Unataka kuwa Truck Driver Marekani? Wanapata mshahara milioni ngapi kwa mwezi?
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Kuendesha malori, Truck Driving hasa USA na Canada inalipa sana. Mtu analipwa zaidi ya dola LAKI MOJA kwa mwaka kwa kuanzia.
Fuatilia interview hii na Shaban, Mtanzania ambaye ni owner-operator wa Truck kupitia kampuni yake TEMBO LOGISTICS.
I am a Kenyan in the USA.I love your Swahili after 20 yrs.Some get to america after three years claim to have forgotten their local languages.
Ni washenzi kabisa.😎
Watanzania hawa
This are Tanzanians Kiswahili hakiwezi kuwatoka Unlike us Kenyans lol NOT all but most of them hujifanya wamesahau
@@kangese You can only forget if u left as a child and your folks are not speaking swahili in the house . west Africans travel whn young but at home they speak their own language outside while interacting with locals thy speak English,Italian ,French etc depending with the country you live in
Invite me guys to US
I’m from Burundi 🇧🇮 and also a truck driver here in USA🇺🇸. Be safe out there brother 🙌🏾
Invite me bro
Hey Jay ,,, My Name Is Amos I Need To Wash With You If You Will Care More, Phone Number Is 2086098454 Please Please My Brother
du good
Hello brother I m from Burundi working Dubai ncuti nziza ndaryohewe kubona comment yawe .ndiko ndondera uwomfasha gushika USA nukuri noshima niwaba woshobora kunyishura plz ndagushimira
Komera cane nawe Jay C. Imana ikuzigame
Tanzanians are so humble. Thanks for the knowledge.
Napenda iyo kazi kaka go nawezaje fika huko na kupata kazi au ata ukaniajiri
Hi? Haya Mimi natamani
Mpo wapi?
Appreciate
For sure we are talented in that area
Watching from Kenya..this has always been on my bucket list..to start a truck company in US..🇰🇪keep inspiring brothers
From Kenya as well ,I opened one recently,paloways
@@rebelsammyfx4365 keep shining 👏
Bro am from Kenya Nairobi I'm a good truck driver how can I get job
@@rebelsammyfx4365 congrats
Hamna matuta?
Jamaa uko powa sana kaka nakukumbuka sana tuliagana hapa Arusha TZ wakati unaenda kupanda ndege KIA ,nakumbuka ulipima mizigo yako hapa kabla ya kuondoka
Mwagito unoge
Je naweza kupata contact za huyo ndugu napenda kujifunza vitu fulani hivi maana na mimi ni dereva kwa sasa naendesha magari madogo tu
Watu wa Tanzania bara hasa walioko mbali na Dar ni watu wenye moyo uliyobeba ukweli. Mungu akufanyie wepesi
Ameen thumma ameen
Kaka naipenda sana iyo kaz kaka sina mtu wa knishika mkono
@@jenniferswai483 mie nipo
Naipenda sana hii kazi lakink sina mtu wa kuniongoza gali najua kuendesha vizr sana sana lkn hob yangu gali kubwa kuendesha pls mtu yoyote mwenye kuweza nielekeza 🙏
Amna lolote mbari ya dar ndio nini sasa
Tunakuombea uzidi kufanikiwa nduguyetu urudi na Tanzania uje uwekeze tufanye kazi inshaallah. Allah akufanyie wepes katika kaz zako na uwe mwenye kukumbuka mungu.. Ameen
Nafuatilia sana interview yako kaka EBM, na nafurahi sana mafundisho yako ya nadharia na vitendo ,nimeona wuvu na umenipa nguvu nipambane ili nifikie ndoto zangu za#USATRACKDRIVER,Napia naomba nisaidie huyo nduguyangu nampataje na ninduguyangu kabisa
From Kenya, I play American Truck simulator once in a while, enjoying your explanation of different categories of cargo one can haul as a semi driver.
I like that game America truck simulator
@Joe Ndungu ATS is a bit better than ETS in my opinion
@Joe Ndungu i mean you're right ets makes you adapt to narrow roads and spaces
Tembo Logistics Nashukuru for sharing motivation and knowledge of owner-operator
Kazi Nzuri sana EBM
Nimevutiwa sana na haya Mahojiano.
Mbarikiwee zaidi. Magaka wa Kahama on the way to kigoma,,
Huyu jamaa muonekano wake tuu anaonekana anaroho nyeupe saaanaaa!!!anaonekana anaroho nzuri sanaa!!!broo Godbless you🙏🙏🙏
Kbs umeona? Yuko vizur sana kufika kure hatutahangaika sana shida ni kufikapo kbs
Good job EBM!!!
Next time leta nwanamke pia ndio those of us who would like to venture into this job tujue what to expect na challenges women hupitia..
May God bless you guy's for the amazing work mnafanya..
I really like this guy
True next lady
I'm from Rwanda, ila kwa ukweli na wapenda sana Watanzania. Nyinyi ni wazalendo thabiti.
Karibu sana TANZANIA kaka tupo sana kote duniani tunatafuta maisha kwa ajili ya nchi yetu na vizazi vyetu baadaye
Mimi ni Mkenya 🇰🇪. Natamani kuishi marekani siku moja, majaliwa yake Maulana.
Allah akufanyie wepesi kaka Collo uishi marekani kwa furaha na mafanikio
Should I say I wish I were 10 years younger? brilliant video full of info for anyone looking for a new path.
Many thx my brother mimi ni ENOCH MONGI kutokea eastern DRC at Butembo na shukuru xana maongezi yako tena yana vutia Xana brother
Asante sana kuongelea makao makuu nyumbani kwetu kigoma kwao na vipaji , nawafwatilia kwaumakini 🇹🇿
Vizuri.nilijaribu hivyo lakini wakati Wa winter na snow ilinishinda .nikatafuta kazı ya Nursing baada kurudi college
Kaka ipo marekani
Thanks alot for the info... Natamani sana kuwa truck driver marekani kama kuna any vacancy please help me secure the opportunity
Watanzania popote mlipo Serikali inatakiwa kuwekeza sana kwenye barabara...bila barabara za kiwango hatuwezi kutoboa...I'm inspired
e bhana mnafurahisha sana,nawaomba niwatembelee nikitokea huku europe,nije kujifunza maisha ya unyamwezini,ila hongereni sana.
Habari ya kazi brother pole namajukumu Mimi ni drive way transit truck safari zangu tz to Congo
Nipo mwaka wa 10 Sasa kwenye hii kazi samahani unatusaidiaje sisi wa DARASA la 7 na tunauwezo mkubwa
Wakufanya kazi Asante Sana nimefrahi kufatiria hii hii video nimeinjoy Sana kaka
huko hawangalii elim ya school kwa kazi kama hizo we ujue lugha tu na ujuzi wa kazi bas Mungu akusaidie sana wakuafanyie taratibu muweze kwenda fanya kazi huko insha allah ila inchi za inje ya tanzania huwa hawatazami sana elim katka kazi kama hizo elim wanaitaka mohifesin nasio kune udrive bro Mungu akujalie mpate kazi nzur kama hizo insha allah
Big up bro mungu akulinde na Allah akupe mafanikio tuchape kazi
Kwanza tunashukuru kwa information but mm niko Tanzania huku Zanzibar brother tunatamani tunaingiaje huko we really need that opportunity
Nimependa sana kuskia kiongozi anavyotupa mrejesho wa nini kinapatikana huko ughaibuni. Nikuombe ikikupendeza nipate mawasiliano na dereva Shabani broo. Ninamengi yakujifunza kabla sijachukua maamuzi👏
Maa shaa Allah mmungu akubariki na akulinde kila shari akupe kheri zote.
Oh thnx Broo,naitwa Athumani Manzabay ni driver wa kampuni ya Equator logistics Tanzania nmefurahi saana kwa interview yko I wish siku moja na mm nije kufanya kazi huko Marekani,kwa uwezo wa Mungu inawezekana Inshallah 🙏🙏
Very appreciated my brother am watching from Nairobi Kenya
Habari EBM unahamasisha vizuri sana maisha sio africa tu.popote angalia ameenda kusoma udaktar lakini amebadilisha na amefanikiwa.cha muhimu tujitahidi kusikiliza EBM inavyotushauri.mimi nitamgharimia mtoto wangu mpaka aende huko duniani.
Shaban hongeraa mno mnooo Mungu akubariki sana kukubali kuwa wazi kwa ajili ya vijana wa Tz.imagine umekaa marekani miaka 20 lakini bado uko mtulivu sana
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
These people are humble.. My country people will always discourage you
Nakbali bro. Napenda sana interview ina jenga sana big up brother. Mimi ni mkenya sija soma sana but mimi ni truck driver apa Kenyan.
Mbinu za kuja marekani ngumu sana. Nina tamani sana lakini ni changoto sana.
Unanitia hasira saana. Mimi elimu yangu ni darasa la nane tu. Kwahiyo ni changomoto kwangu bro. Lakini na penda sana niajiriwe marekani Asante
Kaka hongera sana tunawezage kupata kazi uko
jilinde brother. siyo kila mtu aneangalia anafurahia mafnikio yako, wengine wanakupangia. tembea na silaha.
Jambo Prof? Watching from Saudi Arabia, natokea Kenya....truck driver too. Shukran jazeelan
Habari zenu wandugu mama nimependa hii mazungumuzo kutushauri sana sana watu kama Sisi tuko na ndoto yakukuja huko
Ee bwana hongereni sana bwa ÈBM na bwana shaban kwa kuelimisha mimi mwenyewe binafsi nina zaidi ya miaka 55 lkn nimeingia hamasa ya kuja kuendesha track naona ualimu nitauvua
Kaka Tembo kazi nzuri kazi safi God bless u kwa hiyo information na wengi wamefaidika.
,mshikaji Ana Sober mind,.discipline ,ni mkweli..
Super inspiring
Safi sana kufanya kazi unayoipenda mazingira na kipato kizuri
Dah kweeli kaka dereva marekani anainjoi na kipato kizur mi Tanzania naenda Congo maxmam siku45 kwenda nakulud hapo kuna wakati paka siku 60 au zaid maili 4000 paka 5000 kwenda nakulud nalipwa USD 750 kwa awamu sio kwapamoja awam3 kuna wengine hata iyo awafikii
JAMAA ANA VIBE SANA..👏👏 MUNGU AMBARIKI SANA
Nashukuru Kya uelimishaji.Samy from DRC
Mtangazaji, don't over ride the interviewee! Unamhoji lkn unaongea zaidi yake! Muache aongee
😃😃😃😄
Hahahaha, ni kweli kabisa,mtangazaji anaongea zaidi kuliko mtoa stori.
ni mzuka mwingi... anaona ako kwa private jet!! hahhha
@@Kobe_254 anaongea sana yani, hampi jamaa nafasi aongee
Hello brother Ernest pole na majukumu nakupataje kwa maongez ya kimkakati
Ukweli nawapa big up nyinyi watanzania kwa mapenzi yenu kuwapa mwanga was fulsa ,tunaomba namba zenu
So much educative. Hii information ni nzuri Sana, Tuzidi kujitia moyo na bidio na mola atazidi kubariki kazi ya mikono yetu.
Nawatazama nikiwa Machakos Kenya 🇰🇪
Kuna wengine Kaka wakipata nafasi ya kufika marekani wanasahau hata kuwasaidia ambao wanashida na kufika huko kujiendeleza kimaisha.
Hongereni sana mnatutoa matongotongo sisi ambao ni tiktok generation, asanteni sana
Asalam aleykum warahamatullahi wabarakatu samahani mm nataka kuja kupika vyakula vya Tanzania nitatoboa
Asante sana kaka shabani mungu akuongezee na ww uwahudumie watanzania wenzako
Safi sana nimeipenda hii jamn mpaka nimetaman kuja marekan
Napenda sana kazi ya magar tatizo saport nakos mwanzo mgum sanaaa
Yes bro nashukuru sana kwa info ila nakuomba tuwasiliane mimi niko hapa Lancaster PA pia ni truck driver nakuomba tutakutane bro
Mnafkaje uko bro
@@daviddeus6437 hahahahaha
Ebu tupe namba Yako ya cm basi
@@edoyoseph4606kwanini huyu hapatiani number yake woiye....
Woow I love listening to tz kiswahili, so interesting napenda
Kiswahili is the best
Hongera kaka kwa kututangaza kabila letu ma wengine hawataki kujulikana hongera sana mnyakukae!
Kwakweli nimejifunza mengi kwenye video hii. Shukran sana EBM Scholars.
Kama truck ni uchumi wa Marekani, basi uchumi wa bongo ni kirikuu. 🤣🤣
Na bodaboda na mkokoteni
Tozo
Daaaa brother kwakweli huo kazi nimeipenda nisaidie na me niwezekuifanya hii kaz inshallah
See how Tanzania are friendly they talked about business and also not forgetting about their local soccer teams back home.Wakenya hatuwezi hii.
Da ningepata mdhamini wa kuniwezesha kufanya kazi ya udereva nchi yoyote alafu tutalipana kidogo kwenye makato ya mshahara wangu nitamshukulu
Napenda sana hii biashala Kaka kuna siku tutakutana uko 🙏🙏🙏🙏
Thanks guys for your information
Hongera sana kaka nilikuwa naifatilia hii stori yako nikiwa Africa nilifurahi sana maana hata mimi ndoto yangu ni kuwa dereva wa magari makubwa ila kwa sasa nipo hapa Marekani naomba Msaada wako ili niwe owner operator kama weed.
Just from neighbouring country Kenya, this is the best video I've ever watched. Actually I love traveling and exploring. I really enjoyed traveling with you guys. The video is really inspiring and mind opener.
Ongepe wei
habari yako mm mtanzania nimefurahi kwa maelezo yako na Mimi napenda nije huko kwa garama yeyote my level of education is form 4 but Nina fani Kama yako garama naweza kufika huko Ila process ndio shida
Am from 🇰🇪 and this is a great content
Shukran
good information wish both of you all the best ........NO 🚚 NO 🧆🍗🍔🍕🍟🥯 TRUCKING MAKES THE WORLD MOVE
Hawa jamaa safi sana. God Bless You Guys
Ase bro vp nakubali sana kazi yako, Mimi GODFREY Niko Arusha Tanzania mi ni drereva naendesha fuso naomba basi nisaidie na Mimi niende nikaendeshe hizo Trucks bro ninauzoefu wa magari makubwa ase na kama Kuna any cost naweza nikapambana aisee bro
Am grateful to this Simba fun. much love. am from Tz
Asante sana bro. Nilisikiliza video zako na nikashawishika . Sasa naendesha truck na ninaona faida sana
SAFI SAANA MKUU. NAOMBA ELIMU ZAIDI YA FANI NYINGINE LIKE KUBEBA MIZIGO
Sura Yako na maneno Yako unaonyesha una Roho nzuri
Ninashukuru Kwa maelezo mazuri,Mimi nipo Tanzania,dare esalam,ni dereva wa magari makubwa,naitaji kuendesha track marekani,naomba mwongozo
Roha safi ndio Allah anapenda
Brother binafsi naipenda sana iyo kazi engine inalia kichwani 👊
Ujambo brother, mmi nko Kenya Nairobi nimeititimu kma dereva nitamani kufanya kazi maju naeza Fanya nni.
Napenda kazi yako mimi plant operator niconnect tafadhali
Makasi
This is earth moving, how can I join you and become one of the truck drivers in the US. Thanks bro
Ulaya Ulaya Tuu Sijawai ona Trela Yenye io machine yakushushia Mzigo mungu akubaliki brother
God bless you sir. Information is power
Asallah mwalekum Warhammer tullah wabarakatu,vip,tunaku,tizama,uko, Masha allah,na,mungu,hakuzidishiye
Kweli mbele mbele tu yani dar to kigoma masaa kumi
Nimekusikiliza sana kaka ila nimependa kazi yako utanisaidiaje namimi niwezefika huko mimi mha niko kigoma
Asante kwa informations mzuri
Kaka we, maelezo yako yaridhisha sana. Najivunia mwafrika bomba ughaibuni. Mungu akiruhusu siku moja tutaonana kule USA.
Kk hongera sana mungu akufunguli maisha mema amin amin
Asante sana kaka
Hongera sana bro Mungu awe na wewe. Nimefurahi sana kuona interview.
Dah asante angalau tunapata new kidogo za huko thanks
Bro nawafuatilia sana kiukweli nimeipenda historia ya bro pia nimefurahi sana pia kusikia yeye ni mwana Simba sports club pia ni mhehe mwenzangu kabisa.
TZ oyeeh Weeh !
Perfectly accordingly kaka ✊🏿👍🏿👏🏿
Asante kaka mkubwa
Kaka nimefurahi kusikia hii fulsa hakika inapendeza kweli Mimi ni dereva wa maroli ya kusafilisha mizigo dar es salaam kwenda Lubumbashi, Rwanda Burundi nk ninauzoefu mkubwa sana pia nitaenderea kufwatilia pia nahitaji muongozo wenu kwa kila kitu
Kaka nimekufuatilia kwa mda sana nashukuru kuwafahamu kaka
Nice job. It's through hard work you are where you are. Hebu elimisha hizi serikali zetu maana ya barabara safi na thabiti kwa uchumi wa nchi zetu. Juu hapo naona waenda kwa kasi, kama 80-110 kms bila zile vikwazo tumezoea kwa barabara zetu humu.
Hiyo ni sawa na barabara dar mbeya tu tanzania ipo mbali kwa masuala ya barabara hizo barabara za marekani hazina maajabu sana
Njia yakufika huko m lugha kwangu ipo yakuunga unga kutokana na elimu yangu niloipata Ila kiudereva nnaujuzi wa miaka mingi na kwasasa nipo kampuni ya usafirishaji hapa TZ inaitwa primefuel