SAFARI YA YAKUBU KUTOKA TANZANIA KWENDA POLAND( 1)AELEZEA ALIVYOKOSA VIZA YA CANADA NA POLAND KWANZA
HTML-код
- Опубликовано: 21 июн 2023
- Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.com/watch?v=XcONB...
• MAELEZO JINSI YA ...
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/RosemaryAlfredM?cou...
Email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#mamafranjovlogs #studentvisa #maishayaughaibuni
HAYA WAPENDWA HABARI NZURI ZINAENDELEA , karibuni kwenye safari ya yakubu kutoka tanzania mpaka poland ; TAFADHALINI HII VIDEO NI NDEFU ILI UWEZE KUIELEWA ANGALIA MWANZO MPAKA MWISHO ILI UWEZE KUIELEWA na naimani itawatia moyo wale waliokosa visa na kukata tamaa , mkiwa na maswali waeza nicheki instagam asanteni msisahau kusubscibe
Nikweli imesikitisha Lakin hadi hapo nimejifunzkitu haitaikiwi kukata tamaa
@@RachelRachel-zx6dx kabisa kabisa dear
@@mamafranjovlog72nasubili mwendelezo my dear au imeshanipita jamani
Tayari ishatoka icheki leo
Dear nimefata instar ila naona account yako ni private so Nimeshinda kupata mawasiliana ya yakubu
Kuna kitu nimeingiza kichwan kupitia hii interview..safi sana dada Mungu akubariki
Shukrani my bro
Dada una roho nzuri sana mungu akubariki
Shukrani
Nice vizur xan
Dah!
Dada Uar one in a million!Nakupenda maana unajibu kwa uharaka 🙏🏽
Thanks alot dear 🥰🥰
Shukran kipenzi kwa kazi yako,,tafadhar nami nahitaji safari ,,mie kijana umri 23
Mungu atujalie na sisi sikumoja tupate nafasi
Amen Amen kabisa
Wow good story Mungu awabariki sana
Amen nawe pia
May God bless u mama francho
Amen atubariki sote🙏🙏
Mungu akubariki kwa moyo wako wa kusaidia wengine
Dada nikupendae nasubir frusa zitoke ili namm nifike uko pauland mungu yupo namm
Jamaa kakomaa sana na mm pia natamani kufanya kaz ugaibun njia gani naweza kutumia dada ikawa lahisi kwangu
Dada mm binafsi nakurspekti sana kazi yaelimu unayo tupa .
Shukrani natumai nayoongea yanaqeza kuwa msaada kwa mtu
Masikine hii story kalibu nilie lakini mwenyezi mungu hatupi muja wake
Waooo my dear ipo siku nami nitatimiza ndoto hii.
Amen Amen kabisa
Duu!!!!! Mungu atusaidie tutimize ndoto zetu.daa, inasikitisha sana
Amen Amen kabisa
Hongera unapambana sana mashallah 🤲🤲🤲
shukrani sana on his behelf
Huyo Alipata Visa Appointment baada ya muda gani ?
Mom lakee nikionaga video zako nakuwa happy mno,sure siku nikija Mimi lazima nkutafute kipenzi ❤
Ooh shukrani sana sana my dear 🥰🥰
Naomba utaje hio kampuni
Iyo pesa waliyotaka ilikuwa sh ngapi
Unatoa mchango mkubwa sana kwa watanzania mungu akubariki sana
Leo sauti ipo chini mama franjo yakubu hasikiki vizuri
Nisameheni inayokuja kesho ntarekebisha sauti
sauti ip chin sana
Oh poleni part two ntajitaidi iwe juu
Nakuombea uzima my dear
Amen Mungu atupe uzima sote
Bless u mam francho naomb namb zak za what's up natak unisaidiy please naomb??
Mimi ni fundi kushona nguo nawezaje kufika huko??
Mi elimu yangu la saba naweza kufaulu
Ndio unaweza
Habari za muda dada documents za kunifikisha Poland kwa kufanya kazi zitanigharimu kiasi gan
Angalia video za nyuma zina maelezo
Mbona ajatujajia jina la hiyo company jmn na Gharama na Mimi nifanye please
Sikiliza part 2 🥰
Huna baya mama franjo ww
shukrani
sauti ipo chini mama
Duu mnisamehe sana komputer yangu leo imenichezea imeonyesha kubwa kumbe poleni
Said na Yakubu mmerudisha imani yng,kuanzia sasa naamua moja nimegundua kufikia malengo nikama vita.hakuna kukata tamaa Poland nitafika
Happy to hear that hakuna kukata tamaa na hakuna kurudi nyuma
Siku nikifika Poland video yng itakuwa funzo sana nyie subirini
Sauti mbona haisikiki???????
nisameheni computer imenidanganya but next time ntarekebisha
Sister tuoe nauli maan tunatak tuwe specific tunajua Kam vip nikimaliza 4m 4 nije hapa tz uongo maan duuuuh sio poa
Nauli mbona nimeshaongelea angalia video za nyuma zina kina maelezo
😂😂😂😂 I mean process za visa maan unatuficha Sana kwaiy tuambie Bei gan ili nijipange
Mh we nawe naisi mgeni nawaficha wakati video zaidi ya nne nimewaambia gharama . Sasa niwafiche ili iwaje 🤣🤣🤣🤣your too fun una miaaka mingapi kwani mana unasema hata form 4 hujamaliza una umri gani ?
@@mamafranjovlog72 nipe link sister niangalie visa process ni Bei gan
Nafkisha 18 mwaka huuu mwez wa nane
Sauti ndogo dear
Oh kweli kwangu eti inaonyesha kubwa jaribu kuongeza
nimeongeza hadi mwisho
Yes sauti yake yakubu iko chini too bad
Mama franjo mbona mm siskii unapotangaza nafasi za kaz za poland ,au nifanyeje
Hii video umeisikiliza kwa makini mwanzo adi mwisho mrembo zuwena plizi isikilizw uelewe sawa mamy
Do not skip the ads 😊
Oh thats so lovely 🥰🥰
Dada mambo Mimi naitaji mawasiliano Yako please dear
Ninaitaji dada msaada wako
Nahitaji kufanya Kazi nje ya nchi
Kwakweli mtafutaji hachoki,ipo siku na Mimi nitafika ughaibuni
kabisa kabisa sanaa
Duuh
Upo my sis
Nahukuru sama mama Franjo kwa maelezo yako. Ninaswali langu. kunakampun moja inaitwa living and study iko poland wamenitumia email ya ufadhiri wa kazi. je hiyoni kampuni ya kweli..?
Sasa kaka angu mpendwa mimi nitajuaje kama ni ya ukweli au sio ya ukweli . Mimi mpaka nione mtu amefanikiwa ndio nyajua kuwa niya kweli .mana mi siishi poland naishi ujerumani
Yah ni legit
Mbona unaongea kitu kimoja muda mrefu dada!
Inawezekana wewe muelewa mapema kuna wenzio kitu hichohicho kimoja nilichokirudia watakuja instagram kuniulizia hichohicho so lazima nikazanie ili nao waelewe
Aaaahhhhh weeeee Gab bhaaana una nongwa kweli kweli kwani huyu Dada akirudia rudia wewe inakukasirisha
Yakubu kutk znz nakupat mjomba
🙏🙏
Yeap thanks to God 🙏 nimefika salama nipo
Hichi nacho kichekesho, yani usafiri kutoka Afrika ya kusini mpaka Amerik ya kusini kwa basi....😂😂😂😂 Ilo basi linapita wapi?
We ndugu yangu nawe mgumu kuelewa amekwambia alitaka akazamie kwani wanazamia na basi au meli 🤣🤣🤣
Hujamuelewa azamie meli akaibuke Amerika ya kusini kisha achukue bus mpaka Meco
Asante dear
Dada unatumia jina gan Istagram nna shida na wew plz plz...
natumia jina la @granaterosemary
Habari za muda dada,, kuhusu work permit na mikataba ya kazi Poland ita ni gharimu kiasi gani namie nikapamabane@@mamafranjovlog72