Yona wa Chalinze azidi kuwasha moto Zito aliwekewa Sumu, Mimi nilichomwa Visu na CHADEMA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Dar 360 Media

Комментарии • 39

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 часов назад +2

    Kwanini wanaweka ukabila jamani Mwalimu Nyerere hakuyataka hayo na Hayati Karume

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 часов назад +2

    Kwa dola hawapati Mtaani hawapati kitu Chadema Saccoss

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 11 часов назад +2

    Huyu jamaa ana vitu vingi sana, utashangaa mbowe kwann katulia sana kumb kuna mamb nyuma ya pazia

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 10 часов назад

      Ana vitu gani vya maana?wewe unamfahamu?huyu ni tapeli na malaya wa Siasa,mbona hacienda mahakamani kipindi hicho na hata sasa mbona haendi mahakamani?Hawani wapumbavu waliokula hela za CCM ili kuivuruga Chadema na hawafanikiwi,Chadema iko makini na Mheshimiwa Mbowe yuko Imara na ndio maana wanatamani aachie Uenyekiti kwa mamluki wa CCM,Chadema tunasema ;Mbowe akichoka tunaweka chuma kipya kisichopenda maridhiano ya kijinga

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 7 часов назад +1

    Sema brother

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 часов назад +1

    Wahuni wameshindwa Mungu anawaumbua

  • @saidbawazir2879
    @saidbawazir2879 10 часов назад +1

    Zitto ni kweli walimuwekea sumu na ACT wazalendo tawi la tunduma mtu wa kwanza kulifunguwa ni mm mwenyeketi alikuwa mwisho mbeya na tulipomtumia nauli alete kadi siku ya kwanza watu 76 alikuja na kadi kidogo nilimwambia aje na kadi 200 alikuwa hana

  • @saidbawazir2879
    @saidbawazir2879 10 часов назад +1

    Wako kwenye ndoto asieweza kutambuwa chadema ni wahuni basi huyo chizi wanawake wachedema wangapi wamesema wazi rushwa ya ngono ni most cdm na ruzuku aseme nani anathubutu kuingilia budget ya ruzuku mbele ya mbowe ntatembea uchi wa mnyama wote ni sawa mkuu vichwa chini njaa zingine mbaya wanauwa watoto wa watu wakati hawana wanachonufaika mamilioni yanagawiwa kwa watu wanne wengine bilabila wawalipe vizuri watumishi wao ofisi wote njaa kali mabosi wakifika wanatembea kwa kutanuwa mikono 23 wajaribu ndio watajuwa watz waliowengi ni watu wenye kuithamini amani ya nchi yao

  • @AswilaSeif
    @AswilaSeif 6 часов назад +1

    Wacheni aseme kweli maneno yake nikweli wala siyo chawa anasema kweli

  • @AmaniKwanza
    @AmaniKwanza Час назад

    Safi sana well said

  • @RubenyMfumbilwa
    @RubenyMfumbilwa 7 часов назад

    Chawa kazini,kwaiyo ulikuwepo kwenye kikao,

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 11 часов назад +1

    Huyu jamaa namuelewa sana

  • @ElishaLaizer-z4x
    @ElishaLaizer-z4x 7 часов назад +1

    Mama uyu jamaa naomba umpe Kaela ya Kula, njaa kali

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 5 часов назад +1

      Sio njaa ana machungu ya kuteswa. Mtu kajitolea kusema ukweli.

  • @AmaniSulle-v8w
    @AmaniSulle-v8w 10 часов назад

    Uchawa ni shida sana njaa mbaya

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 7 часов назад

    Sanaaaa usemayo

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 5 часов назад +1

    Nondo alivyotekwa alitekwa na chadema? Atueleze pia, polisi jamani shahidi huyo hapo msiangaike

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 6 часов назад

    Hivi serikali hamuon huyu naye akamatwe maana naye anatoa mambo yasiyejilikana je naye anafanywa nini au ni uchawa tu mama samia mpen kaela ale maana ana njaa.

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 9 часов назад

    Kwann Haukutoa Taarifa Police Acha Uchawa wewe Kwani Waziri ni Mungu. Njaa Hizo shauri yako

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 4 часа назад +1

      Maoni yake ukitaka msikilize hautaki kaa mbali

  • @FintanMkesha
    @FintanMkesha 4 часа назад

    🎉nchi ya hovyo wote ni wapuuz achen vyama rais ni wet wote tunataka Aman kjenga madaraja sio matatizo masaun ni kiongoz mkubwa Ila tunataka aman

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 2 часа назад

    Waziri ni nani asizomewe kama analea watekaji

  • @saidaliomar
    @saidaliomar 6 часов назад

    Nondo kweli hamna kitu kabisa

  • @RobertMshiko
    @RobertMshiko 5 часов назад

    Huyu jamaa ni njaa tu je. Anaushahid au kasikia tu, mbona hasemi nani alimuwekea sumu magufuli? Usilopoke jamaa

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 7 часов назад

    Kijana una njaaa sana

  • @andrewcharugamba7498
    @andrewcharugamba7498 3 часа назад

    Nyie ndo mmemdanganya mama yenu

  • @GodfreyLudovick
    @GodfreyLudovick 2 часа назад

    Huyu kama musiba tuuuu

  • @BenardBwakitare
    @BenardBwakitare 8 часов назад

    Waziri ni Mungu au mjinga sana wewe huna akili

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 7 часов назад

    👍🤲

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 7 часов назад

    We Yona unaongea kama na nani saizi? Mda uhu

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 8 часов назад

    Ukiitwa mahakamani kuthibitisha utaweza au unaropoka tu? Mbona haukupeleka report police siku zote hizo!? Acha uchawa MBWA wewe 🚮

  • @Barakaveresi
    @Barakaveresi 6 часов назад

    Acha bangi sisi hatukujui wewe Act wa wapi Hatukujui Pimbi wewe atazomewa na atazomewa zaidi kenge wewe

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 5 часов назад

    Njaa kubwa kama matiti yake

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 6 часов назад

    Ache uchawa? Yamekugusa

  • @Barakaveresi
    @Barakaveresi 6 часов назад

    Wewe Mwenyewe Mjinga kwani Masauni yeye nanii,? Mpaka asizomewe Acha Bangi