MAISHA HALISI YA CANADA KWA WAAFRIKA: Mahojiano na Mtanzania anayeishi Canada

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 дек 2021
  • Mahojiano na Mtanzania anayeishi Canada kuhusu maisha ya mhamiaji yapoje, na kuweza kutafuta mbinu za kufanikiwa.
    Kuna mambo mengi mtu inabidi kuepukana nayo, lakini kuwa unafanikiwa kama mhamiaji katika nchi ngeni

Комментарии • 64

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  2 года назад +4

    RUclips channel ya Tabitha hii hapa, please subscribe ruclips.net/channel/UCgJtYPwNkRIMgqmJ-AMGRPA

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 2 года назад +6

    Ilikuwa vizuri sana kufanya mahojiaono na wewe tena thank you so much for having me. Wewe ni mwalimu mzuri. Am always learning something new from you. It was great time as well nimecheka sana! Haha 🤗🙏🏿👏🏿

    • @wilsonm.7376
      @wilsonm.7376 2 года назад +2

      TN tuambie pia ulitumia njia gani kuingia canada..?

  • @safitvswahili1753
    @safitvswahili1753 2 года назад +3

    Thanks bro EBM.... Unaniinspire sanaa!!! Vitu vingi nakujifunza pia.!!🙏

  • @anastaziamidaba8908
    @anastaziamidaba8908 Год назад +2

    EBM nimevutiwa sana na discussion yenu leo.Big up brother

  • @kassimmohammed6340
    @kassimmohammed6340 2 года назад +5

    mkuu ungetupa muongozo wa kufika canada hii ni ndoto ya walio wengi nikiwemo mimi mawakala wa huku kuja kwenda canada ni wa uongo sana ila kama utatuaminisha kwa kufika huko kwa uhakika utatusaidia sana sana

    • @safimatola4436
      @safimatola4436 8 месяцев назад

      Mwambie atupe njia za kufika huko

  • @marilynnwafula6091
    @marilynnwafula6091 2 года назад

    Thank you Brother Ernest. I just discovered your channel a few days ago and I am truly learning a lot. Be blessed.

  • @Drejons26
    @Drejons26 2 года назад +5

    Hata kma kizungu nilikuwa najua ila leo bwana ndo umezikonga nyoyo zetuu … mr EBM wenzio tunapendaga hiz story sanaaa pleaseee tunaombaa utuletee waafrika wengine wengii watupee story zao za ulayaa

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  2 года назад

      Tutazidi kufanya interviews na watu wengi. Lengo ni kusikia kutoka kwa watu wengine pia kuelezea waliyopitia na maisha yao ya ughaibuni hadi kufikia walipofikia

    • @michaelrweyemamu1068
      @michaelrweyemamu1068 2 года назад

      Kaka hauna namba ya Whatsapp?

  • @just.elhadji__7148
    @just.elhadji__7148 Год назад

    I really enjoyed this kinda podcast.....very informative/Educative for sure❤👍.....I've ever wanted to be in Canada ever since I was young! May God Make easy path for me!😊

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 Год назад

    Thank you so much god bless you 🤲🏻🤲🏻🤲🏻

  • @theresiamichael6641
    @theresiamichael6641 2 года назад

    kazi nzuri, keep up the good job hususani kufungua macho watanzania na mataifa yanayozungumza na kuelewa kiswahili

  • @abiiajmi2399
    @abiiajmi2399 2 года назад +1

    Good conversation

  • @elibarickmateru6193
    @elibarickmateru6193 7 месяцев назад

    Barikiwa kaka uko powa unashusha madini viziri sana

  • @kassimchaku477
    @kassimchaku477 2 года назад

    Kaka ubarikiwe sana elimu nzuri unawaza vizuri sana unapenda watu wachangamkie fulsa kwa kweli tunajifunza mambo mengi kutoka kwenu huko

  • @ramsrafiki1212
    @ramsrafiki1212 Месяц назад

    My name is RAMS from congo 🇨🇩 but I live in South Africa 🇿🇦, I want to know about Canada,

  • @dafrosakomba7504
    @dafrosakomba7504 Год назад

    Asante sana

  • @sultanseifu2555
    @sultanseifu2555 Год назад

    KAZI nzuri Kaka Ebm endelea kushusha nondo

  • @gee_gm
    @gee_gm 2 года назад +6

    Mzee wa madini! 💪👏👏

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  2 года назад

      Pamoja sana, asante

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 года назад

      @@EBMSWAHILI natamani nifike Canada! Na ninafanya kazi ya Sanaa! Ninatengeza vikapu yaani Mimi ni artist! Na kazi yangu inapendwa Sana na hasa wageni.. je nataka kujipanua zaidi kimauzo! Je nitafikaje? Please please kaka EB M...Ninaitwa Anna, ninaishi Arusha Tanzania.

    • @abdulhafidhswaleh1174
      @abdulhafidhswaleh1174 Год назад

      ​@@EBMSWAHILI habari kaka vp hali naomba tuwasiliane

    • @abdulhafidhswaleh1174
      @abdulhafidhswaleh1174 Год назад

      ​@@EBMSWAHILI niko na haja ya kujua zaidi kuhusiana na canada

  • @Winstonfying
    @Winstonfying 2 года назад +3

    Sisi ni wajumbe wa kamati ya Roho mbovu 😅😅hongera sana bro

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 Год назад +1

      winston kaka👍 etiii kamati ya roho mbovu😂😂

    • @Winstonfying
      @Winstonfying Год назад

      @@klaussteiner94 😅😅

  • @tariqmgomi7183
    @tariqmgomi7183 2 года назад +3

    Nimependa sana hii interview ya leo kaka

    • @arodiathomas6425
      @arodiathomas6425 Год назад +1

      Hongera sana kwa kutujuza mambo mengi ya marekani na canada

  • @elibarickmateru6193
    @elibarickmateru6193 7 месяцев назад

    EBM unaelewa sana kazi yako hongera sana

  • @mrembowakisukuma1447
    @mrembowakisukuma1447 2 года назад

    Ubarikiwe kaka

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 2 года назад

    mungu akubariki anko kwa elimu unayo tupa ♥🙏🏼

  • @christophenkurunziza7208
    @christophenkurunziza7208 Год назад

    Asante kwa kipindi hiki hata kwa chanel ya EBM Sasa kama inawezekana nipate namna yakuongeya na wewe private thank you

  • @janethngowi8783
    @janethngowi8783 8 месяцев назад

    EBM nafurahia sana mazungumzo Yako na jinsi unavyituambia ukweli Watanzania dahhh kwa kweli sisi ni tatizo

  • @safitvswahili1753
    @safitvswahili1753 2 года назад

    Ukimya wakutotoa video hv karibuni,nilihis Kuna kitu nakosa madini yako brother!!!

  • @user-kb2qu3he6j
    @user-kb2qu3he6j 10 месяцев назад

    How about Montreal city can you direct about it

  • @bajunimgunya8559
    @bajunimgunya8559 2 года назад

    EBM UNASAIDIA SANA MKUU...kutoka Tanzania

  • @CheerfulJackalope-uu9ls
    @CheerfulJackalope-uu9ls 3 месяца назад

    Niunganishe na kambun za ajira canada

  • @user-jt6it7ij7h
    @user-jt6it7ij7h 11 месяцев назад

    Dada naomba unipatie maelekezo n mm nkatafute maisha

  • @shekhamohammed560
    @shekhamohammed560 2 года назад +2

    Nakuelewa kaka video zako unatupa elimu kila wakati nafungua video zako

  • @MAISHAYACANADA
    @MAISHAYACANADA 2 года назад +3

    Hongera brother hakuna video yako nisiyo fatili umenifungu vitu vingi sana

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  2 года назад +3

      Nashukuru sana. Leo hii nipo naandaa videos kama 15 ninaposti. Maana majukumu yalibana kufanya kutoposti videos nyingi. Tutazidi kutoa elimu

    • @MAISHAYACANADA
      @MAISHAYACANADA 2 года назад

      Safi sana we ndio imenisaidi mpka nimejua ishu ya green card lottery na mwaka huu nimecheza niombe sana pia nimeomba visa ya Marekani Mungu akisaidi mwakani naweza kuja huko nakutegemea sana uniongoze kwenye kupambana na maisha

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 11 месяцев назад

    Hivi youtube channel na tv channel kuna tofauti gani?

  • @uniqtraveller2162
    @uniqtraveller2162 Год назад +1

    Tatizo la hii interview ni kuwa Kaka EBM Swahili unaongea sana! Ni vyema ukampa muda na nafasi unaye muhoji aongee kwanza! Ile interview uliyofanya na Shabani yule anaye endesha magari ya mizigo ilikuwa nzuri sana kwani ulimpa nafasi ya kuongea. Hizi nyingine wewe badala ya kumpa nafasi muhusika wewe ndo unajipa nafasi matokeao yake tunakosa kupata undani na uhalisia wa maisha ya hapo canada. Sad 😢

  • @salhinashabani7995
    @salhinashabani7995 2 года назад +2

    BONGO... MWENDO WA KICK TU..... HAHAHAHAAAAAA.....

  • @safimatola4436
    @safimatola4436 8 месяцев назад

    Naomba no yako niweze kufika huko

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 года назад +1

    Jamanii huyu Tabiza eti hajuwi kiswahili

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 Год назад

      yan aiseee kaka rich acha brooo 😅😅😅

  • @raheemaathumani8663
    @raheemaathumani8663 2 года назад

    Najifunza vingi sana kaka

  • @rehimajone7508
    @rehimajone7508 2 года назад

    Kaka mimi nahitaji mahojiano na wewe kuhusu kupata scholarship ya binti yangu

  • @kwizeramo-white6086
    @kwizeramo-white6086 8 месяцев назад

    Hi❤❤❤👋👌👌👌🇧🇮👌👌

  • @janemakemo5635
    @janemakemo5635 Год назад

    Nimekupenda dadamaneno mazuri kuliko wooooote walio ojiwa

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 года назад

    Mha muongo ni wachache sana waongo wabembe ebana wee Erenest anasaidia sana

  • @eveassey5162
    @eveassey5162 2 года назад

    Kama nime fanikuwa kuja Canada nilazima nichanjwe chanjo ya Corona? Pia hizi chanjo ni salama kwl makulilo? Tafadhal nielimishe bro

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 11 месяцев назад

    Je mume wako anakuzuia kuwahudumia wazazi wako kwa kuwatumia pesa?

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 4 месяца назад

    Kaka wewe unazaidi ya miaka kumi ulaya ila kiswahili akijabadilika,naomba nijue uyo unaye muhoji anamuda gani Canada mbona kama kinampa shida kiswahili au ndio arikuwa bongo Bahati mbaya

  • @rwambukiranafreddy4656
    @rwambukiranafreddy4656 2 года назад

    From rwanda Nakupenda sana kaka nani naskiliza sana Chanel yako

  • @DaudKhamis-vp7nd
    @DaudKhamis-vp7nd Год назад

    Mbona mishahara hamtaji

    • @adoranancy9093
      @adoranancy9093 9 месяцев назад

      😂😂😂 nielimishe tafadhali. Kiki ni nini please

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад

    Nimecheka sana hapo kwa kiingereza na kuhusu watoto kudate, na EBM mwenyewe kudate..,hapo ni mimi kabisaa, kama ningetaka kuishi bongo ningedate mswahili😂😂
    Kwa kweli nimeikuta hii channel yako siku cheche hizi hata wiki mbili bado, lakini nimependa sana maongezi yako EBM. Big up nitashea sana kurasa zako.