Dr. Chris Mauki: Unapokuwa na hasira kali, Jiulize mambo haya matatu
HTML-код
- Опубликовано: 3 фев 2025
- Hasira imewaponza wengi. Hasira imewapeleka wengi gerezani. Hasira imevunja urafiki wa wengi. Hasira imeharibu mahusiano ya wengi. Labda hata wewe ni mhanga wa hasira kali, na kama bado basi somo hili ni lako ili usije kujutia. Unapokuwa na hasira kali, jiulize mambo haya matatu.
Najifunza mengi sana jinsi ya kuishi asante sana kaka Mauki
Doctor Mauki ujengewe sanamu.. maeneo ya makumbusho
Akyy barikiwa mtumishi wa mungu
LEO UMENIGUSA SANA DOCTOR MUNGU AKUWEKE KWA AJILI YETU BABA🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akutunze mr🥰🥰
Ahsantee San doctor nimekupata vyema san
Naombeni namba ya simu ya Dr Chris Mauki. Kuna mtu anahitaji counsel ya haraka kabla hajajitoa uhai
Asante sana
Kwel kabsa maan tunashndwa kujuwa muda gan , wa kuongea
Yaani umenifundisha kitu kikubwa sana.
Ooooh my God ww hebu ngoja nitafute no yako plz tuongee
Nimependa sana iii lesson ila nasikitika nimeipata ii lesson wakati tayari nimeshampoteza mtu niliempenda kwasababu tuu yahasira . Ila niseme asante nitatengeneza bora katika mahusiano mengine .Dr ubarikiwe
@@fatmamohamed3274 waaah mm ndio nilikuwa natarajia tu sai nikupotezea bt Acha nijaribu kama itaweza kurudi kama zamani aki wanawake tunapitia hadi unafika mwisho wamaamzi but mungu ndiye anajua uchungu wetu hii mapenzi aki
Daha mbona Leo umenigusa sana ,nahii topic
Nahitaji ushauli wako naupataje