Ana vitu gani vya maana?wewe unamfahamu?huyu ni tapeli na malaya wa Siasa,mbona hacienda mahakamani kipindi hicho na hata sasa mbona haendi mahakamani?Hawani wapumbavu waliokula hela za CCM ili kuivuruga Chadema na hawafanikiwi,Chadema iko makini na Mheshimiwa Mbowe yuko Imara na ndio maana wanatamani aachie Uenyekiti kwa mamluki wa CCM,Chadema tunasema ;Mbowe akichoka tunaweka chuma kipya kisichopenda maridhiano ya kijinga
Zitto ni kweli walimuwekea sumu na ACT wazalendo tawi la tunduma mtu wa kwanza kulifunguwa ni mm mwenyeketi alikuwa mwisho mbeya na tulipomtumia nauli alete kadi siku ya kwanza watu 76 alikuja na kadi kidogo nilimwambia aje na kadi 200 alikuwa hana
Wako kwenye ndoto asieweza kutambuwa chadema ni wahuni basi huyo chizi wanawake wachedema wangapi wamesema wazi rushwa ya ngono ni most cdm na ruzuku aseme nani anathubutu kuingilia budget ya ruzuku mbele ya mbowe ntatembea uchi wa mnyama wote ni sawa mkuu vichwa chini njaa zingine mbaya wanauwa watoto wa watu wakati hawana wanachonufaika mamilioni yanagawiwa kwa watu wanne wengine bilabila wawalipe vizuri watumishi wao ofisi wote njaa kali mabosi wakifika wanatembea kwa kutanuwa mikono 23 wajaribu ndio watajuwa watz waliowengi ni watu wenye kuithamini amani ya nchi yao
Hivi serikali hamuon huyu naye akamatwe maana naye anatoa mambo yasiyejilikana je naye anafanywa nini au ni uchawa tu mama samia mpen kaela ale maana ana njaa.
Kwanini wanaweka ukabila jamani Mwalimu Nyerere hakuyataka hayo na Hayati Karume
Kwa dola hawapati Mtaani hawapati kitu Chadema Saccoss
Huyu jamaa ana vitu vingi sana, utashangaa mbowe kwann katulia sana kumb kuna mamb nyuma ya pazia
Ana vitu gani vya maana?wewe unamfahamu?huyu ni tapeli na malaya wa Siasa,mbona hacienda mahakamani kipindi hicho na hata sasa mbona haendi mahakamani?Hawani wapumbavu waliokula hela za CCM ili kuivuruga Chadema na hawafanikiwi,Chadema iko makini na Mheshimiwa Mbowe yuko Imara na ndio maana wanatamani aachie Uenyekiti kwa mamluki wa CCM,Chadema tunasema ;Mbowe akichoka tunaweka chuma kipya kisichopenda maridhiano ya kijinga
Sema brother
Wahuni wameshindwa Mungu anawaumbua
Zitto ni kweli walimuwekea sumu na ACT wazalendo tawi la tunduma mtu wa kwanza kulifunguwa ni mm mwenyeketi alikuwa mwisho mbeya na tulipomtumia nauli alete kadi siku ya kwanza watu 76 alikuja na kadi kidogo nilimwambia aje na kadi 200 alikuwa hana
Wako kwenye ndoto asieweza kutambuwa chadema ni wahuni basi huyo chizi wanawake wachedema wangapi wamesema wazi rushwa ya ngono ni most cdm na ruzuku aseme nani anathubutu kuingilia budget ya ruzuku mbele ya mbowe ntatembea uchi wa mnyama wote ni sawa mkuu vichwa chini njaa zingine mbaya wanauwa watoto wa watu wakati hawana wanachonufaika mamilioni yanagawiwa kwa watu wanne wengine bilabila wawalipe vizuri watumishi wao ofisi wote njaa kali mabosi wakifika wanatembea kwa kutanuwa mikono 23 wajaribu ndio watajuwa watz waliowengi ni watu wenye kuithamini amani ya nchi yao
Wacheni aseme kweli maneno yake nikweli wala siyo chawa anasema kweli
Safi sana well said
Chawa kazini,kwaiyo ulikuwepo kwenye kikao,
Huyu jamaa namuelewa sana
Jamaa anaongea mambo ya msingi
Mama uyu jamaa naomba umpe Kaela ya Kula, njaa kali
Sio njaa ana machungu ya kuteswa. Mtu kajitolea kusema ukweli.
Uchawa ni shida sana njaa mbaya
Sanaaaa usemayo
Nondo alivyotekwa alitekwa na chadema? Atueleze pia, polisi jamani shahidi huyo hapo msiangaike
Kabisa
Hivi serikali hamuon huyu naye akamatwe maana naye anatoa mambo yasiyejilikana je naye anafanywa nini au ni uchawa tu mama samia mpen kaela ale maana ana njaa.
Kwann Haukutoa Taarifa Police Acha Uchawa wewe Kwani Waziri ni Mungu. Njaa Hizo shauri yako
Maoni yake ukitaka msikilize hautaki kaa mbali
🎉nchi ya hovyo wote ni wapuuz achen vyama rais ni wet wote tunataka Aman kjenga madaraja sio matatizo masaun ni kiongoz mkubwa Ila tunataka aman
Waziri ni nani asizomewe kama analea watekaji
Nondo kweli hamna kitu kabisa
Huyu jamaa ni njaa tu je. Anaushahid au kasikia tu, mbona hasemi nani alimuwekea sumu magufuli? Usilopoke jamaa
Kijana una njaaa sana
Nyie ndo mmemdanganya mama yenu
Huyu kama musiba tuuuu
Waziri ni Mungu au mjinga sana wewe huna akili
👍🤲
We Yona unaongea kama na nani saizi? Mda uhu
Ukiitwa mahakamani kuthibitisha utaweza au unaropoka tu? Mbona haukupeleka report police siku zote hizo!? Acha uchawa MBWA wewe 🚮
Acha bangi sisi hatukujui wewe Act wa wapi Hatukujui Pimbi wewe atazomewa na atazomewa zaidi kenge wewe
Njaa kubwa kama matiti yake
Ache uchawa? Yamekugusa
Wewe Mwenyewe Mjinga kwani Masauni yeye nanii,? Mpaka asizomewe Acha Bangi
Wewe ndiyo uache bangi