SAFARI YA SAIDI KUTOKA TANZANIA MPAKA ULAYA 04 (POLAND)AELEZEA KILA KITU KUHUSU KAZI NA MAISHA MAPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Karibuni kwenye channel yangu Naongelea mambo mbalimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
    www.youtube.co....
    Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram Mama Franjo Vlogs
    SUPPORT ME ON PAYPAL
    paypal.me/Rose....
    email: franjomulato@gmail.com
    Instagram:@granaterosemary
    #workvisa #workpermit #maishayaughaibuni

Комментарии • 127

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +7

    HAYA WAPENDWA LEO NIMEWALETEA TENA MAENDELEO YA SAIDI , MSISAHAU KULIKE HII VIDEO PLIZ KUNISAPOTI NA KUSUBSCRIBE WAPENDWA ILA KAMA UNA SWALI WAWEZA KUKOMENTI HAPA CHINI , NB: SITUMII WASAPU NATUMIA INSTAGRAM TU JINA LA granaterosemary asanteni

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      @@joshuakaisiclassicsoca1548 si nimeandika hapo juu jina langu la instagram 🤣🤣🤣🤣 eh wabongo mmenishinda 🤣🤣🤣

    • @mussakapinga1262
      @mussakapinga1262 Год назад

      Dah Asante sister kwa muendelezo tunapata matumaini mpya ya maisha yetu ya kesho kwa wenye ndoto kama za saidi

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Год назад

      Said kanawiri jamani

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 Год назад

      ​@@mamafranjovlog72tuwasiliane mamy niaze mchakato wa safar

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 Год назад

      ​@@mamafranjovlog72Ok Sasa mimi mm niko oman nataka niaze mchakato wa safar ila nataka ijuwe zaid kuhusu hizo Kaz na malipo tuko 2 mwanamke na mwanamme

  • @rosiehayatta2619
    @rosiehayatta2619 5 месяцев назад

    Mama Franjo uko smart kimavazi, makeup kwa ujumla uko fit kuendesha kipindi. Maana kuna waTZ wako na online blog anafanyisha interview amevaa hair cap na night dress. Mama Flanjo nakupa max 100@100 uko representable

  • @habibarnabas
    @habibarnabas 10 месяцев назад

    Hakika mama Franjo roho yako ni ya kipekee sana hongera sana dada MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI SANA kwa kazi nzuri unayoifanya ...

  • @juliusndindile926
    @juliusndindile926 5 месяцев назад

    Habari ya mama franjo.Nitapataje mawasiliano yako

  • @annamussa185
    @annamussa185 Год назад +1

    Hv kumbe Said anamashavu mazuri hv😍

  • @aganopeter9669
    @aganopeter9669 Год назад +2

    Mama flanjo, nashukuru video zako zmenisaidia ,niliomba kazi za warehouse nchini Poland na sasa nawasiliana nao directly na wananipa process zinazofuata

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Ooh hongera sana all the best 🥰🥰

    • @gee_gm
      @gee_gm Год назад

      Agano msaada rafiki yangu naomba website ulotumia kama hutojali

    • @aganopeter9669
      @aganopeter9669 Год назад

      @@gee_gm nimetumia namba zao na email pia,kama utataka nitakutumia

    • @Mzawaoddszone
      @Mzawaoddszone Год назад

      ​@@aganopeter9669naomba mawasiliano yao tafadhali....maana mtaani hakueleweki...Yan namalizia mambo ya chuo hapa ila sioni mwanga mtaani tunapoelekea😂...elimu ya bongo ni balaa

  • @jessevlogswahili
    @jessevlogswahili Год назад +2

    Mama franjo ni connect na mtu Netherlands wa nyumbani nipate mchongo wa kazi. Nimeshafika Netherlands tangu juzi

  • @amirimuhsin560
    @amirimuhsin560 Год назад +3

    One day yes mama franjo

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 4 месяца назад

    Piga kazi kaka yangu

  • @edinambwambo4847
    @edinambwambo4847 Год назад +2

    Pia amenawiri sana,hongera sanamama Franjo

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 Год назад +2

    Shukrani sana mam franjo kwa kutupatia video hii .pia tutajifunza vingi kutoka kwakwe i hop kila mtu mwenye ndoto ya kufanya kazi ulaya asikate tamaa kupambania ndoto yake one day yes 👍

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 4 месяца назад

    Kweli kaka pambana sana kaka

  • @lightonmichael272
    @lightonmichael272 Год назад +2

    Safi sana dada kwa kaz nzur hataree yaan

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Год назад +1

    Kapendeza sana, hongera dada

  • @allyjuma4795
    @allyjuma4795 Год назад

    Mama franjo skuzote nakufatiria kwenye you tube chaneri yako but m sjaelewa kwamba inje ya you tube unausika nann viza au uanjent wawa fanya kazi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      ruclips.net/video/cTr5mlz37PI/видео.html sikiliza maelezo yapo kwenye hii video

  • @nurupaje9041
    @nurupaje9041 Год назад +1

    Ongera kazi nzuri

  • @saidimega9615
    @saidimega9615 Год назад +4

    I'm here

    • @ilhamjonas6986
      @ilhamjonas6986 Год назад +2

      Umekua kibonge

    • @ilovemyafrica8541
      @ilovemyafrica8541 Год назад +1

      Saidi naomba utupe ata ig account yako

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@joshuakaisiclassicsoca1548 mawasiliano ynagu mbona yapo humo kwenye video , mimi napatikana instagram kwa jina la @granaterosemary

  • @erictz
    @erictz Год назад +1

    i like the intro HONGERA MA ANJO

  • @dionykm4976
    @dionykm4976 Год назад +1

    Kazi nzuri mama Franjo🤗

  • @georgemmunji1189
    @georgemmunji1189 Год назад +1

    Eti mama franjo ni maradhi gani ukiwa nayo uruhusiwi kwenda ughaibuni

  • @SarahIsike
    @SarahIsike Месяц назад

    Saidi amenenepa Mashaallah

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Год назад +3

    Said kaongea ukweli watz daah😃😃Una graduate afu hujui utaelekea wapi congrats ma Franjo

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Год назад +4

    Mama franjo nakusubiri utangaze wanaoitaji kulipia nipo tayari plz usichelewe

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +4

      Usijali usijal ntawajulisha acha hawa wapili tumalizane nao kwanza

    • @shangazizaynyenzi3121
      @shangazizaynyenzi3121 Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 mm mstaafu lkn ninanguvu ile mbaya

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@shangazizaynyenzi3121 tatiso sio kazi utapata ,ila tatizo workpeemit ndio hawatoii kuanzia miaka arobaini na kitu

  • @joeljoel9180
    @joeljoel9180 Год назад +2

    Habari ya uzima dada, mama franjo, natumai hamjambo, samahani nilitaka pia kujua ni kiasi gani cha pesa ambacho naweza kuwa nacho iri kukamilisha utalatibu wote mpaka kufika huko? Samahani kwa usumbufu dadaangu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Sikiliza video za nyuma nimeshaongelea kila video garama zake pliz kuna video nyingi humu sio hii tu tumia muda wako kusikiliza video za poland

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 Год назад +3

    mama fulanjo watu wanataka contact wajiongeze bwana, siulisema Saidi yupo Single sasa wadada wanaulizia namba

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +2

      🤣🤣🤣🤣Nani aliekwambia saidi bado yupo single 🤣🤣🤣 tulia Atom mwenyewe akiwa tayari atawapa contact zake very soon na atawaambia kama bado yupo single🤣🤣🤣🤣 usijaliiiiii🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 6 месяцев назад

    Kijana piga kazi acha mambomengi maisha mazur yanakuja tu ukipambana tu

  • @ashamatenga7327
    @ashamatenga7327 Год назад +6

    Amebadilika aisee maisha aya ila asile sana bata yy bado mtafutaji ajitahidi kuwekeza ..tushavu tunaonekana😄

  • @yohanaedward2449
    @yohanaedward2449 Год назад

    Hallo multer franjo kuna kampuni inaitwa live & study in Europe vipi unaifahamu maana nime apply kaz na nimepata na interview nimefanya taya so now nasubili mkataba tu. So naomba unisaidie kama unaifahamu hiyo kampuni

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Hapana siifahamu kama unasubiri basi wasubiri au watumie email

  • @marrypius576
    @marrypius576 Год назад +3

    Mama flanjo nasubiria utangaze dada angu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      usijali

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq Год назад

      Naomba unitafute dada angu au nikupe namba yangu

    • @NunuSuleiman
      @NunuSuleiman Год назад

      Mimi nipo oman jamani uku shida tupu dear naomba mawasiliano Yako kama huto jali iliunisaidie kufika huko

  • @samirnasri6991
    @samirnasri6991 Год назад

    Dada mm niko south africa ila naomba namba yko nianze mchakato

  • @gladysjohn6414
    @gladysjohn6414 Год назад +3

    Said amenenepa sana

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      na hapo alikuwa anaumwa , hali ya hewa ya poland ilimkaribisha hapo alibanwa mafua kifua kapungua pungua hapo lol

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад +1

    Wooow so amaizing big up anty franjo

  • @ilhamjonas6986
    @ilhamjonas6986 Год назад +4

    Waoooh

  • @ilhamjonas6986
    @ilhamjonas6986 Год назад +4

    Kanenepa Kaaah

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 Год назад +3

    Umetuchelewesha Sana kutupa habari za said

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Yuko busy na kazi ndio mana

    • @mohamedialliy1974
      @mohamedialliy1974 Год назад +1

      Niliomba kulipa mapema ukaniambia subili kimya Hadi Leo siielewi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@mohamedialliy1974Mapema lini ? USIJALI CHANCE BADO ZIPO TUSUBIRI TU KIDOGO HAWA GRUPU LA PILI waanze kuja kisha ntawatangazia sasa tusubiri kidogoo

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 Год назад +2

    Mama franjo mbona said tu wengine vp

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      🤣🤣🤣masiko yako yanasikiliza vizuri my dear 🤣🤣humu kwenye video mwanzoni kabisa nimeongelea ebu irudie video ili uelewe my dear 🤣🤣🤣

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад +1

    Hey madam kutoka kenya mimi naona jamaa ka change ata rohoo na kuongea niambie Nita jiconnect aje nipate kulipa hizi hela kwako

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Angalia video za nyuma zina maelezo yote naona we upo na hii video tu , hii chaneli ina video nyingi plizi angalua zingine zina maelezo yote

    • @kamenemulu8561
      @kamenemulu8561 Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 thnks sis nimeangalia nipee no naweza tuma pesa kwa no gani nilipe polepole hii kitu nikweli I trust u Kuna philippine twapanya naye hali appy ki mchezo kwao visa hilitoka jana hameodoa from Saudi to Poland factory worker

  • @estercrizostom4728
    @estercrizostom4728 Год назад +4

    Jamani jamani Mungu akiamua kukuinua hakuna apingae said umetoboa ,mi nafait ela dada nikutafute

  • @angelajoseph4643
    @angelajoseph4643 Год назад +1

    Mamiii nisaidie nami nije kufanya kazi

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 Год назад

    Sh ngapi kuja poland

  • @travixclay8990
    @travixclay8990 Год назад +2

    Me naona kama mtu akiwa na zambi sana akifa anazaliwa upya tz ila ukitenda mema ukifa unazaliwa ulaya 🤣🤣🤣

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 Год назад +2

    Said Kwan alikua anajua kingerereza, wamewasiliana vp

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Hii ni sehemu ya nne fatilia documentary yake hii sehemu ya kwanza ya pili na ya tatu ndio utaelewa vizuri pliz

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +5

    Aisee abroad ni abroad tu.Said kanawiri hatari.😃😃😃

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti eh kaoga maji ya poland eti🤣🤣🤣

  • @franktambuko-ut6bt
    @franktambuko-ut6bt Год назад +1

    dada nitafutie kazi yoyote mm nafanya ilimladi iwe halali

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso621 Год назад +1

    Franjo anaitaji mdogo wake 🤣🤣🤣

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Mdogo wake mbona anae tena kaja juzi tu analea hapa alipo cheki hii video mpya anaenda kumuona mdogo wake
      ruclips.net/video/bp9Pk8uXQxw/видео.html

  • @mbashaaston4278
    @mbashaaston4278 Год назад +2

    Unapokea lini watu wengine

  • @rachelfredrick7018
    @rachelfredrick7018 Год назад +1

    Ulaya ni ulaya tu 😅 Said kanenepa na anapendezaa @Mama Franjo

  • @mohamedsuleiman2785
    @mohamedsuleiman2785 Год назад

    Mimi nataka nijuwe kuhusu malipo inakuwaje

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso621 Год назад

    Mimi mwenyewe tatizo ilo ninalo unaweza tuma sms ukasema sitaki kujibu kumbe mambo mengi na muda naona mdogo

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      yanii dear mtihani watu wanaona watu wa ughaibuni wanalinga kumbe wenzao wako hoii busyy

    • @mariamdimosso621
      @mariamdimosso621 Год назад +1

      Na masaa naye unaona yapo kasi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@mariamdimosso621 sana yako speed sana tofauti na home

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 10 месяцев назад

    Kabadirika saidi nyie ulay ni ulayatu😊

  • @franktambuko-ut6bt
    @franktambuko-ut6bt Год назад +1

    Dada nashindwa kusevu namba yako ya watsapp nikijaribu hauonekani

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Год назад +1

    Get ready for the next saidi

  • @RosemaryErnest-cw7tw
    @RosemaryErnest-cw7tw Год назад

    Dad mim ni kijana was miak 23 nataman San kufany kaz ulay na sijasoma nimeishia kidato cha pil nikakimbia school na nina fani ya ufund cool cstm Yan natengenenza mafrij Ac na kadhalka nawezaje pata nafac ya kuja ulaya msaada wak

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Sikiliza video zangu nimeshaelezea kuna video nyingi humu sikiliza

    • @RosemaryErnest-cw7tw
      @RosemaryErnest-cw7tw Год назад

      Naomb no yako dad tafadhal kuna vi2 ving na hitaj kujua

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@RosemaryErnest-cw7tw namba ya nini nimekwambia sikiliza kwanza video nimeshaongelea kazi kwa wasiosoma sikiliza ukiwa na swali ndio uje instagram kwa jina la granaterosemary ila usije instagran kuniuliza bila kuangalia video wakati nimeshaongelea

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Год назад

    Bado nakungoja

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 Год назад +1

    I will be there 😂😂😂

  • @DAMASMWELA-ws9yc
    @DAMASMWELA-ws9yc 8 месяцев назад

    Saf

  • @mariamsabi3299
    @mariamsabi3299 Год назад +3

    Saidi kka kumbe wewe nikibonge

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      hahahha hahaha hapo alikuwa anaumwa ivyo amepungua pungua ivyoo

    • @mariamsabi3299
      @mariamsabi3299 Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 khee jmn , sasa mimi na huu mwili nikienda uko si nitapasuka kabisa

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@mariamsabi3299 😅😅😅

    • @mariamsabi3299
      @mariamsabi3299 Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 😅😅 kwel dear

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@mariamsabi3299 🤣🤣