MAISHA HALISI YA MAREKANI NA ULAYA - JIFUNZE KABLA HUJATEMBELEA AU KUISHI ULAYA NA MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • MAISHA HALISI YA MAREKANI NA ULAYA - JIFUNZE KABLA HUJATEMBELEA AU KUISHI ULAYA NA MAREKANI

Комментарии • 83

  • @michaelkerenge5537
    @michaelkerenge5537 3 года назад +5

    Nimependa everything kwenye hii topic, unaweza ukamsaidiaje kijana mwenye ndoto za kutafuta maisha ughaibuni na ambae yuko tayari kuanza chini kabisa??

  • @teimatata
    @teimatata 3 года назад +5

    Kiswahili kitukuzwe kweli ❤️

  • @reinholdmujuni5828
    @reinholdmujuni5828 3 года назад +4

    ahsante kwa mada nzuri mimi naomba mawasiliano yako kiongoz nitashukuru sana am Stanley

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад +1

      nicheki kwenye e-mail ebmakulilo@yahoo.com

  • @bushsutimeline766
    @bushsutimeline766 3 года назад +4

    Very interesting topic

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 года назад +1

    Good job my brother Salam zangu kutoka neworleans Louisiana

  • @carolynediana7841
    @carolynediana7841 3 года назад

    Asante Sana naomba unisaidie nifanye kazi za ndani 🙏

  • @hamidkhamis4326
    @hamidkhamis4326 2 года назад +1

    I like yr presentation

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 4 месяца назад

    Ahsante sana kwa elimu hii

  • @stephansimkoko1193
    @stephansimkoko1193 2 года назад

    Mungu akubaliki kea kazi hio!

  • @octovinarichard7263
    @octovinarichard7263 Год назад

    Hapo umesema kweli unafanya vizuri tunamshukuru Mungu akubariki sana

  • @nelealameck5376
    @nelealameck5376 3 года назад +1

    Asante kwakweli umetufungua macho

  • @victornzebele3990
    @victornzebele3990 4 месяца назад

    I had already subscribed to your channel #EBM

  • @laketanganyikazc8605
    @laketanganyikazc8605 2 года назад

    This is good

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 2 года назад +2

    Kaka umepiga brush ubongo wangu kwa video zako ,hongera sana

  • @binsultan5572
    @binsultan5572 2 года назад

    Ahsante sana kwa video nzur...Nmekuwa nakufuatilia kila sana video zko..!!

  • @suleimanameir5426
    @suleimanameir5426 2 года назад

    Naomba kuliza nimesafiri na mwenyegi wangu hakufika kunipokea nifanyeje
    U

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 2 года назад +2

    Umeongea kweli tupu. Hapo kwenye mazingira

  • @ziguaboy1815
    @ziguaboy1815 3 года назад +2

    Fact bro

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 2 года назад +3

    Yani unaongea ukweli mpaka raha big up.

  • @josephatjosephat4269
    @josephatjosephat4269 6 месяцев назад

    Hapa Tanzania ofisi yako iko wapi

  • @aziadubayi7874
    @aziadubayi7874 3 года назад +1

    Its that true my brother

  • @Elimishatv
    @Elimishatv 5 месяцев назад

    Natamani sana huko

  • @reubenjoshua3540
    @reubenjoshua3540 2 года назад

    Bro,nahtaji kupata mwanamke wahuko USA anioe nije huko,je nampataje maana Niko tz,au nitumie network gan nimpate

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 3 года назад +1

    Ukweli tuna fikiria Maisha tunayoangalia kwenye movie ndo maisha yote yahuku that was me hahaha

  • @julianasimbe5446
    @julianasimbe5446 3 года назад +3

    Nimesha subscribe, nakupata ndugu.

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад

      Nashukuru sana, ubarikiwe. Please share na kwa wengine

  • @kevinkasanda3019
    @kevinkasanda3019 2 года назад

    Mimi nataka niende Marekani 🇺🇸 kwa mchumba Wangu,nifanyeje sasa???

  • @AnoldMbewe
    @AnoldMbewe 8 месяцев назад

    Nina swali,Mimi ni mkimbizi na nimeshanza ingia mu settlement Sasa nimaisha Gani au utofauti Gani kwa mtu amekuja USA kwanjia ya Green Card na kwanjia ya ukimbizi ( settlement) watoto au wakubwa wanasaidiwaje wakifika huko asante

  • @BaigonMacha
    @BaigonMacha 10 месяцев назад

    Habari za asubuhi kk

  • @nabotikanyika
    @nabotikanyika 2 года назад

    Sawa nimekuelewa

  • @antidiuserasmus877
    @antidiuserasmus877 2 года назад

    Vp kuhusu mtu kuzamia, nasikia shida ya kuzamia IPO kwenye ukitaka kurudi, na je vp ukiwa una visa ambayo ni temporary ni lazima kuwa na ticket ya kurudi?

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 2 года назад

      Mimi nimeigia marekani na meli.maisha nimeyaona.mandeni mengi. Nadaiwa so much many ten thousand dollars

  • @officialgakankara
    @officialgakankara 3 года назад +1

    Najua ushaliongelea sikukuelewa vizuli kwasabab ilikua kiingeleza, baada ya kushinda green 💳 Unatakiwa uwe na kias gan cha hela ila ukitowa galama ya visa na migration pia ukitoa na tikek ya ndege

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад +1

      Huwa hakuna kiasi maalumu kinachowekwa kwa viza yoyote ile isipokuwa viza ya uanafunzi ambapo gharama hutokana na ada ya chuo na hela ya matumizi ambayo inakuwa estimated na chuo husika. Nje ya hapo ni kuangalia kuwa na kiasi ambacho unaona kinaweza kuwa ni kikubwa

  • @partmalila1949
    @partmalila1949 4 года назад +2

    Samahani swali langu ni kwamba ili kupata udhamini wanaangalia vigezo gani?

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад +2

      Wanaangalia level unayotaka kuomba, matokeo yako, uzoefu wa kazi iwe ya volunteer au paid jobs, recommendation letter, statement of purpose nk

  • @getrudamatoto5277
    @getrudamatoto5277 3 года назад +1

    🙏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад +1

    Unakuwa mkweli sana Mr EBM, kama ni hukumu utapatiwa kifungo cha maisha😁

  • @hudsonhenry1849
    @hudsonhenry1849 2 года назад

    Jinsi ya kujaza resume

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 месяцев назад

    ✌️👊👍.

  • @nurdinshekivuli468
    @nurdinshekivuli468 4 года назад +3

    nakukumbuka sn kaka UDSM .....let us chat well next time...

  • @antidiuserasmus877
    @antidiuserasmus877 2 года назад

    Fursa za kazi zikoje marekani, mfano soko la kufundisha lugha ya kiswahili, au hata kufanya shughuli ndondogo.

  • @shabiruponera4323
    @shabiruponera4323 Год назад

    Kwaiyo ukija huko kuosho vyombo hela haziingiii😅😅

  • @this_is_chriss4296
    @this_is_chriss4296 3 года назад +1

    Bro I want to talk to u

  • @gracepemba7025
    @gracepemba7025 2 года назад

    Kazi yangu ni saloonist na massage,pedicure na manicure je naweza kupata huko,unaweza kuniunganisha

  • @womanofprinciple4703
    @womanofprinciple4703 3 года назад +2

    samahan kaka agu mimi naomba uisaidie kupata scholarship marekani

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад

      Una level gani ya elimu na matokeo yapoje? Scholarships nyingi ni kwa ajili ya level ya masters and PhD

    • @jennahlisa4088
      @jennahlisa4088 3 года назад +1

      Kazi nzuri sana kakangu

  • @kimariokimario1518
    @kimariokimario1518 3 года назад

    Tunaomba namba zako kaka kwa kuongea private au sms au WhatsApp

  • @6elim12
    @6elim12 3 года назад +2

    Mimi nna ndoto za kuja USA vipi maisha ya uko

  • @albertnyakondo373
    @albertnyakondo373 2 года назад

    Maisha ni kupambana

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 3 года назад +1

    Nakufatilia kaka, tuambie ukweli kuhusu kuja amerika kwa njia ya kusoma, maana mtandaoni kuna vyuo ada hadi usd 3000, je ni kweli!? maana nikiweza kumeki naweza kuja kwa njia ya kusoma na kulipa ada kidogo na gharama za maisha then kutafuta kazi na maisha kuendelea.. je inawezekana? kuna ukweli? maana scholarship inahitaji ufauli mkubwa na age ni 4++

  • @asiaoman3040
    @asiaoman3040 2 года назад +1

    Naomba nomba yako kk

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  2 года назад

      Ukienda www.ebmscholars.com utaona namba

  • @faridamhanga4443
    @faridamhanga4443 3 года назад

    Naomba unisaidie nikafanye kaz za ndani norway

  • @bingo57channel32
    @bingo57channel32 3 года назад

    Mm natamani kuoa mwanamke wa kimarekani .

  • @johncornel9436
    @johncornel9436 3 года назад +2

    hahaha brother makulilo umenichekesha eti niangalizie mtoto naenda sokoni, eti mpesa

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад

      hahahahaha ndio hivyo mkuu

  • @ruhumurizarobert990
    @ruhumurizarobert990 2 года назад

    Ninge penda sana ukuwe ulifanya videos zakuonyesha umasikini namadhaifu ya marekani, ili wale Wa agenda ugaibuni bila mpango wajue haweendi mbinguni, asanteni

  • @mwanzaboy1548
    @mwanzaboy1548 2 года назад

    Jee kwamtu ambae anaitaji kujauko kutafuta maisha yanihana elim yoyote kaishia lasabatu anataka kujakutafuta maisha mitaani ikoje Wana i

  • @Zack_lamar
    @Zack_lamar 3 года назад

    Naomba kuuliza ukishinda DV visa hiyo interview kunauhakika kiasi gani kupata naomba uongelee baada ya kushinda step zinazofata

  • @abdallabakar2967
    @abdallabakar2967 3 года назад

    Napenda video zako nhitaji mawasiliano yako ya private

  • @godymussa1919
    @godymussa1919 3 года назад

    Umesema vema sana sas kaka unachokisem nikweli kwann haulud nyumban

  • @saidally804
    @saidally804 3 года назад

    Kaka mimi natamani sana kwenda marekan ila sasa sina mchongo wowote hata sielewi nifanyeje naomba unifanyia mpango niende marekan

  • @bingo57channel32
    @bingo57channel32 3 года назад

    Ninawezaje kumpata sitaki kuishi marekani Bali nataka kuoa mwanamke wa kizungu nifanyaje .

  • @mwajumashabani2538
    @mwajumashabani2538 3 года назад +1

    Je kama mume wako amepata bahati ya kuwa kule na kufanya kazi.na bado hajapata green card je anaweza kunialika mke wake nikamtembelee.

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад

      invitation letter sio lazima uwe raia wa Marekani au uwe na Green Card. Kuja kumtembelea unaweza kuja, kikubwa ni wewe unayekuja ku-prove kwa mtoa visa kwamba hutozamia huku kwa kuonesha vitu vitakavyokufanya/kukushawishi kurudi nchini kwako mara baada ya siku ulizoomba kutimia

    • @dicksonmwezi3136
      @dicksonmwezi3136 3 года назад

      Kweli Brother naweza pata namba yako namba yangu 0714997714

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 9 месяцев назад

    🫡♥

  • @aziadubayi7874
    @aziadubayi7874 3 года назад +1

    Maisha yako age uko USA I love you visiting usa

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад

      Inategema mtu na mtu, kuna mwingine anayafurahia mwingine anayachukia. Kwa upande wangu, ni mazuri. Na ninapenda wengi hata watembelee nchi hii au nchi zingine kujifunza mambo mengi kwa wengine pia

  • @abdallabakar2967
    @abdallabakar2967 3 года назад

    Huna host unaanzaje first unafika America cheap au unakaa hotel kwanza

  • @wizyda9630
    @wizyda9630 Год назад +1

    Naomba unitumie namba yako ya whtsappp

  • @seifomar1148
    @seifomar1148 3 года назад

    Mambo vp mkuu. Mm nataka kuishi markani ila naomba unisaidie mualiko tuu mengne ntamaliza mwenyewe 0678579077

  • @vunjambavu164
    @vunjambavu164 3 года назад

    Samahani unaweza kusoma Ngazi ya cheti marekani hata kama una division four na ukaenda kusoma huko