HAKI YA NDOA KWA TIMETABLE | NIMEUZA MKOJO MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 авг 2023
  • Elly David ametufungulia mengi juu ya maisha ya mahusiano na maisha ya Ughaibuni kiujumla.
    Anakwambia maisha yanakua magumu mpaka unauza haja ndogo ili kujikimu.
    Utofauti wa kiutamaduni na faida za kua kwenye vikundi vya Diaspora wa sehemu fulani.
    Thank you Elly David for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 196

  • @zwuenakhalfan2098
    @zwuenakhalfan2098 9 дней назад

    Wewe kijana ni very bright continue na wailimishe vijana wenzio

  • @flaviacharles1348
    @flaviacharles1348 8 месяцев назад +2

    What a best interview! So honest and transparent! Sijawahi kuweka ku-comment kny hii platform but hii interview imenifanya ni-comment; huyu kaka yuko very bright na amekuwa honest sana, asante sana kaka na asante sana host, mbarikiwe sana. Please mlete tena, ili amalizie kipengele cha relationship! And oooh! YES tuache ubinafsi.

  • @mohamedmwavuguto8276
    @mohamedmwavuguto8276 10 месяцев назад +4

    Akhsante sana Shena . Kila kukicha ninapoangalia mahojiano yako , kuna kitu kipya ninajifunza . Mungu akubariki kwa kazi nzuri unayoifanya .

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 8 месяцев назад +3

    Kaka kweli kaka zetu wananuka Sana ,mdomo, tu mwili mzima hawajui kuonga kabisaaaaaaaaa

  • @dollymogosi6899
    @dollymogosi6899 Месяц назад

    Yaani nimempenda huyu kijana mpk nimemwambia mwanangu wa kiume asikilize hii interview. Kwa kweli umewafundisha mengi sana vijana wetu wanaotafuta mahusiano always boys dont have focus when it comes to looking for a companion! Big Up my son!

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 9 месяцев назад +6

    😢😢 kukimbilia mapenzi kuna madhara unajikuta umeolew na mtu asiye na future

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 11 месяцев назад +1

    Love u so much madam, video zako zinafundisha sana. Thanks brother too for sharing and being genuine.

  • @user-oc7ur4ob1e
    @user-oc7ur4ob1e 4 месяца назад +1

    Hongeraa sana Elly David kwa mahojiano/ Elimuyote mazuri .

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 11 месяцев назад +3

    Asante nasubiria part 2 kwa hamu brother Elly saa mbili itakuwa vizuri uongeleye ndoa uchumba malezi DNA Canada na kizazi chetu inchi vijana wakiume kuolewa kupenda maisha ya haraka .asante interview za David azipo nyingi RUclips media zinamuongopa

  • @neemamahimbo4711
    @neemamahimbo4711 9 месяцев назад +3

    Hii interview inahitajika kwenye platforms zoooooote,tukiacha chuki na ubishi,hii ni nzito ni kubwa,imejaaa

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 11 месяцев назад +4

    Apewe mauwa kaka yangu Mungu ambariki sana

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 11 месяцев назад +1

    Safi sana brother umeongea point kubwa,mm nataka nioe mzungu kwa lengo la kutoka Tanzania na nime target nchi mzur usa,uk, Germany, Canada so am just waiting for relationship for my own benefits..safi sana shena🎉

  • @Marygabry
    @Marygabry 11 месяцев назад

    Point sana , Nimejifunza mengi sana sana. Asante dada Shena kwa kutuletea Kaka Elly.

  • @successmbio878
    @successmbio878 3 месяца назад +2

    Nampendaga proffer yuko real na anapendaga ukweli

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 10 месяцев назад +4

    Mbwenu! Oshomire mpaka no class ahead in Canada from Kanyigo!!

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 11 месяцев назад +1

    Hongera sana kaka yangu kuwa muwazi
    Ningelipenda kukutana na wewe mimi nipo USA ndugu yangu .

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d 3 месяца назад +1

    Namkubali sana brother anaongea vitu vya msingi sana 🎉🎉🎉🎉

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 9 месяцев назад

    Jaman sikuzote interviews za huyu kaka yangu ,uwa nazipendaaaaaa MAANA MTAZAMO WAKE KWANGU UWA NI 🔥🔥🔥🔥🔥 NA NI FACT 💯 NO MATTER HOW BITTER IT IS TO MANY BUT FOR ME ITS GREAT AND INSPIRATIONAL . GREAT BROTHER David

  • @immaculateakilimali7220
    @immaculateakilimali7220 7 месяцев назад +1

    Huyu kaka huwa namuonaga clip zake fb,yuko vizuri kwa kweli,anaongea ukweli kabisaa

  • @user-oc7ur4ob1e
    @user-oc7ur4ob1e 4 месяца назад

    Aksante sana shena kwa kazi nzuri unayoifanya,vijana wanazidi kupata Elimu

  • @Ollykeke
    @Ollykeke 11 месяцев назад +9

    Mara 8 na kuna mtu anaomba once na anagive up. Jamani tuna cha kujifunza hapa

    • @LnmTMDesign
      @LnmTMDesign 11 месяцев назад

      For real its just trying until you get it

    • @LnmTMDesign
      @LnmTMDesign 11 месяцев назад

      Sometimes trying atracts luck

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 11 месяцев назад +2

    Nimeipenda hii sana

  • @sinaiurio7950
    @sinaiurio7950 11 месяцев назад +1

    Habari dada @Shena....natumaini u mzima wa afya..naomba utuambie RUclips channel ya kaka Elly tafadhali

  • @reginakarokola2796
    @reginakarokola2796 9 месяцев назад +1

    I love you men the way you talk you are so genius dear.

  • @fenelamsangi4072
    @fenelamsangi4072 10 месяцев назад +2

    This guy is genius 🙏🏽

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 11 месяцев назад +2

    Ahsante sana Elly and Shena...

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 3 месяца назад +1

    Elly Kama Elly atafika mbali sana huyu kijana

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 2 месяца назад

    Umenifurahisha mdogo wangu mimi simpendi mtu anayenuka mdomo

  • @praisetashblessed7065
    @praisetashblessed7065 11 месяцев назад

    Waaaaoooo Brow God bless you for good advice.

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 11 месяцев назад +2

    Dada asante uyo ni kaka yangu ningeli pensa hata kuwasiliana naye tu .

  • @user-kt3bb7mr4e
    @user-kt3bb7mr4e 2 месяца назад

    Marshallaa umetoa mafundisho mazuri binafsi umenitoa pangoni

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz 10 месяцев назад

    Upo sahihi kabisa asee najifunza vitu vingi kwa kaka elly

  • @hedwigjohn6276
    @hedwigjohn6276 9 месяцев назад

    Uyu kaka ndio nimejua leo kumbe mkewe ni mzungu jamn❤

  • @nadiromar9794
    @nadiromar9794 11 месяцев назад +1

    nakubali sana mwamba

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 pole sana daaaaaaa

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 9 месяцев назад +1

    Kuna wakati utafika itabidi uchaguwe mapenz mausiano au future yako kama ujajuwa ndoto yako ni nn usikimbilie mapenz maana unaweza kukutana na mtu ambae ndoto zake aziendan na maisha yako ukaaribikiwa kila kitu uko sawa
    bro

  • @miriamkakwezi7309
    @miriamkakwezi7309 10 месяцев назад +1

    Maisha ni bahati my friend...

  • @BilibwaIbrahim-cp6tf
    @BilibwaIbrahim-cp6tf 7 месяцев назад

    Genius 🔥🔥🔥

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 11 месяцев назад +1

    Elly weee ni mjinga sanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @luchekayoohy
    @luchekayoohy 11 месяцев назад

    Good job 👍

  • @silvanusndisi9636
    @silvanusndisi9636 4 месяца назад

    Huyo kaka Yuko vizuri sana pia ni kijana amesoma anajiamini natamani nipate mawasiliano yake ili niongee nae mengi

  • @aysheraden7718
    @aysheraden7718 11 месяцев назад +1

    Kaongea vizuri huyu ( 🇬🇧 )

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 9 месяцев назад

    wallahi nimekupenda ww mkweli sana sema una Nondo kali sanaaaaa

  • @RuthBukuku
    @RuthBukuku 2 месяца назад

    Jaman asante sn kwa elim hii

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 11 месяцев назад +3

    Hongera sana dada ODA, channel yako inazidi kuleta mafunzo ya maana sana.Umeshawahi kufikiria kubadili jina la ODA? ni zuri ila kama halielezi vizuri kilichomo humu, to me it feels like unatoa assistance ya dating tu, mwingine anaweza akaona haimhusu au hayuko interested, ila kumbe channel yako ina MADINI mengi mnooo,hii assistance ni service mojawapo tu, anyway ni mtazamo tu, Mungu aendelee kukuinua, napenda sana content zak

  • @sarahmbilinyi8504
    @sarahmbilinyi8504 11 месяцев назад +5

    Huyu anatutesa sana huko fb na wwshp anajiona yy ndio kaiwini na yy ndio anajua

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 8 месяцев назад

    2009
    Shikamoo kaka Elly Maana unatuchapa aswaaaaa wanaotaka kuja ughaibun MUENDE KWANZA KARUME PALE MITUMBA NDIO MJE UKU ATUTAKI STRESS SASA 😅

  • @dinnarandrew1982
    @dinnarandrew1982 8 месяцев назад

    Bro uko vizuru mnoo!!!endelea kuchapaaa😂😂😂.

  • @nelsonpaul4618
    @nelsonpaul4618 10 месяцев назад

    imetulia sana

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 9 месяцев назад

    Asante sana

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb 11 месяцев назад

    Ningependa kuwasiliana naye

  • @jamil1547
    @jamil1547 4 месяца назад +1

    Siyo kila mtanzania bwana sisi wanaume wetu wanaoga janaba

  • @awardenock7173
    @awardenock7173 10 месяцев назад

    Ayo ni kweli kabisa

  • @PaulinaPatrick-rm5lz
    @PaulinaPatrick-rm5lz 2 месяца назад

    Nimefurahi sana ww ni mkwel

  • @mamelithaemmanuel2976
    @mamelithaemmanuel2976 10 месяцев назад

    Pole mdogowangu

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 11 месяцев назад +1

    Unapatikanaje Elly

  • @user-qo8eu1br6f
    @user-qo8eu1br6f 11 месяцев назад +1

    😀😀😀😂😂😂 Hii kweli ni noma sn tem temble tendo la ndoa kwa mumewe daah

  • @flaviacharles1348
    @flaviacharles1348 8 месяцев назад +1

    Tunasubiri part 2. Please share link za platform zake. Thanks a lot

  • @WouldayMohammer
    @WouldayMohammer 8 месяцев назад

    Huyu kaka yupo vzuri mnoooo ana mawazo na anaongea fact kwa mwenye akili

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 5 месяцев назад

    Haki ckutegemea kucheka ila Elly ni comedian hajui tu .Alafu ni mkweli sana nimempenda bure.

  • @upendombaga8715
    @upendombaga8715 8 месяцев назад

    Nimejifunza leo

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 6 месяцев назад +1

    Namkubali sana bro ely davidi na insha allah nitakucheki unisaidie kufika uko

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 11 месяцев назад

    Jmn nimechelewaaa 😢

  • @user-bq1wf4ez5s
    @user-bq1wf4ez5s 7 месяцев назад +1

    Naomba no ya huyu kaka

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 4 месяца назад

    Matured love is all about logic not childish feeling and emotions which only last for 1 to 2 years after marriage/wedding day

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 3 месяца назад +1

    Da shena uyu kaka mtafute tena

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 kaka yetu

  • @oliverdaudy4642
    @oliverdaudy4642 3 месяца назад

    Jamani nmecheka

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 11 месяцев назад +1

    Unakutana na changamoto host😂 Mara 3

  • @inongee1141
    @inongee1141 11 месяцев назад +1

    Pande zote za dunia kuna watu wasafi na wachafu vile vile

  • @asharamadhani3462
    @asharamadhani3462 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamani nimecheka sana kaka yangu anaongea sana ukweli jamani

  • @godliverdennis8723
    @godliverdennis8723 11 месяцев назад +1

    🤣😂😄😅mbona kunuka mdomo

  • @dafrosahabil5598
    @dafrosahabil5598 10 месяцев назад

    I attended Elly’s wedding back in 2019 alioa a Ugandan lady that was a German citizen I wonder what happened to that marriage 🤔🤔🤔!

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 8 месяцев назад

    Purpose first not love one great advice. Ila it is a man's job to provide for the family not a woman. You should not expect a woman to bring anything to the table.except take care of WHAT YOU BROUGHT TO THE TABLE

  • @MissKaliz
    @MissKaliz 11 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu mimi , Shena leo ume tuweza.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 9 месяцев назад

    Sisi watanzania wengi wetu hatujui kingereza, mtatusaidia sana mkiwa mnjieleza kiswahili..ili tuwaelewe..

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 5 месяцев назад

    Hapo pskukimbilia kuolewa nakubali kabisa

  • @amneriyami2409
    @amneriyami2409 9 месяцев назад

    A/alaykum ingia sema undani wote tunajifinza

  • @fenelata5612
    @fenelata5612 8 месяцев назад

    This guy is smart

  • @user-ey4tb1sq7p
    @user-ey4tb1sq7p Месяц назад

    One❤

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 11 месяцев назад +3

    Hapo kwa usafi wa wanaume kaka umeweza. Wanaume wengi wa bongo wananuka vibaya mno. Wanavaa boxer moja wiki. Usafi wa mwili wengi ni zero kabisa. Na akioga anarudia nguo chafu inayonuka jasho. Wao huangalia usafi wa nguo kwa nje. Wengi kwenye usafi wamelelewa hovyo kabisa. Yukeeees

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 4 месяца назад +1

    No shikamoo kwa wapenz na wanandoa ni habari, za leo ,mambo etc.

  • @jovovichmedia9424
    @jovovichmedia9424 3 месяца назад

    Hao wazungu wenyewe ni wachafu wanaoga mara Moja kwa wiki

  • @user-fs2zh6hc5o
    @user-fs2zh6hc5o 3 месяца назад

    Nimekupenda bure kaka nitafutie kazi huko

  • @rahmaqasim5143
    @rahmaqasim5143 7 месяцев назад

    Nimeipenda hii acha nihifadhi kwa akili itanisaidia badae

  • @JaneKabyemela
    @JaneKabyemela 3 месяца назад

    Nimecheka mpaka nimelia

  • @minormine4417
    @minormine4417 11 месяцев назад

    Wapo wazungu wavivu vilevile

  • @RehemaKiangi-nz9gt
    @RehemaKiangi-nz9gt 3 месяца назад +1

    Umeongea ukweli mtupu lazima ujiongeze usichukue Bora mke hapana kabisa

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 6 месяцев назад

    Mimi nitakutafuta Elly wewe wa kwetu

  • @josephmay4260
    @josephmay4260 7 месяцев назад

    nilposikia mhaya

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂 timetable

  • @saidali5894
    @saidali5894 11 месяцев назад

    Nipe namba ya agent ama anwani katika mtandao

  • @sherry7339
    @sherry7339 2 месяца назад

    Hahahha haha tutavumilia hatutakwazika...

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 11 месяцев назад

    😂 mara 3

  • @jamil1547
    @jamil1547 4 месяца назад

    Vipi mnawajua watu wanaweza kusaidia visa ya New Zealand?

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 11 месяцев назад

    channel ya eli ya yiutube ni ipi

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 9 месяцев назад

    Wengine wanapenda photocopy wakifanikiwa wanakimbia , their are so 😞

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 3 месяца назад

    HUYU kweli mhayaa kiswahili bana wengine no.english good

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 3 месяца назад +1

    Kaka wanakwambiya uwonge kiswahili kwasababu hawapati kitu unawaachanjiyani hapo

  • @JaneKabyemela
    @JaneKabyemela 3 месяца назад

    Jamani naomba namba yako ninakijana wangu natamani hapate kibarua