MAISHA HALISI YA CANADA KWA WAAFRIKA: Mahojiano na Mtanzania anayeishi Canada
HTML-код
- Опубликовано: 24 дек 2021
- Mahojiano na Mtanzania anayeishi Canada kuhusu maisha ya mhamiaji yapoje, na kuweza kutafuta mbinu za kufanikiwa.
Kuna mambo mengi mtu inabidi kuepukana nayo, lakini kuwa unafanikiwa kama mhamiaji katika nchi ngeni
RUclips channel ya Tabitha hii hapa, please subscribe ruclips.net/channel/UCgJtYPwNkRIMgqmJ-AMGRPA
Ilikuwa vizuri sana kufanya mahojiaono na wewe tena thank you so much for having me. Wewe ni mwalimu mzuri. Am always learning something new from you. It was great time as well nimecheka sana! Haha 🤗🙏🏿👏🏿
TN tuambie pia ulitumia njia gani kuingia canada..?
Thanks bro EBM.... Unaniinspire sanaa!!! Vitu vingi nakujifunza pia.!!🙏
EBM nimevutiwa sana na discussion yenu leo.Big up brother
mkuu ungetupa muongozo wa kufika canada hii ni ndoto ya walio wengi nikiwemo mimi mawakala wa huku kuja kwenda canada ni wa uongo sana ila kama utatuaminisha kwa kufika huko kwa uhakika utatusaidia sana sana
Mwambie atupe njia za kufika huko
Thank you Brother Ernest. I just discovered your channel a few days ago and I am truly learning a lot. Be blessed.
Hata kma kizungu nilikuwa najua ila leo bwana ndo umezikonga nyoyo zetuu … mr EBM wenzio tunapendaga hiz story sanaaa pleaseee tunaombaa utuletee waafrika wengine wengii watupee story zao za ulayaa
Tutazidi kufanya interviews na watu wengi. Lengo ni kusikia kutoka kwa watu wengine pia kuelezea waliyopitia na maisha yao ya ughaibuni hadi kufikia walipofikia
Kaka hauna namba ya Whatsapp?
I really enjoyed this kinda podcast.....very informative/Educative for sure❤👍.....I've ever wanted to be in Canada ever since I was young! May God Make easy path for me!😊
Thank you so much god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻
kazi nzuri, keep up the good job hususani kufungua macho watanzania na mataifa yanayozungumza na kuelewa kiswahili
Good conversation
Barikiwa kaka uko powa unashusha madini viziri sana
Kaka ubarikiwe sana elimu nzuri unawaza vizuri sana unapenda watu wachangamkie fulsa kwa kweli tunajifunza mambo mengi kutoka kwenu huko
My name is RAMS from congo 🇨🇩 but I live in South Africa 🇿🇦, I want to know about Canada,
Asante sana
KAZI nzuri Kaka Ebm endelea kushusha nondo
Mzee wa madini! 💪👏👏
Pamoja sana, asante
@@EBMSWAHILI natamani nifike Canada! Na ninafanya kazi ya Sanaa! Ninatengeza vikapu yaani Mimi ni artist! Na kazi yangu inapendwa Sana na hasa wageni.. je nataka kujipanua zaidi kimauzo! Je nitafikaje? Please please kaka EB M...Ninaitwa Anna, ninaishi Arusha Tanzania.
@@EBMSWAHILI habari kaka vp hali naomba tuwasiliane
@@EBMSWAHILI niko na haja ya kujua zaidi kuhusiana na canada
Sisi ni wajumbe wa kamati ya Roho mbovu 😅😅hongera sana bro
winston kaka👍 etiii kamati ya roho mbovu😂😂
@@klaussteiner94 😅😅
Nimependa sana hii interview ya leo kaka
Hongera sana kwa kutujuza mambo mengi ya marekani na canada
EBM unaelewa sana kazi yako hongera sana
Ubarikiwe kaka
mungu akubariki anko kwa elimu unayo tupa ♥🙏🏼
Asante kwa kipindi hiki hata kwa chanel ya EBM Sasa kama inawezekana nipate namna yakuongeya na wewe private thank you
EBM nafurahia sana mazungumzo Yako na jinsi unavyituambia ukweli Watanzania dahhh kwa kweli sisi ni tatizo
Ukimya wakutotoa video hv karibuni,nilihis Kuna kitu nakosa madini yako brother!!!
How about Montreal city can you direct about it
EBM UNASAIDIA SANA MKUU...kutoka Tanzania
Niunganishe na kambun za ajira canada
Dada naomba unipatie maelekezo n mm nkatafute maisha
Nakuelewa kaka video zako unatupa elimu kila wakati nafungua video zako
Nashukuru sana
Hongera brother hakuna video yako nisiyo fatili umenifungu vitu vingi sana
Nashukuru sana. Leo hii nipo naandaa videos kama 15 ninaposti. Maana majukumu yalibana kufanya kutoposti videos nyingi. Tutazidi kutoa elimu
Safi sana we ndio imenisaidi mpka nimejua ishu ya green card lottery na mwaka huu nimecheza niombe sana pia nimeomba visa ya Marekani Mungu akisaidi mwakani naweza kuja huko nakutegemea sana uniongoze kwenye kupambana na maisha
Hivi youtube channel na tv channel kuna tofauti gani?
Tatizo la hii interview ni kuwa Kaka EBM Swahili unaongea sana! Ni vyema ukampa muda na nafasi unaye muhoji aongee kwanza! Ile interview uliyofanya na Shabani yule anaye endesha magari ya mizigo ilikuwa nzuri sana kwani ulimpa nafasi ya kuongea. Hizi nyingine wewe badala ya kumpa nafasi muhusika wewe ndo unajipa nafasi matokeao yake tunakosa kupata undani na uhalisia wa maisha ya hapo canada. Sad 😢
BONGO... MWENDO WA KICK TU..... HAHAHAHAAAAAA.....
salhina🙌🙌😂😂
Naomba no yako niweze kufika huko
Jamanii huyu Tabiza eti hajuwi kiswahili
yan aiseee kaka rich acha brooo 😅😅😅
Najifunza vingi sana kaka
Kaka mimi nahitaji mahojiano na wewe kuhusu kupata scholarship ya binti yangu
Hi❤❤❤👋👌👌👌🇧🇮👌👌
Nimekupenda dadamaneno mazuri kuliko wooooote walio ojiwa
Mha muongo ni wachache sana waongo wabembe ebana wee Erenest anasaidia sana
Kama nime fanikuwa kuja Canada nilazima nichanjwe chanjo ya Corona? Pia hizi chanjo ni salama kwl makulilo? Tafadhal nielimishe bro
Je mume wako anakuzuia kuwahudumia wazazi wako kwa kuwatumia pesa?
Kaka wewe unazaidi ya miaka kumi ulaya ila kiswahili akijabadilika,naomba nijue uyo unaye muhoji anamuda gani Canada mbona kama kinampa shida kiswahili au ndio arikuwa bongo Bahati mbaya
From rwanda Nakupenda sana kaka nani naskiliza sana Chanel yako
Mbona mishahara hamtaji
😂😂😂 nielimishe tafadhali. Kiki ni nini please
Nimecheka sana hapo kwa kiingereza na kuhusu watoto kudate, na EBM mwenyewe kudate..,hapo ni mimi kabisaa, kama ningetaka kuishi bongo ningedate mswahili😂😂
Kwa kweli nimeikuta hii channel yako siku cheche hizi hata wiki mbili bado, lakini nimependa sana maongezi yako EBM. Big up nitashea sana kurasa zako.