Nguvu Ya Maono/The Power of Vision

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 112

  • @michaeljordan2558
    @michaeljordan2558 6 лет назад +2

    wewe in zawadi kutoka kwa Mungu...long life brother

  • @wilfredcasmir2511
    @wilfredcasmir2511 6 лет назад +4

    Asante sana brother huwa najifunza mengi sana nikikusikiliza.Mungu azidi kukupa maarifa na hekima.

  • @faustaraymond3303
    @faustaraymond3303 6 лет назад +2

    My brother Mungu azd kukupa maarifa zaidi nimepokea kitu hakika sikati tamaa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 лет назад

      Ameen Fausta nashukuru sana na nakutakia mafanikio zaidi

  • @asantendosi3787
    @asantendosi3787 6 лет назад +6

    Broo Joel, nashukuru sana kwa somo hili kubwa kwenye maisha yangu, nimetambua vyema sasa nguvu ya maono yangu. God bless you Brother.

  • @sabrinakhatoor4495
    @sabrinakhatoor4495 6 лет назад +1

    Hi napenda sana unavyoelimisha pia unatutia moyo pia kwa vitu unavyoongea vipo katika maisha yetu ya kawaida now nipo katika wakati mgumu ila navumilia kutokana na maono yangu ya baadae napenda niwe mjasiliamali thanks kaka

  • @joycemoshi-zc7ie
    @joycemoshi-zc7ie Год назад

    Mungu ni mwema sana kweli mimi nakataa tamaa mno kila ninachokifanya hakiendi

  • @D_PlexiTV
    @D_PlexiTV 6 лет назад +1

    Umenikosha apo kweny uvumilivu persistence n kwel kama una maono huwez kukata tamaa.. Coz napoleon hill kasema before success comes in man's life he is sure to meet with much temporary defeat and perhaps some failure.. But ukiwa na maono unapata nguvu ya kujua unafanya nn after failure... Ahsantee sanaa Nanauka nakuelewa sana kaka pia nakufuatilia sana kwan najifunza meng sana toka kwako God bless you

  • @brightonshakila6406
    @brightonshakila6406 6 лет назад +7

    Waah thank you... See you too... Mimi nina maono ya kua mfanyabiashara bora... Nimeanza tayari

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 6 лет назад +1

    Zote 4 za muhimu.Ahsante kwa somo zuri.

  • @kiballakstakintu4494
    @kiballakstakintu4494 6 лет назад +4

    shukran sana kaka joel.me nachokiona katika mambo hayi manne chakwanza nikuchagua marafiki wanaoendan na maono yako vile vile kutenga muda kwa kitu ambacho unahitaji kikufikishe katika maono.na hiko ndio watanzania wengi tunafeli.unahtaji kua mjuzi wa jambo furani litakalopelekea mafanikio yako lakeen unalinyima muda.

  • @SallykenyaKenya
    @SallykenyaKenya 6 лет назад +1

    Asante ndugu. Ni namaono ya kufungua day care and dairy farmer. Na umri yanyu ni forty nine. but Sina capital kwa sahii but I believe I will do it. U change my life kaka God bless you

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 6 лет назад +4

    Kupitia mafundisho yako nimepata mafanikio makubwa ahsante sana brother

  • @lackiuslameck6157
    @lackiuslameck6157 3 года назад

    Naitwa Lackius Lameck asante kwa elimu .naomba unisaidie kitu kimoja cha kuniwezesha kufika lengo la kiwanda kikubwa cha sabuni

  • @godifalsafa6956
    @godifalsafa6956 5 лет назад +1

    Dah nimebaki mdomo wazi kwa point ulizoziongea hapa big up bro

  • @rosefadhili4094
    @rosefadhili4094 6 лет назад +5

    BROTHER JOEL UMEFANYIKA BARAKA SANA KWANGU TANGU NAANZA KUKUFATILIA, I NOW SEE A NEW ME.
    THANX ALOT

  • @andreyfesto4900
    @andreyfesto4900 6 лет назад +15

    Vision + passion=success

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 лет назад +1

      Kabisaaa

    • @lukaeugene5043
      @lukaeugene5043 3 года назад

      i guess im asking the wrong place but does someone know of a tool to log back into an Instagram account..?
      I stupidly lost the password. I would appreciate any tips you can give me!

    • @houstonbodie7062
      @houstonbodie7062 3 года назад

      @Luka Eugene Instablaster :)

  • @niceemmanuel6022
    @niceemmanuel6022 5 лет назад

    Nakuelewa sana Mkuu mm nina maono makubwa sana Mungu akiniasaidia cku moja ntakutafuta maana changamoto nimepata ila sasa najipanga kuanza upya naendelea kukufuatilia

  • @dinamfangavo760
    @dinamfangavo760 6 лет назад +1

    Nashkuru sana kaka kwa elimu yako nzr

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 6 лет назад +1

    Ahsante...."Nothing changes until your mind changes"

  • @theresiabukuku9821
    @theresiabukuku9821 6 лет назад +4

    Asante kaka bt nishawi kupata rafik ambae hana maono,ila nnamshukuru Mungu nimeweza kumuepuka,God bless you

  • @Nakomotosimfukwe
    @Nakomotosimfukwe 6 лет назад +2

    Kiukwel kazi unayoifanya nanauka ni nzur inatubadilisha na kutuelimisha tatizo linakuja pale unapopigiwa simu hupokei wala hujibu sms jitahid ujali katika hilo

  • @elisantemrerimmwiri3158
    @elisantemrerimmwiri3158 6 лет назад

    Asante kwa kunionyesha njia ya kuweza kufanikisha maono yangu. Pia nashukuru sana kwani toka nimeanza kufuatilia mandisho yako ninaendelea kupata kitu kipya katika maisha.

  • @ibrahimmwalukasa7836
    @ibrahimmwalukasa7836 6 лет назад +5

    Uko sawa mkuu, maono ndo kila kitu

  • @kennedymwaipopo5812
    @kennedymwaipopo5812 3 года назад

    Joel God bless you u are a blessing to me and to this nation of Tanzanian ..

  • @brhchannel6618
    @brhchannel6618 6 лет назад +5

    Umetisha Kaka Joel Nanauka Kwa hii clip imeniongezea Nguvu mara 100 zaidi kuyaendea Maono yangu stay Blessed

  • @eveimbusi5940
    @eveimbusi5940 6 лет назад +1

    Asante sana najifunza mengi kupitia kwa mafunzo yako

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 лет назад

      Nashukuru sana tuendelee kujifunza pamoka

  • @babalois7240
    @babalois7240 6 лет назад

    Maono yankusaidia kuvumilia tabu ya mda nfupi,ili uyafikie maisha bora ya mbele... Vision and mission

  • @mussasaimon2012
    @mussasaimon2012 6 лет назад +1

    Nazidi kujifunza kaka .wew nimwalimu

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 6 лет назад +3

    For my side number one to start with it is priority

  • @faustakanyambo7823
    @faustakanyambo7823 6 лет назад +1

    Thanks my brother, my vision is to success no matter what.

  • @maryamharon1484
    @maryamharon1484 6 лет назад +3

    asant kaka joel unanibadilisha sana mungu akubariki

  • @aaaavvvv4261
    @aaaavvvv4261 6 лет назад

    Kweli kabisa mm mwanzo nmataji watama kwa kila kitu

  • @abdornephotidas3848
    @abdornephotidas3848 6 лет назад +2

    Ahsante kwa somo bro Joel

  • @salehussi3650
    @salehussi3650 6 лет назад +1

    Thank you brother Joel for this lesson god bless you

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 6 лет назад +2

    Wakati mwingine uwa na jisahahu kujikita ktk Mambo ambayo ninipaswa kuyaweka kipaumbele uwa Nina jaribu lakin ninashindwa , kwa mfano ninapenda Sana kusoma vitabu lakin nitasoma kwa siku chache tu atimae ninashindwa na wakati mwingine ninaweka akiba lakin muda unafika najikuta siweki Tena akiba ivyo pesa yote nayo ipata naitumia , natamani niweze kuishinda tabia hii naomba ushauri nifanyeje

  • @vanessayovin8224
    @vanessayovin8224 2 года назад

    Amen mhe mzito

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 5 лет назад

    Kweli kabisa Mr Joel ukiona unachotaka haijalishi unapitia magumu kiasi utavumilia

  • @buruhanimtonya1621
    @buruhanimtonya1621 4 года назад

    Nataka kubadili mtandao wa marafiki

  • @nkiyalulenganija14
    @nkiyalulenganija14 7 месяцев назад

    Marafiki ni jambo la MSINGI sana

  • @vinordkindole3521
    @vinordkindole3521 6 лет назад

    Naomba naomba yako kaka joel

  • @charlzzesonconsciousness6685
    @charlzzesonconsciousness6685 6 лет назад +2

    See you at the top

  • @isackmlagwa5393
    @isackmlagwa5393 4 года назад

    Thanks its a good massage

  • @bakarimwinyi250
    @bakarimwinyi250 4 года назад

    Mwamba nakukubali Sana broo

  • @annymdg7647
    @annymdg7647 6 лет назад +4

    Very nice congratulations a lot,vision is important in.every situation more so in self discipline.this Will be helpful to achieve(VISION POWER OF LIFE)see u at the top👏👏👏👏

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 6 лет назад

    Mmmh kweli kukusikiliza nazidi kupata hasira

  • @mariammasatu4785
    @mariammasatu4785 6 лет назад

    Asante sana bro Joel kwa somo zuri, ubarikiwe sna kaka

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 6 лет назад +3

    Niko class na teacher

  • @masumbukosendwa8359
    @masumbukosendwa8359 6 лет назад

    Ubarikiwe sir joel

  • @telesiamkumbwa8888
    @telesiamkumbwa8888 6 лет назад

    be blessed nakuelewa sana

  • @conchesterforever6377
    @conchesterforever6377 2 года назад

    Be blessed

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 6 лет назад +3

    Tunashukuru kaka,maono yangu nataka niwe mfanyabiashara mkubwa.Lakin sasa marafiki nilionao level yangu tu,baadhi wanaushauri mzuri lakin natamani niwe na marafiki ambao wazoefu kwenye biashara wanielekeze njia.Kuwapata ndo shida

    • @elizabethrudgely0016
      @elizabethrudgely0016 6 лет назад +2

      Kunawakati inabidi ujifunze kusimama pekeako we amua kufanya hao marafk unaowataka watakuja tyu amua wew kam wew kwanza

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 6 лет назад +1

      @@elizabethrudgely0016 Sawa mamy, ahsante kwa ushauri.Ntalifanyia kazi

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 6 лет назад

    absolutely brother!,.,,rlly do like it,.

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 6 лет назад

    tangu nimekua na maono na kazi yangu marafiki wasiofaa wanakimbia wenyewe

  • @jescakonyanza2726
    @jescakonyanza2726 23 дня назад

    Uwezo wa kuvumilia

  • @dalalijumbe9890
    @dalalijumbe9890 6 лет назад +16

    Habari za asubuhi mwalimu Joel Nauka mimi Nina maono matatu na ninapenda kuyafikia yote kabla sijafikia umri wa miaka arubaini ikiwa hivi sasa ninaumri wa miaka 37 .kwa njia,taratibu na hatua zipi ninazotakiwa kuzifuata ? Kaka Joel katika kuyafikia maono haya(yaani kua mfanya biasha na kua MTU anaezungumza lugha zaidi ya tatu za kigeni(English, Chinese na Arabic),baada kujifunza na kupewa ushauri,mbinu,njia,uwelewa na aina ya biashara kuto kwa watu wenye uzoefu wa lugha na biashara.ono LA tatu iliniwe mwalimu kama we we elimu hiyo inaitwaje vilevile sifa zake na wapi wanafundisha fanii ili ijekua chachu biashara yangu au kwenye kazi yangu au katika taifa letu au katika visiwa vyetu vya huku Zanzibar kwa mtazamo wangu huku Zanzibar hatuna mwalimu wa dizaini(aina)kama yako ndio maana nataka niichangamkie hii changamoto(challenge)

  • @kbogoamos5070
    @kbogoamos5070 6 лет назад

    najiona mpya kupitia wew kk

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 5 лет назад

    Asante sana

  • @peninaancon1256
    @peninaancon1256 6 лет назад

    Darasa zuri mnooo..
    Hongera Bro!..

  • @michaelshayo187
    @michaelshayo187 6 лет назад

    Nina hatua z muhimu sana za kuchukua ila nashindwa kuanza kila siku leo kama mwaka wa tatu unaisha

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 6 лет назад +1

    Ahsante Kaka

  • @princeprevailndawanga1123
    @princeprevailndawanga1123 5 лет назад

    Ubarikiwe sana kwa maana nimeanza kunifunza kitu ndani ya masomo yako ila ningeomba niulize maswali kupitia WhatsApp kuma itakuoendeza

  • @evelynengoma5517
    @evelynengoma5517 6 лет назад

    Asantee

  • @barikipeter721
    @barikipeter721 6 лет назад

    Thanks brother

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 6 лет назад +1

    Asante Kaka 👏

  • @pambatz8815
    @pambatz8815 6 лет назад +1

    kwel bro

  • @alamnyopo9739
    @alamnyopo9739 6 лет назад

    Asante...

  • @linetnekesa7328
    @linetnekesa7328 6 лет назад

    asante sana

  • @jaypolpzpwhitelion4661
    @jaypolpzpwhitelion4661 6 лет назад

    Asante kaka

  • @sazahassan2353
    @sazahassan2353 6 лет назад

    Super

  • @michaelmbota3595
    @michaelmbota3595 6 лет назад +1

    Nina maono ya kuwa mkulima mkubwa nchini.

  • @nadalnadir
    @nadalnadir 6 лет назад

    Safii

  • @michaelmbota3595
    @michaelmbota3595 6 лет назад

    Thanks

  • @simonmichael2297
    @simonmichael2297 5 лет назад

    Asnte san kwa kunitoa sehem flani kimawazo

  • @alihassanhaiba6937
    @alihassanhaiba6937 6 лет назад

    asante

  • @kitegwelucas1562
    @kitegwelucas1562 6 лет назад

    kweli kiongozi

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 Год назад

    Naitaji kitabu

  • @hassansalehe2895
    @hassansalehe2895 6 лет назад

    ninamaono yakuwa mfanyabiashara wakat ira sijuwi nibiasharagan itakayo nifikisha kwenye maono yangu

  • @goldmaster6639
    @goldmaster6639 6 лет назад +1

    Naaam nakubaliana nawewe maana kuna wakati naongea na mito ya sofa nikiwa ndani kwangu hisia na maono zinanipeleka mbali nahisi nafanya bonge LA interview na watu wakubwa kumbe naonge na mito hayo yote ni maono kweli maono yananguvuu

  • @hamismahmood
    @hamismahmood 7 месяцев назад

    Sahihi

  • @bakariSeif-ur4tr
    @bakariSeif-ur4tr Год назад

    Kaka nime fulayi sana leo ume izungumziya kariya yang boxing

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 6 лет назад +2

    Self displine

  • @teclamastone7098
    @teclamastone7098 3 года назад

    Nafatilia sana vipindi vyako kiongozi pls nisaidie namba yako ninamaswali niliitaji msaadakwako

  • @chrisssjustino1696
    @chrisssjustino1696 4 года назад

    Nashukuru kwa masomo unayotupatia na kutujengea uwezo wa kujiamini Natamani kuwa mfugaji Mkubwa wa kuku je nifanyeje?? Lakini vitabu vyako huku Sumbawanga vinapatikana wapi??

  • @sypriannjole4865
    @sypriannjole4865 6 лет назад

    Alikuwa kipofu na kiziwi alihojiwaje hyo wakt haoni na hasikii

  • @nellyachieng4930
    @nellyachieng4930 6 лет назад

    Kaka naomba kupata vitabu zako,nko kenya, Mombasa,nitakipata wapi?

  • @neemafadhili7989
    @neemafadhili7989 6 лет назад

    kaka mihapo 1 kuvumilia

  • @mwanjalalulu2933
    @mwanjalalulu2933 6 лет назад +2

    Namba yako pls pls

  • @kayandayona8496
    @kayandayona8496 4 года назад

    Na taka nijibane ndani yamiaka (4) niwe nimesha pata mtaji wamiliona (15) nimesha anza mikakati takuwaza kunifikisha hapoo ninapapataka maana ninavitu nimeshaanza kujipanga

  • @joemouly7877
    @joemouly7877 6 лет назад +3

    Nashukur sana kaka yangu
    Napenda nijuwe ENGLISH bila kusomeshwa nafanya aje?

    • @salmaalimusa547
      @salmaalimusa547 5 лет назад

      1 kabisa uwe na ujasiri nausiwe muoga wakushindwa.

  • @onesmokway
    @onesmokway 6 лет назад +1

    hata kukusikiliza wewe tu nadhani ni elimu tosha ya kukuvusha kwenda kwenye matarajio yetu kuliko kwenda shule kufundishwa binadamu alikuwa nyani..

  • @victoriadamas5261
    @victoriadamas5261 6 лет назад +2

    Kaka me sina marafiki unanishauli nn

  • @ndabulimarco1848
    @ndabulimarco1848 5 лет назад

    Nakuelewa sanabro. ningependa kupata ur personal number

  • @Mwamba67
    @Mwamba67 6 лет назад

    Ndiooo

    • @alphoncemollel6983
      @alphoncemollel6983 5 лет назад

      Habari za leo mm naitwa Alphonce Mollel nimekufuatilia mda mrefu sana na jumbe zako zimekuwa za baraka sana kwngu (((maono yangu ni kuacha kuajiriwa na kujiajiri nataka kujakumiliki campuni

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi9909 6 лет назад

    Nanauka naomba namba yako ya simu or your email ,kupitia yugakiyumbi05@gmail.con

  • @haithamyahya6722
    @haithamyahya6722 6 лет назад +2

    See you at the top

  • @gladnessephraim4746
    @gladnessephraim4746 6 лет назад

    Ahsante kaka

  • @zabibounzeyimana703
    @zabibounzeyimana703 6 лет назад

    asante sana

  • @halimasaidi9142
    @halimasaidi9142 6 лет назад

    Asantee

  • @marcopeter4091
    @marcopeter4091 Год назад

    Thanks