JE UKIKOSA VIZA UNARUDISHIWA PESA ? ✈️✈️✈️
HTML-код
- Опубликовано: 1 сен 2023
- #shengenvisa # Firsflight Hedofstaste safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam
Развлечения
Nimeelewa Sana 😊
Uko Sawa kabisa yaan hiyo Dola 100 Ni halali yako kabisa mm nakukubali Sana mwanakwetu❤❤❤❤❤❤
Pole sana yawezakuwa wew wanajua msomali mzee baba
Pamoja sana mwana kwetu
Kwahapa dar mnapatikana wapi?
Content nzuri sana imeeeleweka mno.
Hongera sana brother
Uko vizuri kaka
Kazi nzuri sana
Saafi sana bro umeeleweka
Big man nakujja mwanza insha allah tuuongeee vzr sana
Saizi ninesharudi America
Vizuri sana Kaka ww ni muwazi sana nakuelewa
Nashukuru
Nimekuelewa vizuri mzee wa secondary inspection. Binafsi gharama za process za visa naweza kujitahidi nikazipata, ila sasa mahali pa kufikia na vibali vya kuishi kule kwa muda mrefu kidogo ndio vitu ambavyo najiuliza mara nyingi navipataje. Maana ukienda na visa ya matembezi unapewa miezi 6, sasa huo bado ni muda mfupi kwa mtu anaetaka kufanya kazi huko. Asante
Mbona hiyo ameshazungumzia itafute hy video ipo humu
@@MAISHAYACROATIA sawa mkuu, ngoja nitafute.
mzee hivyo vitu sahv vinawezekana unaweza ukaenda kwa visa ya matembezi ukifika unabadili status kwa sababu asahivi ukiwa na visiting visa unaweza ukafanya kazi US wameruhusu... jaribu kuangalia video zingine za mr secondary inspection utaona hilo ameshazungumza
Gharama visa ya US ni shiling ngap,kwa process zote kasoro nauli?
Big up bro uko mkweli na muwazi sana
Bro nakubari sana
Consultation fee maana yake kiendacho kwa mganga hakirudi uwe umejipanga au hujajipanga aisee😃
Tunashukuru kwa muda wako unaojitolea kwetu! Mbali na kujifunza bado unatuburudisha pia maana sio kwa raha hizi❤❤❤Natamani usafiri tena utuchukulie videos nyingine tuendelee kujifunza😅😅😅😅
Hahahhaha
@@ArrivalTvkaka Habari naomba kuuliza kama nataka kusafili kwenda marekani natumiwa visa ticket je pale uwanja wandege.unaulizwa maswali au laaa naukifika kule unaulizwa au vipi naomba nifahamishe kaka
@@RachelRachel-zx6dx yaah utaulizwa maswali ya kutosha kabisa
@@ArrivalTv duuuuu Asante
Brotherasante sana kwamsaada wako
Mzee wa secondary inspection 😅😅... tunashukuru kwa kutusanua kwa taarifa kama hizi kwa maana zinatusaidia tujipange vizuri maana safari za kimataifa ni gharama..tupo pamoja
Bro asant3 kutuelewesha . Ugeliweza kutuambiya safari yabei zaidi unaona inaweza kufikiya pesa ngapi approximate
Mwanaketu ushauli wangu ingekuwa vizuri ukaweka wazi kuhusu garama za full process ya viza kila inchi bei zake kwasababu kuna watu wengine tupo njee ya tz sema tunatafuta pesa ya safari sema unakuta changamoto hujuwi nipate kiasi gani halafu ndo niendo tz kufanya process ya visa kwahiyo naomba uweke wazi kiasi gani kwawatu wakila aina halafu mtu akiwa anataka kuongea na wewe ndo alipie lakini kuhusu garama ziweke wazi ili mtu anajuwa natafuta pesa kiasi frani namtafuta mwanakwetu
Bila shaka anashinda kuweka sababu inategemea na Visa mtu anayo taka cz viza zipo daraja tofauti ,Visa ya masomo ni tofauti na visitor kwa kila procces mfano marekani wana zaidi ya visa 17 na kila moja ina process tofauti .Canada hivyo hivyo but ukitaka safari at list uwe na 2000usd kuendelea au 1500usd hapo bado tiketi na uzuri unaweza kumlipa MWANAKWETU kwa awamu kama upo sirius. tupambane tutoke tusikate tamaa vijana
@@trueone_tzkwa jinsi livyomuelewa Mr secondary inspection kwa safari hasa za nje unatakiwa uwe na kwanzia dola 1500 Mpk 2500 if possible ndio maana naona bora ujipange ili mkifanya jambo mnafanya bila longo longo then ukienda pale ubalozi kwenye interview unaongea mpk waseme huyu jamaa ni mwanasiasa au?😅
Mwanakwetu
Cause kuna mtu wangu yupo Canada aliwahi kunambia kuwa the best way to immigrate for the first time ni kupitia tourist visa,sasa nilichukuwa dini lake na dini lako hapa kwenye hii video nikapata madini,so nikaona it make sense
mwana kwetu.mi.sijui.kingereza naweza.kusafir
Aah kuna dini moja hapa nimelinasa hapa which very important..sasa hebu nambie kwamfano nimechukuwa Tourist visa ya one ya 3 weeks na baada ya kufikia tu sehemu husika after 3 days nikaanza process ya kuchenji visa from tourist to work visa labda process zake zinaweza kuchukuwa mda gani?
mnapatikana wap au naweza nikapata namba
Sawa kaka
Arrival
Wakweli unatufungua akili kusema ukweli
Huko clear sana
Kaka tunajifunza vingi kuhusu Safari kk
Sasa brooo me nauliza jee kwa wale ambao tayari washa ingia ktk system muna wasaidia vip
System gani?
Mwanakwetu umenena vema sana huyo anayedai kurudishiwa pesa arudi shuleni akaeleweshwe
Hiyo nilipitia Mimi wakati nakuja nilikaa almost 2hours pia
But ulifananikisha kupita ?
Yes kabisa nilipita..maana mpaka simu ilikaguliwa eti...dah
@@elizabethmangapii7477duh pole Shida ilikuw maswali
A living channel.
MWANAKWETU huna baya sema uturetee video ya secondary inseption
Mwanakwetu inatakiwa kiwango gani cha kuongea kingeleza maana halo ndipo kwenye shida upande wangu hua nafikilia sana nikihojiwa nitatoboa kweli
😂😂
Kwa tusiokuwa na namba zako je tunazipataje?
+14253642418
Nakuelewa sana mwanakwetu mungu azidi kukufungulia njia zaidi na kila hatua zako zitakapokanyaga mungu akupe kibali
Mwanakwetu naomba namba mpya
+14253642418
Kwer bwana Kuna mtu amekwambia ungeweka gharana Za viza shingap harafu mtu ajue atafute shingap kuwaanzi viza mpaka naur manaake wengine hatupo tz Kwa mfano viza yacanada ambapo wengine ndiio tunapopafikiria
Number mpya hazionekani kaka
+1425-508-2094
Ubalozi wa marekan si tunaenda na hela cash(dollar) unalipia vip wew
Mnaenda na cash ?😳
@@ArrivalTv😂😂😂 me sikulipa cash lakini….nililipa kwa system (mtandao wa simu)
Ukinyimwa visa unaweza omba tenavkwa mda gani
@@user-fq4xr3le1i unaweza kurudia kuomba viza wakati wowote ambao sababu iliyokunyima mwanzoni itakuwa imebadilika
@@ArrivalTv broo mimi niliomba canada broo lkn mpk leo majibu cjapata ya visa yng nimwaka mmoja na mwez tena cjw tatizo nini broo nisaidie
Naomba number mpya asante
+1425508-2094
Mwanakwetu unaeleweka mno
Naomba number yako tuongeye inbox
Unatisha kaka 😅
Brother unafanya na visa ya New zealland
Ndio
Ntakutafuta soon
Vipi maisha yapo kule????
@@MAISHAYACROATIAndio newzealland ni kama Australia na Canada na USA azina utofauti kimaisha
@@ramseyjonathan2479 duh kweli mzee
Bila travel history tutatoboa maswala ya usa kweli😅😢😢
MUNGU TU🙏