PART 1| MIRIAM LUKINDO MAUKI | NIMEWAHI KUFUMANIA MESSAGES ZA KIMAPENZI KWA MUME WANGU | MASANJA TV

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • KWA MAHITAJI YA T-SHIRT ZA KEMEA PEPO WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0712 329 490 TUTAKULETEA POPOTE ULIPO MIKOANI UNATUMIWA
    SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
    👇 👇
    / @masanjatvgospel
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 13

  • @abdigiro7701
    @abdigiro7701 Год назад

    Our beautiful lady queen of Africa

  • @eddymaurice8576
    @eddymaurice8576 5 лет назад +3

    Nakupenda sana sana dada Miriam Lukido

  • @rachelmwaki7454
    @rachelmwaki7454 5 лет назад

    Wao my role model wangu!!!!!!!nakupendaga unavyojiheshimu

  • @asnathkyengula8461
    @asnathkyengula8461 4 года назад

    Asante dada,umeongea vyema sana Mungu akubariki.

  • @childofgod4412
    @childofgod4412 4 года назад +3

    Ndoa sio rahisi bwana hata ukimjua mtu sana kila siku ndoa mtu ni mpya humjui mtu ni Mungu tu ndiye anayetusaidia na kutupa hekima yake

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 года назад +3

    Hamna cha hadhi ila wanatafuta amani ya roho na kuepuka kero za wanaume

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 года назад +2

    "Mfahamu mtu kabla ya kuzama,mjue mtu vizuri kabla " nimekuelewa hapo

    • @antoniamtega495
      @antoniamtega495 3 года назад

      Utamfahamu vipi ilihali kila mtu atakua anaishi kwake??

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 2 года назад +1

    Mbaya zaidi hawa achani wakati wa mwanzo bali wakati wa mafanikio, i think ni kawaida ya mwanamke akipata nafasi.

  • @violetkaaya6402
    @violetkaaya6402 5 лет назад

    Ukweli ni wana ndoa kutosimamia na kukitunza kiapo cha ndo. ," Alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe. Kumbukeni Mungu anachukia kuachana

    • @isabelasimon8839
      @isabelasimon8839 5 лет назад

      Mchukue basi picha kwa karibu, wengine tunapenda kuona sura ya mtu vizuri anapohojiwa.

    • @cyprianacyprian6858
      @cyprianacyprian6858 5 лет назад +1

      Hongera dada Miriam kwa kuweza kutofautisha kazi yako na majukumu yako kama mke, hakika Mungu atakupigania na utafika mbali sana.