SAFARI YA YAKUBU KUTOKA TANZANIA MPAKA POLAND 02 /ALIVYOPATA VIZA BAADA YA KUKATALIW MARA YA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2023
  • Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
    www.youtube.com/watch?v=XcONB..
    SUPPORT ME ON PAYPAL
    paypal.me/RosemaryAlfredM?cou...
    Email: franjomulato@gmail.com
    Instagram:@granaterosemary
    #mamafranjovlogs #workpermit #poland #maishayaughaibuni

Комментарии • 67

  • @Nadir700
    @Nadir700 Год назад +8

    Tuko pamoja mie siku kipata kufika ulaya European countries bc nitasadia ndugu zangu na watanzania wenzangu kwa njia yoyote ile ahsante sister kwa kushare na sisi mungu akusimamie najuwa kuna wengine hapendi unavyo fanya but keep going never stop na sis tuna appreciate it ❤🫶

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Amen Amen Mungu atakufikisha tu

    • @omarjuma2937
      @omarjuma2937 6 месяцев назад

      ​@@mamafranjovlog72hbr dada naitaj kaz poland naomba unipe grocess namna ya kupata

  • @Sagesse_officiel.
    @Sagesse_officiel. Год назад +2

    Shukurani sana kwa vidéo zako zinanipa moyo sana , mimi ni kijana ninae ishi Congo Kinshasa 🇨🇩 , kila siku napambana usiku mchana lakini ni kama Mungu nimeangukia kwenye Channel Salama , asante sana Mungu akubariki

  • @julietjotham8812
    @julietjotham8812 Год назад +3

    Habari Mama Franjo nakupataje na mm nahitaji kuja huko nimetuma ujumbe Ig nmeona kimya,nsaidie dada nami nfate process ili nje 😭🙏

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Год назад

    Shukrani Sana mummy Anjo😘

  • @emmanuelmsemo3545
    @emmanuelmsemo3545 Год назад +1

    Dah big up dah

  • @shammysaidy8347
    @shammysaidy8347 Год назад +3

    Maisha ni fumbo kwakweli
    Daima bidii hata kamba hukata jiwe🙌🏻

  • @amirimuhsin560
    @amirimuhsin560 Год назад +2

    Nakubal mama franjo huna baya yaan najiona kama ni mm hapo tuna fanya interview na Amiri duuu eebwana weee

  • @user-zo6wx9zt3p
    @user-zo6wx9zt3p 11 месяцев назад

    mm nauliza jaman mm tunahitaji kuaplei viza lakini changamoto yangu english sijui je nitapata viza na vp kwenye intevuwe nahalimm sijui english

  • @erictz
    @erictz Год назад +4

    MIMI NITAFIKA naishi na hilo Neno la mwanetu YAKUBU

  • @rosedaud4834
    @rosedaud4834 Год назад +1

    Waooh hongera zake

  • @betricedavid2412
    @betricedavid2412 Год назад +1

    Daah asee

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад +1

    Waiting this episode

  • @gracekisenene1106
    @gracekisenene1106 Год назад +1

    Waoooh ♥️♥️

  • @lightonmichael272
    @lightonmichael272 Год назад +1

    Daaah safi sana

  • @marymarie9941
    @marymarie9941 Год назад +1

    Mama Franjo wie geht's? alle ist gute? ich würde gerne nach Deutschland fahren, bald werde ich am July B1 Prüfung machen.
    ich brauche deine helfen über job Bewerbung.

  • @RachelRachel-zx6dx
    @RachelRachel-zx6dx Год назад

    Waoooo Jakub umenipa moyo wakupamban

  • @gee_gm
    @gee_gm Год назад +1

    MUNGU akubariki sana mama Franjo!

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Thanks Amen Amen

    • @user-kb7gl1ew4r
      @user-kb7gl1ew4r 11 месяцев назад

      Mungu ni waajabu sana nimejikuta mpka machizi yananitoka. Mungu akubariki sana mama flanjo

  • @restyrose1574
    @restyrose1574 Год назад +1

    Love you dadaa

  • @user-nk4wt8cz5j
    @user-nk4wt8cz5j Год назад

    Mama franjo naomba unisaidie nami plz🙏🙏

  • @EdsonDeus71
    @EdsonDeus71 Год назад +1

    All bless kaka na mama fanjo

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Shukrani

    • @khamisame4408
      @khamisame4408 Год назад

      ​@@mamafranjovlog72 habari, Hemi nami naomba maelezo kidogo ya safari Kama hizi

    • @khamisame4408
      @khamisame4408 Год назад

      ​@@mamafranjovlog72naomba tuwasiliane Zaidi mana nami nina ndoto za kwenda nje ila pakuanzia ndo pazito na passport Minato, Asante kwa kutupa elimu Zaid

  • @yahayahanafi3234
    @yahayahanafi3234 Год назад

    Tupo pamoja

  • @raheemsuleyman6757
    @raheemsuleyman6757 Год назад +1

    Congratulations

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад +1

    Together

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      😊🙏🙏

    • @khamisame4408
      @khamisame4408 Год назад

      ​@@mamafranjovlog72tuko pamoja daahh Asante kwa kutupa elimu Zaid yaaani ni ndoto yangu kwelii siku moja nifanyeje kazi ulaya

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +8

    WATAKAOITAJI KAMPUNI ILIOMPELEKA YAKUBU BASI MNICHEKI INSTAGRAM MANA SIWEZI KUIWEKEA DHAMANA HAPA RUclips ASANTENI WAPENDWA MSISAHAU KUSUBSCRIBE

  • @MichaelYohana-hv9cm
    @MichaelYohana-hv9cm 8 месяцев назад

    Madamu habari

  • @DigitalLab-zt9fp
    @DigitalLab-zt9fp Год назад

    Story nzuri sana sasa tunaotaka contact za yakubu unatusaidiaje maana hajataja namna yoyote yakumuaccess kwa ushauri wa process nzima zaidi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Umesikiliza video vizuri mana nimeelezea wapi mtapata contact za yakubu na nimeshaziweka toja juzi . Sikiliza maelezo vizuri pliz

    • @user-kb7gl1ew4r
      @user-kb7gl1ew4r 11 месяцев назад

      My dear mie nipo Qatar nimejakupambana ili ni mie niende Poland na Nina Imani kuwa ipo cku nitafika Poland

  • @NnajMimi
    @NnajMimi Год назад +1

    Mama franjo eti inawezekana kupata chance nikiwa dubai bila kurudi Tz?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Ndio kama una residence permit ya kuishi huko kile kibali ya kuishi huko basi inawezekana ukaenda huko ubalozini

    • @NnajMimi
      @NnajMimi Год назад

      @@mamafranjovlog72 residence permit yangu itaisha mwakani mwezi wa tisa ngoja nikitulia nitakuj inbox tuyajenge mpenzi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Ok ok

  • @mwamini1545
    @mwamini1545 Год назад

    Sasa watu ambae hatujasoma Haturuhudiwi kuomba VISA hakuna kazi zawo

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 Год назад

    Jamani aliambiwa Jina la hiyo kampuni au page Yao ya insta aniambie tafadhali me nshatuma message mpk nimechoka🙃

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 11 месяцев назад +2

    TUNOMBA MUENDELEZO WA HII STORY @mama flanjo vlog

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  11 месяцев назад +1

      Msijali ntawetea msijali

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 11 месяцев назад

      @@mamafranjovlog72 Asante