SAFARI YA SAIDI KUTOKA TANZANIA MPAKA ULAYA 04 (POLAND)AELEZEA KILA KITU KUHUSU KAZI NA MAISHA MAPYA
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.co....
Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram Mama Franjo Vlogs
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/Rose....
email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#workvisa #workpermit #maishayaughaibuni
HAYA WAPENDWA LEO NIMEWALETEA TENA MAENDELEO YA SAIDI , MSISAHAU KULIKE HII VIDEO PLIZ KUNISAPOTI NA KUSUBSCRIBE WAPENDWA ILA KAMA UNA SWALI WAWEZA KUKOMENTI HAPA CHINI , NB: SITUMII WASAPU NATUMIA INSTAGRAM TU JINA LA granaterosemary asanteni
@@joshuakaisiclassicsoca1548 si nimeandika hapo juu jina langu la instagram 🤣🤣🤣🤣 eh wabongo mmenishinda 🤣🤣🤣
Dah Asante sister kwa muendelezo tunapata matumaini mpya ya maisha yetu ya kesho kwa wenye ndoto kama za saidi
Said kanawiri jamani
@@mamafranjovlog72tuwasiliane mamy niaze mchakato wa safar
@@mamafranjovlog72Ok Sasa mimi mm niko oman nataka niaze mchakato wa safar ila nataka ijuwe zaid kuhusu hizo Kaz na malipo tuko 2 mwanamke na mwanamme
Mama Franjo uko smart kimavazi, makeup kwa ujumla uko fit kuendesha kipindi. Maana kuna waTZ wako na online blog anafanyisha interview amevaa hair cap na night dress. Mama Flanjo nakupa max 100@100 uko representable
🤣🤣shukrani🥰🥰
Hakika mama Franjo roho yako ni ya kipekee sana hongera sana dada MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI SANA kwa kazi nzuri unayoifanya ...
Habari ya mama franjo.Nitapataje mawasiliano yako
Hv kumbe Said anamashavu mazuri hv😍
Mama flanjo, nashukuru video zako zmenisaidia ,niliomba kazi za warehouse nchini Poland na sasa nawasiliana nao directly na wananipa process zinazofuata
Ooh hongera sana all the best 🥰🥰
Agano msaada rafiki yangu naomba website ulotumia kama hutojali
@@gee_gm nimetumia namba zao na email pia,kama utataka nitakutumia
@@aganopeter9669naomba mawasiliano yao tafadhali....maana mtaani hakueleweki...Yan namalizia mambo ya chuo hapa ila sioni mwanga mtaani tunapoelekea😂...elimu ya bongo ni balaa
Mama franjo ni connect na mtu Netherlands wa nyumbani nipate mchongo wa kazi. Nimeshafika Netherlands tangu juzi
Upo na visa gani mrembo🥰🥰
One day yes mama franjo
kabisa kabisaa
Piga kazi kaka yangu
Pia amenawiri sana,hongera sanamama Franjo
Hongera kwake said alietumini na Mungu aliemsadia
Shukrani sana mam franjo kwa kutupatia video hii .pia tutajifunza vingi kutoka kwakwe i hop kila mtu mwenye ndoto ya kufanya kazi ulaya asikate tamaa kupambania ndoto yake one day yes 👍
kabisa kabisa amen
Dear mbona mimi sikupati Instagram unatumia jina gani
Kweli kaka pambana sana kaka
Safi sana dada kwa kaz nzur hataree yaan
Tunawasubiri nyie
Kapendeza sana, hongera dada
Shukrani on behalf
Mama franjo skuzote nakufatiria kwenye you tube chaneri yako but m sjaelewa kwamba inje ya you tube unausika nann viza au uanjent wawa fanya kazi
ruclips.net/video/cTr5mlz37PI/видео.html sikiliza maelezo yapo kwenye hii video
Ongera kazi nzuri
asante kwa niaba
I'm here
Umekua kibonge
Saidi naomba utupe ata ig account yako
@@joshuakaisiclassicsoca1548 mawasiliano ynagu mbona yapo humo kwenye video , mimi napatikana instagram kwa jina la @granaterosemary
i like the intro HONGERA MA ANJO
Shukrani mnoo wangu
Kazi nzuri mama Franjo🤗
shukrani sana dear
Eti mama franjo ni maradhi gani ukiwa nayo uruhusiwi kwenda ughaibuni
sifahamu kwakwelii
Saidi amenenepa Mashaallah
Said kaongea ukweli watz daah😃😃Una graduate afu hujui utaelekea wapi congrats ma Franjo
😁😁😁
Congrats kwa said mwenyewe
Mama franjo nakusubiri utangaze wanaoitaji kulipia nipo tayari plz usichelewe
Usijali usijal ntawajulisha acha hawa wapili tumalizane nao kwanza
@@mamafranjovlog72 mm mstaafu lkn ninanguvu ile mbaya
@@shangazizaynyenzi3121 tatiso sio kazi utapata ,ila tatizo workpeemit ndio hawatoii kuanzia miaka arobaini na kitu
Habari ya uzima dada, mama franjo, natumai hamjambo, samahani nilitaka pia kujua ni kiasi gani cha pesa ambacho naweza kuwa nacho iri kukamilisha utalatibu wote mpaka kufika huko? Samahani kwa usumbufu dadaangu
Sikiliza video za nyuma nimeshaongelea kila video garama zake pliz kuna video nyingi humu sio hii tu tumia muda wako kusikiliza video za poland
mama fulanjo watu wanataka contact wajiongeze bwana, siulisema Saidi yupo Single sasa wadada wanaulizia namba
🤣🤣🤣🤣Nani aliekwambia saidi bado yupo single 🤣🤣🤣 tulia Atom mwenyewe akiwa tayari atawapa contact zake very soon na atawaambia kama bado yupo single🤣🤣🤣🤣 usijaliiiiii🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana piga kazi acha mambomengi maisha mazur yanakuja tu ukipambana tu
Amebadilika aisee maisha aya ila asile sana bata yy bado mtafutaji ajitahidi kuwekeza ..tushavu tunaonekana😄
hahaha eti eh ameanza kubongeka
Hallo multer franjo kuna kampuni inaitwa live & study in Europe vipi unaifahamu maana nime apply kaz na nimepata na interview nimefanya taya so now nasubili mkataba tu. So naomba unisaidie kama unaifahamu hiyo kampuni
Hapana siifahamu kama unasubiri basi wasubiri au watumie email
Mama flanjo nasubiria utangaze dada angu
usijali
Naomba unitafute dada angu au nikupe namba yangu
Mimi nipo oman jamani uku shida tupu dear naomba mawasiliano Yako kama huto jali iliunisaidie kufika huko
Dada mm niko south africa ila naomba namba yko nianze mchakato
Said amenenepa sana
na hapo alikuwa anaumwa , hali ya hewa ya poland ilimkaribisha hapo alibanwa mafua kifua kapungua pungua hapo lol
Wooow so amaizing big up anty franjo
ASANTE SANA
Waoooh
Kanenepa Kaaah
eti eh kawa kibonge hahaaahaaa
Umetuchelewesha Sana kutupa habari za said
Yuko busy na kazi ndio mana
Niliomba kulipa mapema ukaniambia subili kimya Hadi Leo siielewi
@@mohamedialliy1974Mapema lini ? USIJALI CHANCE BADO ZIPO TUSUBIRI TU KIDOGO HAWA GRUPU LA PILI waanze kuja kisha ntawatangazia sasa tusubiri kidogoo
Mama franjo mbona said tu wengine vp
🤣🤣🤣masiko yako yanasikiliza vizuri my dear 🤣🤣humu kwenye video mwanzoni kabisa nimeongelea ebu irudie video ili uelewe my dear 🤣🤣🤣
Hey madam kutoka kenya mimi naona jamaa ka change ata rohoo na kuongea niambie Nita jiconnect aje nipate kulipa hizi hela kwako
Angalia video za nyuma zina maelezo yote naona we upo na hii video tu , hii chaneli ina video nyingi plizi angalua zingine zina maelezo yote
@@mamafranjovlog72 thnks sis nimeangalia nipee no naweza tuma pesa kwa no gani nilipe polepole hii kitu nikweli I trust u Kuna philippine twapanya naye hali appy ki mchezo kwao visa hilitoka jana hameodoa from Saudi to Poland factory worker
Jamani jamani Mungu akiamua kukuinua hakuna apingae said umetoboa ,mi nafait ela dada nikutafute
amen amen kabisaaa
Mamiii nisaidie nami nije kufanya kazi
Sikiliza video zangu za kazi
Sh ngapi kuja poland
Me naona kama mtu akiwa na zambi sana akifa anazaliwa upya tz ila ukitenda mema ukifa unazaliwa ulaya 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Said Kwan alikua anajua kingerereza, wamewasiliana vp
Hii ni sehemu ya nne fatilia documentary yake hii sehemu ya kwanza ya pili na ya tatu ndio utaelewa vizuri pliz
Aisee abroad ni abroad tu.Said kanawiri hatari.😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti eh kaoga maji ya poland eti🤣🤣🤣
dada nitafutie kazi yoyote mm nafanya ilimladi iwe halali
Franjo anaitaji mdogo wake 🤣🤣🤣
Mdogo wake mbona anae tena kaja juzi tu analea hapa alipo cheki hii video mpya anaenda kumuona mdogo wake
ruclips.net/video/bp9Pk8uXQxw/видео.html
Unapokea lini watu wengine
Ntawajulisha
Ulaya ni ulaya tu 😅 Said kanenepa na anapendezaa @Mama Franjo
🤣🤣🤣
Mimi nataka nijuwe kuhusu malipo inakuwaje
Mimi mwenyewe tatizo ilo ninalo unaweza tuma sms ukasema sitaki kujibu kumbe mambo mengi na muda naona mdogo
yanii dear mtihani watu wanaona watu wa ughaibuni wanalinga kumbe wenzao wako hoii busyy
Na masaa naye unaona yapo kasi
@@mariamdimosso621 sana yako speed sana tofauti na home
Kabadirika saidi nyie ulay ni ulayatu😊
Dada nashindwa kusevu namba yako ya watsapp nikijaribu hauonekani
Situmii wasapu
Get ready for the next saidi
Kabisa kabisa
Dad mim ni kijana was miak 23 nataman San kufany kaz ulay na sijasoma nimeishia kidato cha pil nikakimbia school na nina fani ya ufund cool cstm Yan natengenenza mafrij Ac na kadhalka nawezaje pata nafac ya kuja ulaya msaada wak
Sikiliza video zangu nimeshaelezea kuna video nyingi humu sikiliza
Naomb no yako dad tafadhal kuna vi2 ving na hitaj kujua
@@RosemaryErnest-cw7tw namba ya nini nimekwambia sikiliza kwanza video nimeshaongelea kazi kwa wasiosoma sikiliza ukiwa na swali ndio uje instagram kwa jina la granaterosemary ila usije instagran kuniuliza bila kuangalia video wakati nimeshaongelea
Bado nakungoja
I will be there 😂😂😂
🤣🤣😅
Saf
Saidi kka kumbe wewe nikibonge
hahahha hahaha hapo alikuwa anaumwa ivyo amepungua pungua ivyoo
@@mamafranjovlog72 khee jmn , sasa mimi na huu mwili nikienda uko si nitapasuka kabisa
@@mariamsabi3299 😅😅😅
@@mamafranjovlog72 😅😅 kwel dear
@@mariamsabi3299 🤣🤣