TFF YATOA MAAMUZI SAKATA LA CHAMA NA SIMBA JUU YA RELEASE LATTER YA KUICHEZEA YANGA MSIMU UJAO..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • #BATTLETV

Комментарии • 119

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Месяц назад +2

    Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад +3

    TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU

  • @usiniguse
    @usiniguse Месяц назад +3

    Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l Месяц назад

    Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Месяц назад +2

    Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Месяц назад +3

    Wapende wasipende watatoa

  • @JafarOmar-b1u
    @JafarOmar-b1u Месяц назад

    sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 Месяц назад

    FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Месяц назад

    Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Месяц назад +1

    Simba yafungiwa

  • @amanifadhi
    @amanifadhi Месяц назад

    Simba siowajinga

  • @jiarosmazengo966
    @jiarosmazengo966 Месяц назад

    Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you

  • @ThobiasBarnaba-fs6pv
    @ThobiasBarnaba-fs6pv Месяц назад

    Moto uwake

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Месяц назад

    Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama
    Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Месяц назад

    Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад

    Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Месяц назад

      Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +1

    Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.

  • @ayubujoel
    @ayubujoel Месяц назад

    Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Месяц назад

    Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e Месяц назад

    Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu4978 Месяц назад

    Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza

  • @makamelila
    @makamelila Месяц назад

    Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Месяц назад

    Wampe tuu wanini

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Месяц назад

    Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Месяц назад

    Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli Месяц назад

    Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Месяц назад

    Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot

  • @BantuntibahezwaToyi
    @BantuntibahezwaToyi Месяц назад

    Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks Месяц назад

    Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Месяц назад

    😊 ni bad😊😊😊

  • @makamelila
    @makamelila Месяц назад

    Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha

  • @ElizabethEmmanuel-nj1oi
    @ElizabethEmmanuel-nj1oi Месяц назад

    Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Месяц назад

    Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Месяц назад

    Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht Месяц назад

    Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Месяц назад

    Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo Месяц назад

    Huyo chama atakua kama Morrison tu

  • @frbm1729
    @frbm1729 Месяц назад

    Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Месяц назад

    Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Месяц назад

      Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye

  • @WiseRigers
    @WiseRigers Месяц назад

    Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza
    Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 Месяц назад +2

    Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Месяц назад

    Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu

  • @Prosperkaluta
    @Prosperkaluta Месяц назад

    Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu.
    Kumbe wana haja naye sana.

  • @fanuelnkyalu974
    @fanuelnkyalu974 Месяц назад

    Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.

    • @KakeSimba
      @KakeSimba Месяц назад

      We fala unaongeya nini

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Месяц назад

    Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze

  • @MaguguStore
    @MaguguStore Месяц назад +1

    Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Месяц назад

    Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u Месяц назад

    Ins. .maana .iyo. Ndio

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Месяц назад

    Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Месяц назад

    Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Месяц назад +6

    Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo

    • @asiaruhasha5561
      @asiaruhasha5561 Месяц назад

      😊😊😊😊

    • @user-eg9jq5ny3n
      @user-eg9jq5ny3n Месяц назад +1

      Dunduka bwegeeee

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 Месяц назад +2

      Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op Месяц назад +1

      Wataitapika tu watake wasitake😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Месяц назад

      Mpeni Pole Injinia wenu

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n Месяц назад

    Shida niudundukaaaaa😂😂😢

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 Месяц назад

    Mfa maji haishi kutapa tapa
    Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Месяц назад

      Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke

  • @ZaharaniMisso-ke4dy
    @ZaharaniMisso-ke4dy Месяц назад +3

    Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 Месяц назад

    Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Месяц назад

    Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga

  • @ChristopherTogolan
    @ChristopherTogolan Месяц назад

    Aloo chama n mchezaj hulu

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Месяц назад

    Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Месяц назад

      Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 Месяц назад

    Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki.
    Fei si mlisema asilazimishwe?
    Sasa kibao kimegeuka.
    Hahahahaaa!

  • @raymondsambaa6687
    @raymondsambaa6687 Месяц назад

    Atarudije Simba wakati hana mkataba?

  • @usiniguse
    @usiniguse Месяц назад

    ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?

  • @chemstry409
    @chemstry409 Месяц назад

    Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....

  • @FatumakunemkaKunemka
    @FatumakunemkaKunemka Месяц назад

    Twataka tumpe bench kwanza

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Месяц назад

    Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru

  • @RichardSanga-zr2nj
    @RichardSanga-zr2nj Месяц назад

    NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x Месяц назад

    Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 Месяц назад

    Maumivu walio wasajiri simba bado pengo

  • @user-jc4mm7vs9x
    @user-jc4mm7vs9x Месяц назад +7

    NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Месяц назад

    SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc Месяц назад

    Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 Месяц назад

    Mpeni tu

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад

    Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.

  • @MkuwaTheDon
    @MkuwaTheDon Месяц назад

    Mmmh

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Месяц назад

    Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 Месяц назад +1

    Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Месяц назад +4

    KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Месяц назад

    Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Месяц назад

      Ni kuongea ila cyo kusaini mkataba we kichwa maji

  • @user-or9cl2tc1h
    @user-or9cl2tc1h Месяц назад +5

    Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c Месяц назад

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c Месяц назад

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

  • @deboy3323
    @deboy3323 Месяц назад +1

    Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 Месяц назад

    Lawi hanadabu

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 Месяц назад

    Safi jeuri uyo

  • @jumaathumani6886
    @jumaathumani6886 Месяц назад

    Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Месяц назад

    Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Месяц назад

    TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 Месяц назад

      Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto