SAFARI YA SAIDI KUTOKA TANZANIA MPAKA ULAYA 02(POLAND) AJIBU MASWALI YENU KIINGEREZA ?(DOCUMENTARY )
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- #vizayaulaya #kaziughaibuni #polandfactorywork
Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram Mama Franjo Vlogs
email -franjomulato@gmail.com
SOCIAL MEDIA
INSTAGRAM granaterosemary
HELLO GUYS HATIMAE SAIDI KAFIKA POLAND Lakini kajibu pia baadhi ya maswali yenu mliokuwa mmemuuliza , kama mtakuwa na maswali mengine basi mwaeza kukomenti hapa chini saidi akawajibu , nawatakia weekend njema MUNGU AKIJALIA SOON TUTALETA DOCUMENTARY YA MTU MWENGINE
good job mama franjo kwa kutimiza ndoto za said mwenyezi Mungu azid kukuweka kwa ajili ya wengine pia..Je sehem ya kuish kapewa na kampuni yake anayofanyia kazi au
@@shailabushiri4578 yes anapewa na kampuni ila anakua analipia kila mwisho wa mwezi
Dada naomba namba zako nilizo nazo hazipatikani
Hongera sana dada kwa kumfikisha said ulaya
Mama franjo.
Shukurani nyingi sana kwakumfikisha said ulaya.
.japo umepotea kwa muda natu
ai u salama..swali langu ni je waweza kumshikanisha mkenya na huyo agenti?
Umeweka alama kwenye maisha ya Said ..I'm so proud of u...yan ww dada Mungu tu akuweke...mana hata mm nmepita kwenye mikono yangu kwenye part ya safari ya maisha yangu..🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Asante wangu ila jitaida zako ndo zimeufiisha hapo my dear mana si kila mtu anaeona chance anaifanyia kazi hongera sana baby sis keep going
Tumeipenda kazi yako Ila tusaidie watanzania ili iposiku tutaipanga utusaidie kazi
Uko vizur dada
Tupende dada watanzania
Mwenyezi mungu akuzidishie
Dah hongera sana saidi umetimiza ndoto zako mungu akubaliki upate mafanikio Afya Bora pia hongera sana madame mom franjo...uwasaidie vijana wengine nao watimize ndoto🙏🙏🙏
ASANTEasante my bro MUNGU ATubariki sote nawe pia kwa msaada wako
Hongera kipenz mwenyezi mungu akupe maisha marefu na azidi kuku fanyia wepesi kwa mahitaji ya moyo wako
Amen Amen
Mungu akubariki Sana mama franjo
asante sana dear atubariki wote
😃😃ilikuwa kama ka move furani ivi ila Mungu amtangulie kweny maisha yake mapya.all the best bro side!pia hongera mdada kwakumpambania mpaka anatimiza haja ya moyo wake mala zote huwa nakupa bigup sana🥰🥰
yaniii Thanks much dear Amen Amen ATUBARIKI WOTE
@@mamafranjovlog72 Kwa tusio na Insta tunakupataje dada? Sikupati WhatsApp na sababu nimeona umeitoa kama unatumia Facebook naomba jina la account yako nikutafute
Mungu akubariki sanaaaaaaaa kwa kujitoa kutusaidia ubarikiwe sana
Amen my sisi Mungu atubariki sote pia
Habari dd
Dah very good story
Shukranj
Dah side namkumbuka nmeishi kinondon hapo alikua ananinyoa sana .. dah big respect sana
Kweliii ehhh?
Dah. Story ataikumbuka sana hii😀😀kweli maisha kupambana
Sana kwakweli bila kuchoka
Umependeza hongereni sana
Asante dear
Hongera sana Said na huyo dada mungu amjalie Kwa kuwa mkweli
Hongera Sana ma franjo.
Shukrani on behalf
Mmh ,Bwana YESU akupe maisha marefu
Amen nanyi pia👏👏👏
Mambo dada naomba no Yako ili niwasiliane na wew naitaji kazi huko please
God is good Hongera sana Said
Thanks lulu
Mungu amtangulie saidi kwa maisha yake mapya
Amen my lovely sis
Hi..sister me Yunus bado napata changamoto jinsi ya kukupata Instagram naandika hii account yako mama franjo vlog lakini sikupati bado xo sijajua shida nini myb unipe muongozo kwahili naitaji tuzungumze sister Maashaallah Saidi naona mambo safi namuona ata anang'aa usini weusi umeisha kwakweli ni great news nafurahi kuona mtanzania mwenzangu amefanikisha dreams yake mungu akuzidishie sister.
Amen Amen🤣🤣🤣eti saidi weusi unangaa saivi 🤣🤣Asante Mungu atubariki sotee basi nimtafute Instagram Kwa jina la @granaterosemary
@@mamafranjovlog72 ok sister
Thenx sister nimekufollow na msg nimekutumia sister
@@yunusmohammed3427 ok
@@mamafranjovlog72 yes sister
Nakupataje mm
Mama franjo na kupata kwa namba ipi mimi nipo Dubai nafanya kazi
Mambo vip dada namimi ninakaka yangu nakuomba umutafutie kazi huko anadigiri kizungu anajua kuzungumza kamahuto jali tubadilishane mawasiliano kisha niknikuunganishe nae
Mungu ni mwema mama Sanjo nauandaa mwanangu anamiaka 20 aje huko
Amen Amen
Mama franjo tuwasiliane
Sawa nicheki instagram
@@mamafranjovlog72 jina gani kuko unatumia
Natumia jina la @granaterosemary
Mama franjo naomba kuwasiliana na wewe inbox kuna maswali ambaye nahitaji kuuliza
kama maswali yako ni kuhusu hizi kazi za poland tafadhali angalia kwanza video zilizopita nimeelezea kila kitu kuhusu hizi kazi ukiona maswali yako hajajajibiwa basi njoo instagram kwa jina la @granaterosemary ila plizi uisje niuliza kitu mbacho nimeshaongelea , angalia kwanza video za kuhusus kazi polandziko nyingi humu nimefanya
Kweli ndugu maisha nikupamban na haukana kukata tamaa
Eur ngap ticket ya tz to Poland?
Dada hongera Sana,but na mm nataka nije kumtafuta Maisha,ntakutafuta dada
Naomba Namba zako me Niko tayari Na nmejipanga, please
Niko instagram tu my dear jina la @granaterosemary
@@mamafranjovlog72 nimesha kufoll dear nasubiri request, nipo tayari Na pesa Niko nayo
Mama franjo nahitaji nipate kazi nje ya nchi ila pesa sasa😭😭😭
Hatariii dearrr
Karibu Poland saidi 🇵🇱🇵🇱🇵🇱🇵🇱🇵🇱🇵🇱🇵🇱
Asante unakaa mji gan??
Dada naomba no yako ya whtsap
@@saidimega9615 Wrocław na wewe?
@@saidimega9615 saidi hongera kijana
Mm pia nipo wroclaw
Hahaha 😁 nimekumbuka mbali miaka 12 wakati nasafiri! Amsterdam airport yao kubwa sana 😀😀 hongera said!
Kwakwelii airports ni mtihani Kwa mara ya kwanza Asante on behalf
Oya vp.kak
Nahitaji kuingia Spain je naweza Pata mtu wa karibu ama mtanzania mwenzangu hapo Spain?
ooh pole simfahamu mtu spain, ingia facebbok jaribu kuaandika watanzia in spain au umoja wa watanzania spain ujaribu kama wana grupu basi ujiunge humo
Sasa izi videos alipigaje Akiwa ajatoka tz embu tueleweshe....?
Alipigaje kivipi sijakuelewa mana kuna interview na video akiwa tanzania ambapo tulimrekodi baada ya kupata visa na kuna interview na video tulimrekodi alipokuwa kafika poland sijakielewa swali lako haswa
Mama Franjo Poland wanatumia lugha gani...na baada ya muda gani nikija huko natusua maisha hebu tupashe vizuri dear
Wanatumia kipolish ,🤣🤣kuhusu kutusua inatrgemea na wewe kutusua kwako kuna maana gani au vitu gani
Natamani sku moja nije kufanya kazi yoyote malipo ni ngapi?
Namaanisha anazolipia kwenye michakato yote mpaka afike huko pia lugha huko Poland ni kingereza dada?
Umefatilia video za saidi zote ameongelea yote hayo ulioniuliza angalia hizi video
Kazi masaa mangap unafanya
Inategemea
😂😂😂😂Talk to my sister tu naijua iyo tuliosafiri nchi za watu ad tuliachwa na ndege jmn mungu mkubwa
Yaniiii
Aiseeee
Mama franko plz plz plz naomba na mimi sema uwiiii 😭
Dada na mm ninaweza kukuja huko kama saidi
Lazim nikutafut mama flanjo
Nakuhitaji mama nipate namba yako ya whatsap
Mama franjo nahitaji mchongo huo wa Poland
dada mm nina miaka 32 na nina familia mme na watoto wa nne je naweza kupata kazi
ndio miaka unaweza sikiliza hii video ruclips.net/video/shAb1RYZbIA/видео.html
Dada be blessed Ila natamani nikutafute kwa WhatsApp Kama hutajali tafadhari sana
Wasapu Sina Kwa sasa nicheki Instagram natumia jina la @granaterosemary
@@mamafranjovlog72 sister Asante nimeshakufollow jina langu ni Melissa
@@mamafranjovlog72 my dia nimekufollow jinalangu nikiatu toto point
Naomba nijue garama za kulipa kwa ajili ya process tafadhali
Angalia video ya chini janeth Ina maelezo na gharama ya kilakitu
Brother niaje
Yuko pouwa
Mama franjo
@@mamafranjovlog72 naomba WhatsApp number please
@@jamesmoricmsa9003 eh upo wewe
@@jamesmoricmsa9003 situmii wasapu. nipo instagram tu natumia jina la @granaterosemary nifolow
Safari ya kwanza ulaya inakuwaga ngumu sana🤣🤣
Mama Franjo mungu akubariki sana for what you did!
yanii ilikuwa patashika haahaa
@@africanbellatherealtalk asante dear atubaliki sote
One day am gonna win sister ubarikiwe tumeaminiiii🧡💯🙏
Amennn Amenn
♥️
🥰🥰👏👏
Unakaa apartment au kama shule za boarding!
Natumaini ipo siku nitatimiza ndoto zangu kama bro said nakuamini my best sister
Amen Amen Mungu atatupa haja za mioyo yetu
@@mamafranjovlog72 nakuaminia my sister kwa kutupa moyo mzuri
gharama zake bei gani kwa marekani?
hatufanyi marekani ni poland tu
Naomba namba yako please
Angalia kwanza video za nyuma zina maelekezo kuhusu hizi kazi na garama yake. Angalia angalia kwanza uelewe kwanza mana wengi mkiona tu hii video moja mnataka kuongea na mimi kisha mnauliza maswali ambayo nimeshayaongelea tayarii
Yan ulichoongea kiukwel mitihan Dada me mwenyewe nilikaa get lingine zimebaki dakika 10 naelekezwa lilipo get langu mbali nafika naambiwa ndege imeshafungwa mlango uzuri Kuna nyingine ili kuwepo baada ya masaa 6 inaondoka ndo ponea yangu
Duuu aisee pole na hongera
Dah
Nauli ni bei gan umetumia japo hua zinabadilika tupe uliyolipa ww saidi
Dada naomba nisaidie na mimi jamani
Bora utufundishe nawengine tujuwe kuusu hizo tiketi
Kwenye inglishi Sasa nimecheka leo
Sa mtu mwenye ulo mchekaa ni mm apa aya chekaaa ufurahi zako
Nimependa Mimi najifunza kuongea kingereza napenda ulivyoadisia nikaona kama Mimi vile ndio maana nikasema hivyo usifikirie vibaya
Sawa kila lakheli ila tu mtangulize mungu
@@saidimega9615 hongera sana
Saidi ni mfano wa kuigwa Akuna kukata tamaa
Kabisaa
kuna ajent yy anachukua milion 1 siku unasafiri kuja pouland
ooh sawa sawa Rehema uko poland mji gani wewe
@@mamafranjovlog72 😅😅😅
Nani hyo
Dada rehema huyo tunampataje
@@samwelnyavanga rehema akikujibu na mimi niambie
Talk to my sister nakumbuka🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Ko una nicheka talk to my sister
@@saidimega9615 nimefurahi lkn umeonyesha ulivyopambana
@@anitharwamaganda7563 anitha life sio mchezo yani usipopambana utaona wezio wanaendesha magali mazur to so sometimes inabd kujitoa to
@@saidimega9615 haahaaa saudi umemuona anakucheka huyu
Eti sijapamic kbs wee Said Mungu anakuon😂
Hahahhahaha acha tu Anita wangu saidi hajamisi nyumbani mi mwenyewe nimeshangaa hahaha mara hii apataki tena lolll hahahha
Hata tabqsamu limebadilika hata sura imebadilikq jamani kifupi Nje nje
Unalipa shngap unapokaa
@@mamafranjovlog72 bongo pagumu
Wanaandaliwa watu waanze kupigwa
Yani tumuandae mtu Toka Afrika Hadi ulaya Kwa ajili ya kuwapiga wengine milioni Moja come one ndugu yangu Kama ni rahisi embu muandae wewe mtu kumtoa Afrika umlete ulaya basi
Nakupenda @@mamafranjovlog72, natania tu siunajua Bongo tushazoea matani. Nilichopenda hujatema Shit na wala huja kaa kimya. Yani u got it right😍😍.
I like the story,,and I wish one day I will go abroad as am dreaming.
Amen dear amen hajuna linaloshindikana lol
@@mamafranjovlog72 thank you so much lv,and WhatsApp nakupata na namba ipi mamy?
@@mariammohamed-3153 situmii wasapu mrembo nimetoa jina langu la instagram lipo humo kwenye video , natumia @granaterosemary ila angalia kwanza video za nyuma
@@mamafranjovlog72 it's ok hamna neno
@@mamafranjovlog72 nitaku dm
Ac pwaaaaaaaaaa😂😂
Mbna dada namba yako siioni WhatsApp jmn
Situmii wasapu tena mrembo
@@mamafranjovlog72 Sasa nakupataje please nisaidie
@@mamafranjovlog72 naomba mawasiliano yako
@@rachelgodwin2086 nimeshaujibu kwenye komenti yako nyengine nimewambia angalia video zilizopita kwanza nimeongelea kuhusu hizi kazi, garama zake na maelezo yote pia nimesema kwasasa hatuchukui watu mpaka wakiopo wapate vizs
@@mamafranjovlog72 sawa
Namba yako ya WhatsApp tafadhali
Mama franko plz plz plz naomba na mimi sema uwiiii 😭