🇹🇿Yeah!Ila mama yetu Samia hapo Tanzania Ile reli yako ♥️Samia♥️ standard ♥️gauge ❤️Mtwara ♥️songea madaba mbinga na msumbiji ianze .Ni muhimu sana kwa uchumi wa Tanzania na ukanda wa kusini.Big up kiongozi wa Tanzania.🇹🇿
Hongera sana mama yetu mpenzi kwa kazi nzuri hii,hata baba yetu magufuri huko aliko atajivunia kwa kiasi kikubwa sana kukuachia kijiti. Kikubwa tunaomba sana masigara na mapombe yasiruhusiwe watu wakaanza kutapikiana na treni yetu ikanajisika jamani.
Congratulations God bless you Mama Samia Suluhu Hassan The Best President in East Africa. You are Grateful to your People Mama. God bless you Always. We are proud of You.
Hongera sana mama Samia. Sisi abiria tunaoshukia Soga Bado miundo mbinu ya kutoka Stesheni kwenda Kongowe siyo rafiki. Barabara ya Km 12 ya vumbi na ina mashimo. Bado ni tishio hasa wakati wa usiku.
Mh. Rais DR. Samia Hongera sana kwa kuendeleza miradi hii ni jambo zuri sana, sisi watanzania sote tunakupongeza sana, vitu vinaonekana ,, pokea maua yako🎉 , Naomba pia tuboreshe Cargo za serikali ili watu waagize mizigo yao na iwafikie kwa haraka yaani mizigo mikubwa kwa midogo itaongeza pato mara nyingi sana, siku mradi ukifika Mwanza niko tayari kutumia Tehama kuboresha usafirishaji wa Mizigo
MAMA ALISEMA KAZI IYENDELEE NA KWELI KAZI IMEENDELEA NA IMEKAMILIKA HONGERA SANA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HONGERENI WAMAKUNDUCHI WA KIZIMKAZI KWA KUTULETEA MAMA WA SHOKA KULIONGOZA TAIFA LETU NA HONGERENI WAZANZIBARI KWA KUTULETEA MZANZIBARI ANAYE IYONGOZA TANZANIA KWA MOYO WAKE WOTE BILA YA UBAGUZI WOWOTE HONGERA RAISI WETU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
kwanini always huwa mnatoa instruction mkiwa kwenye event hakuna rehearsal Tanzania security Authority mnatuangusha sana. Always kwenye event utaona kuna mtu anatoa maelezo siku ya tukio. Kwanini kusifanyike rehearsal day before the Event kila mtu akajua anachotakiwa kufanya ?
Kwani mama Samia si ndio alikuwa makamu wa Rais,utasemaje hakuhusika?,Seikali si ni moja?mnapenda mno ujuaji utadhani hawa ni viongozi wa serikali tofauti wakati huyu alikuwa Makamu wa Rais.kwa maana kila kitu alihusika
@@salmanmagwe2612 labda tu hujanielewa uyu mama nampenda sana tu mi nimesema ivo kwa kuwa alie mtangulia kaja na ndege n.k kwaiyo mama kuja na nia ya kuanzisha kitu c dhani kama ni kosa
🇹🇿Yeah!Ila mama yetu Samia hapo Tanzania Ile reli yako ♥️Samia♥️ standard ♥️gauge ❤️Mtwara ♥️songea madaba mbinga na msumbiji ianze .Ni muhimu sana kwa uchumi wa Tanzania na ukanda wa kusini.Big up kiongozi wa Tanzania.🇹🇿
Hongera sana mama yetu mpenzi kwa kazi nzuri hii,hata baba yetu magufuri huko aliko atajivunia kwa kiasi kikubwa sana kukuachia kijiti. Kikubwa tunaomba sana masigara na mapombe yasiruhusiwe watu wakaanza kutapikiana na treni yetu ikanajisika jamani.
Hongera sana mama, Africa ipo disconnected, ni kweli kabisa moja ya sababu ya maendeleo kuchelewa Africa ni kuwa ni miundombinu mibovu.
Hakika kazi imeendelea Hongera sana Mh Rais wetu kwa usimamizi na utekelezaji hii miradi.kwa hili tunakukubali.
Tanzania Katika maendeleo imara na thabiti mungu ibariki TANZANIA
Congratulations God bless you Mama Samia Suluhu Hassan The Best President in East Africa. You are Grateful to your People Mama. God bless you Always. We are proud of You.
Big up Mama Samia raisi we tu.
KAZI IENDELEE
Hongera sana Mama yetu Samia. Huwa nafurahi sana utulivu na busara zako
Asante Mama Samia kwaku kamilisha ndoto ya Mwendazake Jemedari Magufuli, huu ndio umoja tunaohitaji kama watanzania.🎉🎉
Tatizo lipo moja, pombe isiruhusiwe ndani ya treni au kuwe na behewa lake. Halafu ngoma ziwe na behewa lake, isiwepo kwenye behewa la Abiria.
Unawaza ujinga tu
Ni kweli walevi watatuharibia mazingira na kutuletea uchafu,ugomvi na ujuaji wa kijinga,na hata kujitapikia hovyo vitini
Hongera sana mama kazi iendeleee
Hongera sana Mama
Namuomba mola wetu amlinde mama yetu mheshimiwa rais ampe afya na hekima pamoja na busara ili tuzidi kupata mafanikio zaidi
Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote
Safari nzuri sana ❤ kaz kaz na Mama Samia❤.
Amejibu vizuri kwenye kubreak even
Our smart president❤🇹🇿🫶💪
Big up mama saa,inapendeza sana inshaalah nasubiri safar ya drc,,,sista dred usinisahau zabibu
Congratulations 👏 TANZANIA
Kwa kweli hili limenifurahisha sana.
Hongera raisi
Hongera mh samia
Hongera sana mama Samia. Sisi abiria tunaoshukia Soga Bado miundo mbinu ya kutoka Stesheni kwenda Kongowe siyo rafiki. Barabara ya Km 12 ya vumbi na ina mashimo. Bado ni tishio hasa wakati wa usiku.
Mh. Rais DR. Samia Hongera sana kwa kuendeleza miradi hii ni jambo zuri sana, sisi watanzania sote tunakupongeza sana, vitu vinaonekana ,, pokea maua yako🎉 , Naomba pia tuboreshe Cargo za serikali ili watu waagize mizigo yao na iwafikie kwa haraka yaani mizigo mikubwa kwa midogo itaongeza pato mara nyingi sana, siku mradi ukifika Mwanza niko tayari kutumia Tehama kuboresha usafirishaji wa Mizigo
Kazi Iendelee mitano tena Kwako Mama
Sasa hakuna kutumia gari Dodoma Dar, Morogoro Dar kwa watumishi wa Uma hata akiwa Waziri, kupunguza gharama
C //⁷8⅞?
Tanzania oyeeeee,
That's is very good
MAMA ALISEMA KAZI IYENDELEE NA KWELI KAZI IMEENDELEA NA IMEKAMILIKA
HONGERA SANA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HONGERENI WAMAKUNDUCHI WA KIZIMKAZI KWA KUTULETEA MAMA WA SHOKA KULIONGOZA TAIFA LETU NA HONGERENI WAZANZIBARI KWA KUTULETEA MZANZIBARI ANAYE IYONGOZA TANZANIA KWA MOYO WAKE WOTE BILA YA UBAGUZI WOWOTE
HONGERA RAISI WETU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Daaah ila ABOOD huko uliko pole we chukua magari peleka kwingine kwa maelezo ya rais wetu
Hongera mama kwa usikivu ungeweza kukataa miradi hii ila wewe ukasema No kazi iendelee hongera kwa usikivu na subra
Safii
Nampenda san my momo jamani nikimuona uwa nalia sana bcz of happy
Mbona mmmeacha kutuletea maendeleo ya mradi wa SGR katika maeneo mengine ambapo reli inaendlea na ujenzi kama kuelekea Mwanza na Kigoma
"Pazuri mara mia😅😍"
Mombasa-Nairobi-Naivasha SGR ni kilomita 567.
Hongera Tanzania mamba mazuri nakini ukarabati nimuhimu sana
safii
Tunaomba barabara zinazoelekea pugu station ziboreshwe ili tufike kirahisi station.
Good point
Inakuwaje hao watu wasiojielewa wamekaa tuu wanakanyaga zuria jekundu?
kwanini always huwa mnatoa instruction mkiwa kwenye event hakuna rehearsal Tanzania security Authority mnatuangusha sana. Always kwenye event utaona kuna mtu anatoa maelezo siku ya tukio. Kwanini kusifanyike rehearsal day before the Event kila mtu akajua anachotakiwa kufanya ?
Dah! Mbona mnamzingua bosi wangu erdem,hamjui yeye ndo yapi merkez mwenyewe au.kawajengea reli afu mnajifanya hamumjui.dhijapenda..
SGR Dar to Arusha!
Ushauri mama aanzishe kitu kipya cha kujenga nchi baada ya haya anayo kamilisha yeye kutoka kwa mtangulizi wake
Kwani mama Samia si ndio alikuwa makamu wa Rais,utasemaje hakuhusika?,Seikali si ni moja?mnapenda mno ujuaji utadhani hawa ni viongozi wa serikali tofauti wakati huyu alikuwa Makamu wa Rais.kwa maana kila kitu alihusika
@@salmanmagwe2612 labda tu hujanielewa uyu mama nampenda sana tu mi nimesema ivo kwa kuwa alie mtangulia kaja na ndege n.k kwaiyo mama kuja na nia ya kuanzisha kitu c dhani kama ni kosa
Hiyo Kwa mama Samia ni jambo dogo sana, kuwa mpole utaona mengi mapya na yanayofurahisha.
Kuweni makini sana na watu wa mabasi hawatakubali wanaweza kuhujumu huu mradi lazima muweke sheria ngumu la sivyo watauhujumu
Crown siiiyoni hapo
Vp ule mpango wa uwanja wa mpira dodoma wakujengwa na mfalme
Kumbe unaturuhusu tachape lapa...kuona familia
IPP media?
Mbona Rais Mzima mumemweka kwenye daraja la Uchumi na sio daraja la Biashara? 😮
Angewekwa daraja la biashara, Kuna ambao wangeuliza pia mbona kawekwa huko
@@salumalriyamyMakosa ilo. Kumweka Rais kwenye daraja la uchumi. Sijapenda
@@gideonmwanjila8616 kwa hiyo kama hujapenda wewe ndio tafsiri yake Nini?
Halk- people