SAFARI YA YAKUBU KUTOKA TANZANIA MPAKA POLAND 02 /ALIVYOPATA VIZA BAADA YA KUKATALIW MARA YA KWANZA
HTML-код
- Опубликовано: 26 июн 2023
- Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.com/watch?v=XcONB..
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/RosemaryAlfredM?cou...
Email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#mamafranjovlogs #workpermit #poland #maishayaughaibuni
Tuko pamoja mie siku kipata kufika ulaya European countries bc nitasadia ndugu zangu na watanzania wenzangu kwa njia yoyote ile ahsante sister kwa kushare na sisi mungu akusimamie najuwa kuna wengine hapendi unavyo fanya but keep going never stop na sis tuna appreciate it ❤🫶
Amen Amen Mungu atakufikisha tu
@@mamafranjovlog72hbr dada naitaj kaz poland naomba unipe grocess namna ya kupata
Shukurani sana kwa vidéo zako zinanipa moyo sana , mimi ni kijana ninae ishi Congo Kinshasa 🇨🇩 , kila siku napambana usiku mchana lakini ni kama Mungu nimeangukia kwenye Channel Salama , asante sana Mungu akubariki
Habari Mama Franjo nakupataje na mm nahitaji kuja huko nimetuma ujumbe Ig nmeona kimya,nsaidie dada nami nfate process ili nje 😭🙏
Shukrani Sana mummy Anjo😘
Dah big up dah
🙏🙏🙏
Maisha ni fumbo kwakweli
Daima bidii hata kamba hukata jiwe🙌🏻
Kabisa kabisa Amen
Nikutafute saa ngapi saa za Tz tuongee live
Nakubal mama franjo huna baya yaan najiona kama ni mm hapo tuna fanya interview na Amiri duuu eebwana weee
Usijali usijali muda wako utafika keep praying
mm nauliza jaman mm tunahitaji kuaplei viza lakini changamoto yangu english sijui je nitapata viza na vp kwenye intevuwe nahalimm sijui english
MIMI NITAFIKA naishi na hilo Neno la mwanetu YAKUBU
Kabisaaa wanguu
Waooh hongera zake
🥰🙏🙏🙏
Daah asee
🙏🙏
Waiting this episode
Finaly its outt🙏🙏
@@mamafranjovlog72 ulisema utaweka number yake mama twaingoja
Waoooh ♥️♥️
🥰🥰🥰
Daaah safi sana
🙏🙏
Mama Franjo wie geht's? alle ist gute? ich würde gerne nach Deutschland fahren, bald werde ich am July B1 Prüfung machen.
ich brauche deine helfen über job Bewerbung.
Waoooo Jakub umenipa moyo wakupamban
MUNGU akubariki sana mama Franjo!
Thanks Amen Amen
Mungu ni waajabu sana nimejikuta mpka machizi yananitoka. Mungu akubariki sana mama flanjo
Love you dadaa
🥰🥰🥰🥰🥰
Mama franjo naomba unisaidie nami plz🙏🙏
All bless kaka na mama fanjo
Shukrani
@@mamafranjovlog72 habari, Hemi nami naomba maelezo kidogo ya safari Kama hizi
@@mamafranjovlog72naomba tuwasiliane Zaidi mana nami nina ndoto za kwenda nje ila pakuanzia ndo pazito na passport Minato, Asante kwa kutupa elimu Zaid
Tupo pamoja
Congratulations
🙏🙏🙏
@mamafranjoyvlog72 Also i need this chance to go Poland nawezaje kupata hii chance 🥹
Together
😊🙏🙏
@@mamafranjovlog72tuko pamoja daahh Asante kwa kutupa elimu Zaid yaaani ni ndoto yangu kwelii siku moja nifanyeje kazi ulaya
WATAKAOITAJI KAMPUNI ILIOMPELEKA YAKUBU BASI MNICHEKI INSTAGRAM MANA SIWEZI KUIWEKEA DHAMANA HAPA RUclips ASANTENI WAPENDWA MSISAHAU KUSUBSCRIBE
Mama franjo naomba mawasiliano ya yakubu please
@@RachelRachel-zx6dxnimeshayaweka instagram .
Unatumia Jina gani
Maan natafuta sioni
Natumia jina la @granaterosemary
Madamu habari
Story nzuri sana sasa tunaotaka contact za yakubu unatusaidiaje maana hajataja namna yoyote yakumuaccess kwa ushauri wa process nzima zaidi
Umesikiliza video vizuri mana nimeelezea wapi mtapata contact za yakubu na nimeshaziweka toja juzi . Sikiliza maelezo vizuri pliz
My dear mie nipo Qatar nimejakupambana ili ni mie niende Poland na Nina Imani kuwa ipo cku nitafika Poland
Mama franjo eti inawezekana kupata chance nikiwa dubai bila kurudi Tz?
Ndio kama una residence permit ya kuishi huko kile kibali ya kuishi huko basi inawezekana ukaenda huko ubalozini
@@mamafranjovlog72 residence permit yangu itaisha mwakani mwezi wa tisa ngoja nikitulia nitakuj inbox tuyajenge mpenzi
Ok ok
Sasa watu ambae hatujasoma Haturuhudiwi kuomba VISA hakuna kazi zawo
Jamani aliambiwa Jina la hiyo kampuni au page Yao ya insta aniambie tafadhali me nshatuma message mpk nimechoka🙃
TUNOMBA MUENDELEZO WA HII STORY @mama flanjo vlog
Msijali ntawetea msijali
@@mamafranjovlog72 Asante