KONA ZA MLIMA KITONGA NA BARABARA YA ZEGE ‘MAGARI YASITELEZE’ MTAALAMU KAFUNGUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 305

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 5 лет назад +144

    Najua wale wapenda kitonga ndio mmekuja kuangalia hii video ....msiondoke hv hv naomba niwajue😂😂😂😂

  • @BB-qj8dd
    @BB-qj8dd 2 года назад +2

    Mwishoni mwa interview kuna dereva anaendesha lorry ya kijani kwa mwendo kasi tena kwenye kona utadhani brake zimefeli. Wenzangu mmemuona?

  • @pascalinamichael554
    @pascalinamichael554 4 года назад +18

    Alie ona mtaalami badala ya mtaalamu gonga like twende sawa

    • @sadas229
      @sadas229 4 года назад

      Hqpo nilipita nilihisi kufa wallh

  • @josephndomba1895
    @josephndomba1895 5 лет назад +11

    Millard Ayo vipi kuusu ruvuma mbona utokei uku Kuna kampuni inaitwa Sietco ni ya kichina inatengeneza barabara.... Hapa atujawaiona viongozi wa mkoa kuja kutembelea lea wafanya kazi na pia mladi ni wa mabilioni wanalipa wafanyakazi ela ndogo labda ukija wewe uku cku moja watasikia viongozi wengne uko wakitaifa watasaidia

  • @nuruissa2648
    @nuruissa2648 5 лет назад +29

    Aiseeeee,nilipita APA kwenda mbaey,nilipofika nilimuuliza mume wangu hakuna njia nyingine ?? Ya kurudi maana mmmmmh

  • @asalasaad7568
    @asalasaad7568 4 года назад +1

    Una masaa mangapi mpaka kuisha huo mlima. Kupandisha au kushusha???

  • @mossespeter6885
    @mossespeter6885 3 года назад

    Fundi langi zanyumba Kuskimu anaehitaji piga 0747322114

  • @caseyjason-ws3fr
    @caseyjason-ws3fr 4 года назад

    Yaani huu mlima ndo unanifanya nisiende Songea,serious kwanini hawachimbi katikati ,huo mlima si umekufa, si watengeneze Tunnel hapo katikati, au kuna nini, wajuaji naomba mnijuze,.......Nikirudi bongo ntapanda ndege kwenda Songea
    Dah balaa huo mlima,maana nikisikia ndugu wakiongea nasikiaga baridi la ajabu linanipata

  • @jayproducts5871
    @jayproducts5871 5 лет назад +4

    Wapenda Kitonga tujuane hapa🤷🏻‍♂️Tujadili hapa kwann wanatuwekea Zege tushindwe kuserereka

  • @ezrahgeorge3933
    @ezrahgeorge3933 5 лет назад +5

    yaan kila nikitaka kwenda mbeya nikiwaza hapa aisee natokwa mpk vipele vya baridi yaan napaogopa sana hapa nakuwaga kimya nasali tu

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 5 лет назад +19

    Nikipitishwa hapa lazma nijikojoleee 😂😂😂 uwiiiiiiiiiii

  • @abdulkarimhamissi3755
    @abdulkarimhamissi3755 5 лет назад +6

    Millard izo mbona za kawaida nenda kaangalie Bara Bara ya nyasa kwenda mbambabey ni hatsry

    • @ChumaTheGreat
      @ChumaTheGreat 4 года назад

      Nyasa kwenya mbambabey au mbinga kwenda nyasa

    • @doraharnold2431
      @doraharnold2431 3 года назад

      @@ChumaTheGreat Hahhahhahhha hajakosea kote njia mbaya

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 2 года назад

    Daah nlipitaga mwaka 1993 hadi leo ckupita tena

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад

    Tatizo huwa mnafanya vitu visivyo faa hivi cement tunayo kibao lakini barabarani mbona kijibarabara kifinyu mnoo na ajali ndio maana zipo kila mara kutokuwa na ubunifu mzuri.

  • @pilymasoud1978
    @pilymasoud1978 4 года назад +2

    Mmmhu sitaki hata kuongea hiyo balabala,mng awatangurie madereva

  • @francismngumi5125
    @francismngumi5125 5 лет назад +18

    Kuna basi la blue Sijui nimeliona peke yang ...jamaa yuko speed kinoma kuliko

  • @geofreyemanuel8939
    @geofreyemanuel8939 4 года назад +1

    Geof na Alysaedy yake haelewi anashukatu namkubali sana dereva wa hilo bas

  • @hakikahoman615
    @hakikahoman615 5 лет назад +10

    Nilikuwa napasikia tu kitonga ni mlima atari sana lakini nimejionea mwaka huu duuuuuuh. Alafu ni kipande kirefu sana

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 5 лет назад +1

      Hapo unasali sala zote zinamalizika na unarudia tena na tena hahhhaa. Hapaishi haraka

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 5 лет назад +1

      @@eneolatukio8493 wala haitishi ukifika live utaona

    • @queenbhanji7223
      @queenbhanji7223 5 лет назад

      mbn wala hapatishi sana ukija pita utajionea2

    • @hakikahoman615
      @hakikahoman615 5 лет назад

      @@queenbhanji7223 nimesha pita hapo we si mchezo

    • @المهلهلالحراصي
      @المهلهلالحراصي 4 года назад

      Hata mimi pia nimeshapita mlima kitonga nilikuwa natoka dar kwenda tunduma tena tulikuta lori la viazi batata limeanguka hapo hapo kilima kitonga

  • @dgt6303
    @dgt6303 4 года назад +1

    Daah nikipapitaga huwa nazuga kulala ili nisione nje ila na ucngiz nao hauji

  • @PeterSaaja
    @PeterSaaja 6 месяцев назад

    Na kama gari inasimama kwa milima na unafaa kwasia kuhendesha

  • @israeleliah1568
    @israeleliah1568 5 лет назад +5

    Hua nikifika apa miguu hua inaisha nguvu sijui madereva hua wana kua na ujasiri gani

    • @evacharles9448
      @evacharles9448 4 года назад

      Haha huwa unahisi wajina Israel yupo karibu nini 😂 😂

    • @juliusphabian6336
      @juliusphabian6336 4 года назад

      Asa kama israel anahisi miguu kuisha nguv mm ni nani

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 3 года назад

    Sikushangaa nilipopita nilistaaja kuona baskeli inashuka kwa speed na mapipa 3 ya ulanzi dah inatisha

  • @magaritechnology5427
    @magaritechnology5427 5 лет назад +4

    Rami= Bitumen(Asphalt) ni world wide used katika ujenzi wa barabara zote kwa ajili ya magari yanayo tumia hasa rubber tires and trucks ...
    Tire patch on bitumen provides a very nice tire tractions...to provide nice control ,handling and safety...
    Kuhusu maswala ya uzito wa gari ni wao wajenzi inabidi hizo factor wazingatie , pia slope angle izingatiwe, mabadiriko ya hali ya hewa pia izingatiwe katika designing na pia ili wafikie lengo la kuhakikisha safety, fuel consumption ikiwa wanatumia ni raia ili iwasaidie kupunguza matumizi ya mafuta zaidi...
    Kuliko kujengea zege sehemu hatari kama ile ...
    Nashangaa sana.
    Kwasababu nikifikilia zege na tire traction, mabadiriko ya hewa mfano jua kali, mvua kubwa , na upepo mkali...
    Sidhani kama concrete road inakua reliable hasa katika sehemu hatari kama kitonga.
    Look
    Bitumen ni mabaki ya mwisho katika uchujaji wa crude oil...
    Inatumika kama binder katika utengenezaji wa barabara..
    Rubber Tyre huleta reaction nzuri na rami, kuliko concrete.
    Kudidimia, ku -purge, au kuonesha mabadiriko yoyote ya barabara ya rami..
    Huonesha namna gani barabara imejengwa chini ya kiwango...
    So mm sihafikiani na engineer wa ujenzi.
    Ninavyo elewa na ndo ilivyo.
    Labda sijamuelewa vizuri engineer.

    • @conradzimsky8215
      @conradzimsky8215 5 лет назад

      Rami Ni Nini?
      Ama unamaanisha Lami?

    • @magaritechnology5427
      @magaritechnology5427 5 лет назад

      @@conradzimsky8215 lami namaanisha...kiswahili tyu nimebugi😂😂

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 5 лет назад

      Hapo bro Umefeli, Yaani unataka Kitonga pawe surfeced by Asphalt?
      Unajua hiyo Rigid ina miaka mingapi mpaka sasa? Je ingekuwa flexible pavements kama unavyotaka si ingekuwa majanga

    • @0yh964
      @0yh964 5 лет назад

      Hapo wamejenga zege kwa sababu kuu moja tu. Durability, zege linaweza kukaa hata 40 years wakati asaphalt ikienda sana ni miaka 10. Kushinda unafanya maintenance hapo kitonga ni kusababisha foleni zisizo za lazima

  • @delsonandrew9330
    @delsonandrew9330 4 года назад +1

    Kuna roli linapanda Mwisho Hapo liko speed kwel

  • @mwashimba
    @mwashimba 4 года назад +1

    Ongea kuhusu tear and wear,barabara ya zege friction ni nyingi inatia hasara ya tairi, lami nayo ni nzuri aina kukwaruza lakini inaisha haraka sababu ya maji na uzito wa magari makubwa kupitisha viwango vya ubebaji

  • @aishaatamiminipoomaninimef2011
    @aishaatamiminipoomaninimef2011 5 лет назад +5

    Nikienda songea nitapitia njia ya Kusini

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 2 года назад

    Hilo semi vip uo mwendo

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    Sawasawa haya wale wakwetu iringa ndio home naomba like zenu

  • @adinanikarata3115
    @adinanikarata3115 5 лет назад +2

    Hapo mm napita kila kila Mara na fuso ya nyanya kutoka ilula daaah ila huwa sipazoei kabisa huo mlima ni noma kona Kali miteremko mikali afu pembamba huko bondeni sasa hadi Giza huoni chini

    • @eneolatukio8493
      @eneolatukio8493 5 лет назад

      Minyoka kibao uko chini mamaa weee!!

    • @elizachota6361
      @elizachota6361 5 лет назад

      Adinani karata naomba namba zako tuongee ishu 🤗

  • @heradius
    @heradius 3 года назад

    Ajali zinazotokea MLIMA KITONGA
    Check hii!!
    ruclips.net/video/xYiCbM5-LRg/видео.html

  • @allymbegu868
    @allymbegu868 5 лет назад +2

    Wazir anaehusika na haya mambo kuna haja ya kumtafuta huyo dereva wa hilo bus anatembeza kasi knoma

    • @omarymwenemti2945
      @omarymwenemti2945 5 лет назад

      Aaahh unamuonea wa basi,hujamuona huyo wa roli hapo mwisho anavyoshuka..!? Hata basi lingekuwepo lingepitwa😁😁maana nimemrudia mara tatu niene kama ajagonga kweli.

    • @allymbegu868
      @allymbegu868 5 лет назад

      @@omarymwenemti2945 😂🤣😂🤣

  • @emmanuelwille8933
    @emmanuelwille8933 3 года назад

    Mabas yakifukuzan

  • @dasiohaule9974
    @dasiohaule9974 5 лет назад +18

    First mwandisi kachemka kidogo hapo plz elezea vizuri jaman rigid surface haili mafuta kuliko flexible na rigid surface ni comfortable kuliko en pia ujenzi wa rigid surface unaweza kuwa wa gharama kubwa kulingana na mazingira kwa maana ya time. Mwandisi aeleze vizuri bhana mtafuteni tena akiwa amemeza vitini fresh

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 5 лет назад

      dasio haule kachemka haswa kwenye gharama

    • @salumabdallah6680
      @salumabdallah6680 5 лет назад

      dasio haule pia gharama ya zege iko juu kuliko lami

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 5 лет назад +1

      Rigid ina gharama kubwa ya ujenzi,
      Pia rigid si comfortable, hivyo ndio nijuavyo

    • @0yh964
      @0yh964 5 лет назад +1

      Pia rigid inakula tyres kuliko lami ya kawaida

    • @leonardoscarkitime145
      @leonardoscarkitime145 4 года назад

      Sio mwandisi ni Muhandisi.. Tuanzie hapo kwanza.
      Halafu kingine, Kama kitu hukijui piga chini, waachie wataalamu waongee na usikilize wanachosema, na si kutoka utokako umejishibia zako makande unataka na wewe usikulizwe

  • @emmanuelmichael9087
    @emmanuelmichael9087 5 лет назад +2

    Barabara ya Zege gharama yake ipo juu na sio chini kdogo km mwandis anavyosema hapo juu compared na rami yakawaida

    • @godardreborn1758
      @godardreborn1758 5 лет назад +1

      Bro Mhandisi kachemka ata mimi nilishtuka nikataka kukupigia simu, uzuri nimekuta comment

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 5 лет назад

      Barabara za zege ni bei kubwa sana hata hiyo kitonga nahisi imejengwa kwa hela za wakorea au wajapan 😁😁😁

  • @naomineemia373
    @naomineemia373 3 года назад

    Acha kabsa mlima kitonga unatishaa ndug zangu wairinga mnavyotok dar kuja iringa mmh

  • @kamanda007
    @kamanda007 5 лет назад +16

    Huyu dereva was basi dakika 2.08 blue bus mpuuzi Sana and very careless.. shenzi sana huyu

    • @jogoolashamba3074
      @jogoolashamba3074 5 лет назад +1

      kamanda007 haaaa huyo mbona hapo hayuko spid sana kuna mabasi yanashuka hapo kwa spid mpaka unataman kulia

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад +1

      Tatizo ni abiria. Wange ongea kwa umoja lazima angefanya adabu. Ila kuna watu uki ongea unaonekana mjinga hadi wanakushangaa. Ajali nyingi kwa kweli ni husababishwa na uzembe

    • @omarymwenemti2945
      @omarymwenemti2945 5 лет назад +2

      Hi hi hiii,msenge sana na huyo mwenye roli hapo mwisho anashuka kama yupo tambalale..😁😁

  • @soundstream2930
    @soundstream2930 4 года назад

    Kwa usajili wa Kampuni, Jina la biashara, Nembo ya biashara (Trade Mark), NGO,s, Churches, Barcodes kwa ajili ya bidhaa zako, Kubadili jina la Kampuni/ Biashara, Kubadili wamiliki wa Kampuni (Directors), Annual returns, International NGO,s zinazotaka kufanya kazi hapa Tanzania na mengineyo yahuduyo Kampuni tupigie sasa 0786 660 202 KARIBU SANA TUKUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU SANA NA WELEDI WA HALI YA JUU

  • @geraldnyamaiswe570
    @geraldnyamaiswe570 5 лет назад +2

    Wahandisi kwa nini wasifikirie kubomowa gema zaidi ili barabara iwe pana yaani upande wa kulia unapopandisha huo Mlima?

  • @festochimulimuli8229
    @festochimulimuli8229 3 года назад

    Tazama mc pilipili Awaliza watu kwenye msiba wa mama yake
    ruclips.net/video/VV7P56bjYHM/видео.html

  • @adamshana8315
    @adamshana8315 4 года назад

    Nilikuwa cjawah kupita jmn ila cku niliyoopita gar zima walinihurumia mpk nafka kitonga comfort tumb la kuharisha limenishka cji kurudia tena kupita hyo njia

  • @athumanswalehe698
    @athumanswalehe698 5 лет назад +2

    Namuona al saedy inachanja mbuga tu hapo hana hata was was

    • @agreytossi6978
      @agreytossi6978 5 лет назад +1

      Athuman Swalehe Al saedy anawah kufika mbeya Anaitoboa tyuu kitongaaaaaaa

    • @athumanswalehe698
      @athumanswalehe698 5 лет назад +1

      @@agreytossi6978 mjomba yupo masaaa sana

    • @yusuphjuma4638
      @yusuphjuma4638 5 лет назад

      Hao Al saed wanaenda sana na muda ila kwa kitonga hatar sana

  • @mtalifimbomusa1395
    @mtalifimbomusa1395 3 года назад

    Iringa ni kwetu,iala nikitaka kwenda nyumbani nazunguka dodoma kuogopa huo mlima

  • @ismailshamte4429
    @ismailshamte4429 4 года назад +1

    Nmeridhika engineer

  • @meshackmihayo7480
    @meshackmihayo7480 3 года назад

    Umeeleze vizuri muhandisi. Ila gharama ya barabara ya zege (Portland Cement concrete pavement) ni kubwa kuliko ya lami (Asphalt concrete Pavement).

  • @batromeonassoro3273
    @batromeonassoro3273 4 года назад

    Huyo mwenye roli wa mwisho mwisho kabisa mwenye kontena hiyo sped anayoshukanayo sio ya nchi hii khaaaa

  • @shabanimbaga8921
    @shabanimbaga8921 5 лет назад +6

    Kudadeki madereva wa kibongo tuna roho ngumu yani tunazunguka hapo kama kwenye tambarare 🤣🤣🤣🤣

    • @polycarpmdemu3552
      @polycarpmdemu3552 5 лет назад

      Newforce ndio hutumia chance kuwapita waoga hapo 😁😁😁

  • @upendomndeme9478
    @upendomndeme9478 5 лет назад +12

    Asante kwa Elimu engineer, proud of you

  • @lilianluhasi7685
    @lilianluhasi7685 5 лет назад +1

    Ukipita unatalii tu

  • @christianmwashala276
    @christianmwashala276 4 года назад

    Basi mbn lipo taratibu angalia iyo semi trela nyuma ilivo tokeza kwenye Kona ndo noma

  • @0yh964
    @0yh964 5 лет назад +3

    Concrete ina gharama chini kidogo ukilindanisha na lami? How comes? Hapa amedanganya kabisaaa... Concrete ni barabara ya gharama na inadumu kwa miaka mingi kuliko lami ya kawaida.

  • @hemednassour4763
    @hemednassour4763 3 года назад

    Jamani kitonga mbn pametrand sana kwan kuna nn uko

  • @joelhassaninnocent1781
    @joelhassaninnocent1781 5 лет назад +2

    nakumbuka safari yangu nirifika mlima huo mvua ikanyesha ndio niriona mengi zaidi

    • @kubiluedward2190
      @kubiluedward2190 5 лет назад

      Engineer katupa matango..sio kwel barabara ya zege ni cheap kuzid ya lami..na barabara ya zege ni bora kuliko lami...life span ya barabara ya zege ni 45yrs wakat lami ni 15yrs

  • @jaydanafricanboy2782
    @jaydanafricanboy2782 4 года назад

    uyo dereva wa bus la bluu atafutwe awezi kushuka kitonga kwaspidi kama ivo au nimeona pekeangu

    • @andrewmziray2233
      @andrewmziray2233 4 года назад

      Kwa kosa gan mzee ? Hilo n bus sio truck .

    • @jaydanafricanboy2782
      @jaydanafricanboy2782 4 года назад

      @@andrewmziray2233 anahatarisha maisha ya watu hapo kitong hatar babu

  • @hundamaniamania872
    @hundamaniamania872 5 лет назад +1

    Sasa hakuna hta uzio pembeni duuh bas Sauzi itabaki kileleni

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 4 года назад

    Ipo haja ya kujengea uzio mzito,utakao zuia gari kubiringia bondeni pindi ikitokea ajali,kilamwaka tunapoteza watu wengi serikali iangalie hilo,iache mengine ifanye hilo

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 5 лет назад +1

    Nendeni tu Duh ,kisa cha kufa kwa uwoga ,

  • @evacharles9448
    @evacharles9448 4 года назад

    Naiona Al Saedy Bus hiyo inashuka Kitonga

  • @bonifacemarwa6496
    @bonifacemarwa6496 4 года назад

    Nilipita hapa usiku wa saa nne nikitokea Iringa, nilikua nachungulia hilo bonde kwa uoga sana

  • @muhammadmahmoud1068
    @muhammadmahmoud1068 5 лет назад +1

    Kumbe kitonga ndivyo ilivyo ivyo?? +974🇶🇦🇶🇦🇶🇦

    • @DIweni
      @DIweni 5 лет назад

      Muhammad Mahmoud kwenye hii video haionyeshi kama panatisha lakin ni moja ya sehemu mbaya sana ndg yangu.

    • @iruhehb1566
      @iruhehb1566 5 лет назад

      Inaogopesha mie shapita hpo

  • @agathathobias8690
    @agathathobias8690 5 лет назад +2

    No3

  • @shakiramkotya4598
    @shakiramkotya4598 4 года назад

    Nilishawahi kupita jamani jaman niliogopa sana

  • @husseinmdoe8832
    @husseinmdoe8832 3 года назад

    Duuh hizo basi ziko fast san

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +11

    Cheki hilo basi linavyo kimbizwa kwenye hizo kona.

    • @hakikahoman615
      @hakikahoman615 5 лет назад

      Na km ukiwa na roho ndogo ukifika iyo safaris wanakupeleka hospital moja kwa moja

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 5 лет назад +1

      kuna dereva wa semi anashusha kama gari ndogo 4:34

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад

      @@bullermgana213 ni akili zao kweli au kuna ndumu imetumika hapo

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 5 лет назад

      @@bjzee1981 hahaha

  • @emmakalou5920
    @emmakalou5920 5 лет назад +2

    No3

  • @heriethhenry4019
    @heriethhenry4019 4 года назад

    hilo ni cha mtoto.nendeni karatu mkaangalie lilikoanzia huo mkondo wa creater.hapo kitonga ndio linamalizikia.tena limegawanyika.maeneo ya senkeke matawi ndio yamechanua pale semkeke.ma limeenda mpk jordan.na limeanzia ngorongoro Arusha.

    • @HeleneOyster
      @HeleneOyster 21 день назад

      Upo sahihi kabisa bila chenga

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 года назад

    nimekuelewa vizuri sana mtaalamu

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад

    Njia hiyo ya kitonga huwa naogopa mno japo nimepita mala kibao yaan nikishafika hapo maini na firigisi vinachanganyana

  • @stephenmaithya1395
    @stephenmaithya1395 8 месяцев назад

    Nithi bridge

  • @herryabdul6960
    @herryabdul6960 4 года назад +1

    Ģ

  • @eltonmatary1345
    @eltonmatary1345 4 года назад +1

    Oya sio pw

  • @EmmanuelHaulenjombe
    @EmmanuelHaulenjombe 5 лет назад

    Apo pakawaida Sana hujakutana na Isuzu forward inapeleka nyanya dar ukisikiaaa stop engine imelia ujue kashamalza Kona. Kwa bus zinatembea adi sio pw ila usiombe bas liwe na wanawake watalia Lia umo atar

  • @jonkomba7406
    @jonkomba7406 5 лет назад

    Nazani watu hampajui mlima Chinambedo ... Nazan ndio panatisha zaidi ya kitonga.

  • @hassanolsony1872
    @hassanolsony1872 3 года назад

    og

  • @kahenzagadau1gadau878
    @kahenzagadau1gadau878 4 года назад +1

    Nimekusoma mr mtaalamu asante sana

  • @gabrielrymond9338
    @gabrielrymond9338 3 года назад

    Hongera cna kaka kwakuipendq kazi yako nasi tunaipenda pia

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 5 лет назад

    Tumezoa kupita huko toka 2005 mpka leo tunafuraia kupita kitonga

  • @ngenzisaid4958
    @ngenzisaid4958 5 лет назад

    watu wanalia sanaaaa kitonga kitonga mbn twapita kila day na hakuna chochote kile papo poa sanaa apo

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 4 года назад

    Mbona cha mtoto nenda Nyang'horo Iringa-Dodoma, utasimulia vizuri, kuna kona za hatari.

    • @elmasroj9712
      @elmasroj9712 4 года назад

      Nyang'oro uzuri wake hakuna mpando sehemu kubwa ni flati mipando ni michache sana

  • @kanoa645
    @kanoa645 5 лет назад +3

    Hapo kwenye rofauti ya zege na lami katika uendeshaji mhandisi kasaha kitu ADHESIVENES na friction kati ya gurudumu na surface

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 4 года назад

    Kona kali sana.

  • @mariyammuhammed4428
    @mariyammuhammed4428 5 лет назад

    Natamani kwenda Mbeya lkn naogopa kitonga

  • @bonifacemarwa6496
    @bonifacemarwa6496 4 года назад

    Sasa Kuna ingine hiyo ya kupitia dodoma-mtera - Iringa nayo ni shida

  • @blackseason599
    @blackseason599 4 года назад

    Al Saedy huyooo DNN namba moja Dar -Mby anatelezaa tu Kitongaaa

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu9959 5 лет назад +2

    Maeneo maku😂😂

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 4 года назад

    Wekend Uzio jamani

  • @maisaramaulid4668
    @maisaramaulid4668 5 лет назад

    Kunatisha sn

  • @lilym704
    @lilym704 5 лет назад

    Hiyo njiya yarab akili gani tengenezeni njiya 2 za kwenda na 2 za kurudi na iwe large ata ikitokewa kitu iwe fasi ya kusimama ni lorry ndo zinapita sio basckell hamna usalama

    • @ramadanadam8036
      @ramadanadam8036 5 лет назад

      Ya dodoma ipo lkin hzo kona za nyang'oro bora upite kitonga tyu umbali mfupi tu pale

  • @serengetiamb636
    @serengetiamb636 4 года назад +1

    pamoja sana

  • @saimonmkama7879
    @saimonmkama7879 5 лет назад +1

    Kwa wale wenzangu wa mgeta morogolo tunasema kitonga ni mlima wa kawaida na kona chache sana

  • @africanhappyadventure6951
    @africanhappyadventure6951 5 лет назад

    Duuuuh. !kuna jemedari mmoja hapo naona ana sororesha kitu moja ya Blue bahari sijui anatembea kama yuko high way..

  • @milelestudios1050
    @milelestudios1050 4 года назад

    Gonga like kama umeelewa zaidi

  • @amribudi7870
    @amribudi7870 5 лет назад

    Suala lingine taili ni rahisi kupasuka kwenye barabara ya zege kuliko kwenye lami

    • @0yh964
      @0yh964 5 лет назад

      Exact... zege inakula sana tairi kwanza

  • @jargontz3546
    @jargontz3546 3 года назад

    yah ik vzr

  • @nyash2542
    @nyash2542 5 лет назад +1

    Mara ya kwanza kuingia Tanzania nikisifia sana sehemu hii kama sijakosea kama 25km kupanda na Axor 2543 waliita gari ndogo sivyo nilivyo zikata streamliner 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 5 лет назад

    Io kamera inachukua namna gani mbna ipo juu sana nini linafanya ivo

    • @reej5715
      @reej5715 5 лет назад

      Hiyo ni drone search google au youtube utaona jinsi inavyo tumika

    • @venture5667
      @venture5667 4 года назад

      Drone babu

  • @maryclaralema2577
    @maryclaralema2577 5 лет назад

    duh inaogopesha

  • @wbdsgamer_
    @wbdsgamer_ 4 года назад +3

    1:52 Naona AL SAEDY "DNN" inateleza na hizo kona tu😀😀😀

  • @magaritechnology5427
    @magaritechnology5427 5 лет назад +1

    Dah millard ayo...
    Muhusika katika kuelezea hivyo vitu
    Inabidi umtafute Mr.kyando..
    Binafsi sijapenda kwa kweli..

  • @magnusmlowe8634
    @magnusmlowe8634 5 лет назад

    Nami

  • @elizamwaigombe2457
    @elizamwaigombe2457 5 лет назад

    Mbeya pia kuna kona za mkoa, barabara ya kwenda chunya, mje mzione pia,