Sababu za msingi za KUNYIMWA au KUKOSA VIZA za Ulaya, USA, Canada nk

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 106

  • @freewallace7155
    @freewallace7155 2 года назад +6

    Braza unatoa knowledge lakin in a negative way yani unafanya issue inakua ngumu sana kuingia marekan wakati ni jambo la kawaida bro toa vielelezo mtu awe na kiti gani na kitu gani aweze kupata visa

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 2 года назад +2

    Asante sana Ernest. Nimechelewa kukugundua.

  • @IladyRunwell
    @IladyRunwell 7 месяцев назад

    Asantee Sanaa kaka

  • @adriangerson8433
    @adriangerson8433 2 года назад +4

    kwa jina Adrian NTIBONEKA asante sana umekuwa ukitupa mchango wa mawazo mazuri na kuwwza kufahamu vitu vinavyo hitajika je kwa mimi ambaye nahitaji mawasiliono yako kuweza kuzungumza kiundani zaidi juu ya kufahamu kiundani hasa na kujianda katika safari naweza kupata namba yako

  • @isackmajura4435
    @isackmajura4435 2 года назад

    Nashukuru Sana kwa elimu yako nzuri uliyoitoa mungu akubaliki sana

  • @oblangatamakhakas9593
    @oblangatamakhakas9593 Год назад

    I get you point

  • @Muslim-in5cy
    @Muslim-in5cy Год назад

    Mwenyezimungu akulipe ndugu

  • @melinaatanas5801
    @melinaatanas5801 2 года назад +2

    Chuo Cha SUA inacoordinate internship kwa wanafunzi wake kwenda marekana km further studies kwa mwaka mmja lkn kwenye visa tnalimwa Sana Yan Kaka tusaidie

  • @AmumaidMaid
    @AmumaidMaid Год назад +1

    Mimi sijui lungha ya kizungu
    Inakuajee kufanikisha yote hayoo

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 9 месяцев назад

      Kiswahili ni lugha kubwa sana onyesha kuwa wewe unamfahamu kiswahili.

  • @audaxbenedictor2567
    @audaxbenedictor2567 2 года назад +1

    that means iyo 220$ lazma uwe nayo before uplying

  • @gideonisanja9976
    @gideonisanja9976 2 года назад

    Ooh thanks for your explanation sir
    Your Missouri like my sister I wish to come one day if God wish

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 2 года назад

    Asante Sana Mimi Ni ndugu yako Angelina William,hebu nielekeze document za mstaafu Kama nataka kuja huko

  • @barwaqoboru8609
    @barwaqoboru8609 2 года назад

    Asante kwa video hii mzuri

  • @Nyalwanda
    @Nyalwanda 2 года назад +1

    Duh!... Ahsante sana kwa ushauri wako.....vipi kuhusu Au pair program?

  • @SolangeAziza-f1l
    @SolangeAziza-f1l Год назад

    Kaka ahsante mimi nikiombeawa ya mgonjwa naenda kumuuguza niandae nini?

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 2 года назад

    bro asante sana nimekuelewa vzr

  • @maribasimon6993
    @maribasimon6993 2 года назад

    ahsante kwa ushauri

  • @graceramadan5396
    @graceramadan5396 3 года назад +1

    Ahsante sana nakufatilia mwanzo mwisho

  • @HerbertAsante-u5q
    @HerbertAsante-u5q Год назад

    Sasa bem kunawengin hatuma elim inamaa hatufiki ulaya?

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад

    Kwann wao wanakuja kwetu kirahisi?

  • @tonnymusic9396
    @tonnymusic9396 3 года назад +1

    Kabisa umeongea point kubwa sana Kaka

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA Год назад +1

    Kumbe mkuu ulikua na uwalaza

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 Год назад

    Bba naomba uwogelelee wale awajamalixa form 4 na wanataka kwenda marekani na wakona uzoefu wa kazi fulani

  • @WWE12361
    @WWE12361 Год назад

    Kwa jina naitwa Ansgar Chunda naomba unisaidie ili niweze kupata F1 visa ya kwenda kusoma marekani

  • @johnsonyokoyana5127
    @johnsonyokoyana5127 Год назад

    Brother hivi waganda wanafanyaje. naona kuna watu wengi wanakuja huko kwa mialiko ya ndugu na wanabaki huko, wanawezaje kuingia kwenye mifumo ya huko

  • @lucasmoshi9136
    @lucasmoshi9136 Год назад +1

    Nashukuru sana brother kupita video zako nimepata visa

    • @nzegeatv6355
      @nzegeatv6355 Год назад

      Mkuu nisaidie nami wee umefanyaje

  • @jonele8592
    @jonele8592 2 года назад

    Ukiwa mfanya biashara je ? Waweza kusanya documents ipi

  • @nickmsemwa3732
    @nickmsemwa3732 Год назад

    Swali rangu brother uyo anaekuuliza maswali anakuuliza kwakiswahili au kwa kingereza pls nakuomba unijibu

  • @malhiramadhani2515
    @malhiramadhani2515 2 года назад

    Habari. Nisaidie kuusu viza ya uturuki

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 года назад +2

    1-ushawishi 2-fedha ya kukusapoti 3-sehemu ya kuishi au nani anakusponsa kwa muda wako wote wa maombi au masomo. Ushahidi wa hati na viwango vyake pamoja na maelezo ya benki-statements

  • @KareemHussein-en3hr
    @KareemHussein-en3hr 4 месяца назад

    Bro iliniweze kwenda canada niwe na shingap

  • @Selemanian
    @Selemanian 2 года назад

    Kwahiyo hata wao pia wanaonesha hati za viwanja au nyumba kabla hawajaja kutembea Tz.?

  • @hmattangosha3950
    @hmattangosha3950 Год назад

    Naomba mawasiliano makulilo

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 11 месяцев назад

    Tunaomba namba yko tukuulize zaidi

  • @naftalidani2962
    @naftalidani2962 3 года назад +2

    Asante kwa maelezo na ushauri huo,lakini nimesikia umeongelea Sana kwa Taifa la Marekani,je kwa Canada ni vipi?

    • @EBMSWAHILI
      @EBMSWAHILI  3 года назад +5

      Visa ya USA, Canada, Ulaya masharti ni hayo hayo...kuonesha kuwa hutozamia...kuonesha vipato, assets nk

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 Год назад

    Nonmigration visa America una weza ipata aje?

  • @pembastore252
    @pembastore252 Год назад

    Madini haya

  • @malisawakachunga8874
    @malisawakachunga8874 2 года назад

    Habari za uzima Kaka Mimi naitwa malisawa nipo daresalama ombi langu kwako naomba uniandikiee baruaa ya mwaliko please nisaidiee kw.

  • @harunsarafu508
    @harunsarafu508 2 года назад

    Ubarikiwe sana yaani.kwa elimu hii

  • @brownmwaibole8414
    @brownmwaibole8414 Год назад

    Nimekuelewa sasa

  • @OmarVuru
    @OmarVuru 10 месяцев назад

    Naitaji namba Yako bloo naipataje

  • @zachariamachimu1068
    @zachariamachimu1068 Год назад

    Hbr bwana Henry, mie nina jamaa au rafiki hàpo maeneo ya califonia nataka kumtembelea so nikitaka kuja lazima niwe na viza?

    • @Bin_Slyim
      @Bin_Slyim Год назад

      Viza lazma hata kama baba yako awe rais wa marekan naww uko nje ya marekan ndo unatak kwend lazma viza kwhy huwez kuiepuka

    • @salomezakaria
      @salomezakaria Год назад +1

      Kaka

    • @salomezakaria
      @salomezakaria Год назад +1

      Kaka Mimi niko Oman,NATAKA KWENDA Ufaransa, naweza pata mwongozo,Naenda kikazi

  • @maabadburhan9385
    @maabadburhan9385 2 года назад +1

    Jinsi gani unaweza kupata scholarship?

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад

    Nimejaribu mengi

  • @twikaleomary5801
    @twikaleomary5801 Год назад

    Fact

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 3 года назад

    Nimekuelewa Sana mkuu

  • @SipokaziHassan-i7f
    @SipokaziHassan-i7f 7 месяцев назад

    Mbona wakija kwetu awaulizwi vitu hiyvo wankuja kama watalii sio maigrent

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 2 года назад

    hadi raha,, kk ww ni hatari

  • @zakariabwanakheri5904
    @zakariabwanakheri5904 2 года назад +1

    sasa broo nimekuelewa unasema moja wapo mwanjia rahisi niya scholarship. sasa kwa sisi ambao atukufika ata secondary inakuaje Vp twaeza kupata Visa

  • @japhethmasika4701
    @japhethmasika4701 2 года назад

    Africa mama yangu....hapa nimekita mizizi sibanduki 😅😁😁

  • @EliasKimpwi
    @EliasKimpwi 8 месяцев назад

    Siku pingi kaka

  • @credonolasco4981
    @credonolasco4981 Год назад

    Mawasiliano yako mkuu

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 2 года назад

    kaka mungu akupe umri mrefu tupate kufaidika Ammyn🤲🤲

  • @AthumaniNgeleza
    @AthumaniNgeleza Год назад

    Yan kaka kila unacho zungumza nakuelewa mapaka natamani kulia kwa furaha kaka

  • @eliezerthomas785
    @eliezerthomas785 2 года назад

    nimecheka kwa sauti,,,

  • @kewatii
    @kewatii 2 года назад

    Busara sana

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 2 года назад +4

    Visa ya kazi inakuaje Kaka unaweza kuipata Kwa vigezo vipi?

  • @saidmsur8278
    @saidmsur8278 2 года назад

    duuh! nitafika marekani nimechoka xna

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Год назад

      Nenda znz ukapata mzungu njia rahisi ya kwenda

  • @toylazaro7630
    @toylazaro7630 Год назад

    Gharama ziko vip

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 года назад

    Ok

  • @زهرانالسليمي-ك1ي
    @زهرانالسليمي-ك1ي 9 месяцев назад

    🎉

  • @kennedyraymond8977
    @kennedyraymond8977 2 года назад

    Tueleze kiundani zaidi

  • @arafathussein7910
    @arafathussein7910 2 года назад

    aseeee nimecheka sana umuu 😂😂😂😂

    • @annasamba8478
      @annasamba8478 Год назад

      Je naomba unionyese jinsi ya kucheza green card

  • @amanijumanne5543
    @amanijumanne5543 Год назад

    Je? Kama ni kijan ambaye hana chochote ila Ana pesa kumfikisha us anaweza kufanyeje kwa msada zaidi. Maana naona plosesi zote unazo toa ni zawatu natajili Sasa kwa watu wa hali za chini wafanyajee??

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 2 года назад

    Kaka nina shida na ww naomba tuwasiliane whatsaap

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 года назад

    Basi bwana nitakaa zangu gongolamboto

  • @kubwayoinnocent1710
    @kubwayoinnocent1710 3 года назад

    Burundi tunakufata boss

  • @saidurassa5041
    @saidurassa5041 Год назад

    🤝🤝🤝🤝

  • @goldenfoot1102
    @goldenfoot1102 2 года назад

    Huyu jamaa akikaa katika viza department hakuna mtanzania atakayeenda USA kanichekesha sana hahahahahaha eti university of daresalaam

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 3 года назад +2

    Wajina wangu mim bani nielekeze nawexaje ku aplay visa kutok apa south Africa nielekeze bn kka

    • @ireniren8750
      @ireniren8750 3 года назад +2

      Kaka mimi kwa sasa niko omania lakin January nitakuwa Tanzania na niliomba visa ya kuja huku kwa hali kama hiyo ya kuja kutembelea omani lakin nikaja kufanya kazi za ndani sasa hakina shida kwenye passport yang kuwa iko nilikuja omani kama housegirl?

    • @enemtatuka5863
      @enemtatuka5863 3 года назад

      @@ireniren8750 dah ngoj tumsikilxie brw atasema je

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Visa ni documents tu ndugu yangu la upate mtu wakuoa au kuolewa huko unakotaka kwenda au kama wewe ni artist unaweza ku apply art residency au international exhibition bila hivyo mziki wake mkubwa kupata visa ni ngumu sana , Ukiwa artist safari ni lahisi sana na zipo nyingi

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 года назад

    😄😄😄😄 eti unacomment mabeberu alafu unaenda kuomba visa

  • @kassimsaid1820
    @kassimsaid1820 2 года назад

    Kama ulicomment vibaya ukifuta je wanaiona bado wakitrace.?

  • @umiy1971
    @umiy1971 2 года назад

    Mwanamissouri mwenzetu wewe kumbe ?

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 2 года назад

    Wanajionaje hao jamaa dah

  • @betricemainoya4176
    @betricemainoya4176 Год назад

    Hi dear mtu arapataje scholarship

    • @habibarnabas
      @habibarnabas Год назад

      Angalia link ya wizara ya elimu Huwa wanatoa

  • @rosedavid2061
    @rosedavid2061 2 года назад

    Na una MTU hatakae kaa naye us kutakua vp

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 года назад

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @hannanommy302
    @hannanommy302 2 года назад

    Naomba namba yako kaka

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад

    Kila mtu atakakwenda Usa kumtazama Rhianna 🤣 nashukuru mimi sijawahi kunyimwa viza ya nchi yeyote , Kama hauna mipango ya maana ningumu kuingia nchi za ulaya America na Asia

  • @amosiisack2351
    @amosiisack2351 3 года назад +1

    Brow nilikuw na swali vp sasa katika iyo interview ya afisa mtoaji visa wana kuoji kwa kiswahil au english??

    • @ramadhanishabani2743
      @ramadhanishabani2743 2 года назад

      Kingereza

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 Год назад

      Kama unaenda kusoma razima uongee kingereza kama unaenda kutembea ukikutana na mzungu unamwambia nahitaji kuongea kiswahili unaletewa mswahili

  • @khalfanallbusaid2035
    @khalfanallbusaid2035 2 года назад +2

    Kaka jinsi ya kupata visa ya kazi kama mm saivi nipo abudhabi na nafanya kazi hapa saivi kama miaka 7 sasa

    • @hajijuma7760
      @hajijuma7760 Год назад

      Mzee baba samahani kuna vitu nahitaji unielekeza kuhusu abudhabi naombaawasiliano yako kama hutojali

  • @kennedyraymond8977
    @kennedyraymond8977 2 года назад

    Kwan wewe ulikua unamiliki nini

  • @kennedyraymond8977
    @kennedyraymond8977 2 года назад

    Em twambie kwanza na wewe uliendaje

    • @ibraibra4887
      @ibraibra4887 2 года назад

      Asante kwa alimu yako busala zako

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 3 года назад

    Nakufatilia San Kak mim nataman San nije

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 года назад

    Mi naonga tu ikiwezekana nadandia ndege nikifika uko nipewe kabisa uraia wa marekani 🇺🇸 sitaki Tena kuishi Tanzania maisha Ni magumu 😭😭

  • @vamitv873
    @vamitv873 3 года назад +1

    Hahahaha na enjoy unavyo ongea kwa msisitizo, ukija kibongo bongo mie ni jirani yako nipo hapa geita.
    Nimeona baadhi ya taarifa hususani za taifa la Canada hua wanahitaji wakaazi katika majimbo tofauti ili tu uoneshe kua utakua ni chachu ya kukuza uchumi wa Canada, pia kama unataka ukaazi wa kudumu kuna vigezo vya kufuata. Hi bwana mkubwa imekaaje kwa watu wanao taka kujichanganya huko.?

  • @IladyRunwell
    @IladyRunwell 7 месяцев назад

    Asantee Sanaa kaka