KIKOSI KILIVYOWASILI MAZOEZINI AVIC TOWN SIKU YA NNE KUJIFUA | PRE SEASON

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024

Комментарии • 115

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Месяц назад +48

    Tuliofurahi kumuona Diarra tujuwaneee 🤩🤩🤩

    • @GeradinaJohn-xh8pw
      @GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад +2

      Mi nimeshangaa kumbe watu wanarudi kimya kimya na hawasemi😂😂😂

    • @majordata
      @majordata Месяц назад

      @@aishabakari8040 mm hapa

    • @user-zt4rd5pr1e
      @user-zt4rd5pr1e Месяц назад +1

      Af mbn Kuna mtyu simuon apa baleke

    • @majordata
      @majordata Месяц назад

      @@user-zt4rd5pr1e cjamuona

    • @Elishaelishadboyelisha
      @Elishaelishadboyelisha Месяц назад

      Baleke anakujaga tuu kusalimia anarudii😂😂​@@user-zt4rd5pr1e

  • @majordata
    @majordata Месяц назад +29

    Nimekua wa pili leo mm mwana yanga mwenzenu

  • @KlikHapaTV
    @KlikHapaTV Месяц назад +10

    Leo Khalid Aucho ndani

  • @KlikHapaTV
    @KlikHapaTV Месяц назад +11

    Chama Rasmi kwenye namba 17

  • @husnasena6055
    @husnasena6055 Месяц назад +5

    Woooo diara coming 🎉🎉

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 Месяц назад +16

    Wachezaji wapo na nidhamu sana wanakimbia wanawahi mazoezini

    • @majordata
      @majordata Месяц назад

      @@meckcassius3983 kabisa mm nimependa hio nidhamu

    • @julianagowele9163
      @julianagowele9163 Месяц назад

      Kwa kweli wanajua wajibu wa kazi yao..nimewapenda

    • @chollejr_
      @chollejr_ Месяц назад

      😂😂😂😂 wachelewaji

  • @user-ok3bc8of5q
    @user-ok3bc8of5q Месяц назад +8

    Diar kipa Bora zaid ulimwenguni

  • @FiniasBugobola
    @FiniasBugobola Месяц назад +8

    Yanga🎉🎉🎉

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y Месяц назад +6

    Mdaka mishale Leo ndani

  • @MariamuSharka
    @MariamuSharka Месяц назад +2

    Nampenda sana ❤❤❤ aucho

  • @atanasfusi
    @atanasfusi Месяц назад +2

    Waoooo yanga❤❤❤❤mungu awabaliki

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Месяц назад +9

    Tuliofurahi kumuona diarra tujuane hapa

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz Месяц назад +10

    Afadhali diara umerud ilikua Sina aman kabisa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад

    Mashallaah nafurahi kuona wanajeshi wetu wakiwa kamili. Mungu awalinde tuko nanyi kwa maombi 🎉🎉🎉

  • @twalibuhassani
    @twalibuhassani Месяц назад +15

    KWA MARA YA KWANZA NIMEKUA WA KWANZA KUVIEW NA KUKOMENT

    • @MUTU_YA_MBEYA
      @MUTU_YA_MBEYA Месяц назад +1

      Hongera umenizidi kidogo 🎉😊

  • @trice_yanga
    @trice_yanga Месяц назад +1

    dube muda wote anafuraha jamani 🥰😂

  • @mealsbymana6561
    @mealsbymana6561 Месяц назад +4

    💚💚💛💛

  • @shaibujuma6618
    @shaibujuma6618 Месяц назад +6

    Hiii kubwa

  • @KlikHapaTV
    @KlikHapaTV Месяц назад +6

    Max na Boka wanaonekana washkaji sana

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Месяц назад +1

    Nimefurai kukuona leo,au mimi ndo nilikua sikuoni pekeangu,ok kikubw upo💪💪💪💪

  • @ZawadOmar-j1h
    @ZawadOmar-j1h Месяц назад +4

    Diara ❤

  • @abuunayfatu8701
    @abuunayfatu8701 Месяц назад +1

    Vijana wananidhamu nzuri sana

  • @EstarJofu
    @EstarJofu Месяц назад

    And me love yanga❤❤❤

  • @fadboe772
    @fadboe772 Месяц назад +1

    🙌I love you young Africans 🔰💚

  • @SalmaChuo
    @SalmaChuo Месяц назад +6

    ❤❤❤❤❤

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Месяц назад +1

    Nani anataka kutuharibia party yetu jamani..aty engineer imekuaje mbn ghafla saana yaa rabbi😢😢 mie kama ataondoka naacha kushabikia mpira forever sure am telling you😢😢😢😢

  • @ObeidPaul
    @ObeidPaul Месяц назад +1

    Yanga yangu💚💚💛💛

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Месяц назад +3

    Kibabe zaidi

  • @yudapeter4710
    @yudapeter4710 Месяц назад +1

    Mungu ibariki yanga🔰🙏

  • @DoiKamata-y6l
    @DoiKamata-y6l Месяц назад +3

    Acha tu nisome comments maana nimechelewa leo sitaki mtu anibuguzi 😅 yanga one love

  • @agustinojohn6573
    @agustinojohn6573 Месяц назад

    The Tank ❤ Khalid Aucho

  • @emmanuelisaya3172
    @emmanuelisaya3172 Месяц назад +2

    Yanga raha

  • @alphajonathanurio1227
    @alphajonathanurio1227 Месяц назад +1

    Mwanachi halisi💚💛💪

  • @LydiaStephano
    @LydiaStephano Месяц назад

    Yaani nampenda kibwana mm jamani 🤗

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i Месяц назад +2

    💚💛

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ Месяц назад +3

    Djgui Diarra kumbe amerudi kimya kimya 😂

  • @charles5633
    @charles5633 Месяц назад +3

    Diaraaa

  • @vintz338
    @vintz338 Месяц назад +2

    Kibwana kila akijitahid kuwahi mazoez unamkuta Yao kwasi kashafika😂😂😂😂

  • @zainahemed6411
    @zainahemed6411 Месяц назад

    Nmemkumbuka moloko alivyokuwa anawakaribisha na style zake daah

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo Месяц назад +1

    umoja ktk tm umeanza mapema iv

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Месяц назад

    Allaah Akbar

  • @user-lm6wc8gw3z
    @user-lm6wc8gw3z Месяц назад

    Pacome weka tu blich kipenzi black halijakupendeza yanga forever

  • @ZuhuraNhumbi
    @ZuhuraNhumbi Месяц назад

    Aucho ❤

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Месяц назад +2

    Pacome hii black haijakupendeza mchumba wangu 😢

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Месяц назад

    Ccm mtusaidie bhs hizi raha za yanga mb ziende taratibu maana tunainjoy hata tukiwa na buku mfukoni😂❤

  • @OmarySalimu-rj2yr
    @OmarySalimu-rj2yr Месяц назад +2

    Leo nimechelew kido😢

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley Месяц назад

    Huyu Abuya mara nyingi anakua mwenyewe😅

  • @robertfrancis5567
    @robertfrancis5567 Месяц назад

    💚💛💚💛💚🌍🌍🌍💯🙏

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r Месяц назад

    Nice

  • @FrumenceBoniphaceMasero
    @FrumenceBoniphaceMasero Месяц назад

    Imetulia hy

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Месяц назад +2

    18 ni ya sureboy

  • @DaudiJoseph-l2q
    @DaudiJoseph-l2q Месяц назад

    Vyuma kwelikweli

  • @DaudiJoseph-l2q
    @DaudiJoseph-l2q Месяц назад

    Yanga sihami

  • @herrysonk.edward609
    @herrysonk.edward609 Месяц назад

    😂😂😂 sasa mwamba wa lusaka umetoka kuoga na ndala zako unaenda mazoezini wee mwamba bhn

  • @WilliamMwambande
    @WilliamMwambande Месяц назад

    nimefurah kuwaona wachezaji wa yanga

  • @user-tp3nm1do6j
    @user-tp3nm1do6j Месяц назад

    Discipline iko yanga ni ya kuigwa kwa kweli

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Месяц назад +1

    Diara nae asha wasili kumbe rahaa

  • @jmasutv2228
    @jmasutv2228 Месяц назад

    Jackson Masumbuko Wambura is watching Yanga Dam

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 Месяц назад

    Kijana wa kuchomekea

  • @chollejr_
    @chollejr_ Месяц назад

    😂😂😂😂wachelewaji utawajua t

  • @isaacndimangwa6791
    @isaacndimangwa6791 Месяц назад +1

    Mashine za KAZI, lazim kieleweke mwaka huu

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman Месяц назад +1

    Sasa mie nimekua wa 54 leo maaana hata sijui kua wa kwanza n nin

  • @realbeda2880
    @realbeda2880 Месяц назад

    Huyu abuya yupo serious kuna wakubwa watapoteana

  • @JamesLudovic
    @JamesLudovic Месяц назад +1

    amna tim hapo wote wazee😂😂

  • @user-wp9or7wh5s
    @user-wp9or7wh5s Месяц назад

    2mefrahy kuona diara na aucho

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley Месяц назад

    Kwan Jersey number 2 anavaa Nan maana Now Bacca anavaa 4😢

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f Месяц назад +1

    Ikatokea cku moja Kama zali nizini tyu na aucho halafu nitatubu maana cyo jinc ninavyomuelewa

    • @ZainabuSengo
      @ZainabuSengo Месяц назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🫣🫣

    • @AmanaAmos-hv3yz
      @AmanaAmos-hv3yz Месяц назад

      Alaf unapost majirani tuamini,anajua itakua raisi kuniunganishia kwa shekan,😁😁😁😁😁😁😁

  • @user-vb1rh4eq7b
    @user-vb1rh4eq7b Месяц назад

    nlimmisi aucho kumuona

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 Месяц назад

    Hivi yule mkongo tuliomsajili anaitwa bokka ni beki au kiungo?

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Месяц назад

    Mi ni simba ila sijui nini- maana najikuta tu natamani kuwangalia wananchi! Kama nafasi ipo naomba mnipokeee🙄🙄

  • @MTIGATV
    @MTIGATV Месяц назад

    Yanga taam

  • @MohamedSadala
    @MohamedSadala Месяц назад

    Pambee😊

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles Месяц назад

    wachezaji wana ugwadu

  • @user-ne9sk5br3l
    @user-ne9sk5br3l Месяц назад +1

    Axante mungu nixiku nyingne tena

  • @ZuhuraNhumbi
    @ZuhuraNhumbi Месяц назад

    Tuliofrah kumuona aucho tujuane

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 Месяц назад

    💥💥💥 2024/2025

  • @user-vb1rh4eq7b
    @user-vb1rh4eq7b Месяц назад

    wore wamelejea

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Месяц назад

    Makipa wa yanga wapo4 kumbe du

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Месяц назад

  • @frankkinabo2406
    @frankkinabo2406 Месяц назад

    Mkude anawahi kuhesabiwa hahahah

  • @user-ev2dp8st1h
    @user-ev2dp8st1h Месяц назад

    Wamekamilika sasa

  • @georgekimario228
    @georgekimario228 Месяц назад

    Had Zoezi tuna tunachomekea

  • @PhikilMussa
    @PhikilMussa Месяц назад +2

    Pacome arudishe bleach

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Месяц назад

    Mnaonyesha sehemu mulizoazimwa kuish kw kupewa hifaz

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 Месяц назад

    Wa 40😂😂😂

  • @IdrissaHabibu
    @IdrissaHabibu Месяц назад

    Mbn km nataman mechi

  • @fredcostantine4831
    @fredcostantine4831 Месяц назад

    Kama umemuona msuva,gonga like hapo chini

  • @anordelias
    @anordelias Месяц назад

    Nimekuwa WA mwisho kukoment