BARIKIWA SANA MTUMISHI",BWANA AMENIPA HUU WIMBO KILA HATUA NAUSIKILIZA,"ROHO MTAKATIFU AKUTIE NGUVU IKIWA KUNA CHANGAMOTO MKUMBUSHE BWANA JUU YA WIMBO HUU KUWA KUNA MTUMISHI WAKO MUNGU AMEPOKEA UJUMBE HUU UMDAI KWA HAKI OMBILAKO."NINAZIDI KUKUOMBEA."BARIKIWA!!!
Big up Dada Hakka hakuna wa kubadili si aliyeko duniani wala aliyeko mbinguni isipokuwa na Mungu mwenyewe. Hata yeye mwenyewe habadili ahadi yake. Barikiwa pia na bro hapo
Mzuri sana uwiiiii
Amesha sema ndiyo HAKUNA wa kubadili 🙋🙋🙋
Safi sanaaa ,Mungu akutunze
Mungu awabariki sana
Huu wimbo mzuri sana an
❤❤❤❤UPENDO WAKO MUNGU NI MKUBWA MNOO KWANGU🎉
Mungu awabarkiiii sanaaaaa. Shaloooommmmmm
Nyimbo nzurii sanaaa weka ziwe zinaweza kudanirodiwa
hakuna kabisa wa kubadili statement yake..he put his word even above him self Mungu mwaminifu kwa kweli
Amina hakuna wa kubadili simba wa yuda kashasema yes,barikiwa sana
Nakupeda Dada miriamu umefanya vinzur hakuna wakubadiri
Hakuna wa kubadiri Bwana akisema ndio hakika hakuna wa kubadiri
Safi sana
barikiwa sana Dada mungu akutie nguvu
Hakuna wa kubadili alichokipanga Mungu lazima kitimie
Amazing song🙌
na hatatokea wa kubadili ashafungua kwote
Good vibes
duuh... unaundugu na lulu kanumba.. mn si kwa mfanano huo
kwel hakuna wa kubadil
Karibu San tanga
hakika hakuna wa kubadili,
Kweli hakuna wa kubali, Mungu akisema ndio, Mungu akubariki kwa utumishi huu wimbo una nibarikiii mno
Hakuna wakubadili❤❤
hakuna wa kubadili...barikiw sana
barikiwa sana cct wimbo Ni mzuri mno kwa kweli hakuna wakubadili
Waoooh Miriam God bless u by christerbell
hakika hakuna wa kubadili
Wimbo mzuri, video nzuri, Location nzuri, Mavazi mazuri, Wadada wazuri. Mungu awabariki
Ahadi alizosema nami hakuna wa kubadili
Haijalishi mazingira yanasemaje
BARIKIWA SANA MTUMISHI",BWANA AMENIPA HUU WIMBO KILA HATUA NAUSIKILIZA,"ROHO MTAKATIFU AKUTIE NGUVU IKIWA KUNA CHANGAMOTO MKUMBUSHE BWANA JUU YA WIMBO HUU KUWA KUNA MTUMISHI WAKO MUNGU AMEPOKEA UJUMBE HUU UMDAI KWA HAKI OMBILAKO."NINAZIDI KUKUOMBEA."BARIKIWA!!!
Joseph and Jackson were here 💥💥💥💥💥💥
Hakuna wakubadili Baba akisema
Hakuna
natamani niandike kwa lugha ya kwenu la kini sijui mirium umefanya kazi nzuri zaidi ya sana utukufu kwa Mungu
very nice song , nilikuwa nakusikiliza clouds redio
Big up Dada Hakka hakuna wa kubadili si aliyeko duniani wala aliyeko mbinguni isipokuwa na Mungu mwenyewe. Hata yeye mwenyewe habadili ahadi yake. Barikiwa pia na bro hapo
I love your songs so much sikuwahi kujua kama ni wewe sauti na nyimbo zako vinaishi u are choosen by god
Real i love her so much
Waoooo inabariki sana. HAKUNA WA KUBADILI HIS STATEMENT.........Mungu azidi kukuinua mtumishi
Hakuna wa kubadili
Kweli hakuna wakubadili...Bwana akisema ndio. Nice song
Mmependeza sana
Nice song
Still blessed by this song in 2022
yani huyu mdada nampendaje, kwakeli chombo cha YEHOVA. barikiwa dada
Hakuna wakubadili
Yes. No one can change
very nice song
clouds wamefanya nianze kukufuatilia...very nice...keep it up!
Still here 2022...Miriam I love you
No matter what hakuna was kubadili
Naupenda sana huu wimbo,nasubiri tukio la ndoa
Hayupo💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻💃🏻🥰🙏🏾🙏🏾
wow! hongera sana kwa wimbo mzur my sissy hakika Mungu akubariki sana ktk huduma hii nzur alokupa umtumikie
his statement only God can say yes nobody can say No
Hakuna wa kubadili, Go ahead ishatolewa.......
Asante MUNGU amekuongoza kuimba wimbo huu umeniinua kutoka hatua moja hadi nyingine. Ubarikiwe.
Wimbo mzuri. Ujumbe kamili. Quality n standard video
Hakuna wa kubadili ,ubarikiwe my sis Miriam lukindo
Wow hongera aunt!! Kweli hakuna wa kubadili
Bwana ameshanikubali,hakuna wa kubadili😂😂😂Amazing GOD👏👏
Woow wimbo mzur sanaaa, big up
clouds wamenifanya nikufahamu...very nice...good, keep it up
Nyimbo ina viwango vya kiroho na ni nzuri yaani nzuri sana Its a reminder Mungu akisema ndo kashasema it's u to believe
kweli hakuna wa kubadili his statement barikiwa sana mtumishi wa Mungu songa mbele.
mungu akubariki endelea kufanya kazi ya bwana maana katika uimbaji watu wanafunguliwa
Kabisaaaa hakuna wa kubadili barikiwa sanaaaa dada
Congratulations my dada video nzurii hatari
mtumishi umetisha sana hapa. kama enzi za aimela! Glory to God. Mungu aendelee kukutumia.
Nani aweza kubadili
Ni kweli kabisa hakuna wa kubadili , MUNGU azidi kukupaka mafuta kwa kazi yake ,HONGERA KAZI NZURI. Barikiwa
clouds wamenifanya nikufahamu...very nice...good, keep it up !
When he says Yes it is yes, no one can change that! What a wonderful God we serve! Glory glory!
Sure ndio ya Yesu ni ndio hakuna wa kubadili
ameshasema nimebarikiwa,rly hakuna wa kubadl😁😁😁
Woooooooww.... Ni kweli hakuna wa kubadiliKazi nzuri sanaaaa Dada Miriam
Barikiwa mtu wa Mungu wimbo mzuri Sana.
Ulifanya vinzur kwenye shelehe ya mororo nilibalikiwa Sana. Ulimtesa shetani wiki nzima
hakika mungu akuongeze Sikh za kuishi Dada miriamu nimeupenda sana wimbo wako kweri HAKUNA WA KUBADIRI
Asante dada Mirium Mauk wimbo una ujumbe mzuri,,,binafsi nabarikiwa nao
Woooow am falling in love with this song eeeeish it's amazing 🎧💥💥💥💥💥
Dah! Wimbo mtamu. "Hakuna wa kubadili", style ya kucheza iko poa,nimebalikiwa.
dada hii ni album au track jmn huu wimbo unanipa filling za juu zaidi sister, hakika hakuna wa kubadili. naupataje
duuh dada gud job, i real like thiz song!!! nikisikiliza yaan acha tu hakika hakuna wa kubadiliii.
Hakuna wa kubadili. .nakushukuru Mungu kwa hapa uliponifikisha..Hakika hakuna wa kubadili...umesema ndiyo hata kwangu I wil praise you forever🙏🙏🙏
Kweli kabisa hakuna wa kubadili. Ubarikiwe sana wimbo mzuri Kweli. MUNGU aendelee kukutumia vyema kwenye kipaji chako hicho
yeye yuko alieko,,yes hakuna wakubadiri
Wimbo umenibariki mnoo
Wimbo mzuri am blessed kwa kweli.. Stay blessed my sister
Amiiiina! Ubarikiwe dada
video nzur Dada...kazi safi
Hakika hakuna wa kubadili!! Wimbo mzuri.
ubarikiwe dada Miriam usiku Wa leo nimeusikiliza huu wimbo mara biliion yaani sichoki kuusikiliza kweli hakuna wa kubadili
Nasikiliza tena na tena sichoki...
Nimebakilikiwa saana, Mungu aendelee kukufanya kichwa maana hakuna wa kubadili
ubarikiwe dada Mariam
Halleluya, hakuna wa kubadili yale mema niliyopangiwa na Mungu wang!!!!
Amen
Amina
I cant stop listening this song, wimbo mzuri sanaaaaa. Blessed sisy hii beat na the song in general n mzuri sana.
Great song,nice representation of our african style and the dance moves are on point.Baraka!!
wowwww......nice sister
Barikiwa mdada nyimbo nzuri
Nimeamka nayo leo ❤❤❤❤❤❤💋💋