Sisi Yanga tupewe Maua yetu . Hii redio Leo inakubali mziki wetu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Hii clip Wana Yanga tui download na tuifadhi jamani . EFM Leo wa kupiga salute Kwa Yanga. Yuko wp jemedari said 😅😅😅😅😅😅😅. Tuombe robo tukutane na ASEC alfu semi TP MAZEMBE alfu fainal Petrol. MUNGU ubariki YANGA 🙏🙏🙏🙏🙏
Radio ya kinafiki hapo wanaonekana hawana furaha hawana maneno ya kuzungumzia hata wale wapuuzi wamekimbia Leo hapo hawapo Sasa wasubiri wakirudi waendelee na kampeni yao dhidi ya Aucho
Ukweli utabaki ukweli Yanga ya Nabi ilimtegemea Mayele, lakini Gamond ametengeneza kikosi bora. Ushindi dhidi ya Belezoudad ni ushahidi hata mwenendo wa timu kwenye ligi ya NBC
😂😂 mijamaa haichambui chochote inapiga domo tu hebu weka like tuone kama tupo pamoja.😂
Yaan hapo li zee la jambia linaumia yanga kwenda robo fainal
Duhhhh😂😂😂 Na yeye si Mtanzania jamani
ilo genge la wahini roho inawauma. ila ushauri wa wa bure ameni inchi maana Yanga ni ya Tanzania sio msumbiji kwenu
Duhhh
Wanabadilika kama tiara hao, wanafata upepo unapoelekea kakosekana mmoja hapo yule chizi
Hawa ni mbumbumbu.mzee wa jambia ni mtu mzima lkn ushabiki kwa simba na chuki ndiyo taaluma yake aliikataa Yanga kabisa sasa kama aibu yake huyo jamaa
Nabii alibahatisha tu
Roho inawauma Sana mbuzi Hawa. Mm saikilizaga wasafi tu Hawa Ni team KOLOZDADI
Wanafiiiki wazee wakejeli
Hahaha leo majadala umeamia kwa makocha c wachezaji tena mhhhhh ila nyie wachambuzi wamichongo michongo sanaa
Du, anazungumza uku roho yinapasuka, heheheeeeeeeeee, kazi munayo kamati ya roho mbaya
Kolo wote hao
Na tunachukua ndoo mkafie mbali huko
Sisi Yanga tupewe Maua yetu . Hii redio Leo inakubali mziki wetu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Hii clip Wana Yanga tui download na tuifadhi jamani . EFM Leo wa kupiga salute Kwa Yanga. Yuko wp jemedari said 😅😅😅😅😅😅😅. Tuombe robo tukutane na ASEC alfu semi TP MAZEMBE alfu fainal Petrol. MUNGU ubariki YANGA 🙏🙏🙏🙏🙏
Tatizo nikuzugumza bilakufikilia yanga raha hahahhh
Wanafki nyie mmefeli maombiyenu
Genge la majambazi, wanaibia mwajiri wao. Nyie wahuni mahala penu panapostahili ni jela. mchambua pilipili badala ya kuchambua mpira...Kenge ninyi
Simlisema shilikisho yawatoto wapuhuzi nyie
Muongo. Wewe. Yanga. Amecheza. Robo. Akatolewa hatua ya penant. Pia drooo. Ikarushwa. Shilingi
Leo namsubiri jemedari
😂😂 akija nistue
Nyuso mbona zimrwashukaa
Kwann?
Haooooo mbwa kolo wanaiombea yanga mabaya roho itawatoka mwehu mwenzenu Jemedari wapi ?
Naitwa Justin nipo Zambia yanga hii yatari sana mambo ya amza 5g
Yanga hii ni sumu weka mbali na watoto
Haya yote studio mafudenge tupu yanasononeka TU.
Radio ya kinafiki hapo wanaonekana hawana furaha hawana maneno ya kuzungumzia hata wale wapuuzi wamekimbia Leo hapo hawapo Sasa wasubiri wakirudi waendelee na kampeni yao dhidi ya Aucho
Unamaana gani?
Kabisa wanaonekana hawana raha kabisa Si unaona nyuso zao 😅😅😅🙌🙌🙌
Uruma mnafiki xana
Kwanini? 😂😂😂😂
Mnafki mpaka anachapia😂😂
HILI JINA LA JAMBIA LINAMSUMBUA YAANI ANATAFUTA JINSI YA KUIBOMOA YANGA .ANAZUNGUMZIA MIAKA 89
ZUNGUMZIENI WACHEZAJI 22.
NA FORMESHENI
😂😂😂😂😂😂
Poleni
Kina nani? 😂😂😂
*promosm*
Kumbe kile kikosi cha umbea na roho chafu kinaonana tena.leo. he, ndio leo mnaongea nini tena kuhusu yanga???
Ukweli utabaki ukweli Yanga ya Nabi ilimtegemea Mayele, lakini Gamond ametengeneza kikosi bora. Ushindi dhidi ya Belezoudad ni ushahidi hata mwenendo wa timu kwenye ligi ya NBC
Facts tupu hongera 👏👏👏👏
@@StoryTellersTZmisingi ya kucheza kitimu na mpira kueleweka Ni Nabi pia takwimu za mafanikio Ni Nabi ila Huyu Jamaa Gamondi ameleta balaa zaidi.....
@@mhandomhina5503 Kwa Hiyo Gamondi ana balaa lake? 😂
Na huo ndo ukweli, big up!!
Tokeni hapo nyie wanafiki TU yanga tumewanyima Cha kuongea mlidhani itashindwa.
Amjui mpira nyie mnangaik t
majinga haya
Me namkubal maestro pekee hao wengine n wanafiki ndo maana Wasafi wanawazid kila kitu
They are so unhappy 😂
Full of bitterness
Tatizo wachambuzi wenu wana majungu
Ndiyo mana views siyo wengi
Views sio wengi wapi?
Hasa huyu alievaa Tai anaumiaa san yangaa kuingia robo huyo anaroho mabayaaaa san
Jamani nimecheka Sana eti hyo alievaa tai 😅😅😅😅
Mwenye redio anahasara
Inabidi tuanze unsubscribe hii hanene
They are so unhappy 😂
Full of bitterness