Комментарии •

  • @user-qr6sr8fn1p
    @user-qr6sr8fn1p 4 месяца назад +4

    😂😂 mijamaa haichambui chochote inapiga domo tu hebu weka like tuone kama tupo pamoja.😂

  • @user-pk4so6gr6q
    @user-pk4so6gr6q 4 месяца назад +6

    Yaan hapo li zee la jambia linaumia yanga kwenda robo fainal

    • @StoryTellersTZ
      @StoryTellersTZ 4 месяца назад

      Duhhhh😂😂😂 Na yeye si Mtanzania jamani

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 4 месяца назад +9

    ilo genge la wahini roho inawauma. ila ushauri wa wa bure ameni inchi maana Yanga ni ya Tanzania sio msumbiji kwenu

    • @StoryTellersTZ
      @StoryTellersTZ 4 месяца назад

      Duhhh

    • @fadhilfadhili221
      @fadhilfadhili221 4 месяца назад

      Wanabadilika kama tiara hao, wanafata upepo unapoelekea kakosekana mmoja hapo yule chizi

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 4 месяца назад

      Hawa ni mbumbumbu.mzee wa jambia ni mtu mzima lkn ushabiki kwa simba na chuki ndiyo taaluma yake aliikataa Yanga kabisa sasa kama aibu yake huyo jamaa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 4 месяца назад +2

    Nabii alibahatisha tu

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 4 месяца назад

    Roho inawauma Sana mbuzi Hawa. Mm saikilizaga wasafi tu Hawa Ni team KOLOZDADI

  • @GodfreyNgoti
    @GodfreyNgoti 4 месяца назад +3

    Wanafiiiki wazee wakejeli

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 4 месяца назад +5

    Hahaha leo majadala umeamia kwa makocha c wachezaji tena mhhhhh ila nyie wachambuzi wamichongo michongo sanaa

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 4 месяца назад +3

    Du, anazungumza uku roho yinapasuka, heheheeeeeeeeee, kazi munayo kamati ya roho mbaya

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 4 месяца назад +1

    Kolo wote hao

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 4 месяца назад +3

    Na tunachukua ndoo mkafie mbali huko

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 4 месяца назад

    Sisi Yanga tupewe Maua yetu . Hii redio Leo inakubali mziki wetu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥. Hii clip Wana Yanga tui download na tuifadhi jamani . EFM Leo wa kupiga salute Kwa Yanga. Yuko wp jemedari said 😅😅😅😅😅😅😅. Tuombe robo tukutane na ASEC alfu semi TP MAZEMBE alfu fainal Petrol. MUNGU ubariki YANGA 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @RamadhanYusuph-xi3rh
    @RamadhanYusuph-xi3rh 4 месяца назад +1

    Tatizo nikuzugumza bilakufikilia yanga raha hahahhh

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k 4 месяца назад +3

    Wanafki nyie mmefeli maombiyenu

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 4 месяца назад

    Genge la majambazi, wanaibia mwajiri wao. Nyie wahuni mahala penu panapostahili ni jela. mchambua pilipili badala ya kuchambua mpira...Kenge ninyi

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k 4 месяца назад +3

    Simlisema shilikisho yawatoto wapuhuzi nyie

  • @ahmedimuhamed6267
    @ahmedimuhamed6267 4 месяца назад +2

    Muongo. Wewe. Yanga. Amecheza. Robo. Akatolewa hatua ya penant. Pia drooo. Ikarushwa. Shilingi

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h 4 месяца назад +2

    Leo namsubiri jemedari

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 4 месяца назад +3

    Nyuso mbona zimrwashukaa

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 4 месяца назад

    Haooooo mbwa kolo wanaiombea yanga mabaya roho itawatoka mwehu mwenzenu Jemedari wapi ?

  • @justinsamson7316
    @justinsamson7316 4 месяца назад +1

    Naitwa Justin nipo Zambia yanga hii yatari sana mambo ya amza 5g

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 4 месяца назад

    Haya yote studio mafudenge tupu yanasononeka TU.

  • @255kessy5
    @255kessy5 4 месяца назад +4

    Radio ya kinafiki hapo wanaonekana hawana furaha hawana maneno ya kuzungumzia hata wale wapuuzi wamekimbia Leo hapo hawapo Sasa wasubiri wakirudi waendelee na kampeni yao dhidi ya Aucho

    • @StoryTellersTZ
      @StoryTellersTZ 4 месяца назад

      Unamaana gani?

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 4 месяца назад

      Kabisa wanaonekana hawana raha kabisa Si unaona nyuso zao 😅😅😅🙌🙌🙌

  • @jumamgeni6403
    @jumamgeni6403 4 месяца назад +3

    Uruma mnafiki xana

  • @namangabruno-xh3kp
    @namangabruno-xh3kp 4 месяца назад +2

    HILI JINA LA JAMBIA LINAMSUMBUA YAANI ANATAFUTA JINSI YA KUIBOMOA YANGA .ANAZUNGUMZIA MIAKA 89
    ZUNGUMZIENI WACHEZAJI 22.
    NA FORMESHENI

  • @user-px7jf7xs6k
    @user-px7jf7xs6k 4 месяца назад +2

    Poleni

  • @shainehagee6937
    @shainehagee6937 3 месяца назад +1

    *promosm*

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 4 месяца назад

    Kumbe kile kikosi cha umbea na roho chafu kinaonana tena.leo. he, ndio leo mnaongea nini tena kuhusu yanga???

  • @amp1952
    @amp1952 4 месяца назад +2

    Ukweli utabaki ukweli Yanga ya Nabi ilimtegemea Mayele, lakini Gamond ametengeneza kikosi bora. Ushindi dhidi ya Belezoudad ni ushahidi hata mwenendo wa timu kwenye ligi ya NBC

    • @StoryTellersTZ
      @StoryTellersTZ 4 месяца назад

      Facts tupu hongera 👏👏👏👏

    • @mhandomhina5503
      @mhandomhina5503 4 месяца назад +1

      ​@@StoryTellersTZmisingi ya kucheza kitimu na mpira kueleweka Ni Nabi pia takwimu za mafanikio Ni Nabi ila Huyu Jamaa Gamondi ameleta balaa zaidi.....

    • @StoryTellersTZ
      @StoryTellersTZ 4 месяца назад

      @@mhandomhina5503 Kwa Hiyo Gamondi ana balaa lake? 😂

    • @cleophasmkungu623
      @cleophasmkungu623 4 месяца назад

      Na huo ndo ukweli, big up!!

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 4 месяца назад

    Tokeni hapo nyie wanafiki TU yanga tumewanyima Cha kuongea mlidhani itashindwa.

  • @JOSEPHATMWAKIILA
    @JOSEPHATMWAKIILA 4 месяца назад +1

    Amjui mpira nyie mnangaik t

  • @juliusmwita7909
    @juliusmwita7909 4 месяца назад

    majinga haya

  • @noahesaau7052
    @noahesaau7052 4 месяца назад

    Me namkubal maestro pekee hao wengine n wanafiki ndo maana Wasafi wanawazid kila kitu

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 4 месяца назад

    They are so unhappy 😂
    Full of bitterness

  • @jumamgeni6403
    @jumamgeni6403 4 месяца назад +1

    Tatizo wachambuzi wenu wana majungu
    Ndiyo mana views siyo wengi

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 4 месяца назад +3

    Hasa huyu alievaa Tai anaumiaa san yangaa kuingia robo huyo anaroho mabayaaaa san

    • @JELSONMAUKI
      @JELSONMAUKI 4 месяца назад

      Jamani nimecheka Sana eti hyo alievaa tai 😅😅😅😅

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 4 месяца назад

    Mwenye redio anahasara
    Inabidi tuanze unsubscribe hii hanene

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 4 месяца назад

    They are so unhappy 😂
    Full of bitterness