JINSI SAIDI ALIVYOPATA KAZI NA VIZA YA ULAYA PART 1 GHARAMA,(DOCUMENTARY )
HTML-код
- Опубликовано: 24 июн 2022
- #vizayaulaya #kaziughaibuni #polandfactorywork
Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram Mama Franjo Vlogs
email: kunta1010.rm@gmail.com
SOCIAL MEDIA
Facebook https:/ swahilifilmd... INSTAGRAM granaterosemary
Hongera sana saidi mungu akubaliki 🙏🙏🙏
Hongera kwako pia kuwezesha
Mungu akubariki mama franjo Kwa moyo wako akufungulie mahitaji ya moyo wako@mama franjo
Amen Amen dear shukrani Sana 🥰🥰🥰atubariki sote
Kazi nzuri dada mungu azidi kukubariki
AMen amen atubariki sotee
Mimi ni mzawa wa Zanzibar lkn asili yangu ni Dodoma nimekua very interested Dada yangu na hii mchakato pia ni ndoto nilokua nayo since day one lkn nahisi hii ni fursa nayoweza kuitumia sasa naomba nipe hatua za kufanya mama franjo Dada angu nipo tayari na huu mpango naomba nipe muongo nahitaji kupata fursa ya kuja kufanya kazi ya aina yeyote mama yangu
Dada mama flanjo,MUNGU akubaliki kwa kazi nzuri unayoifanya,ipo siku ntakutafuta coz hata mm ninandoto za kuja ughaibuni..kwa kuanzia nimeanza kujifunza kijerumani km ulivyotushauli kuwa n moja Kati ya njia za kwenda ughaibuni.
Asante sana na hongera kazana kujifunza
Woyooooo Finally u made a video as u promise us...God bless u Mom Franjo
Hahahaha kwakwelii thanks you much dear Mungu atubariki sotee🥰🥰🥰
congratulations 🎉
😊
Asante, dada nakuombea huu moyo uliojaliwa na Mungu uwe mzima utusaidie
Amen Amenn
Nakupenda dada
Umependeza sana my wiiii ❤❤❤❤❤☀️☀️☀️☀️☀️
Thanks much my Wii🥰🥰🥰
Duuuu Noma SANA
Very interesting story
May Almighty GOD Bless you forever
Thanks a lot for this Wonderful story 🙏
Thanks on saidi behalf 👏👏
Unajua unapata mema zaidi kwa utendayo maisha marefu 🙏🙏
@@mamafranjovlog72 habari sister
@@mamafranjovlog72 habari wapi kwa kubuking visa ? Niambie
Asante Kwa kinijibu tayar nimsha ki following n nmeku2mia ujumbe inbox
Mungu awabariki sana mnasaidia vijana
Shukrani Sana 🤝🤝🤝
Ongera sana mama franjo mungu akubalik sana na akupe maisha malefu
Asante Amen atubariki sote
Mungu akubariki mama flanjo tulikumisi sana
Miss you alot my dear mda mrefuu Sana 🥰🥰
Jamani the story ni nzuri nzuri mno.Iam so happy for saidi.Ubarikiwe sana kipenzi for the shout out love!
Kwa kuongezea jamani kam una ndoto yoyote ifanyie kazi mpaka itimie kwasababu hakuna linaloshindikana hap duniani ukiwa bado una uzima!
SHUKRANI za saidi nyingi kwako dear bila wewe kuwa na moyo mzuri wa saidi wengine saidi asingetimiza ndoto zake dear
@@africanbellatherealtalk kabisa kabisa dear sky is the limi´t kwakweli
@@africanbellatherealtalk hello
Mama franjo binaadam na nusu 🙌🙌🙌
Kazi nzuri dada
shukrani
Manshallah shukulan Sana dada
Shukrani
Hongera dada umedamshi mumy
Oh thanks much dear
Asante sana mpenzi mungu akupe mahisha malefu sana ili uendelee kusaidia wengi
Amen Amen atupe wote pia na kutimiza ndoto zetu wote
@@mamafranjovlog72 sister mi na ndoto za kuzamia uko nipe connection nafanyaje Nini natakiwa niwe nacho na nitakipataje mfano Kama Visa paspot
Asante dada ngoja nifatilie
Ok
Mama franjo mimi nahitaji huo mchongo wa Poland
Wallahi najifunza jijeruman nipo uku oman nikirud tz naenda jusomea ile coz ulonambia Dr kalibu yakulud nitakutafuta ndotoyangu Canada au heruman
Yani ukazane kwakweli
Mungu atakulipa wiiii kwakusaidiya watu wa nyumbani.
Thanks much my wiiii🥰🥰🥰🥰
@@mamafranjovlog72 hello am interested working abroad can you help me
Dahaa me mwanangu nakuja Sna salun Kwako edwini kanambia eti upo Zanzibar kumbe ushasepa mbele dahaaa
Hatarii
Naomba uniunge jina language la WhatsApp ni Mustafa Juma
Dada nimependa Sana ubarikiwe
Shukrani
Sisi wazima mwanaharakati wetu tuna kupenda sana
shukrani sana wangu Mungu atubariki sote nawapenda pia
Mtu mwenye kuitaji safari asia kwa kuanzia ukishameki unasonga mbele ulaya
Wow story nzuri sana!! ninandoto hiyo pia napenda kujua gharama , nini nifanye?
Angalia video ilipita ina garama na kila kitu
Nimecheka said ka disapear 😃😃😃
Kaleft bwana🤣🤣🤣🤣
Hello ccy am happy for you 😍 .naomba kujua Gharama za connection tu
Umesikiliza video yote kweli hakuna gharama ya connection gharama ni ya process tu
@@mamafranjovlog72 yes ccy nilimaanisha gharama ya process..sorry
@@tunumpoli8775 maelezo kuhusu gharama na preocess angalia video yangu hii iliopita ruclips.net/video/shAb1RYZbIA/видео.html
Naitaji pia kwenda huko
Dadaangu nakupenda unavyo jitowa na kuangaliya mpaka machozi ya furaha yana nitokwa naminj ipo siku ndoto yangu itatimiya kwa kupitiya wewe❤️❤️❤️
Naomba kujiunga na group la WhatsApp napia nipo interested
I'm interested,hakika ninaniya hiyo Naomba msadaa zaidi
Karibuu angalia video za chini za nyuma zina maelezo yote
Hello
Dada habari samahani nipo south Africa nataka kusafiri
Ulaya hapa popote almuhimma ibada
Mimi niko qatar nataka kujua rasmi gharama za kuja ulaya
Angalia video zangu za nyuma zina maelezo yote
Naomba namba yako ya simu mama franjo
Mama franjo nina shida na namb ya saidi nilihitaji awe mwenyeji wngu tareh 16 namm naweza kuwa poland
Nicheki instagram kwa jina la @granaterosemary
Dada vip kuna mpango gani wa kazi
Dada mambo uko
Salama vp ww
Naomba namba ya cm
Dada mimi ni truck driver naomba unisaidie
Karibu coretha
Mimi truck driver napataje Kazi huko
hio kazi umejifunza una level gani sikiliza video yangu mpya ya jana ili uweze kuaply
Nimeipenda historia ya saidi ❤🙏 kweli sister nasi tukijaliwa kwa imani yangu tutafikia ndoto zetu asante na keep going usiache kutu infos more.
❤❤❤❤❤❤❤ishii myaka zaidi
Asante Sana Justin
story ni nzuri but maisha yake yapoje kwa sasa siyo sifa niko ulaya kumbe unakufa njaa
@@andreapesambili3167 hio stori yenyewe umeisikiliza mpaka mwisho , umejua kilichomleta au una pamba sikioni husikii nikusaidie kukujulisha kilichomleta ?????????
Nisaidie
@@mamafranjovlog72 huyu ni mnafiki sasa achana naye.
Sister naomba connection na mimi ya mambele
Wewe tu karibu
Garama saidi Alitumia ts ngapi mpaka kufika plland?
Sikiliza videoz zake ametaja garama zake
Tafadhali Dada yangu natamani utume Leo namba yako
Namba nimeshaweka humor kwenye video ndio napatikana ya wasapu
What's app haipatikani??
Unaweza tupatia contact zako
Dada nisaidiy kunipa muongozo namim natamani kuja kutafuta maisha iri niikuze familia niinuwe unaweza kunisaidia dada yangu kazi yoyote nitafanya2
Angalia video za maelezo zipo humu zina maelezo yote
@@mamafranjovlog72 saw dada ninahitaji musada wako kabisa nisaidiye jamani
Samahan mama franjo mm pia nataka nije nisome medicine can i get your contacts tuongee vzurii
Sure Elisha nicheki Instagram @granaterosemary
Ok nshakufollow instagram
@@mamafranjovlog72yes
Dada nakutafuta kwenye no yko sikupat
Situmii wasapu nicheki instagram @granaterosemary
Habari wapendwa nimewamisi sana sikuweza kupost mda mrefu sababu nilisafiri mwezi mmoja kisha nikawa naumwa nilivyorudi na leo na leo nimependa kushea na nyiyni documentary ya saidi sehemu ya kwanza hakikisha una subscribe ili kuendelea kujua vitu vingi kuhuusu saidi na kazi na viza za poland lakini ile namba yangu ya zamani ya wsapui haifanyi kazi nimeweka humu namba yangu mpya asanteni
Hellow mumy franjo .naomba msaada wako nipate japo kazi za ndani uko mama
@@hamidanassoro6664 kuhusu kazi za ndani nishaongelea icheki ile video natumai itakusaidia
Habari dda
@@bakarisultani2266 nzuri vipi wewe
Hellow very nice for your helps you will call the mother of our century just sent me your number as you can we love you free
Ujambo mamy naomba no yako ya Whatsap nataka nafasi ya kazi naitaji nipate muhongozo Kwa nchini Poland
Angalia video zilizopita nimeongelea kila kitu muongozo wote wa kazi za poland
@@mamafranjovlog72 naitaji no yako tuwa siliane pray vt na muhu sika wa tz
Je km uko kenya
Yes inawezakana hata kenyq
Mzm naomb namb yk
Situmii wasapu
Daaa sister mungu akubariki sana
Vipi mama franjo umeanza kushugulikia wengine?
ndio dear tumeanza mdaaa
@@mamafranjovlog72 hi mamy franjo naomba uniconnect na mimi God will bless you more dear nakuomba sana ..
@@mamafranjovlog72 kama kuna cha kulipia nitapambana nilipie dada .ilimradi nije kutafuta maisha dada
@@hamidanassoro6664 angalia video yenye maelezo ya gharama na vitu gani unaitaji
@@mamafranjovlog72 mama franjo naomba namba zako
Nimeelewa naomba niongee nawe kwa wtsap Kama itawezekena
Situmii wasapu nicheki instagrsm @granaterosemary
Mbona hupatikan whatsap sister
Situmii wasapu kwani komenti za wengine hamsomagi??
Au naomb ntaft wasap pzl
Situmii wasapu safia ,kama unataka kuniuliza kuhusu hizi kazi maelezo nishayaweka kwenye video za nyuma zisikilize ukiwa na swali lingine nicheki instagram @granaterosemary
Sw bs nimekuelew asant
WALE WANAOTAKA WANAWAKE AU WANAUME WAZUNGU KUPITIA MITANDAO TEMBELEA CHANELI YA AFRICAN BELLA ANAONGELEA KILA NJIA KILA MITANDAO ruclips.net/video/x2IEwEmSi7c/видео.html @Africanbella
Dada habal mm naitwa khaleb tweve nimetazam chanel yako kwamuda kwamuda nimependezwa na moyo wako waupendo
Ma franjo m naomba unisaidie nataman San kufika nch zauray popote pale m nifund wa fenicha kiujumla ila kaz yoyote m nitafany naomb unisaidie kujua naanzia WAP
Assalam alaykum vp hl yk
Mama Franjo naomba contact zako nimekutumia email