PART 1:NILINYIMWA VISA YA MAREKANI MARA 8,LAKINI SIKUKATA TAMAA,KWA SASA NAISHI MAREKANI,
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Us embassy, visa ,maswali ya visa ubalozini, ubalozi wa Marekani, safari ya marekani, kwenda marekani, Usa, Dnyota usa ,abby abuj, huku us, Marekani ,america, kenyan greencardlotery
PART 2
ruclips.net/video/pQRl3IIwZbA/видео.html
Heri yuko vizuri kwanza anajikubali napia Ana Imani kubwa ndo hiyo imefanya afikie hapo alipo tupige huwo Mfano wake
Hongera sana Elly
@ebmsignature fanya mmuhoji huyu yuko vizuri sana
Part 2 plz
Soon
Very interesting
Glad you think so!
Ila angalieni sana story za huyu dogo nimeangalia interview zake kama tatu story hazifanani but wacha niishie hapo
Mbona inaunga vzr tu
@@THETHIRDTV_ channel tofauti si hii inayosema part1 part 2 noo kutoka channels tofaut hapa anasema alipata visa ya kusoma pengine visiting pengine hivi vile mara hakuwa na permit ya kufanya kazi kwakua ni visiting nyingine anasema chuo kinatoa permit ya masaa 48 hakuna chuo cha hivyo duniani nyingine anasema alienda visiting but akafanya kazi yani uongo uongo kuna kitu anaficha so kama ameamua kuwa public figure aseme tu ukweli but kudanganya na waandishi kwakua wanataka contents na ukweli wanaujua ila wanaacha tu itamuharibia muhusika mana tunajua ukweli wa hivyo anavyozungumza
Kwamba muongo sio😅
Part 2 iko wapi
👍
Hii interview imenifunza mengi, nilkua nimekata tamaa ila nitainuka tena
sana ndugu yangu yan mimi nawaza cjui hata naanzia wapi
Interview nzuri but ni kama haifunguki kila kitu mfano Jimbo jingine Jimbo gani? 🤷
Part 2 iko wap
ruclips.net/video/pQRl3IIwZbA/видео.html
Ukiwa unamhoji mtu anza mwanzo kabisa, yeye ni nani? Amezaliwa wapi? Amesoma wapi? n.k
Sawa
@ebmsignature fanya mmuhoji huyu yuko vizuri sana