Furaha ya mwalimu kukutana na mwanafunzi wake akiwa na mafanyikio, hakuna mwalimu anayependa kukutana na mwanafunzi akiwa katika hali mbaya, hongereni walimu kwa kutengeneza Rais bora
Muwatetee walimu cyo mnatoa pongez tu Hali ya kuwa walimu waliowafundisha hawa viongoz ni maskini hata mishahara hawaongezewi wanaenda kupewa magari wanajeshi ambao wamefundishwa na hawa walimu af walimu wanapewa mikokoteni
Nilipita sehem nikakutana na mwanafunz wangu mmh nilistaajabu wanafunz mwanafunz Kawa baba mwalim sasa kimo sina nipo kadogo woi , ila Raha kuona kaz yako imeleta matunda❤ nimependa mweshimiwa Rais na mwalim wake
Awezi kwenda kumkumbatia bila watu wa usalama kujilizisha asingemgusa na inawezekana hata hizo nguo alizovaaa ziliandaliwa rasmi siyo tukio la bahati mbaya mama lazima alijua taasisi ya uraisi uwezi kukutana na nduguyako ukamkumbatia watakubetua
Swali rahisi tu , kwenye makutano ya kila siku na watu na kuzungumza Kuna ondoa mno afya ya akili kitu ambacho ni adui wa kuzeeka mawazo na stress na maanisha
Sema bhana waalimu hawazeeki haraka anaweza kukufundisha darasa la kwanza ukamaliza mpka mavyuo ukapata kazi na watoto ukirudi kijijini yupo vile vile ulivomuacha cjui kazi zao hazina stress 😂😂😂😂😂
Rais alishapenyezewa message kuwa kuna mwalimu wako atakuja kukusalimia hapo mbele akakubali sio rahisi ungeona ambavyo angefatwa na kubebwa juu juu 😂😂
Hakuna mtu duniani anaye weza kumlipaa mwalimu ndo mana sisi waislamu walimu ni mzazi na radhi zake mbaya ! Ulaya mwalimu analipwa sawa na mkulimaa pesa nyingi sana , africa siasa ndo kipau mbele bull shit ! Samia mzingatiee mwalim wako
@@mataypanga5262acha ujinga, hivi kwa akili yako unaposoma utakuwa unasoma shule ya eneo ulilozaliwa tu?! Sekondari na chuo utasoma hapo hapo kwenu bila ya kwenda maeneo mengine na kukutana na watu wengine?! Acheni propaganda na chuki za kijinga. Mimi nina wadogo zangu skuli (nyinyi mnaita shule) wamesoma Unguja (Zanzibar) lakini chuo wamesoma bara na degree zao zote wamezipatia huko, na nina kaka yangu amezaliwa Zanzibar na amesoma Zanzibar na baadae akasoma bara tena siyo Dar alipelekwa mikoani huko ( mikoa ya bara huko) na hivi ni ninavyozungumza ni mtumishi wa serikali ktk idara flani ya vyombo vyetu hivi vya dola tena ni mkubwa, kikazi amehamishiwa Dodoma, ameolea huko huko Dodoma (amemuoa mtanganyika) amejenga huko, amezaa huko na anaishi huko huko, sasa tatizo liko wapi?! Acheni roho mbaya!!
Kwani hujui kama wako malecturals ambao wana umri kati ya miaka 25 na thelathini na wanawafundisha watu wenye umri wa miaka 35 na arobaini@@mataypanga5262
Furaha ya mwalimu kukutana na mwanafunzi wake akiwa na mafanyikio, hakuna mwalimu anayependa kukutana na mwanafunzi akiwa katika hali mbaya, hongereni walimu kwa kutengeneza Rais bora
Muwatetee walimu cyo mnatoa pongez tu Hali ya kuwa walimu waliowafundisha hawa viongoz ni maskini hata mishahara hawaongezewi wanaenda kupewa magari wanajeshi ambao wamefundishwa na hawa walimu af walimu wanapewa mikokoteni
❤
👏👏👏👏@@hassanrashid-l3u
🤪🤪@@hassanrashid-l3u
Huyu mlea wezi na mafisadi raisi alikuwa magufuri
Safi saaana Mwenyezi Mungu azid kukupa unyenyekevu na upendo Rais wetu
Nakupenda sana mama Samia,pambana mungu yupo nyuma yako.i love u mama Samia.
Walimu tunawapenda sn jamani nawamis sn Walimu wangu Mungu awajalie maisha marefu yenye kheri nao walimu wote
Ila shagaz sabina bana😂😂😂😂😂 sio kwa mbio hizo najua umefurahi sana leo 😅😅😅
Kwann sabina lkini😂😂😂😂
Allah ampe umri mrefu huyu mama much love from kenya
Rais ninaempenda ever,chapa kazi Rais wangu Mungu atakusimamia tu huwa nakuombea dua kila ninapotaka kulala
Swadaktaa kabisa mama yetu anajitaahid sana tena sana hakuna binadamu aso na mapungufu
Mm namkubali sana raisi samina.Ana hekima sana.
Allah akusimamie mama angu nakila baya tupo pamoja mama nikiwa omani napambana kutaft rizk kwa ajil ya familia allah atusimamie daima
Amyn yarabiaalamyn
Ameen turundi salama tz
Masha Allah Allah Azid kukupa Afy njema raisi wangu
Nilipita sehem nikakutana na mwanafunz wangu mmh nilistaajabu wanafunz mwanafunz Kawa baba mwalim sasa kimo sina nipo kadogo woi , ila Raha kuona kaz yako imeleta matunda❤ nimependa mweshimiwa Rais na mwalim wake
Tafadhalimamaetu samiasuluhu hassan munguakupe umri wananchiwako wawiilaya yalushoto vijijiniwanakulilia sana, jitaidi ututembelee,
Kweli kabisa hasa waalimu wa kina mama ila kina baba wanachoka umemwona huyo baba
Awezi kwenda kumkumbatia bila watu wa usalama kujilizisha asingemgusa na inawezekana hata hizo nguo alizovaaa ziliandaliwa rasmi siyo tukio la bahati mbaya mama lazima alijua taasisi ya uraisi uwezi kukutana na nduguyako ukamkumbatia watakubetua
Huyu mama saa hzii ni mchungaji amefanya sana kazi ofisi ya rais kipind cha mkapa namjua vizur sana
Wakati mwengine huwa inatokea na hauwezi kuzuia.
kabisa@@rayisadesigns2646
Maashaallah mama yetu kipenzi❤❤
Hivi mbona walimu hawazeheki.?
Sema question 😂😂😂😂😂 hata sijuwi kwann 😂😂😂😂😂 kwani kwenye uwalim kuna siri gani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@belyseirakoze5371 wako bize, na hawali chakula kupitiliza. kazi na life style zao zinawaweka fit bila hata wenyewe kujua 😀
Swali rahisi tu , kwenye makutano ya kila siku na watu na kuzungumza Kuna ondoa mno afya ya akili kitu ambacho ni adui wa kuzeeka mawazo na stress na maanisha
Umeponaaa eeee.walimu wengi wapo vilevilee Sijui wanakulaga nini
Ualimu nikazi ya kiroho...
Mama una upendo sana kiukweli mama Mungu akupe maisha marefu
Upendo upi 😂😂 wa kuuza bandari
Kwa kweli
@@chrithicksambo2287Acha umalaya,fanya kazi bwege wewe.
@@chrithicksambo2287bandari bandar ilikuwa mali ya baba yako au mama yako ni mali ya serekali na imeuz ni serekali sasa wewe chuki za nini
Mama ongeza mishahara ya walimu tunateseka sana😢😢
Syo Walimu tu hata Afya ndo yaleyale😌😌😌
Jmn naomba kujuwa walimu wa shule za misingi na secondary ni shi ngapi?
@dorcaseskidoti249 secondary laki 5 hadi laki nne na nusu msingi laki 4 tu
Waouh ! Inapendeza sana
We love You mama.You are so kind.God bless you Mama.
Mama hana hiana nampenda kweli
My president 💗💗💗
Mwalimu kaja utazania anakimbilia gari ya mbagala😂😂😂😂
Dativa mshenzi sanaa😂😂😂
@@lucymtui8680 nikashangaa uyu bibi anakimbia nini 😂😂😂
Dativa umenipunguzis stres 😜😜
Wow nimwfurahi kuona hata guards walikua tu wapole si kama wengine wenye wanaweza zuia mtu na kuwarusha na huko.
Milan nikutanishe na huyu mama,namkubali mbaya
Rais wetu tunakupenda kwasababu unajali utu na haki ya kila raia Mungu akuzidishie hekima na busarq ya kuongoza nchi yete Amina
We aki gani waewe mavitu galama we unazungumzia aki Gani mbona uwelewekii
Hatukulazimish UELEWW Maan at Shulen haukuelewa nd maana Unayalalamikia MAISHA😂
Mama chapa kazi tunakukubali sana
Sometimes sio salama kwa raisi wallah.
Rais sio muuz matunda road amk alipo lala Kila kinachotokea kilishakuw kweny ratiba acha kudanganyik
Ni kweli sio salama sana lkn mlinzi hapo amepitisha wajibu wake n kuuchukua mkoba wake kwa hatu ya awali ili kuweka mambo sawa
Saf sana nimependa sana hiyo
Security hana Rada and somebody is running 🏃 towards the president 😮😮😮😮😮
love mh Rais wangu mitano tena kura yangu chukua
Duuh inafurahisha sana
Tunategemea nje ya nchi ila Mungu atusaidie nass tupate wataalam wazur.
Awwwwwwwh
Heri huko kwenu kwetu Kenya walimu waona aibu hata kukutana na waliokuwa wanafunzi wao maana hata waogopa kuibiwa
Mama vijana waliokimbiza shuleni aka ma TO chukua serikalini wakusaidie wanakufa vipaji mtaani sio kuajiri mijitu mijizi
Good job mama
Mama Songa tupo nyuma yako.....
❤❤
❤
Waooo
love u mama
Ipo siku Rais wangu watanzania wabishi watakuelewa unagusa kila mahali chapa kazi mama usisikilize kelele za wafa maji
Mashallah
Sema bhana waalimu hawazeeki haraka anaweza kukufundisha darasa la kwanza ukamaliza mpka mavyuo ukapata kazi na watoto ukirudi kijijini yupo vile vile ulivomuacha cjui kazi zao hazina stress 😂😂😂😂😂
Hatuna baya walimu tunaenjoy na yote tunayokutana nayo
Jaman,. ❤
Lini ntakutana na Mama daaa
Mwalimu wake anamkumbatia lakini yule aliyesaidia wamasai anamuogopa. Washauri wa huyu mama msaidieni jamani lau asijitie aibu na kuonekana mbaguzi.
Mama unajua sema viongozi wako jauu sanaa
Anafulaiya mwanafunziwake kufeli dalasani nakupewa dkt wheshima?
Yooo raha jmn
Hicho kkaratas ndio unaandikiwa vyakuzungumza au
Hongera mungu akusimamie
Ampe uwaziri wa elimu tz
❤️🌹🍁❣️💕
Wazee waprotocali walimuanda Awezi from no where tuu kumkumbatia raia namba moja nchini Tz😊😊😊😊
Sa Shda Iko wap😂
Rais ni bure sana huyu. Sina Cha kusifia Mimi.
Sijui kwanini walim uwa awa zeeeki sijui mungu kawapaga nini walim daaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
kanamfundisha darasa la ngapi...walimu wa dr. Samia bado wapo
Inaonekana ni Mwalimu wake wa chuo
Samia kasoma IDM
Mel ktkngazi ipi, chekechea, primaryau chuo Mzumbe?
Ampe uwaziri wa elimu zanibar
tanteee mama.samia
tutashunudia mengi karibu na uchaguzi
Walimu hawazeeki kabisa
Walim hawazeeki
🎉
Piga kaz
Hii kilichofanyika ni hatari sana
Aliandaliwa usidhani ni hivihivi TU ndugu yangu
Huyo alishafanyiwa maandalizi sio rahisi
Rais alishapenyezewa message kuwa kuna mwalimu wako atakuja kukusalimia hapo mbele akakubali sio rahisi ungeona ambavyo angefatwa na kubebwa juu juu 😂😂
Makonda Yuko wap
Hakuna mtu duniani anaye weza kumlipaa mwalimu ndo mana sisi waislamu walimu ni mzazi na radhi zake mbaya ! Ulaya mwalimu analipwa sawa na mkulimaa pesa nyingi sana , africa siasa ndo kipau mbele bull shit ! Samia mzingatiee mwalim wako
Mwanafunzi wake?
Siyo mwanafunzi wake.
Kama Samia ni wa Zanzibar,huyo mwalimu wake anatoka wapi Kilosa,eti mwalimu asiye na cheti mdogo kuliko Samia😂
@@mataypanga5262 😁
@@mataypanga5262acha ujinga, hivi kwa akili yako unaposoma utakuwa unasoma shule ya eneo ulilozaliwa tu?! Sekondari na chuo utasoma hapo hapo kwenu bila ya kwenda maeneo mengine na kukutana na watu wengine?! Acheni propaganda na chuki za kijinga. Mimi nina wadogo zangu skuli (nyinyi mnaita shule) wamesoma Unguja (Zanzibar) lakini chuo wamesoma bara na degree zao zote wamezipatia huko, na nina kaka yangu amezaliwa Zanzibar na amesoma Zanzibar na baadae akasoma bara tena siyo Dar alipelekwa mikoani huko ( mikoa ya bara huko) na hivi ni ninavyozungumza ni mtumishi wa serikali ktk idara flani ya vyombo vyetu hivi vya dola tena ni mkubwa, kikazi amehamishiwa Dodoma, ameolea huko huko Dodoma (amemuoa mtanganyika) amejenga huko, amezaa huko na anaishi huko huko, sasa tatizo liko wapi?! Acheni roho mbaya!!
Kwani hujui kama wako malecturals ambao wana umri kati ya miaka 25 na thelathini na wanawafundisha watu wenye umri wa miaka 35 na arobaini@@mataypanga5262
@@mataypanga5262 huyu mama ni mkubwa ww halaf sasa hivi ni mchungaji ameshastaaf alikuwa mzumbe,ninamjua
Jaribu wewe uone
Samia na CCM kukubali Mzee Popo Harmonize kuroga kazi za Diamond na Wasanii wake kwenye youtube ni Aibu Africa❌😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jamani muogopeni MMungu maneno hayo.
Wewe kweli magoma ndiyo maana hunaakili 000000
Mbona km hatujakielewa hivi?? Maana naona kinacho komentiwa hapa ni tofauti na ulichokuja nacho ww au umekosea njia mkuu tukuelekeze unakoenda?😂😂
@@SaidiGoloas Uon anaitwa MAGOMA😂