KWANINI WATU WANAFAITI KUFIKA ULAYA ? SIKIA UKWELI HUU HUTOAMINI 🤔PESA/KAZI /ELIMU /AFYA NA Mengi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • #maishayaughaibuni #mamafranjovlogs #workpermit #workvisa

Комментарии • 149

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +11

    Mambo vp wapendwa leo nimeonglea mambo mengi mazito ambayo kama wewe unataka kuja ulaya basi naamini yatakufundisha na kukufungua macho tafadhali video ni ndefu ila sikiliza mpaka mwisho naamini itakufungua macho mno usisahau kulike kukomenti na kusubscribe nawapenda na wale mnaofaiti basi naamini mkiona hii video mtaongeza nguvu

  • @daimakiganjani
    @daimakiganjani Год назад +1

    Asante kwa kuwafanunulia ambao wapo gizani. TUNAPAMBANIA ILO KOMBE🤏

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 Год назад +4

    Nashukuru kupitia video zako na diaspora wengine zimenipush hadi nimeshamaliza process za kupata passport na baada ya wiki mbili nitapatiwa passport yangu soon tutaonana huko ulaya ndio kila kitu bna

  • @erictz
    @erictz Год назад +1

    MAMA FRANJO YOU ARE SO BRIGHT Asante kwa kuletwa DUNIANI kwa ajili ya kusaidia wengine

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Год назад +2

    Duuh kiukweli nilikua sijui Tena kuna kusafiri kwa magendo ,,but Ni hatari Sana aise, barikiwa Sana mamii Anjo😘😘😘

  • @akleiludovick9853
    @akleiludovick9853 Год назад +4

    Inabidi siku ya kiama waafrika tupunguziwe adhabu, Bara la Afrika ni nusu hell😄 ile hustles, magumu na shida watu hupitia hadi kufanikiwa wakiwa Africa ni adhabu tosha. Once you Born in Africa life is automatically leading you 1-0.
    All these troubles are due to Corrupt leaders.. poor Africa..🥺

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +2

      kwakweli we acha tu we ach tu mie nawaangaliaga sana hawa waliozaliwa hapa halafu wapowapo wnaashangaaga tu lol

    • @mafrikanws
      @mafrikanws Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 AFRIKA upasikiye tu ivyo ila afrika bwana

    • @PureSoul-rf4xd
      @PureSoul-rf4xd 9 месяцев назад +1

      Believe me africa ni tajiri kuliko hizi nchi za ulaya sema tu,viongozi wetu

  • @annamussa185
    @annamussa185 Год назад +4

    Ma flanjo nimependa hapo eti kwenye hela unatunga sababu😅

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Yani mwafika anakosaje sasa sababu lol🤣🤣🤣🤣

  • @rosedaud4834
    @rosedaud4834 Год назад +2

    Asante Sana mamy ❤

  • @salumelia3105
    @salumelia3105 Год назад +2

    Mutter franjo du bist nett und klug. Danke

  • @isaiahmwasonzwe2486
    @isaiahmwasonzwe2486 Год назад +2

    Asante kwa elimu kubwa dada yetu, yaan ata tulikuwa hatujui chochote watanzania tuko nyuma sana kujua mambo....

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Yes sio kosa letu but siku hizi mitandao kama hivi inasaidia

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 Год назад

      @@mamafranjovlog72 kabisa mitandao inatufungua sanaaa kwa kweli

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 Год назад +3

    Dada kiukweri pole sana .maisha yaenderee.

  • @Sagesse_officiel.
    @Sagesse_officiel. Год назад +1

    Asante sana kwa vidéo hii , nimepitia vidéo zako nyingi naona wengi ni wa tanzania ila mimi ni mkongomani 🇨🇩 , nimelazimika kutoka nyumbani na kwenda kutafuta maisha mjini lakini Mambo ni magumu , nimekuwa nikipita mitandao mingi ilinipate fursa adi nilipo angukia kwenye Channel yako , asante sana dada

  • @fredmagge9247
    @fredmagge9247 Год назад +3

    Unachosema mama franjo ni kweli kabisa sikupingi tatzo la nchi yetu mitandao ya kijamii ilichelewa kuingia kama sikusei na kingine kuchelewa kwetu ndio sababu atujajua kutafuta fulsa kupitia mitandao hyo wengi wao tofauti na wenzetu kenya,uganda wako tofauti kidogo sisi watanzania bado tuko nyuma sana

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Now you know , now you know

    • @mmasipeter4157
      @mmasipeter4157 Год назад

      Tatizo hii mitandao hatuitumii vizr kwa vitu kama hivi aisee Maana sisi ni kuangaliya Instagram watu walio vaa vzr na vilivyo trend mtandao na kusoma umbeya aisee daaaah me nimechelewa sana daaa

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +2

    Sawa my dear

  • @RashidAbeli-s7u
    @RashidAbeli-s7u 22 дня назад

    Dadanaomba.nambazako.menaitaj.uniongozenifike.canada

  • @samanthalyimo4598
    @samanthalyimo4598 Год назад

    Asante mama franjo maelezo mazuri na yanaeleweka ngoja tupambane Sasa.

  • @NS-ru1yf
    @NS-ru1yf Год назад +1

    Una roho ya dhahabu Mungu azid kukuweka Mama Franjo wangu,

  • @salumelia3105
    @salumelia3105 Год назад +2

    Mama franjo naomba nisaidie kuwa wakala wangu wa kufika ujeruman au Poland. Kiingereza naongea na kuandika. Ila kijerumani naendelea kujifunza

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад +3

    Ulaya kutamu jamani

  • @rachelfredrick7018
    @rachelfredrick7018 Год назад +2

    Nimecheka baada ya hizo crip za kusafirishwa kimagendo kama mazur , Mungu atunusuru na hayoo 😢 daaaah

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Nimeelewa kumbe Bei inabadilikabadilika kulingana na wakati

  • @khababuabdallah8078
    @khababuabdallah8078 Год назад

    Shukrani sana

  • @sephassimiyu433
    @sephassimiyu433 Год назад +1

    I have learn something from this clip

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Thanks alot

    • @sephassimiyu433
      @sephassimiyu433 Год назад

      Mimi mwenyewe natamani sana kuja marekani but ni vigumu sana vile umesema watu wengi wanafariki wakijaribu kufika

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Год назад +1

    Ni kweli kbs

  • @BabaDTV
    @BabaDTV Год назад +3

    Ulaya kuzuri

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      kwakweli we are gratefully my brother we are gratefully

  • @annamussa185
    @annamussa185 Год назад +2

    Yani jamii ya kiarabu yote ni wakatili mpaka mungu anajuwa hilo😢

  • @mrlongrichlongrichagent1929
    @mrlongrichlongrichagent1929 Год назад

    Nataka niende poland vipi unaweza nisaidiaje mawasiliano Dada

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Thanks my d unanitia moyo Sana naamini nitafanikiwa.

  • @gracekisenene1106
    @gracekisenene1106 Год назад +1

    Sema mdogo wangu tujuze ubarikiwe sana unatufungua macho sana

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      shukrani my lov sis huku kuna mengi bwana , ila wengi wanafikiri kazi tu kazi tu kazi kumbe ni life insurance ahhahahahaaha

    • @gracekisenene1106
      @gracekisenene1106 Год назад

      @@mamafranjovlog72 tutapambana mpaka kieleweke🤪

  • @kamuogo
    @kamuogo 2 месяца назад

    Mwanamke bwana ni mwanamke TU unaongea sana bhana uwe unaenda kwenye point

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 Год назад

    Hapo mazeee twenden imajin mm nimetoka tz nimekuja zambia kufanya biashara ila bdo mambo hayaendi mm naenda ulaya nikapige kaz sisi wabongo tuko makini na kazi ila mifumo

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Asantee dear mambo ni mazuri kweli

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      we are gratefully

    • @angelajoseph4643
      @angelajoseph4643 Год назад +1

      Tena Sana dear nitakuja hata kuosha vyombo tu dear.

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Kwakweli Mungu atafanya tu kwanini uoshe vyombo ukifika huku tu you can do anything kwanini uoshe vyombo

  • @EdithaPaul-k3c
    @EdithaPaul-k3c 6 месяцев назад

    Dada kama hutojali naweza kupata mawasiliano Yako tafadhali

  • @dainatkabendera6953
    @dainatkabendera6953 Год назад +1

    Nakuelewa sana ma franjo ila sielewi nakupataje?

  • @amirimuhsin560
    @amirimuhsin560 Год назад +1

    Nakubal saan

  • @AminaAmina-mv4ko
    @AminaAmina-mv4ko Год назад +2

    Mama Franjo ume ni tamanisha nije ulaya 🙏🏼🙏🏼

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Nafurai kama umeiangalia na umejifunza kitu now you know

    • @AminaAmina-mv4ko
      @AminaAmina-mv4ko Год назад

      @@mamafranjovlog72 Mama Franjo mm ninavyo kupenda 🥰my dear Sister videos zako zichukue hata 10 minutes👌 huwaga na tidhama hadi wisho kwa sababu kunamengi ya kujifunza💯 ubariwkiwe wasio ku love imekula kwao ✍🏽

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 2 месяца назад

    Waafrica wanaroo mbaya

  • @anwarsaid2008
    @anwarsaid2008 Год назад

    NAKUELEWA SANA DADA YANGU

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 Год назад

    Hello dear mm nataka kaz za ndani 😢😢

  • @ashamawazo-t7w
    @ashamawazo-t7w 7 месяцев назад

    Yaani ninakufuatilia sana

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Mdogomdogo najifunza kijerumani

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    My dear guten abend

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад +2

    I see u mama franjo 🇰🇪

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      I see you too i see

    • @NunuSuleiman
      @NunuSuleiman Год назад

      Dada naomba mawasiliano Yako unisaidie naitaji kuja huko ila sina mtu wakunisaidia

    • @NunuSuleiman
      @NunuSuleiman Год назад

      Please dear nipo omani huku shida sana jmn please

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад

    Mpaka kufika huko my dear ili nijikusanye.

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 Год назад

    Naomba unisaidie dear nahitaji msaada wako plz number 😢

  • @NorascoKipeto
    @NorascoKipeto Год назад

    niaje? da naona watu wengi wakitafuta maisha nnje huko, lkn changamoto ukituma pesa huku ni shida, je nyinyi mnafanya maendeleo huko?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Sijaelewa swali lako ni nini sijaelewa wakituma pesa wapi ?

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Год назад +1

    franjo acha usumbufu tunamsikiliza mama akitupa madini hpa

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      ya😂ni amejua kubonyeza wiper za gari basi mwanzo mwisho ni kuzibonyeza tu video yote kelele zake

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад

    My dear umeadimika

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Год назад

    Visa za Germany mnafanya sister

  • @naumikabila5880
    @naumikabila5880 11 месяцев назад

    Mama franjo nikiwa na diploma ya pharmacy naweza kupata kazi ujeruman

  • @christophermsangi8671
    @christophermsangi8671 Год назад +1

    Big up sister , tupe michongo sisi wengine tuko silias , tunatamani utuletee zile fursa na kutusaidia tufikie ndoto zetu kama ulivyowasaidia wengine kama saidi.

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Mzima my dear?

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 4 месяца назад

    Tunaomba contact zako jmn ya simu tafadhali

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  4 месяца назад

      Mbona nimewaambua situmii wasapu mnicheki instagram au tiktok kwa jina la @granaterosemary mrembo

  • @Baraka52Shukuran-qj1qt
    @Baraka52Shukuran-qj1qt Год назад +1

    Tusaidiye dada tufikiye ndoto zetu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      usijali tutaendelea kuwaleteeni kila fursa nitakayoipata

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    My dear nauli mpaka uko

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Angalia video zangu za nyuma nimeshaelezea kila kitu . Kuna video ya nauli . Kuna video ya garama nakila kituu angalia video zangu za nyuma

    • @mmasipeter4157
      @mmasipeter4157 Год назад

      @@mamafranjovlog72 naomba huwe unaweka hyo link kwa chini ili tuangalie faster maana vidio ni nyingi

  • @sabrinaibrahim1127
    @sabrinaibrahim1127 Год назад

    Duuuu😢😢

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Год назад +1

    Naombanambayako

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      situmii wasapu nicheki instagram my dear kwajina la @granaterosemary

  • @Baraka52Shukuran-qj1qt
    @Baraka52Shukuran-qj1qt Год назад +1

    Nisaidiye mama franjo nipo natafuta prospect

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад +1

    Naomba kuuliza ivi nyumba haikopeshi?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Mbona nimeongelea kuhusu Mikopo mwishoni kabisa .wanakopesha mpaka Nyumba ila lazima uwe na kazi thanks for watching

  • @kevinmushi8209
    @kevinmushi8209 5 месяцев назад

    Sister upo makin nipo chupa apa unakuja uko siku si nyingi

  • @NnajMimi
    @NnajMimi Год назад +1

    Huko Tanzania nasikia kuna mkopo wa kausha damu 😂😂😂watu wanakaushwa hatariiiii

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bongo bahati mbaya ili kaimba nani eh kausha damu tena hahahahha

    • @NnajMimi
      @NnajMimi Год назад

      @@mamafranjovlog72 🤣🤣🤣hatariiiiii

  • @ranayuhase1405
    @ranayuhase1405 Год назад

    Mimi nahitaji kazi marekani dada nafanyaje

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk 10 месяцев назад

    Swali langu je ukifika tu unawekwa kwenye sistimu? Au mpaka uwe na uraia

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  10 месяцев назад

      Umesikiliza video mpaka mwisho? Inategemea umekuja na viza gani ?uraia hauusini visa tu au vibali vya kuishi

  • @teresiamathias8636
    @teresiamathias8636 Год назад +1

    Dada namm naitaji kuja uko jamani

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Karibu karibu

    • @teresiamathias8636
      @teresiamathias8636 Год назад

      Samahani dada mm nahitaji msaada wako plz nimesikiliza vidio yako yote ila mm naitaji mwanangu apate iyo chansi anamiaka 18 anamaliza kidato cha nne mwaka huu plz nisaidie mpz afanyeje ili apate nayeye kuja uko

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад

    Dear kukamilisha malipo ni yote ni shngapi naomba nijue.

  • @isabellahnyatichi4472
    @isabellahnyatichi4472 Год назад

    Ni vipi utapata nafasi ya kufika hapo dada

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Angalia video zangu zingine zina maelezo nina video humu zaidi za 20

  • @omanhuawei8980
    @omanhuawei8980 Год назад

    Niki taka kazi ya nyumbani ina takiwa niwe na sifa gani

  • @erickmisilakuba6426
    @erickmisilakuba6426 Год назад +1

    Dada mimi naomba uichukue hii namba yangu then nikutumie voice not the uisilikilize hitaji langu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      nicheki instagram , kwa jina la @granaterosemary

    • @erickmisilakuba6426
      @erickmisilakuba6426 Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 nakucheck now Sister angu, nmechelewa nmekuta umetoka live

    • @mafrikanws
      @mafrikanws Год назад +1

      Asante Sana kwa video mpya nayene kwelemisha watu zaidi mungu akubariki akulinde

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@mafrikanwsAmen

  • @AishaSekibo
    @AishaSekibo Год назад

    Please naomba email yako au namba ya Whatsapp ili tuwasiliane muhimu 🙏