LIFE WISDOM: KANUNI ITAKAYO FANIKISHA NDOTO YAKO - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 28

  • @JohnMashimba-y7x
    @JohnMashimba-y7x 21 день назад +9

    MWALIMU UBARIKIWE MNO 🔥🙌
    KUNA KITU UNATENGENEZA NDANI YANGU
    ......WE WILL MEET AT THE TOP

  • @OmallyMbwana
    @OmallyMbwana 21 день назад +4

    Ukiwa haujiamin hakuna mtu atakuamin pia ukiwa hujithamin hakuna mtu atakuthamin asante sana kaka Joel Nanauka tunazid kujifunza Kila siku #See You At The Top ❤

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 21 день назад +2

    Asatee mwalimu mungu akubark ❤❤❤

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 20 дней назад +1

    Asante sana coach... Joel... mafankio Yako nimukusanyiko wa vitu.... venye wavifanya Kila siku....nimeipenda xana... hongera sana zidi kubarikiwa🙏🙏🙏

  • @SALMAramadhani-e3j
    @SALMAramadhani-e3j 22 дня назад +6

    Topic imenipa kiu ya kusikiliza sana...Roho mtakatifu Niongoze na mjaze maarifa Mtumishi wako huyu

  • @daudipius
    @daudipius 21 день назад +2

    Thanks my menter,uliifanya akili yangu ianze kuwaza kuwa billionea since form six,hakika umekuwa msaada sana katika maisha yangu,nina imani one day i will be a young billionea✊✊✊👊👊

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 21 день назад +2

    Asante tunabarikiwa sana mtumishi 👏❤

  • @HappinessAdolph
    @HappinessAdolph 21 день назад +1

    Kujiamini muhimu, kila mtu ni mshindi. Asante kwa somo zuri naendelea kujifunza.

  • @HappynessHilonga
    @HappynessHilonga 8 дней назад

    Asantee sanaaa seminar yako ya mwaka2025 mwez wa kwanz naomba kushirik

  • @emmanuelhumph2874
    @emmanuelhumph2874 21 день назад

    Aonavyo(awazavyo,afikirivyo) mtu nafsini(ndani yake,moyoni mwake,akilini mwake) ndivyo alivyo
    Thank you Sir ❤

  • @EmmanuelMartin-z3f
    @EmmanuelMartin-z3f 12 дней назад

    Hongera kwa Kazi za kuelimisha jamii katika mambo mbalimbali , sasa baomba kuuliza swali kuhusu masuala ya ya fedha na uchumi , Hivi wataalamu Wa uchumi wanaposema uchumi Wa taifa umekuwa kwa 8% huwa wanamaanisha nini , naomba majibu yake kwa kina. Ahsante

  • @Dr-Chapa
    @Dr-Chapa 21 день назад +1

    Asante sana mwalimu

  • @pialafrance7922
    @pialafrance7922 16 дней назад

    Barikiwa sana kaka umeongea fact sana

  • @joselynenizi9475
    @joselynenizi9475 21 день назад

    Asante sana kaka joel

  • @HalimaAmadi
    @HalimaAmadi 21 день назад

    Ubarikiwe sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 19 дней назад

    Amen amen

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 21 день назад

    Asnte sna kaka joel kw ushaur muzur

  • @liliMwita
    @liliMwita 19 дней назад

    Napenda kufanikiwa lakni Kila nikiweka jitihada na mipango inaishia njian

  • @rashidkombo5847
    @rashidkombo5847 13 дней назад

    SeeYouAtTheTop

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 21 день назад

    Asante sana

  • @MkanaEvarone
    @MkanaEvarone 20 дней назад

    Asante sana kaka

  • @GeofreyDeus
    @GeofreyDeus 20 дней назад

    Shukran sana kaka

  • @AyiokaVedinas
    @AyiokaVedinas 21 день назад

    ❤❤❤❤

  • @MariaGesero
    @MariaGesero 21 день назад +1

  • @ZabronMarco
    @ZabronMarco 20 дней назад

    💯

  • @YemimaMinja-uo4ik
    @YemimaMinja-uo4ik 19 дней назад

    Kila mabadiliko yanaanza na mimi nianze kubadilika

  • @YassinAdam-f7k
    @YassinAdam-f7k 21 день назад +3

    Mwalim wangu toka 2016

  • @SalhMdogo
    @SalhMdogo 23 дня назад +3

    😂nafrahi leo nimekula wa 2😂