PART 1| MIRIAM LUKINDO MAUKI | NIMEWAHI KUFUMANIA MESSAGES ZA KIMAPENZI KWA MUME WANGU | MASANJA TV
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- KWA MAHITAJI YA T-SHIRT ZA KEMEA PEPO WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0712 329 490 TUTAKULETEA POPOTE ULIPO MIKOANI UNATUMIWA
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Gospel Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel - Развлечения
Our beautiful lady queen of Africa
Nakupenda sana sana dada Miriam Lukido
Wao my role model wangu!!!!!!!nakupendaga unavyojiheshimu
Asante dada,umeongea vyema sana Mungu akubariki.
Ndoa sio rahisi bwana hata ukimjua mtu sana kila siku ndoa mtu ni mpya humjui mtu ni Mungu tu ndiye anayetusaidia na kutupa hekima yake
Kweli kabisa
Hamna cha hadhi ila wanatafuta amani ya roho na kuepuka kero za wanaume
"Mfahamu mtu kabla ya kuzama,mjue mtu vizuri kabla " nimekuelewa hapo
Utamfahamu vipi ilihali kila mtu atakua anaishi kwake??
Mbaya zaidi hawa achani wakati wa mwanzo bali wakati wa mafanikio, i think ni kawaida ya mwanamke akipata nafasi.
Ukweli ni wana ndoa kutosimamia na kukitunza kiapo cha ndo. ," Alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe. Kumbukeni Mungu anachukia kuachana
Mchukue basi picha kwa karibu, wengine tunapenda kuona sura ya mtu vizuri anapohojiwa.
Hongera dada Miriam kwa kuweza kutofautisha kazi yako na majukumu yako kama mke, hakika Mungu atakupigania na utafika mbali sana.