Nimependa everything kwenye hii topic, unaweza ukamsaidiaje kijana mwenye ndoto za kutafuta maisha ughaibuni na ambae yuko tayari kuanza chini kabisa??
Nina swali,Mimi ni mkimbizi na nimeshanza ingia mu settlement Sasa nimaisha Gani au utofauti Gani kwa mtu amekuja USA kwanjia ya Green Card na kwanjia ya ukimbizi ( settlement) watoto au wakubwa wanasaidiwaje wakifika huko asante
Vp kuhusu mtu kuzamia, nasikia shida ya kuzamia IPO kwenye ukitaka kurudi, na je vp ukiwa una visa ambayo ni temporary ni lazima kuwa na ticket ya kurudi?
Najua ushaliongelea sikukuelewa vizuli kwasabab ilikua kiingeleza, baada ya kushinda green 💳 Unatakiwa uwe na kias gan cha hela ila ukitowa galama ya visa na migration pia ukitoa na tikek ya ndege
Huwa hakuna kiasi maalumu kinachowekwa kwa viza yoyote ile isipokuwa viza ya uanafunzi ambapo gharama hutokana na ada ya chuo na hela ya matumizi ambayo inakuwa estimated na chuo husika. Nje ya hapo ni kuangalia kuwa na kiasi ambacho unaona kinaweza kuwa ni kikubwa
Nakufatilia kaka, tuambie ukweli kuhusu kuja amerika kwa njia ya kusoma, maana mtandaoni kuna vyuo ada hadi usd 3000, je ni kweli!? maana nikiweza kumeki naweza kuja kwa njia ya kusoma na kulipa ada kidogo na gharama za maisha then kutafuta kazi na maisha kuendelea.. je inawezekana? kuna ukweli? maana scholarship inahitaji ufauli mkubwa na age ni 4++
Ninge penda sana ukuwe ulifanya videos zakuonyesha umasikini namadhaifu ya marekani, ili wale Wa agenda ugaibuni bila mpango wajue haweendi mbinguni, asanteni
invitation letter sio lazima uwe raia wa Marekani au uwe na Green Card. Kuja kumtembelea unaweza kuja, kikubwa ni wewe unayekuja ku-prove kwa mtoa visa kwamba hutozamia huku kwa kuonesha vitu vitakavyokufanya/kukushawishi kurudi nchini kwako mara baada ya siku ulizoomba kutimia
Inategema mtu na mtu, kuna mwingine anayafurahia mwingine anayachukia. Kwa upande wangu, ni mazuri. Na ninapenda wengi hata watembelee nchi hii au nchi zingine kujifunza mambo mengi kwa wengine pia
Nimependa everything kwenye hii topic, unaweza ukamsaidiaje kijana mwenye ndoto za kutafuta maisha ughaibuni na ambae yuko tayari kuanza chini kabisa??
Kiswahili kitukuzwe kweli ❤️
ahsante kwa mada nzuri mimi naomba mawasiliano yako kiongoz nitashukuru sana am Stanley
nicheki kwenye e-mail ebmakulilo@yahoo.com
Very interesting topic
Thanks
Good job my brother Salam zangu kutoka neworleans Louisiana
Asante Sana naomba unisaidie nifanye kazi za ndani 🙏
KAKA safi San
I like yr presentation
Ahsante sana kwa elimu hii
Mungu akubaliki kea kazi hio!
Hapo umesema kweli unafanya vizuri tunamshukuru Mungu akubariki sana
Asante kwakweli umetufungua macho
I had already subscribed to your channel #EBM
This is good
Kaka umepiga brush ubongo wangu kwa video zako ,hongera sana
Ahsante sana kwa video nzur...Nmekuwa nakufuatilia kila sana video zko..!!
Naomba kuliza nimesafiri na mwenyegi wangu hakufika kunipokea nifanyeje
U
Umeongea kweli tupu. Hapo kwenye mazingira
Fact bro
Yani unaongea ukweli mpaka raha big up.
Nashukuru Sana
Hapa Tanzania ofisi yako iko wapi
Its that true my brother
Thanks
Natamani sana huko
Bro,nahtaji kupata mwanamke wahuko USA anioe nije huko,je nampataje maana Niko tz,au nitumie network gan nimpate
Ukweli tuna fikiria Maisha tunayoangalia kwenye movie ndo maisha yote yahuku that was me hahaha
Nimesha subscribe, nakupata ndugu.
Nashukuru sana, ubarikiwe. Please share na kwa wengine
Mimi nataka niende Marekani 🇺🇸 kwa mchumba Wangu,nifanyeje sasa???
Nina swali,Mimi ni mkimbizi na nimeshanza ingia mu settlement Sasa nimaisha Gani au utofauti Gani kwa mtu amekuja USA kwanjia ya Green Card na kwanjia ya ukimbizi ( settlement) watoto au wakubwa wanasaidiwaje wakifika huko asante
Habari za asubuhi kk
Sawa nimekuelewa
Vp kuhusu mtu kuzamia, nasikia shida ya kuzamia IPO kwenye ukitaka kurudi, na je vp ukiwa una visa ambayo ni temporary ni lazima kuwa na ticket ya kurudi?
Mimi nimeigia marekani na meli.maisha nimeyaona.mandeni mengi. Nadaiwa so much many ten thousand dollars
Najua ushaliongelea sikukuelewa vizuli kwasabab ilikua kiingeleza, baada ya kushinda green 💳 Unatakiwa uwe na kias gan cha hela ila ukitowa galama ya visa na migration pia ukitoa na tikek ya ndege
Huwa hakuna kiasi maalumu kinachowekwa kwa viza yoyote ile isipokuwa viza ya uanafunzi ambapo gharama hutokana na ada ya chuo na hela ya matumizi ambayo inakuwa estimated na chuo husika. Nje ya hapo ni kuangalia kuwa na kiasi ambacho unaona kinaweza kuwa ni kikubwa
Samahani swali langu ni kwamba ili kupata udhamini wanaangalia vigezo gani?
Wanaangalia level unayotaka kuomba, matokeo yako, uzoefu wa kazi iwe ya volunteer au paid jobs, recommendation letter, statement of purpose nk
🙏
Unakuwa mkweli sana Mr EBM, kama ni hukumu utapatiwa kifungo cha maisha😁
Jinsi ya kujaza resume
✌️👊👍.
nakukumbuka sn kaka UDSM .....let us chat well next time...
Pamoja sana
Fursa za kazi zikoje marekani, mfano soko la kufundisha lugha ya kiswahili, au hata kufanya shughuli ndondogo.
Kwaiyo ukija huko kuosho vyombo hela haziingiii😅😅
Bro I want to talk to u
Kazi yangu ni saloonist na massage,pedicure na manicure je naweza kupata huko,unaweza kuniunganisha
samahan kaka agu mimi naomba uisaidie kupata scholarship marekani
Una level gani ya elimu na matokeo yapoje? Scholarships nyingi ni kwa ajili ya level ya masters and PhD
Kazi nzuri sana kakangu
Tunaomba namba zako kaka kwa kuongea private au sms au WhatsApp
Mimi nna ndoto za kuja USA vipi maisha ya uko
Mazur sana karibu
Maisha ni kupambana
Nakufatilia kaka, tuambie ukweli kuhusu kuja amerika kwa njia ya kusoma, maana mtandaoni kuna vyuo ada hadi usd 3000, je ni kweli!? maana nikiweza kumeki naweza kuja kwa njia ya kusoma na kulipa ada kidogo na gharama za maisha then kutafuta kazi na maisha kuendelea.. je inawezekana? kuna ukweli? maana scholarship inahitaji ufauli mkubwa na age ni 4++
Naomba nomba yako kk
Ukienda www.ebmscholars.com utaona namba
Naomba unisaidie nikafanye kaz za ndani norway
Mm natamani kuoa mwanamke wa kimarekani .
hahaha brother makulilo umenichekesha eti niangalizie mtoto naenda sokoni, eti mpesa
hahahahaha ndio hivyo mkuu
Ninge penda sana ukuwe ulifanya videos zakuonyesha umasikini namadhaifu ya marekani, ili wale Wa agenda ugaibuni bila mpango wajue haweendi mbinguni, asanteni
Jee kwamtu ambae anaitaji kujauko kutafuta maisha yanihana elim yoyote kaishia lasabatu anataka kujakutafuta maisha mitaani ikoje Wana i
Naomba kuuliza ukishinda DV visa hiyo interview kunauhakika kiasi gani kupata naomba uongelee baada ya kushinda step zinazofata
Napenda video zako nhitaji mawasiliano yako ya private
Umesema vema sana sas kaka unachokisem nikweli kwann haulud nyumban
Kaka mimi natamani sana kwenda marekan ila sasa sina mchongo wowote hata sielewi nifanyeje naomba unifanyia mpango niende marekan
Ninawezaje kumpata sitaki kuishi marekani Bali nataka kuoa mwanamke wa kizungu nifanyaje .
Je kama mume wako amepata bahati ya kuwa kule na kufanya kazi.na bado hajapata green card je anaweza kunialika mke wake nikamtembelee.
invitation letter sio lazima uwe raia wa Marekani au uwe na Green Card. Kuja kumtembelea unaweza kuja, kikubwa ni wewe unayekuja ku-prove kwa mtoa visa kwamba hutozamia huku kwa kuonesha vitu vitakavyokufanya/kukushawishi kurudi nchini kwako mara baada ya siku ulizoomba kutimia
Kweli Brother naweza pata namba yako namba yangu 0714997714
🫡♥
Maisha yako age uko USA I love you visiting usa
Inategema mtu na mtu, kuna mwingine anayafurahia mwingine anayachukia. Kwa upande wangu, ni mazuri. Na ninapenda wengi hata watembelee nchi hii au nchi zingine kujifunza mambo mengi kwa wengine pia
Huna host unaanzaje first unafika America cheap au unakaa hotel kwanza
Naomba unitumie namba yako ya whtsappp
Mambo vp mkuu. Mm nataka kuishi markani ila naomba unisaidie mualiko tuu mengne ntamaliza mwenyewe 0678579077
Samahani unaweza kusoma Ngazi ya cheti marekani hata kama una division four na ukaenda kusoma huko
Huwezi bro