Miriam Lukindo Mauki - Hakuna Wa Kubadili (Official music Video) by einxer

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 209

  • @kharidmushangan3320
    @kharidmushangan3320 3 года назад

    Mzuri sana uwiiiii

  • @gladymosha3120
    @gladymosha3120 3 года назад +1

    Amesha sema ndiyo HAKUNA wa kubadili 🙋🙋🙋

  • @victoriakhatibu2288
    @victoriakhatibu2288 2 года назад

    Safi sanaaa ,Mungu akutunze

  • @saidjulius7311
    @saidjulius7311 4 года назад

    Mungu awabariki sana

  • @andrewsaid7579
    @andrewsaid7579 3 года назад

    Huu wimbo mzuri sana an

  • @pallangyodaniel8918
    @pallangyodaniel8918 Месяц назад

    ❤❤❤❤UPENDO WAKO MUNGU NI MKUBWA MNOO KWANGU🎉

  • @crdbtemeke1438
    @crdbtemeke1438 4 года назад +1

    Mungu awabarkiiii sanaaaaa. Shaloooommmmmm

  • @salomesamson5050
    @salomesamson5050 4 года назад

    Nyimbo nzurii sanaaa weka ziwe zinaweza kudanirodiwa

  • @irenempayo221
    @irenempayo221 6 лет назад

    hakuna kabisa wa kubadili statement yake..he put his word even above him self Mungu mwaminifu kwa kweli

  • @alindasawe7073
    @alindasawe7073 5 лет назад

    Amina hakuna wa kubadili simba wa yuda kashasema yes,barikiwa sana

  • @nasmahamiisi7949
    @nasmahamiisi7949 5 лет назад

    Nakupeda Dada miriamu umefanya vinzur hakuna wakubadiri

  • @magejoseph9258
    @magejoseph9258 3 года назад

    Hakuna wa kubadiri Bwana akisema ndio hakika hakuna wa kubadiri

  • @amanyona8520
    @amanyona8520 3 года назад

    Safi sana

  • @asiamgaya6563
    @asiamgaya6563 7 лет назад

    barikiwa sana Dada mungu akutie nguvu

  • @annethmengele6937
    @annethmengele6937 5 лет назад

    Hakuna wa kubadili alichokipanga Mungu lazima kitimie

  • @Salome-mq1mq
    @Salome-mq1mq Год назад

    Amazing song🙌

  • @joyceplospa3258
    @joyceplospa3258 7 лет назад

    na hatatokea wa kubadili ashafungua kwote

  • @nivigan
    @nivigan 2 года назад +1

    Good vibes

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 6 лет назад

    duuh... unaundugu na lulu kanumba.. mn si kwa mfanano huo

  • @dinatinaeliah4297
    @dinatinaeliah4297 6 лет назад

    kwel hakuna wa kubadil

  • @magdalenajohn9201
    @magdalenajohn9201 3 года назад

    Karibu San tanga

  • @veronicamagabe2438
    @veronicamagabe2438 7 лет назад

    hakika hakuna wa kubadili,

  • @angelmmary6799
    @angelmmary6799 5 лет назад +1

    Kweli hakuna wa kubali, Mungu akisema ndio, Mungu akubariki kwa utumishi huu wimbo una nibarikiii mno

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg 6 месяцев назад +1

    Hakuna wakubadili❤❤

  • @anetherick8656
    @anetherick8656 7 лет назад

    hakuna wa kubadili...barikiw sana

  • @julianakitenge8102
    @julianakitenge8102 7 лет назад

    barikiwa sana cct wimbo Ni mzuri mno kwa kweli hakuna wakubadili

  • @ChristerbellMwasele
    @ChristerbellMwasele 2 года назад

    Waoooh Miriam God bless u by christerbell

  • @adelinawenceslaus6303
    @adelinawenceslaus6303 5 лет назад

    hakika hakuna wa kubadili

  • @babycort1713
    @babycort1713 7 лет назад +2

    Wimbo mzuri, video nzuri, Location nzuri, Mavazi mazuri, Wadada wazuri. Mungu awabariki

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel8323 3 года назад

    Ahadi alizosema nami hakuna wa kubadili
    Haijalishi mazingira yanasemaje

  • @williammbuli4583
    @williammbuli4583 4 года назад

    BARIKIWA SANA MTUMISHI",BWANA AMENIPA HUU WIMBO KILA HATUA NAUSIKILIZA,"ROHO MTAKATIFU AKUTIE NGUVU IKIWA KUNA CHANGAMOTO MKUMBUSHE BWANA JUU YA WIMBO HUU KUWA KUNA MTUMISHI WAKO MUNGU AMEPOKEA UJUMBE HUU UMDAI KWA HAKI OMBILAKO."NINAZIDI KUKUOMBEA."BARIKIWA!!!

  • @nivigan
    @nivigan 2 года назад

    Joseph and Jackson were here 💥💥💥💥💥💥

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 2 года назад

    Hakuna wakubadili Baba akisema

  • @jumatanostephenkarumanga6207
    @jumatanostephenkarumanga6207 7 лет назад

    natamani niandike kwa lugha ya kwenu la kini sijui mirium umefanya kazi nzuri zaidi ya sana utukufu kwa Mungu

  • @leahrichard1900
    @leahrichard1900 7 лет назад +2

    very nice song , nilikuwa nakusikiliza clouds redio

  • @josiahseverre1047
    @josiahseverre1047 7 лет назад

    Big up Dada Hakka hakuna wa kubadili si aliyeko duniani wala aliyeko mbinguni isipokuwa na Mungu mwenyewe. Hata yeye mwenyewe habadili ahadi yake. Barikiwa pia na bro hapo

  • @jaywayzbeatz6950
    @jaywayzbeatz6950 Год назад

    I love your songs so much sikuwahi kujua kama ni wewe sauti na nyimbo zako vinaishi u are choosen by god

  • @peteredward3753
    @peteredward3753 3 года назад

    Real i love her so much

  • @amosileonard5989
    @amosileonard5989 7 лет назад

    Waoooo inabariki sana. HAKUNA WA KUBADILI HIS STATEMENT.........Mungu azidi kukuinua mtumishi

  • @neemaalice7482
    @neemaalice7482 6 лет назад

    Hakuna wa kubadili

  • @janelymagazi8139
    @janelymagazi8139 7 лет назад

    Kweli hakuna wakubadili...Bwana akisema ndio. Nice song
    Mmependeza sana

  • @afualusigi923
    @afualusigi923 2 года назад

    Nice song

  • @estherkwamboka2874
    @estherkwamboka2874 2 года назад

    Still blessed by this song in 2022

  • @davidyehovayehova2434
    @davidyehovayehova2434 6 лет назад

    yani huyu mdada nampendaje, kwakeli chombo cha YEHOVA. barikiwa dada

  • @adelinawenceslaus6303
    @adelinawenceslaus6303 5 лет назад

    Hakuna wakubadili

  • @neemasedoyeka9284
    @neemasedoyeka9284 5 лет назад

    Yes. No one can change

  • @ttinuga
    @ttinuga 7 лет назад

    very nice song

  • @thomaskitima9440
    @thomaskitima9440 7 лет назад

    clouds wamefanya nianze kukufuatilia...very nice...keep it up!

  • @faithnelsoni4600
    @faithnelsoni4600 Год назад

    Still here 2022...Miriam I love you

  • @annethmengele6937
    @annethmengele6937 5 лет назад

    No matter what hakuna was kubadili

  • @izabelamwalukuta3522
    @izabelamwalukuta3522 5 лет назад

    Naupenda sana huu wimbo,nasubiri tukio la ndoa

  • @jesca0601
    @jesca0601 5 лет назад +1

    Hayupo💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻🥰🙏🏾🙏🏾

  • @adelinaleonard8044
    @adelinaleonard8044 6 лет назад

    wow! hongera sana kwa wimbo mzur my sissy hakika Mungu akubariki sana ktk huduma hii nzur alokupa umtumikie

  • @lightnesscharles6414
    @lightnesscharles6414 5 лет назад

    his statement only God can say yes nobody can say No

  • @watsonmbesigwe7070
    @watsonmbesigwe7070 7 лет назад

    Hakuna wa kubadili, Go ahead ishatolewa.......

  • @ikupaabrahamu8313
    @ikupaabrahamu8313 4 года назад

    Asante MUNGU amekuongoza kuimba wimbo huu umeniinua kutoka hatua moja hadi nyingine. Ubarikiwe.

  • @apollomazengo1009
    @apollomazengo1009 7 лет назад

    Wimbo mzuri. Ujumbe kamili. Quality n standard video

  • @erasmosdidas9316
    @erasmosdidas9316 7 лет назад

    Hakuna wa kubadili ,ubarikiwe my sis Miriam lukindo

  • @jackeymartin1417
    @jackeymartin1417 7 лет назад

    Wow hongera aunt!! Kweli hakuna wa kubadili

  • @bathshebamchuza2648
    @bathshebamchuza2648 6 лет назад

    Bwana ameshanikubali,hakuna wa kubadili😂😂😂Amazing GOD👏👏

  • @jacquelinepascal4733
    @jacquelinepascal4733 4 года назад

    Woow wimbo mzur sanaaa, big up

  • @thomaskitima9440
    @thomaskitima9440 7 лет назад

    clouds wamenifanya nikufahamu...very nice...good, keep it up

  • @jacquelinejackson6124
    @jacquelinejackson6124 6 лет назад

    Nyimbo ina viwango vya kiroho na ni nzuri yaani nzuri sana Its a reminder Mungu akisema ndo kashasema it's u to believe

  • @joselinemartin9596
    @joselinemartin9596 7 лет назад

    kweli hakuna wa kubadili his statement barikiwa sana mtumishi wa Mungu songa mbele.

  • @happinesskisongo9216
    @happinesskisongo9216 7 лет назад

    mungu akubariki endelea kufanya kazi ya bwana maana katika uimbaji watu wanafunguliwa

  • @maggiemwambapa900
    @maggiemwambapa900 7 лет назад

    Kabisaaaa hakuna wa kubadili barikiwa sanaaaa dada

  • @Mhepe
    @Mhepe 7 лет назад

    Congratulations my dada video nzurii hatari

  • @piusemma1
    @piusemma1 7 лет назад

    mtumishi umetisha sana hapa. kama enzi za aimela! Glory to God. Mungu aendelee kukutumia.

  • @angelleonard9952
    @angelleonard9952 6 лет назад

    Nani aweza kubadili

  • @kassianmwenyasi3718
    @kassianmwenyasi3718 7 лет назад

    Ni kweli kabisa hakuna wa kubadili , MUNGU azidi kukupaka mafuta kwa kazi yake ,HONGERA KAZI NZURI. Barikiwa

  • @thomaskitima9440
    @thomaskitima9440 7 лет назад

    clouds wamenifanya nikufahamu...very nice...good, keep it up !

  • @dagbertdamian2664
    @dagbertdamian2664 Год назад +1

    When he says Yes it is yes, no one can change that! What a wonderful God we serve! Glory glory!

  • @anethmfikwa2485
    @anethmfikwa2485 7 лет назад

    Sure ndio ya Yesu ni ndio hakuna wa kubadili

  • @bathshebamchuza2648
    @bathshebamchuza2648 6 лет назад

    ameshasema nimebarikiwa,rly hakuna wa kubadl😁😁😁

  • @jaelartrio9105
    @jaelartrio9105 7 лет назад +2

    Woooooooww.... Ni kweli hakuna wa kubadiliKazi nzuri sanaaaa Dada Miriam

  • @gloryabdulhassan7100
    @gloryabdulhassan7100 5 лет назад

    Barikiwa mtu wa Mungu wimbo mzuri Sana.

  • @nasmahamiisi7949
    @nasmahamiisi7949 5 лет назад

    Ulifanya vinzur kwenye shelehe ya mororo nilibalikiwa Sana. Ulimtesa shetani wiki nzima

  • @josemwanijembe2007
    @josemwanijembe2007 5 лет назад

    hakika mungu akuongeze Sikh za kuishi Dada miriamu nimeupenda sana wimbo wako kweri HAKUNA WA KUBADIRI

  • @philomenakenedy9793
    @philomenakenedy9793 6 лет назад

    Asante dada Mirium Mauk wimbo una ujumbe mzuri,,,binafsi nabarikiwa nao

  • @nivigan
    @nivigan 2 года назад +1

    Woooow am falling in love with this song eeeeish it's amazing 🎧💥💥💥💥💥

  • @nathanliberty1453
    @nathanliberty1453 5 лет назад

    Dah! Wimbo mtamu. "Hakuna wa kubadili", style ya kucheza iko poa,nimebalikiwa.

  • @neemaphilip8103
    @neemaphilip8103 7 лет назад

    dada hii ni album au track jmn huu wimbo unanipa filling za juu zaidi sister, hakika hakuna wa kubadili. naupataje

  • @rosemarynkanone5104
    @rosemarynkanone5104 7 лет назад

    duuh dada gud job, i real like thiz song!!! nikisikiliza yaan acha tu hakika hakuna wa kubadiliii.

  • @sylviakadeha3261
    @sylviakadeha3261 5 лет назад +1

    Hakuna wa kubadili. .nakushukuru Mungu kwa hapa uliponifikisha..Hakika hakuna wa kubadili...umesema ndiyo hata kwangu I wil praise you forever🙏🙏🙏

  • @ludiajohnmangare1595
    @ludiajohnmangare1595 7 лет назад +5

    Kweli kabisa hakuna wa kubadili. Ubarikiwe sana wimbo mzuri Kweli. MUNGU aendelee kukutumia vyema kwenye kipaji chako hicho

  • @davidisayakirway2846
    @davidisayakirway2846 7 лет назад

    Wimbo umenibariki mnoo

  • @happiliciousdiva9767
    @happiliciousdiva9767 7 лет назад

    Wimbo mzuri am blessed kwa kweli.. Stay blessed my sister

  • @farajaburton8750
    @farajaburton8750 7 лет назад

    Amiiiina! Ubarikiwe dada

  • @projestusprosper1626
    @projestusprosper1626 7 лет назад

    video nzur Dada...kazi safi

  • @vickykisingi6869
    @vickykisingi6869 7 лет назад

    Hakika hakuna wa kubadili!! Wimbo mzuri.

  • @dorothlema1857
    @dorothlema1857 7 лет назад +1

    ubarikiwe dada Miriam usiku Wa leo nimeusikiliza huu wimbo mara biliion yaani sichoki kuusikiliza kweli hakuna wa kubadili

  • @monicasamba2557
    @monicasamba2557 7 лет назад

    Nasikiliza tena na tena sichoki...

  • @farajamwaifunga599
    @farajamwaifunga599 7 лет назад

    Nimebakilikiwa saana, Mungu aendelee kukufanya kichwa maana hakuna wa kubadili

  • @lwiticomwalukumba4148
    @lwiticomwalukumba4148 7 лет назад

    ubarikiwe dada Mariam

  • @msagumbunduki4287
    @msagumbunduki4287 7 лет назад +5

    Halleluya, hakuna wa kubadili yale mema niliyopangiwa na Mungu wang!!!!

  • @anoldaligawesa2915
    @anoldaligawesa2915 5 лет назад +1

    I cant stop listening this song, wimbo mzuri sanaaaaa. Blessed sisy hii beat na the song in general n mzuri sana.

  • @mercymacharia8141
    @mercymacharia8141 7 лет назад +5

    Great song,nice representation of our african style and the dance moves are on point.Baraka!!

  • @santielaelias7277
    @santielaelias7277 7 лет назад

    wowwww......nice sister

  • @jacktito7177
    @jacktito7177 7 лет назад

    Barikiwa mdada nyimbo nzuri

  • @napendamunisi6911
    @napendamunisi6911 6 лет назад

    Nimeamka nayo leo ❤❤❤❤❤❤💋💋