SAFARI YA YAKUBU KUTOKA TANZANIA KWENDA POLAND( 1)AELEZEA ALIVYOKOSA VIZA YA CANADA NA POLAND KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 июн 2023
  • Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
    www.youtube.com/watch?v=XcONB...
    • MAELEZO JINSI YA ...
    SUPPORT ME ON PAYPAL
    paypal.me/RosemaryAlfredM?cou...
    Email: franjomulato@gmail.com
    Instagram:@granaterosemary
    #mamafranjovlogs #studentvisa #maishayaughaibuni

Комментарии • 101

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +8

    HAYA WAPENDWA HABARI NZURI ZINAENDELEA , karibuni kwenye safari ya yakubu kutoka tanzania mpaka poland ; TAFADHALINI HII VIDEO NI NDEFU ILI UWEZE KUIELEWA ANGALIA MWANZO MPAKA MWISHO ILI UWEZE KUIELEWA na naimani itawatia moyo wale waliokosa visa na kukata tamaa , mkiwa na maswali waeza nicheki instagam asanteni msisahau kusubscibe

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx Год назад +1

      Nikweli imesikitisha Lakin hadi hapo nimejifunzkitu haitaikiwi kukata tamaa

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      @@RachelRachel-zx6dx kabisa kabisa dear

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx Год назад +1

      @@mamafranjovlog72nasubili mwendelezo my dear au imeshanipita jamani

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Tayari ishatoka icheki leo

    • @user-kb7gl1ew4r
      @user-kb7gl1ew4r 11 месяцев назад

      Dear nimefata instar ila naona account yako ni private so Nimeshinda kupata mawasiliana ya yakubu

  • @lightonmichael272
    @lightonmichael272 Год назад +4

    Kuna kitu nimeingiza kichwan kupitia hii interview..safi sana dada Mungu akubariki

  • @chriskimuto1425
    @chriskimuto1425 2 месяца назад +2

    Dada una roho nzuri sana mungu akubariki

  • @user-kj7ky1hn9s
    @user-kj7ky1hn9s 5 месяцев назад

    Nice vizur xan

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Год назад +1

    Dah!

  • @fridahwafalo6575
    @fridahwafalo6575 Год назад +1

    Dada Uar one in a million!Nakupenda maana unajibu kwa uharaka 🙏🏽

  • @Alya-np7gm
    @Alya-np7gm 11 месяцев назад

    Shukran kipenzi kwa kazi yako,,tafadhar nami nahitaji safari ,,mie kijana umri 23

  • @ilhamjonas6986
    @ilhamjonas6986 Год назад +2

    Mungu atujalie na sisi sikumoja tupate nafasi

  • @husseinamani
    @husseinamani Год назад +1

    Wow good story Mungu awabariki sana

  • @bakarishareeff1111
    @bakarishareeff1111 Год назад +2

    May God bless u mama francho

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 11 месяцев назад

    Mungu akubariki kwa moyo wako wa kusaidia wengine

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Год назад +1

    Dada nikupendae nasubir frusa zitoke ili namm nifike uko pauland mungu yupo namm

  • @chikopizzo7392
    @chikopizzo7392 8 месяцев назад

    Jamaa kakomaa sana na mm pia natamani kufanya kaz ugaibun njia gani naweza kutumia dada ikawa lahisi kwangu

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 Год назад +2

    Dada mm binafsi nakurspekti sana kazi yaelimu unayo tupa .

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +2

      Shukrani natumai nayoongea yanaqeza kuwa msaada kwa mtu

  • @mariamtumwebaze389
    @mariamtumwebaze389 Год назад

    Masikine hii story kalibu nilie lakini mwenyezi mungu hatupi muja wake

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Waooo my dear ipo siku nami nitatimiza ndoto hii.

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад +1

    Duu!!!!! Mungu atusaidie tutimize ndoto zetu.daa, inasikitisha sana

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад +1

    Hongera unapambana sana mashallah 🤲🤲🤲

  • @Mnyama13
    @Mnyama13 Год назад

    Huyo Alipata Visa Appointment baada ya muda gani ?

  • @witnessmusa5454
    @witnessmusa5454 Год назад +1

    Mom lakee nikionaga video zako nakuwa happy mno,sure siku nikija Mimi lazima nkutafute kipenzi ❤

  • @user-lz1pk6zb8y
    @user-lz1pk6zb8y 11 месяцев назад

    Naomba utaje hio kampuni

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 3 месяца назад

    Iyo pesa waliyotaka ilikuwa sh ngapi

  • @francismboma6839
    @francismboma6839 5 месяцев назад

    Unatoa mchango mkubwa sana kwa watanzania mungu akubariki sana

  • @pattyneema2764
    @pattyneema2764 Год назад +1

    Leo sauti ipo chini mama franjo yakubu hasikiki vizuri

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Год назад +1

    sauti ip chin sana

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Nakuombea uzima my dear

  • @user-ec6fv3if8g
    @user-ec6fv3if8g 6 месяцев назад

    Bless u mam francho naomb namb zak za what's up natak unisaidiy please naomb??

  • @EddoAndrew-nj6yh
    @EddoAndrew-nj6yh 4 месяца назад

    Mimi ni fundi kushona nguo nawezaje kufika huko??

  • @Mrisho-we4te
    @Mrisho-we4te 5 месяцев назад +1

    Mi elimu yangu la saba naweza kufaulu

  • @abubakarikheri66
    @abubakarikheri66 2 месяца назад

    Habari za muda dada documents za kunifikisha Poland kwa kufanya kazi zitanigharimu kiasi gan

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 Год назад +1

    Mbona ajatujajia jina la hiyo company jmn na Gharama na Mimi nifanye please

  • @amirimuhsin560
    @amirimuhsin560 Год назад +2

    Huna baya mama franjo ww

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 Год назад +1

    sauti ipo chini mama

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Duu mnisamehe sana komputer yangu leo imenichezea imeonyesha kubwa kumbe poleni

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Год назад +1

    Said na Yakubu mmerudisha imani yng,kuanzia sasa naamua moja nimegundua kufikia malengo nikama vita.hakuna kukata tamaa Poland nitafika

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Happy to hear that hakuna kukata tamaa na hakuna kurudi nyuma

    • @nemesjosephat5612
      @nemesjosephat5612 Год назад

      Siku nikifika Poland video yng itakuwa funzo sana nyie subirini

  • @leilabuisha9976
    @leilabuisha9976 Год назад +1

    Sauti mbona haisikiki???????

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      nisameheni computer imenidanganya but next time ntarekebisha

  • @Bongomastermind
    @Bongomastermind Год назад +3

    Sister tuoe nauli maan tunatak tuwe specific tunajua Kam vip nikimaliza 4m 4 nije hapa tz uongo maan duuuuh sio poa

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Nauli mbona nimeshaongelea angalia video za nyuma zina kina maelezo

    • @Bongomastermind
      @Bongomastermind Год назад

      😂😂😂😂 I mean process za visa maan unatuficha Sana kwaiy tuambie Bei gan ili nijipange

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Mh we nawe naisi mgeni nawaficha wakati video zaidi ya nne nimewaambia gharama . Sasa niwafiche ili iwaje 🤣🤣🤣🤣your too fun una miaaka mingapi kwani mana unasema hata form 4 hujamaliza una umri gani ?

    • @Bongomastermind
      @Bongomastermind Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 nipe link sister niangalie visa process ni Bei gan

    • @Bongomastermind
      @Bongomastermind Год назад

      Nafkisha 18 mwaka huuu mwez wa nane

  • @maryamrashid862
    @maryamrashid862 Год назад +1

    Sauti ndogo dear

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 Год назад

    Mama franjo mbona mm siskii unapotangaza nafasi za kaz za poland ,au nifanyeje

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Hii video umeisikiliza kwa makini mwanzo adi mwisho mrembo zuwena plizi isikilizw uelewe sawa mamy

  • @magesadavid7708
    @magesadavid7708 Год назад +1

    Do not skip the ads 😊

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Oh thats so lovely 🥰🥰

    • @NunuSuleiman
      @NunuSuleiman 11 месяцев назад

      Dada mambo Mimi naitaji mawasiliano Yako please dear

    • @NunuSuleiman
      @NunuSuleiman 11 месяцев назад

      Ninaitaji dada msaada wako

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 11 месяцев назад

    Nahitaji kufanya Kazi nje ya nchi

  • @mamab8900
    @mamab8900 Год назад +1

    Kwakweli mtafutaji hachoki,ipo siku na Mimi nitafika ughaibuni

  • @gracekisenene1106
    @gracekisenene1106 Год назад +1

    Duuh

  • @emanuelzacharia1286
    @emanuelzacharia1286 Год назад +2

    Nahukuru sama mama Franjo kwa maelezo yako. Ninaswali langu. kunakampun moja inaitwa living and study iko poland wamenitumia email ya ufadhiri wa kazi. je hiyoni kampuni ya kweli..?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Sasa kaka angu mpendwa mimi nitajuaje kama ni ya ukweli au sio ya ukweli . Mimi mpaka nione mtu amefanikiwa ndio nyajua kuwa niya kweli .mana mi siishi poland naishi ujerumani

    • @mossesrashid1552
      @mossesrashid1552 Год назад

      Yah ni legit

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Год назад +2

    Mbona unaongea kitu kimoja muda mrefu dada!

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +3

      Inawezekana wewe muelewa mapema kuna wenzio kitu hichohicho kimoja nilichokirudia watakuja instagram kuniulizia hichohicho so lazima nikazanie ili nao waelewe

    • @edwardkasubi5135
      @edwardkasubi5135 Год назад +1

      Aaaahhhhh weeeee Gab bhaaana una nongwa kweli kweli kwani huyu Dada akirudia rudia wewe inakukasirisha

  • @maleeksaidi906
    @maleeksaidi906 Год назад +2

    Yakubu kutk znz nakupat mjomba

  • @nyamileledaudi6819
    @nyamileledaudi6819 Год назад

    Hichi nacho kichekesho, yani usafiri kutoka Afrika ya kusini mpaka Amerik ya kusini kwa basi....😂😂😂😂 Ilo basi linapita wapi?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      We ndugu yangu nawe mgumu kuelewa amekwambia alitaka akazamie kwani wanazamia na basi au meli 🤣🤣🤣

    • @nemesjosephat5612
      @nemesjosephat5612 Год назад +1

      Hujamuelewa azamie meli akaibuke Amerika ya kusini kisha achukue bus mpaka Meco

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Asante dear

  • @ashaally5883
    @ashaally5883 Год назад +1

    Dada unatumia jina gan Istagram nna shida na wew plz plz...

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      natumia jina la @granaterosemary

    • @abubakarikheri66
      @abubakarikheri66 2 месяца назад

      ​Habari za muda dada,, kuhusu work permit na mikataba ya kazi Poland ita ni gharimu kiasi gani namie nikapamabane​@@mamafranjovlog72