Mambo vp wapendwa leo nimeonglea mambo mengi mazito ambayo kama wewe unataka kuja ulaya basi naamini yatakufundisha na kukufungua macho tafadhali video ni ndefu ila sikiliza mpaka mwisho naamini itakufungua macho mno usisahau kulike kukomenti na kusubscribe nawapenda na wale mnaofaiti basi naamini mkiona hii video mtaongeza nguvu
Nashukuru kupitia video zako na diaspora wengine zimenipush hadi nimeshamaliza process za kupata passport na baada ya wiki mbili nitapatiwa passport yangu soon tutaonana huko ulaya ndio kila kitu bna
Inabidi siku ya kiama waafrika tupunguziwe adhabu, Bara la Afrika ni nusu hell😄 ile hustles, magumu na shida watu hupitia hadi kufanikiwa wakiwa Africa ni adhabu tosha. Once you Born in Africa life is automatically leading you 1-0. All these troubles are due to Corrupt leaders.. poor Africa..🥺
Asante sana kwa vidéo hii , nimepitia vidéo zako nyingi naona wengi ni wa tanzania ila mimi ni mkongomani 🇨🇩 , nimelazimika kutoka nyumbani na kwenda kutafuta maisha mjini lakini Mambo ni magumu , nimekuwa nikipita mitandao mingi ilinipate fursa adi nilipo angukia kwenye Channel yako , asante sana dada
Unachosema mama franjo ni kweli kabisa sikupingi tatzo la nchi yetu mitandao ya kijamii ilichelewa kuingia kama sikusei na kingine kuchelewa kwetu ndio sababu atujajua kutafuta fulsa kupitia mitandao hyo wengi wao tofauti na wenzetu kenya,uganda wako tofauti kidogo sisi watanzania bado tuko nyuma sana
Tatizo hii mitandao hatuitumii vizr kwa vitu kama hivi aisee Maana sisi ni kuangaliya Instagram watu walio vaa vzr na vilivyo trend mtandao na kusoma umbeya aisee daaaah me nimechelewa sana daaa
Hapo mazeee twenden imajin mm nimetoka tz nimekuja zambia kufanya biashara ila bdo mambo hayaendi mm naenda ulaya nikapige kaz sisi wabongo tuko makini na kazi ila mifumo
@@mamafranjovlog72 Mama Franjo mm ninavyo kupenda 🥰my dear Sister videos zako zichukue hata 10 minutes👌 huwaga na tidhama hadi wisho kwa sababu kunamengi ya kujifunza💯 ubariwkiwe wasio ku love imekula kwao ✍🏽
Big up sister , tupe michongo sisi wengine tuko silias , tunatamani utuletee zile fursa na kutusaidia tufikie ndoto zetu kama ulivyowasaidia wengine kama saidi.
Samahani dada mm nahitaji msaada wako plz nimesikiliza vidio yako yote ila mm naitaji mwanangu apate iyo chansi anamiaka 18 anamaliza kidato cha nne mwaka huu plz nisaidie mpz afanyeje ili apate nayeye kuja uko
Mambo vp wapendwa leo nimeonglea mambo mengi mazito ambayo kama wewe unataka kuja ulaya basi naamini yatakufundisha na kukufungua macho tafadhali video ni ndefu ila sikiliza mpaka mwisho naamini itakufungua macho mno usisahau kulike kukomenti na kusubscribe nawapenda na wale mnaofaiti basi naamini mkiona hii video mtaongeza nguvu
Kweli upande wangu umenifungua kujua mengi, Mungu akubariki,
Kwel kabisa dada
Umetufundisha kabisa
Mim hata nikuzowa takataka nakuja kufanya dada nisaidiy
@@Baraka52Shukuran-qj1qt shukrani
Asante kwa kuwafanunulia ambao wapo gizani. TUNAPAMBANIA ILO KOMBE🤏
Shukrani shukranii
Nashukuru kupitia video zako na diaspora wengine zimenipush hadi nimeshamaliza process za kupata passport na baada ya wiki mbili nitapatiwa passport yangu soon tutaonana huko ulaya ndio kila kitu bna
Hongera sana hongera na karibu
MAMA FRANJO YOU ARE SO BRIGHT Asante kwa kuletwa DUNIANI kwa ajili ya kusaidia wengine
Shukrani sana wangu
Duuh kiukweli nilikua sijui Tena kuna kusafiri kwa magendo ,,but Ni hatari Sana aise, barikiwa Sana mamii Anjo😘😘😘
Inabidi siku ya kiama waafrika tupunguziwe adhabu, Bara la Afrika ni nusu hell😄 ile hustles, magumu na shida watu hupitia hadi kufanikiwa wakiwa Africa ni adhabu tosha. Once you Born in Africa life is automatically leading you 1-0.
All these troubles are due to Corrupt leaders.. poor Africa..🥺
kwakweli we acha tu we ach tu mie nawaangaliaga sana hawa waliozaliwa hapa halafu wapowapo wnaashangaaga tu lol
@@mamafranjovlog72 AFRIKA upasikiye tu ivyo ila afrika bwana
Believe me africa ni tajiri kuliko hizi nchi za ulaya sema tu,viongozi wetu
Ma flanjo nimependa hapo eti kwenye hela unatunga sababu😅
Yani mwafika anakosaje sasa sababu lol🤣🤣🤣🤣
Asante Sana mamy ❤
🥰🥰
Mutter franjo du bist nett und klug. Danke
Oh Danke sehr
Asante kwa elimu kubwa dada yetu, yaan ata tulikuwa hatujui chochote watanzania tuko nyuma sana kujua mambo....
Yes sio kosa letu but siku hizi mitandao kama hivi inasaidia
@@mamafranjovlog72 kabisa mitandao inatufungua sanaaa kwa kweli
Dada kiukweri pole sana .maisha yaenderee.
shukrani
Asante sana kwa vidéo hii , nimepitia vidéo zako nyingi naona wengi ni wa tanzania ila mimi ni mkongomani 🇨🇩 , nimelazimika kutoka nyumbani na kwenda kutafuta maisha mjini lakini Mambo ni magumu , nimekuwa nikipita mitandao mingi ilinipate fursa adi nilipo angukia kwenye Channel yako , asante sana dada
Unachosema mama franjo ni kweli kabisa sikupingi tatzo la nchi yetu mitandao ya kijamii ilichelewa kuingia kama sikusei na kingine kuchelewa kwetu ndio sababu atujajua kutafuta fulsa kupitia mitandao hyo wengi wao tofauti na wenzetu kenya,uganda wako tofauti kidogo sisi watanzania bado tuko nyuma sana
Now you know , now you know
Tatizo hii mitandao hatuitumii vizr kwa vitu kama hivi aisee Maana sisi ni kuangaliya Instagram watu walio vaa vzr na vilivyo trend mtandao na kusoma umbeya aisee daaaah me nimechelewa sana daaa
Sawa my dear
Dadanaomba.nambazako.menaitaj.uniongozenifike.canada
Asante mama franjo maelezo mazuri na yanaeleweka ngoja tupambane Sasa.
Una roho ya dhahabu Mungu azid kukuweka Mama Franjo wangu,
Amen Amennnn ooh
Mama franjo naomba nisaidie kuwa wakala wangu wa kufika ujeruman au Poland. Kiingereza naongea na kuandika. Ila kijerumani naendelea kujifunza
okey okey endelea kujifunza funza ukiiva njoo
Ulaya kutamu jamani
kwakweli we are gratefully kuwa hapa
Nimecheka baada ya hizo crip za kusafirishwa kimagendo kama mazur , Mungu atunusuru na hayoo 😢 daaaah
yani AMne Amen watu wanapitia mengi mpka kufanikiwa
Nimeelewa kumbe Bei inabadilikabadilika kulingana na wakati
Shukrani sana
I have learn something from this clip
Thanks alot
Mimi mwenyewe natamani sana kuja marekani but ni vigumu sana vile umesema watu wengi wanafariki wakijaribu kufika
Ni kweli kbs
🥰🥰
Ulaya kuzuri
kwakweli we are gratefully my brother we are gratefully
Yani jamii ya kiarabu yote ni wakatili mpaka mungu anajuwa hilo😢
Wanajionaga mno kumbe walemavu za akilii
Wazungu ndo wazur
Nataka niende poland vipi unaweza nisaidiaje mawasiliano Dada
Thanks my d unanitia moyo Sana naamini nitafanikiwa.
Amen Amen kabisa
Pamoja sana dada
Sema mdogo wangu tujuze ubarikiwe sana unatufungua macho sana
shukrani my lov sis huku kuna mengi bwana , ila wengi wanafikiri kazi tu kazi tu kazi kumbe ni life insurance ahhahahahaaha
@@mamafranjovlog72 tutapambana mpaka kieleweke🤪
Mwanamke bwana ni mwanamke TU unaongea sana bhana uwe unaenda kwenye point
Hapo mazeee twenden imajin mm nimetoka tz nimekuja zambia kufanya biashara ila bdo mambo hayaendi mm naenda ulaya nikapige kaz sisi wabongo tuko makini na kazi ila mifumo
Asantee dear mambo ni mazuri kweli
we are gratefully
Tena Sana dear nitakuja hata kuosha vyombo tu dear.
Kwakweli Mungu atafanya tu kwanini uoshe vyombo ukifika huku tu you can do anything kwanini uoshe vyombo
Dada kama hutojali naweza kupata mawasiliano Yako tafadhali
Nakuelewa sana ma franjo ila sielewi nakupataje?
Napatikana instagram my dia @granaterosemary
Nakubal saan
shukrani
Mama Franjo ume ni tamanisha nije ulaya 🙏🏼🙏🏼
Nafurai kama umeiangalia na umejifunza kitu now you know
@@mamafranjovlog72 Mama Franjo mm ninavyo kupenda 🥰my dear Sister videos zako zichukue hata 10 minutes👌 huwaga na tidhama hadi wisho kwa sababu kunamengi ya kujifunza💯 ubariwkiwe wasio ku love imekula kwao ✍🏽
Waafrica wanaroo mbaya
Kwanini tena
NAKUELEWA SANA DADA YANGU
Hello dear mm nataka kaz za ndani 😢😢
Yaani ninakufuatilia sana
Shukranii dear
Mdogomdogo najifunza kijerumani
Vizuri vizuri
My dear guten abend
guten abend
I see u mama franjo 🇰🇪
I see you too i see
Dada naomba mawasiliano Yako unisaidie naitaji kuja huko ila sina mtu wakunisaidia
Please dear nipo omani huku shida sana jmn please
Mpaka kufika huko my dear ili nijikusanye.
Naomba unisaidie dear nahitaji msaada wako plz number 😢
niaje? da naona watu wengi wakitafuta maisha nnje huko, lkn changamoto ukituma pesa huku ni shida, je nyinyi mnafanya maendeleo huko?
Sijaelewa swali lako ni nini sijaelewa wakituma pesa wapi ?
franjo acha usumbufu tunamsikiliza mama akitupa madini hpa
ya😂ni amejua kubonyeza wiper za gari basi mwanzo mwisho ni kuzibonyeza tu video yote kelele zake
My dear umeadimika
Visa za Germany mnafanya sister
Mama franjo nikiwa na diploma ya pharmacy naweza kupata kazi ujeruman
Big up sister , tupe michongo sisi wengine tuko silias , tunatamani utuletee zile fursa na kutusaidia tufikie ndoto zetu kama ulivyowasaidia wengine kama saidi.
shukrani shukrani usaijali ntaendelea kuwaletea
Mzima my dear?
mi mzima vipi dear
Tunaomba contact zako jmn ya simu tafadhali
Mbona nimewaambua situmii wasapu mnicheki instagram au tiktok kwa jina la @granaterosemary mrembo
Tusaidiye dada tufikiye ndoto zetu
usijali tutaendelea kuwaleteeni kila fursa nitakayoipata
My dear nauli mpaka uko
Angalia video zangu za nyuma nimeshaelezea kila kitu . Kuna video ya nauli . Kuna video ya garama nakila kituu angalia video zangu za nyuma
@@mamafranjovlog72 naomba huwe unaweka hyo link kwa chini ili tuangalie faster maana vidio ni nyingi
Duuuu😢😢
Naombanambayako
situmii wasapu nicheki instagram my dear kwajina la @granaterosemary
Nisaidiye mama franjo nipo natafuta prospect
Karibu karibu
Musadawako2 ndounaweza kunisaidiya
Kufika huko
Naomba kuuliza ivi nyumba haikopeshi?
Mbona nimeongelea kuhusu Mikopo mwishoni kabisa .wanakopesha mpaka Nyumba ila lazima uwe na kazi thanks for watching
Sister upo makin nipo chupa apa unakuja uko siku si nyingi
Karibu karibu
Huko Tanzania nasikia kuna mkopo wa kausha damu 😂😂😂watu wanakaushwa hatariiiii
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bongo bahati mbaya ili kaimba nani eh kausha damu tena hahahahha
@@mamafranjovlog72 🤣🤣🤣hatariiiiii
Mimi nahitaji kazi marekani dada nafanyaje
Swali langu je ukifika tu unawekwa kwenye sistimu? Au mpaka uwe na uraia
Umesikiliza video mpaka mwisho? Inategemea umekuja na viza gani ?uraia hauusini visa tu au vibali vya kuishi
Dada namm naitaji kuja uko jamani
Karibu karibu
Samahani dada mm nahitaji msaada wako plz nimesikiliza vidio yako yote ila mm naitaji mwanangu apate iyo chansi anamiaka 18 anamaliza kidato cha nne mwaka huu plz nisaidie mpz afanyeje ili apate nayeye kuja uko
Dear kukamilisha malipo ni yote ni shngapi naomba nijue.
Malipo ya nini mrembo
Ni vipi utapata nafasi ya kufika hapo dada
Angalia video zangu zingine zina maelezo nina video humu zaidi za 20
Niki taka kazi ya nyumbani ina takiwa niwe na sifa gani
Sikiliza video zenye maelezo
Dada mimi naomba uichukue hii namba yangu then nikutumie voice not the uisilikilize hitaji langu
nicheki instagram , kwa jina la @granaterosemary
@@mamafranjovlog72 nakucheck now Sister angu, nmechelewa nmekuta umetoka live
Asante Sana kwa video mpya nayene kwelemisha watu zaidi mungu akubariki akulinde
@@mafrikanwsAmen
Please naomba email yako au namba ya Whatsapp ili tuwasiliane muhimu 🙏