PART 1:NILINYIMWA VISA YA MAREKANI MARA 8,LAKINI SIKUKATA TAMAA,KWA SASA NAISHI MAREKANI,

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Us embassy, visa ,maswali ya visa ubalozini, ubalozi wa Marekani, safari ya marekani, kwenda marekani, Usa, Dnyota usa ,abby abuj, huku us, Marekani ,america, kenyan greencardlotery

Комментарии • 22

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_  Год назад

    PART 2
    ruclips.net/video/pQRl3IIwZbA/видео.html

  • @GabriellaMakatu-jf2lq
    @GabriellaMakatu-jf2lq 5 месяцев назад

    Heri yuko vizuri kwanza anajikubali napia Ana Imani kubwa ndo hiyo imefanya afikie hapo alipo tupige huwo Mfano wake

  • @bakundukizetz3880
    @bakundukizetz3880 8 месяцев назад

    Hongera sana Elly

  • @saidmwishehe993
    @saidmwishehe993 Год назад

    @ebmsignature fanya mmuhoji huyu yuko vizuri sana

  • @Bagenzi4life
    @Bagenzi4life Год назад +2

    Part 2 plz

  • @sephassimiyu433
    @sephassimiyu433 Год назад

    Very interesting

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Год назад +1

    Ila angalieni sana story za huyu dogo nimeangalia interview zake kama tatu story hazifanani but wacha niishie hapo

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  Год назад

      Mbona inaunga vzr tu

    • @christiannyamamba9089
      @christiannyamamba9089 Год назад

      @@THETHIRDTV_ channel tofauti si hii inayosema part1 part 2 noo kutoka channels tofaut hapa anasema alipata visa ya kusoma pengine visiting pengine hivi vile mara hakuwa na permit ya kufanya kazi kwakua ni visiting nyingine anasema chuo kinatoa permit ya masaa 48 hakuna chuo cha hivyo duniani nyingine anasema alienda visiting but akafanya kazi yani uongo uongo kuna kitu anaficha so kama ameamua kuwa public figure aseme tu ukweli but kudanganya na waandishi kwakua wanataka contents na ukweli wanaujua ila wanaacha tu itamuharibia muhusika mana tunajua ukweli wa hivyo anavyozungumza

    • @tekash6921
      @tekash6921 Год назад

      Kwamba muongo sio😅

  • @ramamrutu4914
    @ramamrutu4914 Год назад

    Part 2 iko wapi

  • @ВитаЮрьевна-м4ф
    @ВитаЮрьевна-м4ф Год назад

    👍

  • @glorymakundi1937
    @glorymakundi1937 Год назад +2

    Hii interview imenifunza mengi, nilkua nimekata tamaa ila nitainuka tena

    • @ramamrutu4914
      @ramamrutu4914 Год назад

      sana ndugu yangu yan mimi nawaza cjui hata naanzia wapi

  • @lindatogether
    @lindatogether Год назад +1

    Interview nzuri but ni kama haifunguki kila kitu mfano Jimbo jingine Jimbo gani? 🤷

  • @ramamrutu4914
    @ramamrutu4914 Год назад

    Part 2 iko wap

    • @THETHIRDTV_
      @THETHIRDTV_  Год назад

      ruclips.net/video/pQRl3IIwZbA/видео.html

  • @frankkajoba8372
    @frankkajoba8372 Год назад

    Ukiwa unamhoji mtu anza mwanzo kabisa, yeye ni nani? Amezaliwa wapi? Amesoma wapi? n.k