RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA RASMI MRADI WA MKAKATI WA TRENI YA UMEME SGR DAR ES SALAAM-DODOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 61

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 2 месяца назад +8

    🇹🇿Yeah!Ila mama yetu Samia hapo Tanzania Ile reli yako ♥️Samia♥️ standard ♥️gauge ❤️Mtwara ♥️songea madaba mbinga na msumbiji ianze .Ni muhimu sana kwa uchumi wa Tanzania na ukanda wa kusini.Big up kiongozi wa Tanzania.🇹🇿

  • @esthermsimbwa1812
    @esthermsimbwa1812 2 месяца назад +1

    Hongera sana mama yetu mpenzi kwa kazi nzuri hii,hata baba yetu magufuri huko aliko atajivunia kwa kiasi kikubwa sana kukuachia kijiti. Kikubwa tunaomba sana masigara na mapombe yasiruhusiwe watu wakaanza kutapikiana na treni yetu ikanajisika jamani.

  • @tugemwakilewa1298
    @tugemwakilewa1298 2 месяца назад +6

    Hongera sana mama, Africa ipo disconnected, ni kweli kabisa moja ya sababu ya maendeleo kuchelewa Africa ni kuwa ni miundombinu mibovu.

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689 2 месяца назад +2

    Hakika kazi imeendelea Hongera sana Mh Rais wetu kwa usimamizi na utekelezaji hii miradi.kwa hili tunakukubali.

  • @nikodemkajange3257
    @nikodemkajange3257 2 месяца назад +7

    Tanzania Katika maendeleo imara na thabiti mungu ibariki TANZANIA

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 2 месяца назад +4

    Congratulations God bless you Mama Samia Suluhu Hassan The Best President in East Africa. You are Grateful to your People Mama. God bless you Always. We are proud of You.

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 2 месяца назад +3

    Hongera sana Mama yetu Samia. Huwa nafurahi sana utulivu na busara zako

  • @shillabantu3905
    @shillabantu3905 2 месяца назад +2

    Asante Mama Samia kwaku kamilisha ndoto ya Mwendazake Jemedari Magufuli, huu ndio umoja tunaohitaji kama watanzania.🎉🎉

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 месяца назад +6

    Tatizo lipo moja, pombe isiruhusiwe ndani ya treni au kuwe na behewa lake. Halafu ngoma ziwe na behewa lake, isiwepo kwenye behewa la Abiria.

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 месяца назад

      Unawaza ujinga tu

    • @salmanmagwe2612
      @salmanmagwe2612 2 месяца назад

      Ni kweli walevi watatuharibia mazingira na kutuletea uchafu,ugomvi na ujuaji wa kijinga,na hata kujitapikia hovyo vitini

  • @massawejohn
    @massawejohn 2 месяца назад +1

    Hongera sana mama kazi iendeleee

  • @thomasryoba3887
    @thomasryoba3887 2 месяца назад +3

    Hongera sana Mama

  • @JamalMohammed-d2d
    @JamalMohammed-d2d 2 месяца назад +3

    Namuomba mola wetu amlinde mama yetu mheshimiwa rais ampe afya na hekima pamoja na busara ili tuzidi kupata mafanikio zaidi

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 2 месяца назад +1

    Mungu ibariki Tanzania na wananchi wote

  • @ndelishomoshi8489
    @ndelishomoshi8489 2 месяца назад +4

    Safari nzuri sana ❤ kaz kaz na Mama Samia❤.

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo7588 2 месяца назад +1

    Amejibu vizuri kwenye kubreak even
    Our smart president❤🇹🇿🫶💪

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 2 месяца назад +2

    Big up mama saa,inapendeza sana inshaalah nasubiri safar ya drc,,,sista dred usinisahau zabibu

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana2111 2 месяца назад +2

    Congratulations 👏 TANZANIA

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 2 месяца назад +1

    Kwa kweli hili limenifurahisha sana.

  • @WiliamBahati-f3b
    @WiliamBahati-f3b 2 месяца назад +1

    Hongera raisi

  • @IsackMwatusi
    @IsackMwatusi 2 месяца назад +2

    Hongera mh samia

  • @Florian2010ist
    @Florian2010ist 2 месяца назад +1

    Hongera sana mama Samia. Sisi abiria tunaoshukia Soga Bado miundo mbinu ya kutoka Stesheni kwenda Kongowe siyo rafiki. Barabara ya Km 12 ya vumbi na ina mashimo. Bado ni tishio hasa wakati wa usiku.

  • @michaelsamwel4169
    @michaelsamwel4169 2 месяца назад

    Mh. Rais DR. Samia Hongera sana kwa kuendeleza miradi hii ni jambo zuri sana, sisi watanzania sote tunakupongeza sana, vitu vinaonekana ,, pokea maua yako🎉 , Naomba pia tuboreshe Cargo za serikali ili watu waagize mizigo yao na iwafikie kwa haraka yaani mizigo mikubwa kwa midogo itaongeza pato mara nyingi sana, siku mradi ukifika Mwanza niko tayari kutumia Tehama kuboresha usafirishaji wa Mizigo

  • @AdamNyello
    @AdamNyello 2 месяца назад +5

    Kazi Iendelee mitano tena Kwako Mama

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 месяца назад +3

    Sasa hakuna kutumia gari Dodoma Dar, Morogoro Dar kwa watumishi wa Uma hata akiwa Waziri, kupunguza gharama

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana2111 2 месяца назад +4

    Tanzania oyeeeee,

  • @JosephMrema-h6m
    @JosephMrema-h6m 2 месяца назад +1

    That's is very good

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 2 месяца назад +2

    MAMA ALISEMA KAZI IYENDELEE NA KWELI KAZI IMEENDELEA NA IMEKAMILIKA
    HONGERA SANA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HONGERENI WAMAKUNDUCHI WA KIZIMKAZI KWA KUTULETEA MAMA WA SHOKA KULIONGOZA TAIFA LETU NA HONGERENI WAZANZIBARI KWA KUTULETEA MZANZIBARI ANAYE IYONGOZA TANZANIA KWA MOYO WAKE WOTE BILA YA UBAGUZI WOWOTE
    HONGERA RAISI WETU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 месяца назад +2

    Daaah ila ABOOD huko uliko pole we chukua magari peleka kwingine kwa maelezo ya rais wetu

  • @mussaremigius2818
    @mussaremigius2818 2 месяца назад

    Hongera mama kwa usikivu ungeweza kukataa miradi hii ila wewe ukasema No kazi iendelee hongera kwa usikivu na subra

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 2 месяца назад +2

    Safii

  • @ismailmwamnyeto9007
    @ismailmwamnyeto9007 2 месяца назад +1

    Nampenda san my momo jamani nikimuona uwa nalia sana bcz of happy

  • @fakhimjames2984
    @fakhimjames2984 2 месяца назад +1

    Mbona mmmeacha kutuletea maendeleo ya mradi wa SGR katika maeneo mengine ambapo reli inaendlea na ujenzi kama kuelekea Mwanza na Kigoma

  • @shaibchigwere4645
    @shaibchigwere4645 2 месяца назад +1

    "Pazuri mara mia😅😍"

  • @kibetkirui1054
    @kibetkirui1054 2 месяца назад

    Mombasa-Nairobi-Naivasha SGR ni kilomita 567.

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya 2 месяца назад

    Hongera Tanzania mamba mazuri nakini ukarabati nimuhimu sana

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 2 месяца назад +1

    safii

  • @DENISTMwangomo
    @DENISTMwangomo 2 месяца назад +1

    Tunaomba barabara zinazoelekea pugu station ziboreshwe ili tufike kirahisi station.

    • @mduda_i
      @mduda_i 2 месяца назад +1

      Good point

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 2 месяца назад +1

    Inakuwaje hao watu wasiojielewa wamekaa tuu wanakanyaga zuria jekundu?

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro695 2 месяца назад

    kwanini always huwa mnatoa instruction mkiwa kwenye event hakuna rehearsal Tanzania security Authority mnatuangusha sana. Always kwenye event utaona kuna mtu anatoa maelezo siku ya tukio. Kwanini kusifanyike rehearsal day before the Event kila mtu akajua anachotakiwa kufanya ?

  • @HaruniKedeko
    @HaruniKedeko 2 месяца назад

    Dah! Mbona mnamzingua bosi wangu erdem,hamjui yeye ndo yapi merkez mwenyewe au.kawajengea reli afu mnajifanya hamumjui.dhijapenda..

  • @brysonmalongoza5422
    @brysonmalongoza5422 2 месяца назад

    SGR Dar to Arusha!

  • @AminiMuhammed-pi6dx
    @AminiMuhammed-pi6dx 2 месяца назад +2

    Ushauri mama aanzishe kitu kipya cha kujenga nchi baada ya haya anayo kamilisha yeye kutoka kwa mtangulizi wake

    • @salmanmagwe2612
      @salmanmagwe2612 2 месяца назад +2

      Kwani mama Samia si ndio alikuwa makamu wa Rais,utasemaje hakuhusika?,Seikali si ni moja?mnapenda mno ujuaji utadhani hawa ni viongozi wa serikali tofauti wakati huyu alikuwa Makamu wa Rais.kwa maana kila kitu alihusika

    • @AminiMuhammed-pi6dx
      @AminiMuhammed-pi6dx 2 месяца назад

      @@salmanmagwe2612 labda tu hujanielewa uyu mama nampenda sana tu mi nimesema ivo kwa kuwa alie mtangulia kaja na ndege n.k kwaiyo mama kuja na nia ya kuanzisha kitu c dhani kama ni kosa

    • @esthermsimbwa1812
      @esthermsimbwa1812 2 месяца назад

      Hiyo Kwa mama Samia ni jambo dogo sana, kuwa mpole utaona mengi mapya na yanayofurahisha.

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 2 месяца назад

    Kuweni makini sana na watu wa mabasi hawatakubali wanaweza kuhujumu huu mradi lazima muweke sheria ngumu la sivyo watauhujumu

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 2 месяца назад

    Crown siiiyoni hapo

  • @AminiMuhammed-pi6dx
    @AminiMuhammed-pi6dx 2 месяца назад

    Vp ule mpango wa uwanja wa mpira dodoma wakujengwa na mfalme

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 2 месяца назад

    Kumbe unaturuhusu tachape lapa...kuona familia

  • @henrybonaventure7216
    @henrybonaventure7216 2 месяца назад

    IPP media?

  • @gideonmwanjila8616
    @gideonmwanjila8616 2 месяца назад

    Mbona Rais Mzima mumemweka kwenye daraja la Uchumi na sio daraja la Biashara? 😮

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 2 месяца назад +1

      Angewekwa daraja la biashara, Kuna ambao wangeuliza pia mbona kawekwa huko

    • @gideonmwanjila8616
      @gideonmwanjila8616 2 месяца назад

      ​​@@salumalriyamyMakosa ilo. Kumweka Rais kwenye daraja la uchumi. Sijapenda

    • @salumalriyamy
      @salumalriyamy 2 месяца назад

      @@gideonmwanjila8616 kwa hiyo kama hujapenda wewe ndio tafsiri yake Nini?

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 2 месяца назад

    Halk- people