JE UKIKOSA VIZA UNARUDISHIWA PESA ? ✈️✈️✈️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 сен 2023
  • #shengenvisa # Firsflight Hedofstaste safari#greencard #usembassy #arrivaltime#ndege#I94#diaspora#creditcard#dv2024#thedignityact2023#asylum#nairobi#romanian#amsterdam
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 83

  • @deolynemollel427
    @deolynemollel427 5 месяцев назад

    Nimeelewa Sana 😊

  • @janety1933
    @janety1933 10 месяцев назад +1

    Uko Sawa kabisa yaan hiyo Dola 100 Ni halali yako kabisa mm nakukubali Sana mwanakwetu❤❤❤❤❤❤

  • @mukhtarally5819
    @mukhtarally5819 10 месяцев назад +1

    Pole sana yawezakuwa wew wanajua msomali mzee baba

  • @JoseBoazy
    @JoseBoazy 10 месяцев назад +1

    Pamoja sana mwana kwetu

    • @Witness-ti1gz
      @Witness-ti1gz 7 месяцев назад

      Kwahapa dar mnapatikana wapi?

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days 10 месяцев назад

    Content nzuri sana imeeeleweka mno.

  • @big4400
    @big4400 10 месяцев назад +1

    Hongera sana brother

  • @frankkataraiha607
    @frankkataraiha607 10 месяцев назад

    Uko vizuri kaka

  • @husseindottokilenga5424
    @husseindottokilenga5424 5 месяцев назад

    Kazi nzuri sana

  • @PaulsenMgema
    @PaulsenMgema 9 месяцев назад

    Saafi sana bro umeeleweka

  • @mukhtarally5819
    @mukhtarally5819 10 месяцев назад +1

    Big man nakujja mwanza insha allah tuuongeee vzr sana

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад

      Saizi ninesharudi America

  • @Libson10
    @Libson10 10 месяцев назад +1

    Vizuri sana Kaka ww ni muwazi sana nakuelewa

  • @kobbasupplies5772
    @kobbasupplies5772 5 месяцев назад

    Nashukuru

  • @tridaxprocumbens6079
    @tridaxprocumbens6079 10 месяцев назад +2

    Nimekuelewa vizuri mzee wa secondary inspection. Binafsi gharama za process za visa naweza kujitahidi nikazipata, ila sasa mahali pa kufikia na vibali vya kuishi kule kwa muda mrefu kidogo ndio vitu ambavyo najiuliza mara nyingi navipataje. Maana ukienda na visa ya matembezi unapewa miezi 6, sasa huo bado ni muda mfupi kwa mtu anaetaka kufanya kazi huko. Asante

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 10 месяцев назад

      Mbona hiyo ameshazungumzia itafute hy video ipo humu

    • @tridaxprocumbens6079
      @tridaxprocumbens6079 10 месяцев назад

      @@MAISHAYACROATIA sawa mkuu, ngoja nitafute.

    • @ericmkami7578
      @ericmkami7578 10 месяцев назад

      mzee hivyo vitu sahv vinawezekana unaweza ukaenda kwa visa ya matembezi ukifika unabadili status kwa sababu asahivi ukiwa na visiting visa unaweza ukafanya kazi US wameruhusu... jaribu kuangalia video zingine za mr secondary inspection utaona hilo ameshazungumza

  • @brightonjacob7776
    @brightonjacob7776 10 месяцев назад

    Gharama visa ya US ni shiling ngap,kwa process zote kasoro nauli?

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 7 месяцев назад

    Big up bro uko mkweli na muwazi sana

  • @user-bf1ls9zc7u
    @user-bf1ls9zc7u 10 месяцев назад

    Bro nakubari sana

  • @anwarsaid2008
    @anwarsaid2008 10 месяцев назад +2

    Consultation fee maana yake kiendacho kwa mganga hakirudi uwe umejipanga au hujajipanga aisee😃

  • @zengeummu9575
    @zengeummu9575 10 месяцев назад +2

    Tunashukuru kwa muda wako unaojitolea kwetu! Mbali na kujifunza bado unatuburudisha pia maana sio kwa raha hizi❤❤❤Natamani usafiri tena utuchukulie videos nyingine tuendelee kujifunza😅😅😅😅

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад +1

      Hahahhaha

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 9 месяцев назад

      ​@@ArrivalTvkaka Habari naomba kuuliza kama nataka kusafili kwenda marekani natumiwa visa ticket je pale uwanja wandege.unaulizwa maswali au laaa naukifika kule unaulizwa au vipi naomba nifahamishe kaka

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  9 месяцев назад

      @@RachelRachel-zx6dx yaah utaulizwa maswali ya kutosha kabisa

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 9 месяцев назад

      @@ArrivalTv duuuuu Asante

  • @lutambisos3605
    @lutambisos3605 5 месяцев назад

    Brotherasante sana kwamsaada wako

  • @ericmkami7578
    @ericmkami7578 10 месяцев назад +1

    Mzee wa secondary inspection 😅😅... tunashukuru kwa kutusanua kwa taarifa kama hizi kwa maana zinatusaidia tujipange vizuri maana safari za kimataifa ni gharama..tupo pamoja

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 10 месяцев назад +1

    Bro asant3 kutuelewesha . Ugeliweza kutuambiya safari yabei zaidi unaona inaweza kufikiya pesa ngapi approximate

  • @user-pi8nr2cd7l
    @user-pi8nr2cd7l 10 месяцев назад +2

    Mwanaketu ushauli wangu ingekuwa vizuri ukaweka wazi kuhusu garama za full process ya viza kila inchi bei zake kwasababu kuna watu wengine tupo njee ya tz sema tunatafuta pesa ya safari sema unakuta changamoto hujuwi nipate kiasi gani halafu ndo niendo tz kufanya process ya visa kwahiyo naomba uweke wazi kiasi gani kwawatu wakila aina halafu mtu akiwa anataka kuongea na wewe ndo alipie lakini kuhusu garama ziweke wazi ili mtu anajuwa natafuta pesa kiasi frani namtafuta mwanakwetu

    • @trueone_tz
      @trueone_tz 10 месяцев назад +1

      Bila shaka anashinda kuweka sababu inategemea na Visa mtu anayo taka cz viza zipo daraja tofauti ,Visa ya masomo ni tofauti na visitor kwa kila procces mfano marekani wana zaidi ya visa 17 na kila moja ina process tofauti .Canada hivyo hivyo but ukitaka safari at list uwe na 2000usd kuendelea au 1500usd hapo bado tiketi na uzuri unaweza kumlipa MWANAKWETU kwa awamu kama upo sirius. tupambane tutoke tusikate tamaa vijana

    • @ericmkami7578
      @ericmkami7578 10 месяцев назад

      ​​@@trueone_tzkwa jinsi livyomuelewa Mr secondary inspection kwa safari hasa za nje unatakiwa uwe na kwanzia dola 1500 Mpk 2500 if possible ndio maana naona bora ujipange ili mkifanya jambo mnafanya bila longo longo then ukienda pale ubalozi kwenye interview unaongea mpk waseme huyu jamaa ni mwanasiasa au?😅

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 9 месяцев назад

    Mwanakwetu

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 8 месяцев назад

    Cause kuna mtu wangu yupo Canada aliwahi kunambia kuwa the best way to immigrate for the first time ni kupitia tourist visa,sasa nilichukuwa dini lake na dini lako hapa kwenye hii video nikapata madini,so nikaona it make sense

  • @abuubakary4848
    @abuubakary4848 7 месяцев назад

    mwana kwetu.mi.sijui.kingereza naweza.kusafir

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 8 месяцев назад

    Aah kuna dini moja hapa nimelinasa hapa which very important..sasa hebu nambie kwamfano nimechukuwa Tourist visa ya one ya 3 weeks na baada ya kufikia tu sehemu husika after 3 days nikaanza process ya kuchenji visa from tourist to work visa labda process zake zinaweza kuchukuwa mda gani?

  • @user-xp6hb6xn3i
    @user-xp6hb6xn3i 10 месяцев назад +1

    mnapatikana wap au naweza nikapata namba

  • @moshirajabu5148
    @moshirajabu5148 10 месяцев назад +1

    Sawa kaka

  • @MrMasterMathew
    @MrMasterMathew 9 месяцев назад

    Arrival

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 8 месяцев назад

    Wakweli unatufungua akili kusema ukweli

  • @muhidinsiwa1523
    @muhidinsiwa1523 9 месяцев назад

    Huko clear sana

  • @hamisigazza2838
    @hamisigazza2838 7 месяцев назад

    Kaka tunajifunza vingi kuhusu Safari kk

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 10 месяцев назад

    Sasa brooo me nauliza jee kwa wale ambao tayari washa ingia ktk system muna wasaidia vip

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 10 месяцев назад

    Mwanakwetu umenena vema sana huyo anayedai kurudishiwa pesa arudi shuleni akaeleweshwe

  • @elizabethmangapii7477
    @elizabethmangapii7477 10 месяцев назад +2

    Hiyo nilipitia Mimi wakati nakuja nilikaa almost 2hours pia

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад +1

      But ulifananikisha kupita ?

    • @elizabethmangapii7477
      @elizabethmangapii7477 10 месяцев назад +2

      Yes kabisa nilipita..maana mpaka simu ilikaguliwa eti...dah

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 10 месяцев назад

      ​@@elizabethmangapii7477duh pole Shida ilikuw maswali

  • @Jmedia_Tv
    @Jmedia_Tv 9 месяцев назад

    A living channel.

  • @trommyx
    @trommyx 10 месяцев назад

    MWANAKWETU huna baya sema uturetee video ya secondary inseption

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 10 месяцев назад

    Mwanakwetu inatakiwa kiwango gani cha kuongea kingeleza maana halo ndipo kwenye shida upande wangu hua nafikilia sana nikihojiwa nitatoboa kweli

  • @daxboy8699
    @daxboy8699 10 месяцев назад

    😂😂

  • @husseindottokilenga5424
    @husseindottokilenga5424 5 месяцев назад

    Kwa tusiokuwa na namba zako je tunazipataje?

  • @willsonsamwel1158
    @willsonsamwel1158 10 месяцев назад +1

    Nakuelewa sana mwanakwetu mungu azidi kukufungulia njia zaidi na kila hatua zako zitakapokanyaga mungu akupe kibali

  • @HazlaomariHazlaomari
    @HazlaomariHazlaomari 3 месяца назад

    Mwanakwetu naomba namba mpya

  • @allykilapo-js3hg
    @allykilapo-js3hg 9 месяцев назад

    Kwer bwana Kuna mtu amekwambia ungeweka gharana Za viza shingap harafu mtu ajue atafute shingap kuwaanzi viza mpaka naur manaake wengine hatupo tz Kwa mfano viza yacanada ambapo wengine ndiio tunapopafikiria

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days 10 месяцев назад +1

    Number mpya hazionekani kaka

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад +1

      +1425-508-2094

  • @CiscaRecaps2015
    @CiscaRecaps2015 10 месяцев назад

    Ubalozi wa marekan si tunaenda na hela cash(dollar) unalipia vip wew

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад +1

      Mnaenda na cash ?😳

    • @JoyceakaJowi
      @JoyceakaJowi 10 месяцев назад +1

      @@ArrivalTv😂😂😂 me sikulipa cash lakini….nililipa kwa system (mtandao wa simu)

    • @user-fq4xr3le1i
      @user-fq4xr3le1i 10 месяцев назад

      Ukinyimwa visa unaweza omba tenavkwa mda gani

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад +1

      @@user-fq4xr3le1i unaweza kurudia kuomba viza wakati wowote ambao sababu iliyokunyima mwanzoni itakuwa imebadilika

    • @ramadhanrashid1011
      @ramadhanrashid1011 9 месяцев назад

      @@ArrivalTv broo mimi niliomba canada broo lkn mpk leo majibu cjapata ya visa yng nimwaka mmoja na mwez tena cjw tatizo nini broo nisaidie

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days 10 месяцев назад +1

    Naomba number mpya asante

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад +1

      +1425508-2094

    • @gotafostv7305
      @gotafostv7305 9 месяцев назад

      Mwanakwetu unaeleweka mno

  • @gracyanygracy5088
    @gracyanygracy5088 10 месяцев назад

    Naomba number yako tuongeye inbox

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 10 месяцев назад

    Unatisha kaka 😅

  • @ramseyjonathan2479
    @ramseyjonathan2479 10 месяцев назад +1

    Brother unafanya na visa ya New zealland

    • @ArrivalTv
      @ArrivalTv  10 месяцев назад

      Ndio

    • @ramseyjonathan2479
      @ramseyjonathan2479 10 месяцев назад

      Ntakutafuta soon

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 10 месяцев назад +1

      Vipi maisha yapo kule????

    • @ramseyjonathan2479
      @ramseyjonathan2479 10 месяцев назад

      ​@@MAISHAYACROATIAndio newzealland ni kama Australia na Canada na USA azina utofauti kimaisha

    • @MAISHAYACROATIA
      @MAISHAYACROATIA 10 месяцев назад

      @@ramseyjonathan2479 duh kweli mzee

  • @Trey2k365days
    @Trey2k365days 10 месяцев назад +1

    Bila travel history tutatoboa maswala ya usa kweli😅😢😢