MWALIMU ALIYEMFUNDISHA RAIS SAMIA AMKIMBILIA NA KUMKUMBATIA MBELE YA MKUTANO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 137

  • @awadhkannah6587
    @awadhkannah6587 2 месяца назад +72

    Furaha ya mwalimu kukutana na mwanafunzi wake akiwa na mafanyikio, hakuna mwalimu anayependa kukutana na mwanafunzi akiwa katika hali mbaya, hongereni walimu kwa kutengeneza Rais bora

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 2 месяца назад +8

      Muwatetee walimu cyo mnatoa pongez tu Hali ya kuwa walimu waliowafundisha hawa viongoz ni maskini hata mishahara hawaongezewi wanaenda kupewa magari wanajeshi ambao wamefundishwa na hawa walimu af walimu wanapewa mikokoteni

    • @ramadhanituppa2706
      @ramadhanituppa2706 2 месяца назад

    • @calvintheone299
      @calvintheone299 2 месяца назад

      👏👏👏👏​@@hassanrashid-l3u

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 2 месяца назад

      🤪🤪​@@hassanrashid-l3u

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 2 месяца назад +1

      Huyu mlea wezi na mafisadi raisi alikuwa magufuri

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 месяца назад +12

    Safi saaana Mwenyezi Mungu azid kukupa unyenyekevu na upendo Rais wetu

  • @AnnoyedBoatLake-ke1iu
    @AnnoyedBoatLake-ke1iu 2 месяца назад +8

    Nakupenda sana mama Samia,pambana mungu yupo nyuma yako.i love u mama Samia.

  • @aminamalilo6605
    @aminamalilo6605 2 месяца назад +5

    Walimu tunawapenda sn jamani nawamis sn Walimu wangu Mungu awajalie maisha marefu yenye kheri nao walimu wote

  • @StephanieGerald-qj8vt
    @StephanieGerald-qj8vt 2 месяца назад +23

    Ila shagaz sabina bana😂😂😂😂😂 sio kwa mbio hizo najua umefurahi sana leo 😅😅😅

    • @JenipherMatiku
      @JenipherMatiku 2 месяца назад

      Kwann sabina lkini😂😂😂😂

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 2 месяца назад +2

    Allah ampe umri mrefu huyu mama much love from kenya

  • @jabirikilagilile9799
    @jabirikilagilile9799 2 месяца назад +5

    Rais ninaempenda ever,chapa kazi Rais wangu Mungu atakusimamia tu huwa nakuombea dua kila ninapotaka kulala

    • @RamlahNassoro
      @RamlahNassoro 2 месяца назад +1

      Swadaktaa kabisa mama yetu anajitaahid sana tena sana hakuna binadamu aso na mapungufu

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 2 месяца назад +2

    Mm namkubali sana raisi samina.Ana hekima sana.

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 2 месяца назад +13

    Allah akusimamie mama angu nakila baya tupo pamoja mama nikiwa omani napambana kutaft rizk kwa ajil ya familia allah atusimamie daima

  • @issaSalumu-c5w
    @issaSalumu-c5w 2 месяца назад +3

    Masha Allah Allah Azid kukupa Afy njema raisi wangu

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 2 месяца назад +1

    Nilipita sehem nikakutana na mwanafunz wangu mmh nilistaajabu wanafunz mwanafunz Kawa baba mwalim sasa kimo sina nipo kadogo woi , ila Raha kuona kaz yako imeleta matunda❤ nimependa mweshimiwa Rais na mwalim wake

  • @SuleimanSele-h1l
    @SuleimanSele-h1l 2 месяца назад

    Tafadhalimamaetu samiasuluhu hassan munguakupe umri wananchiwako wawiilaya yalushoto vijijiniwanakulilia sana, jitaidi ututembelee,

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 2 месяца назад +6

    Kweli kabisa hasa waalimu wa kina mama ila kina baba wanachoka umemwona huyo baba

  • @MohamedMangongo-n9t
    @MohamedMangongo-n9t 2 месяца назад +6

    Awezi kwenda kumkumbatia bila watu wa usalama kujilizisha asingemgusa na inawezekana hata hizo nguo alizovaaa ziliandaliwa rasmi siyo tukio la bahati mbaya mama lazima alijua taasisi ya uraisi uwezi kukutana na nduguyako ukamkumbatia watakubetua

    • @StephanieGerald-qj8vt
      @StephanieGerald-qj8vt 2 месяца назад

      Huyu mama saa hzii ni mchungaji amefanya sana kazi ofisi ya rais kipind cha mkapa namjua vizur sana

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 месяца назад +2

      Wakati mwengine huwa inatokea na hauwezi kuzuia.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Месяц назад

      kabisa​@@rayisadesigns2646

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад +4

    Maashaallah mama yetu kipenzi❤❤

  • @hamismusa7314
    @hamismusa7314 2 месяца назад +9

    Hivi mbona walimu hawazeheki.?

    • @belyseirakoze5371
      @belyseirakoze5371 2 месяца назад +2

      Sema question 😂😂😂😂😂 hata sijuwi kwann 😂😂😂😂😂 kwani kwenye uwalim kuna siri gani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ellancembilu6975
      @ellancembilu6975 2 месяца назад

      @@belyseirakoze5371 wako bize, na hawali chakula kupitiliza. kazi na life style zao zinawaweka fit bila hata wenyewe kujua 😀

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 месяца назад +2

      Swali rahisi tu , kwenye makutano ya kila siku na watu na kuzungumza Kuna ondoa mno afya ya akili kitu ambacho ni adui wa kuzeeka mawazo na stress na maanisha

    • @ABBASIKANDULU-kl8zc
      @ABBASIKANDULU-kl8zc 2 месяца назад

      Umeponaaa eeee.walimu wengi wapo vilevilee Sijui wanakulaga nini

    • @RehemaTogwa
      @RehemaTogwa Месяц назад

      Ualimu nikazi ya kiroho...

  • @gbbuku4714
    @gbbuku4714 2 месяца назад +2

    Mama una upendo sana kiukweli mama Mungu akupe maisha marefu

    • @chrithicksambo2287
      @chrithicksambo2287 2 месяца назад

      Upendo upi 😂😂 wa kuuza bandari

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 2 месяца назад

      Kwa kweli

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 месяца назад +1

      ​@@chrithicksambo2287Acha umalaya,fanya kazi bwege wewe.

    • @shamzone388
      @shamzone388 2 месяца назад

      @@chrithicksambo2287bandari bandar ilikuwa mali ya baba yako au mama yako ni mali ya serekali na imeuz ni serekali sasa wewe chuki za nini

  • @Fantastic.-gm1eo
    @Fantastic.-gm1eo 2 месяца назад +9

    Mama ongeza mishahara ya walimu tunateseka sana😢😢

    • @tuikezeezra1315
      @tuikezeezra1315 2 месяца назад +2

      Syo Walimu tu hata Afya ndo yaleyale😌😌😌

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 2 месяца назад +1

      Jmn naomba kujuwa walimu wa shule za misingi na secondary ni shi ngapi?

    • @Fatima1234-wl1nu
      @Fatima1234-wl1nu 2 месяца назад

      ​@dorcaseskidoti249 secondary laki 5 hadi laki nne na nusu msingi laki 4 tu

  • @jeanpierrekwizera6400
    @jeanpierrekwizera6400 2 месяца назад +2

    Waouh ! Inapendeza sana

  • @queenmapunda7868
    @queenmapunda7868 2 месяца назад

    We love You mama.You are so kind.God bless you Mama.

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 2 месяца назад +4

    Mama hana hiana nampenda kweli

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 2 месяца назад +2

    My president 💗💗💗

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 2 месяца назад +6

    Mwalimu kaja utazania anakimbilia gari ya mbagala😂😂😂😂

    • @lucymtui8680
      @lucymtui8680 2 месяца назад +1

      Dativa mshenzi sanaa😂😂😂

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 месяца назад

      @@lucymtui8680 nikashangaa uyu bibi anakimbia nini 😂😂😂

    • @AnethMushi-c3e
      @AnethMushi-c3e 2 месяца назад +1

      Dativa umenipunguzis stres 😜😜

  • @ashleypetertv5894
    @ashleypetertv5894 2 месяца назад

    Wow nimwfurahi kuona hata guards walikua tu wapole si kama wengine wenye wanaweza zuia mtu na kuwarusha na huko.

  • @catherinepenbin6780
    @catherinepenbin6780 2 месяца назад +2

    Milan nikutanishe na huyu mama,namkubali mbaya

  • @emmanuelsingo5002
    @emmanuelsingo5002 2 месяца назад

    Rais wetu tunakupenda kwasababu unajali utu na haki ya kila raia Mungu akuzidishie hekima na busarq ya kuongoza nchi yete Amina

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 2 месяца назад

      We aki gani waewe mavitu galama we unazungumzia aki Gani mbona uwelewekii

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 2 месяца назад

      Hatukulazimish UELEWW Maan at Shulen haukuelewa nd maana Unayalalamikia MAISHA😂

  • @WilliamNyanginywa
    @WilliamNyanginywa 2 месяца назад +2

    Mama chapa kazi tunakukubali sana

  • @rubenikambio1718
    @rubenikambio1718 2 месяца назад +2

    Sometimes sio salama kwa raisi wallah.

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding 2 месяца назад +2

      Rais sio muuz matunda road amk alipo lala Kila kinachotokea kilishakuw kweny ratiba acha kudanganyik

    • @mixturechannel6988
      @mixturechannel6988 2 месяца назад +1

      Ni kweli sio salama sana lkn mlinzi hapo amepitisha wajibu wake n kuuchukua mkoba wake kwa hatu ya awali ili kuweka mambo sawa

  • @tanzaniacastingagency
    @tanzaniacastingagency Месяц назад

    Saf sana nimependa sana hiyo

  • @positiveandfunny4332
    @positiveandfunny4332 Месяц назад

    Security hana Rada and somebody is running 🏃 towards the president 😮😮😮😮😮

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 2 месяца назад +2

    love mh Rais wangu mitano tena kura yangu chukua

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 2 месяца назад

    Duuh inafurahisha sana

  • @PendoPogwa
    @PendoPogwa 2 месяца назад

    Tunategemea nje ya nchi ila Mungu atusaidie nass tupate wataalam wazur.

  • @Fatma-n7g2s
    @Fatma-n7g2s Месяц назад

    Awwwwwwwh

  • @Omar-hd7er
    @Omar-hd7er 2 месяца назад

    Heri huko kwenu kwetu Kenya walimu waona aibu hata kukutana na waliokuwa wanafunzi wao maana hata waogopa kuibiwa

  • @SuleimanSuleiman-w7l
    @SuleimanSuleiman-w7l 2 месяца назад

    Mama vijana waliokimbiza shuleni aka ma TO chukua serikalini wakusaidie wanakufa vipaji mtaani sio kuajiri mijitu mijizi

  • @NinaMon-b1y
    @NinaMon-b1y 2 месяца назад +1

    Good job mama

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 2 месяца назад +2

    Mama Songa tupo nyuma yako.....

  • @YohanaCharles-x4t
    @YohanaCharles-x4t 2 месяца назад

    ❤❤

  • @robinermsigalla9341
    @robinermsigalla9341 2 месяца назад +2

  • @YohanaCharles-x4t
    @YohanaCharles-x4t 2 месяца назад

    Waooo

  • @browndebora2195
    @browndebora2195 2 месяца назад

    love u mama

  • @jabirikilagilile9799
    @jabirikilagilile9799 2 месяца назад

    Ipo siku Rais wangu watanzania wabishi watakuelewa unagusa kila mahali chapa kazi mama usisikilize kelele za wafa maji

  • @HassanSaid-e1w
    @HassanSaid-e1w 2 месяца назад

    Mashallah

  • @suleimansalym7537
    @suleimansalym7537 2 месяца назад

    Sema bhana waalimu hawazeeki haraka anaweza kukufundisha darasa la kwanza ukamaliza mpka mavyuo ukapata kazi na watoto ukirudi kijijini yupo vile vile ulivomuacha cjui kazi zao hazina stress 😂😂😂😂😂

    • @TunuMbega-g2y
      @TunuMbega-g2y 2 месяца назад

      Hatuna baya walimu tunaenjoy na yote tunayokutana nayo

  • @katoahmed7044
    @katoahmed7044 2 месяца назад

    Jaman,. ❤

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 2 месяца назад

    Lini ntakutana na Mama daaa

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 2 месяца назад

    Mwalimu wake anamkumbatia lakini yule aliyesaidia wamasai anamuogopa. Washauri wa huyu mama msaidieni jamani lau asijitie aibu na kuonekana mbaguzi.

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 2 месяца назад

    Mama unajua sema viongozi wako jauu sanaa

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 2 месяца назад

    Anafulaiya mwanafunziwake kufeli dalasani nakupewa dkt wheshima?

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 2 месяца назад

    Yooo raha jmn

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 2 месяца назад

    Hicho kkaratas ndio unaandikiwa vyakuzungumza au

  • @NuruNyanja-kz1qr
    @NuruNyanja-kz1qr 2 месяца назад +2

    Hongera mungu akusimamie

  • @Josephlutonja
    @Josephlutonja 2 месяца назад

    Ampe uwaziri wa elimu tz

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 2 месяца назад

    ❤️🌹🍁❣️💕

  • @frankmbawala-dh6xc
    @frankmbawala-dh6xc 2 месяца назад

    Wazee waprotocali walimuanda Awezi from no where tuu kumkumbatia raia namba moja nchini Tz😊😊😊😊

  • @bwanashambatanzania5178
    @bwanashambatanzania5178 2 месяца назад

    Rais ni bure sana huyu. Sina Cha kusifia Mimi.

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 месяца назад +2

    Sijui kwanini walim uwa awa zeeeki sijui mungu kawapaga nini walim daaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ShafiiSoud-b3w
    @ShafiiSoud-b3w 2 месяца назад

    kanamfundisha darasa la ngapi...walimu wa dr. Samia bado wapo

    • @boniphacelusato
      @boniphacelusato 2 месяца назад +1

      Inaonekana ni Mwalimu wake wa chuo

    • @KijibaHaji
      @KijibaHaji 2 месяца назад

      Samia kasoma IDM

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 2 месяца назад

    Mel ktkngazi ipi, chekechea, primaryau chuo Mzumbe?

  • @Josephlutonja
    @Josephlutonja 2 месяца назад

    Ampe uwaziri wa elimu zanibar

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 2 месяца назад

    tanteee mama.samia

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 2 месяца назад

    tutashunudia mengi karibu na uchaguzi

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 2 месяца назад

    Walimu hawazeeki kabisa

  • @aminaally3817
    @aminaally3817 2 месяца назад

    Walim hawazeeki

  • @allahisone6386
    @allahisone6386 2 месяца назад

    🎉

  • @NdushiKayungilo-o8e
    @NdushiKayungilo-o8e 2 месяца назад

    Piga kaz

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 2 месяца назад

    Hii kilichofanyika ni hatari sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад +2

      Aliandaliwa usidhani ni hivihivi TU ndugu yangu

    • @justinemagige1439
      @justinemagige1439 2 месяца назад

      Huyo alishafanyiwa maandalizi sio rahisi

    • @justinemagige1439
      @justinemagige1439 2 месяца назад +1

      Rais alishapenyezewa message kuwa kuna mwalimu wako atakuja kukusalimia hapo mbele akakubali sio rahisi ungeona ambavyo angefatwa na kubebwa juu juu 😂😂

  • @RizikiMbembela-b6h
    @RizikiMbembela-b6h 2 месяца назад

    Makonda Yuko wap

  • @HeenaNurelamin
    @HeenaNurelamin 2 месяца назад

    Hakuna mtu duniani anaye weza kumlipaa mwalimu ndo mana sisi waislamu walimu ni mzazi na radhi zake mbaya ! Ulaya mwalimu analipwa sawa na mkulimaa pesa nyingi sana , africa siasa ndo kipau mbele bull shit ! Samia mzingatiee mwalim wako

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 2 месяца назад

    Mwanafunzi wake?

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 2 месяца назад

      Siyo mwanafunzi wake.
      Kama Samia ni wa Zanzibar,huyo mwalimu wake anatoka wapi Kilosa,eti mwalimu asiye na cheti mdogo kuliko Samia😂

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 2 месяца назад

      @@mataypanga5262 😁

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 месяца назад

      ​​@@mataypanga5262acha ujinga, hivi kwa akili yako unaposoma utakuwa unasoma shule ya eneo ulilozaliwa tu?! Sekondari na chuo utasoma hapo hapo kwenu bila ya kwenda maeneo mengine na kukutana na watu wengine?! Acheni propaganda na chuki za kijinga. Mimi nina wadogo zangu skuli (nyinyi mnaita shule) wamesoma Unguja (Zanzibar) lakini chuo wamesoma bara na degree zao zote wamezipatia huko, na nina kaka yangu amezaliwa Zanzibar na amesoma Zanzibar na baadae akasoma bara tena siyo Dar alipelekwa mikoani huko ( mikoa ya bara huko) na hivi ni ninavyozungumza ni mtumishi wa serikali ktk idara flani ya vyombo vyetu hivi vya dola tena ni mkubwa, kikazi amehamishiwa Dodoma, ameolea huko huko Dodoma (amemuoa mtanganyika) amejenga huko, amezaa huko na anaishi huko huko, sasa tatizo liko wapi?! Acheni roho mbaya!!

    • @jumahamadomar9124
      @jumahamadomar9124 2 месяца назад

      Kwani hujui kama wako malecturals ambao wana umri kati ya miaka 25 na thelathini na wanawafundisha watu wenye umri wa miaka 35 na arobaini​@@mataypanga5262

    • @StephanieGerald-qj8vt
      @StephanieGerald-qj8vt 2 месяца назад +1

      @@mataypanga5262 huyu mama ni mkubwa ww halaf sasa hivi ni mchungaji ameshastaaf alikuwa mzumbe,ninamjua

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 2 месяца назад

    Jaribu wewe uone

  • @MagomaPato
    @MagomaPato 2 месяца назад

    Samia na CCM kukubali Mzee Popo Harmonize kuroga kazi za Diamond na Wasanii wake kwenye youtube ni Aibu Africa❌😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @KhadijaMiteya-hh8xl
      @KhadijaMiteya-hh8xl 2 месяца назад

      Jamani muogopeni MMungu maneno hayo.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад +1

      Wewe kweli magoma ndiyo maana hunaakili 000000

    • @SaidiGolo
      @SaidiGolo 2 месяца назад

      Mbona km hatujakielewa hivi?? Maana naona kinacho komentiwa hapa ni tofauti na ulichokuja nacho ww au umekosea njia mkuu tukuelekeze unakoenda?😂😂

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 2 месяца назад

      ​@@SaidiGoloas Uon anaitwa MAGOMA😂

    • @HappySchnauzer-iq9dz
      @HappySchnauzer-iq9dz 2 месяца назад