengi hadi waliopanga matokeo mdomoni ile baada ya kupangwa makundi mkasema haitoboi robo ni kundi lake la kifo leo ,imeingia robo kibabe na mechi moja mkononi kitu ambacho hakijatokea tangia enzi na enzi

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika4669 4 месяца назад +1

    Kuhusu Neno HATARI Yanga Hii Ni Hatari 🔰💛💚

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda 4 месяца назад +1

    Sio pakome robati bagio

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 4 месяца назад +1

    Oruma anapata kigugumizi hahahahaaa, Mara nyingi anaipondea kunguni

  • @allykiduli2156
    @allykiduli2156 4 месяца назад +2

    Oruma Ni mnafiki Kama Jemedari dah !!?

  • @patricklaiton8939
    @patricklaiton8939 4 месяца назад +1

    HUMU AMNA MAESTRO....ANAJING'ANG'A KUINGELEA YANGA....SI AKIMBIE TUU KAMA MWANASIMBA MWENZIE

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 4 месяца назад +1

    ORUMA BADO HAUJASEMA WEWE NI MNAFKI SANA,🤣🤣🤣🤣

    • @ceciliadaudi1632
      @ceciliadaudi1632 4 месяца назад

      Yan tukonaye bega kwa bega mpk athemeeeee 😂😂😂😂😂😂

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 4 месяца назад

      Kajifunza huyu tangu alipotoa Ile kauli yake ya kipumbavu! Atathema tuuuuuu😂😂😂😂😂

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga 4 месяца назад +1

    Mwambie huyo dada, timu zilizokuwa shirikisho ndio zimefuzu tayari hata kabla ya kumalizia mechi zao, mfano; TP mazembe, Yanga, asec memosa na Petro

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 4 месяца назад

      Halafu walikua wanasema ni mashindano madogo