BEHIND THE SCENE: HUYU BOKA HATARI/ONA ALICHOKIFANYA WAKATI WA KUREKODI VIDEO ZA UTAMBULISHO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 297

  • @dallovision
    @dallovision День назад +51

    MTU ASIGUSE HII COMENT

  • @JosephDamas
    @JosephDamas День назад +40

    Boka la wanainchi like zake Apo 👉🏼

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 День назад +37

    GSM, pamoja na viongoxi wote wa Young Africans, Mungu awe upande wenu kuleta ubingwa wa CAF champions league 2024/25 na kuendelea

  • @halimahamis7370
    @halimahamis7370 День назад +30

    Namuona Lomalisa kwambaaaaali💛💚

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga День назад +17

    Hili ni Gharika Yanga inatosha jamani hivi unajua watu hawalali leo .hata wekundu wa Msimbazi usingizi umekata hii inatisha sana daaaaaah

  • @ZipolaNgola
    @ZipolaNgola День назад +21

    Naungana na manara yanga ndoitakua time ya kwanza kuleta krabu bingwa 🇹🇿

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga День назад +32

    Yanga ina balaa kubwa Watoto wangu wote wameamka daaaaah

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ День назад +35

    Usajili wa kimataifa huu shukrani GSM 💚💛

  • @Bintisayuni50
    @Bintisayuni50 День назад +20

    Movie la Kutishaaaaaaaaa Hatari sanaaaaaa 💚💛💚💚💛💚👏🏼Weka mbali na Watotooooo

  • @user-we3cm7db2h
    @user-we3cm7db2h День назад +13

    Karibu kwa mabingwa BOKA letu la wananchii hatuna mbambambaaaaaa mwaka huuuu

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 День назад +24

    Kafanana na mayele naipenda san yanga yangu 💚🔰💛

  • @abubakalimavumbi5846
    @abubakalimavumbi5846 День назад +54

    Hii yanga ebuu tusubili tuone kama unasubili kama mimi nipe like apa💚💚💛💛💛

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 День назад +4

    Hatareeh 🎉🎉🎉 safi sana wanajeshi wetu wa media team Daima mbele nyuma mwiko jamaa ana passion kwa kazi yake.

  • @user-xi1vi6mn7d
    @user-xi1vi6mn7d День назад +7

    Hapa booka hapa bacca😂😂😂😂 we huogopii

  • @robertrobert563
    @robertrobert563 День назад +1

    Mbona kama lomalisa vile hadi kuchezea ball wanafanania.💪💪

  • @kidyabby6322
    @kidyabby6322 День назад +14

    Wa kwanza like zang wap

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 День назад +7

    DRC Tuko pamoja na nyie

  • @timcee2670
    @timcee2670 День назад +8

    Pongezi kwa kitengo cha graphics, Mnafanya kazi nzuri sana, Very creative and professional

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 День назад +4

    Hii yanga jaman mwaka huu sielewi tukienda uwanjani tutaenjoy vip mungu atupe uhai tu

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo День назад +6

    Wanainch awana jambo dogo 🔰🔰💚💚💛💛