First time you guys performed this song was at "NIGHT OF PRAISE OF WORSHIP" MBEZI BEACH , finally the video is here GOD WE GIVE YOU PRAISE FOREVER AND EVER Miriam and Paul Mungu awabariki zaidiiii
Wimbo Bora kabisa kwangu kwa Mwaka HUU.... Mungu azidi kuwabariki wapendwa. HUDUMA YENU NI NJEMA SANA.Nimebarikiwa sana na huu wimbo jamani kumtumikia Mungu kuna raha nmepata faraja sanaaa mbarikiwe sanaaa dada Miriam na kaka Paul.
Nashindwa niongee nini wimbo huu unanguvu za ajabu kila ninapousikiliza Namtafakari Mungu kwa mapana Sichoki kuusiliza ni mkate Wangu wa kila siku Mungu awainue zaidi
what an amazing voice you got Miriam. your voice is the best of all the female artists i know in TZ. Mungu akubariki sana. Paul barikiwa sana kwa kutoa sapoti ya kutosha
Niseme ukweli
Huu wimbo ni bora kwangu wakati wote
Ubarikiwe Dada mirium
Hongera kaka clement
Hongera mama angu kwa wimbo mzuri kama huu
Daa huu mwimbo nimeusikia Juzi tu. Ni mwimbo mzuriii sana
nawapenda sana naupenda wimbo huu mubarikiwe sana
Mungu awabarika ninabarikiwa sana sana na huu wimbo
Hizi ndio nyimbo za kusikiliza, siwezi kuchoka kusikiliza wimbo kama huu, barikiwa sana Dada!! Ainuliwe Yesu PEKEE! Hallelujah!
Wimbo Bora kabisa kwangu kwa Mwaka HUU.... Mungu azidi kuwabariki wapendwa. HUDUMA YENU NI NJEMA SANA
umeona dada Bet?
Mzurii mno bwana yesu asufiwe dada beatrice samahan nashida sana naww mi dada glace natak kufanya nawe kazi ya mungu isonge 0768884595
Mwokozi wa Ajabu
Baba wa Rehema
Very nice song
0782 281175
Dsm
Amen
Tuseme nn bac juu ya mambo haya mungu akiwa upande wetu paul. Miriam nawakubali sanaa
Ahsante kwa wimbo unaobariki!
Nimebarikiwa sana na huu wimbo jamani kumtumikia Mungu kuna raha nmepata faraja sanaaa mbarikiwe sanaaa dada Miriam na kaka Paul.
Jamani wajina wangu Miriam ........unanibariki sana ..unaimba vizuri sana....love you
Woooow, this song....it should get to a million views in Jesus name. It's powerful. I love your voice woman of God.
Napenda uimbaji wako sanaa Mungu akubariki sis Miriam ❤️❤️
Amen sehewa maombi
Nilitafuta sana huu wimbo naskiaga unapigwa sana radio safina Mungu awabariki huu wimbo umenibariki naupenda sanaaa
So nice my boss
wimbo huu unaningusa every day, every year, every mouth, mbalikiwe wapendwa kwa kuzid kulitukuz jina la bwana yesu
Good song...
Like it
PAUL CLEMENT MAY GOD TAKE YOU HIGHER.PAMOJA NA MIRIAM MNABARIKI MOYO WANGU SAANA .FROM ELDORET KENYA
Paul unafaa sana kwenye nyimbo za worship Hivi kama hivi, God bless you man of God.
Jamani kila nikiingia RUclips wimbo huu uko kwenye list ,Mungu awabariki sana na kuwainua
Waoo huu wimbo wa viwango kavisa
Ameen mnanifanya niurudie kila wakati jaman duuu sasa hapo utukufu ni wako mwanakondoo umeshinda duuu, mbaririkiwe sana sana
Ameen amen hallelujah amen🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nyimbo za ibada.. Ubarikiwe mpendwa
First time you guys performed this song was at "NIGHT OF PRAISE OF WORSHIP" MBEZI BEACH , finally the video is here GOD WE GIVE YOU PRAISE FOREVER AND EVER
Miriam and Paul Mungu awabariki zaidiiii
Amen
Mirium nyimbo zako zna upako sana nikiskilza nasismka mwili na roho nabubujikwa machozzi....Mungu akubariki sana
Bwana unafanya bwana unatenda wimbo umenibariki sana
Wimbo Bora kabisa kwangu kwa Mwaka HUU.... Mungu azidi kuwabariki wapendwa. HUDUMA YENU NI NJEMA SANA.Nimebarikiwa sana na huu wimbo jamani kumtumikia Mungu kuna raha nmepata faraja sanaaa mbarikiwe sanaaa dada Miriam na kaka Paul.
Nashangaa nilikuwa wapi kuujua huu wimbo kwel nmechelewa ndio nauona leo but still proud ni mzur sanaaaa umenibariki ad sisemi sanaa yan
The song is among my favorite songs, i love the song sana sana
Nabarikiwa sana na wimbo huu. Mungu awabariki kwa huduma hii.
Mbarikiwe sana wimbo mzuri
Wimbo unanbark sana mbarkiwe
Mungu awabariki sana naazidi kuwainua kwa viwango vya tofauti vya rohoni Utukufu na heshima vimrudie Mungu alie juu!!!Ameeen
Amen hallelujah amen
Nashindwa niongee nini wimbo huu unanguvu za ajabu kila ninapousikiliza
Namtafakari Mungu kwa mapana
Sichoki kuusiliza ni mkate Wangu wa kila siku Mungu awainue zaidi
Kazi Mliipiga wakuu!
MBARIKIWE MNO!
Thanks nimebarikiwa na wimbo wenu...kweli Mungu wetu ni waajabu asiyeshindwa.Amen
Blessed
wimbo mzuri,hongera mtimishi wa Bwana,I love that ur very original kwa voice yako Dada Miriam...Mungu akuzidishe
ninakupenda Miriam Mauki!Mungu aibariki huduma yako...
katika kuabudu vichuma vya mapambano vinavunjika moja kwa moja...naiona ikianguka...tumpe yesu utukufu
I feel the presence of holly spirit in this song
wimbo huu unanibariki sana naupenda sana kuusikiliza
Mmenibariki sana
Mbarikiwe sana n'a Mungu awape neema yake kila iitwapo leo
Poul endelea na nyimbo za kuabudi sababu unapoimba unabariki wengi zaidi
Nakumbuka tukienda Efatha Ministry Moshi. Barikiwa!
Haka kawimbo huwa kazuri, leo nmekakumbuka nikasikize before 2020
kazi nzuri mnoo dada miriam...paul hz znakufaa sio zile zngne we msikilize Mungu
Waooow nimebarikiwa sana amen amen mokozi wa ajabu
Ameen👐👐👐
Dada Miriam hujaimba wewe bali ni Roho mtakatifu mwenyewe
Amen, hallelujah nabarikiwa sana na huu wimbo. mbarikiwe Mariam na Paul
Barikiwa Sana Mpendwa maana wimbo unabariki moyo wangu
Amen Amen Amen Hallelujah Amen...be blessed all sons and daughters of Lord God in Jesus name
Amen, Mungu awabariki nyimbo nzuri mno, wonderful saviour
My favourite song God bless you guyz
one of my best praise song all the time
Mwenyezi mungu azidi kuwabarikii sanaaaa✋✋
Mungu aibariki kazi ya mikono yenu dada Mariam na kaka paul
what an amazing voice you got Miriam. your voice is the best of all the female artists i know in TZ. Mungu akubariki sana. Paul barikiwa sana kwa kutoa sapoti ya kutosha
Mungu wangu hajawahi kushinda
I can play this song a thousand and one times! So inspirational, remain blessed!
Paulo ukiimba nyimbo za taratibu huwa zinanguvu sana naomba utulie hapo hapo kaka nabarikiwa sana
I'm so blessed!
much love from South Africa
"Blessing you"
Amen Mungu awabariki kwa kugusa mioyo ya watu
nice song mungu azid kuwapa karama ya kumtumikia kwa njia hii
Such a powerful worship song, i never ever knew that, ni Miriam ameuimba. nimebarikiwa na huwa naupenda.
Hapa umetisha paul my bro ila ule umerudi nyuma usiiimbe tena hiz ndo nyimbo zinagusa mioyo yetuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
John Charles Singano kweli hizi ndo nyimbo zake yan worshiping and praising only
John Charles Singano kweli hizi ndo nyimbo zake yan worshiping and praising only
Nyimbo nzur sana Dada Miriam, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi katika utumishi wako
What a nice piece full of blessing... Be blessed
Mungu azidi kukuinua
be blessed nice song nimebarikiwa sana na wimbo huu
nice song,,, Mnanibarik sana Watumishi Wa kristo...Mungu aendelee kuwainua zadi
Waoooo good song
Mimi nahitaji namba ya huyu dada jaman
Paul umeutendea haki wimbo huu. Mungu awabariki wimbo mzuriii
nimebarikiwa wimbo ni mzuri mno
amen amen haleluya amen mmetisha Duh!
Amen .what a worship direct to prayers
GOD BLESS YOU EXCEDINGLY!
Ameeeeni
Tunaongea sana kwa hii amen
Kazi nzur MUNGU awabar
BARIKIWA SANA DADA KWA HUDUMA YAKO
Amen be blessing song thanks Miriam and Paul
Uwiii wimbo inanibarik sana
Amen Haleluyah!!...He is worthy to be praised🙌🏻
wimbo mzuri sana umenigusa
Be blessed for this amazing work. In response to his goodness we'll worship 🙏🙏
Bless your name Jesus
Fantastic song,AMEN ALELUYA
wimbo mzuri dada, Mungu azidi kukubariki.
Nakupenda miriam mauki. Hasa huu mwimbo wako. Kilaa siku nausikiliza asubui. Kwy gari kazini everywhere
nice one...Mungu awabariki
My friend, my our Lord GOD aendelee kukulift high than you can imagine. Am so blessed with your songs. Watching you from Kenya.
Still my favorite song of all the time
nice song we praise the living God
nice song,, God bless you servants
Amen hallelujah praise Jesus
amen,mmenibarik mnoo
mbarikiwe sana watumishi
Aaaamazing.. God bless you